DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

James Hadley Chase

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
1,984
Reaction score
3,695
f2b6b6b502ac800b0a020fcde098fe80
Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_140657.jpg
Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_141210.jpg

20240811_141400.jpg
Huo ndio muonekano wa jengo la kituo cha afya bulige ambacho kimeng'olewa milango na mafundi kwa madai ya kutokukipwa fedha zao tangu mwaka jana mwezi wa nane

20240811_141638.jpg

Majibu ya DC ~ DC Mboni Mhita: Mkandarasi aliyeng'oa milango kisa deni aliirudisha na shughuli zinaendelea kama kawaida

 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
umetumia common sense au ndio sheria iko hivyo?
 
Hiyo sehemu iliyoegemez
wa mbao haikuwa na mlango kama picha inavyoonesha, pangeng'olewa mlango tungeona matobo ukutani lakini tunaona weusi uliosababishwa na mikono ya watu wanaopita hapo. Mnaochangia Posti hii itazameni kwa makini picha kwa kuikuza ili muwe na uhakika wa mnachochangia.
 
Common sense is not oftenly common into me.Sheria na ujingaujinga mara nyingi haviendani.
nshawah kubeba lizaga langu kwenye hizo ofis za umma baada yakuletewa ugaigai nililipwa chap sana ni vile tu huna uzoefu na hizi mbanga , hio hela ilishatolewa kitambo wahuni wanajikopeshaga hizo hela ukianza ku draw attention unalipwa chap upite hivi
 
f2b6b6b502ac800b0a020fcde098fe80

Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_140657.jpg

Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_141210.jpg

20240811_141400.jpg

Huo ndio muonekano wa jengo la kituo cha afya bulige ambacho kimeng'olewa milango na mafundi kwa madai ya kutokukipwa fedha zao tangu mwaka jana mwezi wa nane

20240811_141638.jpg

Nadhani Lucas anamaelezo zaid ngoja nimuite Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom