Mkapa, Kikwete, Mwinyi na Nyerere hawakuwahi kupanda Madhabahuni kuhutubia Taifa?

Mkapa, Kikwete, Mwinyi na Nyerere hawakuwahi kupanda Madhabahuni kuhutubia Taifa?

pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
unachoweza ni kunitukana tu lkn huna uwezo wa kutetea hoja yako dhidi ya hoja yangu kwa kutumia sheria ya dini, serikali ama science. Baki na pumbavu yako
 
pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
Sasa mbona umepanik sana dada?

Si umeleta mjadala hapa? Kwanini sasa usitulize mumkari mjadiriane kwa hoja?
 
pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
Hizi ndio tunaziita "think tanks za Ufipa", hazijui hata kusimamia hoja.
 
Kuna wengne wali lilia kuaga uwanja wa taifa bahati mbaya hawa kuingia ..ao vipi tuwa weke kundi gani

SUBIRI KIDOGO
 
Katika hali ya Kawaida, msikitini ni pahala patakatifu pa kumwabudu mungu na kanisani ni pahala pa kumwabudu Mungu.

Tangu tupate uhuru 1961, December, Tanganyika haijawahi kutokea Nyerere akiwa Waziri mkuu wa Kwanza, mpaka akafikia urais, Mwinyi kuanzia 1984-1995, Mkapa 1995-2005, Kikwete 2005-2015 hakuna hataa mmoja wao aliyetumia madhabahu ya Mungu kuhutubia wananchi ambao hata hawahusiani na hizo dini, na kulazimisha kila misa na mahubiri yakii sha kuingia madhabahuni.

Hii haipo kwenye liturujia ya KAtoliki wala waislamu, na mtu anapanda madhabahuni huku mikono yake ikiw na visasi, na mengine mengi,"wajumbe" tukumbushane huyu aliyeko sasa, ni lini alienda kanisani akaacha kungangania kupewa maiki?

Ni lini mliwahi kuona marais waliomtangulia wakiwa na misafara ya usalama kanisani?

Utawala umekosa presidential briefing, yaani Msigwa anakuja na habari zake huko toka Ikulu na waandishi hawana la kuhoji, thats absurd.

Anajihami kupigana vita ya kiuchumi lakini ajue tu hakuna vita ya mtu mmoja, ndio mwanzo wa ugonjwa wa moyo.

Nani kamwona Kikwete akiongelea mambo ya kitaifa msikiti wa Kinondoni?
Hawaoni faida ya huo utoto
 
Katika hali ya Kawaida, msikitini ni pahala patakatifu pa kumwabudu mungu na kanisani ni pahala pa kumwabudu Mungu.

Tangu tupate uhuru 1961, December, Tanganyika haijawahi kutokea Nyerere akiwa Waziri mkuu wa Kwanza, mpaka akafikia urais, Mwinyi kuanzia 1984-1995, Mkapa 1995-2005, Kikwete 2005-2015 hakuna hataa mmoja wao aliyetumia madhabahu ya Mungu kuhutubia wananchi ambao hata hawahusiani na hizo dini, na kulazimisha kila misa na mahubiri yakii sha kuingia madhabahuni.

Hii haipo kwenye liturujia ya KAtoliki wala waislamu, na mtu anapanda madhabahuni huku mikono yake ikiw na visasi, na mengine mengi,"wajumbe" tukumbushane huyu aliyeko sasa, ni lini alienda kanisani akaacha kungangania kupewa maiki?

Ni lini mliwahi kuona marais waliomtangulia wakiwa na misafara ya usalama kanisani?

Utawala umekosa presidential briefing, yaani Msigwa anakuja na habari zake huko toka Ikulu na waandishi hawana la kuhoji, thats absurd.

Anajihami kupigana vita ya kiuchumi lakini ajue tu hakuna vita ya mtu mmoja, ndio mwanzo wa ugonjwa wa moyo.

Nani kamwona Kikwete akiongelea mambo ya kitaifa msikiti wa Kinondoni?
kila mtu anaanzisha uzi! ili mradi tu
 
Nyerere ilikuwa kila siku saa mbili baada ya mazungumuzo baada ya habari ( ujumbe wa leo), mwinyi ilikuwa kila sikukuu ukiwa Ni jumamosi au jumapili tunafidia sikubya jumatatu, mkapa ikawa ukapa ,kikwete yeye mkamwambia anasafiri Sana nje ya nchi ,hivyo Basi kila utawala na madhaifu yake unayoyaona wewe na mazuri pia yanakuwepo
 
pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
Lini mtachukua dola maana mnatuchosha na haya malalamiko yenu?
 
pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
Kati yenu kuna mmoja anadhani yeye ni mwerevu kuliko mwenzake....kumbe sivyo.
Ila sijamjua ni nani
 
Nimekuelewa pale ulivyoandika msikitini ni pahali pakumwabudu (mungu)
Na kanisani ukaweka (Mungu).
 
Kwani huo ujumbe anaoutolea madhabahuni hauwafikii wa lengwa? Hata wafalme wa misahafu Daudi, Suleimani nk. Waliaenda wakatoa sadaka madhabahuni, wakahutubia na kutangaza vita wakiwa madhabahuni, taabu iko wapi? Corona tumeishinda. Kinjekitile na Songea walitangazia vita vya majimaji kilingeni liko tatizo kwani?
 
Katika hali ya Kawaida, msikitini ni pahala patakatifu pa kumwabudu mungu na kanisani ni pahala pa kumwabudu Mungu.

Tangu tupate uhuru 1961, December, Tanganyika haijawahi kutokea Nyerere akiwa Waziri mkuu wa Kwanza, mpaka akafikia urais, Mwinyi kuanzia 1984-1995, Mkapa 1995-2005, Kikwete 2005-2015 hakuna hataa mmoja wao aliyetumia madhabahu ya Mungu kuhutubia wananchi ambao hata hawahusiani na hizo dini, na kulazimisha kila misa na mahubiri yakii sha kuingia madhabahuni.

Hii haipo kwenye liturujia ya KAtoliki wala waislamu, na mtu anapanda madhabahuni huku mikono yake ikiw na visasi, na mengine mengi,"wajumbe" tukumbushane huyu aliyeko sasa, ni lini alienda kanisani akaacha kungangania kupewa maiki?

Ni lini mliwahi kuona marais waliomtangulia wakiwa na misafara ya usalama kanisani?

Utawala umekosa presidential briefing, yaani Msigwa anakuja na habari zake huko toka Ikulu na waandishi hawana la kuhoji, thats absurd.

Anajihami kupigana vita ya kiuchumi lakini ajue tu hakuna vita ya mtu mmoja, ndio mwanzo wa ugonjwa wa moyo.

Nani kamwona Kikwete akiongelea mambo ya kitaifa msikiti wa Kinondoni?
Watanzania chagueni rais mwingine la sivyo mtapata aibu na hasara sana.
 
Watanzania chagueni rais mwingine la sivyo mtapata aibu na hasara sana.
Ushaona watu wameambiwa hata maendeleo ahwata pewa kisa wamechagua mbunge wa upinzani.
Yani JIWE hajui hata maana ya vyama vingi ndio maan kashayafanya CUF, NCCR na TLP kuwa matawi ya CCM.
sijui labda watanzania wabadilike kama wachagaa walivyoamua miaka yote liwalo na liwe, wagome kupeleka miundombinu na wazungu wagome kutembelea mbuga na mlima kilimanjaro.
 
pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
Huko mataga wote ni utopolo tupu,kuanzia no.1 mpka wa mwisho....wao hata jamaa akiachia hewa chafu watapiga makofi na kumsifia[emoji16]
.
 
Hakuna sheria yoyote inayokataza Kiongozi wa Nchi kutumia madhabahu kuhotubia. Hata hivyo madhabahu ni sehemu ya kawaida tu sawa na sehemu zingine ndani ya msikiti na ama kanisa.

Shida yako ni kuwa wewe ni miongoni mwa wananchi wachache wasiompenda kiongozi wa sasa wa nchi yetu.
Hili neno "wachache" lina maana nyingine siku hizi?
 
Back
Top Bottom