Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Afande Mwasifiga, siku Magufuli anadumbukizwa, kaburini, alikuwa anajisikiaje ?
 
Kuna uonevu wa kiaina ulifanywa mwingi sana,tatizo tukimpenda hata marehemu,hatupendi aambiwe ukweli,au akosolewe.Kuna doctor pale Tabora alishughukiwa kisa alienda hospital binafsi kufuata maslah kwa ajili ya maisha yake.Baba akasahau aliacha ualimu akaingia kwenye siasa.Tuamini ya Mungu ni mengi
 
Jua analifaidi au linamchoma ? Alafu kutangulia sio zambi na wala haiashirii ukitangulia ndio wewe ni mkosaji sana kuliko aliebaki.

Mbona Babu yako alimdunda sana Bibi yako na ndie alitangulia akamwacha bibi yako.
 
Magufuli alikuwa mpuuzi sana kwenye ubishiubishi na watendaji.

Najua serikalini wapigaji wengi na rais anatakiwa kukomaa, ila Magufuli alikuwa anabishana kwa ligi. Hataki kushindwa.

Ila kiboko yake ni yule jamaa aliyebishana naye kuhusu kuweka lift hospitali, Magufuli akamuuliza kwani wewe nyumbani kwako kuna lift? Jamaa akamjibu nyumbani kwangu si hospitali.

Halafu jamaa hata hakujibu kwa kiburi, ni kama alikuwa anamuelewesha rais tu kitaalamu lift hospitali ni muhimu, kuna wagongwa wataihitaji. Magufuli na ushamba wake hataki kuelewa somo.

Pale wenye akili walimuona Magufuli mjinga sana kulinganisha hospitali na nyumbani kwa mtu.
 
Jua analifaidi au linamchoma ? Alafu kutangulia sio zambi na wala haiashirii ukitangulia ndio wewe mi mkosaji sana kuliko aliebaki.

Mbona Babu yako alimdunda sana Bibi yako na ndie alitangulia akamwacha bibi yako.
Mimi mtu asiyejua tofauti ya zambi na dhambi siwezi kufanya mjadala naye wa kimantiki.

Kama hajui tofauti ya zambi na dhambi kiswahili atajuaje logical fallacy kilatini?

Kutojua tofauti ya zambi na dhambi ni ishara ya umbumbumbu na mimi sitaki mijadala na mbumbumbu.
 
Cc Stuxnet
 
Umepuy
Umepuyanga kijana...
Acha kujitetea.
Kifo ni lazima kwa kila mtu.
Atakufa Jambazi, Padri, Shekhe, asiye na dini, mwehu, mzinzi, mstaarabu, mkorofi, mtoto, mkubwa, raisi, raia na n. K na huwezi kwepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…