Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Tareh halisi ya kufa Nyerere wewe kwako inakusaidia nini? Mzee wa watu mwacheni, amekamilisha yake, apumzike kwa amani.
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Nafikiri umburula unakusumbua kama unaijua siku yake halisi aliyokufa si u ngesema. Watu mnaoishi kwa matukio ni shida sana hata mandela mmevumisha mara oo obama akiondoka tu ndio itatangazwa maana alishaaga sikiu nyingi. Sasa si huyo bado yupo. Uchuro tu.Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Nyerere alikufa tareh,1,10,jumatano,na kilichofanyika n jambo la kawaida la maandaliz ya mazishi,na ikatangazwa wiki mbili baadae.ni kawaida
Nafikiri umburula unakusumbua kama unaijua siku yake halisi aliyokufa si u ngesema. Watu mnaoishi kwa matukio ni shida sana hata mandela mmevumisha mara oo obama akiondoka tu ndio itatangazwa maana alishaaga sikiu nyingi. Sasa si huyo bado yupo. Uchuro tu.
Ooh masikini unatia huruma. si ungesema basi kafa lini we mwehu. Hivi unajua Sharon wa Israel mpaka leo anapumlia mashine.Mi nawe nani mburula ? Jitaidi ku think great and try to avoid half knowledge will endanger you. Bado na ntaandelea kulisimamia hili .
Ooh masikini unatia huruma. si ungesema basi kafa lini we mwehu. Hivi unajua Sharon wa Israel mpaka leo anapumlia mashine.
Siyo Mkapa peke yake aliyetudanganya kwani hata kina BBC, CNN na RFI pia walishiriki katika uongo huo.Secret
Kujua kuwa alifariki siku flani inasaidia kujua kua kumbe mleta taarifa alitudanganya siku halisi na kama alitudanganya siku halisi je tutaendelea kuamini kuwa ugonjwa uliomuua aliotuambia mtoa taharifa ni kweli? Kumbuka unapotaka kutatua tatizo huwezi kuanza kutatua madhara hapo utakuwa mtaalamu kanjanja ila kama wewe ni mtaalam kweli utaanza na chanzo cha tatizo and then utakuja madhara and finally conclusion. Sasa ukijua hayo utagundua kuwa kuna faida za kujua exactly correct date and not approximately date concerning the death of Nyerere.
Kwani wewe ni daktari wake? Au nini unachokitafuta.