King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,145
- 4,293
Mmmmmh haya🏃♀️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadhulumiwi mtu.Atalipwa ila asilete usela nondo.Serikali siyo vicoba.Jasho linauma waitoe tu
Kufanya biashara na taasisi za serikali unaweza kufa kwa presha. Miaka fulani rafiki yangu alipata tenda ya kusupply vipuri kwenye halmashauri fulani akadhani ameula kumbe ameliwa. amepeleka vipuri amedai ile pesa zaidi ya mwaka. mpaka analipwa nako alitoa rushwa yani hakuna faida aliyopata isipokuwa hasara tu.Hasira hasara za hao mafundi..pesa zikiwa tayari itatakiwa kufanyika ukaguzi kabla ya malipo..watakuja kuyaweka tena
mpaka mtu anafikia hatua ya kung'oa anakua kishajiridhisha kuna uhuni umetokea, kama hela hela ilikua imetoka na imeliwa kuna mtu lazima ajinyee kama hela haijatoka na mkandaras kaleta wenge lazima mkandaras ajinyeeSheria ndio iko hivyo.
Ndio maana kuchukua kandarasi za ujenzi wa ofisi au miradi ya serikali inataka connection,maana ni kama betting,ukiishajenga tu ofisi tayari sio mali yako tena,ukifanya kama jamaa ni uhalifu unafanya.
Kazi yoyote ya umma inaambatana na wito kwanza.
Yes exactly. Anapwaya kwenye kiti chake.Aibu kwa mkurugenzi
Hapo unakuta ku sign tu cheki ya malipo anajizungusha zungushaYes exactly. Anapwaya kwenye kiti chake.
Ni kweli kabisa. Wewe Ukitaka ufilisike LEO, basi we jiingize tu kwenye kufanya kazi za zabuni za Serikali. Hakika Viatu vyako vitaisha soli na kichwani mwako unaweza kuchizika kimasihara.Hapa ndipo pananiogopesha sana kufanyia kazi zabuni za serikali
Fedha zinakuwa zimeidhinishwa lakini lile faili la Miradi lenye malipo yako ndani yake (Hundi) halifikishwi kwake n time na likifikishwa linawekwa chini kabisa kule last but one; na yeye kwa uzembe hafuatilii. Vile vibinti kule fedha na Masjala vinatoa majibu mepesi yenye KERO as if umekuja kuvitongoza. Ukiamua kwenda in Person kwa DED, yule PS anakwambia hayupo, au yuko kikaoni au ana wageni.Hapo unakuta ku sign tu cheki ya malipo anajizungusha zungusha
Huku wakubwa wakinunuliana mashangingiMuonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo
Mjuaji kwenye mali yake? Mali inakuwa yako ukishailipia ja kukabidhiwa.Kakosea.Hilo ni kosa na ni hujuma kisheria.Ameenda kuharibu jengo la umma na si kung'oa milango yake.Alipoweka tu hiyo milango(whatever)haikua yake tena.Ni mali ya umma.Akionewa huruma atalipwa na kuitengeneza upya.Akikutana na mimi bush-lawyer,namtupa geto/mung'anda,atatengeneza upya kwa gharama zake na atatoa fidia.Sipendi mtu mjuaji.
Sijui wanataka hawa mafundi waishi vipi?mbona tenda kubwa mnawalipa wageni before kazi kuanza?kwanini isiwe hivyo kwa hawa wakandarasi wazawa.
Kisheria amefanya kosa ila,mnawaonea hawa watu,
Wanaujuzi hawana elimu.
How broThread closed!
How bro