Joseph Kasa-Vubu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 356
- 550
Bulige wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShinyangaBulige wapi?
"Mama anauburuza mwingi" alisikika mwehu mmoja![]()
Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
![]()
Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
![]()
![]()
Huo ndio muonekano wa jengo la kituo cha afya bulige ambacho kimeng'olewa milango na mafundi kwa madai ya kutokukipwa fedha zao tangu mwaka jana mwezi wa nane
![]()
Haujakutana na ujinga wa force acount na uduanzi wa watumishi wa halmashauri wanavyojiona miungu..Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
ShinyangaBulige wapi?
Sheria ndio iko hivyo.umetumia common sense au ndio sheria iko hivyo?
Kama walifanya kwa kumuonea,sawa.Ila,mkataba ulisemaje kuhusu malipo?Haujakutana na ujinga wa force acount na uduanzi wa watumishi wa halmashauri wanavyojiona miungu..
Nawaelewa sana walichokipitia hao wadau
Nawewe utatoa fidia kwa kuchelewesha malipo?Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
Watumishi wa serikali wezi sana, mwaka mzima mtu anadai chake si uonevu huu?Njia waliyotumia siyo sahihi kwa sababu haiwasaidii na badala yake inawaongezea hasara. Hekima ilitakiwa itumike kufikisha malalamiko yao katika ngazi mbalimbali ili kupata haki yao.
Kuti kavu? Nani wa kumchukulia hatua mwenzie?That was a bold act.
Ila kama kweli fedha zimetoka na hazijawafikia walengwa basi kuna watu wamekalia kuti kavu.
![]()
Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
![]()
Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
![]()
![]()
Huo ndio muonekano wa jengo la kituo cha afya bulige ambacho kimeng'olewa milango na mafundi kwa madai ya kutokukipwa fedha zao tangu mwaka jana mwezi wa nane
![]()
Mkataba lazima useme ukimaliza kazi utalipwa fedha mlizokubaliana.wakamatwe kwa uhujumu...
kwani mkataba wa kazi hiyo unasemaje?
Bulige si ya kahama hii?Halmashauri ya Msalala, mkoa wa Shinyanga
Jasho linauma waitoe tuKakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.