Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mkishajua tarehe,then iwasaidie nini. Hivi kwa ufahamu wenu hii mada nayo ni ya kuleta humu kwa intel. ? Msilete siasa kwa hii place.ukumbi wa siasa uko.Kwanini watu hawajauliza kuhusu KAWAWA japo ni miaka kifo chake ni miaka michache kulinganisha na nyerere?.Naamini raia wengi tuna maswali kuhusu kupotea/vifo vya baadhi ya watu wakubwa nchini i.e NYERERE,uhalisia wa kifo cha BALALI,alipo mkuu wa magwanda ya chui chui?
This is personal attack.
Kwanini watu hawajauliza kuhusu KAWAWA japo ni miaka kifo chake ni miaka michache kulinganisha na nyerere?.Naamini raia wengi tuna maswali kuhusu kupotea/vifo vya baadhi ya watu wakubwa nchini i.e NYERERE,uhalisia wa kifo cha BALALI,alipo mkuu wa magwanda ya chui chui?
Kwa hiyo mkishajua tarehe,then iwasaidie nini. Hivi kwa ufahamu wenu hii mada nayo ni ya kuleta humu kwa intel. ? Msilete siasa kwa hii place.ukumbi wa siasa uko.
Aerie Shalon, Israel prime minister former one anaishi mpaka leo, hajaoza anakula ila hasemi
MmmmmmmNa yule jamaa wa pale dodoma mwisho wake utakuwa kama huo
Dah aiseeHivi ni kweli nyerere umeuliwa na mkapa? Tafadhali mheshimiwa mwalimu kama unanisikia nijibu kwa faida ya watanzania. Na utuambie kwanini alikuua?