Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Ndivyo ilivyo Hata akifa man@ela Lazma tutadanganywa tarehe tu
 
swala siyo alikufa lini?...swala ni nyerere day kila mwaka.........hata kama alikufa may lakini tukaamua nyerere day iwe october bado ni heshima tu kwake. tunatakiwa tumkumbuke kila mwaka haimaanishi lazima iwe siku aliyokufa.
 
si issue sana kufahamu....the fact he is dead inatosha....ingekuwa issue sana kama ungetuambia nyerere yuko somewhere anakula bata na balali!:tape:
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Nilitegemea utataja terehe ya kweli aliyofariki Hayati Baba wa Taifa kumbe umeleta porojo tu
 
lengo langu kuanzisha uzi huu siyo kutaka kumrudishia Nyerere uhai la hasha bali kutaka viongozi wetu wawe wanasema ukweli pale tukio linapotokea mfano kuna matukio mengi yametokea hapa nchini ambao yamechukua uhai wa watz wengi ila viongozi wetu hawasemi ukweli mfano:
mlipuko wa mabomu mbagala na gongo la mboto,
ajali ya treni ya dodoma,
ajali ya meli ya mv bukoba,
ajali ya meli ya mv skargit,
ajali ya meli ya mv spice,
kuporomoka kwa jengo dar,
kufa kwa mahabusu huko mbeya.
Sasa ukijaribu kuangalia vizuri ni kua viongozi wetu hawatoi exactly idadi kamili.

Cc baba v.

Naona umejiongezea maswali tu,wakati lile la kwanza lililotuleta hapa hujajibu!
Wewe kama una takwimu za mambo haya si' uziweke tu kuliko kuanzisha theory zako!
 
kumbe mpaka leo huwa unamwamini mkapa
 
Umuhim wa tarehe inatusaidia nn na taifa letu kuondokana na umaskin.. Ww ulitaka iwe tarehe ngapi..leta hata za msingi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.


Hivi kifo cha mtu kinakuwa effective kuanzia pale kinapotangazwa au pale kinapotokea? Just curious!
 
embu tuambie alkufa tarehe ngapi ww ulyekuwepo wakati anakata roho
 
embu tuambie alkufa tarehe ngapi ww ulyekuwepo wakati anakata roho

Yawezekana mtoa mada anafanya utafiti siku ya halisi ya kifo cha baba wa taifa atakuja na jibu kamili.!
 
hebu tupe uhakika wa hili unalosema??
usikute ndo nyie mkiona mtu kazimia tu tyari mnaanza kafariki na shimo mnachimba kabisa na jeneza kununua.............
kufa kwa mtu kuna process sana tena sio ndogo wewe umeona mandela mara ngap watu wamezusha kafariki??

nchi za watu kila linalohitajika ili kuzuia umauti linafanyika na mtu husemwa kwamba kafariki pindi ubngo wake unapofariki ila kama unaonyesha dalili ya uhai hata kwa micro Amps huyu mtu ataambiwa yuko hai na atasaidiwa ili aweze kupumua..
sema jingine ila sio izi porojo za kitaa
Ndio ujue kuwa waswahili tunawazika sana 'marehemu' wetu wakiwa hai!
 
Hivi inakuhusu we ni mwanae au mkewe hadi utafute ukweli?
 
Back
Top Bottom