Tetesi: Mkakati wa upigaji wa fedha katika anuani za makazi

Tetesi: Mkakati wa upigaji wa fedha katika anuani za makazi

WENGINE TUMEFANYA SEMINAR HATUJAPEWA HATA MIA..TUNAWAZA ZOEZI LENYEWE TUTAKADILIWA SHINGAPI IKIWA HATA HATUJAAMBIWA MALIPO YA KILASIKU.
Mkuu naomba nikuulize swali, kwa mujibu wa maelezo ya ukusanyaji anuani za makazi mnakusanya pamoja na taarifa za viwanja, je utapata wapi taarifa sahihi za mtu mwenye kiwanja eneo fulani wakati wewe hutamkuta kwenye hicho kiwanja??? na mwenyekiti wa mtaa hawezi kuwa na taarifa zote za watu wenye viwanja??

Naomba kufahamu kwa mujibu wa mafunzo mliyopewa,,utatumia njia gani?
 
Kuna taarifa kwamba upo MKAKATI wa makusudi wa upigaji wa fedha kwenye zoezi la anuani ya makazi 'postcodes' kwa baadhi ya wakurugenzi nguli, wabobezi , viburi na wasio na kwenye kutengeneza hila za wizi panapokuwa na fursa.
Mbinu wanayo ipigia mkakati ni

(1) kulipa pesa waajiriwa hewa ambao watajumuishwa kwenye zoezi bila kujitambua na majina yatakayotumika ni ya wake waliofanya interview na pia wengine walioshiriki mafunzo na kutochukuliwa.

(2) Uendeshaji wa zoezi kwa kuwapumzisha waajiriwa (ambapo wanakuwa hawalipwi siku za mapumziko) lakini kutoa malipo mfululizo ambapo malipo ya siku zote za mapumziko manguli hao watabeba na kutia kapuni

(3) Kulipa malipo tofauti kinyume na Yale ya 20,000/= yaliyoelekezwa ambapo baadhi watalipwa sahihi na baadhi hawatalipwa sahihi

(4) kuzuia malipo ya posho ya wawenyeviti wa mitaa/ vitongoji na hata baadhi yacwatendaji kwa hila mbalimbali ambapo wao kama wakurugenzi mwishoni watayaidhinisha na kushiba vizuri kabisa

Ni wajibu wa vyombo na mamlaka husika kufuatlia kwa ukaribu na kudhibiti haya.
Sina hakika kama baada ya hili zoezi matokeo yatakuwa kama tulivyotaraji.
Maana sisi tunajenga jenga tu bila plan maalum hata mipango miji hawana habari.
Zoezi litamalizika na mambo yabaki vile vile
 
Kuna halmashauri huko Arusha yenyewe imesema et malipo ni 10000 kwa siku.Wizi tu
Kwa mujibu wahusika,kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake wa mapato.hili zoezi linatumia pesa za makusanyo ya ndani ya halmashauri kama halmashaur ni choka mbayaa malipo yatakuwa choka mbaya.

Zoezi hili linaweza lisifanikiwe kwa kiwango kikubwa kwa sababu ya

1.. Vifaa vya kufanyia kazi

2..Mtandao kati ya kwenye data base na kifaa cha kufanyia kazi

3.Fedha za malipo ya wenyeviti wa mtaa na vitongoji.

4.Makazi holela hakuna mpangilio mzuri wa mitaa au vitongoji
 
Mkuu naomba nikuulize swali, kwa mujibu wa maelezo ya ukusanyaji anuani za makazi mnakusanya pamoja na taarifa za viwanja, je utapata wapi taarifa sahihi za mtu mwenye kiwanja eneo fulani wakati wewe hutamkuta kwenye hicho kiwanja??? na mwenyekiti wa mtaa hawezi kuwa na taarifa zote za watu wenye viwanja??

Naomba kufahamu kwa mujibu wa mafunzo mliyopewa,,utatumia njia gani?
Moja ya sifa ya muombaji ilitakiwa awe anajua kusoma ramani.
Hivyo kwenye kiwanja nacho kitapewa namba kwenye mfumo, halafu akija kujenga taarifa zitaunganishwa. Pia kumbuka zoezi ni endelevu.
 
Upigaji upo mkubwa sana na kibaya zaidi wamechukua vijana kutoka mitaani si watumishi wa umma ambao hata kuhoji hawahoji maana hawajui wanzie wapi

Hivi utampelekaji mtu field kuanza kazi unamwambia utalipwa kazi ikikamilika si uhuni huo yani kijana azunguke kutwa nzima bila kula Chochote huu ni uhuni wa kwanza

Uhuni wa pili zoezi limekosa ufanisi haiwezekani kata yenyei kaya elfu kumi unaweka watu wanne tu ndio wasimamie hilo zoezi huo si uhuni

Kwa uzoefu uliopo Kuna kundi kubwa sana la hawa vijana watadhurumiwa pesa zao watamaliza zoezi Kisha wataanza kupewa story njooni kesho Mara mfumo umesumbua mpaka watachoka maana hao wasimamizi wa hili zoezi uko halmashauri njaa nyingi inatakiwa ufutiliaji ufanyike watu wanazurula na malipo ya vijana kwenye mabegi na magari yao wengine washaenda saiti kulipa mafundi
 
𝐮𝐧𝐚𝐜𝐡𝐨 𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐞𝐚 𝐡𝐮𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐮𝐩𝐨 𝐬𝐚𝐡𝐢𝐡𝐢 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐦𝐤𝐨𝐚𝐧𝐢 𝐟𝐮𝐧𝐮𝐧𝐮 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐳𝐨𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐦𝐚𝐥𝐢𝐩𝐨 𝐧𝐢 15𝐞𝐥𝐟𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮
 
Kuna taarifa kwamba upo MKAKATI wa makusudi wa upigaji wa fedha kwenye zoezi la anuani ya makazi 'postcodes' kwa baadhi ya wakurugenzi nguli, wabobezi , viburi na wasio na kwenye kutengeneza hila za wizi panapokuwa na fursa.
Mbinu wanayo ipigia mkakati ni

(1) kulipa pesa waajiriwa hewa ambao watajumuishwa kwenye zoezi bila kujitambua na majina yatakayotumika ni ya wake waliofanya interview na pia wengine walioshiriki mafunzo na kutochukuliwa.

(2) Uendeshaji wa zoezi kwa kuwapumzisha waajiriwa (ambapo wanakuwa hawalipwi siku za mapumziko) lakini kutoa malipo mfululizo ambapo malipo ya siku zote za mapumziko manguli hao watabeba na kutia kapuni

(3) Kulipa malipo tofauti kinyume na Yale ya 20,000/= yaliyoelekezwa ambapo baadhi watalipwa sahihi na baadhi hawatalipwa sahihi

(4) kuzuia malipo ya posho ya wawenyeviti wa mitaa/ vitongoji na hata baadhi yacwatendaji kwa hila mbalimbali ambapo wao kama wakurugenzi mwishoni watayaidhinisha na kushiba vizuri kabisa

Ni wajibu wa vyombo na mamlaka husika kufuatlia kwa ukaribu na kudhibiti haya.
Vyote ulivyovitaja ni kweli tu mkuu.
 
Upigaji upo mkubwa sana na kibaya zaidi wamechukua vijana kutoka mitaani si watumishi wa umma ambao hata kuhoji hawahoji maana hawajui wanzie wapi

Hivi utampelekaji mtu field kuanza kazi unamwambia utalipwa kazi ikikamilika si uhuni huo yani kijana azunguke kutwa nzima bila kula Chochote huu ni uhuni wa kwanza

Uhuni wa pili zoezi limekosa ufanisi haiwezekani kata yenyei kaya elfu kumi unaweka watu wanne tu ndio wasimamie hilo zoezi huo si uhuni

Kwa uzoefu uliopo Kuna kundi kubwa sana la hawa vijana watadhurumiwa pesa zao watamaliza zoezi Kisha wataanza kupewa story njooni kesho Mara mfumo umesumbua mpaka watachoka maana hao wasimamizi wa hili zoezi uko halmashauri njaa nyingi inatakiwa ufutiliaji ufanyike watu wanazurula na malipo ya vijana kwenye mabegi na magari yao wengine washaenda saiti kulipa mafundi
Bongo mambo muhimu hayachuliwi siriaz hili zoezi linaendeshwa kama kitu cha upuuzi hawakufanya hata tathimini za kutosha na kuja na mikakati bora ya kuliendea zoezi hili kwa ufanisi ,enewei acha tuendelee kuimba unapiga mwingi.
 
Yaan braza wilaya zingine wamefanya seminar sku3 mfululizo lakn sie TUMEFANYA SEMINAR sku1 tu Napo masaa matatu tu tukifundishwa kudownload App. Bila unafiki tumetoka kwenye seminar hamna kitu tunajua
Mkuu naomba nikuulize swali, kwa mujibu wa maelezo ya ukusanyaji anuani za makazi mnakusanya pamoja na taarifa za viwanja, je utapata wapi taarifa sahihi za mtu mwenye kiwanja eneo fulani wakati wewe hutamkuta kwenye hicho kiwanja??? na mwenyekiti wa mtaa hawezi kuwa na taarifa zote za watu wenye viwanja??

Naomba kufahamu kwa mujibu wa mafunzo mliyopewa,,utatumia njia gani?
 
nitakuja na pdf yenye orodha ya wakurugenzi wezi ....hii ishu najua watanifikisha mahakamani lakini nimejipanga na ushahidi lukuki.......kuna huyu mtu anaitwa shemdoe yuko pale TAMISEMI sijui kama anajua au hajui pale anafuga vishoka wa ajira na nina wafahamu niko nandaa pdf yao.....hawa vishoka wana kauli mbaya sana,..moja ya kauli wanayoitumia kutetea dhambi zao huwa wanasema eti " WALAUMU WAZAZI WAKO AMBAO WALISHINDWA NA WAO KUWA NI WATU WA SYSTEM AU CONNECTION "..
 
Ili zoezi limeshashaanza kujikongoja. Hapo awali tulisikia pia watakusanya taarifa za wenye makazi na kujaza katika data base ajabu unakutana na namba mlangoni kwako pasipo kuwapo nyumba.

Kuna mahali kwingine wanatumia hadi chaki kuandakia duuh.
 
Kwa mujibu wahusika,kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake wa mapato.hili zoezi linatumia pesa za makusanyo ya ndani ya halmashauri kama halmashaur ni choka mbayaa malipo yatakuwa choka mbaya.

Zoezi hili linaweza lisifanikiwe kwa kiwango kikubwa kwa sababu ya

1.. Vifaa vya kufanyia kazi

2..Mtandao kati ya kwenye data base na kifaa cha kufanyia kazi

3.Fedha za malipo ya wenyeviti wa mtaa na vitongoji.

4.Makazi holela hakuna mpangilio mzuri wa mitaa au vitongoji
Hkuna kama hicho kuwa halmashaur inatumia mapato yake, pesa Kwa Ajil ya Kazi HYo ilishapangwa na serikal kuu. Ninachoona halmashaur zimeachiwa uwanja wa kupanga matumiz kulingana na maeneo yake yalivyo...
 
Bongo mambo muhimu hayachuliwi siriaz hili zoezi linaendeshwa kama kitu cha upuuzi hawakufanya hata tathimini za kutosha na kuja na mikakati bora ya kuliendea zoezi hili kwa ufanisi ,enewei acha tuendelee kuimba unapiga mwingi.
Kwanza hata suala la elimu kwa raia haijatolewa wanainchi wengi wanashangaa nyumba zao zinachorwa tu hawaelewi Chochote kuhusu anwani za makazi.

Uko mijini uswahilini maskini wenye viti wa mitaa wanatembezwa na watendaji juani wanambiwa kazi ya kizalendo hii hakuna MALIPO😂😂😂
 
Kuna taarifa kwamba upo MKAKATI wa makusudi wa upigaji wa fedha kwenye zoezi la anuani ya makazi 'postcodes' kwa baadhi ya wakurugenzi nguli, wabobezi , viburi na wasio na kwenye kutengeneza hila za wizi panapokuwa na fursa.
Mbinu wanayo ipigia mkakati ni

(1) kulipa pesa waajiriwa hewa ambao watajumuishwa kwenye zoezi bila kujitambua na majina yatakayotumika ni ya wake waliofanya interview na pia wengine walioshiriki mafunzo na kutochukuliwa.

(2) Uendeshaji wa zoezi kwa kuwapumzisha waajiriwa (ambapo wanakuwa hawalipwi siku za mapumziko) lakini kutoa malipo mfululizo ambapo malipo ya siku zote za mapumziko manguli hao watabeba na kutia kapuni

(3) Kulipa malipo tofauti kinyume na Yale ya 20,000/= yaliyoelekezwa ambapo baadhi watalipwa sahihi na baadhi hawatalipwa sahihi

(4) kuzuia malipo ya posho ya wawenyeviti wa mitaa/ vitongoji na hata baadhi yacwatendaji kwa hila mbalimbali ambapo wao kama wakurugenzi mwishoni watayaidhinisha na kushiba vizuri kabisa

Ni wajibu wa vyombo na mamlaka husika kufuatlia kwa ukaribu na kudhibiti haya.
Hapo namba 3 mbona huko Dodoma Jiji ni sh 30,000 kwa siku. Ukweli ni upi?
 
Back
Top Bottom