Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unasababishwa na reactivation ya virus ajulikanae Kama Varicella Zoster ambaye analeta tetekuwanga utotoni.Pole sana mkuu,
ila nina swali, kwani mkanda wa jeshi una sababishwa na nini...?
Pole sana mdau wangu mkubwa wa riwaya. I pray for you and your family. Lkn ni bora pia ukafika hospital sio dispensary kwa vipimo vikubwa na tiba
Onana tena na daktari kwa ushauri zaidi na kama itakuwa ngumu kwa tiba za hospitali kutokana na hali ya ujauzito wake zipo baadhi ya tiba huwa hazidhuriani na hali yake 0715689004
mkanda wa jeshi huashiria kinga ya mwili iko chini.
Pambana mkuu, Fika hospitali angalau za ngazi ya wilaya kwa vipimo na matibabu.
Usimwache mkeo kwenda peke yake "mediko"
Haikuwa herpes zoster hiyo
Sasa Erithromycin naijua kwa ubora wake wa kushambulia bacteria ila sijui Kama inaongeza kinga ya mwili. Au kulitakiwa kuwe na dawa ingineyo?
mkanda wa jeshi huashiria kinga ya mwili iko chini.
Pambana mkuu, Fika hospitali angalau za ngazi ya wilaya kwa vipimo na matibabu.
Usimwache mkeo kwenda peke yake "mediko"
Mkuu wewe na mkeo mnaishi na VVU?
Mkuu tuna mtoto wa kwanza mwenye afya njema na miaka miwili kasoro. Hawezi kuwa alinidanganya maana cliniki nilihudhuria naye.Kapimeni damu kwanza mm navyo jua mkanda wa jeshi unawapata sana sana waathirika wa HIV nenda na mkeo hospital mkapime kwanza!!! Itakuwa ulioa kabla hamjaenda kupima ww unajiamin huna Ila mkeo atakuwa anakuficha MziziMkavu
Nenda hospitali na sio Zahanati, huko ndio una chance ya kukutana na daktari. Aliyemuona mkeo ni tabibu sio daktari.
Mkuu MziziMkavu hiyo page niliitembelea pia.