Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Tunaomba tarehe ya kifo cha baba yetu nyerere ibadilishwe ije ile ya ukweli.
nb tunaijua tarehe halisi kupitia kingunge
 
mleta mada umekunywa gongo,hv kwa akil ulitaka wakwambie wewe kama nan?mama maria mwenyewe mwenye mume yuko kmya.may be hebu eleza hapa hadharan tusikie ushahd wako nasi porojo za maneno matatu,
 
Kwanini watu hawajauliza kuhusu KAWAWA japo ni miaka kifo chake ni miaka michache kulinganisha na nyerere?.Naamini raia wengi tuna maswali kuhusu kupotea/vifo vya baadhi ya watu wakubwa nchini i.e NYERERE,uhalisia wa kifo cha BALALI,alipo mkuu wa magwanda ya chui chui?
Kwa hiyo mkishajua tarehe,then iwasaidie nini. Hivi kwa ufahamu wenu hii mada nayo ni ya kuleta humu kwa intel. ? Msilete siasa kwa hii place.ukumbi wa siasa uko.
 
yaani mtu unakaa na kuwaza kuleta mada kuhusu tarehe ya kifo cha mtu!
 
Mbona haumuulizi mzazi wako akupe tarehe halisi ya kifo cha babu na bibi zako.
 
Kwanini watu hawajauliza kuhusu KAWAWA japo ni miaka kifo chake ni miaka michache kulinganisha na nyerere?.Naamini raia wengi tuna maswali kuhusu kupotea/vifo vya baadhi ya watu wakubwa nchini i.e NYERERE,uhalisia wa kifo cha BALALI,alipo mkuu wa magwanda ya chui chui?

Sidhani Kama Balali Ni late Kuna upotoshwaji mkubwa Sana ila Lincoln aliwahi kusema "you can fool some people for all the time but you can't fool all the people all the time"
 
Kwa hiyo mkishajua tarehe,then iwasaidie nini. Hivi kwa ufahamu wenu hii mada nayo ni ya kuleta humu kwa intel. ? Msilete siasa kwa hii place.ukumbi wa siasa uko.

Sidhani kama kuna mtu ambaye angetaka kujua kama kusingekuwa na maadhimisho haya ya ajabu kama vile tulivyokuwa hatuna doubts kuhusu babu au bibi wa mtu humu,at least tusidanganyane kwenye vifo maana tumedanganywa sana kwenye rasilimali,MUNGU AILAZE ROHO YA MWL.NYERERE MAHALI INAPOSTAHILI.
 
"Kanuni ni rahisi sana;Viongozi wanatudanganya na tunajua kama wanatudanganya.Na wao washajua kuwa tunajua kwamba wanatudanganya,Lakini bado wanatudanganya na Sisi tunajifanya tunawaamini"..Sijui nini kitatokea siku tukichoka kujifanyisha.
 
Kelele za mbwa mwitu!. Kama unataka kugundua /kujua nenda na wewe ukamtafute Balali.Tarehe 14october haitabadilika na ukweli ndo huohuo!
 
Aerie Shalon, Israel prime minister former one anaishi mpaka leo, hajaoza anakula ila hasemi
 
Tarehe ya kufa nyerere nadhani imebuniwa kama tarehe ya kuzaliwa yesu itakuwa
 
Back
Top Bottom