Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Sharon alishakufa na kuzikwa miaka mingi tuu. Alikuwa kwenye coma almost 3years.Aerie Shalon, Israel prime minister former one anaishi mpaka leo, hajaoza anakula ila hasemi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sharon alishakufa na kuzikwa miaka mingi tuu. Alikuwa kwenye coma almost 3years.Aerie Shalon, Israel prime minister former one anaishi mpaka leo, hajaoza anakula ila hasemi
Alishafariki,ingia googleAerie Shalon, Israel prime minister former one anaishi mpaka leo, hajaoza anakula ila hasemi
Huku kwetu tunajua bado yupo na ndiye rais.Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Wewe utakuwa ni Yericko. Nimekumbuka ulivyomshambulia mzee wetu kwenye uchaguzi wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki mwaka uleee...Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Yuko wapi kwanzaMkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.