Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Kwa wenye elimu ya afya wanajua vzr sana jinsi ya mkanda wa jeshi inavyotokea mwilini,nina elimu ya afya najua ninachozungumza na nilikiona mkuu
kwa asilimia kubwa mwenye mkanda wa jeshi aweza kuwa mwathirika lakini asilimia chache sio waathirika.
Kuna jamaa ninamfahamu aliwahi kuwa na ugonjwa huo 2007, watu walizusha ni ngoma lkn ilikuwa kinyume chake, jamaa mzima hadi lei
 
Ndio anakoelekea
mara nyingine tutumiage akili kidogo, huyu jamaa hajapimwa na haijathitika kitabibu lkn wengine waneshapata majibu ni ugonjwa gani, kama haitoshi wewe umefikia hatua ya kumhesabu ni marehemu!
Hata kama anao haimanishi atakufa kesho, hivyo waweza kutangulia au mwingine kabla yake
 
Pole sana
mara nyingine tutumiage akili kidogo, huyu jamaa hajapimwa na haijathitika kitabibu lkn wengine waneshapata majibu ni ugonjwa gani, kama haitoshi wewe umefikia hatua ya kumhesabu ni marehemu!
Hata kama anao haimanishi atakufa kesho, hivyo waweza kutangulia au mwingine kabla yake
 
Ukipata taarifa mbaya kama hizi hata kama ulikuwa una dem kitandani mashine lazima inywee. Tuendelee kukumbushana Ukimwi bado upo, hakuna Demu wa kwenda naye nyama kwa nyama.
 

Attachments

  • 3718CCE5-C8F1-49A3-BEEC-938C0A75051C.jpeg
    3718CCE5-C8F1-49A3-BEEC-938C0A75051C.jpeg
    23.2 KB · Views: 63
Upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na mambo mengi sana!!!....
Umenena vyema niliwahi ambiwa Na dokta mmoja kuwa mtu et kinga ikishuka ni ukimwi niliogopa sana nikafanya FBP kinga yangu iko chini ya ile normal range nilipagawa hatari nikajua tayari apo ilikuwa 2014 lakini nilikuwa napitia msongo mkali sana wa mawazo nikaomba ushauri nikaambiwa nikaambiwa mawazo hushusha kinga ya mwili sikuamini nikasema kama ni ukimwi nitajua mbele ya safari maana kupima inahitaji moyo sana, 2018 nikarudi Hosp kufanya check up nikakuta zimerudi kwenye normal mhh nikaanza kuwa na maswali mengi kichwani mwisho wa siku nikaamua enda pima ili nijue status yangu nikakuta nipo Safi kabisa

Nilichojifunza: ugonjwa wowote kwa Sasa watu wanauhusianisha Moja kwa Moja na ukimwi hivo ukiumwa ni Bora ukacheck afya kuliko anza ishi kwa hofu apo ndipo utaendelea Fanya mwili udhofike zaidi kwa mawazo wakati huna hayo maradhi
 
Kwa wenye elimu ya afya wanajua vzr sana jinsi ya mkanda wa jeshi inavyotokea mwilini,nina elimu ya afya najua ninachozungumza na nilikiona mkuu
Hakuna usimtishe Na usijifanye mtabiri wacha apime ndo uthibitishe acha kupoint finger kwa mtu, hata kama una elimu ya afya wewe ni binadamu tu mwili wa binadamu unafanya kazi kwa namna ya kipekee sana Na ndio maana kuna case hupelekwa Hosp madaktari wanabaki wanaangaliana tu, muelimishe akapime Na sio kusema ameathirika wakati hujampima,acheni hii unyanyapaa
 
Back
Top Bottom