Mkasa wa Idi Amin na Wake Zake

Mkasa wa Idi Amin na Wake Zake

Wagalatia wanamchukia AMINI kwa hali na mali na kumzushia mengi yasiyo ya kweli kisa Uislamu wake

Haya ukimaliza muandike na huyu wako alichokifanya mana wanasema sadaka huanzia nyumbni ila ww umeanza kwa jirani
 
Wagalatia wanamchukia AMINI kwa hali na mali na kumzushia mengi yasiyo ya kweli kisa Uislamu wake

Haya ukimaliza muandike na huyu wako alichokifanya mana wanasema sadaka huanzia nyumbni ila ww umeanza kwa jirani
Mimi siyo Mkiristo.
 
3

Tabia ya Amin kuwa na mahusiano na wanawake wengi haikumpa nafasi ya kuwatimizia mahitaji ya kimwili wake zake. Kwa kipindi cha miaka miwili, waliishi maisha ya upweke katika jumba la Rais. Mwisho wote wakajitafutia wapenzi. Mpenzi wa Kay alikuwa daktari, Peter Mbalu-Mukasa kutoka hospitali ya Mulago. Daktari huyu alikuwa ameoa akijaaliwa kupata watoto kadhaa. Kay, mke wa Idi Amin alipewa mimba na Dokta Peter Mbalu-Mukasa.

Mnamo Machi 25, wake watatu wa Amin waliungana na kufanya sherehe kwa ajili ya michepuko yao! Walinzi waliowekwa na Amin kwa kuhofia kwamba Amin angefahamu jambo hilo, walimpigia simu kumpa taarifa. Kwa hasira Amin alizungumza katika simu akitishia kwamba angefika mahali hapo na kuwafukuza wote. Wake zake ambao wote walikuwa wamelewa, walimweleza abaki na Medina na aachane nao. Baadae waliwafukuza walinzi na kufunga milango.

Siku iliyofuata, Amin alitangaza kuachana na wake zake hao. Habari hii ikatangazwa redioni.

Huo haukuwa mwisho, Amin alikasirishwa mno na vitimbwi vya wake zake na alipanga kuwaonyesha yeye hakuwa mtu wa kuchezewa.

Tarehe 11 mwezi Aprili, karibia mwezi mmoja tangu atangaze kuachana na wake zake, Malyamu alikamatwa karibu na Tororo mpakani mwa Uganda na Kenya. Alituhumiwa kusafirisha bidhaa kwa magendo. Tarehe 30 Aprili, alifikishwa mahakamani, akatozwa faini na kuachiwa huru.

Mwaka uliofuata, tarehe 13 mwezi Machi, Malyam alipata ajali ya gari nje ya Kampala. Taarifa zisizo na mashaka zilisema ajali hiyo ilisababishwa na walinzi wa Amin. Amin alipoelezwa kuhusu ajali hiyo, aliuliza, “Amekufa?” Hakufa, aliumia mguu na mkono na alipelekwa Hospitali ya Mulago kwa matibabu. Baadaye Malyam aliamua kuhamia hospitali binafsi kwa gharama zake mwenyewe. Alikuwa mwenye maumivu makali na mguu wake uliumia vibaya.

‘Amin alikuwa mtu muungwana’, alikwenda hospitali kumjulia hali Malyamu. Alikwenda na watu kutoka ikulu pamoja na waandishi wa habari. Mbele ya watu alioenda nao na wahudumu wa afya, Amin aligombana na Malyamu. “Wewe ni mwanamke usiye na bahati,” Alimfokea: “Huwezi kuendesha maisha yako sawasawa.” Amin aliendelea kufoka. Aliendelea zaidi kwa kumshauri Malyam aende kwa mganga mzuri wa kienyeji ili amsaidie dhidi ya mabalaa yanayokuja.

Baadaye siku hiyo, Amin alimpigia simu Waziri wa Afya akimtaka Malyamu arudishwe katika hospitali ya umma. Waziri wa Afya alipatwa na kigugumizi, Amin akasisitiza, “Malyamu arejeshwe haraka.”

Inaendelea...

Soma: Jinsi ya Kuandika CV na Barua ya Maombi ya Kazi
 
4

Malyam alirudishwa hospitali ya umma. Alibaki hospitali kwa majuma kadhaa. Mwezi Juni alipopata nafuu, aliruhusiwa kutoka hospitali, akatumia nafasi hiyo kuondoka Uganda kwa madai ya kutafuta matibabu zaidi. Hakurudi! Alisafiri kwenda jiji la London akiwaacha watoto wake sita wakiangaliwa na wake wengine wa Amin.

Baada ya Malyam kuondoka, duka lake kwa amri ya Amin liliporwa vitu vyote. Kwa wakati huo, baba yake Malyam, Mzee Kibedi aliyekuwa na miaka sabini, aliamriwa na Amin achukue duka lile. Kibedi alitambua duka halikuwa na kitu lakini kwa sababu ya kumuogopa Amin, kila siku aliamka asubuhi, akaenda kuuza duka tupu!

Tutazame upande wa Kay. Baada ya Amin kuachana na Kay, baba yake Kay, Mwinjilisti Adroa alitaka kusafisha jina la familia. Aliomba suluhu na Amin na aliomba Amin amsamehe binti yake. Amin ambaye hakuwa anafahamu kama Kay alikuwa na mimba ya mwanaume mwingine, alikubali kumjengea nyumba nyumbani kwao, Arua.

Mwaka 1974 mwezi Agosti, Kay alikamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma ya kumiliki silaha kinyume cha sheria. Jambo hili bila shaka yoyote ilikuwa amri ya Amin. Hata silaha aliyotuhumiwa kuwa nayo, alipewa na Amin kwa ajili ya ulinzi binafsi. Amin ni mtu muungwana, alifika kituo cha polisi kumsalimia Kay. Hapo wakaanza kuzozana Kay akiwa nyuma ya nondo. Mwanamke alipiga kelele, “Huwezi kunifunga kwa sababu ya kumiliki silaha ambayo ulinipa mwenyewe.” Amin akajibu mashambulizi kwa kumuita malaya aliyestahili adhabu ile.

Baada ya malumbano, Amin aliondoka akimuacha Kay nyuma ya nondo mpaka asubuhi alipohojiwa. Alipoulizwa kama ni kweli alikuwa na silaha alijibu, “Ndiyo, silaha hizo ni mali ya mume wangu.” Alipewa onyo kisha akaachiwa.

Hata hivyo, Kay hakuchukua muda mrefu!

Jumatatu asubuhi, tarehe 14 mwezi Agosti saa tatu asubuhi, hospitali ya Mulago ilimpigia simu waziri wa afya wakati huo akiwa Henry Kyemba na ofisi zake zikiwa Entebbe. Alifahamishwa kwamba, daktari wake, Mbalu-Mukasa, alikuwa na hali mbaya hospitali. Mke na watoto wake watano walikuwa hospitali, wote wanaumwa mahututi. Mbalu Mkasa, kijogoo aliyemtia mimba mke wa Amin, alizidisha dozi ya dawa za usingizi kwake mwenyewe, mke wake na watoto. Mtoto mdogo zaidi alionwa baadae akiwa ndani ya kabati na blanketi kichwani. Waziri wa afya alishtushwa na habari hizi, walisoma pamoja chuo na alikuwa daktari mkongwe. Haukupita muda katika kushangaa kwake, akajulishwa kwamba Mbalu Mkasa alipoteza maisha, na matumaini ya kuishi yalibaki kwa mke na watoto.

Inaendelea...

Soma: Jinsi ya Kuandika CV na Barua ya Maombi ya Kazi
 
4

Malyam alirudishwa hospitali ya umma. Alibaki hospitali kwa majuma kadhaa. Mwezi Juni alipopata nafuu, aliruhusiwa kutoka hospitali, akatumia nafasi hiyo kuondoka Uganda kwa madai ya kutafuta matibabu zaidi. Hakurudi! Alisafiri kwenda jiji la London akiwaacha watoto wake sita wakiangaliwa na wake wengine wa Amin.

Baada ya Malyam kuondoka, duka lake kwa amri ya Amin liliporwa vitu vyote. Kwa wakati huo, baba yake Malyam, Mzee Kibedi aliyekuwa na miaka sabini, aliamriwa na Amin achukue duka lile. Kibedi alitambua duka halikuwa na kitu lakini kwa sababu ya kumuogopa Amin, kila siku aliamka asubuhi, akaenda kuuza duka tupu!

Tutazame upande wa Kay. Baada ya Amin kuachana na Kay, baba yake Kay, Mwinjilisti Adroa alitaka kusafisha jina la familia. Aliomba suluhu na Amin na aliomba Amin amsamehe binti yake. Amin ambaye hakuwa anafahamu kama Kay alikuwa na mimba ya mwanaume mwingine, alikubali kumjengea nyumba nyumbani kwao, Arua.

Mwaka 1974 mwezi Agosti, Kay alikamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma ya kumiliki silaha kinyume cha sheria. Jambo hili bila shaka yoyote ilikuwa amri ya Amin. Hata silaha aliyotuhumiwa kuwa nayo, alipewa na Amin kwa ajili ya ulinzi binafsi. Amin ni mtu muungwana, alifika kituo cha polisi kumsalimia Kay. Hapo wakaanza kuzozana Kay akiwa nyuma ya nondo. Mwanamke alipiga kelele, “Huwezi kunifunga kwa sababu ya kumiliki silaha ambayo ulinipa mwenyewe.” Amin akajibu mashambulizi kwa kumuita malaya aliyestahili adhabu ile.

Baada ya malumbano, Amin aliondoka akimuacha Kay nyuma ya nondo mpaka asubuhi alipohojiwa. Alipoulizwa kama ni kweli alikuwa na silaha alijibu, “Ndiyo, silaha hizo ni mali ya mume wangu.” Alipewa onyo kisha akaachiwa.

Hata hivyo, Kay hakuchukua muda mrefu!

Jumatatu asubuhi, tarehe 14 mwezi Agosti saa tatu asubuhi, hospitali ya Mulago ilimpigia simu waziri wa afya wakati huo akiwa Henry Kyemba na ofisi zake zikiwa Entebbe. Alifahamishwa kwamba, daktari wake, Mbalu-Mukasa, alikuwa na hali mbaya hospitali. Mke na watoto wake watano walikuwa hospitali, wote wanaumwa mahututi. Mbalu Mkasa, kijogoo aliyemtia mimba mke wa Amin, alizidisha dozi ya dawa za usingizi kwake mwenyewe, mke wake na watoto. Mtoto mdogo zaidi alionwa baadae akiwa ndani ya kabati na blanketi kichwani. Waziri wa afya alishtushwa na habari hizi, walisoma pamoja chuo na alikuwa daktari mkongwe. Haukupita muda katika kushangaa kwake, akajulishwa kwamba Mbalu Mkasa alipoteza maisha, na matumaini ya kuishi yalibaki kwa mke na watoto.

Inaendelea...

Soma: Jinsi ya Kuandika CV na Barua ya Maombi ya Kazi
Duuu,jamaa lilikuwa noma sana
 
4

Malyam alirudishwa hospitali ya umma. Alibaki hospitali kwa majuma kadhaa. Mwezi Juni alipopata nafuu, aliruhusiwa kutoka hospitali, akatumia nafasi hiyo kuondoka Uganda kwa madai ya kutafuta matibabu zaidi. Hakurudi! Alisafiri kwenda jiji la London akiwaacha watoto wake sita wakiangaliwa na wake wengine wa Amin.

Baada ya Malyam kuondoka, duka lake kwa amri ya Amin liliporwa vitu vyote. Kwa wakati huo, baba yake Malyam, Mzee Kibedi aliyekuwa na miaka sabini, aliamriwa na Amin achukue duka lile.

Kibedi alitambua duka halikuwa na kitu lakini kwa sababu ya kumuogopa Amin, kila siku aliamka asubuhi, akaenda kuuza duka tupu!

Tutazame upande wa Kay. Baada ya Amin kuachana na Kay, baba yake Kay, Mwinjilisti Adroa alitaka kusafisha jina la familia. Aliomba suluhu na Amin na aliomba Amin amsamehe binti yake. Amin ambaye hakuwa anafahamu kama Kay alikuwa na mimba ya mwanaume mwingine, alikubali kumjengea nyumba nyumbani kwao, Arua.

Mwaka 1974 mwezi Agosti, Kay alikamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma ya kumiliki silaha kinyume cha sheria. Jambo hili bila shaka yoyote ilikuwa amri ya Amin. Hata silaha aliyotuhumiwa kuwa nayo, alipewa na Amin kwa ajili ya ulinzi binafsi. Amin ni mtu muungwana, alifika kituo cha polisi kumsalimia Kay. Hapo wakaanza kuzozana Kay akiwa nyuma ya nondo. Mwanamke alipiga kelele, “Huwezi kunifunga kwa sababu ya kumiliki silaha ambayo ulinipa mwenyewe.” Amin akajibu mashambulizi kwa kumuita malaya aliyestahili adhabu ile.

Baada ya malumbano, Amin aliondoka akimuacha Kay nyuma ya nondo mpaka asubuhi alipohojiwa. Alipoulizwa kama ni kweli alikuwa na silaha alijibu, “Ndiyo, silaha hizo ni mali ya mume wangu.” Alipewa onyo kisha akaachiwa.

Hata hivyo, Kay hakuchukua muda mrefu!

Jumatatu asubuhi, tarehe 14 mwezi Agosti saa tatu asubuhi, hospitali ya Mulago ilimpigia simu waziri wa afya wakati huo akiwa Henry Kyemba na ofisi zake zikiwa Entebbe. Alifahamishwa kwamba, daktari wake, Mbalu-Mukasa, alikuwa na hali mbaya hospitali. Mke na watoto wake watano walikuwa hospitali, wote wanaumwa mahututi. Mbalu Mkasa, kijogoo aliyemtia mimba mke wa Amin, alizidisha dozi ya dawa za usingizi kwake mwenyewe, mke wake na watoto. Mtoto mdogo zaidi alionwa baadae akiwa ndani ya kabati na blanketi kichwani. Waziri wa afya alishtushwa na habari hizi, walisoma pamoja chuo na alikuwa daktari mkongwe. Haukupita muda katika kushangaa kwake, akajulishwa kwamba Mbalu Mkasa alipoteza maisha, na matumaini ya kuishi yalibaki kwa mke na watoto.

Inaendelea...

Soma: Jinsi ya Kuandika CV na Barua ya Maombi ya Kazi

4

Malyam alirudishwa hospitali ya umma. Alibaki hospitali kwa majuma kadhaa. Mwezi Juni alipopata nafuu, aliruhusiwa kutoka hospitali, akatumia nafasi hiyo kuondoka Uganda kwa madai ya kutafuta matibabu zaidi. Hakurudi! Alisafiri kwenda jiji la London akiwaacha watoto wake sita wakiangaliwa na wake wengine wa Amin.

Baada ya Malyam kuondoka, duka lake kwa amri ya Amin liliporwa vitu vyote. Kwa wakati huo, baba yake Malyam, Mzee Kibedi aliyekuwa na miaka sabini, aliamriwa na Amin achukue duka lile. Kibedi alitambua duka halikuwa na kitu lakini kwa sababu ya kumuogopa Amin, kila siku aliamka asubuhi, akaenda kuuza duka tupu!

Tutazame upande wa Kay. Baada ya Amin kuachana na Kay, baba yake Kay, Mwinjilisti Adroa alitaka kusafisha jina la familia. Aliomba suluhu na Amin na aliomba Amin amsamehe binti yake. Amin ambaye hakuwa anafahamu kama Kay alikuwa na mimba ya mwanaume mwingine, alikubali kumjengea nyumba nyumbani kwao, Arua.

Mwaka 1974 mwezi Agosti, Kay alikamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma ya kumiliki silaha kinyume cha sheria. Jambo hili bila shaka yoyote ilikuwa amri ya Amin. Hata silaha aliyotuhumiwa kuwa nayo, alipewa na Amin kwa ajili ya ulinzi binafsi. Amin ni mtu muungwana, alifika kituo cha polisi kumsalimia Kay. Hapo wakaanza kuzozana Kay akiwa nyuma ya nondo. Mwanamke alipiga kelele, “Huwezi kunifunga kwa sababu ya kumiliki silaha ambayo ulinipa mwenyewe.” Amin akajibu mashambulizi kwa kumuita malaya aliyestahili adhabu ile.

Baada ya malumbano, Amin aliondoka akimuacha Kay nyuma ya nondo mpaka asubuhi alipohojiwa. Alipoulizwa kama ni kweli alikuwa na silaha alijibu, “Ndiyo, silaha hizo ni mali ya mume wangu.” Alipewa onyo kisha akaachiwa.

Hata hivyo, Kay hakuchukua muda mrefu!

Jumatatu asubuhi, tarehe 14 mwezi Agosti saa tatu asubuhi, hospitali ya Mulago ilimpigia simu waziri wa afya wakati huo akiwa Henry Kyemba na ofisi zake zikiwa Entebbe. Alifahamishwa kwamba, daktari wake, Mbalu-Mukasa, alikuwa na hali mbaya hospitali. Mke na watoto wake watano walikuwa hospitali, wote wanaumwa mahututi. Mbalu Mkasa, kijogoo aliyemtia mimba mke wa Amin, alizidisha dozi ya dawa za usingizi kwake mwenyewe, mke wake na watoto. Mtoto mdogo zaidi alionwa baadae akiwa ndani ya kabati na blanketi kichwani. Waziri wa afya alishtushwa na habari hizi, walisoma pamoja chuo na alikuwa daktari mkongwe. Haukupita muda katika kushangaa kwake, akajulishwa kwamba Mbalu Mkasa alipoteza maisha, na matumaini ya kuishi yalibaki kwa mke na watoto.

Inaendelea...

Soma: Jinsi ya Kuandika CV na Barua ya Maombi ya Kazi
Duuh, hatari sana!
 
Naomba kitabu cha Idi Amin Field Marshal chenye mastori yote. Stori zake zinachekesha sana. Jiwe asingedhibitiwa angefika pabaya
 
Back
Top Bottom