Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Haujatoa ufafanuzi wa huo mkanda wa jeshi na habari yako Mkuu umeruka tu juu juu
Mkanda wa jeshi maana ake anahisi tayari jamaa na ukimwi kwsbb dalili mojawapo ni kupata huo ugonjwa wa mkanda wa jeshi.
 
Hana maambukizi huyo, yupo mzee flani kijijini kwetu aliwahi kuugua huu ugonjwa akapewa dawa akapona na hakuwa na maambukizi hadi now anadunda mtaani tena mzee mchesh mno nabmwenye heshima kwa vijana na wazee wenzeka.

Uhakika zaidi mshawishi akapime.
 
Nawashauri huo mkanda wa jeshi apeleke jeshini kwa sababu wale wajeda wakimkuta amevaa madhara yake ni makubwa
 
Mkuu mkanda wa jeshi hauna uhusiano na ukimwi, mkanda waa jeshi husababishwa na kushuka kwa kinga mwilini, kwa hiyo kwa wale wanaougua Ukimwi huwatokea sababu kinga za mwili hushuka.

Wengine husababishwa na kuumwa tetekuwanga na kama haikutibika vizuri, virusi vya tetekuwanga huendelea kuwepo mwilini na huja kufumuka badae kama mkanda wa jeshi.

Na mkanda wa jeshi huambukiza, na ugonjwa unaotokea huwa tetekuwanga. Na ndiyo mana dawa za mkanda wa jeshi ni antiviral drugs. Halafu mkanda wa jeshi huitwa Shingles, sasa wengi huwa tunachanganya na Candidiasis
 
Tatizo la JF wengine wanaleta mizaha humu wakati wengine tunapata elimu
 
Unazingua ujue wewe.......mkanda wa jeshi ni jina la kitaalamu au ndo nini?eka hata picha basi?
 
Usije ukashangaa Wewe una VVU...afu jamaa mwenye Mkanda wa Jeshi hana VVU....apo ndo utajua Dunia inazunguka
 
Sio kila mkanda wa jeshi unatokana na HIV.
Kumbuka mkanda wa jeshi ulikuwepo hata kabla ukimwi haujatia timu bongo.
Masuala ya immunity yako complicated sana, na sio kila mtu unayemwona na huo mkanda basi amekanyaga miwaya. Kwa uhakika, ni madaktari pekee ndio wanaweza kutoa picha halisi.
 
Dah!! Huu ugonjwa usikie tu maana ukikupata huna pakupapasa, hujui wapi panakuuma na huelewi unaumwa nn!! Unajisikia vibaya hata huwezi kumuelezea mtu unaumwaje!! Nashukuru nilipona haraka Sasa sijui Kama sikupata utando wa ubongo maana nilishuka kimasomo😁😁😁😁
 
Upo sahihi sana mkuu. Ulichokiandika na nilichokifeel / kukishuhudia wakati naumwa ugonjwa huu ni sawa kabisa. Hata dawa ni hizo hizo.
Ila huu ugonjwa nilihisi kifo kinasogea kitandani mwangu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…