#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Muhimu: Uzi huu unawafaa sana hasa wale ambao tu huwa wana muda na wanapenda kuchambua mambo kwa kina, vinginevyio kama wewe siyo mmoja wao, unaweza ukaona kana unapoteza muda wako kuufuatilia.
Uchambuzi wa mambo si lazima uwe sahihi kwa kadri uonavyowewe!

Fasihi ni subjective, kamwe haiwezi kuwa na mono translation.

Hakuna hakimiliki ya usahihi wa uchambuzi wa mambo la sanaa!
 
Ni very possible kama yuko kwenye makanisa ya kinabii wanakoibiana nyota, au makanisa yenye nguvu kubwa kiroho lakini kama ni kanisa Catholic au (KKKT ukiacha haya yenye upako kama la Kimara kwa Mch. Matsai Kijitonyama kwa Mch.Kimaro) hizo nguvu zake za kiroho hakuna hata ambaye anazinotice, changanyikeni ya kufa mtu.

Kama wewe ni mzoefu kwa kiasi fulanii katika mambo ya kiroho, na kama umemsoma vizuri, issue ya huyu bwana, assuming kutakuwa na chochote basi kitakuwa ni kitu ambacho kinahusiana na uendeshaji wa Ibada pale Kanisani na si maswala ya kuibiana nyota. Soma vizuri kipengele namba 7 hapo juu. Kama kutakuwa na kitu, basi kuna possibilities mbili ambazo mimi nimeweza kuzianisha


MOJA: Kuna mambo ya giza yanayoendelea pale wakati wa uendeshaji wa Ibada, ambayo yeye kwayo anakuwa ni kikwazo na hivyo inabidi kwanza vifanyike vitu fulani fulani vya kumfubaza kiroho, ili asiwe na upako wa kuendelea kuzuia kinachotakiwa kufanyika wakati wa Ibada AU

MBILI. Yeye mwenyewe pia ana mambo ya giza ambayo inabidi zitumike nguvu zingine za giza kum-coounter attack, halafu ndiyo Ibada ziendelee


In any case, points zote hizi mbili zinaonyesha kuwa kuna Ibada za mambo ya giza zinaendelea.

Kwa hiyo inaweza kuwa yeye naye ni mmoja wa washirika wa Ibada hizo ila YUKO PEKE YAKE PEKE YAKE, au siyo mshirika wa Ibada hizo na hivyo anapelekea zikwame katika uendeshaji wake
 
Nililisoma hilo ndiyo maana kama umenisoma vizuri awali nimeainisha aina ya makanisa ambayo it’s more likely kwa vitu hivyo kutokea, very possible!
Kama wewe ni mzoefu kwa kiasi fulanii katika mambo ya kiroho, na kama umemsoma vizuri, issue ya huyu bwana, assuming kutakuwa na chochote basi kitakuwa ni kitu ambacho kinahusiana na uendeshaji wa Ibada pale Kanisani na si maswala ya kuibiana nyota. Soma vizuri kipengele namba 7 hapo juu. Kama kutakuwa na kitu, basi kuna possibilities mbili ambazo mimi nimeweza kuzianisha


MOJA: Kuna mambo ya giza yanayoendelea pale wakati wa uendeshaji wa Ibada, ambayo yeye kwayo anakuwa ni kikwazo na hivyo inabidi kwanza vifanyike vitu fulani fulani vya kumfubaza kiroho, ili asiwe na upako wa kuendelea kuzuia kinachotakiwa kufanyika wakati wa Ibada AU

MBILI. Yeye mwenyewe pia ana mambo ya giza ambayo inabidi zitumike nguvu zingine za giza kum-coounter attack, halafu ndiyo Ibada ziendelee


In any case, points zote hizi mbili zinaonyesha kuwa kuna Ibada za mambo ya giza zinaendelea.

Kwa hiyo inaweza kuwa yeye naye ni mmoja wa washirika wa Ibada hizo ila YUKO PEKE YAKE PEKE YAKE, au siyo mshirika wa Ibada hizo na hivyo anapelekea zikwame katika uendeshaji wake
 
Ila hakuna sehem umeandika kwamba kuna mtu alimforce kwenda kuzima hzo switch za feni au kuwaza zile za parking kwake.
Asicomplicate sana mambo atajiwekea maadui wasio na maana af atakua anaishi kwa hofu mda wote
Hakulazimishwa ndiyo ila kitendo cha kukuta ziko ON na hapakuwa na mtu, kilim-prompt kwenda kuzizima. Kumbuka kuwa wakati huo alikuwa anaona kila tukio ni la kawaida, mpaka baadaye sasa yalivyokuja kutokea na mengine mbele, ndiyo akaanza sasa kurudi nyuma kwa kuyaangalia na yale yaliyopita nyuma, akaanza kuunganisha dots. Unajua nini ndugu yangu. Tuchukulie mfano mtu akija nyumbani kwako akaleta posa, mkaelewana mahali halafu kumbe ni mwongo akaenda kimoja asirudi, huwezi ukawa na uwezo wa kujua kuwa anakudanganya siku aliyoleta posa, utakuja kujua baada ya siku hiyo. Hii inaonyesha kuwa kuna matukio ambayo maana zake halisi huwa zinakuja kujifunua baada ya kuwa yameshapita na si vinginevyo. Ni kama hilo la huyu mtu kuzima feni
 
Sema hizo codes umezificha ,ungetaja tu hata jina la kanisa but ndo hivo ukitaja hilo kanisa huyo jamaa atajulikana kwa story ilivyoenda.

Hapo kinachoonekana ni nguvu ya Mungu vs Nguvu za giza au nguvu za giza zinapambana zenyewe.

Huyo jamaa yako amekuwa mtu wa kuconnet dots either kwa hofu zake na hisia tu za kibinadamu lakini mambo kama hayo yapo tunakutana nayo na hatutulii akilini tunalindwa tu na ulinzi wa Mungu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Muhimu: Uzi huu unawafaa sana hasa wale ambao tu huwa wana muda na wanapenda kuchambua mambo kwa kina, vinginevyio kama wewe siyo mmoja wao, unaweza ukaona kana unapoteza muda wako kuufuatilia

Nilipoona onyo hili nilipuuza, ona sasa kilichonikuta. Sijaelewa kitu
 
Sema hizo codes umezificha ,ungetaja tu hata jina la kanisa but ndo hivo ukitaja hilo kanisa huyo jamaa atajulikana kwa story ilivyoenda.

Hapo kinachoonekana ni nguvu ya Mungu vs Nguvu za giza au nguvu za giza zinapambana zenyewe.

Huyo jamaa yako amekuwa mtu wa kuconnet dots either kwa hofu zake na hisia tu za kibinadamu lakini mambo kama hayo yapo tunakutana nayo na hatutulii akilini tunalindwa tu na ulinzi wa Mungu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Mhusika kwa sasa bado hajanipa ruhusa ya kutaja sehemu, ila amesema kuwa given time, kuna uwezekano mkubwa akaja akatoa ruhusa hiyo muda siyo mrefu kwa sababu alichoruhusu kiruke hapa, ni kama asilimia 0.01% tu ya kile alichowahi kushuhudia tangu aanze kuabudu kwenye nyumba hiyo ya Ibada. Amekuwa kimya tangu mwaka 2011, takribani miaka 9 sasa! Anataka kwanza awe na uhakika kuwa haya matukio yana maanisha kitu na si coincidences tu, kwa sababau wakati mwingine zinaweza kuwa ni coincidences tu za bahati mbaya ambazo hazina maana yoyote!
 
Amesema ni miezi miwili tangu uanze kusali kanisani hapo, he katika kanisa lake la awali alikuwa kiongozi? Je, aliondoka huko kwa amani bila mgogoro na mtu?

Pia achukue tahadhali zaidi juu ya CORONA.
Ni miaka miwili tangu aanze kuhudhuria Ibada za kuanzia saa 12 asubuhi na si miezi miwili kama ulivyosema wewe. Kabla ya hapo alikuwa anahudhuria Ibada ya pili inayoanza baada ya saa 4. Kwa hali hii, ni mtu anayehudhuria Ibada ya kwanza tu mwenye uwezekano wa kukuta Kanisani bado hajafika mtu, na akawa yeye wa kwanza kuwepo ndani ya kanisa. Kwa ibada ya pili hakuna uwezekano huo kwa sababu lazima upishane na watu wanaotoka, wale wa Ibada ya kwanza. Kwa hiyo mantiki yake hapa ni kwamba, pamoja na kuhudhuria Ibada ya asubuhi kwa takribani miaka miwili sasa, alikuwa haijawahi kutokea akapata chance ya kufanikiwa kuwa wa kwanza kufika kanisani asubuhi, na kukuta kanisa liko kimya hakuna mtu yoyote, isipokuwa kwa siku hiyo tu aliyoitaja, siku ya feni zilizokuwa zinatembea!
 
Sema hizo codes umezificha ,ungetaja tu hata jina la kanisa but ndo hivo ukitaja hilo kanisa huyo jamaa atajulikana kwa story ilivyoenda.

Hapo kinachoonekana ni nguvu ya Mungu vs Nguvu za giza au nguvu za giza zinapambana zenyewe.

Huyo jamaa yako amekuwa mtu wa kuconnet dots either kwa hofu zake na hisia tu za kibinadamu lakini mambo kama hayo yapo tunakutana nayo na hatutulii akilini tunalindwa tu na ulinzi wa Mungu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Unaweza kuwa uko sahihi, ila yeye anadai kuwa stori yake anayonipa haizidi 0.01% ya content ya kile anachokijua, ambacho hakitakuja humu jukwaani. Stay tuned leo kuna updates zinakuja. Ikishafika mwisho nitawajulisaha halafu mutasema kama pengine ni mtu wa kujishuku, au ana maluweluwe ama la!
 
Sema hizo codes umezificha ,ungetaja tu hata jina la kanisa but ndo hivo ukitaja hilo kanisa huyo jamaa atajulikana kwa story ilivyoenda.

Hapo kinachoonekana ni nguvu ya Mungu vs Nguvu za giza au nguvu za giza zinapambana zenyewe.

Huyo jamaa yako amekuwa mtu wa kuconnet dots either kwa hofu zake na hisia tu za kibinadamu lakini mambo kama hayo yapo tunakutana nayo na hatutulii akilini tunalindwa tu na ulinzi wa Mungu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧

UPDATE 22/04/2020

1 SWITCH ZA TAA ZA PARKING KWENYE JENGO ANALOISHI KUTOKUWA ZIMEWASHWA KWA JUMAPILI MBILI MFULULIZO, UKIHUSIANISHA NA SWITCH ZA FENI ALIZOKUTA ZIKITEMBEA KANISANI, PAMOJA NA ASKARI WA SANITIZER


Ikumbukwe kuwa Jumapili (ya Pasaka) ya siku ambayo alikuta Kanisani kuna feni zinatembea halafu akaenda akazima switch zake, kule nyumbani alikotokea kwenyewe nako aliacha amewasha switch za kwenye parking, ambazo nazo alizikuta ziko OFF. Jumapili hiyo alihudumiwa sanitizer na Mlinzi A, na ilikuwa mara ya 3 mfululizo kupata huduma kutoka kwa mtu huyu, kwenye siku za Ibada kuu ukiongeza na zile za Ijumaa Kuu, na Jumapili ya wiki kabla ya Jumapili ya Pasaka

Lakini pia vilevlie, Jumapili hii iliyopita (wiki jana), switch za kwenye parking alizikuta tena zikiwa OFF, lakini safari hii hakuziwasha, aliziacha kama alivyozikuta. Alipofika Kanisani akapokelewa na Mlinzi mwingine nje ya gate, akiwa anajiandaa kumpulizia sanitizer na hatimaye malumbano kidogo baada ya kuingia ndani ya gate la Kanisa

Yeye hypothesis yake kwenye matukio haya anadai kuwa kama ifuatavyo:

Inaonyesha KAMA alivyoweka ON switchi za kwenye parking asubuhi ya Jumapili ya Pasaka, halafu tena akaenda akaweka OFF switch za feni kule Kanisani, ambazo kwa sasa yeye anadai kuwa ziliachwa ON makusudi, kitendo cha yeye kutorudia tena kuziweka ON switch za kwenye Parking ya jengo analoishi Jumapili ya wiki jana, ziliashiria kuwa inawezekana tayari ameshajenga dhana kuwa kitendo cha kuwa anakuta switch zimeachwa katika position ambayo siyo sahihi halafu unazirekebisha, ni kitendo malicious, na si cha bahati mbaya. Kwa hali hiyo siku ya Jumapili hiyo aliyoacha kuweka ON switch za kwenye parking, inaonyesha KAMA kuna information zilikuwa relayed kule alikokuwa anaelekea, yaani Kanisani, kwamba jamaa ameshastuka na issue ya switch. Na kwa sababu switch alizowasha Kanisani zilikuwa connected na issue ya Sanitizer, ikaonekana sasa kuwa kuna uwezekano asubuhi ile angeweza kutoa resistance namna ya kupokea huduma hiyo ya sanitizer, pindi atakapokuwa amefika Kanisani. Kwa hiyo mkakati ukapangwa sasa wakati akiwa bado yuko njiani kwamba:

Mlinizi A asitumike tena siku hiyo kumpa huduma ya sanitizer kwa sababu kuu mbili

  • amekuwa akimpa kwa mara 3 mfululizo, na siku hiyo ingekuwa mara ya nne.
  • kulikuwa na uwezekano wa mhudumiwa kutoa upinzani wa huduma hiyo, na kama mhudumu angekuwa yuleyule, pengine upinzani ungekuwa mkubwa zaidi ikiwa ni pamoja na maswali mengi
Kwa hiyo inaonyesha KAMA mamlaka zikawa zimeafiki mtu mwingine ajiandae kwa kumpa huduma ya Sanitizer na kwa kumfuata nje kabla hajaingia ndani ya gate ili kama pengine kutatokea mgogoro, umalizikie huko huko nje ili waliomo ndani ya gate wasije wakaunusa.

Mbali na hilo, kwenye sehemu ya parking ,hivi karibuni kumewekwa Kamera. Kwa hiyo inaonyesha pia KAMA mhudumu wa sanitizer alishauriwa hivyo ili kukwepa uwezekano wa tukio lake na mhudumiwa, kukamatwa kwenye Kamera, kwa sababu kama nilivyosema hapo awali kuwa, baada ya kuwa ameingia ndani, aligundua kuwa kulikuwa pia na ndoo ya maji yanayotiririka. Assuming angeingia ndani halafu tukio likawa limekamatwa kwenye Kamera, la mhudumu anampelekea mtu sanitizer halafu mhudumiwa anaanza kuuliza maswali ya kumhoji mhudumu, mojawapo likiwa tuseme KWA NINI KILA MARA MUNANILETEA SANITIZER WAKATI LEO YAPO PIA MAJI YANAYOTIRIRIKA? ,…., na maswali mengine ambayo yangeweza kufana na hayo

Kama hypothesis hii ya switch haitakuwa sahihi, uwezekano mwingine ni kuwa Jumapili ya wiki jana, switch ziliwekwa OFF ili kuwe na giza kwenye parking, kuruhusu ufunguaji wa kioo cha gari upande wa passenger seat, ambalo mhusika hakuwa ameliacha wazi. Uhakika alionao ni kuwa kioo hicho kilifunguliwa gari likiwa nyumbani, alfajiri ya Jumapili, na kwa sababu huwa anaondoka ikiwa bado giza kidogo, na pia Kanisani si mbali sana kiasi kwamba anaweza akahitaji kukimbia mwendo mkubwa, kioo hakukiona hadi anafika Kanisani na kupaki gari na kuiacha.

Alternatively, hypotheses zote mbili zinaweza pia ku-apply, kwamba mambo hayo yote mawili yanaweza kuwa yalikuwa yamekusudiwa kutendeka kwa pamoja.



2. TRIP ZA KUTOKEA NYUMBANI NA ZILE ZA KUTOKEA OFISINI KUELEKEA KWENYE IBADA, NA UHUSIANO WAKE NA SANITIZER

Anadai kuwa amekuwa akipata huduma ya Sanitizer pindi anapokuwa anaelekea Kanisani kutokea nyumbani na kwa siku ambazo ni za Ibada Kuu tu. Hapati huduma hiyo akiwa anatokea ofisini kuelekea kwenye Ibada za katikati ya wiki ambazo huwa zina kawaida ya kuanza baada ya saa 10. Yeye hapa anadai kuwa kunaweza kukawa na mambo makuu mawili ambayo ni:

  • Inaonyesha KAMA huwa anatoa upinzani mkubwa kwenye Ibada Kuu hasa zile zinazoanza asubuhi kwa sababu huwa anafika Ibadani asubuhi akiwa anatokea nyumbani, na akiwa haja-interact na mtu yeyote siku hiyo. Mbali na hivyo, huwa anaanza kwa maombi kwanza pamoja na kusoma maandiko matakatifu, alfajiri kabla hajanza safari ya kuelekea Kanisani. Kwa hiyo akiwa anatokea nyumbani kuelekea Ibadani, inalazimika afanyiwe udhibiti wa kipekee, na hivyo huduma ya sanitizer, anapokuwa tu amefika Ibadani akiwa anatokea nyumbani
  • Inaonyesha pia KAMA huwa hatoi upinzani mkubwa kwenye Ibada za katikati ya wiki, anapokuwa ametokea ofisini, au kama anatoa basi bado kunakuwa na nafasi ya kuudhibiti kabla ya siku ya Ibada Kuu, yaani Jumapili. Aidha kunaweza pia kukawa na mtandao saidizi mwingine ofisini kwake ulio kinyume naye, ambao huwa unahakikisha kuwa umemdhibiti kabla muda wa Ibada kuwa umefikakiasi kwamba huwa anaondoka ofisini akiwa tayari hana ule upako wa kutoa upinzani unaoweza kuleta athari. Kwa hali hiyo kwa siku kama hizi, inakuwa hakuna haja ya kumpa huduma ya Sanitizer, itapelekea huduma hiyo iwe monotonous kwake halafu ipelekee aje aigomee kwenye siku ambayo ni ya muhimu huko mbele ya safari


3 COINCIDENCE INAYOMHUSU KIONGOZI ALIYESEMEKANA KUWA NI MHUSIKA WA MANUNUZI YA CORONA

  • Mhusika anadai kuwa baada ya kupuliziwa Sanitizer kwa lazima, alipitiliza moja kwa moja mpaka men’s room, akanawa kwa sabuni na maji yanayotiririka. Kuna bomba moja tu la maji kwenye chumba hicho
  • Baadaye alirudi ofisini kwa walinzi, akawa anahoji mawili matatu kuhusiana na baadhi ya mambo ambayo alikuwa anayaona hayaendi sawa, mojawapo ikiwa ni kujua kama Sanitizer hizo zimewekwa wakfu kwa ajili ya matumizi ya Kanisani
  • Hatimaye mtu mmoja alijibu akasema muulize fulani (akamtaja kiongozi ambaye inaonyesha ndiyo mhusika wa manunuzi ya vifaa hivyo)
  • Baadaye wakati Ibada inaendelea, mhusika alitoka tena kuelekea men’s room. Alipofika huko akamkuta mtu aliyetajwa kuwa mhusika wa manunuzi, men’s room, akiwa ananawa kwenye bomba la hilo la maji. Umbali kutoka pale lilipo bomba hilo na pale alipokuwa amekaa kiongozi mhusika wa manunuzi wakati wa Ibada, hauzidi mita kumi na tano, na umbali kutoka kule alikokuwa mhusika wa tukio hadi kufika kwenye bomba hilo, shortest distance inaweza kuwa mara 3 ya umbali huo, lakini pia ali-opt kutumia njia mbadala kukwepa kuwabughudi watu kwa sababu Ibada ilikuwa inandelea, na njia aliyotumia inaweza kuwa na urefu wa takribani mita 60
  • Mhusika wakati anatoka men’s room, (kiongozi alikuwa tayari ameshaondoka) alirudi kwa kutumia njia ile ile aliyoijia. Njiani tena akakutana na binti wa karibu sana na kiongozi aliyetajwa, yeye naye alikuwa anaelekea kule alikokuwa anatoka mhusika. Configuration ya sehemu ile namna ilivyokaa ni uchochoro ambao uwezekano wa mtu mwingine kumuona mwenzake ni lazima uwe maeneo yale na si Kanisani au kwingine. Kwa hiyo hayupo mtu ambaye anaweza kuwa alituona wakati tunapishana, labda satellite iliyo juu!
Scenerio hii nayo ilionekana kama rare coincidence kwake, japo anakiri kuwa inaweza kuwa haina maana yoyote!

Nitarudi kwa ajili ya sehemu ya mwisho ambayo mojawapo ya habari zake ni hii hapa chini, mbarikiwe tena na Bwana



4. MAMBO MENGINE AMBAYO HAYAHUSIANI MOJA KWA MOJA NA TUKIO LA MHUSIKA, LAKINI AMBAYO ANASHAURI KAMA KUNA UWEZEKANO, UONGOZI UWEZE

Anadai kuwa pembezoni mwa nyumba ya Ibada wanayoabudia kwa sasa kuna chamber za majitaka umbali wa si zaidi ya mita moja, upande wa kushoto wa Kanisa. Kanisa ni Banda ambalo halina kuta, na Kanisa jipya bado liko kwenye ujenzi. Chambre hizi zimekuwa zikiachwa zinafurika na kutoa nje maji yaliyochanganyikana na kinyesi, halafu maji hayo yanaanza kutirirka kupitia njia ambayo waumini huwa wanapita na watoto kucheza. Kwa mvua zilizonyesha hivi karibuni, anadai hakuona mafuriko hayo, ila pia hana taarifa kama chemba hizo zimefanyiwa kazi, ila pengie hazikuvuja tu kwa bahati nzuri. Pia anadai kuwa kuna mtu alimdokeza kuwa mapepo huwa yana uwezo wa kukaa hata kwenye harufu ya kitu tu, au kwenye kitu kinachotiririka, kama nilichokitaja

NITARUDI
 
Ahame Kanisa kwani kashonewa hapo

Sent From Galaxy S9

Usitudanganye bhna kuna vitu ambavyo ni hatari zaidi. Kama Corona etc

Sent From Galaxy S9

Nitakupa ushuhuda huu.
Kuna mtu aliwahi kuhama kutoka Kanisa A, kwenda Kanisa B, baada ya kikundi kidogo cha watu fulani kuwa kimemubugudhi kikiwa kinashirikiana na viongozi karibia wote wa kanisa A. Wakati anakimbia kutoka A kwenda B, wengi wa waumini aliowaacha A wakajua kuwa yeye ndiyo ana matatizo, kwa sababu haiwezekani viongozi wote washiriki kukuhamisha halafu bado uwe wewe ndiyo msafi. Alipofika Kanisa B akitokea A, alipokelewa vizuri halafu baadaye na huko nako ukaundwa mtandao uliokusudiwa kumhamisha akimbie Kanisa B, akitarajiwa kuwa angeenda jingine, possibly Kanisa C. Baada ya takriban miaka mitatu hivi akiwa Kanisa B, akachoshwa na hila hizo, na akaamua kurudi tena Kanisa A, tofauti na matarajio ya mtandao uliokuwa ukimbugudhi, ili kuthibitisha kuwa yuko clean, na aliporudi tena Kanisa A, this time akatuma taarifa kule alikohama kwa mara ya pili, yaani Kanisa B, akiwajulisha viongozi wake kuwa amerudi tena kanisa A alikotokea wakati anakuja Kanisa B, lakini kama safari hii Kanisa A litarudia tena mchezo wa zamani, atarudi tena Kanisa B, kwa hiyo atakuwa ana-shuttle between churches A and B
Angalia sasa scenerio hii na ujaribu ku-imagine kama huyu mtu angefanya makosa akaenda tuseme Kanisa C pindi alipokuwa akikimbia kutoka Kanisa B; kesi yake ilikuwa ni nzito ambayo hujawahi kuona. A na B wangetengeneza joint forces na kumfuata tena kule C, na dhahiri ingeonyesha kuwa yeye ndiyo mwenye matatizo. At this point in time, hata dola nayo sasa ingekuwa tayari ameshai-trigger kuingia kazini kuwa huyu mtu ana matatizo gani hatulii kwenye makanisa halafu haelewani na viongozi wake?
Sasa nikwambie kitu ndugu yangu, hii dunia fanya upumbavu wote unaoweza kufanya lakini isije ikatokea hata siku moja, ukafanya upumbavu wa kusababisha dola ikaingia kazini. Usije hata siku moja ukafanya kitu cha kui-prompt dola kuingia kazini! Unaona sasa namna ilivyo hatari kubadilisha badilisha nyumba za Ibada?
 
Kwa
Nitakupa ushuhuda huu.
Kuna mtu aliwahi kuhama kutoka Kanisa A, kwenda Kanisa B, baada ya kikundi kidogo cha watu fulani kuwa kimemubugudhi kikiwa kinashirikiana na viongozi karibia wote wa kanisa A. Wakati anakimbia kutoka A kwenda B, wengi wa waumini aliowaacha A wakajua kuwa yeye ndiyo ana matatizo, kwa sababu haiwezekani viongozi wote washiriki kukuhamisha halafu bado uwe wewe ndiyo msafi. Alipofika Kanisa B akitokea A, alipokelewa vizuri halafu baadaye na huko nako ukaundwa mtandao uliokusudiwa kumhamisha akimbie Kanisa B, akitarajiwa kuwa angeenda jingine, possibly Kanisa C. Baada ya takriban miaka mitatu hivi akiwa Kanisa B, akachoshwa na hila hizo, na akaamua kurudi tena Kanisa A, tofauti na matarajio ya mtandao uliokuwa ukimbugudhi, ili kuthibitisha kuwa yuko clean, na aliporudi tena Kanisa A, this time akatuma taarifa kule alikohama kwa mara ya pili, yaani Kanisa B, akiwajulisha viongozi wake kuwa amerudi tena kanisa A alikotokea wakati anakuja Kanisa B, lakini kama safari hii Kanisa A litarudia tena mchezo wa zamani, atarudi tena Kanisa B, kwa hiyo atakuwa ana-shuttle between churches A and B
Angalia sasa scenerio hii na ujaribu ku-imagine kama huyu mtu angefanya makosa akaenda tuseme Kanisa C pindi alipokuwa akikimbia kutoka Kanisa B; kesi yake ilikuwa ni nzito ambayo hujawahi kuona. A na B wangetengeneza joint forces na kumfuata tena kule C, na dhahiri ingeonyesha kuwa yeye ndiyo mwenye matatizo. At this point in time, hata dola nayo sasa ingekuwa tayari ameshai-trigger kuingia kazini kuwa huyu mtu ana matatizo gani hatulii kwenye makanisa halafu haelewani na viongozi wake?
Sasa nikwambie kitu ndugu yangu, hii dunia fanya upumbavu wote unaoweza kufanya lakini isije ikatokea hata siku moja, ukafanya upumbavu wa kusababisha dola ikaingia kazini. Usije hata siku moja ukafanya kitu cha kui-prompt dola kuingia kazini! Unaona sasa namna ilivyo hatari kubadilisha badilisha nyumba za Ibada?

Kwa hiyo kwa kifupi wakristo mnahujumiana wenyewe kwa wenyewe. Nimekuelewa
 
Nitakupa ushuhuda huu.
Kuna mtu aliwahi kuhama kutoka Kanisa A, kwenda Kanisa B, baada ya kikundi kidogo cha watu fulani kuwa kimemubugudhi kikiwa kinashirikiana na viongozi karibia wote wa kanisa A. Wakati anakimbia kutoka A kwenda B, wengi wa waumini aliowaacha A wakajua kuwa yeye ndiyo ana matatizo, kwa sababu haiwezekani viongozi wote washiriki kukuhamisha halafu bado uwe wewe ndiyo msafi. Alipofika Kanisa B akitokea A, alipokelewa vizuri halafu baadaye na huko nako ukaundwa mtandao uliokusudiwa kumhamisha akimbie Kanisa B, akitarajiwa kuwa angeenda jingine, possibly Kanisa C. Baada ya takriban miaka mitatu hivi akiwa Kanisa B, akachoshwa na hila hizo, na akaamua kurudi tena Kanisa A, tofauti na matarajio ya mtandao uliokuwa ukimbugudhi, ili kuthibitisha kuwa yuko clean, na aliporudi tena Kanisa A, this time akatuma taarifa kule alikohama kwa mara ya pili, yaani Kanisa B, akiwajulisha viongozi wake kuwa amerudi tena kanisa A alikotokea wakati anakuja Kanisa B, lakini kama safari hii Kanisa A litarudia tena mchezo wa zamani, atarudi tena Kanisa B, kwa hiyo atakuwa ana-shuttle between churches A and B
Angalia sasa scenerio hii na ujaribu ku-imagine kama huyu mtu angefanya makosa akaenda tuseme Kanisa C pindi alipokuwa akikimbia kutoka Kanisa B; kesi yake ilikuwa ni nzito ambayo hujawahi kuona. A na B wangetengeneza joint forces na kumfuata tena kule C, na dhahiri ingeonyesha kuwa yeye ndiyo mwenye matatizo. At this point in time, hata dola nayo sasa ingekuwa tayari ameshai-trigger kuingia kazini kuwa huyu mtu ana matatizo gani hatulii kwenye makanisa halafu haelewani na viongozi wake?
Sasa nikwambie kitu ndugu yangu, hii dunia fanya upumbavu wote unaoweza kufanya lakini isije ikatokea hata siku moja, ukafanya upumbavu wa kusababisha dola ikaingia kazini. Usije hata siku moja ukafanya kitu cha kui-prompt dola kuingia kazini! Unaona sasa namna ilivyo hatari kubadilisha badilisha nyumba za Ibada?
Kama huyu jamaa namfahamu alikuwa mkurigenzi kwenye taasisi fulani hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom