Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Mmmm Yepi wamechoka sanaaaa..Hatari sana, ninapata shida ninaposikia eti YARPI ana hali ngumu kiuchumi..
Huyu Yarpi alikuwepo Ethiopia na kamaliz kazi bila kelele, huku Yarpi ni giant kule Turkey na hizi projects heavy ndio issue zake za kila siku.
Nafikiri Tatizo hapa ni kifo cha JPM, angekuwa JPM yuko hai leo hii bila shaka train ingekuwa inatembea.
.......wana madeni hadi aibuuuuu....mnoo sanaaa