Mkandarasi anayetakiwa Kujenga Daraja la Mto Mpiji linalounganisha Mbweni na Mapinga anachelewa nini kuanza Ujenzi?

Mkandarasi anayetakiwa Kujenga Daraja la Mto Mpiji linalounganisha Mbweni na Mapinga anachelewa nini kuanza Ujenzi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama kuna Wahusika wa Ujenzi wa Daraja hilo hapa JamiiForums nitashukuru nikipata Mrejesho wao kwani GENTAMYCINE nitapenda hata nyakati za Mvua Kubwa na Mafuriko niendelee kuwa Huru Kuvuka hilo Daraja na Kuwatembelea Makomandoo ( Wanamedani Waliotukuka ) walioko Jirani na Daraja hilo na Kukutana na wale ambao huwa Wanarandaranda katika Baa maeneo ya Kiembeni, Madiba, Palestina, Masaki, Makao na Baharini kwa Wavuvi panapoitwa Mchango wa Hela.
 
Mkuu mbona unatumia nguvu kubwa sana kuwaaminisha wana jf unaishi dar?.. why are u so much obsessed with Dar? Umesikia mtu kwenye redio ana toa malalamiko yake then umeyabeba na kuja kuyapost humu ili kuwahadaa wana jf wafikirie na wewe UNAISHI Dar wakati wana jf wameshakushtukia UNAISHI porini bunda vijijini. Mkuu jikubali please. Wewe hauishi Dar wala hujawahi kufika dar...

Eti mto mpiji
 
Mkuu mbona unatumia nguvu kubwa sana kuwaaminisha wana jf unaishi dar?.. why are u so much obsessed with Dar? Umesikia mtu kwenye redio ana toa malalamiko yake then umeyabeba na kuja kuyapost humu ili kuwahadaa wana jf wafikirie na wewe UNAISHI Dar wakati wana jf wameshakushtukia UNAISHI porini bunda vijijini. Mkuu jikubali please. Wewe hauishi Dar wala hujawahi kufika dar...

Eti mto mpiji
Ukiacha Kunukudiwa utabadilika sawa?
 
Kama kuna Wahusika wa Ujenzi wa Daraja hilo hapa JamiiForums nitashukuru nikipata Mrejesho wao kwani GENTAMYCINE nitapenda hata nyakati za Mvua Kubwa na Mafuriko niendelee kuwa Huru Kuvuka hilo Daraja na Kuwatembelea Makomandoo ( Wanamedani Waliotukuka ) walioko Jirani na Daraja hilo na Kukutana na wale ambao huwa Wanarandaranda katika Baa maeneo ya Kiembeni, Madiba, Palestina, Masaki, Makao na Baharini kwa Wavuvi panapoitwa Mchango wa Hela.
Umeandika pumba tupu
 
Mkuu mbona unatumia nguvu kubwa sana kuwaaminisha wana jf unaishi dar?.. why are u so much obsessed with Dar? Umesikia mtu kwenye redio ana toa malalamiko yake then umeyabeba na kuja kuyapost humu ili kuwahadaa wana jf wafikirie na wewe UNAISHI Dar wakati wana jf wameshakushtukia UNAISHI porini bunda vijijini. Mkuu jikubali please. Wewe hauishi Dar wala hujawahi kufika dar...

Eti mto mpiji
Mtoa mada sio mzima kichwani
 
Umeandika pumba tupu
Kuulizia Ujenzi wa Daraja la Mto Mpiji utaanza lini ni Kuandika Pumba? Watoto wa Kiume mkiambiwa acheni tabia za Kunukudiwa hovyo kwani zinawaharibu Akili hamsikii na hamtaki Kuacha.
 
Kuulizia Ujenzi wa Daraja la Mto Mpiji utaanza lini ni Kuandika Pumba? Watoto wa Kiume mkiambiwa acheni tabia za Kunukudiwa hovyo kwani zinawaharibu Akili hamsikii na hamtaki Kuacha.
Haupo Dar na hujawahi fika Dar wacha blah blah wewe jamaa
 
Hayati Magufuli alipokuwepo Ujenzi ulikuwa unakaribia kuanza je, nini kimesababisha baada ya Kufariki tu Ujenzi umesimama na Daraja lipo lipo tu na hakuna Kinachoendelea?
Kaka sasa hiv wanatuona manyani hizo pesa bi tozo anajenga kwao pemba
 
🤣🤣🤣 anadhani hatujui kama hajawahi fika Dar. Anatupigia story za kwenye uchambuzi wa magazeti.
Yaani unatumia ID's zako nyingi nyingi Kupambana na Mimi ukijua kuwa nina Akili fupi kama Wewe na sitojua.

Unajisikiaje Kupambana nami GENTAMYCINE kwa ID's zako mbalimbali ila bado tu huniwezi na nakukabili vilivyo?
 
Yaani unatumia ID's zako nyingi nyingi Kupambana na Mimi ukijua kuwa nina Akili fupi kama Wewe na sitojua.

Unajisikiaje Kupambana nami GENTAMYCINE kwa ID's zako mbalimbali ila bado tu huniwezi na nakukabili vilivyo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom