Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa alitudanganya, Mwl Nyerere hakufariki Oktoba 14 !

Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Alifariki tarehe ipi sasa?
 
Hivi ni kweli nyerere umeuliwa na mkapa? Tafadhali mheshimiwa mwalimu kama unanisikia nijibu kwa faida ya watanzania. Na utuambie kwanini alikuua?

Hapa ndio utajuwa Faiza Fox na hili jinga si mashabiki wa CCM Bali ni mashabiki wa dini ya kigaidi.
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Ni vyema wewe ungetueleza alifariki tarehe ngapi? Otherwise acha kujambajamba hapa ushuzi wa mayai viza.
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

Ugetutajia tarehe aliyofariki, kungekuwa na uhalisia kidogo, otherwise hii ni porojo tu!
 
Lol! Dadiake V' Shikamoo. Happy Nyerere Day!

Marhaba MERCIFUL.... mie Nyerere day niko kazini kama kawa... si unajua tena sisi walinzi huku kwa wahindi.... niko zamu..
 
Last edited by a moderator:
lengo langu kuanzisha uzi huu siyo kutaka kumrudishia Nyerere uhai la hasha bali kutaka viongozi wetu wawe wanasema ukweli pale tukio linapotokea mfano kuna matukio mengi yametokea hapa nchini ambao yamechukua uhai wa watz wengi ila viongozi wetu hawasemi ukweli mfano:
mlipuko wa mabomu mbagala na gongo la mboto,
ajali ya treni ya dodoma,
ajali ya meli ya mv bukoba,
ajali ya meli ya mv skargit,
ajali ya meli ya mv spice,
kuporomoka kwa jengo dar,
kufa kwa mahabusu huko mbeya.
Sasa ukijaribu kuangalia vizuri ni kua viongozi wetu hawatoi exactly idadi kamili.

Cc baba v.
 
Ugetutajia tarehe aliyofariki, kungekuwa na uhalisia kidogo, otherwise hii ni porojo tu!

navojua kuwa hakufariki tarehe kama ya leo hayo mengine wanajua sumaye na mkapa kama wako humu jamvini wanajibu kimoyo kimoyo.
 
Ni vyema wewe ungetueleza alifariki tarehe ngapi? Otherwise acha kujambajamba hapa ushuzi wa mayai viza.

alafu mkuu tukutane pale kwa bibi kamanda lisu atakuepo leo.
 
lengo langu kuanzisha uzi huu siyo kutaka kumrudishia Nyerere uhai la hasha bali kutaka viongozi wetu wawe wanasema ukweli pale tukio linapotokea mfano kuna matukio mengi yametokea hapa nchini ambao yamechukua uhai wa watz wengi ila viongozi wetu hawasemi ukweli mfano:
mlipuko wa mabomu mbagala na gongo la mboto,
ajali ya treni ya dodoma,
ajali ya meli ya mv bukoba,
ajali ya meli ya mv skargit,
ajali ya meli ya mv spice,
kuporomoka kwa jengo dar,
kufa kwa mahabusu huko mbeya.
Sasa ukijaribu kuangalia vizuri ni kua viongozi wetu hawatoi exactly idadi kamili.

Cc baba v.

Hata sisi hatujafikiria hivyo,tunachotaka ni ushaidi tu,mfano:wewe umesema mwalimu Nyerere hakufariki tarehe ambayo tunaifahamu,tuambie sasa ni lini? Haya meli ya mv bukoba na mengine uliyoyasema,tuambie ukweli wake ili nasisi tufahamu!
 
Hiyo kauli ya kusema alikufa siku nyingi imetoka wapi? Sisi tunajua alifariki October,14 1999. Je hizo siku nyingi ilikuwa tarehe ngapi,mwezi gani na mwaka gani? Nasema hivyo kwa maana ya kuwa mimi kati ya mwezi mmoja hadi miwili kabla ya kifo chake nilimwona airport anaelekea hospital
 
Mtoa mada mbona hukulisema hili wakati wanatanga kifo chake at the first time???
 
Hiyo kauli ya kusema alikufa siku nyingi imetoka wapi? Sisi tunajua alifariki October,14 1999. Je hizo siku nyingi ilikuwa tarehe ngapi,mwezi gani na mwaka gani? Nasema hivyo kwa maana ya kuwa mimi kati ya mwezi mmoja hadi miwili kabla ya kifo chake nilimwona airport anaelekea hospital

ndiyo inawezekana ulimwona akielekea huko Uingereza ila huyo Mzee hajafa tarehe kama ya leo ukweli kamili wanajua mkapa na pm wake.
 
swala la kuazimisha ni la kupanga tu tukipenda tunaweza kuweka ata tar 35/13/ kwa kila mwaka.
 
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi. Je Mkapa uoni kwamba ulitudanganya kuhusu tarehe halisi ya kifo cha Mwl Nyerere?
PUMZIKA KWA AMANI BABA WA TAIFA.

He! haya sasa hebu wewe mtaalamu wetu tuambie alifariki tarehe ngapi? Weka na vielelezo vyote hapa!
 
Ili niweze kuchangia kwa ukamilifu tunaomba chanzo na vielelezo timilifu kwa ajili ya kuipa hoja yako mshiko
 
Back
Top Bottom