Mkandarasi aliepewa kazi ya ujenzi wa BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta, anyang'anywe haraka sana kabla hajatupotezea muda

Mkandarasi aliepewa kazi ya ujenzi wa BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta, anyang'anywe haraka sana kabla hajatupotezea muda

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Niaje waugwana,

Huyu mkandarasi haijulikani alipewa tenda hii ya ujenzi BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta kwa sifa zipi. Toka tarehe ya ujenzi wa barabara hiyo ilipotangazwa kuanza, hadi leo ni miezi sasa, lakini jamaa utafikiri ndio kwanza wana siku 3 tu. Hakuna hatua yoyote ya maana ya ujenzi iliyopigwa.

Wenzao waliokabidhiwa kile kipande kingine kutoka Ubungo mataa, Mwenge hadi Posta wameshafika mbali na wanaonesha hari ya kumaliza kazi yao mapema kabla hata ya muda waliopewa, lakini hawa wa Mwenge to Tegeta bado wanasua sua tu hata Tangibovu hawajaivuka na miezi inazidi kukatika.

Nina hakika hawa watakuja kukifanya hiki kipande kikawie, kama vilivyokawia vile vya phase 2 na phase 3 ambavyo mpaka leo wakandarasi bado wanasua sua tu kumaliza wanashindwa.

Kama wakiendelea kujenga kwa mwendo huu wa konokono, basi nashauri wanyang'anywe ujenzi huu mapema na kukabidhiwa wale wengine wanaoendelea na ujenzi kwa kasi inayotakiwa.

Asanteni.
 
Wenzao waliokabidhiwa kile kipande kingine kutoka Ubungo mataa, Mwenge hadi Posta wameshafika mbali na wanaonesha hari ya kumaliza kazi yao mapema kabla hata ya muda waliopewa, lakini hawa wa Mwenge to Tegeta bado wanasua sua tu hata Tangibovu hawajaivuka na miezi inazidi kukatika.
Hiii barabara ya Mwenge- Victoria inebomolewa tena wakati imejengwa kwa mambilioni wakati wa Magufuu hata miaka mtano bado?
 
Hiyo tenda ikichunguzwa utakuta madudu kibao, tuliowapa dhamana ndio wanatufelisha.
Hili ndio tatizo letu waafrika. Unakuta miradi mikubwa inayohitaji elimu, uzoefu na utaalam wa hali ya juu kama hii tunawapa watu wa hovyo, eti kisa ni wa chama tawala, au kuna share yao na kampuni inayojenga.

Mwisho wa siku wakiharibu wanashindwa kuwajibishwa sababu ya nafasi zao ndani ya chama na serikali.
 
Niaje waugwana,

Huyu mkandarasi haijulikani alipewa tenda hii ya ujenzi BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta kwa sifa zipi. Toka tarehe ya ujenzi wa barabara hiyo ilipotangazwa kuanza, hadi leo ni miezi sasa, lakini jamaa utafikiri ndio kwanza wana siku 3 tu. Hakuna hatua yoyote ya maana ya ujenzi iliyopigwa.


Wenzao waliokabidhiwa kile kipande kingine kutoka Ubungo mataa, Mwenge hadi Posta wameshafika mbali na wanaonesha hari ya kumaliza kazi yao mapema kabla hata ya muda waliopewa, lakini hawa wa Mwenge to Tegeta bado wanasua sua tu hata Tangibovu hawajaivuka na miezi inazidi kukatika.

Nina hakika hawa watakuja kukifanya hiki kipande kikawie, kama vilivyokawia vile vya phase 2 na phase 3 ambavyo mpaka leo wakandarasi bado wanasua sua tu kumaliza wanashindwa.

Kama wakiendelea kujenga kwa mwendo huu wa konokono, basi nashauri wanyang'anywe ujenzi huu mapema na kukabidhiwa wale wengine wanaoendelea na ujenzi kwa kasi inayotakiwa.

Asanteni.
Huo mwendokasi ungeenda hadi Bagamoyo
 
Huwa naona wanachimba katikati ya barabara kumbe ndio mkandarasi wa mwendokasi yupo kazini, hapo ni rushwa tu imetembea kuwapa hiyo tenda, taifa linaloongozwa na viongozi waliofeli huku wananchi wakiwatazama tu.
 
Hiii barabara ya Mwenge- Victoria inebomolewa tena wakati imejengwa kwa mambilioni wakati wa Magufuu hata miaka mtano bado?
Hiyo barabara ilipokuwa inajengwa, eneo la katikati liliachwa wazi bila kujengwa kitu kwa ajili ya ujenzi wa mradi huu wa BRT. Kinachosikitisha, waliopewa tenda hiyo ya ujenzi kutoka Mwenge to Tegeta wameonekana kusua sua mapema sana kama kwamba hawana uzoefu wa ujenzi wa barabara hizi.
 
Huwa naona wanachimba katikati ya barabara kumbe ndio mkandarasi wa mwendokasi yupo kazini, hapo ni rushwa tu imetembea kuwapa hiyo tenda, taifa linaloongozwa na viongozi waliofeli huku wananchi wakiwatazama tu.
Yani kazi yao ni kuchimba na kuchimbua kama mganga wa kienyeji anaetaka kufukia irizi uwanjani.
 
Niaje waugwana,

Huyu mkandarasi haijulikani alipewa tenda hii ya ujenzi BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta kwa sifa zipi. Toka tarehe ya ujenzi wa barabara hiyo ilipotangazwa kuanza, hadi leo ni miezi sasa, lakini jamaa utafikiri ndio kwanza wana siku 3 tu. Hakuna hatua yoyote ya maana ya ujenzi iliyopigwa.


Wenzao waliokabidhiwa kile kipande kingine kutoka Ubungo mataa, Mwenge hadi Posta wameshafika mbali na wanaonesha hari ya kumaliza kazi yao mapema kabla hata ya muda waliopewa, lakini hawa wa Mwenge to Tegeta bado wanasua sua tu hata Tangibovu hawajaivuka na miezi inazidi kukatika.

Nina hakika hawa watakuja kukifanya hiki kipande kikawie, kama vilivyokawia vile vya phase 2 na phase 3 ambavyo mpaka leo wakandarasi bado wanasua sua tu kumaliza wanashindwa.

Kama wakiendelea kujenga kwa mwendo huu wa konokono, basi nashauri wanyang'anywe ujenzi huu mapema na kukabidhiwa wale wengine wanaoendelea na ujenzi kwa kasi inayotakiwa.

Asanteni.
Unamjua mwenye kampuni?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Huo mwendokasi ungeenda hadi Bagamoyo
Kama imeshindikana kujengwa barabara za njia 6 tu kutoka Dar hadi Bagamoyo, unafikiri hilo la mwendokasi ndo litawezekana!!
 
Hili ndio tatizo letu waafrika. Unakuta miradi mikubwa inayohitaji elimu, uzoefu na utaalam wa hali ya juu kama hii tunawapa watu wa hovyo, eti kisa ni wa chama tawala, au kuna share yao na kampuni inayojenga.

Mwisho wa siku wakiharibu wanashindwa kuwajibishwa sababu ya nafasi zao ndani ya chama na serikali.
Nchi ya kijinga saana hii
 
Back
Top Bottom