#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Hebu acha kumsingizia jamaa yako,ni wewe mwenyewe kabisa

UPDATE: TUESDAY 05/05/2020

POPULAR KEY WORDS AU POPULAR SECRET CODES ZINAZOTUMIKA KUWAITA MAPEPO NA /AU KU-ACKNOWLEDGE UWEPO WAO, WAKATI WA IBADA




Zaweza kuwa zipo nyingi, ila yeye mpaka muda huu ameshaainisha njia mbili ambazo ni

  • Njia ya kupiga makofi maalumu, ambapo makofi haya nayo yamegawanyika katika makundi mawaili kama alivyoyaanisha hapa chini
  • Kutumia secret code inayotumia neno “UZINZI”
MAKOFI MAALUMU

Makofi haya yamegawanyika katika makundi mawaili, na anaposema makofi maalum, anamaanisha kuwa si makofi yote yanayopigwa kanisani, yanaangukia katika kundi hili la makofi kwa ajili ya mapepo, hapana. Pia ieleweke kuwa makofi ni sehemu mojawapo ya shamrashamra za shangwe kwa waumini wanapokuwa wapo kwenye Ibada Kanisani kama ilivyo sehemu zingine za mikusanyiko ya watu wengi

Hata hivyo mhusika hapa anapenda kuongelea aina fulani ya makofi maalum ambayo huwa yanapigwa kwa namna ya kipekee sana, wakati wa (kuzindua /au mara baada ya kuhitimisha) ibada ya kusifu na kuabudu, aidha kufuatia “OMBI MAALUM” kutoka kwa mtumishi wa Mungu anayetoa sala madhabahuni au kufuatia “OMBI AUTOMATIC” ambalo huwa analitoa mtumishi huyo, kama itakavyofafanuliwa hapa chini

“OMBI MAALUM” LA MAKOFI

Hili hutolewa na mtumishi akiwa amesimama madhabahuni, mara baada ya kuwa ameongoza sala ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu. Akishahitimisha sala kwa kusema “…… NA WOTE TUSEME AMINA” na watu wote kujibu wito huo kwa kuitikia AMINA, mtumishi huyu huendelea mbele na kuwaomba wale ambao hawakuweza kustahimili kusimama katika kipindi chote cha Ibada ya kusifu na kuabudu (ambao wakati huo huwa tayari wameshakaa), nao pia wasimame, halafu watu wote kwa ujumla wao huombwa kupiga makofi mengine kwa ujumla wao. Ukiona hivi kwenye Ibada, ya J2 ujue kuwa kwenye maombi ya ijumaa iliyopita kuna kitu kilifanikiwa, mhusika anarudisha acknowledgement kwa mapepo waliofanikiwa kuhifadhiwa usiku huo na wanakuwa wako active kwenye Ibada ya J2 hiyo. Huu ni utafiti wa muda mrefu na ana uhakika nao zaidi ya 100%



“OMBI AUTOMATIC” LA MAKOFI

Hili ni ombi ambalo huwa linaunganishwa kwenye sala na mtumishi wa Mungu, sala ambayo inaweza kuwa aidha ni ya kufungua Ibada ya kusifu na kuabudu au ya kufunga Ibada hiyo. Mtumishi anayetoa sala madhababhuni akishafikia hatua anataka kuhitimisha sala hiyo, (lakini bado akiwa anaendelea nayo), automatically anaanza kutamka maneno kama haya “… TWAINUA MIKONO YETU, TWASIMAMA WIMA WIMA MUNGU WETU, TWAKUPIGIA MAKOFI YA SHANGWE………. Hapa mtumishi akishasema tu maneno “TWAKUPIGIA MAKOFI YA SHANGWE” tayari makofi yanakuwa yameshaitika kwa kasi ya ajabu muno, sababu watu wanajua wapo Kanisani kwa ajili ya kumshangilia Mungu, wakati kumbe kuna vingine wanazungukwa pasipo wao kuwa wanajua

Tofauti na yale ya mwanzo, nakofi haya ya aina hii ya pili huwa yana sifa zifuatazo

  • Hupigwa kabla neno “AMINA” (neno kwa ajli ya kuhitimisha sala), halijatamkwa
  • Kwa hiyo neno “AMINA” huwa linakuja kutamkwa baada ya makofi kuwa yameshapigwa tayari
  • Baada ya hapo, hakuna tena makofi yanayopigwa, japo kwa mara chache sana inaweza ikatokea, mtumishi akaomba tena kwa kusema ‘TUMSHANGILIE TENA BWANA YESU” na hivyo makofi mengine hupigwa tena KWA MARA YA PILI, ambayo sasa haya ndiyo yale makofi ya kawaida yasiyokuwa na ila
Kwa hiyo mhusika anachojaribu kusema hapa ni kwamba, wakati wa kuhitimisha sala yoyote ile wakati wa Ibada, makofi ya kawaida ni yale tu yanayopigwa baada ya neno AMINA, na kunakuwa hakuna makofi mengine yaliyotangulia kupigwa kabla ya neno hilo

Hata hivyo kuna kundi jingine la tatu la makofi ambayo bado mhusika anayafanyia utafiti, bado hajajua kama yako kawaida ama la. Haya huombwa kupigwa baada ya mtu mgeni kupita mbele madhabahauni na kumkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake

  • Kawaida mtu akishapita mbele na kuongozwa sala ya Toba, kanisa zima huwa linaombwa pia kumuombea katika muda ule ule ambao anakuwa anaongozwa sala ya toba
  • Mgeni huyu, huongozwa sala hiyo na mtumishi wa Mungu, kwa kutumia kipaza sauti na Kanisa zima huwa linasikia maneno anayoelekezwa atamke
  • Hata hivyo kumeshawahi kujitokeza scenario ambazo mtu anayeongozwa sala ya toba akiwa mbele madhabahuni, kwa sala anayoongozwa kutokusikika na waumini, yaani muongozwa sala na muongozaji wanakuwa wanasikilizana wao wawili tu pale mbele ya madhabahu
  • Pia, wakiwa wanaongozana sala hiyo ya toba, Kanisa linakuwa halijaambiwa kumuombea muongofu mpya, linakuwa liko kimya tu linasubiria wamalizane kwanza
  • Wakishamaliza kuongozana sala hiyo, ndipo sasa Kanisa zima huombwa lisimamame na kushangilia kwa makofi mengi, kwa mantiki kuwa mtu mmoja akiokoka malaika mbinguni hufrahi na hushangilia
Makofi haya ya mtindo huu siyo popular sana, japo na menyewe yana mshikeli, kwamba mwongofu mpya anaongozwa sala ya toba kimyakimya halafu badala ya kanisa kuombwa limuombee kama ilivyo kawaida, linaombwa kusimama na kupiga makofi

Vinginevyo makofi mengine Kanisani ukiondoa haya yaliyotajwa hapa, inaonekana ni ya kawaida na ni kwa ajili ya Utukufu wa Mungu kama ambavyo waumini walio wengi wanakuwa wamekusudia. Kama yapo mengine ambayo yana kasoro, basi kasoro hizo ziko juu ya uwezo wa kirho wa mhusika, na kwa sababu tayari ameshachochea mada, wataalamu zadi lazima watajitokeza na kuendelea kurekebisha pale ambapo pataonekan kuwa yeye bado hana uwezo wa kupafikia



NITARUDI

SEHEMU INAYOFUATA

Neno “UZINZI” kutamkwa wakati wa Ibada na mtumishi wa Mungu kama njia ya kuita mapepo

  • NENO UZINZI KUTAMKWA NA MTUMISHI ESPECIALLY AKIWA AMESIMAMA KWENYE MADHABAHU kwa nia ya kuita mapepo
  • NENO UZINZI LILIVYOTUMIWA NA NABII AKIWA AMEPEWA RIDHAA NA KIONGOZI MKUU, KUSIMAMA KUHUBIRI MADHABAHUNI NA KUTAMKA MANENO YA NGUONI KWA WANAUME WOTE KANISANI HAPO AKISEMA “MNAWAGEUZA NYUMA WAKE ZENU”
  • Watoto walikuwa na wazazi wao siku hiyo kwenye Ibada
  • Wazazi walikuwa na wakwe zao wa kike na wa kiume, kwenye Ibada
  • Wazazi walikuwa na familia zao kwenye Ibada
Hata hivyo, baada ya neno hili UZINZI kuwa decoded, imeonekana kuwa ilikuwa ni secret code ambayo ilibidi kutengenezwe mazingira ambayo ni exaggreted, ili code hiyo ipate uhalali wa kutamkwa mbele ya waumini, na ili iweze kufanya kazi yake kama iliyokuwa imekusudiwa. In fact, uchunguzi ulikuja kubaini kuwa hapakuwa na uzinzi wa aina hiyo kama ilivyokuwa inadaiwa
 
Mtu anaenda kuabudu Mungu lakini haaamini ulinzi wa huyo Mungu kajaaa hofuu tupu moyoni mwakeee......
“tena mtaifahamu kweli, NAYO HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU Yohana 8.32”.
 
Kwani kwa maisha yake ya kawaida... Ana wadhfa gani hadi afuatiliwe kiasi hicho...!??


Sent using Jamii Forums mobile app

Napenda SANA haya mambo...!


.....hapa hakuna 'coincidence' there is something in reality!


NB: "What you know limits your perspectiveness.....!"


Tupe updates...usisahau ku nitag, tafadhali nakuomba, hiki kisa ni kizuri sana!


Cha kusikitisha ni ameshaanza kupoteza tafsiri Kwa 20% ....!

Kwa


Kwa hiyo kwa kifupi wakristo mnahujumiana wenyewe kwa wenyewe. Nimekuelewa

Yeye ana nini mpaka afanyiwe vitu vyote hivyo?

UPDATE: WEDNESDAY 05/05/2020 (NYONGEZA MUHIMU)

UHUSIANO WA NCHI YETU NA MATETEMEKO YANAYOENDELEA KUTOKEA HASA KATIKA KIPINDI HIKI


Mhusika wa taarifa hizi anaomba awarudishe nyuma kidogo kuanzia mwaka 2005

Tanzania ipo kwenye ukanda wa matetemeeko, kutokana na ukweli kwamba baadhi ya sehemu zake ziko ndani ya Bonde la Ufa, likiwemo ziwa Tanganyika. Hata hivyo, kabla ya mwaka 2005 kurudi nyuma, matatemeko makubwa (au hata madogo) na yenye madhara yamekuwa ni nadra sana.

Kwa hiyo kwa ufupi anaomba muangalie matukio haya matatu hapa chini

  • Desemba 2005 lilitokea tetemeko ndani ya Ziwa Tanganyika lenye ukubwa wa 6.8 kwenye kipimo cha Ritcher
  • Mwaka 2012 (April au June) lilitokea tetetemeko likatikisa majengo yote marefu Dar es Salaam na kusababisha taharuki kubwa jijini siku hiyo. Lilitokea ndani ya bahari takriban kilomita 70 kutoka pwani ya Dar es Salaam, na kwenye uelekeo wa Mafia. Hata hivyo, hii ni sehemu ambayo haitarajiwi sana kwa tetemeko kutokea, japo uwezekano pia upo lakini kwa baadhi ya wataalamu waliosomea maswala ya Jiolojia, walidai kuwa “is almost geologically impossible” kwa tetemeko kutokea sehemu hiyo na ilikuwa mara ya kwanza kwa sehemu hiyo kutokea tetemeko katika Historia ya nchi yetu
  • Pia Septemba 2016 lilitokea tetemeko na kusababisha maafa Kagera, na lilitokea kwenye maji ndani ya ziwa Victoria
Yapo pia matetetemeko mengine ambayo yameshatokea na kusababisha madhara pia, tukianzia huo mwaka wa 2005 lakini mhusika angeenda kwa sasa kuyamulika haya matatu tu aliyoyataja hapo juu

Awali ya yote, anapenda kuujulisha umma wa wa-Tanzania kuwa mtaalamu aliyekuwa anasomea haya mambo ya matetemeko, alirudi kutoka masomoni Ulaya mwaka 2003, na matetemeko yote yaliyotokea baada ya 2003, yametokea akiwa tayari yupo kazini.

Ukiyaangalia matetemeko matatu yaliyotajwa hapo juu, utakuta kuwa yana sifa kuu nne zinazofanana, kwamba yote

  • Yametokea kwenye maji (Baharini, Ziwa Tanganyika, Ziwa Victoria)
  • Yametokea kwenye sehemu ambazo kuna uwezekano wa kupatikana Oil na Gas
  • Data za matetemeko hutumika kwa ajili ya utafiti wa Oil na Gas. Kwa hiyo matetemeko haya kutokea sehemu kama hizi, yaliashira pia uwezekano wa kutoa mwanga wa kuweza kujua hilo
Ikumbukwe kuwa kabla ya Serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani, umeme uliokuwa unatiliwa mkazo zaidi ni ule wa Oil na Gas, ukilinganisha na umeme wa maji, na kuna siku niliwahi kumsikia mwanasiasa maarufu akithibitisha kuwa msomi mmoja nadhani Profesa mstaafu kutoka UDSM, aliwahi kufanya utafiti ulioonyesha kuwa haiwezekani kujenga bwawa la kuzalisha umeme wa maji, bwawa ambalo ndiyo linajengwa sasa hivi huko kwa kutumia maji ya mto Rufiji

  • Kwa hiyo inaonyesha KAMA umeme wa maji ulikuwa hautakiwi kuwepo kwa sababu ungeweza kuziba ule wa Oil na Gas
  • Inaonyesha KAMA mpango wa Oil na Gas ulikuwa ni mkakati uliaonza kuandaliwa siku nyingi nyuma, na unaweza ukawa unahusisha wasomi kwenye taasisi maarufu na nyeti, walio bado ofisini muda huu na wengine ambao tayari wanaweza kuwa wameshastaafu kwa sasa
  • Inaonyesha KAMA mpango huu ulikuwa na wafadhili wenye uwezo wa kutoa pesa nyingi kwa ajili ya utafiti wa Oil na Gas, pesa ambazo zisingepatikana just in case Tanzania wange-opt kuzalisha umeme wa maji kabla
MAELEZO MAFUPI NAMNA AMBAVYO DATA ZA MATETEMEKO HUTUMIKA KWENYE UTAFITI WA OIL NA GAS

Kwa waliosoma Fizikia, mawimbi yanayosababishwa na tetemeko, husafiri ardhini na kupita kwenye miamba, kwa kufuata kanuni za namna mwanga ambavyo huwa unasafiri kwenye kitu chchote kile. Kawaida mwanga:

  • Husafiri kwenye mstari ulioonyooka, pale unapokuwa unasafiri ndani ya kitu husika (media)
  • Huakisiwa (reflected) na au /husharabiwa (refracted) pindi unapokuwa unasafiri kutoka kwenye media moja na kuingia kwenye media nyingine tofauti
  • Mwanga unaposharabiwa na media fulani, media hiyo inaweza kujulikana ni kitu gani, kwa kutumia kanuni ya refractive index. Refractive index ya mwanga inajulikana na hivyo chochote kile kinacchoweza kuusharabu mwanga, refractive index yake lazima nayo ijulikane pia, na ikishajulikana, lazima kitu hicho kijulikane ni nini
Tukirudi sasa kwenye mada yetu, mawimbi ya matetemeko nayo vilevile husharabiwa na media iliyoko ardhini, pindi yanapokuwa yanasafiri ardhini, na yakishasharabiwa, kitu kilichoyasharabu lazima kijulikane ni nini, na hivyo kama yamepita sehemu ambapo kuna Oil au Gas, watafiti sasa wanaweza kujua kuwa hapa kuna Oil na au Gas. Kwa hiyo nadharia rahisi kabisa ya uhusiano uliopo kati ya matetemeko na utafiti wa oil na gas, iko namna hiyo

Kwa mantiki hiyo basi, unahitaji uwe umepima matetemeko kwanza sehemu yako ya utafiti wa Oil na Gas halafu ndiyo uweze kujua kama ipo ama la. Kama sehemu ambayo unahitaji kufanya utafiti huo haina matetemeko ya asili ambayo yameshawahi kutokea na yakapimwa, njia pekee unayoweza kutumia ni kusababisha tetemeko, yaani unatengeneza tetemeko la kibinadamu

HYPOTHESIS ALIZONAZO MHUSIKA WA TUKIO HILI KUHUSIANA NA MATETEMEKO MATATU ALIYOYATAJA HAPO JUU

  • Inaonyesha KAMA matetemeko aliyoyataja hapo juu ( na si hayo tu, yanaweza kuwepo na mengine pia), yalikuwa ni ya kutengeneza (hayakuwa ya asili), kwa ajili ya utafiti wa Oil na Gas
  • Inaonyesha KAMA mhusika alijikuta kwa bahati mbaya akiwa miongoni mwa wahusika wa mtandao huo ambao ulikuwa ni wa siri, lakini mtandao huo ukawa umeshindwa namna ya kumchuka ili awe mmoja wao, ili aweze kutunza siri kama kuna chochote cha ajabu kinaweza kutokea huko mbele ya safari. Kwa mfano, makosa yangefanyika kwa tetemeko lile lililotokea baharini na kusababisha maghorofa kutikisika jinni Dar es salaam. Tuseme tetemeko hili lingeangusha baadhi ya majengo makubwa jijini Dar es salaam na kuua maelfu ya watu! Alitakiwa awe mmoja wao ili aweze kutunza siri kama hizi!
  • Baada mtandao huu kuona kuwa hauna namna ambayo unaweza ukamfanya akawa mmoja wao, ndiyo vikaanza sasa vitimbi hivyo, network ikawa imesukwa kuanzia ofisini, nyumbani anapoishi, Kanisani na sehemu zingine zote ambazo huwa anatokea kuwepo.
  • Uhakika mkubwa kabisa alionao ni kuwa kiini cha mtandao huo kilianzia ofisini
  • Kanisani sasa nako kukatafutwa watumishi wale amabao wapo kwa ajili ya MBESA TU, WACHUMIA MATUMBO, na kukawa na mwitikio mzuri tu na ndiyo sasa ilipofika kipindi hiki cha Corona, zikaanza kutumika mbinu mpya kwa kutumia ubunifu wa Sanitizer.
Unfortunately kumbe tayari alishachoka sana na upumbavu huu, kwa hiyo akasema ENOUGH IS ENOUGH, akasema sasa safari hii come sun come rain, public lazima ijue ni nini kilichoko nyuma ya pazia

ANADHANI SASA KWA MAELEZO HAYA MAFUPI, MNAWEZA KUENDELEA NAYE PASIPO MASWALI MENGI KICHWANI. Maana watu wamekuwa wakiulza maswali sana.

HATA HIVYO BADO ANAKARIBISHA SANA MASWALI TENA KWA WINGI KWA WALE AMBAO WANAYO

Muhimu tu anachopenda kuwausia wa-Tanzania ni kuwa inabdi wawe waelewa, na wenye kupima mambo kwa jicho hata la kumi, kama inawezekana. You can just imagine “a mere layman” kama huyu bwana anakumbana na mambo kama haya, ije iwe mtu ambaye mmemkabidhi Nchi na anamiliki vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Nchi yenu? Mtu anapowaambia kuwa DIESEL imetest POSITIVE kwa Covid-19 inabidi muelewe!

Kumbukeni kuwa huyu bwana anachowakilisha kwenu kwa sas bado ni HYPOTHESIS, ila na nyie mtazipima na kuona kama kweli hizi bado ni hypothesis tu au pengine you at least need to ratify them to a single, unified theory

ATARUDI KWA AJILI YA KUENDELEA NA MADA ILIYOPO HEWANI SIKU ZOTE.
 
UPDATE NO 2: WEDNESDAY 05/05/2020

NENO UZINZI KUTUMIKA KAMA SECRET CODE YA KUITA MAPEPO


Kuna scenerios kama tatu au nne hivi zinazothibitisha hili

  • Neno hili lilitokea kutawala matukio kwa karibia mwaka mzima, mwanzilishi wake akiwa ni kiongozi yule ambaye anasemekana kuwa ndiye mhusika wa manunuzi ya Sanitizer
  • Akiwa ametoka safari kwenye mikutano ya Injili, alisimama madhabahuni na kuanza kuhubiri kuhusiana na uzinzi
  • Mwishoni mwa Ibada alitoa wito kwa wale wote ambao ni wazinzi wapite mbele madhabahuni kwa ajili ya msaada
  • Pia alitoa wito kwa wale ambao wamekuwa wakipatwa na tatizo la kufanya mapenzi wakiwa usingizini/ ndotoni nao wapiti mbele
  • Kosa pekee alilofanya siku hiyo ya kwanza, akiwa anaendelea na mahubiri yake alipitiwa akatamka maneno haya (siyo exact quote, ya kile alichosema) kuhusiana na wale ambao wamekuwa wakiwa na tatizo la kufanya mapenzi usingizini. “Wakati mwingine jitu liko usingizini linafanywishwa mapenzi hadi linafikia hatua ya kupiga kelele,……., Mungu atusaidie sana wapendwa”
  • Statement hii ilitoa taswira kuwa kumbe wanaofanyishwa mapenzi usingizini, kwake ni majitu, na si kwamba ni watu ambao anawaonea huruma yeye kama mtumishi wa Mungu
  • Ilitoa picha pia KAMA waathirika wa kufanyishwa mapenzi usingizini ni maadui zake
  • Kosa la pili lililofanyika ni kuwa baada ya wahusika kuitwa madhabahuni, binti mkubwa wa kike wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa, pamoja na binti wa kike wa kiongozi aliyekuwa anahubiri, nao pia walipita wakiwa mojawapo ya wahusika/ waathirika
  • Kosa la tatu, kati ya waliopita pale mbele madhabahuni, zaidi ya asilimia 90 zilikuwa ni sura ngeni kabisa, wengi wao wakiwa watoto ambao ni teenagers! Teenagers wenyeji kawaida huwa wanakuwa wako sehemu yao kwenye Ibada yao, huwa hawachangayikani na wakubwa. Cha kushangaza siku hiyo kulikuwa na utitiri wa teenagers wengi sana pamoja na sura zingine mpya kabisa kanisani hapo
  • Mhusika anadai kuwa hapa watu ianbidi wakubaliane na fact hii kwamba: sura ngeni ambayo mtu hajawahi kuzoea kuiona mahali pa mkusanyiko wa watu wengi ambapo yeye ni mwenyeji siku zote, lakini sura hiyo nayo ipo pale siku zote sema tu hajazoea kuiona kwa sababu ya uwingi wa watu, INA MUONEKANO TOFAUTI USONI, ukilinganisha na sura ngeni ambayo yenyewe imevamia mahali pale kwa siku hiyo tu, kwa kuamini kuwa haiwezi kujulikana kuwa ni sura ngeni pale kwa sababu ya uwepo wa watu wengi. Hawa watu wawili mionekano yao usoni huwa iko tofauti.
  • Kwa maana nyingine ni kuwa sura ngeni ambayo huwa inafika kwenye Ibada kila j2 ila kwa bahati mbaya tu hamjatokea kufahamiana, ina muonekano tofauti sana na sura nyingine ngeni kabisa ambayo inaweza kuwa imefika kanisani hapo kwa mara ya kwanza, au ambayo huwa inahudhuria Kanisani hapo mara chache sana na kwa matukio maalum tu. Hawa watu wawili kwa mtu anayejua kuangalia nyuso za watu kisaikolojia anaweza kuwatofautisha kirahisi tu
  • Kwa hiyo ilionyesha wazi kabisa siku hiyo kulikuwa na wageni waliokuwa wamealikwa kwa ajili ya kuja kupita mbele ya madhabahu, na sura zao zilikuwa zinasema hilo kuwa ni wageni pale na ambao huwa hawafiki pale mara kwa mara au walikuwa wamefika pale siku hiyo kwa mara ya kwanza
  • Wakati haya yanafayika siku hiyo, kiongozi mkuu alikuwa tayari ana wiki kdhaa bila kupanda madhabahuni, yaani alikuwepo pale kanisani ila hakuwa akipanda madhabahuni kwa ajili ya kuhubiri
  • Baada ya J2 hiyo kupita, IMMEDIATELY J2 ILIYOFUATA, Kiongozi Mkuu alirudi tena madhabahuni na kuanza kuhubiri tena
Baada ya wiki kadhaa tena kupita

  • Ikatokea tena kiongozi mkuu akapotea madhabahuni, yaani akawa hapandi madhabahuni kutoa huduma
  • Akatokea tena mhubiri yuleyule na akiwa amerudi kutoka safari ile ile ya kwenye mkutano wa Injili
  • Mahubiri yaleyale ya uzinzi na kufanya mapenzi ndotoni
  • Wahusika wale wale waliopita madhabahuni, sura nyingi ngeni za teenagers pamoja na baadhi za watu wazima na binti yake mhubiri akiwa tena mmojawao
  • Tofauti ni kuwa sfari hii binti wa kiongozi mkuu hakujitokeza, na hakuwahi kujitokeza tena kwa safari zote zilizofuata
Maswali yakawa yanaanza ku-click kichwani kwamba hawa mabiinti wa viongozi, hata kama kweli ni wazinzi, wanashindwa kuwa na aibu kwamba kila siku mzazi wao anasimama madhabahuni kuita wazinzi na wao wanajitokeza bila aibu? Sababu kuu zilizosababisha mhusika ajiulize maswali haya ni kama ifuatavyo

  • MOSI: Binti ambaye ni mzinzi lakini ambaye wazazi wake ni watumishi wa Mungu, lazima awe na tabia ya kujificha ficha kuanzia kwa mtu mmoja mmoja hadi kikundi, na hivyo ni ngumu sana kwa mtu kama huyo kushindwa kujificha hasa akiwa kwenye kundi la watu wengi kama Kanisa zima. Hawa mabinti kama kweli walikuwa wazinzi, lazima wangetafuta namna ya kukwepa kuonekana mbele ya madhabahu.
  • PILI: Baadaye ilikuja kuonyesha KAMA hawa watoto walikuwa na ujasiri wa kupita mbele bila aibu kwa sababu walijua hawako hivyo na walipita kwa ajli ya kitu kingine ambacho wao walikuwa tayari wanakijua, ambacho siyo uzinzi
Ilionyesha wazi kuwa kama hawa mabinti kweli wangekuwa ni wazinzi, wasingekuwa na courage hiyo ya kupita mbele ya umati wa kanisa, baba yao akiwa ni mtoa wito. Mhusika alibaki mdomo wazi akijiuliza kuwa labda pengine wanapata mashambulio ya kufanya mapenzi ndotoni, lakini hilo nalo baadaye akaliondoa, kwa sababu mhubiri tayari alishaponda wale wanaofanyishwa mapenzi ndotoni, ingekuwa hivyo kwa binti yake angekuwa na huruma. Kwa hiyo hatimaye picha aliyokuja kuipata mhusika na ikakubalika ni kuwa hawa watu walikuwa upande ule wa wazinzi.

  • Baada ya J2 hiyo kupita tena, IMMEDIATELY J2 ILIYOFUATA, Kiongozi Mkuu alirudi tena madhabahuni kwa ajli ya mahubiri
Matukio haya yakapita na wiki kadhaa zikapita tena. Lakini mpaka hapa kukawa tayari kumeshaanza kujionyesha pattern kama ifuatavyo

  • Inaanza na kiongozi mkuu kupotea madhabahuni kwanza, kwa angalau wiki 2-3
  • Kiongozi mkuu akishapotea, hatimaye anakuja kiongozi mwingine anapanda madhabahuni akiwa ametokea kwenye mikutano ya injili
  • Kiongozi huyu anahubiri kuhusu uzinzi na mwishoni anatoa wito wa waumini kupita mbele, wale ambao ni wazinzi pamoja na wanaosumbuliwa na tatizo la kufanya mapenzi wakiwa usingizini
  • Baada ya J2 hiyo, IMMEDITELY J2 INAYOFUATA Kiongozi Mkuu anarejea tena madhabahuni
Kwa hiyo inaonyesha wazi kabisa kuwa:

  • Kila J2 aliyopanda madhabahuni mhubiri wa uzinzi, J2 ya nyuma yake, pamoja na J2 zingine kadhaa nyuma ya hiyo, mhubiri wake HAKUWA Kiongozi Mkuu; lakini
  • Kila J2 aliyopanda madhabahuni mhubiri wa uzinzi, J2 iliyofuata mbele yake na pengine na J2 zingine kadhaa mbele ya hiyo, mhubiri wake ALIKUWA Kiongozi Mkuu
Mhusika anapenda kutoa challenge kwa Kiongozi Mkuu kama anaweza kukanusha hili

  • Baadaye ikatokea tena kiongozi mkuu akapotea madhabahuni, safari hii kwa mara ya tatu sasa
  • Hata hivyo, safari kukawa na mabadiliko kidogo, katikati ya wiki kabla ya J2 ya Ibada
  • Ikatokea siku ya J5 ya mafundisho ya maandiko matakatifu, Nabii wa Kike akatoa unabii wakati somo bado halijaanza, waumini walikuwa bado wako kwenye Ibada ya kusifu na kuabdudu
Unabii wake ulihusu mambo mawili yafuatayo, kulingana na mpangilio wa namna nabii mwenyewe alivyoyataja:

  • Ibada za sanamu- watu wanafanya Ibada hizo
  • Uzinzi na uasherati
Baada ya hapo, kiongozi mkuu akasimama na kubadilisha program ya siku hiyo kutoka kuwa mafundisho na kuwa maombi, akisisitiza kuwa nabii ametaja jambo zito la uzinzi na uasherati, watu wakemee hilo. BAHATI MBAYA KIONGOZI MKUU AKAWA AMELISAHAU LILE LA IBADA ZA SANAMU, HAKULITAJA. Kwa hiyo kwa J5 hiyo waumini wakajikita kwenye swala la kukemea pepo la uzinzi na uasherati

Kwa hiyo hapa utaona kuwa

  • J5 ya mafundisho iligeuka na kuwa ya maombi
  • Nabii alianza kwa kutoa unabii wa Ibada za sanamu na hatimaye uzinzi
  • Kiongozi mkuu yeye akakamata kwenye uzinzi na kubadilisha Ibada kuwa ya maombi na si mafundisho tena
  • Kiongozi mkuu akang’ang’ania hoja ya uzinzi, ibada ya sanamu akaiweka pembeni
  • Jumapili iliyofuata nabii akapewa madhababhu kuhubiri juu ya unabii alioutoa J5 ya wiki hiyo
  • Nabii akaogopa kupanda madhabahuni alitaka ahubiri akiwa amesimama chini lakini watu wakamlazimisha apande juu
  • Nabii naye akajikita kwenye uzinzi, NAYE AKASAHAU TENA UJUMBE WAKE JUU YA IBADA ZA SANAMU
NITARUDI
 
UPDATE TUESDAY 12 MAY 2020

MAHUBIRI YA NABII KUHUSU UZINZI, KWENYE IBADA YA J2 ILIYOFUATIA J5


  • Nabii alisimama madhabahuni siku hiyo kwa ridhaa ya Kiongozi Mkuu. Akatamka maneno makali/ matusi kwa wanaume wote kanisani pale akiwaambia MNAWAGEUZA NYUMA WAKE ZENU”, ‘mbele ya waumini wote wakiwa na watoto, na wengine wakiwa na wakwe zao
  • Jioni ya J2 hiyo tena wasio kwenye ndoa wote wakakusanywa kwa maelekezo ya kiogozi mkuu
  • Kanisa lilikaribia kujaa hasa vijana, hali iliyoonyesha wazi kabisa kuwa kuna watu wengine wageni walikuwa wamepewa signal ya kuhudhuria kusanyiko hilo, ambao si washiriki wa Kanisa la hilo
  • Kanisa lilifurika na mahubiri yakawa ni yale yale ya uzinzi, likaongezewa kidogo na swala la wizi wa Zaka.
  • Wahusika walitakiwa kupita mbele madhabahuni na hatimaye Ibada hiyo ilihitimishwa na Kiongozi Mkuu akilalamika kuwa waliopita mbele si wote, isipokuwa kuna wengine wameamua kujificha
  • Huwa anafurahi zaidi wakipatikana watuhumiwa wengi wa kupita mbele ya madhabahu, hilo kabisa huwa halimsikitishi bali humpa furaha sana
Mpaka hapa mhusika wa tukio akawa amepata kitu kingine cha nyongeza kwamba haikuwa secret code tu ya neno uzinzi ambayo effect yake iklikuwa imekusudiwa kufanya kazi kupitia kusanyiko hilo, isipokuwa pia kitendo cha watu kupita mbele ya madhabahu nacho pia kilikuwa na mchango wake. Watu hawa walivyokuwa wanapita mbele, kulikuwa na kitu cha kiroho pia kilikuwa kinafanyika kwenye sehemu ya sakafu ile iliyoko mele ya madhabahu, ambapo watu hawa walikuwa wanakwenda kujipanga na kukanyaga kwa miguu yao pale. Yaani kuna watu ambao miguu yao ilikuwa inatakiwa ikanyage kwenye sakafu hiyo iliyoko mbele ya madhabahu hiyo, na hicho kitendo kilikuwa na maana yake kubwa

Baada ya hapo, wiki kadhaa zilipita tena na mtumishi mwingine alitumwa kusimama madhabahuni kwa ajili yak u-arrest roho ya uchawi na uzinzi Kanisani hapo. Kikubwa kingine alichofanya mtumishi huyo siku hiyo ni kitendo cha kukiri kuwa KUNA UCHAWI UNAENDELEA KANISANI HAPO KWA KIWANGO CHA HALI YA JUU SANA, na siku hiyo aliiita watu wapite mbele wakiwemo wachawi na wazinzi

Mpaka hapa, mhusika anazidi kutoa hoja kuwa hata kama kweli hoja ya uzinzi ilikuwa ni genuine, inaonekana kuwa ilikuwa exaggregretd ili ku-save kusudi jingine tofauti na hoja yenyewe. Hii ni kwa sababu mtindo uliokuwa unatumika katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo, haukuwa muafaka. Ulikuwa ni mtindo wa zimamoto na usiojali kuchambua wahusika halisi na wasiokuwa wahuiska. Hii inamaanisha kuwa assuming kweli uzinzi ulikuwepo, bado kilichokuwa kinafanyika hakikuwa na mlengo wa kutatua tatizo hilo.

TANGAZO LA KUFUKUZWA USHIRIKA MTU ALIYEKUWA AMEBADILISHA IMANI (AKAHAMIA DINI NYINGINE) NA KUFUNGA NDOA HALALI, KWA KUDAIWA KUWA NI MZINZI

Baada ya hapo, ilipita miezi kadhaa, ikatokea tena Kiongozi Mkuu akasimama madhabahuni kutangaza tangazo ambalo lilikuwa na utata ambao haukuhitaji mtu makini sana kuweza kuuona. Kiongozi huyu alisismama madhabahuni J2 moja na kutangaza kuwa amemtenga binti ambaye alikuwa muumini wake lakini amebadilisha imani na kufunga ndoa na mwanamme wa dini nyingine. Hili nalo tayari likawa ni tatizo kwa sababu mtu aliyebadilisha imani hakustahili kutangazwa kuwa ni mzinzi kwa sababu hakuwa tena kondoo wa zizini kwa kiongozi huyu

Mpaka hapa, hali bado inazidi kudhihirisha kuwa kulikuwa na “specially vetssed interest” kwenye issue hii ya neno uzinzi kwa sababu kiongozi huyu:

  • alianza tena ku-cross-cut na kuingia kwenye dini nyingine na kuepeleka mamlaka yake huko
  • angekuwa yuko sahihi tu kama angechukua hatua za kumtenga binti huyu wakati akiwa kwenye mahusiano na mwanamme wake NA KABLA HAJABADILISHA IMANI WALA KUFUNGA NDOA
  • kwa kipindi hicho, hakustahili tena kumgusa kwa lolote binti huyu. Ni kwa sababu alikuwa tayari ameshabadilisha inani, na zaidi kwamba, alikuwa tayari yuko KWENYE NDOA HALALI kupitia dini nyingine. Kwa hiyo iwe ni kwa itikadi za kanisa lolote lile, au dini yoyote ile, binti huyu hakuwa mzinzi kwa sababu tayari alikuwa kwenye mahusiano ya ndoa halali na kwa kufuata taratibu za dini ya kule alikokuwa amehamia
Mpaka hapa, inaonyesha KAMA kiongozi mkuu alikuwa anatafuta kila namna ya kupata nafasi ya kuhalalisha neno uzinzi na kulitamka akiwa amesimama madhabahuni.

Pia kitu kingine cha msingi kuangalia hapa ni kuwa kwa sababu Kanisani hapo huwa kuna mambo mengi sana ya ajabu ajabu yanaendelea, kuna uwezekano pia kuwa binti huyu alikuwa amenunuliwa na alijua kuwa tukio hilo litatokea. Vinginevyo kama haikuwa hivyo, basi nadhani atakuwa hata alishachukua uamuzi wa kwenda mahakamani, kama siyo kusamehe



NENO “JEINGO JIPYA” NALO KUTUMIKA PIA KAMA SECRET CODE

Utafiti umekuwa ukiendelea ambao mpaka mda huu, umethibitisha kuwa mbali na neno hili “JEINGO JIPYA” kutumika kama mlango wa kuruhusu mapepo waweze kuweka makazi yao kwenye “KANISA JIPYA”, neno hili pia limekuwa likitumika kama “SECRET CODE” ya kuita mapepo, na hiyvyo limekuwa likitumika DOUBLY.

Tukirudi nyuma kidogo, utafiti wa mhusika umeonyesha pasipo shaka kabisa kuwa ili neno liweze ku-qualify kama secret code, lazima liwe na sifa kuu mbili. Ni lazima liwe na tabia ya kutamkwa tamkwa mara kwa mara na watumishi wa Mungu:

  • wakiwa (mara nyingi, japo si zote) wamesimama madhabahuni
  • kwa kutumia sababu ambazo ni za kutengeneza na ambazo hazina ulazima sana wa kulifanya neno hilo liendelee kukaa linatamkwa tamkwa
Tukirudi sasa kwenye neno hili “JENGO JIPYA’ tunaona tena kwamba:

  • ni neno ambalo lilitakiwa liwe linatamkwa “KANISA JIPYA’ lakini kwa makusudi limekuwa likitamkwa “JENGO JIPYA’
  • Ni neno ambalo angalau kila J2 lazima litamkwe na mtumishi wa Mungu akiwa amesimama madhabahuni
  • hutamkwa wakati watumishi wa Mungu wanapokuwa wanatoa matangazo; matangazo ambayo baadhi yake huwa ni mahitaji ya watu ambao ni wahitaji na wanahitjai Kanisa liwaombee
  • Kwenye mchakato huo wa kuombea wahitaji, badala ya Kanisa zima kuombea mahitaji yote kwa ujumla wake, kiongozi mhusika huamua kutengeneza makundi ya waumini kwa ajili ya kuombea mahitaji hayo (kitu ambacho siyo lazima na ambacho huwa hakileti tofauti yoyote) kulingana na mpangilio wa namna walivyokaa waumini Kanisani hapo
  • Kwa hiyo kiongozi huyo hulazimika kutamka maneno kwa mojawapo ya makundi aliyoyatengeneza akisema kwa mfano “waliokaa kushoto kwangu pamoja na walioko JENGO JIPYA, tutaomba kwa ajili ya……..”
  • Mtindo huu huwa unafanyika kila J2, na neno hili huwa linatamkwa kila j2, mwaka mzima
Inaonyesha wazi kabisa KAMA neno hili “JENGO JIPYA“ lilishatengenezewa mazingira ya kutamkwa tamkwa na watumishi wakiwa wamesimama madhabahuni, na kwa kutumia sababu ambazo hazina ulazima wowote wa neno hilo kukaa linatamkwa tamkwa, na hivyo linatumika kama secret code. Hii ni kwa sababu maombi ya wahitaji yangeweza kuwa yanatajwa tu halafu kanisa zima kwa ujumla wake linaingia kwenye kuyaombea pasipo kuwa limegawanywa gawanywa kwenye makundi



NENO UZINZI LAIBUKA TENA HIVI KARIBUNI KWENYE IBADA YA JIONI J5 YA TAREHE 15/04/2020

J5 ya tarehe 15/04/2020 ilikuwa ni siku ya kwanza tangu mwaka huu wa 2020 uanze, kwa Ibada ya mafundisho ya maandiko matakatifu kufanyika; na kwa mara ya kwanza Ibada hii ilifanyika kwa majibizano/ majadiliano, badala ya ilivyo kawaida siku zote, ya mtumishi mmoja kusimama na kufundisha somo wengine wakiwa ni wasikilizaji. Hata hivyo, baada ya utaratibu wa siku hiyo kuwa umetangazwa kabla ya mafundisho kuanza, mhusika wa taarifa hizi alitarajia kuwa lazima neno uzinzi litapata nafasi ya kutamkwa kwenye Ibada hiyo, na hasa baada ya kumuona mhubiri wa Ibada za uzinzi, akiwa miongoni mwa washiriki wa somo la siku hiyo

  • Ibada ilianza kwa majabdiliano. Kwa kuanzia waumini wa kawaida wakikaribishwa kuchangia kwanza halafu kule mwiashoni, wakapewa nafasi viongozi
  • Karibia mwisho wa Ibada, mhubiri wa uzinzi alikaribishwa na katika mchango wake, kweli alitamka neno uzinzi, sawia kabisa na matarjio ya mhusika wa taarifa hizi.
Labda kwa kukumbushia tena kwa kifupi tu kuhusu mtumishi huyu ni kwamba, ndiyo yule:

  • aliyesemekana kuwa ndiye mnunuzi wa sanitizer
  • ambaye mhusika wa taarifa hizi aligongana naye kwenye bomba la maji kunawa siku ya tukio la sanitizer
  • Binti yake walipishana uchochoroni na mhusika wa tukio hili siku ya tukio la Sanitizer na binti huyu ndiyo yule ambaye amekuwa kinara wa kupita mbele ya madhabahu pindi wazinzi wanapotakiwa kupita mbele, kwa j2 zote ambazo mahubiri ya uzinzi yamekuwa yakifanyika
NITARUDI
 
Kwa

Kwa hiyo kwa kifupi wakristo mnahujumiana wenyewe kwa wenyewe. Nimekuelewa

Kwa aliyefanikiwa kufuatilia uzi huu kwa makini, mpaka muda atagundua kuwa mtu mmoja maarufu (RIP) hapa nchini ambaye alikuwa anapenda sana kuwekeza kwenye Oil na Gas lakini akawa anakumbana na vigingi, alikumbana na vigingi hivyo kwa sababu hakutakiwa kujua nini kilichokuwa nyuma yake. Kwa sababu kama angeruhusiwa, ingebidi apewe data kwa ajili ya utafiti huo, na kwa hali hiyo angelazimika kujua namna data hizo zinavyopatikana, kitu ambacho ndiyo alitakiwa asikijue. Kwa hiyo kilichotokea baada ya hapo ni dhihaka ya kuambiwa akawekeze kwenye juice na matunda na kwamba data hizo ni expensive muno hana uwezo wa kumudu kuzinunua, wakati data hizo ni za bure kwa wawekezaji wazawa, tunazo na mtu akizihitaji kwa kufuata utaratibu unaokubalika na kwa ridhaa ya Serikali, hata leo anazipata

Zaidi ni kuwa Wana Siasa wote waliokuwa wakipinga na wanaoendelea kupinga mradi wa umeme wa maji, walikuwa kwenye kundi hili la Oil and Gas ambalo limekuwa liki-simulate matetemeko. Wanachofanya ni ku-simulate matetemeko ili waweze kupata data za kuwa-convince wenye pesa kwamba data za Oil na Gas zipo, lakini pia kui-convince Serikali kwamba tuko kwenye ukanda wa matetemeko ili iweze kutoa back-up katika jitihada za utafiti wa matetemeko.

Halafu eti kuna watu kila siku humu wanawalalamikia TISS hawafanyi kazi; sijui wanataka wawe wanatoa press release ndiyo waridhike kuwa wanafanya kazi? Nahisi siku wakikosea wakafanya hivyo, kuna watu wanaweza wakatamani kuhamia Sayari ya Mars!
 
Kwa aliyefanikiwa kufuatilia uzi huu kwa makini, mpaka muda atagundua kuwa mtu mmoja maarufu (RIP) hapa nchini ambaye alikuwa anapenda sana kuwekeza kwenye Oil na Gas lakini akawa anakumbana na vigingi, alikumbana na vigingi hivyo kwa sababu hakutakiwa kujua nini kilichokuwa nyuma yake. Kwa sababu kama angeruhusiwa, ingebidi apewe data kwa ajili ya utafiti huo, na kwa hali hiyo angelazimika kujua namna data hizo zinavyopatikana, kitu ambacho ndiyo alitakiwa asikijue. Kwa hiyo kilichotokea baada ya hapo ni dhihaka ya kuambiwa akawekeze kwenye juice na matunda na kwamba data hizo ni expensive muno hana uwezo wa kumudu kuzinunua, wakati data hizo ni za bure kwa wawekezaji wazawa, tunazo na mtu akizihitaji kwa kufuata utaratibu unaokubalika na kwa ridhaa ya Serikali, hata leo anazipata

Zaidi ni kuwa Wana Siasa wote waliokuwa wakipinga na wanaoendelea kupinga mradi wa umeme wa maji, walikuwa kwenye kundi hili la Oil and Gas ambalo limekuwa liki-simulate matetemeko. Wanachofanya ni ku-simulate matetemeko ili waweze kupata data za kuwa-convince wenye pesa kwamba data za Oil na Gas zipo, lakini pia kui-convince Serikali kwamba tuko kwenye ukanda wa matetemeko ili iweze kutoa back-up katika jitihada za utafiti wa matetemeko.

Halafu eti kuna watu kila siku humu wanawalalamikia TISS hawafanyi kazi; sijui wanataka wawe wanatoa press release ndiyo waridhike kuwa wanafanya kazi? Nahisi siku wakikosea wakafanya hivyo, kuna watu wanaweza wakatamani kuhamia Sayari ya Mars!
Unamaanisha TISS hii hii iliyojaa mataahira kutoka UVCCM au nyingine?

Kwa sasa hakuna kitu hapa Tz.
 
UPDATE: THURSDAY 14/05/2020

WANAUME WAOMBWA KUKUSANYIKA KWA DHARURA J2 ILIYOFUATA; BAADA YA ILE YA MAHUBIRI YA NABII

  • Wanaume wote waliombwa kukusanyika kwa muda, mara baada ya Ibada ya kwanza kuisha
  • Ilikuwa ni katika muda ambao huwa linafanyika somo la uanafunzi na maandiko, lakini siku hiyo halikuwepo
  • Wanawake na watu wengine wasiokuwa katika rika linalohusika, waliombwa kukaa mbali ili wasisikie kile kitakachojiri katika mazungumzo hayo
  • Mwenyekiti wa chama cha wanaume alisimama kwa ajili ya kukaribisha ushuhuda wa namna jinsi wanaume WALIVYOBARIKIWA NA UJUMBE WA NABII JUMAPILI ILIYOPITA, YAANU ULIOHUSU UZINZI
  • Alichangia mtu mmoja tu ambaye alionyesha kusikitishwa sana na ujumbe huo NAMNA ulivotolewa pasipo kuzingatia maadili, akionyesha kuwa hakuwa na tatizo na UJUMBE, bali alikuwa na tatizo na nama ujumbe ulivytolewa.
  • Baada ya mtu huyo mmoja kuchangia, maongezi yaliishia pale
KERO YA KUTOKUWA NA SIKU MAALUMU KWA AJILI YA KUSANYIKO LA WANAUME KANISANI HAPO, TOFAUTI NA ILIVYO KWA MAKANISA MENGINE

  • Mhusika anadhani kuwa nyumba hii ya Ibada ni kanisa pekee (kwa makanisa ya aina hii) ambalo wanaume hawana siku yao ya kukusanyika kwa ajili ya Ibada
  • Makanisa mengine ya aina hii, yana siku maalum katikati ya wiki kwa ajli ya wanaume kukusanyika na kufanya Ibada yao muda wa jioni
  • Kwa hiyo wanaume ni kundi pekee Kanisani hapo, ambalo halina siku maalum ya kukusanyika katikati ya wiki kwa ajlii ya Ibada. Makundi mengine yote yanazo siku kwa ajli ya Ibada za jioni katikati ya wiki
  • Mpaka hapa, inaonyesha KAMA kiongozi mkuu ameamua kwa makusudi kuzuia wanaume kuwa na siku yao ya Ibada, kuepuka uwepo wa mikusanyiko ya wanaume Kanisani hapo kwa sababu ni watu pekee ambao wakishakuwa pamoja, wana uwezekano mkubwa wa kuwa wanabadilishana mawazo pamoja na kujadil maswala mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuhoji kama wataona kuna chochote ambacho kinaonekana kutokwenda sawa Kanisani hapo


KIKAO KINGINE CHA DHARURA CHA WANAUME KILICHOFANYIKA HIVI KARIBUNI TAREHE 26/04/2020

  • Tangazo la kikao hicho baada ya kutolewa na kiongozi mhsika, liliongezewa msisitizo na Kiongozi Mkuu kwamba wanaume wote wanatakiwa wakusanyike mara baada ya Ibada ya kwanza
  • Tofauti na kusanyiko nilililotaja hapo juu ambalo lenyewe alifanikiwa kuhudhuria kiongozi mmoja tu ukiondoa mwenyekiti wa wanaume, hili la sasa lilihudhuriwa na viongozi kadhaa akiwemo Kiongozi Mkuu na mwenyekiti pia
  • Kusanyiko hili lilifanyika katika mazingira sawa kabisa na ya lile la mwanzo ambalo mhusika amelielezea hapo juu
  • Mwenyekiti wa chama cha wanaume alisimama tena na kabla hajaanza kueleza ajenda ya kusanyiko, alianza kwa kurusha lawama nyingi sana kwa wanaume, kama siyo kuwafokea, akidai kuwa ni wazembe, hawa-respond kwenye utekelezaji wa program mbalimbali kanisani hapo pindi wanapokuwa wameitwa
  • Hoja hii haikuwa kweli kwa sababu kama nilivyotaja hapo juu, wanaume hawajatengewa siku yao kwa ajli ya Ibada na hivyo kama kweli ipo siku waliitwa na hawakuonekana, ni kwa sababu wanajua kuwa chama chao kinaendeshwa kisiasa, kwa hiyo watakuwa waliona ni ujinga
  • Kwa hiyo chama hiki cha wanaume, kinaoknekana KAMA kipo si kwa ajli ya IBADA, isipokuwa kwa ajili ya michango mbalimbali ya fedha pindi zinapokuwa zinahitajika, pamoja na kusherehekea sikukuu ya wanaume ambayo huwa inafanyika mara moja kwa mwaka
Vikao vyote hivi vya wanaume, vilikuwa ni vya dharura

MWANDISHI ATARUDI TENA
 
Uko vizuri kwenye kuandika.

UPDATE NO 2: THURSDAY 14/05/2020

Kikao cha dharura cha wanaume kilichofanyika hivi karibuni kinaonekana kugongana sawia kabisa na mambo mawili makubwa

  • Kilifanyika J2 iliyofuatia ile ya mgogoro wa Sanitizer
  • Klilifanyika katika wiki ambayo J3 ya wiki hiyo, mhusika wa taarifa hizi aliamua kuanza kutoa rasmi taarifa za matendo anayofanyiwa yasiyomridhisha na mengine pia yanayoendelea Kanisani hapo, kupitia mtandao huu
Kwa hiyo ukizingatia mambo hayo mawili hapo juu, ukiunganisha na mood aliyokuwa nayo mwenyekiti wakati anafungua kikao, inaonyesha KAMA:

  • Mwenyekiti aliamua kutumia lugha ya ukali na kufoka sehemu ambayo haistahili, yaani kanisani, na kwa sababu ambazo hazikuwa za msingi, akiwa na lengo la kutafuta targets ambao alijua huwa hawawezi kuvumilia kusikiliza ujinga, mhusika wa taarifa hizi akiwa mmoja wao
  • kwa vile mhusika wa taarifa hizi alikuwa tayari ameshaazisha kitu ndani ya wiki hiyo, inaonyesha pia KAMA mojawapo ya potential targets zilizokuwa zimekusudiwa alikuwa ni yeye
Na kama ni kweli kwamba yeye alikuwa ni potential target:

  • haina shaka kuwa kulikuwa na kitu kikubwa kilikuwa kimeandaliwa kwa ajili yake nyuma ya pazia, ambacho yeye alikuwa hakijui, na ndiyo maana hata viongozi karibia wote walikuwepo, akiwemo kiongozi mkuu mwenyewe.
  • Kuna kitu kikubwa kilkuwa kimendaliwa nyuma ya pazia, yawezekana hata fujo ambazo zingelazimu hata vyombo vya dola kuwasili mahali pale kwa ajili ya kuja kuituliza ghasia
Kwa hiyo iwapo kungeweza kutokea fujo mahli pale, uwezekano mkubwa ni kwamba fujo hiyo ilikuwa imepangwa, na possibly kuna watu ambao tayari walikuwa wameandaliwa kwa ajili ya kuianzisha

Mhusika anadai kuwa hawa viongozi ni wa hatari mno na huko nyuma wameshawahi kupanga matukio mengi tu ya hatari kwake ambayo baadhi atayaleta kwenu kadri habari hizi zitakavyokuwa zinawajia. Karibia mara zote wamekuwa katika mipango yao, wakishirikiana na staff mate wake ambaye naye huwa anaabudu mahali pale. Huyu mtu siku hiyo ghafla alionekana amekaa pembeni ya mhusika ila wakati wa Ibada hakuwa amemuona. Mhusika anadai ataleta angalau tukio moja kuthibitisha hatari iliyoko mahali pale

Hata hivyo, mhusika siku hiyo aliamua kuondoka kikaoni hapo baada ya kuona kinaelekea kule ambako yeye hakuwa ametarajia, akarudi nyumbani



MWANDISHI WENU ATARUDI TENA
 
Back
Top Bottom