#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Kutoka 33:1-17

Bwana akanena na Musa, Haya, ondokeni, katokeni hapo, wewe na hao watu uliowaleta wakwee kutoka nchi ya Misri, waende nchi hiyo niliyomwapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, niliposema, Nitakipa kizazi chako nchi hii;
2 nami nitamtuma malaika aende mbele yako; nami nitawafukuza Mkanaani, na Mwamori, na Mhiti, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi;
3 waifikilie nchi imiminikayo maziwa na asali; kwa maana mimi sitakwenda kati yenu; kwa sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu; nisiwaangamize ninyi katika njia.
4 Watu waliposikia habari hizo mbaya wakaomboleza wala hapana mtu aliyevaa vyombo vyake vya uzuri.
5 Bwana akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli, Ninyi ni watu wenye shingo ngumu; kama mimi nikiingia kati yenu dakika moja, nitawaangamiza; basi sasa vueni vyombo vyenu vya uzuri ili nipate kujua nitakalowatenda.
6 Basi wana wa Israeli wakavua vyombo vyao vyote vya uzuri, tangu mlima wa Horebu na mbele.
7 Basi desturi ya Musa, ilikuwa kuitwaa ile hema, na kuikita nje ya marago mbali na hayo marago; akaiita, hema ya kukutania. Hata kila mtu aliyekuwa akitaka neno kwa Bwana, akatoka, akaenda hata hema ya kukutania, iliyokuwa nje ya marago.
8 Hata Musa alipotoka kuiendea ile hema, watu wote waliondoka wakasimama, kila mtu mlangoni pa hema yake, akamtazama Musa, hata alipokwisha kuingia hemani.
9 Ikawa Musa alipoingia humo hemani, ile nguzo ya wingu ikashuka, ikasimama mlangoni pa ile hema; naye Bwana akasema na Musa.
10 Watu wote wakaiona nguzo ya wingu ikisimama penye mlango wa hema; watu wote wakaondoka wakasujudu, kila mtu mlangoni pa hema yake.
11 Naye Bwana akasema na Musa uso kwa uso, kama vile mtu asemavyo na rafiki yake. Kisha akageuka akarejea hata maragoni; bali mtumishi wake Yoshua, mwana wa Nuni, naye ni kijana, hakutoka mle hemani.
12 Musa akamwambia Bwana, Angalia, wewe waniambia, Wachukue watu hawa; nawe hukunijulisha ni nani utakayemtuma pamoja nami. Walakini umesema, Nakujua jina lako, nawe umepata neema mbele zangu.
13 Basi, sasa nakuomba, ikiwa nimepata neema mbele zako, unionyeshe njia zako, nipate kukujua, ili nipate neema mbele zako; ukakumbuke ya kuwa taifa hilo ndilo watu wako.
14 Akasema, Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.
15 Naye akamwambia, Uso wako usipokwenda pamoja nami, usituchukue kutoka hapa.
16 Kwa maana itajulikanaje kuwa nimepata neema mbele zako, mimi na watu wako? Siyo kwa sababu unakwenda pamoja nasi, hata mimi na watu wako tutengwe na watu wote walio juu ya uso wa nchi?
17 Bwana akamwambia Musa, Nitafanya na neno hili ulilolinena, kwa maana umepata neema mbele zangu, nami nakujua jina lako.

Ukiangalia vizuri kwenye maneno yaliyopigiwa mstari, utaona kuwa:

  • Maneno usituchukue kutoka hapa ni kama amri, ila si amri. Ni malalamiko ya Mussa akiyaelekeza kwa Mungu
  • Kwa hiyo kuna wakati Mungu anapenda kulalamikiwa, ila kamwe Mungu hapendi kulaumiwa
  • Ukimlalamikia Mungu, huwa ianonyesha kuwa kile unacholalamikia hakina mwenye kukitolea ufumbuzi isipokuwa yeye, na hivyo kulalalmika huko kunakuwa kunamwinua Mungu ka kiwango cha juu sana
  • Kwa mfano, kule ninakotoka mimi kijijini, ikitokea labda kukawa na ukame wa muda mrefu, wazee utawasikia wanalalamika kwa maneno ya kilugha yanayomaanisha “ Hili li Mungu lina uelekeo hata wa kuja kutumaliza siku moja:
  • Hawa ni wazee ambao huwa wanajipambanua kuwa ni wapagani na wale ambao hawajawahi hata siki moja, kuingia kwenye nyumba ya Ibada.
  • Kwenye malalamiko yao hayo, Mungu hajawahi kuwaacha hata siku moja, mvua huwa zinanyesha na hatimaye wanapata chakula cha kutosha
  • Malalamiko ya wazee hawa si kwamba yanamkufuru Mungu au kumsononesha, bali yanamwinua
  • Mi kwa sababu huwa inafikia hatua wanakiri kabisa kuwa msaada wao ni Mungu tu hakuna kingine, kiasi kwamba sipoingilia kati yeye, hawana maisha tena mbele yao
  • Hii ni scenario inayomwinua Mungu kipekee sana na si kumkufuru
Kwa hali hiyo,malalamiko ya namna hii huwa yana tabia ya kumuinua Mungu kuwa yeye ni pekee na hakuna mwingine

TAHADHARI MUHIMU:

Kuwa mwangalifu sana na namna unavyoweza kumlalamikia Mungu kwa sababu kuna mstari mwembamba sana kati ya kulalamika na kulaumu. Unaweza ukadhani kuwa unalalamika, kumbe umeshavuka mstari na kuanza kulaumu. Usipokuwa na uhakika kati ya kulalamika na kulaumu, basi ni bora usilalamike.

Hapo juu Mussa alikuwa anamlalamikia Mungu na alipokea sawsawa na kulalalmika kwake
 
UPDATE: TUESDAY 22 SEPTEMBER 2020

COMING SOON:
MR X ONCE AGAIN

Update muhimu kuhusu pilika pilika za Mr X, especially kwa siku za hivi karibuni, kuanzia Jumanne ya wiki iliyopita, tarehe 15/09/2020

  • Wakati mwingine huwa anafanya mambo kama vile wengine hawana ubongo kichwani au huwa hawaoni
  • Huwa haachi kufanya mambo ya kipumbavu, na kama angekuwa ana uwezo wa kuacha kufanya, angekuwa ameshaacha
  • Hata hivyo yaweza kuwa kitu kikubwa kimeizingira akili yake kiasi kwamba anashindwa kufanya mambo kwa kutumia akili yake ile ya kawaida, anaweza akawa hayuko kawaida sana kwa sasa
  • Amekuja na version nyingine kwa kipindi hiki, ambayo kwa mbali sana ina uhusiano na mtego kama ule aliowahi kuutumia kwenye transforma la umeme lililowahi kulipuka. Collaboration ya mawasiliano yake kwa sasa iko na mtu kutoka huko huku akiwa pia ameset “catch point” kwenye maeneno yale yale ya siku zote ambayo amekuwa akiyatumia
  • Inaonyesha kuwa kwa sasa, akili yake inaweza kuwa imefikia hatua ya kukosa umakini kiasi kwamba anafanya mambo “bora liende”


NEXT UPDATEL(Today)

MATUKIO MAWILI MUHIMU YALIYOWAHI KUMTOKEA MHUSIKA KIPINDI KIREFU NYUMA

Mwandishi wa taarifa hizi anasisitiza kuwa kitu cha muhimu sana ambacho msomaji anatakiwa akielewe kuhusiana na matukio ya aina hii (si haya ya mhusika huyu tu, bali pia yaweza kuwa ya mtu mwingine yeyote yule) ni kwamba:

  • Hhuwa yanatokea kwanza yakionekana kuwa ni ya kawaida kabisa kama yalivyo matukio mengine ya kawaida
  • Baada ya siku kdhaa kupita, (miezi au miaka kadhaa), ndiyo yanakuja kujidhihirisha kuwa AIDHA hayakuwa ya kawaida AU yanabeba coincidences ambazo zinapelekea kuyafanya yaonekana kama siyo ya kawaida katika hali ya kawaida, wakati kumbe ni ya kawaida
  • Wakati mwingine yanaweza yako kama vile yanavyoonekana kuwa
Kwa hiyo matukio haya yanaweza kuwa ya kawaida au siyo ya kawaida kulingana na mtizamo na uelewa wa mtu aliyewahi kuyashuhudia au kusimuliwa



TUKIO LA KWANZA NA AMBALO MHUSIKA HAJAWAHI KULI-SHARE NA MTU YEYOTE YULE

  • Hili lilimtokea akiwa nje ya Nchi, nje ya Afrika
  • Kwa kifupi tu ni kuwa, matukio karibia yote yaliyowahi kumtokea kipindi kirefu cha nyuma na ambayo ameweza kuyaleta humu, alishawahi kuya-share na wahusika kadhaa, na hivyo yanajulikana na baadhi ya watu wakiwemo viongozi wake wa juu kwenye taasisi anayofanyaia kazi
  • Tukio hili lilimtokea mwka 2005 na hajawahi kulieleza kwa mtu yeyote yule


TUKIO LA PILI

  • Hili nalo pia lilimtokea akiwa nje ya Nchi, ila ndani ya Afrika
  • Tukio hili lilimtokea mwaka 2007 na alishawahii kuli-share na watu kadhaa wanaohusika


Mathayo 16:13-20

13 Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani?
14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.
15 Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani?
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.
18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
20 Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.



Yoshua 1:1-9

1Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Musa, akasema,
2 Musa mtumishi wangu amekufa; haya basi, ondoka, vuka mto huu wa Yordani; wewe na watu hawa wote, mkaende hata nchi niwapayo wana wa Israeli.
3 Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, kama nilivyomwapia Musa.
4 Tangu jangwa hili na mlima huu, Lebanoni, mpaka mto ule mkubwa, mto wa Frati, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa machweo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu.
5 Hapatakuwa mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako; kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe; sitakupungukia wala sitakuacha.
6 Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa.
7 Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu; usiiache, kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto, upate kufanikiwa sana kila uendako.
8 Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.
9 Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
@MwiH
elly obedy
 
Haieleweki.....Jumapili ya Pasaka kanisa linakosa watu au ni mimi sijaelewa! Nadhani kuna kitu hakipo sawa, psychiatry case!
 
MATUKIO MAWILI MUHIMU YALIYOWAHI KUMTOKEA MHUSIKA KIPINDI KIREFU NYUMA

Mwandishi wa taarifa hizi anasisitiza kuwa kitu cha muhimu sana ambacho msomaji anatakiwa akielewe kuhusiana na matukio ya aina hii (si haya ya mhusika huyu tu, bali pia yaweza kuwa ya mtu mwingine yeyote yule) ni kwamba:

  • Hhuwa yanatokea yakionekana kuwa ni ya kawaida kabisa kwanza; kama yalivyo matukio mengine ya kawaida, halafu huko mbele ndiyo yanakuja kuonyesha picha ya kutatanisha
  • Baada ya siku kdhaa kupita, (miezi au miaka kadhaa), huwa yanakuja kujidhihirisha kuwa AIDHA hayakuwa ya kawaida AU yanabeba coincidences ambazo zinapelekea kuyafanya yaonekana kama siyo ya kawaida katika hali ya kawaida, wakati kumbe ni ya kawaida
  • Wakati mwingine ni kweli kwamba yanaweza ykuwa EXACTLY kama vile yanavyoonekana kuwa
Kwa hiyo matukio haya yanaweza kuwa ya kawaida au siyo ya kawaida kulingana na mtizamo na uelewa wa mtu aliyewahi kuyashuhudia au kusimuliwa



TUKIO LA KWANZA NA AMBALO MHUSIKA HAJAWAHI KULI-SHARE NA MTU YEYOTE YULE

  • Hili lilimtokea akiwa nje ya Nchi, nje ya Afrika
  • Kwa kifupi tu ni kuwa, matukio karibia yote yaliyowahi kumtokea kipindi kirefu cha nyuma na ambayo ameweza kuyaleta humu, alishawahi kuya-share na wahusika kadhaa, na hivyo yanajulikana na baadhi ya watu wakiwemo viongozi wake wa juu kwenye taasisi anayofanyaia kazi
  • Tukio hili lilimtokea mwka 2005 na hajawahi kulieleza kwa mtu yeyote yule
  • Alikuwa amehudhuria kozi fupi ya miezi kadhaa, nje ya nchi
  • Alikuwa na wanafunzi wengine kutoka mataifa mengine mbalimbal duniani, wakiwemo na wa-Tanzania wenzake pia
  • Baadhi ya wanafuzni akiwemo mhusika, walikuwa wanaishi kwenye Hotel inayomilikiwa na Tasiisi waliyokuwa wanasoma
  • Hotel hiyo iko pembezoni mwa bararabara
  • Kulikuwa na utaratibu kwamba kila mwanafunzi anapotoka nje ya chumba chake kwenda darasani, anaacha kadi ya kufungulia mlango wa chumba chake mapokezi. Zilikuwa ni hizi kadi za kufungua mlango kwa ku-swap
  • Kama kawaida kwenye Hotel, reception lazima kuwe na watu wa huduma ya mapokezi
  • Wafanyakazi hawa walikuwa wanadbadilika kwa nasaa na possibly kwa siku
  • Kadri siku zilivyoenda na kwa sababu ilikuwa angalau kila siku mtu lazima atapitia mapokezi wakati anatoka, mhusika akawa amebahatika kuwa na urafiki wa kawaida tu wa mongezi ya kawaida na msichana mmojawapo aliyekuwa anahudumu pale mapokezi
  • Kadri siku zlivyokuwa zinaenda na kadri walivyokuwa wanazoeana, mhusika taratibu akaanza kuvutiwa na binti huyo na hatimaye akamweleza kuwa yeye “tayari alikuwa ameshadondoka kwa binti huyo”
  • Binti hakutoa jibu la ndiyo au hapana, ila akawa amemwacha in suspense, ila katika hali ambayo haitamvunja moyo kuendelea kufuatilia majibu ya “proposal” yake
  • Zaidi binti huyu alikuwa tayari ameshamjulisha mhusika kuwa yeye hakuwa mwajiriwa full time wa Tasisi hiyo, bali alikuwa ni part timer.
  • Hii inamaanisha kuwa baadhi ya waliokuwa wanahudumu kwenye reception ya Hotel hiyo walikuwa ni waajiriwa full time


INCIDENCE YA KWANZA KWENYE TUKIO HILI

Baada ya siku kadhaa kupita, akatokea kijana kutoka mtaani akiwa anauza baiskeli kwa bei ya kutupa

  • Kijana huyu haikuwa mara yake ya kwanza kuonekeana maeneo hayo, na hivyo sura yake haikuwa ngeni kiasi kwamba baadhi ya wanafunzi (International Students) walikuwa wameshazoeana naye
  • Kumbuka kuwa Hotel hiyo ilikuwa pembezoni mwa barabara na hivyo kijana huyo alipita pale Hotelini na kupaki barazani nje ya Hotel hiyo huku akitangaza kuwa anauza Baiskeli hiyo
Katika hali ya kawaida, hapakuwa na haja ya mtu kununua Baiskeli hiyo kwa sababu kutoka Hotelini kwenda madarasani ilikuwa mwendo wa takribani dakika 10. Hata hivyo huyu kijana alikuwa ana-prompt watu kununua baiskeli hiyo kwa sababu

  • Tayari majira ya baridi yalikuwa yameshaanza, na joto la juu zaidi nadhani lilikuwa limeshafikia nyuzi za sentigradi 10 au chini ya hapo
  • Bei yake ilikuwa rahisi angalau mara 20-30 ukilinganisha na bei ya Baiskeli mpya dukani
Kijana huyu alikuwa anaokekana kuwa ni mwenyeji wan chi hiyo ila aidha si raia au ni raia ila wa kuhamia kwa sababu rangi yake ilikuwa tofauti na wazawa wa nchi husika.

Siku kijana huyo anafika Hotelini hapo akiwa anauza Baiskeli hiyo, mhusika alikuwa yupo nje barazani akibarizi baada ya kuwa amechoka kukaa chumbani kwake, chumba ambacho kilikuwa ghorofa ya kwanza, kwenye jengo ambalo lilikuwa na ghorofa zaidi ya kumi. Pale mapokezi napo alikuwepo yule binti rafiki yake na mhusika, na location ya chumba cha mhusika na mapokezi vilikuwa karibu sana, kiasi kwamba ilikuwa haichukui hata dakika moja kwa mhusika kushuka mapokezi kwa kutumia ngazi. Possibly kwa upande mwingine pia, alikuwa yupo pale akiangalia kwa kuibia ibia sura ya binti huyo aliyekuwa pale mapokezi

Mhusika baada ya kuona Baiskeli hiyo inauzwa kwa bei ya kutupwa, akawa ana wasiwasi kuwa pengine ni ya wizi. Baada ya hapo aliamua kumfuata binti rafiki yake pale mapokezi na kumuuliza kama lingekuwa jambo jema kwa yeye kununua baiskeli hiyo kwa bei hiyo. Binti alichofanya ni kutoka mapokezi na kuja kuikagua Baiskeli hiyo, halafu akamkataza mhusika kwa kumwambia kuwa yeye (binti) hashauri mhusika ainunue baiskeli hiyo

  • Ushauri huo aliutoa mbele ya yule kijana aliyekuwa anauza Baiskeli
  • Mhusika alitarajia kuwa baada ya binti kuwa ameiona Baiskeli hiyo, angerudi mapokezi kimya kimya na kumuashiria mhusika ishara ya maongezi na hatimaye kumweleza kile alichokuwa amekitafakari akilini mwake.
  • Jibu la binti kumkataza mhusika kununua Baiskeli , mbele ya muuzaji, lilikuwa humiliating kwa kiasi Fulani, kwa muuzaji.
  • Katika hali ya kawaida, asingeweza kutoa jibu kwq namna hiyo, la kuharibu biashara ya mtu aliyekuwa anatafuta pesa, alitakiwa afanye usiri wa aina fulani, japo pia haikuwa lazima sana
Zaidi ni kuwa, ilionyesha dhahiri kabisa kuwa Baiskeli hiyo ilikuwa halali na haikuwa ya wizi, na wala haikuwa na tatizo lolote lenye kupelekea kuuzwa kwa bei hiyo ya kutupa

Kwa hiyo mhusika akawa ameshindwa kununua Baiskeli hiyo baada ya rafiki kuwa ameshauri hivyo

Hiii tuichukulie sasa kuwa ni incidence ya kwanza kwenye tukio hili.



INCIDENCE YA PILI KWENYE TUKIO HILI

MUUZA BAISKELI ARUDI TENA HOTELINI HAPO NA KUOMBA KUONANA NA MHUSIKA

  • Baada ya siku kadhaa kupita, muuza Baiskeli alirudi tena Hotelini hapo
  • Safari hii aliingia ndani, mapokezi
  • Siku anarudi, binti rafiki wa mhusika ndiye alikyeuwepo tena pale mapokezi
  • Muuza Baiskeli aliporudi, binti rafiki wa mhusika alipiga simu chumbani kwa mhusika kumjulisha kuwa kuna wageni wake mapokezi wanahitaji kuonuona
  • Kwa vile chumba cha mhuiska hakikuwa mbali na reception, mhusika alishuka mara moja kwenda kuwaona hao wageni ni akina nani
  • Hakuwa na appointment nao, na wala hakuwa na appointment na mgeni yeyote yule siku hiyo
  • Aliposhuka alikutana na muuza Baiskeli akiwa ameambatana na mama wa makamo
  • Mhusika hakutaka kuonyesha mshtuko wowote, isipokuwa aliwachukua na kupandisha nao juu ghorofani, chumbani kwake
  • Angeweza kuongea nao pale pale reception, lakini kwa sababu mwenye mamlaka Hoteini hapo aliamua kupiga simu na kumjulisha kuwa kuna wageni, hii ilimpa trust kuwa mamlaka ya Hotel hiyo ilikuwa imewaamini watu hao, na ndiyo maana yeye naye alipata nguvu ya kuwapeleka hadi chumbani kwake. Vinginevyo asingewapeleka chumbani, angeongea nao pale pale reception


………………………..inaendelea

@MwiH
elly obedy
 
Haieleweki.....Jumapili ya Pasaka kanisa linakosa watu au ni mimi sijaelewa! Nadhani kuna kitu hakipo sawa, psychiatry case!
Hiyo sasa inabidi wajulishwe watu wa Muhimbili!
 
………………………..inaendelea

INCIDENCE YA PILI
KWENYE TUKIO HILI

MUUZA BAISKELI ARUDI TENA HOTELINI HAPO NA KUOMBA KUONANA NA MHUSIKA

Baada ya kufika chumbani, muuza Baiskeli akawa na haya ya kusema

  • Kwamba aliyekuwa naye ni ndugu yake, siyo raia wan chi hiyoisipokuwa ni raia wan chi jirani. Yaani alikuwa anatokea nchi jirani kama vile sisi tulivyo na Kenya au Uganda
  • Walikuwa wanahitaji msaada wa pesa ya kukopa watarudisha, na kama mhusika hawezi kuwaamini, basi yule mama alikuwa radhi aweke rehani Passport yake ya kusafiria aliyokuwa muda huo
Mhusika baada ya kuona ubabaishaji huo, na kwa kuzingatia kuwa pale reception wamepokelewa na mtu ambaye yuko mbioni kujenga naye mahusiano

  • Akajua kuwa akiendelea kuwa-entertain kwa maongezi chumbani kwake, wataharibu kila kitu kinachoendelea na mtu wake pale mapokezi
  • Aliwajibu kwa kifupi tu kuwa pesa hana na wala hahitaji kubaki na passport ya mtu
  • Baada ya hapo alichofanya ni kuwapatia pesa ya mkopo inayolingana na fedha ya kitanzania kama TZS 50,000/= na kumpa maelekezo yule kijana kuwa atazirudisha na kama hatamkuta wakati wa kuzirudisha basi azikabdihi pale reception
Alifanya hivyo ili kuhakiksha watu hao wanaondoka chumbani kwake haraka iwezekananvyo, na hakuwa na hasara hata kama ile hela isingeweza kurudishwa, na kwa kweli haikurudi. Tangia pale yule kijana alipotea na hakuweza tena kuonekana maeneo hayo

Hii incidence ya pili ikawa imepita



INCIDENCE YA TATU SIKU YA KURUDI NYUMBANI TANZANIA AKIWA BADO YUKO UWANJA WA NDEGE WA KIAMATIFA

  • Wiki moja kabla hajaanza safari ya kurudi nyumbani, mwanafunzi mwenzao alipita kwenye korido ya vyumba vyao akidai kuwa Shirika la ndege lililokuwa linahusika na usafirishaji wa wanafunzi hao kurudi makwao (international students) limetoa ofa ya Krismas kwa kuongeza uzito wa mizigo ya abiria ( Checked Baggage)
  • Huyu mtu aliamua kufanya hivi makusudi kwa sababu maalumu ambazo mhusika asingependa kuzitaja humu
  • Hata hivyo taarifa hizi zilikuwa feki na zililenga kumpotosha mtu amabaye possibly alitakiwa kuwa target katika swala hilia
Kwa kifupi sana ni kwamba haikuwa mara ya kwanza kwa mhusika kusafiri na shirika hilo na hajawahi kuona likwa strict sana kwenye maswala ya mizigo ya abiria, kiasi kwamba hadi linaweza kulazimikia kutoa ofa ya abiria wao kuzidisha mizigo. Ni shirika mahiri na kongwe lulimwenguni na linalojitosheleza muno. Yeye anaamini kuwa abiria wa shirika hili huwa wanabeba mizigo na waakti mwingine huwa hata wanazidisha uzito na wala huwa halihitaji kutoa ofa ya Krismas kwa wateja wake kwa sababu lenyewe muda wpte wa operation zake ni sawa tu na muda mwingine wowote ule kama vile ule wa Krismas

Siku mhusika anarudi Tanzania, alipewa na mtanzania mwingine aliyemwacha huko akiwa bado anaendelea na masomo, zawadi kwa ajili kumpelekea mama yake mzazi. Vile vile alikuwa na nguo zingine kadhaa alizokuwa ameachiwa na mtanazania mwingine ambaye walipishana, wakati mhuiska anaanza kozi, huyu naye alikuwa anamalizia kozi. Huyu wa pili alidai kuwa alikuwa na mizigo mingi kiasi kwamba alihitaji msaada wa mhusika kubaki na nguo hizo kwa miezi kadhaa ya kozi aliyokuwa ameenda kufanya, halafu ikiisha atakuja nazo yeye badala ya mwenye nazo kuondoka nazo kwa wakati huo wa kurudi kwake

Kwa hiyo aliingia Airport akiwa na mabegi mawili na kipindi hicho “Self Check-in Counters” ziliikuwa bado hazijaanza kufanya kazi kwenye airport hiyo.

Siku anaondoka kurudi nyumbani, walikuwa wawili na mwenzake ambaye walifahamiana huko huko kwenye kozi. Kwa kugusia kidogo tu ni kuwa huyu mwenzake:

  • Alimkuta mhusika huko nje ya nchi, aliwasili siku chache baada ya mhusisa kuwa amewasili huko
  • Alijitambulisha kuwa naye ni mwajiriwa mpya wa taasisi anayofanyia kazi mhusika na kuwa alisoma kwenye taasisi iliyo jitrani na hiyo anayofanyia kazi mhusika
  • Mtu aliyeondoka kurudi Tanzania na kumwachia mzigo mhusika wa kurudi nao Tanzania, ni mwalimu wa huyu staffmate mpya wa mhusika
  • Pia kuna walimu wengine wawili wa huyu staffmate mpya, ambao nao vile vile walifika huko na kukaa siku kadhaa na hatimaye kuondoka na kurudi Tanzania
  • Wote hawa mhusika alibahatika kupata nafasi ya kukaa na kuongea nao kwa kina
Kwa hiyo siku hiyo waliondoka chuoni walikokuwa, wakiwa wawili wkuelekea airport. Baada ya kufika airport, mambo kadhaa yafuatayo yakatokea

  • Mhusika akiwa mbele na mwenzake yuko nyuma, waliamua kuelekea kwenye mojawapo ya check-in counters
  • Walipofika pale, ikaonekana mhusika amezidisha uzito wa mizigo na hivyo inabdi aidha atupe baadhi ya vitu pamoja na kulipa faini
  • Wakati haya yanatokea mhusika kuangalia nyuma hakumuona tena mwenake, alikuwa tayari hayupo, ameshaondoka kulelekea kwenye conunte nyingine, na hakujuailikuwa ni counter ipi. Baada ya pale, hawakuonana tena mpaka ilipofika wakati wa kuondoka, alimkuta ndani ya ndege akiwa tayari amesha-boardi
Mhusika ilimchukua muda wa takribani saa nzima akihangaika airport akifanya yafuatayo:

  • Kupiga simu chuoni kwa mtu aliyekuwa amebaki kule, ambaye allikuwa ametoa zawadi kwa ajili ya kumpelekea mama yake na kumweleza kilichotokea
  • Kuhifadhi kwenye mojawapo ya Lockers za mizigo za pale airport, mojawapo ya mzigo ambao uzito wake ulizidi na pia kulipia kwa ajli ya huduma hiyo ili hatimaye mzigo huo uje kuchukuliwa na mwenzake yule aiyekuwa amebaki chuoni
  • Kulipa faini kwa ajili ya kile kilichokuwa kimezidi tena kwenye mzigo wa pili aliokuwa nao ili uweze kuwa checked to Dar es Salaam
Anyway ni mambo mengi sana yalitokea, na alinusutrika kuachwa na ndege siku hiyio

HITIMISHO:

Assuming angeachwa na ndege siku hiyo:

  • mwenzake waliyekuwa naye airport angekuja na kutoa taarifa kuwa “tulikuja naye mpaka airport, tukaanza kucheck-in halafu wakati wa ku-board sikumuona.
  • Vipi tena kama kipindi kile cha muuza Baiskeli, angewakopesha hela halafu akabaki na Passport ya mtu chumbani kwake?
  • Watu wangesema kuwa kuna kipindi tuliwahi kumuona akiwa na Passport ya mtu wan chi jirani chumbani kwake, possibly alipata mchumba, wamekutana Airpot na kutokomea wanakojua
  • Binti wa mapokezi naye angepigilia msumari katika hili, na ushahidi aliokuwa nao


LIFUATALO:

TUKIO LA PILI


  • Hili nalo pia lilimtokea akiwa nje ya Nchi, ila ndani ya Afrika
  • Tukio hili lilimtokea mwaka 2007 na alishawahii kuli-share na watu kadhaa wanaohusika
  • Lilitokea akiwa anatoka kwenye Mkutano wa Kimataifa uliokuwa unashughulika na Data za Matetemeko ya Ardhi
  • Lilitokea akiwa uwanja wa Ndege wa Kimatifa nje ya Nchi, alikuwa anaunganisha ndege kurudi Dar es Salaam
ANGALIZO: Haya ni matukio halisi na kwa mtu halisi, na siyo tamthiliya au novel


.....................................................litaendelea



Mathayo 16:13-20

13 Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani?
14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.
15 Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani?
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.
18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
20 Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.



Yoshua 1:1-9

1Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Musa, akasema,
2 Musa mtumishi wangu amekufa; haya basi, ondoka, vuka mto huu wa Yordani; wewe na watu hawa wote, mkaende hata nchi niwapayo wana wa Israeli.
3 Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, kama nilivyomwapia Musa.
4 Tangu jangwa hili na mlima huu, Lebanoni, mpaka mto ule mkubwa, mto wa Frati, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa machweo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu.
5 Hapatakuwa mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako; kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe; sitakupungukia wala sitakuacha.
6 Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa.
7 Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu; usiiache, kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto, upate kufanikiwa sana kila uendako.
8 Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.
9 Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU

……………………………………inaendelea

MATUKIO ALIYOWAHI KUKUMBANA NAYO AKIWA NJE YA NCHI, NJE YA AFRIKA

INCIDENCE YA TATU
KWENYE TUKIO HILI

Akiwa huko nje ya nchi kwenye chuo ambacho maelezo yake ameyashayatoa hapo, na akiwa anaishi kwenye Hotel inayomilikiwa na chuo hicho, kuna kipindi ilitokea yakabandikwa matangazo kwenye mbao za matangazo yakionyesha kuwa

  • Kuna siku fulani kutakuwa na kusanyiko la wanafunzi wa Kimataifa (International Students) kwenye mojawapo ya jiji kubwa sana nchini humo na ambalo ni jiji la kimataifa
  • Wanafunzi wote wa kimataifa wanakaribishwa kuhudhuria kusanyiko hilo ambalo ni kwa ajili ya kuwawezesha waweze kufanya networking
  • Utaratibu ni kuwa mtu atatakiwa kujilipia nauli ya kwenda na kurudi, na akisharudi atatakiwa kuwasilisha tiketi ya safari yake kwenye mamlaka ya chuo halafu tarudishiwa nauli atakayotumia
Mhusika kuona hivyo aliamua kutokuikosa safari hiyo kwa sababu kadhaa kama zifuatazo:

  • Aliwahi kuishi kwenye jiji hilo miaka kadhaa nyuma na tangia aondoke alikuwa hajawahi tena kurdi kwenye jiji hilo
  • Ni mwenyeji (mpaka sasa) kwenye jiji hilo kiasi kwamba alikuwa halazimiki kuhitaji mtu wa kuambatana naye kwenda kwenye kusanyiko hilo
Hapo Hotelini alipokuwa anaishi, kwenye ghorofa aliyokuwa anakaa, chumba chake kilikuwa jirani na vyumba vya vijana wenzake wawili wa ki-Tanzania, mmojawapo akiwa ni yule ambaye walisafiri wote siku wanarudi nyumbani Tanzania

  • Hawa watu watatu vyumba vitatu vilikuwa vimepangana kwenye ghorofa hiyo waliyokuwa wanaishi
  • Mhusika aliwashirikisha wenzake hawa kuhusiana na kusanyiko hilo, lakini wao wakawa hawana nia ya kuhudhuria
  • Kwa hiyo siku ilipowadia, mhusika aliondoka asubuhi na kuelelkea kwenye kusanyiko hilo, na alifanikiwa kufika japo kwa kuchelewa, baada ya kupitiliza kituo ambacho alitakiwa abadilishe train
Mhusika alikaa huko mchana wote na ilipofika jioni alirudi chuoni kwake

  • Alipofika hotelini, pale mapokezi alimkuta tena yule binti rafiki yake, alikuwa zamu ya jioni siku hiyo
  • Asubuhi siku hiyo wakati anaondoka, alikuwepo mtu mwingine pale mapokezi
  • Mhusika hakuwa amemweleza rafiki yake kuwa atakwenda kuhudhuria kusanyiko la wanafunzi nje ya mji
  • Rafiki huyu wa mapokezi alihoji kwa kumuuliza mhusika kuwa alienda wapi siku hiyo, na mhusika naye alimjibu kama ilivyoppaswa
Mpaka hapa, inaonyesha kama

  • Huyu mtu alijua kuwa mhusika alikuwa ameondoka mazingira ya mji ule kwa sababu wakati mwingine mtu anaweza akawa hajaonekana mapokezi lakini akawa yuko chumbani siku nzima, au yuko madarasani
  • Swali “ulienda wapi leo” linamaanisha kuwa huyu mtu alikuwa na uhakika kuwa mhusika hakuwepo chumbani kwake, wala darasani
  • Kitendo cha mhusika kupitiliza kituo cha kubadilisha train; assuming kulikuwa na watu ambao walikuwa wanamsubiria kwenye destination point ya kule ambako alikuwa anaelekea, na pasipo yeye mwenyewe kujua, kulisababisha watu hao kutokuweza kumuona akishuka kwenye train katika muda waliokuwa wameutarajia kwa sababu alichelewa kufika baada ya kuwa amepitiliza na kwenda sehemu nyingine, na hatimaye akaenda kugeuza tena
  • Binti rafiki (au yaweza hata akawa mtu mwingine tofauti na yeye)) alikuwa na watu kwenye destination point ya mhusika, aliokuwa anawasiliana nao kwa ajili ya kuhakikisha kuwa mhusika amewasili huko
  • Binti huyu (au yaweza hata akawa mtu mwingine tofauti na yeye) atakuwa alishangaa kuona wale waliokuwa kwenye destination point wanampa taarifa kuwa mtu bado hajaonekana katika muda uliotarajiwa, wakati yeye alikuwa ana uhakika kuwa aliondoka na kuelekea huko
  • Binti huyu kwa namna yoyote ile, alikuwa amepata taarifa za kuwa mhusika hakuonekana kwenye destination point kwa muda uliokuwa umetarajiwa na ndiyo maana aliporudi tu ilibidi binti amuulize swali “ulienda wapi leo”
HITIMISHO:

Inaonyesha kama hadi mhusika anarudi Hotelini jioni hiyo, binti huyu alikuwa bado hana uhakika kama kweli mhusika alienda kule walikokuwa wametarajia kuwa angeenda, na kwa hali hiyo alikuwa amehofia kuwa hajafanya kazi yake vizuri kwa kuwalisha taarifa ambazo siyo sahihi, wenzake aliokukwa anawasilana nao, kama kweli walikuwepo

Kama haya yaliyopo hapo juu ni sahihi, basi binti alifanya makosa kuuliza swali hilo kwa sababu linampa advantage mlengwa, ya kung’amua mambo kadhaa ambayo kwa malengo waliyokuwa nayo wao, hawakutakiwa kutoa nafasi hiyo



MUBARIKIWE TENA NA BWANA



COMING NEXT:

TUKIO LA PILI, NJE YA NCHI, NDANI YA AFRIKA
 
TUKIO LA PILI


  • Hili nalo pia lilimtokea akiwa nje ya Nchi, ila ndani ya Afrika
  • Tukio hili lilimtokea mwaka 2007 na alishawahii kuli-share na watu kadhaa wanaohusika
  • Lilitokea akiwa anatoka kwenye Mkutano wa Kimataifa uliokuwa unashughulika na Data za Matetemeko ya Ardhi
  • Lilitokea akiwa uwanja wa Ndege wa Kimatifa nje ya Nchi, alikuwa anaunganisha ndege kurudi Dar es Salaam
 
TUKIO LA PILI


  • Hili nalo pia lilimtokea akiwa nje ya Nchi, ila ndani ya Afrika
  • Tukio hili lilimtokea mwaka 2007 na alishawahii kuli-share na watu kadhaa wanaohusika
  • Lilitokea akiwa anatoka kwenye Mkutano wa Kimataifa uliokuwa unashughulika na KUCHAKATA DATA ZA MATETEMEKO YA ARDHI
  • Lilitokea akiwa uwanja wa Ndege wa Kimatiafa nje ya Nchi, akiwa anaunganisha ndege za safari yake kurudi Dar es Salaam


ILIKUWAJE?

Huko alikokuwa ameenda kwa ajili ya mkutano huo, wakiwa bado wanaendelea na kazi hiyo ya kuchakata Data za Matetemeko ya Ardhi, ilitokea siku moja mwenyeji wa mkutano huo (ORGANISER) akatoa tangazo kuwa schedule ya mojawapo za ndege ambazo mhusika alikuwa anatakiwa kuunganisha wakati wa safari yake ya kurudi Dar es Salaam, imebadilika

  • Badiliko hili lilimgusa mhusika tu kati ya washiriki wote waliokuwepo kwenye mkutano huo, na waliokuwa wanatoka kwenye mataifa mengine takriban kumi, yote yakiwa ni ya ndani ya Afrika
  • Tangazo hilo lilitolewa mbele ya washiriki wote wa mkutano huo, wenyeji na wageni
  • Schedule za ndege ni kawaida kubadilika na hivyo mhusika hakuona tatizo katika hilo
  • Safari hiyo ilikuwa ni ya kuunganisha ndege zaidi ya moja
  • Taarifa hizo zilisema kuwa badala ya mhusika kuondoka kwenye mojawapo ya uwanjwa wa ndege wa kimataifa ambao ndiyo alikuwa anakwenda kuunganisha ndege yake ya mwisho itakayomfikisha Dar es salaam; badala ya ndege hiyo kuondoka saa 11:00 kamili jioni na kufika Dar es Salaam saa 1:00 kamili jioni kama ilivyokuwa hapo awali, sasa ndege hiyo itaondoka saa 3:00 kamili usiku na kufika Dar es Salaam saa 5:00 kamili usiku, baada ya mabadiliko
Baada ya mhusika kuwa ameyapokea mabadiliko hayo, akatarajia sasa kuwa mwenyeji huyo atampatia tena ticket nyingine yenye kuonyesha mabadiliko hayo ya safari

  • Hat hivyo, mwenyeji huyo hakuweza kumpatia mhusika ticket nyingine hadi siku ya mwisho ya mkutano huo
  • Wala hakuifanyia marekebisho stahiki tiketi ile aliyokuwa nayo tayari
  • Hatimaye mkutano uliisha na siku ya kuondoka ikawadia
Siku ya kuondoka, mhusika alimbatana na washiriki wenzake wawili, wote wakiwa ni wan chi jirani

  • Mmojawapo wa washiriki hao alikuwa ni mwenyeji wa nchi jirani ambayo mhusika alikuwa natakiwa kwenda kuunganisha ndege ile iliyokuwa imefanyiwa mabadiliko ya muda
  • Kwa hiyo huyu wa kwanza ilikuwa ndege ikitua tu uwanjani anakuwa tayari amefika nyumbani
  • Wa pili alikuwa ni kutoka nchi jirani nyingine na ambaye ndege yake aliyokuwa anaunganisha, haikuwa na mabadiliko yoyote na aliweza kuunganisha mara tu baada ya kuwa amewasili kwenye uwanja huo wa ndege
  • Mhusika yeye ndiyo alitakiwa asubiri ndege ya saa 3 usiku badala ya ile ya saa kumi na moja jioni
Walifika uwanjani hapo kwenye mida ya mchana majira kama ya saa 8, na baada ya hapo akawa ameachana na wale wenzake wawili; kuanzia muda huo.

Baada ya muda kitambo, akaamua kwenda kwenye Boarding Gate husika na kuwaonyesha tiketi yake, akiwa ana nia ya kutaka kuhakikisha kama kweli ndege yake ilikuwa imebadilisha muda. Wahusika walipoiangalia tiketi yake kweli wakampa maelezo kuwa ndege hiyo haipo tena



MHUSIKA AKUTANA NA WATU WATATU (STAFF-MATES) ANAOFAHAMIANA NAO UWANJANI HAPO

Baada ya muda kitambo kupita, akaonana na watu watatu ambao anafahamiana nao

  • Wote watatu walikuwa ni staff-mates wake, kwa wakati huo
  • Wawili walishawahi kuwa senior officials kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika, na alikuwa anawafahamu kwa majina pia
  • Kati ya hawa wawili aliowataja hapa juu, mmoja alikuwa ni mwalimu mahiri wa mhusika; amewahi kumfundisha mhusika kipindi akiwa bado anasoma
  • Yule wa tatu alikuwa anamfahamu kwa sura tu, ila si kwa jina
  • Wote hawa watatu wanatoka sehemu moja, yaani kanda moja kwa maana kuwa ni wazaliwa wa sehemu moja na lugha yao ya kuzaliwa ni moja
  • Wote wanatokea kwenye mkoa mmoja ambao katika kipindi cha hivi karibuni, unaanza kuonekana kama una matukio mengi sana ya hujuma, yaani sabortage
  • Mwalimu wa mhusika alikuwa anarudi Dar es Salaam wakati wale wengine wawili, walikuwa wanaunganisha ndege kuelekea nchi nyingine jirani, ndani ya Afrika
Katika mhusika kujaribu kuongea na mwalimu wake, mwalimu alimweleza mhusika kuwa yuko safarini anarudi Dar es Salaam na ndege itakayoondoka uwanjani hapo majira ya saa 11 jioni siku hiyo

  • Mpaka hapa mhusika akapata picha kuwa kumbe ndege aliyotakiwa kuondoka nayo haikuwa imefutwa, ilikuwepo isipokuwa kuna makusudi tu yamefanyika ya kumbadilishia muda wa kuondoka uwanjani hapo
  • Hapo sasa ilikuwa ni mida ya kama saa 9 mchana hivi
Baada ya kusikia hivyo, mhusika akawarudia tena watu wa boarding akiwa na mambo mawili makubwa:

  • Kwamba aidha wanatakiwa wamlipe fidia kwa muda wote ambao hakutakiwa kuwepo uwanjani hapo pasipo sababu za msingi
  • Au wampe nafasi kwenye ndege iliyopo inayoondoka saa 11 kamili kuelekea Dar es Salaam, ambayo mwalimu wake na mhusika ndiyo alikuwa anaisubiria
Hii ni kutokana na ukweli kwamba tayari kulikuwa na ushahidi thabiti kuwa ndege ya kuondoka saa 11 ilikuwepo. Kwa bahati nzuri, watu hawa mara moja waliafiki swala la kumpatia mhusika nafasi kwenye ndege ya saa 11 ili aondoke uwanjani hapo mapema na sawasawa na tiketi yake ilivyokuwa inaonyesha

  • Baada ya hapo walimuomba namba ya “luggage tag” ya mzigo wake na kuanza kuwasiliana na watu walioko kwenye parking yard za ndege ili wahamishe mzigo wa mhusika na kuuweka kwenye ndege inayoondoka saa 11 kamili badala ya ile ya saa 3 usiku
  • Baada ya hapo walimtaarifu mhusika kuwa kila kitu imekwenda shwari kuhusiana na mzigo wake umeshahamishwa na hivyo inabdi asubiri tu muda wa ku-board utakapowadia
Hatimaye kweli muda wa ku-board ulifika, mhusika na mwalimu wake wakaondoka uwanjani hapo saa 11 na kuwasili Dar es Salaam kwenye saa 1jioni

Baada ya kuwasili JNIA,

  • Mhusika hakuuona mzigo wake
  • Baadaye ikabainika kuwa mzigo huo kumbe haukuhamishwa, ulifanyika usanii tu pale uwanjani kumridhisha mhusika hasa baada ya kuonekana kuwa alikuwa kwenye laini ya kutaka kudai fiidia
  • Mzigo haukuwa umehamishwa kwenye ndege ile ya kuondoka saa 3 usiku na ambayo ilikuwa inatarajiwa kuwasili saa 5 usiku
  • Hivyo baada ya kuwa amefanya formalities zinazotakiwa uwanjani hapo, kwa abiria wenye mizigo inayokosekana alishauriwa aisubiri ndege ya saa 5 usiku
Baada ya hapo, mhusika alitembea kwa mguu mpaka maeneo ya Banana, akachukua chumba cha kulala pale na kwenye mida ya kama saa 5 usiku, alirudi tena uwanjani na kuchukua mzigo wake. Kesho yake asubuhi aliamka na kupanda daladala akarudi nyumbani kwake. Ni kawaida ya mhusika especially pale inapotokea kuwa hana mzigo mzito huwa anapanda daladala kwenda airport, halafu akishahuka kwenye daladala, anatembea kwa mguu kuingia airport

Alipofika ofisini alimjulisha mwenzake juu ya kilichotokea ambaye yeye alijibu kwa kifupi tu kuwa “XXXX” huwa wako hicyo siku zote, “XXXX” akimaanisha shirika la ndege lililomchukua mhusika na kuucha mzigo wake nyuma.

Hili jibu lilileta maswali mengi zadi kichwani kwa mhusika kwa sababu kilichomtokea lilikuwa ni jambo unique. Mtu angeweza kutoa jibu la namna ile labda tuseme kwa jambo ambalo lina uwezekano wa kuwa common phenomenon kama vile labda tabia ya ndege kuchelewa kuondoka kwa kuwachelewesha abiria kuboard. Lakini issue ya mzigo wa mtu kuachwa nyuma akiwa maebadilishiwa schedule ya flight? Howa many cases in a year? How common is the issue?



HITIMISHO;

Tuseme siku hiyo angeamua kusubiri ndege ya kuunganisha ya saa 5 usiku, halafu hapa katikati kukatokea chochote cha kutokea na asiweze kuwasili tena Dar es Salaam

  • Ingeonekana kuwa alikuwa na ratiba zake mwenyewe
  • Kumbuka kuwa kwenye ticket ya ndege muda wa ndege haukuwa umebadilishwa
  • Muda ulikuwa umebadilishwa kwa mdomo na mwenyeji wa mkutano pamoja na baadhi ya wajanja wa pale uwanja wa ndege alipokuwa anatakiwa kuunganisha ndege
  • Mwalimu wake angekuwa ni shahidi wa kwanza kuwa yeye alikuja na ndege ambayo mhusika alitakiwa kurudi nayo lakini hakufanya hivyo
  • Wale staff-mates wawiil nao vile vile lazima wsingekosa kitu kikubwa cha kueleza. Possibly na wao walikuwa wanaunganisha na ndge ya kuondoka usiku mahali hapo, na hivyo kulikuwa na chances ya mhusika kuendelea kufanya interaction nao baada ya ndege ya saa 11 kuwa imeondoka, kama asingeondoka na ndge hiyo
Zaburi 32:8

Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.





MUBARIKIWE TENA NA BWANA

elly obedy
 
Inayofuata ni safari ya Desemba 2012, nje ya nchi
Stay tuned
 
UPDATE: THURSDAY 24 SEPTEMBER 2020

SAFARI ALIYOTAKIWA KUFANYA NJE YA NCHI,NDANI YA AFRIKA LAKINI HAKUWEZA KUSAFIRI




Haya matukio ya safari za nje ambayo mwandishi wa mhusika ameshayaelezea hapa, ni baadhi tu ya matukio mengi ambayo mhusika alishawahi kukumbana nayo akiwa nje ya nchi, ndani ya Afrika na nje ya Afrika pia. Hata hivyo kwa kifupi sana, anapenda ku-share na wasomaji tukio moja jingine la nyongea linalohusiana na safari ambayo alitakiwa aifanye mnamo Desemba 2012 kwenda nje ya nchi, ndani ya Afrika, lakini hakufanikiwa kusafiri kutokana na sababu ambazo asingependa kuziweka wazi sana humu jukwaani

  • Safari hii nayo pia Ilikuwa ni kwa ajili ya Mkutano wa Kimataifa kwa ajili ya kuchakata data za Matetemeko ya Ardhi, sawa kabisa na ule ambao tayari ameshautolea maelezo hapo juu
  • Kama angefanikiwa kuhudhuria mkutano huo, basi ingekuwa ni mara yake ya nne kushiriki kwenye mkutano wa aina ile, mara tatu ikiwa ni nje ya nchi, na mara moja ndani ya nchi
  • Alitakiwa kuondoka kwa usafiri wa ndege ambazo zilikuwa ni za kuunganisha pia
  • Kati ya ndege hizi, ile iliyokuwa iwe ya mwisho na mbayo ilitakiwa kumfikisha kwenye nchi ambayo alikuwa anakwenda kushiriki mkutano huo, ilikuwa inawasili ndani ya nchi hiyo kwenye majira ya baada ya saa 5 usiku, booking yake ilikuwa inaonyesha hivyo
Mhusika alishindwa kufanya safari hiyo ya kikazi na baada ya hapo aliamua kufanya yafuatayo:

Mnamo March 2013, yaani miezi mitatu baadaye, mhusika aliamua kuuandikia barua uongozi wa ngazi za juu wa taasisi anayofanyia kazi:

  • Akiutaarifu kuwa AMESHAONA KAMA kuna mazingira ya viashiria vya hatari zinazohusiana na usalama wake, pindi anapokuwa safarini ndani na nje ya nchi na akatoa angalau mfano kuonyesha hivyo. Mfano wa kuthibitisha hilo tayari alikuwa ameshaupata, na uliotokana na tukio halisi na lenye ushahidi uliokuwa ukihusisha hadi vyombo vya dola
  • Akiiomba taasisi hiyo kama kuna uwezekano, imuondoe kwa muda, kwenye majukumu yanayohusiana na safari za kiofisi, zote za ndani na nje ya nchi, na hivyo akiomba kuwa aruhusiwe kutofanya safari yoyote ile ya kiofisi
  • Uongozi wa juu wa taasisi umlinde na kuhakikisha kuwa anendelea kuwa salama, ila katika kiwango kama taasisi iliyomwajiri tu na si kama chombo kilicho na dhamana ya mamlaka ya ulinzi na usalama mithili ya jeshi fulani hivi
Mpaka wakati huu wakati anayafanya haya yote, mhusika tayari alikuwa ameshaacha kufanya safari zake za binafsi, ikiwemo safari za likizo ya kila mwaka, tangu mwaka 2010. Hii nayo ilitokea baada ya kukumbana na tukio la ajabu akiwa yuko safarini mnamo Novemba 2010 wakati wa likizo, hali iliyopelekea asitishe kabisa safari zote za binafsi tangu kipindi hicho. Kwa hiyo kuanzia pale akawa anafanya safari za kikazi tu

Mbali na hayo, mnamo May 2012, mhusika alikuwa tena tayari ameshawahi kukumbana na tukio jingine lisilo la kawaida akiwa yupo safarini

  • Alikuwa yupo kwenye safari ya kikazi
  • Alikuwa anatokea maeneo ya Singida na Arusha, na wakati huo alikuwa yuko maeneo ya Dakawa Morogoro, akiwa anarudi Dar es Salaam
  • Alikuwa anatoka kukagua vituo vya matetemeko ya Ardhi vilivyoko mikoani, ndani ya nchi
  • Tukio lilionyesha viashiria kuwa kulikuwa na surveillance team iliyokuwa inafanya kazi nyuma ya tukio hilo siku hiyo
  • Kati ya watu alioweza kuwa-identify kirahisi na kwa uhakika sana kwenye surveillance team hiyo alikuwa ni yule mama wa kiroho ambaye huwa wananaabudu wote Kanisa A mpaka muda huu.
  • Pindi alipokuwa anakuwa yuko safaraini, huyu mama wa kiroho ndiye aliyekuwa mara nyingi, anatumwa kudodosa kujua mhusika yuko wapi, kwa kumtumia ujumbe mfupi au kumpigia simu au vyote viwili
  • Kwenye safari hii ya May 2012, hakuwahi kupiga simu kwa mhusika, isipokuwa alimwandikia ujumbe mfupi wa kumjulia hali na kumuuliza kuwa alikuwa wapi, na alifanya hivyo mara moja tu wakati mhusika akiwa tayari ameshaanza safari ya kurudi Dar es Salaam
  • Kwa kifupi tu ni kuwa, huyu mama wa kiroho, naye pia anaongea lugha moja ya kuzaliwa na wale watu watatu ambao mhusika alikutana nao uwanja wa ndege wa kimataifa kwenye tukio lililopita na ambalo maelezo yake tayari yako hapo juu
  • Kulikuwa na mtu mwingine tena kwenye surveillance tean hiyo, naye pia ni wa lugha moja na mama wa kiroho
  • Vile vile Kiongozi X kwenye nyumba ya Ibada anayoabudu mhusika, naye pia ni lugha maoja na mama huyu wa kiroho
Haya ya huyu mama wa kiroho nayo ni mengi muno na yanahtitaji muda wake peke yake, kwa sasa mwandishi anaomba ayaachie hapa

Kwa hiyo May 2013 mhusika aliuandika barua uongozi wa ngazi za juu kwenye taasisi anyofanyia kazi akiomba aruhusiwe kutosafiri ndani na nje ya nchi kwa safari za kiofisi, na kwa wakati huo, safari zake yeye binafsi alikuwa tayari ameshasitisha

Zaidi ya hayo, mhusika aliuomba uongozi wa juu wa taasisi hiyo utafute namna fulani kama ya kumlinda na kuhakikisha kuwa anaendelea kuwa salama, pindi anapokuwa ofisini au nyumbani kwake. Hii ni kutokana na ukweli kuwa tayari mhusika alikuwa ameshaona dalili zote kuwa sehemu ya mtandao wa hatari kwake, ulikuwepo pia kwenye mazingira ya ofisini na nyumbani pia, japo hilo hakulieleza kwenye barua yake aliyouandikia uongozi huo



……………………….inaendelea


elly obedy
 
……………………….inaendelea

Baada ya kuwa ameomba ruhusa ya kutosafiri pote nje na ndani ya nchi hiyo mnamo May 2013

  • Mpaka kufikia Novemba 2013 alikuwa bado hajapata majibu ya barua yake kutoka kwa wahusika
  • Lakini pia katika kipindi hicho chote tangu aandike barua hiyo, hakuwahi kupangiwa kazi yoyte iliyokuwa inamlazimu kusafiri
Kwa hiyo ilipofika Novemba 2013 alikumbushia tena kuhusu majibu ya barua yake. Hata hivyo, hadi kufikia April 2014, yaani mwaka mmoja kamili tangu aandike barua yake ya kwanza, bado mhusika alikuwa hajapata majibu ya barua yake

HATIMAYE MHUSIKA AANDIKIWA BARUA YA TUHUMA KALI NA KUITWA KWENYE KIKAO CHA NIDHAMU MNAMO MAY 2014

Ilipofika mwezi May 2014, mhusika alipokea barua kutoka ofisi ambayo alikuwa ameelekeza maombi yake ya ruhusa ya kutokusafiri ikiwa na baadhi ya mambo yafuatayo:

  • Ilimtuhumu kuwa amekuwa akikaidi maagizo ya kazi anazopewa na wakuu wake wa kazi na hivyo amekuwa akifanya kitu kinachoitwa “insurbodination”
  • Kwamba alitakiwa ajieleze kwa kuijibu barua hiyo ndani ya wiki mbili, na baada ya hapo uamuzi utafanyika ili aweze kuitwa na kujieleza mbele ya kamati ya nidhamu
  • Barua hiyo pia ilimshauri awasiliane na watu wa chama cha wafanyakazi ili waweze kuja kumtetea, kama ataona kuna haja hiyo
  • Zaidi barua hiyo ilimu-refer mhusika kwa neno la kiingereza kama “the arraigned”.
  • Hapa mhusika anaamini waliosoma sheria au mawakili wanaoshughulika sana na kesi mahakamani, wanaelewa vizuri sana maana ya neno hilo na hana uhakika sana kama huwa lina apply kwenye hizi kesi ndogo za kawaida maofisin tofauti na zile za mahakamani
  • Nakala za barua hiyo walipewa pia viongozi wakubwa watano wa ngazi za juu kabisa za taasisi
Barua hiyo ipo mpaka leo, mhusika anayo



MHUSIKA AJIBU TUHUMA ZILIZOKUWA ZIMEELEKEZWA KWAKE

Baada ya hapo, mhusika aliijibu barua hiyo kwa kirefu kiasi, japo hakuandika yote aliyokuwa anayajua kwa sababu barua ingeweza kuwa kama novel

  • Aliijibu barua hiyo ndani ya siku hizo 14, hakukiuka masharti
  • Baada ya majibu yake, kikafuata kimya kirefu tena bila mhusika kusikia chochote kuhusiana na majibu ya barua yake hiyo
MAMBO MUHIMU KADHAA YALIYOJIRI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEJIBU BARUA HIYO

Mambo kadhaa yalitokea kuanzia pale mhusika alipojibu barua hiyo, na baadhi yake ni kama yafuatayo

  • Mnano mwezi June 2014, mhusika alipokea barua mbili mojawapo ikiwa inamshusha cheo (tuseme kutoka ngazi G kurudi ngazi E, akiruka ngazi F katikati akiwa anashuka chini) na mshahara wake kukatwa kiasi cha pesa taslimu TZS 700,000/=
  • Mnamo Septemba 2014 aliandikiwa barua nyingine tena ikimweleza kuwa alikuwa anahitajika kwenye kikao cha nidhamu kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikimkabili na kulingana na tuhuma ambazo zilizokuwa kwenye barua ile ya mwanzo ya mwezi May 2014
  • Kwa hiyo alitakiwa ahudhurie kikao cha nidhamu kwenye tarehe iliyokuwa imetajwa ndani ya barua hiyo ya Septemba 2014 bila kukosa
  • Baada ya kuisoma barua hiyo na kuielewa, mhusika alii-note tarehe ya kikao na kujiandaa
  • Siku ya kikao ilipofika, alipowasili mazingira ya ofisi ambayo alijua kikao kitafanyika, wahusika wakamjulisha papo kwa papo, yaani muda huo huo kuwa kesi yake imeahirishwa na kwamba haitasikilizwa siku hiyo bali itasikilizwa kwenye kikao kingine kitakachofuata na kwa tarehe ambayo atakuja kujulishwa baadaye
Kwa hiyo mhusika ikabidi aarudi ofisini na makabrasha yake kuja kusubiria tarehe nyingine. Msomaji inabdi akumbuke pia kuwa mpaka muda huu, mtu ambaye alikuwa mkubwa kwa ngazi ya pili kwenye taasisi alikuwa anafanya kazi idara moja na mhusika

  • Mhusika ameshawahi kumwongelea huyu mtu huko nyuma akim-refer kama Senior Msataafu Mwanaume, kwa wale ambao wamekuwa wakifuatilia toka mwanzo
  • Huyu mtu alikuwa mkubwa kwa ngazi ya pili kiasi kwamba kama mkuu mwenyewe hayupo, basi yeye ndiye aliyekuwa ana act ukuu wa tasisi kwa ujumla wake
  • Ndiyo yule ndugu wa karibu na Mr Y; msataafu mwingine ambaye alishawahi kumuunganishia kazi mhusika mwaka 2008 wakati wa likizo lakini hakuweza kwenda baada ya kazi hiyo kuwa miyeyusho
Watu wote wawili hawa wako idara moja na mhusika, na senior mstaafu alishawahi kuwa mmoja wa viongozi wa ngazi za juu kabisa kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika, kabla hajastaafu. Fact ni kwamba senior mstaafu aliingia madarakani mwaka 2006 na huo ndiyo mwaka pekee ambao matatizo ya mhusika yalianza kuchipuka taratibu kwenye ajira yake



……………………………bado inaendelea

MAMBO MUHIMU KADHAA YALIYOJIRI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEJIBU BARUA HIYO

elly obedy
 
……………………………inaendelea



MAMBO MUHIMU KADHAA YALIYOJIRI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEJIBU BARUA HIYO

Mpaka muda huu tumeona mambo mawili yametokea, kwanza mshahara kukatwa na pili kuandikiwa barua nyingine ya pili akiitwa kwenye kikao cha nidhamu kwenda kujibu tuhuma zilizokuwa zikimkabili.

Ukiondoa mambo haya mawili, mengie yaliyotokea ni kama ifuatavyo:

  • Mwezi Desemba 2014 alianzishiwa makato kwenye mshara wake ya asilimia tatu (3%) pasipo kuwa ameridhia au kuhusishwa
  • Alistukia mshahara umeanza kukatwa tu
  • Yalikuwa ni makato ya mfuko wa uanachama wa hiari ambao yeye si mwanachama na hajawahi kujiunga hadi leo
  • Makato hayo bado yapo na yanaendelea mpaka leo hii
Kuhusiana na makato hayo, mwaka 2015 aliwahi kuandika barua kuujulisha uongozi kuwa yeye si mwanachama hivyo inabidi yasitishwe na pesa alizokatwa aurdishiwe. Hata hivyo alijibiwa kwa barua kuwa makato hayo hayawezi kusitishwa labda aache kazi

Barua yenye maibu hayo anayo mpaka leo

Vile vile Ilipofika February 2016

  • Mhusika alipokea barua iliyokuwa ikifuta tuhuma zilizokuwa zikimkabili
  • Ni zile zilizotokana na barua ya May 2014 na zilizokuwa zimekumbushiwa kwenye barua ya Septemba 2014
  • Mpaka muda huu tuhuma hizi zinafutwa, mhusika alikuwa bado hajapewa nafasi ya kusimama mbele ya kamati ya nidhamu, licha ya kuwa alikuwa ameshaitwa kwa barua mara mbili
  • Tuhuma hizi zilifutwa baada ya miezi 22 tangu zizaliwe (May 2014 to February 2016)
  • Kwa hiyo mhusika alidumu na tuhuma hizi kwa muda wa miezi 22
Mbali na hayo, barua hii ya kufuta tuhuma kwa mhusika, ilikuwa na vitu vitatu muhimu sana ambavyo ni:

  • MOJA: Ilikuwa haitaji sababu za kwa nini tuhuma zilikuwa zimefutwa
  • MBILI: Wakubwa wote ambao waliwahi kupewa nakala ya barua ya tuhuma za mhusika mnamo May 2014, hawakuwa wamepewa nakala ya barua hii ya February 2016 iliyokuwa inafuta tuhuma hizo
  • TATU: Barua hiyo ilikuwa na maagizo (siyo ushauri) yaliyokuwa yakimtaka mhusika aende mara moja akaonane na daktari kwa ajili ya matibabu
Mhusika hakuwa ameripoti tatizo lolote lile la ugonjwa kwa uongozi wa taasisi ukiondoa maombi yake matatu kama amabvyo ameyaanisha hapo juu. Vilevile hakuwa na tatizo lolote la kiaffya kwa kipindi hicho na hana tatzo lolote hadi muda huu



Yer 23:29

“Je! Neno langu si kama moto? Asema Bwana; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?



MUBARKIWE TENA NA BWANA

elly obedy
 
Malaki 3:5

'' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi"
 
Wakoloasi 3:1-18
1 Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
2 Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi.
3 Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
4 Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu.
5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;
6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
7 Katika hayo ninyi nanyi mlitembea zamani, mlipoishi katika hayo.
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.
9 Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake;
10 mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate ufahamu sawasawa na mfano wake yeye aliyeuumba.
11 Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote.
12 Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,
13 mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.
14 Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.
15 Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.
17 Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.
 
Kwa jinsi uzi unavyoenda hilo jambo la tatu la kumtaka aende kuonana na daktari inaonyesha jamaa wanamuona anarukwa na akili. Kuna details ndogo ndogo sana anazikuza.

Halafu huyu si wewe kweli?
 
We are suspending this thread for a while, mpaka baada ya uchaguzi mkuu. Hii ni katika kukwepa kuonyesha kama kuna itikadi fulani ya kisiasa kwenye uzi huu, kwa sababu baadhi ya mambo yakisemwa hapa kwa wakati huu, yanaweza kuonekana kuwa yana mwelekeo huo.

Hata hivyo, posts za mambo mengine ya kawaida zitaendelea kuwepo na wachangiaji mnazidi kukaribishwa sana

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
"There is no sweater place in this world than "smuck-dub at the center of God's will" for you"
 
DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA RATIBA YA VIPINDI VYA IBADA ZA JIONI ZA KANISA A, INAYOANZA SAA 12:00 JIONI HADI SAA 2:00 USIKU
  • Inaonyesha kama Ibada zote za kuanzia saa 10:30 mpaka saa 12:00 zimefutwa
  • Kwa muda huu, zimebaki Ibada za kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku
Ni tahadhari tu kwamba siku kikija kutokea kitu chochote kisichotarajiwa kwenye Ibada yeyote ya kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku, na wakati huo huo ikaja ikabainika kuwa Ibada za kuanzia saa 10:30 mpaka saa 12:00 jioni ziliwahi kuwepo ila zikafutwa, hii itaonyesha kama

  • Ibada za muda uliofutwa zilifutwa ili kutengeneza loophole ya hicho ambacho kitakuwa kimetokea
  • Hicho kilichotokea kilikuwa kimepamgwa kwa kutengenezewa mazinira wezeshi
Mbali na hayo, ukiondoa swala la mikesha ambayo yenyewe huwa inafanyika usiku kucha, mhusika ana wasiwasi kama mamlaka za usajili zilizosajili Kanisa A, zililisajili kwa program za kuanzua saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku kwa sababu inaonyesha kama nyumba zilizo nyingi za Ibada zina program za kuanzia saa 10:30 mpaka saa 12:00 jioni

Ni angalizo tu kutokana na ukweli kuwa siku kikija kutokea kitu kisichokuwa cha kawaida kwenye Ibada ya usiku wakati ile ya jioni haikuwepo, na hakuna sababu maalumu iliyopelekea Ibada ya jioni isiwepo, kutoa maelezo ya kueleweka kwenye swala kama hii inakuwa ni ngumu sana.

Ni mawazo tu ya watu kama mhusika ambao wao uongozi uliwahi kuwapiga chenga na ukiachlia mbali swala la uongozi kuwapiga chenga, pengine hawana kabisa hata jicho la aina hiyo.

Uongozi wa Kanisa una tuhuma nyingi tu za kutosha za matukio yasiyokuwa ya kawaida, halafu wakati huo huo linajikita tena kwenye mpango wa kufuta program za muda ambao ni wa kawaida na kubakiza program za usiku, kwenye muda ambao siyo wa kawaida. Inasikitisha sana

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…