Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Umepuy

Umepuyanga kijana...
Acha kujitetea.
Kifo ni lazima kwa kila mtu.
Atakufa Jambazi, Padri, Shekhe, asiye na dini, mwehu, mzinzi, mstaarabu, mkorofi, mtoto, mkubwa, raisi, raia na n. K na huwezi kwepa
Kwani wapi nimesema kifo si lazima kwa kila mtu?

Nimesema Magufuli pamoja na ugangwe wake wote wa"naweza kukuvua nyota" kafa mapema kamuacha afande anadunda.

Sasa hapo ndiyo nimesema kifo si lazima kwa kila mtu?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe ngumbaru?
 
Kwani wapi nimesema kifo si lazima kwa kila mtu?

Nimesema Magufuli pamoja na ugangwe wake wote wa"naweza kukuvua nyota" kafa mapema kamuacha afande anadunda.

Sasa hapo ndiyo nimesema kifo si lazima kwa kila mtu?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe ngumbaru?
Ngumbaru mama yako..

Yaani mtu mzima mwenye akili una aandika... yeye amekufa mwenziye anadunda, ulitaka asife..? Kiazi wewe.
 
Unaweza kujitapa sana kwamba unaweza kumvua mtu manyota wakati wowote lakini huyo unayemvua manyota akaendelea kuishi na wewe na tambo lako lote la kumvua manyota ukafa ukamuacha.

Cheo ni dhamana, tusipende sana kujimwambafy kwa dhamana ya cheo.

Magufuli angeweza kumsikiliza Afande na kuamua kesi kwa busara bila kujimwambafy kwamba anaweza kumvua manyota.
Kwahiyo ukiwa kiongozi hupaswi kutumia mamlaka Yako Kwa sababu unaweza kufa na yule uliyemwajibisha akabaki hai? Ninani mwenye bima ya kuishi milele?
 
Mimi mtu asiyejua tofauti ya zambi na dhambi siwezi kufanya mjadala naye wa kimantiki.

Kama hajui tofauti ya zambi na dhambi kiswahili atajuaje logical fallacy kilatini?

Kutojua tofauti ya zambi na dhambi ni ishara ya umbumbumbu na mimi sitaki mijadala na mbumbumbu.
Tatizo lako unajifanya mjuaji kumbe ni Debe tupu tu,

Kwanini usiwaze kua rais amefanya ziara Gerezani na kukutana na wafungwa kua ni jambo jema? Kwani JPM alipanga kutembelea hilo gereza ili amshushe cheo huyo Afande?

Tatizo lako wewe jamaa una ujinga na kujiamini,ndio maana hua unaropoka tu,ukishaweka hivyo vingereza vyako unajiona hakuna mtu humu JF zaidi yako.
 
Ngumbaru mama yako..

Yaani mtu mzima mwenye akili una aandika... yeye amekufa mwenziye anadunda, ulitaka asife..? Kiazi wewe.
Magufuli kajitapa kuvua watu manyota lakini na yeye kavuliwa uhai hakuweza kuzuia kuvuliwa uhai.

Cheo ni dhamana, usinyanyase watu kwa cheo.

Najua wewe ngumbaru huwezi kuelewa somo, uwezo huo wa juelewa huna kwa sababu wewe guluguja huna ubongo wala uti wa mgongo.

Ila kuna watu wataelewa.
 
Logical non sequitur fallacy.

Hataishi milele ila Magufuli katangulia kufa kamuacha afande analifaidi jua bado.

Magufuli na mabobish yake yote ya "Naweza kukuvua manyota" hayakumsaidia kukishinda kifo.

Cheo ni dhamana, usikitumie kujimwambafy na kutishia watu.

Duniani wote tunapita tu.
Samia katumbua na kutumbua mbona Bado anaishi? Kufa kupo pale pale hata asingemtoa hiyo nyota JPM angekufa tu hata wewe unaye chambia guzi Bado utakufa tu Wala haihitaji mtu kumsema
 
Magufuli alikuwa mpuuzi sana kwenye ubishiubishi na watendaji.

Najua serikalini wapigaji wengi na rais anatakiwa kukomaa, ila Magufuli alikuwa anabishana kwa ligi. Hataki kushindwa.

Ila kiboko yake ni yule jamaa aliyebishana naye kuhusu kuweka lift hospitali, Magufuli akamuuliza kwani wewe nyumbani kwako kuna lift? Jamaa akamjibu nyumbani kwangu si hospitali.

Halafu jamaa hata hakujibu kwa kiburi, ni kama alikuwa anamuelewesha rais tu kitaalamu lift hospitali ni muhimu, kuna wagongwa wataihitaji. Magufuli na ushamba wake hataki kuelewa somo.

Pale wenye akili walimuona Magufuli mjinga sana kulinganisha hospitali na nyumbani kwa mtu.
Tuwekee ka clip kiongoz
 
Unaweza kujitapa sana kwamba unaweza kumvua mtu manyota wakati wowote lakini huyo unayemvua manyota akaendelea kuishi na wewe na tambo lako lote la kumvua manyota ukafa ukamuacha.

Cheo ni dhamana, tusipende sana kujimwambafy kwa dhamana ya cheo.

Magufuli angeweza kumsikiliza Afande na kuamua kesi kwa busara bila kujimwambafy kwamba anaweza kumvua manyota.
Jeshi halina hiyo kitu mbona, bora angekuwa ni raia hapo ungekuwa sawa huu mtazamo
 
Kwahiyo ukiwa kiongozi hupaswi kutumia mamlaka Yako Kwa sababu unaweza kufa na yule uliyemwajibisha akabaki hai? Nina mwenye bima ya kuishi milele?
Hapana,

Sikusema hupaswi kutumia mamlaka yako.

Kiongozi anapaswa kutumia mamlaka kwa kujenga hoja, kuonesha hapa mantiki iko hivi, tufanye hivi.

Si kwa kauli za "unanijua mimi nani? Nitakuvua nyota".

Magufuli alitumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja. Alitumia turufu yake ya mamlaka kama "argument from authority". Logical fallacy.Kwamba mtu anayeweza kuvua nyota ndiye yuko sawa, anayeweza kuvuliwa nyota akae kimya tu.

Hili ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wetu.

Hawawezi kutumia nguvu ya hoja, wanatumia hoja ya nguvu.
 
Magufuli kajitapa kuvua watu manyota lakini na yeye kavuliwa uhai hakuweza kuzuia kuvuliwa uhai.

Cheo ni dhamana, usinyanyase watu kwa cheo.

Najua wewe ngumbaru huwezi kuelewa somo, uwezo huo wa juelewa huna kwa sababu wewe guluguja huna ubongo wala uti wa mgongo.

Ila kuna watu wataelewa.
What a Rubbish!

Hivi una umri gani wewe? Mbona unaandika vitu vya kitoto sana? Kifo ni kwa kila kiumbe kilicho hai,wala hakuna dawa ya kukizuwia kifo siku ikifika,

Wewe utakizuwia kifo chako ili usife?
 
Magufuli kajitapa kuvua watu manyota lakini na yeye kavuliwa uhai hakuweza kuzuia kuvuliwa uhai.

Cheo ni dhamana, usinyanyase watu kwa cheo.

Najua wewe ngumbaru huwezi kuelewa somo, uwezo huo wa juelewa huna kwa sababu wewe guluguja huna ubongo wala uti wa mgongo.

Ila kuna watu wataelewa.
Aisee... Yaani bado unaandika pumba, wewe ni hamnazo.
Asingevua watu vyeo, je asingekufa..?
 
Kuna uonevu wa kiaina ulifanywa mwingi sana,tatizo tukimpenda hata marehemu,hatupendi aambiwe ukweli,au akosolewe.Kuna doctor pale Tabora alishughukiwa kisa alienda hospital binafsi kufuata maslah kwa ajili ya maisha yake.Baba akasahau aliacha ualimu akaingia kwenye siasa.Tuamini ya Mungu ni mengi
Kauli ilikuwa ni moja na ilieleweka kwa wengi, hutaki kufanya kazi serikalini acha

Na sio unazengea ofisini huhudumii watu viziri, kisha watu unawaambia njoo pale private ambako bei mmejipangia wenyewe

Mshika mawili, moja humponyoka
 
Back
Top Bottom