Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Kwani Ben Mkapa ndiye aliyekuwa daktari wa Kambarage hata umshutumu kuwa alitoa tangazo la kifo kwa kuchelewa?


Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
 
Hata kama alifariki siku mbili baada ya kufikishwa St. Thomas au hata alifariki mwezi mmoja baada ya "kutangazwa kafariki". Muhimu ni kuwa kwasasa ni Marehemu! Hayo mengine ni speculations tu zisizokuwa na maana hata kidogo!
 
Hivi Arsenal na Man U, Watapambana lini kwenye Premier League huko England!!
 
navojua kuwa hakufariki tarehe kama ya leo hayo mengine wanajua sumaye na mkapa kama wako humu jamvini wanajibu kimoyo kimoyo.
Acha ujinga.... leta tarehe halisi sio kuruka ruka
 
ndugu usijipalie mkaa kwenye maji mengi utaharibikiwa
wewe unataka kusema kuwa wewe ulikuwa daktari wake
pindi alipokuwa hai, kwanini unasema kuwa Mkapa ametudanganya
tarehe?
 
Mkapa aliyepewa report na madaktari kwamba Nyerere amefariki tarehe 14 na Kova aliyetuletea mkenya kuhusika na kumtesa Ulimboka, nani katudanganya?

Sijajua unaposema kufariki unamaanisha nini au unaongelea kwa mtazamo upi, jaribu kupitia maelezo ya gfsonwin kaelezea vizuri sana, kitaalam na kwa ufupi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mkapa aliyepewa report na madaktari kwamba Nyerere amefariki tarehe 14 na Kova aliyetuletea mkenya kuhusika na kumtesa Ulimboka, nani katudanganya?

Sijajua unaposema kufariki unamaanisha nini au unaongelea kwa mtazamo upi, jaribu kupitia maelezo ya gfsonwin kaelezea vizuri sana, kitaalam na kwa ufupi kabisa.

naposema kufariki namaanisha kuwa hana uhai tena,suala la Dr Ulimboka ni suala ambalo linajulikana sana tu ila suala la Mwl Nyerere is so contraversial na ambaye anaweza kujua siku kamili huyo mzee alipoaga dunia ni aliyekua rais wa wakati huo,waziri mkuu na waziri wa nchi za nje kwa wakati huo ila hili la october 14 hapana nakataa.
 
Last edited by a moderator:
Da kazi ipo! Wew wajua siku na tarehe? Twambie sasa, kama akikwambia itakusaidia nin?
 
I wonder kwa nn tunabebwa kirahis na upepo wa fikra za watu wengine!
What do u say about NELSON MANDELA, who was critically ill in hospital, now yupo kwake, but watu walishaamini amefarik?.... Don't u see tunakosea hapa brother?..


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.
Yawezekana lakini kwa kiongozi wanchi inabidi yafanyike matayarisho ya mazishi hivyo siyo tatizo kukwambia kafa leo wakati alikufa juzi!ni familia yao pekee wanakuwa wanajua!Ni protocol basi ndo ya kulaumiwa siyo Mzee Mkapa!.
 
Aina hiyo ya utafiti wa saa dakika na sekunde aliyopumua kwa mara ya mwisho baba nyerere hauna faida yoyote kwa yeyote mwenye akili timamu,utafiti wa maana ni kuangalia aliacha viongozi wa aina gani madarakani,walipoahidi kumuenzi walimaanisha ama walitengeneza tu hotuba tamu,na iwapo kizazi cha viongozi wenye uwezo wa kujenga taasisi na mifumo kipo tena afrika hii ama tumeliwa?
 
Aina hiyo ya utafiti wa saa dakika na sekunde aliyopumua kwa mara ya mwisho baba nyerere hauna faida yoyote kwa yeyote mwenye akili timamu,utafiti wa maana ni kuangalia aliacha viongozi wa aina gani madarakani,walipoahidi kumuenzi walimaanisha ama walitengeneza tu hotuba tamu,na iwapo kizazi cha viongozi wenye uwezo wa kujenga taasisi na mifumo kipo tena afrika hii ama tumeliwa?

najua hapo mkuu unamzungumzia MR CLEAN kama sijakosea ila huyo mzee alikua kama chui aliyejificha ndani ya ngozi ya kondoo kwani baada ya kifo cha Mwl Nyerere alitoa kucha zake nje na kurarua na kuchana resources zote anzia migodi,NHC, NBC etc.
 
kama alidanganya unataka tufanye nini? kati yako na aliyetangaza nani muongo, wakati anakufa wewe ulikuwepo au ulikuwa shule ya msingi unasoma? wewe ndo msemaji wa familiya ya baba wa taifa tangu lini?
 
Hivi ni kweli nyerere umeuliwa na mkapa? Tafadhali mheshimiwa mwalimu kama unanisikia nijibu kwa faida ya watanzania. Na utuambie kwanini alikuua?

115!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Secret
Kujua kuwa alifariki siku flani inasaidia kujua kua kumbe mleta taarifa alitudanganya siku halisi na kama alitudanganya siku halisi je tutaendelea kuamini kuwa ugonjwa uliomuua aliotuambia mtoa taharifa ni kweli? Kumbuka unapotaka kutatua tatizo huwezi kuanza kutatua madhara hapo utakuwa mtaalamu kanjanja ila kama wewe ni mtaalam kweli utaanza na chanzo cha tatizo and then utakuja madhara and finally conclusion. Sasa ukijua hayo utagundua kuwa kuna faida za kujua exactly correct date and not approximately date concerning the death of Nyerere.

achene uvivu wa kufikir hv kujua Nyerer alifariki lini kunakusaidia nn wewe na familia yako?
 
Back
Top Bottom