Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkuu uko Sawa,ila naamini na uzoefu nilionao ,wala cjakosea akienda kupima lazima positive itokee,najua Nina uhakika na watu wa namna hii nimewahudumia sana
Mkanda wa jeshi una uhusiano mkubwa na maambukizi ya VVU lakini sio kila mkanda wa jeshi ni dalili za VVU
 
Ninamfahamu mtu aliyewahi kuugua huu ugonjwa na akapona lakini hakuwa na maradhi ya UKIMWI.

Nadhani ni ugonjwa unaoweza kumpata mtu yeyote japo % kubwa huwapata wenye maambukizi ya ngoma so nikusema hata huyu jamaa anaweza akaangukia ktk hili kundi la kwanza hapo juu.
 
Duh pole sana ndugu ni kweli mara nyingi mkanda wa jeshi huwapata watu wenye upungufu wa kinga mwlini na case nyingi huusiana na VVU. Ila ni bora kwenda kupima na kuhakikisha kama kuna kisabishi kingine.
 
Note: Si wote wenye mkanda wa jeshi wana maambukizi ya virusi vya ukimwi, kitu cha msingi endelea kumshawishi akubali kwenda hospitali apate vipimo sahihi ili kugundua ukweli.
 
Habari wakuu,

Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .

Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.

Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,

Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.

Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,

Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.

Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.

Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
kwa asilimia kubwa mwenye mkanda wa jeshi aweza kuwa mwathirika lakini asilimia chache sio waathirika.
Kuna jamaa ninamfahamu aliwahi kuwa na ugonjwa huo 2007, watu walizusha ni ngoma lkn ilikuwa kinyume chake, jamaa mzima hadi lei
Pole sana kwa tatizo la ndugu yako. (Kuna watu hawashauriki na ukiwashauri ndiyo umeharibu kabisa)
 
Back
Top Bottom