Mkandarasi wa ujenzi wa SGR Tanzania, Yapi Merkezi adaiwa kuwa na hali ngumu kiuchumi

Mkandarasi wa ujenzi wa SGR Tanzania, Yapi Merkezi adaiwa kuwa na hali ngumu kiuchumi

Ukisoma comment za watu ndipo utagundua jinsi Ngozi nyeusi tulivyo na Uchawi mwingi..
Watu wana tamani huu mradi ufail...Sasa ukifeli nani atakula hasara? Sisi tutakao kosa usafiri wa haraka na nafuuu? Tutakao loose a competitive Edge over our competitor(kenya) ktk kusafirisha mizigo to land loocked countries?
Sisi tukaolipa deni tulilokopa kuijenga hii reli ilihali haifanyi kazi au viongozi watakao kua wamestaafu? Kwa watu ambao wamewahi kujenga kijumba ht cha vyumba vi3 wanajua ugumu wa Ujenzi...kuna wakati hela inakata na vibarua wapo site unawambia utawalipa kesho coz hela uliyoitegemea hukuipata au uwape nusu nyingine utawamalizia kesho..kuna wakati unasimamisha ujenzi ili ujipange kwanza...na kipindi hicho chote mama watoto unamwabia abane matumizi mpo kwenye ujenzi...wanayo yapitia YAPI MERKEZI or Serikali ktk mradi huu yanamkuta mtu yoyote aliewahi kujenga and there is no fun or shame in that..
Mkuu kumbe tumekopa fedha za mradi unatuchanganya mkuu Rais mara kadhaa amesema huu mradi unajengwa kwa makusanyo ya ndani toa ushahid kuwa tumekopa pesa za mrad huu vingnevyo huu n uzushi
 
IPTL hii habari ni ya uchochezi. Unataka watu wanaosoma uzi wako waamini kwamba serikali haina pesa za kumlipa mkandarasi ili naye awalipe wazabuni wake - wakati ni uongo mkubwa. Pesa za mradi zipo. Utafikishwa mahakamani kwa kuleta uchochezi!
 
Mkuu kumbe tumekopa fedha za mradi unatuchanganya mkuu Rais mara kadhaa amesema huu mradi unajengwa kwa makusanyo ya ndani toa ushahid kuwa tumekopa pesa za mrad huu vingnevyo huu n uzushi
Dar-Moro ni pesa za ndani...Moro-Dodoma tumekopa...U cant do a project of such a magnitude kwa pesa za ndani tu ilihali only less 5% ya watanzania ndio walipa kodi na pamoja na kutokulipa kodi still wanataka barabara,maji,huduma za afya na mengineyo...tuache kulalamika tufanye kazi,tushukuru Mungu kwa kile kidogo kinachofanyika na pia tusisahau kuiombea Mama Tanzania ifanikiwe ktk mipango yake regardless ya who is in power...Othewise tunakua wachawi tusioshika tunguli tunaoamini hatuwezi kufanikiwa bila kumshusha fulani.
 
TUOMBENI MUNGU, MRADI UISHE. maana una faida kwetu, kututoa sehemu moja kwenda nyingine.
 
Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.

Hadi sasa imefikia miezi saba bila Wakandarasi hao kupata malipo yao huku Wazabuni hao wakilalamika kwamba kutokana Makadarasi hiyo kushindwa kuwalipa na wao wanashindwa kuwalipa Wafanyakazi wao ambao ni waendasha mitambo kama Escavetor, madereva wa malori, mabasi nk. Hali kadhalika Wazabuni hao pia wamedai kwamba wanashindwa kuwasilisha na kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na kutokupwa.

Wazabuni hao wameendelea kudai kwamba wamefanya juhudi mbalimbali za kukutana na Uongozi wa Yapi Merkez lakini hawajafanikiwa kutokana na uongozi huo kutoa visingizio vya COVID 19. Hata hivyo baadhi ya wazabuni wamedai wamefikisha malalamiko yao kwa Shirika la Reli nchini (TRC) lakini hadi sasa hawajapata ufumbuzi wowote wa malipo yao.

Kutokana na hali hiyo Wafanyakazi YAPI MERKEZ nao mwezi huu wa Saba watalipwa mshahara nusu.
Asante sana kwa kufahamisha...Kumbe kelele nyingi tu tunaora reli haiishi.
 
Ukisoma comment za watu ndipo utagundua jinsi Ngozi nyeusi tulivyo na Uchawi mwingi..
Watu wana tamani huu mradi ufail...Sasa ukifeli nani atakula hasara? Sisi tutakao kosa usafiri wa haraka na nafuuu? Tutakao loose a competitive Edge over our competitor(kenya) ktk kusafirisha mizigo to land loocked countries?
Sisi tukaolipa deni tulilokopa kuijenga hii reli ilihali haifanyi kazi au viongozi watakao kua wamestaafu? Kwa watu ambao wamewahi kujenga kijumba ht cha vyumba vi3 wanajua ugumu wa Ujenzi...kuna wakati hela inakata na vibarua wapo site unawambia utawalipa kesho coz hela uliyoitegemea hukuipata au uwape nusu nyingine utawamalizia kesho..kuna wakati unasimamisha ujenzi ili ujipange kwanza...na kipindi hicho chote mama watoto unamwambia kabisa abane matumizi mpo kwenye ujenzi...wanayo yapitia YAPI MERKEZI or Serikali ktk mradi huu yanamkuta mtu yoyote aliewahi kujenga and there is no fun or shame in that..
Kazi ya Umma inahitaji umakini. Sio utaratibu mzuri kuweka madeni ya Subcontractors mpaka miezi sita.

Kipande Cha Dar - Moro kilitakiwa kukamilika mwezi Novemba mwaka jana, lakini mpaka leo bado na haijulikani kitakamilika lini. Ni muhimu wadau kupewa taarifa sahihi ili kuepuka minong'ono.
 
Kazi ya Umma inahitaji umakini. Sio utaratibu mzuri kuweka madeni ya Subcontractors mpaka miezi sita.

Kipande Cha Dar - Moro kilitakiwa kukamilika mwezi Novemba mwaka jana, lakini mpaka leo bado na haijulikani kitakamilika lini. Ni muhimu wadau kupewa taarifa sahihi ili kuepuka minong'ono.
Mwezi Nov Mwaka jana kwa hesabu zipi? Mradi umeanza May 2017 na ni mradi wa miezi 36(Miaka 3)...hujaweka atleast 3 month ya Mobilization...hio Nov mradi unaishaje?...sometime tuache unafiki nafiki
 
Kwa mimi ninavyoona kama nguvu ya kwanza ingekuwa kuishia Morogoro tungekuwa tushamaliza zamani,shida ni kuanza phase 2 kabla ya 1 kumalizika.
 
Ukweli ni kwamba hakuna pesa.
SGR inasusua vibaya, ambapo kwa mwelekeo wa sasa hata tupewe miaka 10 hatuwezi kukamilisha.

Sasa tunahaha mchina atupe mkopo!
Tunasahau kuwa miaka minne iliyopita tulimwita mchina ni mwizi na tapeli kwenye mpango wake wa kujenga mradi wa Bandari ya Bagamoyo.

Yote tisa, Mchina alikuwa anaitaka Bandari ya Bagamoyo au gesi ya Mtwara. Na huenda hilo likawa ndio sharti lake kuu ili atupe mkopo wa kukamilisha SGR.

No free lunch!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ukweli ni kwamba hakuna pesa.
SGR inasusua vibaya, ambapo kwa mwelekeo wa sasa hata tupewe miaka 10 hatuwezi kukamilisha.

Sasa tunahaha mchina atupe mkopo!
Tunasahau kuwa miaka minne iliyopita tulimwita mchina ni mwizi na tapeli kwenye mpango wake wa kujenga mradi wa Bandari ya Bagamoyo.

Yote tisa, Mchina alikuwa anaitaka Bandari ya Bagamoyo au gesi ya Mtwara. Na huenda hilo likawa ndio sharti lake kuu ili atupe mkopo wa kukamilisha SGR.

No free lunch!
Wewe endelea kuota
 
Tulianza kusikia machuma yanaibwaa kumbee kwelii sasa wauza vyumaa chakavu itakuwa ndio sababu au YAPI...! Yanii tunapata shider kuelewa kabisa au pesa ndio shider cjui vipi ni vipi au ndio sihasaa maana siasa saivi hakunaa kabisaa...
 
Mwezi Nov Mwaka jana kwa hesabu zipi? Mradi umeanza May 2017 na ni mradi wa miezi 36(Miaka 3)...hujaweka atleast 3 month ya Mobilization...hio Nov mradi unaishaje?...sometime tuache unafiki nafiki
Mkuu hebu soma kwa huyu mwana Lumumba hapa halafu uone wewe na yeye nani anasema kweli


Ukimaliza ongezea na hii


 
Kuwakaribisha wachina,bora tuwape makaburu wa SA,wafanye yao,Hawa tunaoleana,lakini,chines watatushika makalio tu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Naam kule Zambia na Sri Lanka tayari wanalia na muda si mrefu tutaanza kulia vilio vya kusaga meno kwa ukurupukaji wa hii serikali haramu.
Kuwakaribisha wachina,bora tuwape makaburu wa SA,wafanye yao,Hawa tunaoleana,lakini,chines watatushika makalio tu
 
Back
Top Bottom