Haujatoa ufafanuzi wa huo mkanda wa jeshi na habari yako Mkuu umeruka tu juu juu
Hivi uhusiano uko vipi Mkuu naomba kaujuzi kidg
Duuuh hua unaota kiunoni au mpaka kuzunguka mabegaNi dalili zinazoonekana moja kwa moja kwa mtu mwenye virusi vya ukimwi,na huwa vina maumivu makali sana,
Kwanin asiende kupima apate uhakika zaidiNi mtoto wa babangu mkubwa
Mkanda wa jeshi una uhusiano mkubwa na maambukizi ya VVU lakini sio kila mkanda wa jeshi ni dalili za VVU
Anatakiwa apate ushauri wa kina kabla na baada ya vipimo ili maisha yaendeleeKwanin asiende kupima apate uhakika zaidi
Duuuh hua unaota kiunoni au mpaka kuzunguka mabega
Mkanda wa jeshi una uhusiano mkubwa na maambukizi ya VVU lakini sio kila mkanda wa jeshi ni dalili za VVU
kwa asilimia kubwa mwenye mkanda wa jeshi aweza kuwa mwathirika lakini asilimia chache sio waathirika.Habari wakuu,
Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .
Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.
Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,
Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.
Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,
Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.
Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.
Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
Pole sana kwa tatizo la ndugu yako. (Kuna watu hawashauriki na ukiwashauri ndiyo umeharibu kabisa)
kwani kafa?Njia yetu ni moja..nyuma yake tutafuata
kwani kafa?
Upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na mambo mengi sana!!!....Anaweza akawa yuko poa Mkuu?