Mkakati wa mama mwenye nyumba kushinda uchaguzi mkuu wa 2025 kwa 95% huu hapa umeshawiva tayari

Tunajua Tanzana hakuna upinzani mkuu.Vyama mbona ni madili ya CCM.Ni wadanganyika tu ndio wanaopoteza muda kupigia upatu walamba asali.
Huu ndio ukweli wenyewe na tunaoelewa ni wajanja wachache tu.
Wengine wanaburuzwa tu kama mbuzi na mtu mmoja anaejifanya mwenye chama.
 
Bahati mbaya wewe unajua ya mwilini,yarohoni huyajui!,kaa mbali kidogo utaona sapraizi yakutisha na kama hautazimia utakufa kabisa.
 
Mpango ni ule ule wa siku zote
Kuiba kura kama kawaida ya CCM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpango umeshakamilika kama nilivyokwambia, wala haina haja ya kuiba kura. Masikio yanaweza yasisikie, lakini macho nayo hayaoni matendo na maneno ya mwenyekiti pichani na kwenye twita?

Mpango ni ule ule wa kutoshiriki uchaguzi mkuu kwa kisingizio cha katiba na tume huru ili mama apite kwa kishindo na chama chake.

Usifanye mchezo na mwanasiasa anaepigania tumbo lake mkuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-170119.jpg
    66.4 KB · Views: 3
  • images (65).jpeg
    26.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220605-170131.jpg
    72 KB · Views: 3
Bahati mbaya wewe unajua ya mwilini,yarohoni huyajui!,kaa mbali kidogo utaona sapraizi yakutisha na kama hautazimia utakufa kabisa.
Unachofikiria ni sawa sawa na mtu anaefikiri kwamba anaweza kwenda Marekani kwa kutumia ungo wa wachawi.
 
Niliongea nilichokiona, lkn wajinga wachache walinipinga 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…