Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Sasa kiongozi unaposema Mkapa alidanganya tarehe aliyokufa baba wa taifa mwalimu J. K. Nyerere , inamaana unajua tarehe halis aliyokufa mwalimu. Basi inapaswa kutuambia hiyo tarehe. Kuliko kuendelea kutupa ngonjera zako
 
Ni kweli kabisa usemayo Mzee alifariki mapema sana by the way alale mahala pema .amen.

Unataka kutuambia mkapa yeye leo anaadhimisha nyerere day kinafiki? Itabidi atueleze ukweli hatuwezi kuadhisha siku hewa.
 
Mbona sasa hautaji hiyo tarehe yako halisi wewe.
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Kumbe hata wewe mwenyewe hujui! Basi Chinga 1 alikuwa sahihi. bs!
 
Vichwa vingine vyaajabu sana tatzo la ukosefu wa kazi hilo! embu tuambie wew uliyekuwa dactari wake tarehe halisi aliyofariki.
 
This article examines the changing uses of political rhetoric around the burial of Julius Nyerere in 1999. It argues that the ruling party uses rhetoric as a means of ‘soft power’, but also documents how this rhetoric, though geared towards legitimizing Nyerere's successors, employed tropes that were rejected by some people and were used by others to critique leaders who were perceived to lack the selfless integrity attributed to Nyerere. The article compares funerary songs by a government-sponsored band, popular at the time of Nyerere's death, with memories of Nyerere in rural areas in the early to mid-2000s. While the image of Nyerere in the funeral songs as a benign family patriarch writ large still persists, it coexists with strongly divergent constructions of Nyerere as an authoritarian ruler or a self-seeking profiteer. Moreover, the ‘official’, benign Nyerere has been employed not only by government and party faithful, but also by striking workers, opposition politicians, and critical newspapers as a measure of the shortcomings of his successors. The invocation of Nyerere as a paragon of an endangered ideal of virtue in public office indicates widespread anxieties towards a state that often disappoints but occasionally delivers, in unpredictable turns, and the limits of the government's ability to shut down dissent.
© The Author 2013. Published by Oxford University Press on behalf of Royal African Society. All rights reserved
 
Ariel Sharon, PM wa zamani wa Israel naye alifariki lini? Mwaka alipokuwa kwenye nusu mauti au siku walipoamua kuwa asiamke tena?

Vv
 
muulize huyo jamaa,mandela alikaa siku ngapi hospital mpaka watu wakadai ameshafariki,siyo huyo tu,aliyekuwa waziri mkuu wa israel bwana sharoon amekaa hospitali "icu"yapata miaka minane sasa,lakini yote kwa yote inawezekana yupo sahihi,atuambie tarehe sahihi aliyofariki mwalimu with evidences!

sharon kishakufa
 
Mwalimu Nyerere alikwisha ondoka,
Hata tuseme nini hawezi kurudi tena;
Pumziko la AMANI UMPE EE MUNGU.
 
Swat lengo siyo kutaja specific date ila ni lengo kuu tujue kua mzee hakufariki october 14.
Mbona sasa hautaji hiyo tarehe yako halisi wewe.
 
Last edited by a moderator:
Atukatai kwamba ata kama tutasemaje ila kwanini watawala wanapenda sana kuongea uongo je kulikua na dhambi gani ya kutokusema ukweli wa tarehe halisi .
Mwalimu Nyerere alikwisha ondoka,
Hata tuseme nini hawezi kurudi tena;
Pumziko la AMANI UMPE EE MUNGU.
 
huyu mpuuzi tuu kama walivyo wenzake ccm
 
huyo alikua Sharon ambaye alikua coma for longtime while kwa Mwl Nyerere wingu limegubika kifo chake Mr Clean anajua mengi sana juu ya kifo chake May God Rest his soul in eternal peace. Amen
Ariel Sharon, PM wa zamani wa Israel naye alifariki lini? Mwaka alipokuwa kwenye nusu mauti au siku walipoamua kuwa asiamke tena?

Vv
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Tunaomba data mkuu tuwe makini na mambo kama haya
 
Hili swali umuulize na Mh.Komba( Ni shidaaa), maana alifanya hadi mazoezi ya kwaya na nyimbo kutoka haraka baada ya taarifa rasmi.
 
Mkuu Mwifyusi kifo cha Mwl na sababu zilizopelekea wampeleke london badala ya New York wanajua wenyewe mwenyeki wa ccm wakati huo mr clean.
Hili swali umuulize na Mh.Komba( Ni shidaaa), maana alifanya hadi mazoezi ya kwaya na nyimbo kutoka haraka baada ya taarifa rasmi.
 
Last edited by a moderator:
ni vigumu sana kama akili yako nyepesi kuielewa post hii ila ukweli na kwamba nyerere death was planning by white nation
1.HOW
mwalimu alipandikizwa vimelea vya kansa akiwa ulaya alipokua akiishi baada ya kuomba na mataifa hayo kupitia chakula miaka 3 kabla ya kifo chake
2.Sababu.
Viongozi wa tanzania baada ya mwalimu walikua wanalalamika kua nchi inaongozwa kutoka butiama na sio ikulu .ukweli ni kwamba fikra za mwalimu ziliendela kutawala nchi hata baata ya kustaafu na hii ilikua kikwazo cha unyonyaji
3.mifano
mwalimu hakuruhusu kabisa migodi ichimbwe na wazungu katika moja ya hotuba zake mwalimu aliwahi kutamka kua nitasomesha watu wangu waje wachimbe madini yao wenyewe kwa sasa hatuwezi kuchimba hatuna ujuzi wala mitambo
4.MKAPA kuhusishwa
mkapa alikua anafahamu fika juu ya mpango huu na yeye kua raisi ilikua ni ushindi mkubwa kwa europe na sera zilizolenga kuwanenepesha wao mkapa ndie alikua kibaraka anaeongoza sera hizo
5.mbunge wa chadema agusia arusha.
Katika kipindi cha uchaguzi arusha nilisikia kupitia vyombo vya habari mbunge wa chadem sikumbuki jina lake sababu mimi sio mshabiki wa hizi siasa alimuomba mkapa aeleze mazingira ya kifo cha nyerere hiyo ilikuja baada ya mkapa kudai amtambui kijana huyo kua anatoka katika familia ya mwalimu mkapa hakujibu isipokua aliomba wayamalize nje ya media
unaweza ukapima mwenyewe ni kitu fulani iliyofichika sana
 
Back
Top Bottom