Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
- Thread starter
- #2,081
UPDATE: TUESDAY, 18th JUNE 2024
MWALIMU/ KIONGOZI WA KANISA A ALIYEWAHI KUFUNDISHA MASOMO KADHAA CHINI YA KICHWA KIKUU CHA SOMO KILICHOSEMA “YESU KUFANYIKA DHAMBI”
Somo hilo la zamani lililowahi kubeba kichwa “YESU KUFANYIKA DHAMBI”, lilifundishwa na mwalimu ambaye kwenye kipindi hiki cha sasa hadi kufikia wiki jana, amekuwa kwa wiki kadhaa sasa akifundisha somo jingine lenye kichwa kinachosema “ROHO MTAKATIFU NI ROHO WA UREJESHO”
Huyu “ROHO MTAKATIFU (RM) NI ROHO WA UREJESHO” kwa watu gani?
Jibu lake ni obvious kuwa ni kwa wenye dhambi, akiwemo YESU mwenyewe kwa sababu “YESU ALIWAHI KUFANYIKA DHAMBI”
Kutokana na hali hiyo, RM ni ROHO WA UREJESHO hata kwa wale WALIOLAWITIANA wiki hii na taarifa zao kusambaa kwenye media
Hapa ilikuwa ni muhimu kwamba mmojawapo wa wahusika tukio hli alitakiwa awe MWANAFUNZI, ili kitendo hicho kiweze ku-mcover vizuri YESU PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE, na ambao ndiyo aliwashukia siku ya Pentekoste baada ya kupaa mbinguni, safari hii akiwa ni ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU alishuka siku ya Penetkoste na aliwashukia WANAFUNZI WA YESU, na ambaye in essence, alikuwa ni Yesu yule yule ila safari akiwa kwenye nafsi ya tatu ya MUNGU ROHO MTAKATIFU
Kwa hiyo watu wa kwanza kabisa kumpokea RM hapa duniani kwa mara ya kwanza na hivyo kuwa ndiyo wenyeji wake, walikuwa ni WANAFUNZI WA YESU
BAADA YA PEPO KURUSHWA KUPITIA MADHABAHU YA KANISA A J2 YA TAREHE 07/06/2024 ULIHITAJIKA USAMBAZAJI SASA ILI PEPO HUYU AWEZE KUENEA
Wakati watu hawa wanalawitiana na hatimaye taarifa zao kusambaa kwenye MEDIA, tayari pepo huyu alikuwa ameshaachiwa kutoka kwenye madhabahu ya Kanisa A. Hawa walawitianaji kazi yao hasa ilikuwa ni kumsambaza tu huyu PEPO il aweze kusambaa kwenye DATABASE, database ya jamii ya ndani na ya nje ya nchi
Mwalimu ambaye amekuwa akifundisha somo hili, ndiyo mwalimu yule yule ambaye kipindi kirefu kilichopita, waumini wa Kanisa A walipokuwa bado wanaabudu kwenye Kanisa la zamani, kwa mara kadhaa na katika vipindi tofauti tofauti, aliwahi kufundisha series za somo hlili lenye kichwa cha YESU KUFANYIKA DHAMBI; isipokuwa kwa kipindi hicho somo hili alikuwa akilifundisha kwenye siku za J2 tu
Uwezeakano mkubwa ni kwamba somo la kipindi hiki la RM NI ROHO WA UREJESHO, lilitakiwa kuendelea pia hata kwenye Ibada kuu ya siku ya jana J2 ya tarehe 16/06/2024 isipokuwa pengine mcheche wa mhusika kutokuwa mwangalifu kwenye posts zake, ndiyo ule uliopelekea somo hilo kuahirishwa na kupelekea mwalimu mwingine ambaye alikuwa hajawahi hata mara moja kusimama kuhudumu kwenye Ibada kuu za J2, kupewa nafasi hiyo kwa mara ya kwanza
Kinachoweza kuwa kilipelekea utaratibu kubuniwa, yaweza kuwa ni posts hii hapa #2,080 aliyoipost mhusika Jumamosi illiyopita, masaa kadhaa kabla ya J2 kuingia
Ikumbukwe pia kuwa tangu March 2021, kwenye J2 zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada za kwanza badala ya Ibada za pili, mwalimu wa somo kwa J2 zote hizo huwa ni huyu mwenye taarifa hizi, ukiondoa J2 moja tu ya hivi karibuni mwezi uliopita ambayo KM-A alilazimika kubuni Meza ya Bwana ya ghafla na hivyo kwenye J2 hiyo, KM-A kusimama yeye kwa muda mfupi kwenye Ibada kuu ya asubuhi
NAMNA AMBAVYO SOMO HILI LA ROHO MTAKATIFU NI ROHO WA UREJESHO, LIMEKUWA LIKIFUNDISHWA KWA MSISITIZO WA PEKEE TANGU SIKU LILIPOANZA KUFUNDISHWA WIKI KADHAA ZILIZOPITA
Katika hali ya kawaida, somo kuu na refu lenye vipengele kadhaa au series na ambalo hufundishwa kwenye Ibada kuu za J2, huwa halifundishwi tena katikati ya wiki kwa sababu ni waumini wachache tu ambao huwa wanahudhiuria Ibada za katikati ya wiki, ukilinganisha na idadi ya wale ambao huwa wanahudhuria kwenye Ibada kuu za kila J2
Kabla ya kuendelea zaidi wasomaji wanaombwa kuzipitia posts hizi hapa ambazo zinahusiana na maelezo ya masomo yaliyowahi kufundishwa zamani chini ya kichwa “YESU KUFANYIKA DHAMBI”
Masomo hayo yalifundishwa huku yakiwa yameficha code muhimu sana kwenye ukristo kwa sababu YESU aliagiza wakristo waombe kwa jina lake, yaani kwa JINA LA YESU, na ndiyo maana katika hali ya kawaida, sala zote au maomb yote sahihi ya kikristo, huwa yanahitimishwa na maneno “… KWA JINA LA YESU”
Posts hizo ni
#1,036
#1,023
#1,040
#608
Na pia posts zingine za nyongeza zinazohusiana na somo hilo ni hizi hapa
#1,964
#1,668
#1,186
#1,040
#1,036
#1,034
#1,023
#796
#608
#414
Kwa hiyo kilichofanyika kwenye Ibada ya wiki juzi ya J2 tarehe 07/06/2024, ni RENEWAL tu ya pepo huyu kwa sababu pepo huyu alisharushwa siku nyingi zaidi ya miaka mitatu iliyopita nyuma
Baada ya RENEWAL.usambazaji ulianza sasa ndiyo pale walipopatiakana na hata wale walawitianaji waliosambaza wenyewe taarifa zao kwenye media
KITU KINGINE KIKUBWA ZAIDI KILICHOFANYWA NA PEPO HUYU BAADA YA KUWA AMERUSHWA
Maombi yote yaliyohusisha JINA LA YESU aidha kwa kulitaja au kwa kulitumia kuhitimsiha maombi, yalikuwa YANAFUTIKA na hivyo, hayakuwa yanafanya kazi
Kwa hiyo INFECTION hasa iliyofanywa na pepo huyu ni kwenye nafsi, roho, miili na akili za watu, ikiwa pamoja na kuhakikisha kuwa hakuna tena maombi ya UREJESHO WA vyote hivi vilivytajwa hapa kwa sababu kule zinakotakiwa kuhifadhiwa baada ya urehjesho, (JINA LA YESU), ghala lilikuwa limebomolewa kwa bomu la nuclear
YALE YALIYOMSIBU MHUSIKA NDANI YA WIKI ILIYOPITA BAADA YA PEPO HUYU KUWA AMERHWA TENA
Baada ya pepo huyu kuwa amerushwa tena J2 tajwa, kule nyumbani kwake mhusika, jioni ya siku hiyo JIRANI MAJI MACHAFU (JMM) aliingia tena kwa mara ya pili ndani ya kipindi kifupi sana, na hivyo KUANZA KUTIRIRISHA TENA MAVI KWA MARA PILI(ikiwa ni ndani ya kipindi cha wiki moja tu) kupiia nyumbani kwa mhusika.
Mbali na hilo, kule ofisini kwake nako pia MNUNUZI WA GARI (MWG), MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) na watu wengine kadhaa, nao pia waliingia kazini, safari hii wakimhusisha na mtu mwingine mgeni kutoka nje ya taasisi ambaye ana uhusiano na wote wawili MWG na MMU
Taarifa zaidi zinafuata
……………………………inaendelea
MWALIMU/ KIONGOZI WA KANISA A ALIYEWAHI KUFUNDISHA MASOMO KADHAA CHINI YA KICHWA KIKUU CHA SOMO KILICHOSEMA “YESU KUFANYIKA DHAMBI”
Somo hilo la zamani lililowahi kubeba kichwa “YESU KUFANYIKA DHAMBI”, lilifundishwa na mwalimu ambaye kwenye kipindi hiki cha sasa hadi kufikia wiki jana, amekuwa kwa wiki kadhaa sasa akifundisha somo jingine lenye kichwa kinachosema “ROHO MTAKATIFU NI ROHO WA UREJESHO”
Huyu “ROHO MTAKATIFU (RM) NI ROHO WA UREJESHO” kwa watu gani?
Jibu lake ni obvious kuwa ni kwa wenye dhambi, akiwemo YESU mwenyewe kwa sababu “YESU ALIWAHI KUFANYIKA DHAMBI”
Kutokana na hali hiyo, RM ni ROHO WA UREJESHO hata kwa wale WALIOLAWITIANA wiki hii na taarifa zao kusambaa kwenye media
Hapa ilikuwa ni muhimu kwamba mmojawapo wa wahusika tukio hli alitakiwa awe MWANAFUNZI, ili kitendo hicho kiweze ku-mcover vizuri YESU PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE, na ambao ndiyo aliwashukia siku ya Pentekoste baada ya kupaa mbinguni, safari hii akiwa ni ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU alishuka siku ya Penetkoste na aliwashukia WANAFUNZI WA YESU, na ambaye in essence, alikuwa ni Yesu yule yule ila safari akiwa kwenye nafsi ya tatu ya MUNGU ROHO MTAKATIFU
Kwa hiyo watu wa kwanza kabisa kumpokea RM hapa duniani kwa mara ya kwanza na hivyo kuwa ndiyo wenyeji wake, walikuwa ni WANAFUNZI WA YESU
BAADA YA PEPO KURUSHWA KUPITIA MADHABAHU YA KANISA A J2 YA TAREHE 07/06/2024 ULIHITAJIKA USAMBAZAJI SASA ILI PEPO HUYU AWEZE KUENEA
Wakati watu hawa wanalawitiana na hatimaye taarifa zao kusambaa kwenye MEDIA, tayari pepo huyu alikuwa ameshaachiwa kutoka kwenye madhabahu ya Kanisa A. Hawa walawitianaji kazi yao hasa ilikuwa ni kumsambaza tu huyu PEPO il aweze kusambaa kwenye DATABASE, database ya jamii ya ndani na ya nje ya nchi
Mwalimu ambaye amekuwa akifundisha somo hili, ndiyo mwalimu yule yule ambaye kipindi kirefu kilichopita, waumini wa Kanisa A walipokuwa bado wanaabudu kwenye Kanisa la zamani, kwa mara kadhaa na katika vipindi tofauti tofauti, aliwahi kufundisha series za somo hlili lenye kichwa cha YESU KUFANYIKA DHAMBI; isipokuwa kwa kipindi hicho somo hili alikuwa akilifundisha kwenye siku za J2 tu
Uwezeakano mkubwa ni kwamba somo la kipindi hiki la RM NI ROHO WA UREJESHO, lilitakiwa kuendelea pia hata kwenye Ibada kuu ya siku ya jana J2 ya tarehe 16/06/2024 isipokuwa pengine mcheche wa mhusika kutokuwa mwangalifu kwenye posts zake, ndiyo ule uliopelekea somo hilo kuahirishwa na kupelekea mwalimu mwingine ambaye alikuwa hajawahi hata mara moja kusimama kuhudumu kwenye Ibada kuu za J2, kupewa nafasi hiyo kwa mara ya kwanza
Kinachoweza kuwa kilipelekea utaratibu kubuniwa, yaweza kuwa ni posts hii hapa #2,080 aliyoipost mhusika Jumamosi illiyopita, masaa kadhaa kabla ya J2 kuingia
Ikumbukwe pia kuwa tangu March 2021, kwenye J2 zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada za kwanza badala ya Ibada za pili, mwalimu wa somo kwa J2 zote hizo huwa ni huyu mwenye taarifa hizi, ukiondoa J2 moja tu ya hivi karibuni mwezi uliopita ambayo KM-A alilazimika kubuni Meza ya Bwana ya ghafla na hivyo kwenye J2 hiyo, KM-A kusimama yeye kwa muda mfupi kwenye Ibada kuu ya asubuhi
NAMNA AMBAVYO SOMO HILI LA ROHO MTAKATIFU NI ROHO WA UREJESHO, LIMEKUWA LIKIFUNDISHWA KWA MSISITIZO WA PEKEE TANGU SIKU LILIPOANZA KUFUNDISHWA WIKI KADHAA ZILIZOPITA
Katika hali ya kawaida, somo kuu na refu lenye vipengele kadhaa au series na ambalo hufundishwa kwenye Ibada kuu za J2, huwa halifundishwi tena katikati ya wiki kwa sababu ni waumini wachache tu ambao huwa wanahudhiuria Ibada za katikati ya wiki, ukilinganisha na idadi ya wale ambao huwa wanahudhuria kwenye Ibada kuu za kila J2
Kabla ya kuendelea zaidi wasomaji wanaombwa kuzipitia posts hizi hapa ambazo zinahusiana na maelezo ya masomo yaliyowahi kufundishwa zamani chini ya kichwa “YESU KUFANYIKA DHAMBI”
Masomo hayo yalifundishwa huku yakiwa yameficha code muhimu sana kwenye ukristo kwa sababu YESU aliagiza wakristo waombe kwa jina lake, yaani kwa JINA LA YESU, na ndiyo maana katika hali ya kawaida, sala zote au maomb yote sahihi ya kikristo, huwa yanahitimishwa na maneno “… KWA JINA LA YESU”
Posts hizo ni
#1,036
#1,023
#1,040
#608
Na pia posts zingine za nyongeza zinazohusiana na somo hilo ni hizi hapa
#1,964
#1,668
#1,186
#1,040
#1,036
#1,034
#1,023
#796
#608
#414
Kwa hiyo kilichofanyika kwenye Ibada ya wiki juzi ya J2 tarehe 07/06/2024, ni RENEWAL tu ya pepo huyu kwa sababu pepo huyu alisharushwa siku nyingi zaidi ya miaka mitatu iliyopita nyuma
Baada ya RENEWAL.usambazaji ulianza sasa ndiyo pale walipopatiakana na hata wale walawitianaji waliosambaza wenyewe taarifa zao kwenye media
KITU KINGINE KIKUBWA ZAIDI KILICHOFANYWA NA PEPO HUYU BAADA YA KUWA AMERUSHWA
Maombi yote yaliyohusisha JINA LA YESU aidha kwa kulitaja au kwa kulitumia kuhitimsiha maombi, yalikuwa YANAFUTIKA na hivyo, hayakuwa yanafanya kazi
Kwa hiyo INFECTION hasa iliyofanywa na pepo huyu ni kwenye nafsi, roho, miili na akili za watu, ikiwa pamoja na kuhakikisha kuwa hakuna tena maombi ya UREJESHO WA vyote hivi vilivytajwa hapa kwa sababu kule zinakotakiwa kuhifadhiwa baada ya urehjesho, (JINA LA YESU), ghala lilikuwa limebomolewa kwa bomu la nuclear
YALE YALIYOMSIBU MHUSIKA NDANI YA WIKI ILIYOPITA BAADA YA PEPO HUYU KUWA AMERHWA TENA
Baada ya pepo huyu kuwa amerushwa tena J2 tajwa, kule nyumbani kwake mhusika, jioni ya siku hiyo JIRANI MAJI MACHAFU (JMM) aliingia tena kwa mara ya pili ndani ya kipindi kifupi sana, na hivyo KUANZA KUTIRIRISHA TENA MAVI KWA MARA PILI(ikiwa ni ndani ya kipindi cha wiki moja tu) kupiia nyumbani kwa mhusika.
Mbali na hilo, kule ofisini kwake nako pia MNUNUZI WA GARI (MWG), MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) na watu wengine kadhaa, nao pia waliingia kazini, safari hii wakimhusisha na mtu mwingine mgeni kutoka nje ya taasisi ambaye ana uhusiano na wote wawili MWG na MMU
Taarifa zaidi zinafuata
……………………………inaendelea