mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,275
Kama Mkapa alitudanganya wewe tupe Tarehe yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
lengo langu kuanzisha uzi huu siyo kutaka kumrudishia Nyerere uhai la hasha bali kutaka viongozi wetu wawe wanasema ukweli pale tukio linapotokea mfano kuna matukio mengi yametokea hapa nchini ambao yamechukua uhai wa watz wengi ila viongozi wetu hawasemi ukweli mfano:
mlipuko wa mabomu mbagala na gongo la mboto,
ajali ya treni ya dodoma,
ajali ya meli ya mv bukoba,
ajali ya meli ya mv skargit,
ajali ya meli ya mv spice,
kuporomoka kwa jengo dar,
kufa kwa mahabusu huko mbeya.
Sasa ukijaribu kuangalia vizuri ni kua viongozi wetu hawatoi exactly idadi kamili.
Cc baba v.
Kama Mkapa alitudanganya wewe tupe Tarehe yako.
Ndivyo ilivyo Hata akifa man@ela Lazma tutadanganywa tarehe tu
Kama Mkapa alitudanganya wewe tupe Tarehe yako.
Kama Mkapa alitudanganya wewe tupe Tarehe yako.
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Ndio ujue kuwa waswahili tunawazika sana 'marehemu' wetu wakiwa hai!hebu tupe uhakika wa hili unalosema??
usikute ndo nyie mkiona mtu kazimia tu tyari mnaanza kafariki na shimo mnachimba kabisa na jeneza kununua.............
kufa kwa mtu kuna process sana tena sio ndogo wewe umeona mandela mara ngap watu wamezusha kafariki??
nchi za watu kila linalohitajika ili kuzuia umauti linafanyika na mtu husemwa kwamba kafariki pindi ubngo wake unapofariki ila kama unaonyesha dalili ya uhai hata kwa micro Amps huyu mtu ataambiwa yuko hai na atasaidiwa ili aweze kupumua..
sema jingine ila sio izi porojo za kitaa