#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: TUESDAY, 18th JUNE 2024
MWALIMU/ KIONGOZI WA KANISA A ALIYEWAHI KUFUNDISHA MASOMO KADHAA CHINI YA KICHWA KIKUU CHA SOMO KILICHOSEMA “YESU KUFANYIKA DHAMBI”


Somo hilo la zamani lililowahi kubeba kichwa “YESU KUFANYIKA DHAMBI”, lilifundishwa na mwalimu ambaye kwenye kipindi hiki cha sasa hadi kufikia wiki jana, amekuwa kwa wiki kadhaa sasa akifundisha somo jingine lenye kichwa kinachosema “ROHO MTAKATIFU NI ROHO WA UREJESHO”

Huyu “ROHO MTAKATIFU (RM) NI ROHO WA UREJESHO” kwa watu gani?

Jibu lake ni obvious kuwa ni kwa wenye dhambi, akiwemo YESU mwenyewe kwa sababu “YESU ALIWAHI KUFANYIKA DHAMBI”

Kutokana na hali hiyo, RM ni ROHO WA UREJESHO hata kwa wale WALIOLAWITIANA wiki hii na taarifa zao kusambaa kwenye media

Hapa ilikuwa ni muhimu kwamba mmojawapo wa wahusika tukio hli alitakiwa awe MWANAFUNZI, ili kitendo hicho kiweze ku-mcover vizuri YESU PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE, na ambao ndiyo aliwashukia siku ya Pentekoste baada ya kupaa mbinguni, safari hii akiwa ni ROHO MTAKATIFU

ROHO MTAKATIFU alishuka siku ya Penetkoste na aliwashukia WANAFUNZI WA YESU, na ambaye in essence, alikuwa ni Yesu yule yule ila safari akiwa kwenye nafsi ya tatu ya MUNGU ROHO MTAKATIFU

Kwa hiyo watu wa kwanza kabisa kumpokea RM hapa duniani kwa mara ya kwanza na hivyo kuwa ndiyo wenyeji wake, walikuwa ni WANAFUNZI WA YESU

BAADA YA PEPO KURUSHWA KUPITIA MADHABAHU YA KANISA A J2 YA TAREHE 07/06/2024 ULIHITAJIKA USAMBAZAJI SASA ILI PEPO HUYU AWEZE KUENEA


Wakati watu hawa wanalawitiana na hatimaye taarifa zao kusambaa kwenye MEDIA, tayari pepo huyu alikuwa ameshaachiwa kutoka kwenye madhabahu ya Kanisa A. Hawa walawitianaji kazi yao hasa ilikuwa ni kumsambaza tu huyu PEPO il aweze kusambaa kwenye DATABASE, database ya jamii ya ndani na ya nje ya nchi

Mwalimu ambaye amekuwa akifundisha somo hili, ndiyo mwalimu yule yule ambaye kipindi kirefu kilichopita, waumini wa Kanisa A walipokuwa bado wanaabudu kwenye Kanisa la zamani, kwa mara kadhaa na katika vipindi tofauti tofauti, aliwahi kufundisha series za somo hlili lenye kichwa cha YESU KUFANYIKA DHAMBI; isipokuwa kwa kipindi hicho somo hili alikuwa akilifundisha kwenye siku za J2 tu

Uwezeakano mkubwa ni kwamba somo la kipindi hiki la RM NI ROHO WA UREJESHO, lilitakiwa kuendelea pia hata kwenye Ibada kuu ya siku ya jana J2 ya tarehe 16/06/2024 isipokuwa pengine mcheche wa mhusika kutokuwa mwangalifu kwenye posts zake, ndiyo ule uliopelekea somo hilo kuahirishwa na kupelekea mwalimu mwingine ambaye alikuwa hajawahi hata mara moja kusimama kuhudumu kwenye Ibada kuu za J2, kupewa nafasi hiyo kwa mara ya kwanza

Kinachoweza kuwa kilipelekea utaratibu kubuniwa, yaweza kuwa ni posts hii hapa #2,080 aliyoipost mhusika Jumamosi illiyopita, masaa kadhaa kabla ya J2 kuingia

Ikumbukwe pia kuwa tangu March 2021, kwenye J2 zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada za kwanza badala ya Ibada za pili, mwalimu wa somo kwa J2 zote hizo huwa ni huyu mwenye taarifa hizi, ukiondoa J2 moja tu ya hivi karibuni mwezi uliopita ambayo KM-A alilazimika kubuni Meza ya Bwana ya ghafla na hivyo kwenye J2 hiyo, KM-A kusimama yeye kwa muda mfupi kwenye Ibada kuu ya asubuhi

NAMNA AMBAVYO SOMO HILI LA ROHO MTAKATIFU NI ROHO WA UREJESHO, LIMEKUWA LIKIFUNDISHWA KWA MSISITIZO WA PEKEE TANGU SIKU LILIPOANZA KUFUNDISHWA WIKI KADHAA ZILIZOPITA

Katika hali ya kawaida, somo kuu na refu lenye vipengele kadhaa au series na ambalo hufundishwa kwenye Ibada kuu za J2, huwa halifundishwi tena katikati ya wiki kwa sababu ni waumini wachache tu ambao huwa wanahudhiuria Ibada za katikati ya wiki, ukilinganisha na idadi ya wale ambao huwa wanahudhuria kwenye Ibada kuu za kila J2

Kabla ya kuendelea zaidi wasomaji wanaombwa kuzipitia posts hizi hapa ambazo zinahusiana na maelezo ya masomo yaliyowahi kufundishwa zamani chini ya kichwa “YESU KUFANYIKA DHAMBI”

Masomo hayo yalifundishwa huku yakiwa yameficha code muhimu sana kwenye ukristo kwa sababu YESU aliagiza wakristo waombe kwa jina lake, yaani kwa JINA LA YESU, na ndiyo maana katika hali ya kawaida, sala zote au maomb yote sahihi ya kikristo, huwa yanahitimishwa na maneno “… KWA JINA LA YESU”

Posts hizo ni

#1,036

#1,023

#1,040

#608

Na pia posts zingine za nyongeza zinazohusiana na somo hilo ni hizi hapa

#1,964

#1,668

#1,186

#1,040

#1,036

#1,034

#1,023

#796

#608

#414

Kwa hiyo kilichofanyika kwenye Ibada ya wiki juzi ya J2 tarehe 07/06/2024, ni RENEWAL tu ya pepo huyu kwa sababu pepo huyu alisharushwa siku nyingi zaidi ya miaka mitatu iliyopita nyuma

Baada ya RENEWAL.usambazaji ulianza sasa ndiyo pale walipopatiakana na hata wale walawitianaji waliosambaza wenyewe taarifa zao kwenye media

KITU KINGINE KIKUBWA ZAIDI KILICHOFANYWA NA PEPO HUYU BAADA YA KUWA AMERUSHWA

Maombi yote yaliyohusisha JINA LA YESU aidha kwa kulitaja au kwa kulitumia kuhitimsiha maombi, yalikuwa YANAFUTIKA na hivyo, hayakuwa yanafanya kazi

Kwa hiyo INFECTION hasa iliyofanywa na pepo huyu ni kwenye nafsi, roho, miili na akili za watu, ikiwa pamoja na kuhakikisha kuwa hakuna tena maombi ya UREJESHO WA vyote hivi vilivytajwa hapa kwa sababu kule zinakotakiwa kuhifadhiwa baada ya urehjesho, (JINA LA YESU), ghala lilikuwa limebomolewa kwa bomu la nuclear

YALE YALIYOMSIBU MHUSIKA NDANI YA WIKI ILIYOPITA BAADA YA PEPO HUYU KUWA AMERHWA TENA

Baada ya pepo huyu kuwa amerushwa tena J2 tajwa, kule nyumbani kwake mhusika, jioni ya siku hiyo JIRANI MAJI MACHAFU (JMM) aliingia tena kwa mara ya pili ndani ya kipindi kifupi sana, na hivyo KUANZA KUTIRIRISHA TENA MAVI KWA MARA PILI(ikiwa ni ndani ya kipindi cha wiki moja tu) kupiia nyumbani kwa mhusika.

Mbali na hilo, kule ofisini kwake nako pia MNUNUZI WA GARI (MWG), MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) na watu wengine kadhaa, nao pia waliingia kazini, safari hii wakimhusisha na mtu mwingine mgeni kutoka nje ya taasisi ambaye ana uhusiano na wote wawili MWG na MMU

Taarifa zaidi zinafuata

……………………………inaendelea
 
…..inaendelea

YALE YALIYOJIRI UPANDE WA MHUSIKA NDANI YA WIKI ILIYOPITA


Huku mafuriko ya mavi yakiwa yanaendelea nyumbani kwake, mara baada ya kufika ofisini tu asubuhi J3 ya tarehe 10/06/2024, mhusika alijaza ONLINE WORKS ORDER kwa ajili ya kutoa taarifa za tukio hilo kwa mamlaka husika

Ikumbukwe kuwa kabla ya siku hiyo, J4 ya wiki iliyokuwa imepita nyuma, yaani ile ya tarehe 04/06/2024, mhusika aliwahi kufika physically kwenye mamlaka hiyo hiyo kwa tatizo la awali la mafuriko ya mavi lililokuwa limeanza tangu Ijumaa ya tarehe 31/05/2024

Siku hiyo mamlaka hizo zilimjulisha mhusika kuwa kwa utaratibu uliokuwepo awali umeshabadilika na kwa sasa hatakiwi tena kuwa anakwenda physically huko kwa sababu tayari kuna form ambayo iko online na hivyo anaweza akajaza tu form hiyo online na taarifa za tatizo lake kujulikana ikiwa ni pamoja na kushughulikiwa

Baada ya kupewa maelezo hayo siku hiyo, mhusika alirudi ofisini, akajaza form online na J4 hiyo aliporudi nyumbani, alikuta tatizo la mafuriko ya mavi halipo tena

  • Hata hivyo, tatizo la mavi lilikuwa limekuja llikiwa limeambatana na tazito jingine la bomba la maji machafu ya jikoni kuziba pia
  • Tatizo hili siyo geni kwake analifahamu fika; na ni tatizo ambalo nalo pia huwa linakuwa manipulated
  • Kwa hiyo kitu kingine kilichokuwa kinatarajiwa siku hiyo alipoenda kwenye mamlaka husika kuripoti tatizo la mavi, ni kwamba mhusika angeweza kuomba mafundi awachukue kwenye gari lake aende nao wakaingie ndani nyumbani kwake ili waweze kusaidia tatizo hilo
Mhusika hakufanya hivyo kwa sababu tatizo la maji hayo ya jikoni siyo geni kwake kuna namna ambavyo huwa linatengenezwa kwa makusudi; huku details za namna ambavyo huwa linatengenezwa, akiwa bado anaendelea kuzifanyia utafiti

Vinginevyo katika hali ya kawaida, yeye mwenyewe huwa anaweza kulizibua vizuri tu bomba hilo kwa kutumia kifaa kidogo tu cha kuzibulia, na pale inapokuwa pengine imetokea kuwa yeye hawezi kulizibua, jibu ni kwamba katika hali hiyo anatakiwa sasa akaombe fundi aje aingie ndani kwa ajili ya kulizibua, ilhali tatizo lenyewe ni la kutengeneza!

Kwa hiyo, kutokana na maelezo aliyoyatoa hapo juu, J3 ya tarehe 10/06/2024 mhusika alitumia tu ule utaratibu mpya wa kujaza online request form halafu baada ya hapo akaendelea na kazi zake ofisin

  • Hata hivyo kwa safari hii, hali ilikuwa tofauti na ilivyokuwa kwa online request form ya kwanza aliyowahi kuijaza awali J4 ya tarehe 04/06/2024
  • J3 hiyo baada ya saa 11 wakati mhusika narudi nyumbani akitokea ofisini, alikuta mafuriko hayajashughulikiwa na choo chake kilikuwa kimefurika mavi hadi juu, na katika namna ambayo hapakuwa na uwezekano hata wa kujisaidia
  • Mavi hayo yalikuwa yako treated, kwa maana kuwa yalikuwa hayatoi harufu; possibly ili majirani wasije wakasikia harufu yake ikiwa inatokea nyumbani kwake
  • Mbali na hayo, maji mengine yenye mavi yalikuwa yamefurika nyumba nzima hadi sebuleni
Mhusika aliyasafisha yale ya sebuleni, na baada ya hapo alipuliza dawa ya kuondoa harufu mbaya halafu akatulia

Kabla mhusika hajayasfisha maji hayo, fundi ambaye ni mtaalamu wa kuzibua bomba la jikoni pale ambapo mhusika huwa ameshindwa kulizibua, aligonga hdi nyumbani kwa mhusika

Uwezekano ni kwamba fundi huyu analetwa kutoka mtaani; si mwajiriwa wa taasisi

  • Fundi huyu alishawahi kufika mara mbili mfululizo na ndani ya kama wiki moja tu mwaka 2022, kwa ajli ya kuzibua bomba hilo lilipokuwa limeziba na kumshinda mhusika kulizibua; na katika safari zote hizi, fundi huyu alikuwa anakwepa sana kuonana na mhusika nyumbani kwake
  • Pattern iliyojitokeza kipindi hicho ni kwamba kila bomba lilipokuwa linaziba na mhusika hatimaye mhusika kutoa taarifa, fundi huyu alikuwa anaeanda na kulizibua ndani ya muda mfupi sana, huku akiwa anakwepa kuonana au kuongea na mhusika
Ndani ya wiki moja bomba liliziba mara tatu, huku fundi akilizibua mara mbili na kwa muda mfupi sana, huku akiwa anakwepa kabisa kuonana na mhusika

  • Baada ya kuwa amelizibua mara tatu, bomba hili lilikuja kuziba tena mara ya nne, wageni wakiwa tayari wameshaondoka, na safari mhusika hakwenda tena kutoa taarifa za kuhitaji fundi
  • Baada ya “kukausha”, zilipita siku kadhaa mbele, na baada ya hapo siku moja mhusika alikuta bomba la maji safi ya jikoni, limeminywa mkono na limechomoka kutoka kwenye shina lake.
Hapa sasa mhusika alitakiwa akatoe taarifa ili aje afungiwe mkono mwingine

  • Hata hivyo,mhusika hakufanya hivyo bali alienda dukanai akanunua mpira (rubber) na kuja kuuunganisja mkono huo wa bomba na shina lake kwa kutumia mpira huo
  • Kwa hiyo hadi leo, bomba la jikoni liko katika hali hiyoi
Haya ndiyo baadhi tu yale yaliyowahi kutokea hapo kabla, yakimhusisha fundi huyu ambaye alikuwa anagonga nyumbani kwa mhusika; muda wa baada ya saa za kazi, yaani baada ya saa 11 jioni

Baada ya kusalimiana, fundi aliuliza swali na mhusika alimjibu na maongezi yao yaliishia pale akaondoka

J3 hiyo, fundi huyu hakuwa amekuja kushughulikia swala la mafuriko ya mavi, bali alikuja kuona kama mhusika angeweza kumkaribisha ndani ili aweze kushughulikia swala la bomba la maji machafu ya jikoni

J3 hiyo ikapita

Kesho yake siku ya J4 ya tarehe 11/h06/2024 mhusika hakushughulika tena na swala la kujaza online form request nyingine bali alikaa tu ofisini akiendelea na mambo mengine

SIKU NYINGINE ILIYOFUATA J5 YA TAREHE 12/06/2024

Siku hiyo, mhusika aliamua kurudi tena kwenye mamlaka husika ili akawajulishe kwa mdomo kwa sababu utaratibu wa kujaza online request form ulikuwa umeshindwa kufanya kazi

J5 hiyo, mhusika alianzia ofisini kwanza; kukwepa risk ya kuanzia moja kwa moja kwenye mamlaka za nyumba; just in case of anything; kwa sababu angeanzia kule halafu huko likaenda kutokea la kumtokea, mamlaka hizo zingeruka mita elfu tano zikisema kuwa “huyu mtu tulishamjulisha kuwa utaratibu wa kuripoti matukio unafanyika online, yeye bado anaendelea kuja huku kufanya nini?”

BAADA YA KUFIKA OFISINI SIKU HIYO; AKIWA BADO YUPO KWENYE PARKING

Baada ya kushuka kwenye gari, walikutana ghafla kwenye parking na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE), na wakasalimiana kwa salamu ya kawaida ya siku zote “BWANA YESU ASIFIWE”

BWANA YESU ASIFIWE huyu; ndiyo yule ambaye J2 iliyokuwa imepita, alikuwa amerushiwa pepo kwa sababu aliwahi kufanyika dhambi

Baada ya hapo, mhusika alielekea ofisini kwake akajaza tena kwa mara pili online request form nyingine kwa siku hiyo na baada ya hapo akawasha gari kuelekea miliki za nyumba

…………………….inaendelea
 
J5 HIYO BAADA YA KUWA AMEWASILI TENA KWENYE MAZINGIRA YA OFISI ZA MILIKI ZA NYUMBA

Mtu husika ambaye mhusika hasa alikuwa akimhitaji hakumkuta ofisini kwake, ilielezwa luwa alikuwa amelekea kwenye jengo la Central Administration

Muda ulikuwa ni baada ya saa 4 asubuhi lakini kulikuwepo mafundi wawili ambao walionekana kuwa hawakuwa wameenda site siku hiyo

  • Mmoja wa mafundi hao alikuwa ni yule aliyewahi kugonga nyumbani kwa mhusika siku ya J3 ya wiki hiyo muda wa baada ya saa 11:00 jioni, na mwingine wa pili mhusika hakumfahamu
  • Mafundi hao walikuwa wamekaa nje ya ofisi, mahali ambapo si mbali sana kutoka mahali ofisi ya boss wao ilipo
Haikuwa kitu cha kawaida sana kwa mafundi hao kuwepo eneo hilo kwenye majira hayo kwa sababu kawaida mafundi wote huwa wanatawanyika kwenda site baada ya saa 2:00 kamili asubuhi

Baada ya mhusika kuelezwa kuwa boss wa mafundi hao hakuwepo, aliamua kuelekea jengo la Utawala kwenda kumuulizia

Ndani ya jengo hilo mhusika na boss huyo walikutana nje kwenye korido

Baadhi tu ya mambo ambayo boss huyo alimweleza mhusika ni kwamba

  • Online request forms zake alizokuwa amezituma ndani ya wiki hiyoo, zote alikuwa hajazipata, yaani zile za J3 na za siku hiyo ya J5 pia
  • Simu ambayo mhusika aliipiga kwake, aliiona kama missed call, na yeye alipojaribu kumpigia mhusika, simu yake haikuwa na majibu
Hapo wawili hawa walikuwa wanaongea huku wakiwa wanaelekea ofisini kwa boss huyu

Huko walikokuwa wanaelekea hatimaye walifika na kuishia nje, hawakuingia ndani ofisini kwa sababu mafundi husika wa kazi walikuwa wapo nje pembezoni mwa ofisi ya boss wao

  • Maongezi yao yalifanyikia hapo nje ya ofisin na baada ya hapo, boss huyo alimuahidi mhusika kushughulika tatizo lake
  • Hata hivyo, katika kujaribu ku-probe mambo, mhusika naye alijaribu kum-prompt boss huyo kwa kumweleza kuwa hata jikoni nako pia kulikuwa na bomba la maji machafu ambalo lilikuwa limeziba
Baada hya hapo, boss huyo alimjibu mhusika kwa kumuuliza kuwa mafundi wake wangewezaje kuingia ndani kwake kulishughulikia kama yeye hatakuwepo nyumbani kwake

Mhusika alimjibu boss huyo kuwa anachohitaji ni mafundi hao walishughulikie bomba hilo kwa nje, halafu yeye mwenyewe atashughulika nalo kwa ndani

Maongezi yao yaliishia hapo na mhusika alianza safari ya kurudi ofisini kwake

AKIWA ANATOKA NJE, ALIPOFIKA GETINI KWENYE CHECKPOINT ILI ARUHUSIWE KUTOKA


Ghafla alijitokeza staff wa huko aliyekuwa amekaa ndani ya security post, na kumuomba mhusika lift ili amwache mahali fulani njiani

  • Mhusika alitoa udhuru na hakumchukua mtu huyo
  • Mtu huyu ana affliation na MNUNUZI WA GARI na wanafahamiana na pia wanachangia lugha ya kuzaliwa
Huyu ni mtu wa kwanza mwenye kuwa na affliation na MWG. Bado wapo wengine wawili maelezo yao yatafuta pindi mhusika atakapokuwa anatoa taarifa za MWG

BAADA YA KU-DECLINE KUMPA LIFT MTU ALIYEKUWA AMEKAA KWENYE SECURITY POST YA MILIKI ZA NYUMBA

Mhusika alinyoosha moja kwa moja hadi ofisini kwake

Baada ya kupaki gari lake sehemu sahihi, alielekea ofisini na kuendelea na kazi zake

Jioni alipokuwa anatoka ofisini, alikuta gari lake likiwa limezibwa na gari la MWG; baada ya MWG kuamua kupaki gari vibaya kwa maukusudi

Hapo mhusika alilazimika kumpigia simu MWG ili aje ampishe aweze kutpka

MWG alichukua takribani dakika 10 tangu apokee simu ya hadi kuja kumpisha mhusika

Halafu umbali kidogo kutoka pale lilipokuwa limepaki gari la mhusika, kulikuwa na binti ambaye mhusika hakuweza kufahamu kama alikuwa ni mwanafunzi ama la, ambaye alikuwa amekaa amejitegesha huku akiwa amekaa vibaya na kwa makuusdi ili mhusika aweze kuona maumbile yake ya ndani ikiwa ni pamoja na nguo zake za ndani, na hicho ndiyo kilichopelekea MWG akachelewa kuja kumpisha mhusika

Hili lilikuwa ni dili kati ya binti huyo na MWG

Haya matukio ya watu kuonyesha maumbile ya ndani, tayari alishakamilisja utafiuti wake na anayajua vizuri sana, na mara nyingi sana watu wa aina hii huwa wanamfanyia timing kwenye sehemu za parking za gari pale Mlimani City, hasa pale inapotokea parking husika hakuna watu wengi

………………………itaendelea

UPNEXT

MENGINE YA HIVI KARIBUNI MWAKA JANA YALIYOWAHI KUFANYWA NA HUYU FUNDI ALIYEMGONGEA MHUSIKA NYUMBANI KWAKE SAA 11 JIONI


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU

MAELEZO HAYA YANAYOENDELA MUDA HUU NDIYO YALE YANAYOENDANA NA HOJA YA MHUSIKA ALIYOWAHI KUITOA KUPITIA POST HII HAPA #2,073

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 19th JUNE 2024
……..kabla mhusika hajendelea tena na mada iliyopo hapo juu..........

KITU CHA PEKEE SANA KILICHOFANYIKA KWENYE IBADA YA J2 ILIYOPITA BAADA YA IBADA KUU KUHITIMISHWA

BAADA YA IBADA KUU KUHITIMISHWA NA MTUMISHI WA MUNGU ALIYEKUWA ANAHUDUMU J2 HIYO, HATIMAYE KIONGOZI WA WATOTO ALIPANDA JUU NA MADHABAHUNI NA KUWALAANI WAKRISTO WOTE KWA MAANA YA KUWA ALIRUSHA PEPO LA LAANA KWA WAKRISTO WOTE POPOTE WALIPO


Fungu alilotumia kiongozi huyu kuwalaani WAKRISTO wote, liko kwenye Maandiko Matakatifu ya Biblia, linasema kwamba “amelaaniwa aifanyaye kazi ya Mungu kwa ulegevu”

MBINU YA PEKEE SANA ALIYOTUMIA KIONGOZI HUYU KUWALAANI WAKRISTO

Kiongozi huyu alisingizia kuwa Mtumishi wa Mungu aliyekuwa amesimama kuhudumu kwenye Ibada kuu, alilisoma fungu hilo pale mwisho wakati wa Ibada kuu, ilhali mtumishi huyo hakuwahi kufanya hivyo


Kwenye mafundisho yote ya Ibada kuu, Mtumishi huyo wa Mungu, hakuwahi kulisoma wala kuliongelea fungu hilo linalosema kuwa “amelaaniwa aifanyaye kazi ya Mungu kwa ulegevu

USHAHIDI ALIONAO MHUSIKA KUHUSIANA NA LAANA NA UNAOOMHUSISHA KIONGOZI MKUU WA KANISA A

Kulingana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A), yeye huwa anafundisha kuwa “Yesu alifanyika LAANA” na hata kwenye baadhi ya maombi yake, huwa anaomba kuwa “Yesu alifanyika laana”

Hiki kitu huwa anakifanya makusudi, nia ikiwa ni kurusha pepo kwenye JINA LA YESU ili maombi ya waumini wanaotumia jina hilo yasiweze kufanya kazi

Kwa hiyo, KM-A pamoja na yule Kiongozi Junior (KJ) ambaye huwa anafundihsa kuwa YESU ALIFANYIKA DHAMBI; wawili hawa ni joint forces kwenye kitengo hicho cha kufuta maombi yote yanayotumia JINA LA YESU

Kwa hiyo baada ya wenye DHAMBI kurushiwa pepo akiwemo YESU mwenyewe kupitia mafundisho KJ ya Ibada ya J2 ya tarehe 09/06/2023, wenye DHAMBI hao hao walilaaniwa tena kwenye Ibada ya J2 iliyofuata ya tarehe 16/06/2023, akiwemo YESU mwenyewe

Mtumishi aliyesimama madhabahuni J2 iliyopita, hakuwahi kusoma fungu lolote linalohusiana na laana
; na kwa sababu mtumishi huyo yupo, yeye mwenyewe pia anaweza kuthibitisha hilo, ukiachilia mbali mafundisho yake ambayo yapo kwenye mtandao wa youtube

Kwa hiyo huu ndiyo utaalamu uliotumika kwenye wiki hizi mbili mfululizo, kuhakiksha kuwa mafundisho ya YESU KUFANYIKA DHAMBI na pia YESU KUFANYIKA LAANA, yanafanyika pasipo waumini wa Kanisa A kugundua chochote

Baadhi tu ya posts ambazo mhusika alishawahi kuzileta humu kabla akilalamikia swala hlil la mafundisho potofu ya KM-A yanayolenga kurusha pepo kwenye JINA LA YESU, ni hizi hapa

#1,023

#1,034

#1,036

#1,040

#1,116

Vinginevyo clip hii hapa chini ni maneno ya kiongozi aliyetwajwa hapo juu, aliyewalaani wakristo wote kupitia waumini wa Kanisa A, J2 iliyopita ya tarehe 16/09/2024

Hakuna fungu la Biblia linalohusiana na laana, lilisomwa Madhabahuni kwenye J2 tajwa




In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA KUHUSIANA NA SWALA LA YESU KUFANYIKA DHAMBI NA PIA KUFANYIKA LAANA, UKILIHUSIANISHA NA RATIBA YA WIKI YA SIKUKUU YA WATOTO

WIKI HII YA SIKUKUU YA WATOTO HAIJAFUATA RATIBA KAMA AMBAVYO ILIKUWA IMEPANGWA NA UONGOZI WA KITAIFA WA KANISA HUSIKA.

STILL KM-A HAJALIELEZA KANISA SABABU HASA ZILIZOPELEKEA KANISA A KUTOKUFUATA RATIBA INAYOENDANA NA RATIBA YA MAKANISA MENGINE NCHINI NA KAMA ILIVYOKUWA IMEPANGWA NA UONGOZI WA JUU WA KITAIFA WA KANISA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSSDAY, 20th JUNE 2024
……..kabla mhusika hajendelea tena na mada iliyopo hapo juu..........

UTAFITI ULIOKAMILIKA

UTAFITI AMBAO MHUSIKA AMESHAUKAMILISHA KUHUSIANA NA PROCEDURES ZINAZOTAKIWA KUFUATWA KABLA YA MAPEPO KURUSHWA NA HATIMAYE KUANZA KUSAMBAZWA


ILI MAPEPO YAWEZE KURUSHWA, INATAKIWA KWANZA UTARTIBU UFUATAO UFUATWE NA NI SEQUENTIAL, KWA MAANA KWAMBA UTARATIBU HUU UNAFUATA SEQUENCE FULANI MAALUMU

MOSI
: LAZIMA APATIKANE MTU WA KU-DISABLE JINA LA YESU, KUPITIA MADHABAHU YA DAMU YA YESU NA KITU HIKI LAZIMA KIFANYIKIE KANISANI KWENYE MADHABAHU YA DAMU YA YESU

PILI: BAADA YA HAPO LAZIMA UFANYIKE UTARATIBU WA KUFUTA MAOMBI YOTE YALIYOFANYIKA KABLA YA DISABLING YA JINA LA YESU KUFANYIKA

HII INAMAANISHA KWAMBA DISABLING YA JINA LA YESU (tuiite DJS) ILIYOFANYIKA LEO, HAIFUTI MAOMBI YALIYOFANYWA JANA KUPITIA JINA HILO

ILE KUFUTA MAOMBI YALIYOFANYWA KANLA YA DJS, WANATAKIWA KUWEPO WATU WENYE ATTRIBUTES ZENYE QUALITIES ZA JINA LA YESU AMBAO WATAFANYA INTERACTION N.A. BAADHI YA WATU WANAOONEKANA KUWA NI POTENTIAL KWENYE KUFANYA MAOMBI YANAYOTUMIA JINA LA YESU

WATU HAWA WANAKUWA WAMEMBEBA PEPO ALIYERUSHWA BAADA YA DJS KUFANYIKA NA PINDI WATAKAPOKUWA WAMEFANYA NAYE INTERACTION, HAPO SASA NDIYO WAMEPATA GUARANTEE YA KUFUTA MAOMBI YAKE YOTE ALIYOWAHI KUFSNYA KABLA YA DJS KUFANYIKA, NA HATA YALE ATAKAYOKUWA ANAYAFANYA MBELE YA SAFARI BADA YA HAPO

BAADHI TU YA WATU WANAOWEZA KUTUMIKA KWENYE MISSION YA NAMBA HII, NI KAMA WALE WENYE QUALITIES ZIFUATAZO

WATU WENYE MAJINA YANAYOUNGANIKA NA NENO KAMA VILE
"GOD" , "CHRIST"..... AU WATU WENGINE WA KARIBU NA WATU HAO KAMA VILE WAZAZI, KAKA, DADA, SHANGAZI n.k.

WATU WENYE MAJINA AMBAYO TAFSRI YAKE NI MUNGU AU YESU, AU MAJINA YANAOUNFANIKA NA TAFSRI YA NMANENO HSTO, YAANI WENYE KAMA VILE JOSHUA (YESU), ELI-BARIKI, ELI-SANTE AU WATU WENGINE WA KARIBU NA WATU HAO KAMA VILE WAZAZI, KAKA, DADA, SHANGAZI n.k.

BAADA YA HAPO, USAMBAZAJI SASA NDIUO HUANZA KWA KUTUMIA MBINU MBALIMBSLI AMBAZO BAADHI YAKE MHUSIKA ATAZIELEZEA MUDA MFUPI UJAO
..................inaendelea

KWA MFANO

KABLA YA KUTOKEA AJALI YA NDEGE KUTOKEA KULE KAGERA J2 YA TAREHE 27/2022, KILICHOFANYIKA KUANZAI SIKU YA J5 HADI SIKU YA J2 HUSIKA NI HIKI HAPA
 
SEQUENCE OF EVENTS KABLA YA AJALI YA NDEGE KUTOKEA MWAKA 2022

J5YA TAREHE 23/11/2022
MR X ALIFIKA OFISINI AKIWA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA WAWILI NA AMBAO WOTE MAJINA YAO YAMEUNGANIKA NA NENO "CHRIST"

HAPA IKUMBUKWE PIA KUWA UTARATIBU HUU UNAPOTUMIKA, PEPO ANAKUWA AMERUSHWA PIA KWENYE PHONOLOGY NA KWENYE TAFSRI PIA, KIASI KWAMBA MTU AKITAMKA MANENO JUESUS CHRIST AU YESU KRISTO, TAYARI ANAKUWA AMETAMKA PEPO

KWENYE J5 HIYO, MR X ALIKUWA AMEKUJA KUFANYA PILOT STUDY KWA MHUSIKA KUPITIA EAFIKI ZA MHUSIKA, KWA SABABU JIONI YA SIKU HIYO KULIKUWA NA.IBADA KULE KANISANI

BAADA YA KYWA AMEKAMILUSHA STUDY YAKE, BAADAYE SIKU HIYO, MR X ALIRUDISHA FEEDBACK KANISANI, NA HIVYO J5 HIYO JIONI IKAFANYIKA IBADA YA KIMKAKATI KANISANI ILIYOENDANA FEEDBACK ZILUZOKUWA ZIMETOKA KWA MR X

BAADA YA IBADA KUFANYIKA J5 HIYO, KESHO YAKE ALHAMIS, MR X AKARUDI TENA AKIWA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA KUJA KUCHRKI KAMA KILICHOKUWA KIMEFANYIKA JANA YAKE KWENYE IBADA KULE KANISANI, KILIKUWA NA UWEZO WA KUFANYA KAZI ILIYOKUWA IMEKUSUDIWA.

HAPA SASA MR X ALIRUDI KUJA KU-TEST POTENCY YA WEAPON AMBAYO ILIKUWA IMEKUWA DEVISED KANISANI JANA YAKE

BAADA YA HAPO MR X ALIRUDISHA TENA FEEDBACK KANISANI, KITU KILICHOPELEKEA KESHO YAKE IJUMAA YA TAREHE 2T/11/2022, UTABIRI WA AJALI YA NDEGE KUTOLEWA KUPITIA MTANDAO HUU

NA KWELI ILIPOFIKA J2 YA TAREHE 2U/11/2022, UTABIRI ULIOKYWA UMETOLEWA KUHUSIANA NA AJALI YA NDEGE, ULITIMIA

KULE ANAKOELEKEA MHUSIKA KATIKA MAELEXO YAKE HAYA.

EVIDENCE
ALIZOZITOA KWENYE MAEKEZO HAYA ZINAONYESHA MFANANO WA KIOEKEE SANA ZA TUKIO LA WIKI HII LA MTOTO ALBINO KUUAWA KIKATILI KULE KAGERA NA LILE LA AJALI YA NDEGE ILIYOWAHI KUTOKEA HUKO KAGERA

KABLA YA TUKIO LA KUUAWA MTOTO KUTOKEA, SEQUENCE YOTE ALIYOIELEZEA MHUSIKA HAPO JUU, YA NAMNA AMBAVYO MAPEPO HUWA YANARUSHWA KUTOKEA KANISANI IMEFUATWA

........inaendelea
 
MAPEPO HAYA YANAYORUSHWA YANAKUWA YAMEKUSUDIWA KUFANYA KAZI KUPITIA MIILI, NAFSI, ROHO NA AKILI ZA WATU

MAPEPO HAYO YANAFANYA KAZI HIYO KUPITIA MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWAIDA, YANAYOKUJA KUTOKEA MBELE BAADA YA MAPRPO KUWA YAMERUSHWA

KWA MFANO KULE KANISANI

J2 YA TAREHE 09/06F2024 YALIRUSHWA MAPEPO KWA WADHAMBI, NA BAADA YA HAPO MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWAIDA KAMA VILE AJALI NA ULAWITI YALITOKEA SEHEMU MBALI MBALI

KUNA ROHO ZIMEPOTEA KWENYE AJALI, ZINGINE ZIMESHAMBULIWA

KUNA NAFSI ZIMESHAMBULIWA PIA KUPITIA MATUKIO HAYA

KUNA MIILI IMEPOTEA, KUNA MIILI IMETUMIKA VISIVYO

NA YOTE HAYA YALISAMBAZWA SASA KWA WATU WENGINE AMBAO HAWAKUHUSIKA KWENYE MATUKIO, ILI WAWEZE KUYASIKIA NA HIVYO NA WAO PIAKUFANYIKA SEHEMU YA MATUKIO HAYO

KUHUSIANA NA TUKIO LA MTOTO ALBINO ALIYEUAWA KULE KAGERA

CHA ZIADA KWENYE TUKIO LA MTOTO HUYU NI KAWMBA MBALI NA TUKIO HILO KUWA LIMESHUGHULIKA NA NAFSI, ROHO, NA MIILI YA WATU; TUKIO HILI LIMEENDA MBALI ZAIDI NA HIVYO KUSHUGULIKA NA VIUNGO MUHIMU KWENYE MWILI WA BINADAMU KAMA VILE NGOZI MFANO:

RANGI YA NGOZI (SKIN PIGMENT)

MELANINI AMBAYO NI SUBSTANCE INAYOSABABISHA MUONEKANO WA RANGI YA NGOZI YA MTU KUONEKANA KAMA ILIVYO

TOFAUTI ILIYOPO KATI YA RANGI YA NGOZI YA ALBINO, MZUNGU NA MWAFRIKA AU MTU MWEUSI HUWA INASABABISHWA NA MELANINI

KABLA YA HAYA YOTE KUTOKEA, NDANI YA SIKU CHACGE ZILIZOPITA MHUSIKA ALIKUWA TAYARI AMESHATANHIBISHA HUMU KWAMBA VIONGOZI WAWILI WALIOPO KANISANI MMOJA WAO AKIWA NI KM-A, WOTE WAWILI RANGI ZA NGOZI ZAO ZINASHAHIBIANA NA RANGI YA NGOZI YA JIRANI MAJI MACHAFU

MBALI NA HAYA YOTE TAARIFA ALIZOZISIKIA MHUSIKA KUPITIA MEDIA NI KWAMBA BABU WA MTOTO, ALIISTUKIA AKILI YA BABA MZAZI WA MTOTO NA.HIVYO KUONA VYEMA BABA MZAZI HUYO KUSHIRIKIANA NA VYOMBO VYA USALAMA

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LAMUSKA NYUMA LA TETEMEKO LILILOWAHI KUTOKA HUKO KAGERA MWAKA 2016

KIPINDI KILE CHA TETEMEKO LA KAGERA, HAYATI JPM ALIWAHI KUTAMKA HADGARANI AKISEMA KUWA HAPATAKUWA NA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA TETEMEKO LA KAGERA, NA HAKUTAMKA HILO KWA BAHATI MBAYA, AU KWA KUCHANGANYIKIWA, HAPANA.

WAKATI ANATAMKA HIVYO, ALIKUWA NA TAARIFA SAHIHI KABISA ZILIZOMPELEKEA AKATAMKA HAYO, AMBAZO PENGINE HAPO BAADAYE ZILIKUJA KUWA MANIUPLATED NA KUONYESHA KITU KINGINE TENA TOFAUTI NA KILE CHA AWALI

LABDA CHA KUKUMBUSHIA TU HAPA NI KWAMBA, BAADHI YA WATU WA KAGERA INABIDI WAENDELEE KUKUMBUKA KUWA KAGERA NI SEHEMU YA JMT, NA KWAMBA JMT NI YETU SOTE; TUENDELEE KUITUNZA, TUENDELEE KUIILINDA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADHI TU YA MAMBO MENGINE AMBAYO HUWA YANAFANYIKA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A BAADA YA MAPEPO KUWA YAMERUSHWA

Mapepo yanapokuwa yamerusha, hapo sana huwa inakuwa kwamba kila neno au jina linalotamkwa kutokea kwenye madhabahu hiyo linakuwa limebebeshwa pepo

  • Kwa hiyo sala zote na maombi yote yanakuwa ni pepo
  • Mbali na hilo, pepo huwa anaendelea kurushwa kwa majina yote ya Mungu kwa kutumia phrase maalumu ambayo mara zote huwa inatumiwa na KM-A pamoja na mke wake kila wanapokuwa wanaomba; phrase yenye maneno yanayosema “ MUNGU WETU TUNALIBARIKI JINA LAKO”
Hapo hapo vile vile, watu wote wenye majina kama ya BARAKA au BLESSINGS, wanakuwa wamebebeshwa mapepo automatically na kuanaza kuyasmabaza kwa waumini wengine

Akina SHANGWE nao pia huwa haachwi mbali kwa njia ya makofi; pale viongozi wanaposikika wakitamka phrases zenye maneno kama “ MAKOFI MENGINE TENA KWA KIONGOZI WETU/ KWA WAIMBAJI/ KWA MZEE WETU….”

Mambo ni mengi na si rahisi sana kuyaelezea yote

MBALI NA HAYO, KWA TAKRIBANI MIEZI MITATU SASA, BIBLIA NAYO PIA HAIJAACHWA MBALI SANA

Karibia kila J2 kuna tangazo la Biblia inayoongea, inauzwa pale GETINI. Hapa BIBLIA pamoja na GATE vinahusika

  • Mbali na hilo products kama mafuta ya kula, nyama mbichi ya KITIMOTO, korosho na vitu vingine pia huwa vinapatikana pale getini
  • Hivi vyote sasa vinakuwa vinawakilisha PRODUCTS na SERVICES kwenye masoko (MARKETS) ya bidhaa popote pale masoko yalipo
Vile vile kuna data manipulation au data querry na commands na mabo mengine yanayofana na haya

UTASIKIA TANGAZO KAMA:

…….WANAFUNZI WA YESU WAELEKEE KWENYE DARASA LAO, ilhali Ibada bado haijafungwa rasmi

Hawa huwa wanaruhusiwa kuondoka kabla ya wengine ili waumini wanaobaki waweze kuiona miili au nafsi zinazowakilisha wanafiunzi hao

UTASIKIA PIA MATANGAZO MENGINE KAMA:

…….WAGENI WAONDOKE KWANZA WENYEJI KAENI CHINI KWANZA…

Wageni hawa ni KEYS; mostly FOREIGN KEYS za DATABASE

Mambo ni mengi

Hizi zote baadhi ya njia za usambazaji wa mapepo Kanisani hapo; mapepo yakiwa yamerushwa

Kwa swala la wageni, mbinu inayotumika ni waumini wageni kutakiwa kuondoka kwenye Ibada kabla ya waumini wenyeji, ili wenyeji waweze kuwaona vizuri wageni

Hali hii iko vile vile hata kwa wanafunzi wa YESU. Hawa wao huwa wanaondoka kabla ya Ibada kuhitimishwa rasni

JAMBO LA MUHIMU HAPA AMBALO MHUSIKA ANAPENDA KULISISITIZA KWENYE MAELEZO YAKE HAYA

Ni kwamba, ni kawaida kabisa kwa mambo haya aliyoyataja hapo, kufanyika kwenye nyumba yoyote ya Ibada,
labda ukiondoa tu baadhi kama yale ya uuzaji wa nyama mbichi ya KITIMOTO kwa mtu kubeba mkononi kama vile anauza karanga

Hata hivyo, uhalali huu wakati mwingine umekuwa ukitumika vibaya hasa pale inapotokea kuna mapepo yamerushwa

Hawa watu wanaofanya haya mambo kwenye nyumba hii ya Ibada, inaonyesha wana nguvu sana; mhusika hakutarajia kabisa kama wangeweza kufikia kwenye stage ya kuendesha operation zao katika kiwango hiki

Mambo ni mengi, mengine zaidi yatafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA WALE AMBAO WANAENDELEA KUFUATILIA KWA NAKINI TUKIO LA MTOTO ALBINO ALIYEUAWA HUKO KAGERA

WATU HAO WATAKUBALIANA NA MHUSIKA KUWA SEQUENCE ALIYOIELEZEA HAPO JUU MHUSIKA KUPITIA POST HII HAPA #2,087 NA PIA POSTS ZINGINE ZILIZOFUATA BAADA YA HAPO, WATAKUBAKIANA NA MHUSIKA KUWA , SEQUENCE HIYO IMEJIDHIHIRISHA WAZI ZAIDI KWENYE TUKIO LA MTOTO HUYO, PENGINE KUZIDI MATUKIO MENGINE YOTE AMBAYO MHUSIKA ALISHAWAHI KUYAONGELEA

KWA UPANDE MWINGINE, TUKIO HILO LILIKUSUDIWA HASA JUSSHUGHULIKA NA WATUMISHI WA MUNGU

KWA HIYO, CHANCES KWAMBA LILIKUWA PLANNED IN ADVANCE ILE KUSHUGHULIKA N.A. WATUMISHI WA MUNGU NI ASILIMIA 99.99%

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 26th JUNE 2024

MWENDELEZO WA MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO YA WIKI YA KUANZIA J3 YA TAREHE 10/06/2024
MAELEZO YA FUNDI WA MAJI TAKA AMBAYE BAADHI YA MAELEZO YAKE YANAPATIKANA KWENYE POST HII HAPA #2,083


Matukio ya mwaka 2022 yaliyowahi kumhusisha fundi huyu, maelezo yake yanapatikana kwenye posts hizi hapa

#1,065

#1,068

#1,069

#1,090

#1,105

MENGINE YA HIVI KARIBUNI MWAKA JANA YALIYOWAHI KUFANYWA NA HUYU FUNDI ALIYEMGONGEA MHUSIKA NYUMBANI KWAKE SAA 11 JIONI,SIKU YA J3 YA TAREHE 10/06/2024

Mwishoni mwa mwa mwezi May 2023 (mwaka jana); aliyekuwa jirani wa mhusika na ambaye aliwahi kuwa Ofisa wa Nyumba (tumwite ON), alibadilisha makazi na kuhamia sehemu nyingine ambayo haiku mbali sana na hapo ambapo mhusika bado ananendelea kuishi

Siku hiyo mara tu baada ya ON kumaliza kuhamisha vifaa vyake, FUNDI WA MAJI TAKA, alikuja mahali hapo wanapoishi mhusika na kule nyuma ya ghorofa analoishi mhusika, sehemu ya chini usawa wa sebule ya nyumba anayoishi mhusika, fundi huyu alianza kuchimba shimo linalofanana na kaburi

Wakati anachimba shimo hilo, mhusika alidhani pengine kulikuwa kumekuwa devised plan ya kitu cha muhimu kilichokuwa kinahitajika kwenye ghorofa ambacho mhusika asingeweza kukifahamu kwa sababu yeye siyo funfi

Hata hivyo, shimo hili limeemndelea kuwa vile hadi leo na kwa sasa, dalili zinaonyesha kuwa hakuna kazi yoyote ya maana iliyopelekea shimo hilo kuchimbwa

Shimo hilo lilianza kuchimbwa immediately mara tu baada ya ON kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa anaishi awali; the same day

UP NEXT

MAELEZO KUHUSIANA NA UJIO WA MGENI WA MNUNUZI WA GARI (MWG) PAMOJA NA MKUU WA MAJOR UNIT (MMU); ALIYEFIKA IDARANI KWENYE SIKU MBILI MFULULIZO, ZA J3 YA TAREHE 10/06/2024 NA J4 YA TAREHE 11/06/2024


Pamoja na kuwa mgeni huyu alifika kwa ajili ya kuwaona MWG na MMU; kwa upande mwingine mgeni huyu alionyesha dalili za wazi kuwa alihitaji pia kufika ofisini kwa mhusika na kuongea naye

Mhusika alikuja kukibaini kitu hiki siku ya pili ya ujio wa mgeni huyu, yaani J4 ya tarehe 11/06/2024

………………………..inaendelea
 
NAMNA MHUSIKA ALIVYOBAHATIKA KUONANA NA MGENI HUYU KWENYE SIKU YA KWANZA; KUANZIA MUDA WA ASUBUHI YA J3 YA TAREHE 10/06/2024

Asubuhi ya J3 hiyo, watoto wa usafi walifika ofisini kwa ajili ya usafi na hapo mhusika alilazimika kuwapisha

Kijiwe ambacho huwa ana-pose akiwa nje ya ofisini yake kinajulikana na hivyo baada ya kutoka ofisini, alienda akatulia pale

  • Akiwa ameinama kidogo akisafisha vumbi lililokuwa limetuama kwenye kiatu chake, kwa chini alimuona mtu anamalizia kupandisha ngazi za ghorofa ya kwanza na hatimaye kuanza kukanyaga sakafu ya ghorofa ya pili
  • Baada ya mhusika kugeuka, walikutanisha macho na hapo mhusika alimtambua kwa sura mtu huyo kwa sababu aliwahi kusoma hapo idarani miaka mingi iliyopita
  • Baada ya kusalimiana, mhusika alitaka kufahamu mwaka ambao mgeni huyu alihitimu masomo yake hapo na mgeni alijibu kuwa ilikuwa ni mwaka 2001 (23 years ago)
Huyu alihitimu masomo mwaka mmoja na MR X na hivyo walikuwa darasa moja, ila hakuwa amekuja kumtembelea MR X

Baada ya hapo mgeni huyu alielekea ofisini kwa MMU

Baadaye tena kwenye muda wa mchana, mhusika alitoka kwenda kupumzika kidogo kwenye veranda, sehemu ile ile ambyo walikutana na mgeni

  • Hapo walibahatika kuonana tena na mgeni, safari hii mgeni akiwa anashuka chini kuelekea ground floor
  • Baadaye tena baada ya takribani masaa mawili hivi, mhusika alitoka kuelekea washroom na akiwa anatokea huko, alipita kwenye veranda kwa ajili ya mapumziko mafupi
Hapo tena walibahatika kuona na mgeni huyu, safari hii naye aalikuja na kupumzika mahali pale

  • Hapa sasa wakawa wameonana na mhusika kwa mara ya tatu na ndani ya masaa machache tu ya siku hiyo
  • Mbali na hilo, kwa siku hiyo, hapakuwa na safari ambayo mhusika alitoka na kukosa kuonana na mgeni huyu. Ilikuwa kila inapotokea mhusika ameitoka nje ya ofisi, mgeni huyu naye alikuwa anaonekana maeneo ya karibu na mahali mhusika alipo
Wakati huo huo, MWG aliyekuwa yupo chumba cha chai kwenye ghorofa inayofuata, alishuka chini na kuja kuonana na mgeni huyu

  • Baada ya kusalimiana kwa kilugha chao wakiwa wote mbele ya mhusika, MWG alimchukua mgeni huyu na kumpeleka ofisini kwake
  • Ilionyesha kuwa kwa siku hiyo, ilikuwa ni mara yao ya kwanza MWG na mgeni huyu kuonana mahali pale muda huo mhusika alipokuwa akiwashuhudia
JIONI BAADA YA SAA ZA KAZI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAONDOKA OFISINI KUELEKEA NYUMBANI

Mhusika alimpita mgeni huyu akiwa yupo grounf floor, nje ya gate kuu la jengo la Idara

Hapo hawakuongea kwa sababu mgeni alikuwa yupo busy anaongea na simu

  • Hapa ikumbukwe pia kuwa kule nyumbani kwake mhusika, kulikuwa tayari kuna mafuriko ya mavi yaliyokuwa yameanza jioni ya jana yake J2 ya tarehe 09/06/2024; mara baada ya mhusika kuwa ametoka Kanisani
  • Vile vile ikumbukwe pia kuwa J3 hiyo baada ya mhusika kurudi nyumbani, muda wa saa 11 fundi wa maji taka alifika kwenye ghorofa analoishi mhusika na alimgongea mhusika; katika muda ambao haukuwa wa kazi; muda wa baada ya saa 10 jioni
Hiyo siku ya J3 ya tarehe 10/06/2024 ikapita

KESHO YAKE TENA ASUBUHI J4 YA TAREHE 12/06/2024

Mgeni alifika tena ofisini, na safari hii alinyoosha tena moja kwa moja kuelekea ofisini kwa MMU; huku mhusika naye safari hii akiwa yupo ndani ofisini kwake

Hata hivyo, kilichotokea siku hiyo ya J4, ndiyo kile kilichopelekea mhusika kubaini kuwa mgeni huyu alitakiwa kufika pia ofisini kwa mhusika

Kabla ya siku hiyo kuwadia, matukio yote yaliyokuwa yametokea jana yake J3 ya tarehe 10/06/2024, mhusika alikuwa ameyaona kuwa ni coincidences tu za kawaida

Hata hivyo, mhuska alikuja kuubadili mtizamo huo baada ya kutokea kile kilichotoke siku ya J4

KILE AMBACHO EXACTLY KILITOKEA SIKU HIYO YA J4

Baada ya mgeni kufungua kitasa cha mlango wa ofisi ya MMU, aligundua kuwa ndani kulikuwa na mgeni mwingine aliyekuwa anaongea na MMU

Hapo mgeni alilazimika kunyoosha moja kwa moja hadi ofisini kwa mhusika na walisalimiana

  • Baada ya salamu, mgeni alisema kuwa amerudi tena siku hiyo kwa ajili ya kuja kuonana na MMU isipokuwa amemkuta akiwa yupo na mgeni mwingine ndani ofisini
  • Hapo mhusika naye alilazimika kuvuta kiti na kumkaribisha mgeni ili akae kwa muda akisubiria mgeni aliyekuwepo ofisini kwa MMU atoke
Wakati mgeni huyu anafika ofisini kwa mhusika, ma-office mates wote wa mhusika hawakuwepo ofisini; mmoja alikuwepo ofisini ila alikuwa ametoka kidogo na mwingine wa pili (OM-1) alikuwa yupo kwenye likizo fupi ya siku 10, aliyokuwa ameianza jana yake J3 ya wiki hiyo

  • Muda si muda office mate (OM-2) aliyekuwepo ofisini, alirudi ofisini na kumkuta mgeni
  • Hapo mhusika alimtambulisha mgeni kwa OM-2 ila pasipo kumjulisha OM-2 kuwa mgeni huyo alikuwa ni mgeni wa MMU na si wa mhusika
  • Baada ya hapo, OM-2 alitoka tena, akimwacha mhusika akiwa pamoja na mgeni wa MMU wakibadlishana mawili matatu
PILIKA PILIKA ZILIZOAFANYWA NA MMU WAKATI MGENI WAKE ALIPOKUWA BADO YUPO OFISINI KWA MHUSIKA, AKISUBIRIA KUELEKEA OFISINI KWA MWEYEJI WAKE MMU

Baada ya muda, MMU alitoka nje ya ofisi yake akielkea nje bila kumkaribisha ofisini kwake; akimtelekeza kwanza mgeni wake huyo hapo ofisini kwa mhusika

Muda siyo mrefu, MMU alirudi tena ofisini kwake na baada ya dakika kadhaa, alitoka tena pasipo kumsemesha wala kumjulisha chochote mgeni wake ambaye kwa muda wote huo alikuwa yupo ofisini kwa mhusika

Hapo mgeni alipata sasa muda kidogo wa kuanza kuongea na simu

Baada ya muda kidogo, mgeni akiwa ameshamaliza kuongea na simu, mgeni alimjulisha mhusika kuwa MMU alikuwa amejaribu kumpigia simu na yeye (mgeni) hakuwa ameweza kuijibu kwa sababu iliiingia kwenye muda huo ambao alikuwa anaongea na simu nyingine

Kwa hiyo mgeni alimjulisha mhusika kuwa missed call hiyo ya MMU inaashiria kuwa alikuwa anahitajika kuelekea nje ya gate ground floor kwenye ukumbi wa mkutano ambako ndiko walikuwa wamepanga kukutana siku hiyo

Kwa hiyo kwa siku hiyo ya pili, mgeni huyu hakuwahi kuingia ofisini kwa MMU na wala hakuonekana mahali popote akiwa ameambatana na MMU kama mgeni wa MMU

Kitendo cha mgeni huyu kufungua kitasa cha mlango wa ofisi ya MMU na hatikaye kukirudishia baada ya kukuta MMU akiwa anaongea na mgeni mwingine, kilikusudiwa kuonyesha kitu kama mgeni huyu alipita kuulizia tu pake na baada ya kuelekezwa, alielekea mahali kule alilkokuwa anatakiwa kwenda, ambako ni ofisini kwa mhusika

MMU na mgeni walikuwa wanakwepa kuonekana na Camera wakiwa wote kwenye korido au ofisini kwa MMU

Huu ndiyo ugeni ambao J3 uliwahusu MMU na MWG, halafu siku iliyofuata ya J4, MMU na MWG wakaamua kuu-pass ugeni huu kwenda kwa mhusika

  • Ilipofika siku ya J5 tarehe14/06/2024; mhusika alielekea ofisi za miliki ya nyumba nay ale yayote yaliyoendelea kwa siku hiyo, tayari mhusika alishaleta taarifa zake humu jukwaani
  • Vinginenvyo kwa siku ya Ijumaa ya tarehe14/06/2024 mhusika alibahatika kuwaona rafiki zake watoto watatu wa MMU waki-fumble na funguo kwenye kitasa cha mlango wa ofisi ya MMU, yeye akiwa hayupo
  • Mhusika aliwaita watoto hao ili waongee kwanza kabla hawajafungua na kuingia ndani ya ofisi ya baba yao
  • OM-2 naye pia alikuwepo wakati huol
Baada ya muda siyo mrefu, baba watoto alikuja na kuwakuta wakiwa bado ofisini kwa mhusika; na hapo mhusika aliwaruhusu waelekee ofisini kwa baba yao

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa watoto hawa kufika ofisini kwa mhusika na mmoja wao alikuwa ni mgeni kabisa kwenye macho ya mhusika; na jina lake linaanza na maneno ELI…
  • Baada ya hapo, jiioni ya siku hiyo ndiyo ikatokea ile stori ya funguo za chumba cha mkutano ambazo mhusika alipewa na Katibu Muhtasi wa MWI; stori ambayo mhusika tayari ameshaileta humu
Mhusika alitakiwa aondoke usiku nyumbani kwake kurudi tena ofisini kwenda kufunga chumba hicho cha mkutano kilichokuwa kimeachwa wazi huku AC zikiwa ON, kwa sababu hapakuwa na funguo zingine za kufunga chumba hicho tofauti na zile alizokuwa nazo yeye

Hapa mhusika bado mhusika anaendelea kutoa tahadhari kubwa kuwa wale ambao ni mahasimu wake, wasiwe wanatumia watoto au warembo.

Mhusika anarudia tena akisema kuwa; wasiwe wanatumia watoto au warembo!!

Taarifa zaidi muhimu zinakuja; stay tuned

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 28th JUNE 2024

TAARIFA ZA UTANGULIZI KWA YALE MAELEZO MUHIMU AMBAYO MHUSIKA ALIAHIDI KUWA YANAYOKUJA MBELE

Code tatu muhimu
moja ikiwa inatumoa NYAMA MBICHI YA NGURUWE (hii tuiite NMYN) inayouzwa getini kule kanisani na nyingine inayotumia MATUTA MAPYA YA BARABARNANI (hii tuiite MMB) yaliyowekwa hivi karibuni kwenye barabara inayoelekea ofisini kwa mhusika, tayari zimeshafunguka

Kwa kudokeza tu ni kwamba, code hii ya MMB ndiyo ilitakiwa kufanya kazi Ijumaa ya tarehe 14/06/2024 pale mhusika alipotakiwa kurudi ofisini usiku kwenda kufunga chumba ambacho kilikuwa kimeachwa wazi

CODE INAYOTUMIA NYAMA MBICHI YA NGURUWE (NMYN)


Nyama hiyo mbichi ya nguruwe huwa inauzwa pale getini mwa Kanisani A, ikiwa imeshikiliwa mkononi kama karanga

  • Nyama hiyo inawakilisha viumbe vyote ambavyo vilishawahi kuuawa kikatili akiweno YESU
  • Nguruwe huwa anauawa kikatili
Kwa hiyo, ukirusha pepo kwenye viumbe vilivyowahi kuuawa kikatili, unakuwa umerushia pepo Yesu pia

  • Mbali na hilo, unakuwa umetengeneza pia uwezekanao wa kuua kikatili viumbe wengine pia ambao wako bado wako hai sasa
  • Uwezekano mkubwa ni kwamba code, hii ndiyo iliwahi kutumika pia kule kwenye maporormoko ya Cartesh mwishoni mwa mwaka jana; assuming kulikuwa na kitu ambacho hakikuwa sawa kwenye maporomoko hayo
Wakati tukio hilo la Kartesh linatokea, kuna Junior staff alikuwa amehamia kwa muda ofisini kwao na mhusika, baada ya kuwa ametoka safari aliyokuwa amesafiri kwa miezi kadhaa

Kwa utafiti wake mhusika, baadhi tu watumiaji wakuu wa code hii ni MR X, Junior staff aliyeajiriwa mwaka jana na ambaye huwa anahamia kwa muda ofisini kwao mhusika halafu baada ya hapo matukio ya ajabu yanaanza kutokea, pamoja na mama wa kiroho wa mhusika

  • Hata hivyo, watatu hawa wao wameazimwa tu, mmiliki hasa wa code hiyo yupo na maelezo yake ya kina yatawajieni humu kuanzia kesho na kuendelea
  • Kwa kipindi cha sasa, code hii ndiyo ile iliyopelekea J2 iliyopita, kubuniwa kwa sababu za hapa na pale wakati wa Ibada Kanisani, sababu ambazo hatimaye zilipelekea MR X kupandisha juu madhahabuni
Mhusika alishamkataza kabisa MR X kutumia watoto; na ni lazima ataacha, ni amri

Code hii vile vile ndiyo ile ambayo:

  • Iltakiwa kuchoma jengo la ghororfa analosihi mhusika mwishoni mwa mwaka jana Desemba 2023
  • Ilipelekea kuletwa GENERATOR LA MAFUTA YA PETROL kwenye chumba kidogo jirani na ofisi ya mhusika
  • Ilipelekea office mate wa mhusika (OM-1) akatumwa na mkuu wa kitengo cha matetemeko ya ardhi kwenda kununua electrodes kule Gerezani mwaka jana mwezi wa 8, huku akiwa amevaa mavazi yaliyokuwa yemempa muonekano wa tofauti na ambavyo alikuwa akionekana siku zote hapo kabla
  • Iliyopelekea matukio yote ya mwaka jana 2023 yasiyokuwa ya kawaida; ambayo yalianza kutokea mara tu baada ya OM-1 na OM-2 kuwepo ofisini na ambayo mhusika aliwahi kuyalalamikia ndani ya mwaka huo
Kwa kifupi, code hii ndiyo ile iliyowahi kupelekea mwaka jana, mhusika kuwa analazimika kukimbia ofisini na kwenda kufanyia kazi zake nyumbani kwake

CODE YA MATUTA MAPYA YA BARABARANI YALIYOWEKWA HIVI KARIBUNI BARABANI (MMB)

Baadhi tu
ya watumiaji wakuu wa code hii ni Mkuu wa Idara (MWI), Mkuu wa Major Unit (MMU) na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE)

Maelezo kwa kifupi


Code hii ya MMB ina uhusiano na code nyingine ya phonology; code ambayo maelezo yake ya kina tayari mhusika alishayawahi kuyaleta humu

  • Phonology inatokana na sauti (voice), na sauti ni mawimbi (waves), na matuta ya bararabani pia yanasababisha mawimbi (seismic waves)
  • Kwa hiyo mtu aliruhsa pepo kwenye waves, anakuwa amerusha pepo kwenye aina zote za waves ikiwemo sound waves
Na mtu anapokuwa merusha pepo kwenye sound waves, tayari anakuwa amerusha pia kwenye phonology kiasi kwamba sound waves zinazotamka neno JINA LA YESU, zinakuwa sawa na zile zinazotamka neno JINI LA YESU

Hapa mtu muombaji anafuta maombi yake kama akili yake iliwahi kuazimwa na mtu mwingine karne mbili zilizopita

Ipo pia code nyingine NZITO ya tatu iliyofunguka; ambayo nayo pia maelezo yake yatawajieni baada ya maelezo ya code hizi mbili zilizotajwa hapo juu kukamilika

Code hizi zimeweza kufunguka kirahisi sana kwa sababu akili zao zote muda wote zinawaza kule Benki tu na si sehemu nyingine

Mpaka muda huu, mhusika bado hajapata majibu ya barua yake


Taatifa zaidi zinakuja

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADHI TU YA VITU VINGINE VINAVYOWEZA KUTUMIA CODE YA PHONOLOGY

DIGITAL PROJECTORS PAMOJA NA GENERATORS ZA UMEME, NAZO PIA ZINATUMIA CODE YA PHONOLOGY; GENERATOR IKIWA IKO MORE POWERFUL KULIKO PROJECTORS

KIKOHOZI PIA

KARATASI ZINAZOCHANWA AU ZINAZOPEPERUSHWA NA UPEPO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 29th JUNE 2024
CODE YA NYAMA MBICHI YA NGURUWE (NMYN) INAYO-OPERATE KUTOKEA KANISANI:
CODE HIIQ INA-OPERATE PIA KUTOKEA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA, NA HUKO MHUSIKA AMEIPA JINA LA BUTCHERED


KWA UTAFITI WAKE MHUSIKA AMBAO AMESHAUFANYA HADI KUFIKIA MUDA HUU, SOURCE CODE YA CODE HII BUTCHERED INASHIKILIWA N.A. MTU ALIYEKO OFISINI KWAO MHUSIKA NA KULE KANISANI, IMEKUWA LINKED TU KUPITIA MR X, AMBAYE KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI ALIBADILI GARI KWA MARA YA KWANZA NA KUANZA KUTUMIA GARI YENYE BRAND SAWA NA BRAND YA GARI YA MMILIKI WA SOURCE CODE YA BUTCHERED

BUTCHER
( VERB), PAST TENSE BUTCHERED
DEFINITION

1. Slaughter or cut up (an animal) for food.
2. Kill (a person or people) indiscriminately or brutally.


NAMNA ULIVYO USHIRIKI WA MR X KWENYE CODE HII

MR X ANAO UWEZO WA KUNUNUA HATA V8 MBILI KWA MKUPUO, ISIPOKUWA KWA GARI HII ANAYOTUMIA SASA, UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA ANAWEZA KUWA AMEIAZIMA KUTOKA KWA MTU MWINGINE ALIYEPO IDARANI

KWA NINI MHUSIKA ANA DHANA HII KUWA MR X AMEIAZIMA GARI KUTOKA KWA MTU MWINGINE

KABLA YA MHUSIKA KUANZA KUIONA GARI HIYO IKIWA NA MR X, MHUSIKA ALIWAHI KUIONA MARA MOJA TU IKIWA NA MTU MWINGINE STAFF ALIYEPO IDARANI

NA KWA SABABU GARI HIYO NI MPYA, MHUSIKA ALIJUA KUWA STAFF HUYO AMENUNUA GARI NYINGINE MPYA

BAADA YA MHUSIKA KUIONA GARI HIYO MARA YA KWANZA IKIWA NA STAFF HUYO, STAFF HUYO ALISAFIRI KIKAZI KWA MUDA WA WIKI ZISIZOPUNGUA NNE, NA BAADA YA KUSAFIRI, MR X ALIANZA KUONEKANA AKIWA NA GARI HIYO HADI LEO HII, HUKU STAFF YULE ALIYEKUWA AMESAFIRI, AMESHARUDI OFISINI NA ANAENDLEA KUTUMIA GARI YAKE ILE YA ZAMANI

STILL WHETHER GARI NI YA MR X AU YA MTU MWINGINE, FACT HAPA BADO INAENDELEA KUBAKI KUWA BRAND YA GARI HIYO INA LINK NA BRAND YA GARI NYINGINE YA STAFF AMBAYE ANAMILIKI SOURCE CODE YA CODE YA BUTCHERED

KUHUSIANA NA USHIRIKI MAMA WA KIROHO (MWKR) KWENYE CODE HII


UTAFITI WA MHUSIKA UMEONYESHA KUWA MAMA HUYU NDIYE ALIYEANZA MAPEMA SANA KUIFANYIA KAZI CODE HII, NA MHUSIKA ALIKUJA KULIBAINI HILO MWEZI JANUARY 2024

ILIKUWA NI BAADA YA JIRANI WA MHUSIKA WALIYEKUWA WANAISHI BLOCK MOJA, KUBADILI MAKAZI NA KUHAMIA SEHEMU NYINGINE

KABLA YA KUSMA, JIRANI HUYU ALIKUWA AMEPAKI GARI YAKE PERMANENTLY KWA KIPINFI KIREFU SANA, ILHALI ILIKUWA NI NZIMA, NA UTAFITI WAKE MHUSIKA KUHUSIANA NA GARI HIYO, ULIMTHIBITISHIA PASIPO SHAKA KUWA JIRANI HUYU HAKUWA AMEPAKI GARI LAKE PERMANENTLY KWA BAHATI MBAYA TU HAPANA, KULIKUWA NA SABABU KUBWA NYUMA YAKE NA AMBAYO ILIKUWA NI YA KIROHO PIA

IMMEDIATELY BAADA YA JIRANI HUYU KUHAMA, MAMA WA KIROHO (MWKR) ANAYEISHI BLOCK JIRANI, NAYE ALIANZA KUPAKI GARI LAKE PERMANENTLY, NA KWENYE SEHEMU AMBAYO AWALI ALIKUWA HAPAKI PALE, NA PIA KATIKA NAMNA AMBAYO ALIHAKIKISHA KUWA WALIOKO KWENYE BLOCK JIRANI LA MHUSIKA, WATAKUWA WANAIONA GARI HIYO KILA WANAPOKUWA WAPO NJE YA NYUMBA ZAO; MHUSIKA MWENYEWE AKIWA MMOJA WAO

BAADA YA KUWA ZIMEPITA SIKU AMBAZO MHUSIKA HAWEZI KUKUMBUKA IDADI YAKE, MWKR ALILIONDOA GARI LAKE NA BAADA YA HAPO, IMMEDIATELY ILIKUJA KUPAKI HAPO GARI NYINGINE NYEKUNDU, BRAND SAWA NA ILE YA MMILIKI WA SOURCE YA BUTCHERED (tumwite MSCB), NA MODEL YAKE IKIWA SAWA NA ILE ANAYOTUMIA SASA MR X

GARI HII NAYO PIA ILIPAKI PERMANENTLY KWA KIPINDI KIREFU SANA KISICHOPUNGUA MIEZI MIWILI, NA ILIPOFIKA JUMAMOSI YA TAREHE 30/03/2024, GARI HII ILIONDOKA

BAADA YA KUPITA WIKI KADHAA, ILIRUDI TENA NA BAADA YA SIKU SIYO NYINGI SANA KAMA ZILE ILIZOWAHI KUKAA MWANZO, GARI HII ILIONDOKA TENA

BAADA YA HAPO, GARI HII IMEKUWA NA KAWAIDA YA KIJA NA KUPAKI PERMANTLY SIKU KADHAA NA HAYIMAYE KUONDOKA TENA, KWA SAFARI ZINGINE MBILI ZAIDI, NA KWA SAFARI YA SASA AMBAYO NI YA TATU AU YA NNE UKIZINGATIA MFULULIO WA SAFARI ZOTE, ILIRUDI TENA WIKI HII SIKU YA J5 YA TAREHE 25/06/2024 NA KUPAKI PALE PERMANENTLY KAMA AMBAVYO IMEKUWA IKIPAKI SIKU ZA AWALI
............. inaendelea
 
SABABU ZA NSINGI ZILIZOPELEKEA MHUSIKA KUIITA BUTCHERED CODE YA OFISINI

MAELEZO YA UTANGULIZI


MWAKA 1994 MHUSIKA AKIWA ANASOMA KWENYE CHUO KIMOJA CHA UHASIBU HAPA JIJINI DAR ES SALAM, ALIWAHI KUWA NA CLASSMATE AMBAYE PHONOLOGY YA JINA LAKE LA KWANZA ILIKUWA INANAFANA NA PHONOLOGY YA NENO HILI BUTCHERED NA JINA LAKE LA PILI TUCHUKULIE KWA MFANO,KUWA ALIKUWA NI MACKENZIE

BAADA YA HAPO, KWENYE MIAKA YA HIVI KARIBUNI MWISHONI MWA MIAKA YA 2010 (KARIBIA NA 2020), MHUSIKA ALIBAHATIKA KUFAHAMIANA NA BINTI MWAJIRIWA MPYA AMBAYE SURA YAKE IMEFANANA SANA NA YA "BACHADI", HUKU NAYE JINA LAKE LA PILI LIKIWA NDIYO LILE LILE ALILOKUWA ANATUMIA BACHADI

KWA HIYO HAWA WATU WAMEFANANA SANA SURA, HUKU JINA LA UBINI WAO LIKIWA NI LILE KWA MAANA KUWA YULE WA ZAMANI ANAITWA TUSEME XXX--11 MACKENZIE, NA HUYU WA SASA ANAITWA XXX-234 MACKENZIE

MHUSIKA ALIWAHI PIA KUMUULIZA BINTI STAFFMATE KAMA YEYE NA CLASSMATE WA 1994 WA MHUSIKA WANAFAHANIANA, NA BINTI ALIMWEKEZA MHUSIKA KUWA HAWAFAHAMIANI

KWA HIYO NI COINCIDENCE TU KWAMBA HAWA WATU NI NAMESAKE, HUKU WAKIWA WAMEFANANA SURA PIA

HII NI SABABU YA KWANZA ILIYOPELEKEA MHUSIKA KUIPA CODE HII JINA HILO ALIYOLIPA

SABABU YA PILI ILIYOPELEKEA MHUSIKA KUIPA JINA HILO CODE HII, NI BAADA YA BINTI HUYU KUONEKANA KUHUSIKA KATIKA KILA MATUKIO YA HATARI YAYOKUWA YAKIMUANDAMA MHUSIKA MWAKA JANA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI

KWENYE MATUKIO MAWILI AU MATATU YA HATARI YALIYOWAHI KUPELEKEA MHUSIKA KUKIMBIA OFISINI NA KWENDA KUFANYIA KAZI NYUMBANI KWAKE MWAKA JANA, BINTI HUYU ALIWAHI KUHUSIKA NA KARIBIA MARA ZOTE ALIKUWA AMETOKA SAFARI NA BAADA YA HAPO, KUJA KUINGIA CHUMBA JIRANI

KWENYE TUKIO LILE LA ELECTRODES ZA GEREZANI, SIKU HIYO BINTI HUYU ALIWAHI HATA KUFIKA PHYSICALLY OFISINI KWAO MHUSIKAM AKIWA AKIMUULIZIA OFGICE MATE-1 (OM-1) AMBAYE KWA WAKATI HUO ALIKUWA TAYARI AMESHAONDOKA KUELEKEA GERZANI KUFUATILIA ELECTRODES
 
MR X KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI KWENYE IBADA YA J2 ILIYOPITA KANISANI

MR X ALIPANDA JUU MADHABAHUNI KURUSHA PEPO KWA KUTUMIA CODE YA BUTCHERED, CODE AMBAYO ILIRUSHA PEPO KWA YESU PIA NA HIVYO KUFUTA MAOMBI YOTE YA WALE WALIOKUWA WAMEOMBA KWA KUTUMIA JINA HILO, NA PIA WAOMBAJI WANAOFANANA NA HAO, WALIOFUATA BAADA YA HAPO

BINTI MMILIKI WA SOURCE CODE YA BUTCHERED (MSCB)
KULE ULIKOANZIA UTAFITI WA MHUSIKA KUHUSIANA NA BINTI HUYU


ILITOJEA SIKU MOJA TAKRIBANI MIAKA MIWILI ILIYOPITA, ULITOLEWA WARAKA KUWA KULIKUWA KUMEANDALIWA PRESENTATION YA MWANAFUNZI WA NGAZI ZA JUU ITAKAYOFANYIKIA KWENYE CHUMBA AMBACHO NI NAMESAKE WA MHUSIKA

MHUSIKA ALIHUDHURIA PRESENTATION HIYO NA BAADHI TU YA MAMBO MUHIMU ALIYOYAONA WAKATI WA PRESENTATION HIYO NI YAFUATATAYO

ILIKUWA NI MARA YA KWANZA KWA MHUSIKA KUMUONA MWANAFUNZI HUYO MAZINGIRA YA IDARANI; SURA TAKE ILIKUWA NGENI KABISA

BAADA YA PRESENTATION YA SIKU HIYO, MHUSIKA HAJAWAHI KUMUONA TENA MWANAFUNZI HUYO IDARANI AU SEHEMU NYINGINE YOYOTE ILE NJE YA IDARA

MWANAFUNZI HUYO ALIKUWA NA JINA LA KWANZA LINALOFANANA NA JINA LA KWANZA LA MHUSIKA, KWA MAANA KWAMBA MHUSIKA NA NWANAFUNZI HUYU WALIKUWA NI NAMESAKES WALIOKUWA KWENYE UKUMBI AMBAO PIA NI NAMESAKE WAO

BAADA YA SIKU HIYO KUPITA, SIKU KADHAA MBELE NDIYO MHUSIKA ALIPOBAINI UWEPO WA PILIKA PILIKA NYINGI SANA ZA BINTI MSCB NA HADI KUJA KUFIKIA HATUA YA KUHUSIKA KWENYE MATUKIO KADHAA NDANI YA MWAKA ULIOPITA WA 2023

MBALI NA HAYO YOTE BINTI HUYU HUWA PIA ANAI USHIRIKIANO WA KARIBU SANA NA MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) NA KARIBIA MARA ZOTE KILA ANAPOKUWA YUPO MAZINGIRA YA OFISINI, HUWA NI LAZINA AFIKE NA KUINGIA NDANI OFISINI KWA MMU

NAMESAKES WENGINE WALIOONYESHA COINCIDENCE YA KIPEKEE NDANI YA WIKI HII

MHUSIKA ALIIBAINI COINCIDENCES HIZI WIKI HII SIKU YA ALHAMIS MCHANA BAADA YA KUMALIZIKA SESSION YA ASUBUHI YA PRESENTATIONS ZA WANAFUNZI; AMBAYO YEYE ALISHIRIKI PIA

BAADA YA KUTOKA KWENYE PRESENTATIONS, MHUSIKA ALIENDA AJAKUTANA NA DEREVA MSTAAFU WA MIAKA YA MWISHONI MWA 2000 KWENYE CHUMBA CHA CHAI

MARA YA MWISHO MSTAAFU HUYU NA MHUSIKA WALIONANA IDARANI ILKKUWA TAKRIBANI MIAKA MWILI ILIYOPITA, NA KIPINDI HICHO ALIKUWA AKITUMIA GARI YENYE RANGI NYEKUNDU

MOJAWAPO YA MAJINA YA MSTAAFU HUYU, LILIKUWA NI MOJAWAPO YA MAJJNA YA MMOJA WA PRESENTERS WA SIKU HIYO

VILE VILE MKUU WA KITENGO CHA MATETEMEKO YA ARDHI HAKUWEPO OFISINI KWA SIKU KADHAA LAKINI KWA SIKU HIYO NAYE ALIKUWEPO OFISINI, NA KWENYE PRESENTATION NAYE PIA KULIKUWA NA NAMESAKE WAKE
...............itaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
...............inaendelea

BINTI MMILIKI WA SOURCE CODE YA BUTCHERED (MSCB)

NDIYE ALIKUWA MWENYEKITI WA SESSION YA PRESENTATION YA MWANAFUNXI HUYU AMBAYE ALIWAHI KUONEKANA IDARANI MAEA MOJA TU

VITU VINGINE AMBAVYO CODE HII INATUMIA

CODE HII INATUMIA PIA VITU VYOTE VYENYE RANGI NYEKUNDU KAMA VILE MAGARI, MITHILI YA LILE AMBALO HUWA LINAKUJA KUPAKI KWENYE BLOCK JIRANI ANALOISHI MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA

MWINGINE AMBAYE NI MBOBEZI HASA WA CODE HII, NI OFFICE MATE WA MHUSIKA (OM-1) AMBAYE SIKU ZOTE HUWA ANAVAA SHATI ZA DRAFT TU NA ZILIZO ZA RANGI NYEKUNDU TU

VINGINEVYO CODE HII INATUMIA PIA RANGI YA MENO YALIYOUNGUA, AU KWA KITALAMU MENO YENYE FLUORISIS

CODE NYINGINE INAYOTUMIA JINA LA YESU LILIOWAHI KUTAJWA NA MALIKA KWENYE KITABU CHA MATHAYO SURA YA KWANZA, LIKIMAANISHA MUNGU PAMOJA NASI
CODE HII INATUMIWA NA WATU WATATU IDARANI AMBAO NI
MKUU WA IDARA

BJNTI JUNIOR STAFF AMBAYE ALIWAHI KUWA JIRANI WA MHUSIKA

PAMOJA NA KIJANA JUNIOR STAFF AMBAYE MARA NYINGI HUWA ANATUMIA GARI YA BINTI HUYU ALIYEWAHI KUWA JIRANI WA MHUSIKA

HUYU KIJANA YEYE AMEAZIMWA TU CODE HIYO KAMA ALIVYOAZIMWA MR X; WAMILIKI HASA WA CODE NI HAO WAWILI

BINTI PAMOJA NA MWI NI NAMESAKES,; BAADHI YA MAJINA YAO YAMEFANANA

KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI, BINTI HUYU AMEKUWA HAONEKANI SANA OFISINI NA IKITOKEA AKAONEKANA, BASI ANAKUWA ANA-OPERATEI KUPITIA CODE HIYO

...............itaendelea tena
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA NYAMA MBICHI YA NGURUWE ( NMYN) INAYO-OPERATE KULE KANISANI NA CODE YA BUTCHERED INAYO-OPERATE OFISINI KWA MHUSIKA

CODE HII NI MOJA ISIPOKUWA TU MAJINA NDIYO TOFAUTI. MAJJNA YA CODE HIZI YAKO LINKED KWENYE SEHEMU HIZI MBILI KUPITIA MR X

BAADA YA MR X KUFANIKIWA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNIJ2 ILIYOPITA; BAADA YA KUHITIMISHWA IBADA, PALE NJE GETINI KULIKUWA NA NYAMA MBICHI YA NGURUWE ILIYOKUWA INAUZWA IMESHIKILIWA MKONONI KAMA KARANGA

ILIKUWA NI J2 YA PILI MFULULIZO KWA KIPINDI HIKI CHA HIVI KARIBUNI, KWA NYAMA YA NGURUWE KUONEKANA TENA IKIWA INAUZWA GETJNI

VINGINEVYO HAPO KABLA, NYAMA HII ILIWAHI KUWA INAUZWA PIA NA KWA MTINDO HUO HUO, TAKRIBANI MWAKA NA USHEE ULIOPITA,: NA POSSIBLY HATA WAKATI HUO INAWEZA KUWA ILIKUWA INATUMIA THE SAME CODE, ISIPOKUWA TU MHUSIKA HAKUWAHI KUING'AMUA CODE HIYO KWA WAKATI HUO

KUHUSIANA NA CODE ILE NYINGINE YA PHONOLOGY INAYOTUMIA WAVES

UHUSUANO KATI YA MATUTA MAPYA YALIYOWEKWA HIVI KARIBUNI BARABARANI, NA FREQUENCY YA KUONANA KATI YA MHUSIKA NA RAFIKI ZAKE WATOTO WA MKUU WA MAJOR UNIT (MMU)

FREQUENCY YA MHUSIKA KUONANA NA WATOTO HAO KABLA YA MATUTA HAYO KUWEPO BARABARANI


KABLA YA NATUTA KUWEKWA MHUSIKA ALIKUWA TAYARI AMESHAFAHAMIANA NA RAFIKI YAKE MMOJA TU KUTOKA NYUMBANI KWA MMU NA WALIFAHAMIANA MWANZONI MWA MWAKA 2022 AU MWISHONI MWA MWAKA 2O21

KWA HIYO KABLA YA MATUTA KUWEKWA, MHUSIKA ALIKUWA AMESHAFAHAMIANA NA MTOTO MMOJA WA MMU, NA WALIFAHAMIANA SIKU MTOTO HUYO ALIPOFIKA OFISINI AKIWA AMEBEBWA KWENYE GARI NA BABA YAKE. MTOTO HUYU ALIKUWA NI YULE WA MWISHO KABISA

TANGU KIPINDI HICHO MHUSIKA HAKUWAHI KUONANA TENA NA MTOTO HUYU AU MTOTO MWINGINE YEYOTE WA MMU HAD ILIPOFIKA TENA MWEZI MAY 2024 MWAKA HUU

FREQUENCY YA MHUSIKA KUONANA NA WATOTO HAO BAADA YA MATUTA HAYO KUWEPO BARABARANI
MWEZI MAY 2024 WAKATI WA RESEARCH WEEK, MHUSIKA ALIONANA KWA MARA YA KWANZA NA MTOTO MKUBWA WA MMU, NA ALIFIKA OFISINI AKIWA ANATEMBEA KWA MGUU

BAADA YA SIKU KADHAA, YULE RAFIKI WA MWANZO WA MHUSIKA WALIYEWAHI KUONANA ZAIDI YA MIAKA MIWILI ILIYOPITA, ALIFIKA KWENYE BLOCK ANALOISHI MHUSIKA WAKIWA WANAELEKEA NYUMBA YA JIRANI. MTOTO HUYU ALIKUWA AMEAMBATANA NA DADA YAKE NA WALIFIKAI WAKIWA WANATEMBEA KWA MIGUU

BAADA YA HAPO, IJUMAA YA TAREHE 14/06/2024, WATOTO WATATU WA MMU, WAKIWEMO WALE WAWILI WA MWANZO, WALIFIKA OFISINI NA MHUSIKA ALIWAITA OFISINI KWAKE BAADA YA KUWAONA WAKIWA WANA-FUMBLE NA KIITASA CHA MLANGO WA OFISI YA BABA YAO.

HATA KWA SIKU HIYO, WATOTO HAWA WALIFIKA OFISINI WAKIWA WANATEMBEA KWA MGIUU

IJUMAA HII NDIYO ILE AMBAYO MHUSIKA ALIPIGIWA SIMU BAADA YA SAA MOJA USIKU, KWENDA KUFUNGA CHUMBA CHA OFISI AMBAYO ILIKUWA IMEACHWA WAZI


VINGINEVYO WATU WENGINE AMBAO IJUMAA HIYO WALIONEKANA MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA NA KUSALIMIANA NAYE NI HAWA WAFUATAO

MWENZA WA MKUU WA IDARA
HUYU MARA YA MWISHO WALIKUTANA NA MHUSIKA PALE SAVEI MWISHONI MWA MWEZI WA SABA MWAKA JANA 2023, MHUSIKA ALIPOKUWA ANATOKEA MLIMANI CITY

MKUU WA IDARA MSTAAFU WA MIAKA YA 2015-2016
HUYU ALIPITA KWA MUDA TU KUMSALIMIA SPECIFICALLY MHUSIKA AKIWA ANAELEKEA OFISI JIRANI YA MMU.

MKUU HUYU ALIPITA KUMSALIMIA SPECIFICALLY MHUSIKA KWA SABABU OM-2 NAYE PIA ALIKUWEPO OFISINI LAKINI HAWAKUSALIMIANA

BAADA YA MKUU HUYU KUWA AMEONDOKA, MHUSIKA ALIANZA KUMHOJI OM-2 KWA NINI HAKUSIMAMA KUMSALIMIA MKUU HUYO ALIYEKUWA AMEPITA KUISALIMIA OFISI

OM-2 ALIJIBU KUWA HAKUFANYA HIVYO KWA SABABU WALIKUWA TAYARI WAMESHASALIMIANA

MWINGINE ALIYEFIKA OFISINI NA KUSALIMIA AKIWA AMECHUNGULIA MLANGONI,ALIKUWA NI MR X

MARA ZOTE MR X HUWA ANASALIMIA AKIWA ANAINGIA CHUMBA JIRANI CHA MICROSCOPE NA SI KWA KUCHUNGULIA KUPITIA MLANGONI, NA MARA YA MWISHO MR X ALIWAHI KUINGIA OFISINI KWAO MHUSIKA, ILIKUWA NI JANUARY 2024, BAADA YA OM-1 KUWA AMERUDI KUTOKA SAFARI

KITU KINGINE MUHIMU NA NOTABLE KWENYE MATUTA HAYO YA BARABARANI

MATUTA HAYO YALIWEKWA BAADA YA KUONDOKA GARI ILIYOKUWA IMEKUJA KWA MARA YA KWANZA NA KUPAKI PERMANENTLY PALE KWENYE BLOCK ANALOISHI MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA

GARI HIYO ILIONDOKA JUMAMOSI YA TAREHE 30/03/2024 NA MATUTA HAYO MAPYA YALIONEKANA BARABARANI MARA TU BAADA YA SIKUKUU YA PASAKA KUMALIZIKA

UPNEXT
CODE YA SAUTI ZA KARATASI ZINAZOCHANWA N.A. PIA SAUTI ZA KUPENGA KAMASI ZA MAFUA KWA MFULULIZO


CODE HII ILITUMIWA N.A. OM-2 KWA WIKI NZIMA NDANI YA WIKI ILE YA KUELEKEA IJUMAA AMBAYO MHUSIKA ALITAKIWA KURUDI OFISINI BAADA YA SAA MOJA USIKU

CODE HII ILITUMIKA KUMUAANDAA MHUSIKA KWA AJILI YA IJUMAA HIYO
...............itaendelea

DOKEZO MUHIMU

UKITUMIA WATOTO KUMSHAMBULIA MHUSIKA, UNAMWAGA PIPA LA MAFUTA YA PETROL KWENYE MOTO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom