Mkandarasi anayetakiwa Kujenga Daraja la Mto Mpiji linalounganisha Mbweni na Mapinga anachelewa nini kuanza Ujenzi?

Mkandarasi anayetakiwa Kujenga Daraja la Mto Mpiji linalounganisha Mbweni na Mapinga anachelewa nini kuanza Ujenzi?

Hapa unaongelea chuo cha anga sio chuo cha makomandoo
Kilichopo pale ni Chuo cha Kimataifa cha Makomandoo na Askari wa Vikosi vya Kulinda Amani Congo DR, South Sudan na Lebanon acha Ubishi na Kukurupuka na waache Wanaojua wakujuze yale usiyoyajua.
 
Back
Top Bottom