Mkandarasi aliepewa kazi ya ujenzi wa BRT phase 4 kutoka Mwenge hadi Tegeta, anyang'anywe haraka sana kabla hajatupotezea muda

Kuna wanaume wapo slow kama misukule
 
Kuna wanaume wapo slow kama misukule
Hii kampuni iliyopewa huo mradi inaongoza kwa uslow mkuu. Inaonekana mwaka utakata bila kumaliza hata kilometer 1.
 
Una hakika anasuasua kwa uzembe wake? Unajua mpaka sasa amepewa fedha kiasi gani? Ukiwa na majibu sahihi ya swali la pili anza kumlaumu mmoja wapo kati ya mtoa fedha au mkandarasi.
 
Una hakika anasuasua kwa uzembe wake? Unajua mpaka sasa amepewa fedha kiasi gani? Ukiwa na majibu sahihi ya swali la pili anza kumlaumu mmoja wapo kati ya mtoa fedha au mkandarasi.
Team ikifanya uzembe uwanjani, sisi tutawalaumu wachezaji na sio wafadhili wa team. Kisha hao wachezaji ndio watakaotupa sababu zao za kufanya uzembe kuwa zinasababishwa na wao wachezaji, au mwenye team, au mfadhili au kocha.
 
Safi basi nenda mahakamani fungua kesi , kwasababu Kodi yako inatumika vibaya
Nimetanguliza kwanza tahadhari. Hatua isipochukuliwa, nitakwenda mahakamani kuishtaki kampuni kwa uzembe wao.
 
Jamaa makanjanja sana! Hata wafanyakazi wanaofanya kazi pale wanapigika tu hawapewi mikataba yoyote . Pia wanalipa elfu 12,500 kwa day badala ya 16, 155 kama kima cha chini kinavyo taka . wenzao wa kile kipande cha Mawasiliano -Mwenge -Posta unapoitwa tu siku ya kwanza unapatiwa mkataba siku hiyo hiyo wenye kima cha chini laki 4na20


Nashangaa sana jamaa hawa wanajenga ki local sana
 
Barabara ya Kawawa,Kilwa,Uhuru,Nyerere,Mandela zote kapewa Mchina tena kampuni moja
Hiyo kampuni ya mchina huenda kuna kigogo mmoja ndani ya chama au serikali ana share yake, ndomaana tenda zote zimepewa kampuni moja.
 
Inaonekana hii kampuni iliyopewa kipande cha Mwenge to Tegeta ina mkono wa mtu mzito kutoka serikalini au chamani ambae tayari ashachukua pesa na kugawana na mwenye kampuni.

Kisha kiasi kidogo sana kilichobaki, ndo hicho wanachookota okota vijana wenye njaa mtaani na kuwapa vibarua visivyoendana na ukubwa wa kazi yao. Matokeo yake vijana wanashindwa kufanya kazi kwa kujituma kwani wanacholipwa hakiendani na kazi, na wengine wanakimbia hivyo kufanya wanaojenga kuwa wachache ikilinganishwa na wale wa Sam Nujoma road to Bagamoyo road via Ally Hassan Mwinyi.
 
Vipi tukupe wewe tenda????
Maana ndio lengo lako. Ungeuliza hata contract ni muda gani???? Au nenda pale super near lugalo kuna office zao wanaitwa "shandong ".
 
Wameambiwa wakamilishe kwa haraka kipande cha Mwenge hadi Njia Panda ya Kawe, ndio sababu unaona kama wanachelewa ila clearance wameshafika Makonde 😂😂
 
Kwa bahati mbaya au nzuri SHANDONG anayejenga Mwenge - Kawe ndio huyo huyo SICHUAN (SBRG) anayejenga Ubungo to kwenda KIMARA......Sawa na ilivyo SINOHYDRO na STECOL yaaani Tanzania raha tupu! Mdomo koma niko ibadani
 
Mkandarasi wa BRT PHASE 2-MBAGALA,PHASE 3-GONGO LA MBOTO na -PHASE 4-TEGETA ni huyo huyo mmoja.....
 
Nani atamfukuza?
Hiyo 10% waliyokula ndio inampa kiburi.
Hawana ujanja hao nakwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…