Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkuu nikuambie kitu tu kua binafsi ni mhudumu wa afya na nishakutana na watu karibia 8 wenye ukanda wa jeshi ila baada ya kunfanyia PITC (HIV) test majibu yakaja negative na hatimae akapata management nakuendelea vzur so namanisha kukuambia hivi sio kila mkanda wa jeshi unatokana na ukimwi , immunity ikishuka to max kwa sabbu yyte ile mtu anaweza kupata ukanda wa jeshi
 
Fafanua mkuu mkanda wa jeshi kwa maana aliuiba jeshini au aliununua mtumbani, kama una mashaka nae eb mpelekeni polisi sbb unaweza ukaona mkanda2 kumbe na A, k, 47 anamiliki
 


Usiwe na mashaka sana juu yake....jaribu kumuliza kama aliwahi ku act sinema za kibongo kwa kujifanya mwanajeshi na kuvaa mkanda kumbe akajiunguza. usikute ni kovu tu kwa ajili ya kuact bongo muvi, muulize.
 
Kwani Ni Kinga gani zilikushuka mkuu?
White blood cell sio synonymous na cd4.
 
Poleni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…