DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Umeandika yale walopaswa kumfanyia na wakashindwa means wakakosa utu japo ni haki yake.

Pili umeeleza vema namna alivyoshindwa kuzuia hasira zake (hasara juu ya hasara).

Nadhani hii ishu ifike hatua serikali ithamini juhudi na uwajibikaji wa hawa mafundi wazawa.

Wanawatumia kwa bei za hasara sana na bado hawapewi stahiki zao kama inavyotakiwa.

Hata wakipewa hua wanapewa kwa muda usomwafaka.
Umefafanua vyema,Kuna mama alipika chakula kwa sherehe za halmashauri flan aisee alipata ile hela baada ya mwaka

Watoa huduma wazawa wanadharaulika sana.
 
Sheria ndio iko hivyo.

Ndio maana kuchukua kandarasi za ujenzi wa ofisi au miradi ya serikali inataka connection,maana ni kama betting,ukiishajenga tu ofisi tayari sio mali yako tena,ukifanya kama jamaa ni uhalifu unafanya.

Kazi yoyote ya umma inaambatana na wito kwanza.
Unaonekana ni kazi yako kuwanyanyasa wakandarasi wa ndani. Huoni shida mtu kafanya kazi alafu halipwi kwa muda mrefu?

Lioneni hili
 
Umefafanua vyema,Kuna mama alipika chakula kwa sherehe za halmashauri flan aisee alipata ile hela baada ya mwaka

Watoa huduma wazawa wanadharaulika sana.

Inasikitisha sana mkuu

Huu mfumo unaathiri sana ndg zetu na gharama zao.

Nimetumia neno "mfumo" kwamaana hizi kesi imekua ni kama janga.

Yaani kila apatae zabuni serikalini kupata stahiki zake ni process ndefu sana.

Cjui hii imekaaje
 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
tatizo kubwa sana kufanya kazi za kandarasi na sirikali[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
unakopa,unajenga kwa mikopo mikubwa mwisho wa siku unaanza kuzunguahwa tu kulipwa....
 
Back
Top Bottom