Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zitafakari njia zako maaana!!!!Ndugu wanaJF (wataalamu wa tiba). Napenda kufahamu endapo vyakula atumie vyakula gani ili kurahisisha uponaji? Nawasilisha.
DAWA YA KUTIBU MKANDA WA JESHI FANYA HIVI:Ndugu wanaJF (wataalamu wa tiba). Napenda kufahamu endapo kuna ukweli kwamba mtu akiugua ugonjwa uitwao mkanda wa jeshi anakuwa tayari ameshapata UKIMWI? Na endapo ana ugojwa huo afanyeje ili apone kwa urahisi? Kwa upande wa vyakula atumie vyakula gani ili kurahisisha uponaji? Nawasilisha.
Ndugu wanaJF (wataalamu wa tiba). Napenda kufahamu endapo kuna ukweli kwamba mtu akiugua ugonjwa uitwao mkanda wa jeshi anakuwa tayari ameshapata UKIMWI? Na endapo ana ugojwa huo afanyeje ili apone kwa urahisi? Kwa upande wa vyakula atumie vyakula gani ili kurahisisha uponaji? Nawasilisha.
...... mkanda wa jeshi unatibika kama unavyotibika UKIMWI.....
Explain hapo basi
Naomba uniorodheshee baadhi ya vyakula vinavyoharibu kinga ya mwili