DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
f2b6b6b502ac800b0a020fcde098fe80

Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_140657.jpg

Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_141210.jpg

20240811_141400.jpg

Huo ndio muonekano wa jengo la kituo cha afya bulige ambacho kimeng'olewa milango na mafundi kwa madai ya kutokukipwa fedha zao tangu mwaka jana mwezi wa nane

20240811_141638.jpg

"Mama anauburuza mwingi" alisikika mwehu mmoja
 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
Haujakutana na ujinga wa force acount na uduanzi wa watumishi wa halmashauri wanavyojiona miungu..
Nawaelewa sana walichokipitia hao wadau
 
Ignorance of the law excuses not,and whatever is attached to the land belongs to it,!!! Wamekwisha hao mafundi uchwara ,,pole Yao lakini
 
umetumia common sense au ndio sheria iko hivyo?
Sheria ndio iko hivyo.

Ndio maana kuchukua kandarasi za ujenzi wa ofisi au miradi ya serikali inataka connection,maana ni kama betting,ukiishajenga tu ofisi tayari sio mali yako tena,ukifanya kama jamaa ni uhalifu unafanya.

Kazi yoyote ya umma inaambatana na wito kwanza.
 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
Nawewe utatoa fidia kwa kuchelewesha malipo?
 
f2b6b6b502ac800b0a020fcde098fe80

Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_140657.jpg

Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
20240811_141210.jpg

20240811_141400.jpg

Huo ndio muonekano wa jengo la kituo cha afya bulige ambacho kimeng'olewa milango na mafundi kwa madai ya kutokukipwa fedha zao tangu mwaka jana mwezi wa nane

20240811_141638.jpg


Utapeli upo mpka unashangaa
 
wakamatwe kwa uhujumu...
kwani mkataba wa kazi hiyo unasemaje?
Mkataba lazima useme ukimaliza kazi utalipwa fedha mlizokubaliana.
Sasa umemaliza na hawakulipi huko ni tayari kuvunja mkataba.
Embu tuache kushabikia mambo ya hovyo ya baadhi ya watumishi wa umma.
Yaani hayo ndio unakuta jitu linakosea ukilikosoa kwa ukali linakuja juu linasema eti NIKOSOE KWA BUSARA AU HEKIMA
 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
Jasho linauma waitoe tu
 
Back
Top Bottom