Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkuu nikuambie kitu tu kua binafsi ni mhudumu wa afya na nishakutana na watu karibia 8 wenye ukanda wa jeshi ila baada ya kunfanyia PITC (HIV) test majibu yakaja negative na hatimae akapata management nakuendelea vzur so namanisha kukuambia hivi sio kila mkanda wa jeshi unatokana na ukimwi , immunity ikishuka to max kwa sabbu yyte ile mtu anaweza kupata ukanda wa jeshi
 
Habari wakuu,

Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .

Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.

Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,

Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.

Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,

Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.

Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.

Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
Fafanua mkuu mkanda wa jeshi kwa maana aliuiba jeshini au aliununua mtumbani, kama una mashaka nae eb mpelekeni polisi sbb unaweza ukaona mkanda2 kumbe na A, k, 47 anamiliki
 
Habari wakuu,

Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .

Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.

Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,

Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.

Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,

Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.

Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.

Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli


Usiwe na mashaka sana juu yake....jaribu kumuliza kama aliwahi ku act sinema za kibongo kwa kujifanya mwanajeshi na kuvaa mkanda kumbe akajiunguza. usikute ni kovu tu kwa ajili ya kuact bongo muvi, muulize.
 
Umenena vyema niliwahi ambiwa Na dokta mmoja kuwa mtu et kinga ikishuka ni ukimwi niliogopa sana nikafanya FBP kinga yangu iko chini ya ile normal range nilipagawa hatari nikajua tayari apo ilikuwa 2014 lakini nilikuwa napitia msongo mkali sana wa mawazo nikaomba ushauri nikaambiwa nikaambiwa mawazo hushusha kinga ya mwili sikuamini nikasema kama ni ukimwi nitajua mbele ya safari maana kupima inahitaji moyo sana, 2018 nikarudi Hosp kufanya check up nikakuta zimerudi kwenye normal mhh nikaanza kuwa na maswali mengi kichwani mwisho wa siku nikaamua enda pima ili nijue status yangu nikakuta nipo Safi kabisa

Nilichojifunza: ugonjwa wowote kwa Sasa watu wanauhusianisha Moja kwa Moja na ukimwi hivo ukiumwa ni Bora ukacheck afya kuliko anza ishi kwa hofu apo ndipo utaendelea Fanya mwili udhofike zaidi kwa mawazo wakati huna hayo maradhi
Kwani Ni Kinga gani zilikushuka mkuu?
White blood cell sio synonymous na cd4.
 
Habari wakuu,

Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .

Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.

Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,

Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.

Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,

Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.

Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.

Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
Poleni sana
 
Back
Top Bottom