Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
- #41
Kumbuka wana mazoez wale sio kila kitu scripted ,kile kipigo aliumia kweli ,Mi siamanigi sana hii kitu, Yaani kipigo chote cha kwenye kitu hakuvunjika, kipigo cha kwenye machela bado Leo amekompete na kushinda? Mi nikishindwa kuangalia usiku nikawaacha mabinti wanaangalia, nilichoka, nimeangalia Review mechi ya koffi na akina Natalia.
Ila the Beast anatisha sana.