DOKEZO Mkandarasi wa Reli ya SGR ameishiwa Mafuta ya Diesel, Mradi umesimama, hatufanyi chochote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mama anaupiga mwingi,kazi, iendelee, ni mwendo wa kufatilia yanga na Simba, na miziki ya zuchu, na story za, kondeboy na kajara!
Siku tukishituka, nchi imeishauzwa,
Mama yupo bize kutafuta PHD za, heshima! Ili aitwe Dokta Samia,
Kwa ufupi nchi inaongozwa na kilaza,siku tukishituka, nchi haipo,
 
hao madereva wa makatapila na malori wanaiba mafuta si mchezo.yaan wanasimamisha njiani alafu wenzzo wanakuja na madumu wananyonya.si mchezo..
 
Huo mradi umejaa upigaji tu kuanzia maza hausi na madelu,yani mradi kila siku hauendelei upoupo tu
 
Kama ni kweli, basi hali ni mbaya. Hivi zile bilioni 75 si zingetosha kununua diesel?
 
Ina maana wakati jamaa anashinda tenda serikali haikuona kama pumzi itakatikia njiani!

Nadhani kuna namna sio kwamba walioshindwa hawakuwa na vigezo ila walikuwa na mkono mfupi.
Unaongelea serikali gani? Awamu ya sita haikuwepo wakati mradi unaanza isingeweza kujua haya.
 
Jiwe litabaki kuwa jiwe. Hakuna kama jiwe. Hata kama lilikanyaga haki zenu jiwe was a real deal. Hakika jiwe lilikuwa ni lijiamba. Aka mwamba
Mkuu. Kuna viumbe Huwa siwaelewi. Kwa dhati kabisa, naamini huu mradi tungekuwa tunakula matunda yake leo hii.

Magu, alisema tutamkumbuka Kwa mema yake.

Was a real deal.
 
Sasa mbona mama Kwa miaka miwili tu pamoja na misaada bwerere amekopa mara 2 zaidi ya JPM na hakuna la maana alilofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…