Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Usitudanganye bhna kuna vitu ambavyo ni hatari zaidi. Kama Corona etcHakuna kitu hatari duniani kama kuhama hama makanisa
Sent From Galaxy S9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitudanganye bhna kuna vitu ambavyo ni hatari zaidi. Kama Corona etcHakuna kitu hatari duniani kama kuhama hama makanisa
Hana wadhifa wowote kimwili, ila pengine kiroho anaweza kuwa ana wadhifa fulani, ninayo shaka hiyoKwani kwa maisha yake ya kawaida... Ana wadhfa gani hadi afuatiliwe kiasi hicho...!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu: Uzi huu unawafaa sana hasa wale ambao tu huwa wana muda na wanapenda kuchambua mambo kwa kina, vinginevyio kama wewe siyo mmoja wao, unaweza ukaona kana unapoteza muda wako kuufuatilia.haki ya MUNGU sijakuelewa. Naomba ibaki hivyo hivyo.
Hapana. Alivyotoka kwenye kitakasa mikono, ndiyo akaenda akashika switch za feni. Anachodai yeye ni kwamba, feni ziliachwa zinatembea makusudi ili baada ya kuwa ameshika kitakasa mikono, akashike switch za feni pia. Inaonyesha KAMA kitakasa mikono alichokuwa ameshika, alitakiwa yeye akkipeleke tena kwenye switch za feni, halafu baada ya hapo, POSSIBLY kuna watu wengine sasa nao wangeenda tena kushika kwenye switch za feni hizo wakati wa kuziwasha tena, kuchukua kile ambacho yeye alikuwa amekiacha kwenye switch hizo.Halafu anashika swtch huku akijua hakuna kitakasa mikono halafu anarudi kwa familia yake
Story yako inaelekea ni ya kutunga au unajisau...wapi ametumia kitakasa mikono hapo wakati umesema kanisani hapakuwepo na mtu kabisa.Tukio muhimu la kipekee sana alilokutana nalo hapo Kanisani sku hiyo ni kuwa kwa mara ya kwanza tangu aanze kuhudhuria Ibada za asubuhi, takribani miaka miwili sasa, alikuwa hajawahi kukuta hakuna mtu Kanisani...
We dil na watu tunaoelewa hv vitu. Usitumie nguvu kumuelewesha asioamini wala kuelewa!Kitakasa mikono kinakuwepo getini kwa mlinzi. Ndani ya Kanisa ndiyo hapakuwa na mtu
Ila hakuna sehem umeandika kwamba kuna mtu alimforce kwenda kuzima hzo switch za feni au kuwaza zile za parking kwake.Hapana. Alivyotoka kwenye kitakasa mikono, ndiyo akaenda akashika switch za feni. Anachodai yeye ni kwamba, feni ziliachwa zinatembea makusudi ili baada ya kuwa ameshika kitakasa mikono, akashike switch za feni pia...
Njoo nikuhadithie taratibu.Mambo mengi sijaelewa. Ila kuzima feni madhabahuni na wewe si muhudumu wa kanisa ni kiherehere.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Alivyotoka kwenye kitakasa mikono, ndiyo akaenda akashika switch za feni. Anachodai yeye ni kwamba, feni ziliachwa zinatembea makusudi ili baada ya kuwa ameshika kitakasa mikono, akashike switch za feni pia. Inaonyesha KAMA kitakasa mikono alichokuwa ameshika, alitakiwa yeye akkipeleke tena kwenye switch za feni, halafu baada ya hapo, POSSIBLY kuna watu wengine sasa nao wangeenda tena kushika kwenye switch za feni hizo wakati wa kuziwasha tena, kuchukua kile ambacho yeye alikuwa amekiacha kwenye switch hizo. Ni maswala ya kiroho zaidi, kwa sababu ni mambo ya Kanisani. Hata hivyo bado yeye anakiri kuwa kwa upande mwingine, zinaweza kuwa ni pure coincidences tu za matukio ambayo hayana maana yoyote ile, japo hana uhakika huo pia. Uhakika wa kwamba pattern ya matukio hayo haina maana yoyote HANA, ila pia uhakika kuwa hayana maana yoyote nao pia HANA