DOKEZO Mkandarasi wa Reli ya SGR ameishiwa Mafuta ya Diesel, Mradi umesimama, hatufanyi chochote

DOKEZO Mkandarasi wa Reli ya SGR ameishiwa Mafuta ya Diesel, Mradi umesimama, hatufanyi chochote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sa100 hii miradi hana nia nayo mpaka anaondoka hakuna utakao kamilika.
 
Siku zote mwenye mradi akiondoka na miradi hufa.
Hakuna aliyepo anaendeleza alichokikuta
 
Haraka ya Nini kuwafungia watu njia zao za asili kwa kuwawekea fence fence ilitakiwa mwishoni kabisa Leo watu wanapata tabu sana kuvuka upande wa pili wa reli kwa sababu ya uzio bila kuacha watu na bodaboda sehemu za kupita kwa kuziba pote sababu wao wanakaa masaki na Osterbay
 
Shida wahuni wakishinda Tenda wanatoa % kwa hao waliowasaidia kupata hiyo kazi wakiamini watapata faida kumbe kwenye hizi kazi hasa zinazohusisha manunuzi mengi bidhaa zinatoka Nje ya Nchi inakua tatizo kidogo kila mabadiliko ya rate ya usd yanapotokea na sijui Serikali inawasaidia vip hawa Wakandarasi kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei wanayopandisha kila siku...waliingia mkataba bei ya Diesel ilikua Tsh 1735 leo hii Diesl ipo Elfu tatu na ushee hivi kama hakuna makubaliano mengine hapo lazima wachemshe na walivyo wajanja wakifukuzwa wanajua watalipwa 30m nje ya Mahakama. Serikali ili msiendelee kupoteza hela kwa kulipa huko kaeni na hiyo Kampuni muone mnatatua vipi hilo tatizo kuliko likikua itakua tatizo zaidi..
Kumbe watu wenye maarifa bado wapo humu, maan kuna mwingne atakuja kushusha lawama kwa serikali ya Chama tawala
 
Huu mradi umekufa na maghufuli wazee wa malori na mabus sidhani Kama wataukuacha uendelee.
Mradi wa reli SGR na Tazara ,bomba la mafuta tazama ni tishio kwa biashara za GSM,lake oil,oilcom,, Esther
 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo kwenye uhakika wa ajira tupotupo tu.

Mchongo upo hivi, kwa siku kadhaa sasa kazi zimesimama, hatufanyi chochote cha maana kwa kuwa mafuta ya Disel kwa ajili ya kuendeshea mitambo hayapo.

Uongozi umetuambia wazi kuwa Disel ndio ishu lakini hilo haliwezi kuwekwa wazi badala yake wametangaza kufanya maamuzi mengine ya kupunguza muda wa kufanya kazi.

Tumewekewa tangazo kuhusu kupunguzwa muda wa kufanya kazi, lakini ukweli ni kuwa hata huo muda ambao tunaenda kazini hatufanyi chochote.

Serikali iangalie huu mradi kwa ukaribu, ni wa kwetu Watanzania, hivyo zigo lote likiachwa kwa Mkandarasi bila kujali ana mapungufu au la.
Ehhh! Mungu saidia hii ngozi nyeusi walau tutoke hapa tulipo. Kwanini mambo yetu yanakwama kila tukifurukuta? Ni kweli sisi tumelaaniwa?
 
Mimi niseme wazi, huu mradi nilipata utata baada ya kusoma habari fulani kuhusu kampuni ya KORAIL na hawa YAPI MERKEZI wajuzi mtanisaidia kama nipo sahihi. Pia, huwa nayaona magari ya KORAIL kwenye mkoa fulani hivi.

Kwamba, serikali ya Tanzania ilisaini mkataba wa SGR na KORAIL, halafu hao KORAIL wakawapa Yapi Merkez! Hapa tayari kuna halufu ya udalali. Yaani kuna wabongo ndio wanaimiliki YAPI MERKEZ, au kwa namna nyingine kuna watu kati (middlemen) ambao ni wabongo waliunganisha dili kati ya KORAIL,. SERIKALI na YAPI MERKEZ.

Samahanini kama nitakuwa nilipotoka kuhusu KORAIL, basi mtanisahihisha kuhusu uhusika wa KORAIL katika huu mradi wa SGR.

KORAIL ni kampuni kutoka Korea Kusini.
 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo kwenye uhakika wa ajira tupotupo tu.

Mchongo upo hivi, kwa siku kadhaa sasa kazi zimesimama, hatufanyi chochote cha maana kwa kuwa mafuta ya Disel kwa ajili ya kuendeshea mitambo hayapo.

Uongozi umetuambia wazi kuwa Disel ndio ishu lakini hilo haliwezi kuwekwa wazi badala yake wametangaza kufanya maamuzi mengine ya kupunguza muda wa kufanya kazi.

Tumewekewa tangazo kuhusu kupunguzwa muda wa kufanya kazi, lakini ukweli ni kuwa hata huo muda ambao tunaenda kazini hatufanyi chochote.

Serikali iangalie huu mradi kwa ukaribu, ni wa kwetu Watanzania, hivyo zigo lote likiachwa kwa Mkandarasi bila kujali ana mapungufu au la.
Hongera sana mzalendo wa kweli 🙏🙏🙏
 
Inasikitisha sana,hii miradi kukamilika utawala wa sa100 sahauni
 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo kwenye uhakika wa ajira tupotupo tu.

Mchongo upo hivi, kwa siku kadhaa sasa kazi zimesimama, hatufanyi chochote cha maana kwa kuwa mafuta ya Disel kwa ajili ya kuendeshea mitambo hayapo.

Uongozi umetuambia wazi kuwa Disel ndio ishu lakini hilo haliwezi kuwekwa wazi badala yake wametangaza kufanya maamuzi mengine ya kupunguza muda wa kufanya kazi.

Tumewekewa tangazo kuhusu kupunguzwa muda wa kufanya kazi, lakini ukweli ni kuwa hata huo muda ambao tunaenda kazini hatufanyi chochote.

Serikali iangalie huu mradi kwa ukaribu, ni wa kwetu Watanzania, hivyo zigo lote likiachwa kwa Mkandarasi bila kujali ana mapungufu au la.
Mm naona huo mradi kuna watu hawataki uishe kabisa,kwa sababu zao wenyewe.
 
Mbona mchina wa lot ya Mwanza hana makelele na anapiga kazi kama kawaida! kwa nini walichukuwa mkandarasi asiekuwa na mtaji? .

Yule CCECC anajenga Kigongo-Busisi na SGR na hana malalamiko.
 
STG ,na bwawa la umeme Ni miradi toka magu anazindua nilikuwa ninawasiwasi nayoo ...haikuwa na Baraka kabisa ya baadhi ya viongozi ,ndio maana wanaipuuza
Hakuna kiongozi mpenda maendeleo aichukie hyo miradi hila njia alizokuwa jpm anatafuta hela kwahyo miradi ndio ngumu mama akisema afuate njia hyo mtalalamika deni la taifa limezidi jpm alikuwa anakopa kwenye mabank ya kibiashara yenye riba kubwa sana mama hawezi kukopa huko lakini ana njia zake kutafuta pesa miradi iendelee na itaendelea
 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo kwenye uhakika wa ajira tupotupo tu.

Mchongo upo hivi, kwa siku kadhaa sasa kazi zimesimama, hatufanyi chochote cha maana kwa kuwa mafuta ya Disel kwa ajili ya kuendeshea mitambo hayapo.

Uongozi umetuambia wazi kuwa Disel ndio ishu lakini hilo haliwezi kuwekwa wazi badala yake wametangaza kufanya maamuzi mengine ya kupunguza muda wa kufanya kazi.

Tumewekewa tangazo kuhusu kupunguzwa muda wa kufanya kazi, lakini ukweli ni kuwa hata huo muda ambao tunaenda kazini hatufanyi chochote.

Serikali iangalie huu mradi kwa ukaribu, ni wa kwetu Watanzania, hivyo zigo lote likiachwa kwa Mkandarasi bila kujali ana mapungufu au la.
Mbona jibu ni simple, mwenye mradi, Serikali, hana hela za mradi!
Utamlaumu mkandarasi bure!!
 
Huyo mkandarasi anataka sisi tumnunulie dizeli? kama aligawa rushwa awafuate hao hao wampe pesa ya dizeli sisi tunahitaji mradi ukamilike kwa wakati.
Haya ni maneno ya mtoto aliybebwa kwenye mbeleko, mama kachoka anakaribia kuzimia, yeye mtoto analilia pipi ya mjini!
 
Back
Top Bottom