#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE 27/05/2020

TUKIO LA TATU: FIRE EXTINGUISHER YA MAJI, ILIYOLETWA NA MR X NDANI YA JENGO LA OFISI, HALAFU BAADA YA SIKU CHACHE, TRANSFOMA YA UMEME ILIYO NYUMA KARIBU KABISA NA OFISI YA MHUSIKA IKALIPUKA


Ilikuwa ni mwaka 2015. Ilitokea ghafla siku moja mhusika akaona mtungi wa Fire Extinguisher uko njiani chini kwenye floor ya korido ya kuelekea mlango wa dharura, ambayo ofisi ya mhusika ipo. Kipindi cha miaka yote huko nyuma, mtungi huo kawaida ulikuwa ulikuwa haukai sehemu hiyo, bali ulikuwa unakaa kwenye attachment yake ndani ya chumba kingine ndani ya jengo hilo, na kwenye ghrorofa (floor) nyingine tofauti. Kwa hiyo mtungi huu ulihamishwa kutoka ghorofa moja kwenda ghorofa nyingine

Katika kutaka kujua mtungi huo ulilwekwa pale na nani, mhusika alipewa taarifa kuwa aliyeuweka pale alikuwa ni Mr X

  • Kitu cha muhimu ambacho msomaji inabidi akumbuke hapa ni kuwa mhusika na Mr X. ofisi zao ziko jengo moja, ghorofa moja
  • Mtungi huu ulikuwa katika sehemu ambayo mhuiska huwa mara zote anapita, akiwa anaelekea au anatoka ofisini kwake
  • Hata hivyo, mtungi huu pia ulikuwa katika sehemu ambayo Mr X huwa hapiti pindi anapokuwa anelekea au anatoka ofisini kwake, isipokuwa tu pale anapolazmimika kueelekea sehemu nyingine ndani ya jengo hilo, iliyo tofauti na ofisi yake, na kwa shida maalumu
  • Baada ya siku kadhaa kupita tangu uwepo wa mtungi mahali pale, ilitokea ajali ya mlipuko mkubwa sana wa Transformer la umeme ambalo liko sehemu inayotizamana na dirisha mojawapo la nyuma la ofisi ya mhusika
  • Kwa hiyo hapa mhusika anchojaribu kueleza ni kuwa ujio wa mtungi wa gas unaonekana KAMA kuhusiana na kulipuka wa Transfoma, kitu ambacho kinaonekana KAMA kilikuwa kimepangwa
  • Mlipuko huo uliambatana na cheche za moto pamoja na moshi mzito kuashiria kuwa lilikuwa linataka kuwaka moto
  • Na kwa sababu mlipuko huo ulionekana wazi kusababishwa na hitilafu ya umeme, mhuiska alianza kukimbia akitokea ofisini kwake kuelekea nje
  • Alipofika usawa wa korido pale ulipokuwa mtungi wa Fire Extinguisher, mhuiska akakutana na mtu mwingine akiulliza, HIVI HATUNA MTUNGI WA FIRE EXTINGUSHER JENGO HILI?
  • Mhuiska alimjibu mtu huyo kwa kumwambia kuwa TUNAO ULE PALE
  • Baada ya jibu hili, mtu huyo alienda na kuushika mtungi huo halafu akamuuliza, unajua namna ya kuutumia? Mhusika alijibu akasema hajui
  • Wakati huo mhusika alikuwa ameshafika sehemu ulipokuwa mtungi huo, na kuanza kuugeuzageuza akiungalia
  • Akiwa katika hati hati ya kujadili rohoni aidha auchukue au auache, aliamua kuuacha na kutoka nje
  • Hatimaye watu husika (siyo zimamoto) walikuja na kuuzima moto uliokuwa umeanza kufuka kwenye Transfoma hilo, baada ya kuwa wamepewa taarifa.
Kipindi pilikapilika hizo zilipokuwa zinaendelea kabla moto huo haujazimwa, Mr X alifika ghafla ofisini kwa mhusika na kumjulisha kuwa AMESHAWAPIGIA SIMU TANESCO ILI WAZIME UMEME. Hii ilionyesha wazi kuwa

  • Wakati mhusika anahangaika na mtungi wa gas, umeme ulikuwa bado haujazimwa na wala hakuwa na taarifa hizo
  • Wakati huo huo, Mr X alikuwa hajulikani alikuwa wapi kipindi hicho kwa sababu hakuwahi kumuona popote wakati kulikuwa na taharuki ndani ya jengo na karibia kila mtu alikuwa ameshatoka nje ya ofisi yake kama tahadhari ya kwanza
  • Kwa hiyo inaonyesha KAMA Mr X alikuwa ametegea kwanza kuona kama mhusika atachukua hatua za kwenda kuuzima moto kwa kutumia Fire Extinguisher hiyo
  • Kama mhusika angeenda kuuzima moto, Mr X asingewapigia TANESCO kwa ajili ya kuzima umeme huo
  • Na kwa sababu Fire Extinguisher ilikuwa ya maji, kujaribu kuzima nguzo ya Transfoma inayowaka moto kwa kutumia mtungi wa maji, kungesababisha mlipuko mwingine mkubwa kuliko ule wa Transfoma lenyewe
  • Umeme ungefuata mkondo wa maji na mhusika angepigwa shoti ya umeme na kufa palepale, na pengine na mtu mwingine yeyote ambaye naye angejisahau na kuwa karibu naye
  • Hata hivyo, baada ya mhusika kutochukua hatua hizo, na hivyo kupelekea watu wengine kuitwa kuja kuzima moto huo, ndiyo ikabidi sasa Mr X awapigie TANESCO ili wazime umeme, kwa sababu mlengwa alikuwa mhusika na si watu wengine
ALICHOKUWA MR X AMEPANGA KATIKA TUKIO HILI

Hapa matarajio ya Mr X yalikuwa ni kwamba mhusika angechukua hatua ya kwenda kuuzima moto huo kwa kutumia Fire Extinguisher hiyo iliyokuwa ni ya maji, halafu baada ya hapo, mlipuko wa moto wa umeme ungemfuata kwa kufuata mkondo wa gas ya maji. Na kama kweli angefanya hivyo, mlipuko ambao ungetokea pale, possibly ungeweza kulingana na ule wa Lori la Mafuta ya Petroli. Lakini kwa bahati nzuri, mhusika hakufanya hivyo hali iliyopelekea baadaye Mr X akapaniki na kuanza kuongea mambo ya ajabu. Ilikuwa salama zaidi kwake Mr X kama asingefanya kosa la kusema kuwa NIMEWAPIGIA TANESCO WAZIME UMEME.

Blunders za namna hii huwa mara nyingi zinafanyika pale tu ambapo mtu anakuwa ametumia nguvu za giza katika kupanga CRIME yake, na ndiyo yaliyotokea kwa Mr X.



MWANDISHI WENU ATARUDI KWA AJILI YA TUKIO JINGINE MOJA ZAIDI, NALO PIA LIKIWA LINAMHUSISHA MTU YULE YULE MR X
 
UPDATE 27/05/2020

TUKIO LA TATU: FIRE EXTINGUISHER YA MAJI, ILIYOLETWA NA MR X NDANI YA JENGO LA OFISI, HALAFU BAADA YA SIKU CHACHE, TRANSFOMA YA UMEME ILIYO NYUMA KARIBU KABISA NA OFISI YA MHUSIKA IKALIPUKA


Ilikuwa ni mwaka 2015. Ilitokea ghafla siku moja mhusika akaona mtungi wa Fire Extinguisher uko njiani chini kwenye floor ya korido ya kuelekea mlango wa dharura, ambayo ofisi ya mhusika ipo. Kipindi cha miaka yote huko nyuma, mtungi huo kawaida ulikuwa ulikuwa haukai sehemu hiyo, bali ulikuwa unakaa kwenye attachment yake ndani ya chumba kingine ndani ya jengo hilo, na kwenye ghrorofa (floor) nyingine tofauti. Kwa hiyo mtungi huu ulihamishwa kutoka ghorofa moja kwenda ghorofa nyingine

Katika kutaka kujua mtungi huo ulilwekwa pale na nani, mhusika alipewa taarifa kuwa aliyeuweka pale alikuwa ni Mr X

  • Kitu cha muhimu ambacho msomaji inabidi akumbuke hapa ni kuwa mhusika na Mr X. ofisi zao ziko jengo moja, ghorofa moja
  • Mtungi huu ulikuwa katika sehemu ambayo mhuiska huwa mara zote anapita, akiwa anaelekea au anatoka ofisini kwake
  • Hata hivyo, mtungi huu pia ulikuwa katika sehemu ambayo Mr X huwa hapiti pindi anapokuwa anelekea au anatoka ofisini kwake, isipokuwa tu pale anapolazmimika kueelekea sehemu nyingine ndani ya jengo hilo, iliyo tofauti na ofisi yake, na kwa shida maalumu
  • Baada ya siku kadhaa kupita tangu uwepo wa mtungi mahali pale, ilitokea ajali ya mlipuko mkubwa sana wa Transformer la umeme ambalo liko sehemu inayotizamana na dirisha mojawapo la nyuma la ofisi ya mhusika
  • Kwa hiyo hapa mhusika anchojaribu kueleza ni kuwa ujio wa mtungi wa gas unaonekana KAMA kuhusiana na kulipuka wa Transfoma, kitu ambacho kinaonekana KAMA kilikuwa kimepangwa
  • Mlipuko huo uliambatana na cheche za moto pamoja na moshi mzito kuashiria kuwa lilikuwa linataka kuwaka moto
  • Na kwa sababu mlipuko huo ulionekana wazi kusababishwa na hitilafu ya umeme, mhuiska alianza kukimbia akitokea ofisini kwake kuelekea nje
  • Alipofika usawa wa korido pale ulipokuwa mtungi wa Fire Extinguisher, mhuiska akakutana na mtu mwingine akiulliza, HIVI HATUNA MTUNGI WA FIRE EXTINGUSHER JENGO HILI?
  • Mhuiska alimjibu mtu huyo kwa kumwambia kuwa TUNAO ULE PALE
  • Baada ya jibu hili, mtu huyo alienda na kuushika mtungi huo halafu akamuuliza, unajua namna ya kuutumia? Mhusika alijibu akasema hajui
  • Wakati huo mhusika alikuwa ameshafika sehemu ulipokuwa mtungi huo, na kuanza kuugeuzageuza akiungalia
  • Akiwa katika hati hati ya kujadili rohoni aidha auchukue au auache, aliamua kuuacha na kutoka nje
  • Hatimaye watu husika (siyo zimamoto) walikuja na kuuzima moto uliokuwa umeanza kufuka kwenye Transfoma hilo, baada ya kuwa wamepewa taarifa.
Kipindi pilikapilika hizo zilipokuwa zinaendelea kabla moto huo haujazimwa, Mr X alifika ghafla ofisini kwa mhusika na kumjulisha kuwa AMESHAWAPIGIA SIMU TANESCO ILI WAZIME UMEME. Hii ilionyesha wazi kuwa

  • Wakati mhusika anahangaika na mtungi wa gas, umeme ulikuwa bado haujazimwa na wala hakuwa na taarifa hizo
  • Wakati huo huo, Mr X alikuwa hajulikani alikuwa wapi kipindi hicho kwa sababu hakuwahi kumuona popote wakati kulikuwa na taharuki ndani ya jengo na karibia kila mtu alikuwa ameshatoka nje ya ofisi yake kama tahadhari ya kwanza
  • Kwa hiyo inaonyesha KAMA Mr X alikuwa ametegea kwanza kuona kama mhusika atachukua hatua za kwenda kuuzima moto kwa kutumia Fire Extinguisher hiyo
  • Kama mhusika angeenda kuuzima moto, Mr X asingewapigia TANESCO kwa ajili ya kuzima umeme huo
  • Na kwa sababu Fire Extinguisher ilikuwa ya maji, kujaribu kuzima nguzo ya Transfoma inayowaka moto kwa kutumia mtungi wa maji, kungesababisha mlipuko mwingine mkubwa kuliko ule wa Transfoma lenyewe
  • Umeme ungefuata mkondo wa maji na mhusika angepigwa shoti ya umeme na kufa palepale, na pengine na mtu mwingine yeyote ambaye naye angejisahau na kuwa karibu naye
  • Hata hivyo, baada ya mhusika kutochukua hatua hizo, na hivyo kupelekea watu wengine kuitwa kuja kuzima moto huo, ndiyo ikabidi sasa Mr X awapigie TANESCO ili wazime umeme, kwa sababu mlengwa alikuwa mhusika na si watu wengine
ALICHOKUWA MR X AMEPANGA KATIKA TUKIO HILI

Hapa matarajio ya Mr X yalikuwa ni kwamba mhusika angechukua hatua ya kwenda kuuzima moto huo kwa kutumia Fire Extinguisher hiyo iliyokuwa ni ya maji, halafu baada ya hapo, mlipuko wa moto wa umeme ungemfuata kwa kufuata mkondo wa gas ya maji. Na kama kweli angefanya hivyo, mlipuko ambao ungetokea pale, possibly ungeweza kulingana na ule wa Lori la Mafuta ya Petroli. Lakini kwa bahati nzuri, mhusika hakufanya hivyo hali iliyopelekea baadaye Mr X akapaniki na kuanza kuongea mambo ya ajabu. Ilikuwa salama zaidi kwake Mr X kama asingefanya kosa la kusema kuwa NIMEWAPIGIA TANESCO WAZIME UMEME.

Blunders za namna hii huwa mara nyingi zinafanyika pale tu ambapo mtu anakuwa ametumia nguvu za giza katika kupanga CRIME yake, na ndiyo yaliyotokea kwa Mr X.



MWANDISHI WENU ATARUDI KWA AJILI YA TUKIO JINGINE MOJA ZAIDI, NALO PIA LIKIWA LINAMHUSISHA MTU YULE YULE MR X
mkuu next time naomba unitag maana nimeianza leo ulivyo post hii ya mwisho na nimeimaliza japo imenichukua masaa kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu next time naomba unitag maana nimeianza leo ulivyo post hii ya mwisho na nimeimaliza japo imenichukua masaa kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifanikiwa kusoma taarifa mama iliyopo kwenye ukurasa wa kwanza, huna haja ya kusoma taarifa zinazofuata kwa sababu zinakuwa ni sehemu ya hiyo. Labda tu utafanya hivyo kama njia ya kutaka kujua maoni ya wachangiaji wengine kwenye uzi huu. Huwa kila ninapo-post post mpya, taarifa mama nayo ninai-update. Ubarikiwe
 
Ukifanikiwa kusoma taarifa mama iliyopo kwenye ukurasa wa kwanza, huna haja ya kusoma taarifa zinazofuata kwa sababu zinakuwa ni sehemu ya hiyo. Labda tu utafanya hivyo kama njia ya kutaka kujua maoni ya wachangiaji wengine kwenye uzi huu. Huwa kila ninapo-post post mpya, taarifa mama nayo ninai-update. Ubarikiwe
naitaji tag ili nijue umeweka sehemu inayofuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema hizo codes umezificha ,ungetaja tu hata jina la kanisa but ndo hivo ukitaja hilo kanisa huyo jamaa atajulikana kwa story ilivyoenda.

Hapo kinachoonekana ni nguvu ya Mungu vs Nguvu za giza au nguvu za giza zinapambana zenyewe.

Huyo jamaa yako amekuwa mtu wa kuconnet dots either kwa hofu zake na hisia tu za kibinadamu lakini mambo kama hayo yapo tunakutana nayo na hatutulii akilini tunalindwa tu na ulinzi wa Mungu

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Morning glory, evening glory, j5 ibada, alhamis ibada, ijumaa kuu then jpili y Pasaka.....hapo ni kkkt kijitonyama. Unafikaje kanisani unaanza kushughulika na mambo ya kuzima taa sijui feni, kanisa lina wahudumu na wajua kazi yao, nachelea kusema muhusika alijipa kazi isiyomuhusu
 
Yeye mwenyewe kuna utata
Morning glory, evening glory, j5 ibada, alhamis ibada, ijumaa kuu then jpili y Pasaka.....hapo ni kkkt kijitonyama. Unafikaje kanisani unaanza kushughulika na mambo ya kuzima taa sijui feni, kanisa lina wahudumu na wajua kazi yao, nachelea kusema muhusika alijipa kazi isiyomuhusu
 
naitaji tag ili nijue umeweka sehemu inayofuata

Sent using Jamii Forums mobile app
Haina shida! Sehemu inayofuata itakuwa inaongelea uhusiano kati ya Kiongozi Mkuu na mtumishi mwingine wa Mungu yuko Dodoma anaitwa David Kuselya. Huyu atakuwa mtu wa kwanza kutajwai kwa majina yake halisi kwenye taarifa hii. Kuna utaalamu (ambao siyo mzuri) huwa unatumika kwenye Maandiko Matakatifu ya Biblia ambao utafafanuliwa, na ili isionekane kuwa uzushi, angalau inabidi mhusika mmojawapo kati ya hawa waiwili, atajwe LIVE!
 
naitaji tag ili nijue umeweka sehemu inayofuata

Sent using Jamii Forums mobile app

UPDATE 28/05/2020

TUKIO LA NNE:

LILIPANGWA NA MR X NA KIONGOZI MWINGINE (TUMWITE KIONGOZI X) J2 YA KWANZA YA/ SIKU YA UZINDUZI WA MABADILIKO YA MUDA WA IBADA ZA HARUSI KANISANI


Ikumbukwe kuwa mpaka muda huu, mada yetu bado inashughulika na matukio ya ajabu ambayo Mr X amewahi kuyafanya kwa mhusika. Kwa hiyo bado tuko kwenye matukio yanayomhusu Mr X akiwa anashirikiana na watu tofauti tofauti.

Sasa tukirudi kwenye tukio ambalo kichwa chake kimeelezwa hapo juu

  • Ni kwamba kwenye Kanisa linalohusika na habari hii, huko nyuma, tofauti na ilivyo kwa sasa, kulikuwa na kawaida ya kuwa na Ibada tatu pale tu ilipotokea kuwa J2 husika kuna wanandoa wanaunganishwa; yaani Ibada ya kwanza, Ibada ya pili na baadaye kufuatiwa tena na Ibada ya ndoa
  • Kwa J2 zingine zote ambazo hazikuwa na Ibada za ndoa, Ibada zilikuwa zinakuwa mbili tu, yaani Ibada ya kwanza na ya pili
Mhusika wa taarifa hizi kawaida yeye alikuwa na utaratibu wa kushiriki Ibada zote mbili, ya kwanza na ya pili pia. Hata hivyo, hakuwa na utaratibu wa kushiriki Ibada za harusi, baada ya kuwa amebaini mambo kadhaa kama atakavyoyaainisha hapa chini.

  • Kipindi kirefu huko nyuma, kabla hajahama kwenda Kanisa B, mhusika aliwahi kuhudhuria Ibada ya ndoa mara moja na kugundua kuwa ni Ibada iliyokuwa inaendeshwa kisherehe zaidi kuliko ki-Ibada
  • Kwa hiyo kuanzia pale mhusika akawa hapendelei tena kuhudhuria Ibada za aina hiyo
  • Mifano mingine mingi anayo kwa kuangalia Ibada zingine zinazofanana na hiyo kama vile zile ambazo huambatana na sikukuu kama vile sikukuu ya watoto, sikukuu ya vijana, sikukuu ya akima mama, n.k.
  • J2 zote za sikukuu hizo Ibada zake huwa zinafanywa kisherehe zaidi, viongozi huwa wanajisahau wanapelekea zinaendeshwa kama waumini wako kwenye ukumbi wa harusi
  • Vilevile, Ibada ya asubuhi inayoitwa morning Glory, mara nyingi huwa inafutwa kimya kimya kwenye siku kama hizi, yaani watu wanastukia haipo tu pasipo tangazo lolote rasmi
  • Na pale ambapo huwa inatokea ikawepo, basi inakuwepo kwa kusuasua sana, tofauti na ambavyo huwa inaendeshwa siku ambazo si za sikukuu
  • Kwa hiyo mhusika yeye kwa uzoefu wake alishaona KAMA siku za sikukuuu huwa zinatumika kama kkisingizio cha kuchakachakua Ibada hali inayopelekea kuendeshwa Ibada zilizofubaa, kitu ambacho huwa anona ni afadhali akawa yuko nyumbani akijifunza maandiko matakatifu, kuliko kuendelea kuwepo kwenye Ibada ya aina ile
  • Mfano halisi mwingine ni kwamba mwaka juzi Desemba 2018 siku ya kuwapongeza watumishi wa Mungu, kulikuandaliwa ma-MC wawili, mmoja wa kike na mwingine wa kiume
  • Mwaka jana pia 92019) kwenye siku kama hiyo hiyo, mbele kwenye madhabahu kulibandikwa bango refu la nguo lililoenea sehemu yote ya madhabahu (kutoka kulia kwake kwenda kushoto) lililokuwa na na picha ya Kiongozi Mkuu, akiwa amemkumbatia mke wake. Sasa watu hapa wajiulize, unawezaje kubandika picha ya hadhi ya mtu amekumbatia mke wake, kwenye madhabahu ya Mungu? Katika kipindi chote ambacho mhusika amekuwa pale, anakiri kabisa kuwa hajawahi hata siku moja kuona hata picha za Malaika, achilia mbali ya Yesu, imebandikwa kwenye bango la aina hiyo
  • Zaidi pia ni kwamba J2 hiyo Ibada pia ilifanya kitu kinaitwa procession, Kiongozi Mkuu nadhani alitembea akiwa amefuatwa na msululu wa wafuasi nyuma yake. Hiki kitu kilitangazwa halafu kabla hakijaanza kufanyika, mhusika aliondoka na kwenda kuabudu Kanisa jingine kwa kujua kuwa hapangekuwa na Ibada ya kawaida siku hiyo mahali pale
  • Ibada ya siku hiyo ilikuwa na viashiria vyote vya kugeuka kutoka kumwabudu Mungu na kumwabudu Kiongozi Mkuu
MWANDISHI WENU ATARUDI
 
UPDATE 28/05/2020

TUKIO LA NNE:

LILIPANGWA NA MR X NA KIONGOZI MWINGINE (TUMWITE KIONGOZI X) J2 YA KWANZA YA/ SIKU YA UZINDUZI WA MABADILIKO YA MUDA WA IBADA ZA HARUSI KANISANI


Ikumbukwe kuwa mpaka muda huu, mada yetu bado inashughulika na matukio ya ajabu ambayo Mr X amewahi kuyafanya kwa mhusika. Kwa hiyo bado tuko kwenye matukio yanayomhusu Mr X akiwa anashirikiana na watu tofauti tofauti.

Sasa tukirudi kwenye tukio ambalo kichwa chake kimeelezwa hapo juu

  • Ni kwamba kwenye Kanisa linalohusika na habari hii, huko nyuma, tofauti na ilivyo kwa sasa, kulikuwa na kawaida ya kuwa na Ibada tatu pale tu ilipotokea kuwa J2 husika kuna wanandoa wanaunganishwa; yaani Ibada ya kwanza, Ibada ya pili na baadaye kufuatiwa tena na Ibada ya ndoa
  • Kwa J2 zingine zote ambazo hazikuwa na Ibada za ndoa, Ibada zilikuwa zinakuwa mbili tu, yaani Ibada ya kwanza na ya pili
Mhusika wa taarifa hizi kawaida yeye alikuwa na utaratibu wa kushiriki Ibada zote mbili, ya kwanza na ya pili pia. Hata hivyo, hakuwa na utaratibu wa kushiriki Ibada za harusi, baada ya kuwa amebaini mambo kadhaa kama atakavyoyaainisha hapa chini.

  • Kipindi kirefu huko nyuma, kabla hajahama kwenda Kanisa B, mhusika aliwahi kuhudhuria Ibada ya ndoa mara moja na kugundua kuwa ni Ibada iliyokuwa inaendeshwa kisherehe zaidi kuliko ki-Ibada
  • Kwa hiyo kuanzia pale mhusika akawa hapendelei tena kuhudhuria Ibada za aina hiyo
  • Mifano mingine mingi anayo kwa kuangalia Ibada zingine zinazofanana na hiyo kama vile zile ambazo huambatana na sikukuu kama vile sikukuu ya watoto, sikukuu ya vijana, sikukuu ya akima mama, n.k.
  • J2 zote za sikukuu hizo Ibada zake huwa zinafanywa kisherehe zaidi, viongozi huwa wanajisahau wanapelekea zinaendeshwa kama waumini wako kwenye ukumbi wa harusi
  • Vilevile, Ibada ya asubuhi inayoitwa morning Glory, mara nyingi huwa inafutwa kimya kimya kwenye siku kama hizi, yaani watu wanastukia haipo tu pasipo tangazo lolote rasmi
  • Na pale ambapo huwa inatokea ikawepo, basi inakuwepo kwa kusuasua sana, tofauti na ambavyo huwa inaendeshwa siku ambazo si za sikukuu
  • Kwa hiyo mhusika yeye kwa uzoefu wake alishaona KAMA siku za sikukuuu huwa zinatumika kama kkisingizio cha kuchakachakua Ibada hali inayopelekea kuendeshwa Ibada zilizofubaa, kitu ambacho huwa anona ni afadhali akawa yuko nyumbani akijifunza maandiko matakatifu, kuliko kuendelea kuwepo kwenye Ibada ya aina ile
  • Mfano halisi mwingine ni kwamba mwaka juzi Desemba 2018 siku ya kuwapongeza watumishi wa Mungu, kulikuandaliwa ma-MC wawili, mmoja wa kike na mwingine wa kiume
  • Mwaka jana pia 92019) kwenye siku kama hiyo hiyo, mbele kwenye madhabahu kulibandikwa bango refu la nguo lililoenea sehemu yote ya madhabahu (kutoka kulia kwake kwenda kushoto) lililokuwa na na picha ya Kiongozi Mkuu, akiwa amemkumbatia mke wake. Sasa watu hapa wajiulize, unawezaje kubandika picha ya hadhi ya mtu amekumbatia mke wake, kwenye madhabahu ya Mungu? Katika kipindi chote ambacho mhusika amekuwa pale, anakiri kabisa kuwa hajawahi hata siku moja kuona hata picha za Malaika, achilia mbali ya Yesu, imebandikwa kwenye bango la aina hiyo
  • Zaidi pia ni kwamba J2 hiyo Ibada pia ilifanya kitu kinaitwa procession, Kiongozi Mkuu nadhani alitembea akiwa amefuatwa na msululu wa wafuasi nyuma yake. Hiki kitu kilitangazwa halafu kabla hakijaanza kufanyika, mhusika aliondoka na kwenda kuabudu Kanisa jingine kwa kujua kuwa hapangekuwa na Ibada ya kawaida siku hiyo mahali pale
  • Ibada ya siku hiyo ilikuwa na viashiria vyote vya kugeuka kutoka kumwabudu Mungu na kumwabudu Kiongozi Mkuu
MWANDISHI WENU ATARUDI
nasubiria muendelezo kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu next time naomba unitag maana nimeianza leo ulivyo post hii ya mwisho na nimeimaliza japo imenichukua masaa kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app

nasubiria muendelezo kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app

UPDATE 01/06/2020

TUKIO LA NNE:

LILIPANGWA NA MR X NA KIONGOZI MWINGINE (TUMWITE KIONGOZI X) J2 YA KWANZA YA/ SIKU YA UZINDUZI WA MABADILIKO YA MUDA WA IBADA ZA HARUSI KANISANI


  • (inaendelea)

  • Baada ya kuwa amehamia Kanisa B na hatimaye tena kurudi Kanisa A, alikuta utaratibu ule ule wa zamani ukiwa bado unatumika, yaani Ibada tatu pindi inapotokea uwepo wa J2 ya wanandoa wanaounganishwa
  • Mhusika yeye aliendelea kuhudhuria Ibada mbili tu, ya kwanza na ya pili na pale zilipokuwa zinajitokeza Ibada za ndoa, hizo kabisa alikuwa anaziweka pembeni


KIONGOZI X ASIMAMA MADHABAHUNI NA KUTANGAZA MABADILIKO YA IBADA ZA NDOA KWAMBA ZITAKUWA ZINAFANYAIKA IBADA YA PILI


Baada ya takriban mwaka mmoja hivi kupita, Ilitokea J2 moja Kiongozi X akasimama madhabahuni na kutangaza kuwa kuanzia siku hiyo, Ibada zote za ndoa zitakazojitokeza tena, zitakuwa zinafanyika Ibada ya Pili. Kwa hiyo Ibada zitaendelea kuwa mbili tu kwa kila J2, bila kujali kuna ndoa ama la. Wakati Kiongozi X anatoa tangazo hili, J2 iliyokuwa inafuata kulikuwa na Ibada ya ndoa ya watu ambao hawakuwa wenyeji wa Kanisa hilo, mmojawapo wa wanandoa hao alikuwa ni mtu wa kutoka Msumbiji. Kifupi ni kwamba viongozi wa wanandoa hao watarajiwa walikuwa wameuomba uongozi wa Kanisa A uweze kutoa huduma hiyo kwa wanandoa hao watarajiwa.

Mpaka hapa, kabla hajaendelea zaidi, mhusika anaomba kwa kifupi sana agusie kidogo kuhusiana na WASIFU WA KIONOZI X

  • Ndiyo yule aliyekuwa akifungua fungua mlango kuchumgulia siku ambayo mhusika alikuwa na maongezi na Kiongozi Mkuu ofisini kwa kiongozi huyo, hali iliyopelekea maongezi yao kusitishwa na Kiongozi Mkuu kwa udhuru kuwa alihitajika kwenye commitment zingine (ambazo zilikuwa zinamfanya Kiongoz X achungulie mara kwa mara)
  • Ni kiongozi ambaye katika maisha yake yote, na kwa miaka takriban saba (7) sasa ya uwepo wa mhusika katika mazingira ya Kanisa analoendelea kuhudumu kiongozi huyo,, hajawahi kuonekana amesimama akiwa anaongea na mhusika hata kwa angalau dakika moja tu. Mara zote huwa wanasalimiana naye tu huku wakiwa wanapishana
  • Huwa hawezi kusimama kuongea na mhusika, licha ya kuwa huko nyuma, mhusika mwenyewe alikuwa na tamaa hiyo
  • Still, inapotokea mhusika yuko katika mazingira ambayo ni ya peke yake, au si ya peke yake ila yanatoa mwanya ambao Kiongozi X anaweza akapenyeza neno kwa mhusika na pasipo wengine walio karibu au mbali kuyasikia, ataongea maneno kwa chini chini katika namna ambayo watu hao hawawezi kujua kuwa ameongea naye neno lolote isipokuwa wataona tu hali ya kuwa wawili hao wamepishana huku wakisalimiana kwa kushikana mikono
  • Maneno ambayo Kiongozi huyu amekuwa akiyaongea kwa siri sana na kwa tahadhari kubwa sana, akiwa ANAMNONG’ONEZA mhusika, mara nyingi yamekuwa ni kama “NJOO OFISINI TUONGEE”; NJOO OFISINI NIKUTAMKIE MIBARAKA
  • Kumbuka kuwa maneno haya huwa anayaongea na kuhakikisha kuwa yamesikika na mhuiska tu na ni pale tu anapokuwa anapishana na mhusika huku akiwa anatembea pasipo kusimama
Baada ya kuona hivyo, mhusika alianza kuifanyia kazi hali hii kwamba kiongozi huyu anajitahidi kuongea naye kwa siri sana na kwa jambo ambalo halihitaji usiri. Hii ni kutokana na ukweli kuwa swala la muumini kuwa na appointment ya maongezi na Kiongozi wake siyo la siri; na kwa sababu Kiongozi ndiyo alikuwa anatamani sana kuongea na muumini wake ofisin kwakei, haikutakiwa kumpa shida Kiongozi huyo kumjulisha muumini wake juu ya hilo na alitakiwa alifanye wazi na watu wengine wakiwa wanashuhudia, au kuona. Badala yake haikuwa hivyo kabisa kwa kiongozi huyu

J2 YA KWANZA KABISA YA IBADA YA HARUSI KUFANYIKA IBADA YA PILI YAWADIA; MR X NA KIONGOZI X WAONYESHA AINA FULANI YA MAWASILIANO YA SIRI KUHUSIANA NA MHUSIKA

  • Kama ilivyoelezwa hapo awali, Ibada hii ilihusisha watu ambao hawakuwa wenyeji wa Kanisa A, mmojawapo akiwa ni mgeni kutoka Msumbiji
  • Kutokana na rekodi ambayo alikuwa ameiweka mhusika, hadi siku ya J2 hii inafika, alikuwa hajawahi kukosa Ibada ya pili hata siku moja, tangia pale alipoanzisha utaratibu wake huu wa kuabudu kwa namna hiyo
  • Kwa hiyo mpaka siku hiyo alikuwa hajawahi kukosa Ibada ya pili
  • Sku hiyo, ilitokea coincidence kwamba Mr X alikuwa amepaki gari lake jirani na la mhusika
  • Mhusika ndiyo alitangulia kupaki gari lake pale alipokuwa amepaki siku hiyo, kwenye muda wa saa 12 asubuhi, na hatimaye katika muda ambao mhusika hawezi kujua, Mr X naye alikuja akapaki gari lake jirani ubavuni kwake
  • Katika kumbukumbu zake hafifu, mhusika anadai kuwa siku hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza (na ya mwisho pia) kwa Mr X kupaki gari ubavuni jirani na la mhusika
  • Mpaka leo, coincidence ya namna hiyo haijaweza kujitokeza tena
  • Baada ya Ibada ya kwanza kuisha, mhusika hakuwa amepanga kuhudhuria Ibada ya ndoa, ambayo sasa kwa J2 hiyo, ilikuwa inafanyika wakati wa Ibada ya pili kwa mara ya kwanza
  • Alichofanya baadaye ni kutoka na kuelekea kwenye parking, ili akachuke gari lake na kuondoka
  • Kabla hajaondoka akawa mekutana pale na Mr X, na wakaanza kubadilishana mawili matatu
  • Huku kwingine nako sasa pilika pilika za watu waliokuwa wanatoka Ibada ya kwanza na wale waliokuwa wanaingia kwa ajili Ibada ya pili zikawa zinaendelea
  • Muda si muda mhusika akiwa yuko bado amesimama na Mr X hapo kwenye parking, akamuona Kiongozi X anapita kwa umbali kidogo huku akiwa hai hai, akawapungia mikono wote wawili na kutamka maneno “ NJOO OFISINI NIKUTAMKIE MIBARAKA”
  • Watu hawa wote watatu, Kiongozi, mhusika pamoja na Mr X walijua kuwa ujumbe huo ulimhusu mhusika
  • Hata hivyo haikuwa hivyo kwa watu wengine ambao walikuwepo maeneo yale na ambao waliusikia ujumbe wa Kiongozi huyo kwa sababu alionekana akiuelekeza kwa watu wawili waliokuwa wamesimama wakiongea, yaani Mr X na mhusika
ITAENDELEA
 
Nimeshindwa kumaliza kusoma.........Nimelala njiani, Hebu nielezeni kwa kifupi....hii stori imeisha vipi??????
 
Nimeshindwa kumaliza kusoma.........Nimelala njiani, Hebu nielezeni kwa kifupi....hii stori imeisha vipi??????
Hili gazeti lako mkuu ntarudi siku ingine kulisoma
Kama huna muda na unapendelea kuendelea kusoma habari hii, simply copy and paste the text to a local disk of your PC / Laptop. Kwa kufanya hivi utakuwa unaisoma taratibu ukiwa uko offline. Otherwise achana nayo, kwa sababu wale ambao inawahusu hata nikipost nyongeza ndefu mara mbili ya habari iliyopo imuda huu, nakuhakikishia kuwa watasoma na kumaliza kwa muda mfupi sana
 
Mr x ana roho mbaya sana , kajivisha ngozi ya kondoo🐑🐑

UPDATE 02/06/2020

TUKIO LA NNE:

LILIPANGWA NA MR X NA KIONGOZI MWINGINE (TUMWITE KIONGOZI X) J2 YA KWANZA YA/ SIKU YA UZINDUZI WA MABADILIKO YA MUDA WA IBADA ZA HARUSI KANISANI


  • (inaendelea)
J2 YA KWANZA KABISA YA IBADA YA HARUSI KUFANYIKA IBADA YA PILI YAWADIA; MR X NA KIONGOZI X WAONYESHA AINA FULANI YA MAWASILIANO YA SIRI KUHUSIANA NA MHUSIKA

Kwa hiyo kuna watu waliokukwa wamesimama maeneo yale karibu na pale walipokuwa wamesimama mhusika na Mr x, na ambao walifanikiwa kumsikia Kiongozi X akitamka maneno NJOO OFISINI NIKUTAMKIE MIBARAKA, ila uhakika ni kuwa watu hawa hawakuweza kujua wito huo ulimhusu nani kati ya wawili hao, yaani mhusika na Mr X, isipokuwa wao wenyewe (mhusika na Mr X) walijua pasipo shaka kuwa ujumbe huo ulikuwa unamhusu nani

Baada ya ujumbe huo, mhusika aliwasha gari na kuondoka kurudi nyumbani. Kwa hiyo J2 hiyo hakuweza kushiriki Ibada ya pili kwa mara ya kwanza tangu kipindi aanzishe utaratibu wake wa kuabudu Ibada mbili

Mpaka hapa, kutokana na mlolongo wa tabia ya matendo (siyo matukio) yaliyokuwa yakionyeshwa kwake na Kiongozi X, inaonyesha KAMA

  • Kiongozi X alikuwa anatamani sana akutane na mhusika kwa appointment ambayo haikutakiwa ijulikane kuwa ni yeye Kiongozi X aliyehitaji kukutana na mhusika
  • Ilitakiwa kuwa ni appointment ambayo ingeonyesha kuwa ni yeye mhusika aliyeomba appointment ya kuonana na kiongozi X ofisini kwa kiongozi huyo
  • Hitaji la kuwepo usiri wa hali ya juu kwenye appointment kati ya Kiongozi X na mhusika liliashiria kitu ambacho si kizuri na ambacho Kiongozi X alikuwa amekipanga kwa mhusika
  • Wakati haya yote yanatokea, tayari (siku nyingi nyuma) maongezi ya appointment ya kwanza na Kiongozi Mkuu, yalikuwa yameshapita/ yameshafanyika
  • Mtego ambao mhuiska aliubaini kuwepo kwenye appointment ya kwanza na Kiongozi Mkuu, ndiyo ule ule alioubaini wepo wake kwenye appointment hii ya pili na Kiongozi X
Kwa hiyo, hapa tena Inaonyesha KAMA:

  • Kiongozi X aliingia kazini kujaribu kufidia/ kutafuta kile kilichokuwa kimeshindikana kupatikana kama matunda kutoka kwenye appointment ya kwanza iliyofanyika kati ya mhusika na Kiongozi Mkuu
  • Kiongozi X aliamua kubadilisha utaratibu wa awali kutoka Ibada tatu na kuwa mbili, akitarajia kuwa pengine mhusika angeweza kuwa anashiriki Ibada za Harusi kwenye Ibada ya pili. Hii ni kwa sababu mhusika alikuwa na kawaida ya kushiriki Ibada zote mbili
  • Wahusika wa ndoa hiyo ambao mmoja wao alikuwa anatokea Msumbiji, walikuwa wanafahaniana zaidi na Kiongozi X kwa sababu kwa kipindi hicho, kiongozi huyo alikuwa ameshafanya mikutano ya Injili miwili au mitatu nchin Msumbiji
J2 hiyo, baada ya mshiriki kuonyesha dalili za wazi (siku hiyo ya kwanza), kuwa hakuwa na mpango wa kushiriki Ibada hiyo, ndiyo sasa Plan B ikabidi itumike; plan ambayo ilitekelezwa na Mr X aliyekuwa amepaki gari lake ubavuni kwa mhusika. Kwa hiyo Kiongozi X alipita haihai akisema NJOO OFISINI NIKUTAMKIE MIBARAKA, akitarajia kuwa pengine mhusika angebadilisha mawazo siku hiyo na kuamua kushiriki Ibada hiyo ya harusi, na possibly hatimaye kwenda kumuona Kiongozi X ofisini kwake.

Kwa hiyo mpaka hapa tena tunaona kuwa kulikuwa na jitihada pekee sana zilizokuwa zikifanywa na Kiongozi X kuhakiksha kuwa mhusika anshiriki Ibada siku hiyo. Na, assuming angeamua kutokuondoka na kubaki ashiriki Ibada ya pili siku hiyo halafu kule mbele likaja kutokea lolote la kutokea, kuna uwezekano kuwa:

  • Mr X angekuwa shahidi wa kwanza, na angeweza kusema kuwa mimi aliniambia kuwa atakuwepo kwenye Ibada ya pili kwa sababu baada ya hapo alikuwa ameomba appointment ya kufanya maongezi na Kiongozi X
  • Hii point ingeleta mantiki kwa sababu siku za mwanzoni wakati mhusika akiwa ndiyo amerudi kutoka uhamishoni Kanisa B, aliwahi kumuomba Mr X namba za simu za Kiongozi X kwa minajili ya kupanga appointment naye ili amuone ofisini
Wakati huo mhusika alikuwa bado hajapata picha kamili ya kiongozi huyo, kwa sababu wakati anaondoka kwenda uhamishoni (Kanisa B) alikuwa ni mgeni kiasi na akiwa bado hajamjua vizuri kiongozi huyo. Hata hivyo, baada ya kurudi uhamishoni, taratibu picha ya Kiongozi X ilianza kujifunua na akawa amebahatika kumjua baadhi ya maeneo yake ambayo yalianza kumuweka kwenye tahadhari kubwa, ukizingatia kuwa tayari alikuwa na tahadhari pia kwa Kiongozi Mkuu, tena kubwa tu

  • Kutokana na hali hiyo, hatimaye mhusika alijiridhisha kuwa tahadhari zake juu ya Kiongozi X nazo pia ni sahihi. Kwa hiyo alichofanya baada ya hapo ni kufuta kabisa namba zake zote (alipewa na Mr X wakiwa ofisini, zilikuwa mbili au tatu)
  • Baada ya Kiongozi X kuona mhusika ha-respond tena kama alivyotarajia, ndiyo akaamua kutumia sasa mbinu nyingine ya kumnong’oneza pindi wanapokuwa wanasalimiana, NJOO OFISINI NIKUTAMKIE MIBARAKA, NJOO OFISINI TUONGEE,.. ili kumuanzisha upya, wakati huo kiongozi huyo akiwa hajui chochote kama mhusika tayari alishaweka tahadhari kubwa juu yake
Kwa hiyo negative response ya mhusika juu ya appointment yake na Kiongozi X ndiyo ilipelekea sasa yatokee haya yote yanayoelezwa hapa kwenye tukio hili la nne



HITIMISHO JUU YA TUKIO HILI:

MFANANO WA KIPEKEE ULIOJITOKEZA KATI YA APPOINTMENT YA MWANZO (KATI YA MHUSIKA NA KIONGOZI MKUU) NA APPOINTMENT AMBAYO INGEWEZA KUWA YA PILI (KATI YA MHUSIKA NA KIONGOZI X)


Kwa hiyo, ukiangalia kwa undani zaidi utakuta kuwa kuna mfanano wa kipekee sana unajitokeza kwenye appointment ya mwanzo, iliyofanyika kati ya mhusika na Kiongozi Mkuu, na hii iliyokuwa inatafutwa kati ya mhusika na Kiongozi X, (ambayo haikuwahi kuwepo).

Ni kwamba mikakati iliyotumika kwenye appointments hizi mbili ina mfanano wa kipekee sana hasa kwenye mambo kadhaa yafuatayo, kwamba appointment zote mbili zinaonekana KAMA:

  • Ziina mazingira yaliyokuwa yakim-prompt mhusika kuomba appointment wakati si upande wake uliokuwa unahitaji maongezi, isipokuwa ule wa pili, yaani upande ule wa viongozi wake
  • Zote zina Plan B ambayo Mr X ametumika, baada ya Plan A kuwa haikufanikiwa kufanya kazi. Kwenye tukio hili la sasa, Plan A ilikuwa ni kwamba mhusika angeendelea kubaki na kushiriki Ibada ya pili; na ofauti tu ni kwamba lile la mwanzo walitumika wawili yeye na mke wakati kwa hili la sasa ametumika akiwa peke yake
  • Zinamhusisha Mr X kama cover ya kuwaziba watu wengine waliokuwa karibu, wasiweze kujua nini kilikuwa kinaendelea kati ya maongezi ya mhusika na viongozi waliokuwa wanatamani kufanya appointment na mhusika
  • Zililenga kumfanya Mr X awe shahidi wa kile kilichokuwa kinaendelea kati ya mhusika na viongozi hao kabla, wakati na baada ya appointment zao, na hata baada ya mazungumzo yao halisi kuwa yamefanyika na kumalizika
Kwa tukio hili, tuseme sasa pengine Kiongozi X alikuwa na nia ovu juu ya mhusika na kwamba kungeweza kutokea chochote mbele ya safari. Kwa hiyo, kwa namna Mr X alivyotumika kwenye tukio hili, hakuna shaka kabisa kuwa angekuwepo bega kwa bega kwa ajili ya kuokoa jahazi la upande wa Kiongozi X.

MWISHO WA TUKIO HILI

MWANDISHI WENU ATARUDI TENA KWA AJILI YA KUONYESHA RARE COINCIDENCE NYINGINE ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI SIKU ZA JUMAPILI YA TAREHE 24/05/2020 NA JUMATANO YA TAREHE 27/05/2020; NAYO PIA IKIMHUSISHA TENA MR X (Kumbukeni kuwa hili bado siyo tukio, isipokuwa ni rare coincidence tu ambayo ina viashiria vinavyoweza kuepelekea uwezeekaano wa kuwepo tukio)

MwiH
 
UPDATE 03/06/2020

HITIMISHO LA MATUKIO YOTE MANNE YALIYOELEZWA HAPO JUU, NA AMBAYO YANAMHUSU MR X PIA


Katika kujaribu kuhitimisha mada hii ambayo imekuwa hewani kuhusiana na matukio haya ya ajabu manne bila kuwapoteza wasoamji, na kabla ya kuingia kwenye COINCIDENCE ya mambo mengine yaliyojitokeza kwenye siku kati ya J2 ya wiki juzi na J5 ya wiki jana, mhusika anapenda kukumbushia mambo kadhaa yafuatayo, kabla hajahamia kwenye jambo lingine

  • Kwamba mada iliyokuwepo hewani mpaka muda ilikuwa inahusiana na matukio manne ya ajabu ambayo mhusika alishawahi kuyashuhudia
  • Matukio haya, ni machache sana kati ya mengi sana ambayo mhusika ameshawahi kukumbana nayo mpaka muda huu
  • Kati ya matukio haya manne, matatu yalitokea Kanisani na moja ambalo linahusiana na Fire Extinguisher, ni la ofisini
  • Matukio ya ofisini ni mengi mno ukilinganisha na yale ya Kanisani, kwa sababu mzizi wa mtandao wa matukio haya upo ofisini
  • Na kwa sababu nia haikuwa kuongelea matukio ya ofisini, ndiyo maana mhusika ameamua kuleta kwenu matukio mengi ya Kanisani, possibly panapo nafasi huko mbele ya safari, na ya ofisini nayo atayongelea pia
  • Katika matukio haya mannne, tukio moja la ofisini ameliunganisha kwa sababu nalo pia ni kati ya yale matukio mengi ya ofisini ambayo yanayomhusisha Mr X
Mbali na hayo, maelezo ya matukio haya manne, yalichochewa pia na ukweli kwamba J2 ya tarehe 26/04/2020 kwenye mkutano wa dharura wa wanaume:

  • Ilionekana kama kulikuwa na fujo ilikuwa imepangwa kufanyika Kanisani, iwapo mhusika angeamua kunyanyua ulini wake kutoa hoja kwenye mkutano huo
  • Na ili kuthibitisha wasiwasi wake huu kwa wasomaji, mhusika alilazimika sasa kutoa taarifa kwa wasomaji, ya baadhi ya matukio machache sana ambayo yalishawahi kumpata huko nyuma., nia yake ikiwa ni kuwapa mwanga wasomaji waweze kupima juu ya wasiwasi wake huo kwamba, HAWA VIONGOZI AMBAO MHUSIKA ANADAI KUWA WANAWEZA KUWA WALIKUWA WAMEPANGA KUFANYA FUJO SIKU HIYO YA MKUTANO; FUJO AMBAYO INGEWEZA HATA KUPELEKEA VYOMBO VYA DOLA KUSOGEA KANISANI HAPO KWA AJILI YA KUTULIZA GHASIA, JE NI KWELI KWAMBA VIONGOZI HAO WANAWEZA KUWA WANA DALILI ZA UELEKEO WA MASHAKA YA MHUSIKA, AU ANAWASINGIZIA? JE, NI KWELI VIONGOZI HAO WANAFANANAFANANA NA MATENDO YA NAMNA HIYO?
Kwa hiyo kwa kukumbushia tu ni kwamba, kipengele hiki cha mwisho chenye maswali ndiyo kilichopelekea mhusika alete kwenu baadhi tu ya matukio (machache sana) kati ya mengi ambayo taarifa zake anazo, na ambayo haupo hata muda wa kutosha kuweza kuyaleta kwenu moja baada ya jingine. Kikubwa alichozingatia hapa ni kuchagua yale ambayo Mr X anahusika kwa sababu yeye ni mtu pekee kati ya watu wachache sana ambao wana-operate kwenye INTERSECTION ya set zote mbili za mitandao, yaani ule wa ofisini na wa kanisani pia. Hii pia inamaanisha kuwa si Mr X peke yake anaye operate kwenye mitandao miwili, wapo wengine pia ofisini, japo ofisi zao haziko jengo moja na la mhusika kama ilivyo kwa Mr X

NEXT: COINCIDENCE YA WIKI JANA
 
UPDATE 2: WEDNESDAY 03/06/2020

RARE COINCIDENCE ILIYOTOKEA KATI YA SIKU ZA JUMAPILI YA TAREHE 24/05/2020 NA JUMATANO YA TAREHE 27/05/2020; NA AMBAYO INAMHUSISHA MR X TENA



MAELEZO YA AWALI KUHUSIANA NA MATUKIO YANAYOUNDA COINCIDENCE YENYEWE


Awali ya yote, mhusika hapa anomba aeleweke kuwa mambo atakayoyaeleza kwenye kichwa hiki cha habari, bado hajayafanyia utafiti wa kutosha, na hivyo hayajafikia katika kiwango ambacho kinaweza kikamruhusu akabadilisha hadhi ya jambo kutoka kuwa JAMBO LA KAWAIDA na kuwa TUKIO LA AJABU. Ieleweke pia kuwa, kutokea kwa coincidence hii kulisababishwa na mhusika mwenyewe, pengine katika namna ambayo inaelekea kufanana kidogo na ya tukio lililotokea Kanisani, baada ya kuwa aametoa pendekezo la uwepo wa sadaka kwa ajili ya wale ambao ni watoro wa usafi wa Jumamosi Kanisani, yeye mwenyewe akiwa mmoja wao

Kwa mtu ambaye amekuwa akifuatilia uzi huu tangu mwanzo, hatashangaa sana kusikia kuwa mhusika ni rafiki yake na watoto wawili wadogo wa Mr X. Safari hii, watoto hawa ndiyo walim-trigger mhusika, ila katika namna ambayo ni nzuri na ya kiroho zaidi, na hivyo kupelekea yeye mwenyewe kusababisha coincidence hii. Uzuri ni kwamba, ni katika namna ya kiroho ambayo mtu yeyote yule anaweza kuelewa maudhui yake, hata yule ambaye hajui chochote kabisa kwenye mambo yetu haya ya kiroho

Ni kwamba siku moja usiku, mhusika alionyeshwa kwenye ulimwengu wa roho, akiwa mtaani kwenye maduka yaliyoko pembezoni mwa barabara, na watoto hao wawili wa Mr X. Nia yao walikuwa wanatafuta kununua maji ya kunywa dukani. Sehemu hiyo kulikuwa na watu wengi wamekaa wakiburudika na vinywaji, lakini hawakuwa wamevaa BARAKOA. Hata hivyo kipindi mhusika anonyeshwa haya, ndiyo kipindi ambacho uvaaji wa barakoa ulikuwa umepamba moto, yaani ulikuwa uko kwenye peak, lakini mtaani watu hawakuwa wmevaa barakoa.

Baada ya kitu hiki kutokea, mhusika akiwa ofisini, alimjulisha Mr X juu ya tukio hilo, na zaidi akimweleza kuwa watoto wake ni rafiki zake ndiyo lakini hajawahi hata siku moja kuonyeshwa kitu kupitia wao, wakati wa usiku. Ni kweli kuna matukio mengi tu ya kiroho ambayo watoto hao wamewahi kumfunulia mhusika na yenye ujumbe wa kiroho ambao ni PRECISE ila haikuwa katika namna ya hii ya sasa; ilikuwa katika namna tofauti sana na katika hali ambayo ni LIVE ZAIDI

Mhusika akiwa anaendelea kutafakari juu ya ujumbe wa watoto hao, hatimaye alijibiwa kwenye ulimwengu wa roho kuwa watoto hao aliokuwa anatembea nao mitaani, kukiwa na watu wengi na ambao hawakuwa wamevaa BARAKOA, wakitafuta maji ya kunywa. unamaanisha kuwa CORONA ITAKWISHA MUDA SIYO MREFU. Huo ndiyo ujumbe ambao watoto walikuwa wanataka mhusika aujue. Tangu mhusika kupokea ujumbe akiwa na watoto, hadi kufikia siku ya majibu ya ujumbe huo, haikupita wiki. Mhusika baada ya kupokea majibu, akiwa ofisini akabatika kuonana tena na Mr X ofisini kwa Mkuu wa Idara, na kulikuwepo na watu wengine wawili mmojawapo akiwa ni Katibu Muhtasi wa Mkuu wa Idara. Mhusika tena akamwaga ujumbe huo, safari hii sasa mbele ya watu watatu, akimweleza Mr X kuwa ule ujumbe alioletewa akiwa na rafiki zake, umekuwa decoded na kwamba kumbe rafiki zake walikuwa wanampa message kwamba CORIONA ITAKWISHA MUDA SIYO MREFU. Mr X aliupokea ujumbe huo kwa furaha, na mbele ya watu wengie wawili.

Baada ya siku kadhaa kupita, J2 moja ikatangazwa kuwa CORONA imepungua sana na kwamba kuna uwezekano wa michezo ya Ligi Kuu kuruhusiwa kuanza. Siku kadhaa tena baada ya hapo, ikatangazwa kufunguliwa kwa vyuo pamoja na shule kwa wanafunzi wa Form Six, pamoja na siku tatu za maombi ya shukrani, kuanzai Ijumaa mpaka Jumapili. Hiyo sasa ilikuwa ni wiki juzi.

Mpaka hapa, ujumbe wa watoto rafiki zake na mhusika, watoto wa Mr X, ukawa umekuwa PRECISE kwa mara nyingine tena, na mhusika alishangaa sana



MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO YANAYOUNDA COINCIDENCE YENYEWE

Baada ya mhusika kuwa ameuhakiki ujumbe wa watoto, Ijumaa ya tarahe 22/05/2020 (ambayo pia ilikuwa siku ya kwanza ya maombi ya shukrani kwa ajili ya CORONA) akiwa anatokea Mlimani City, alipita Savei kwenye duka kubwa linalouza vinywaji vya jumla, akanunua carton mbili za soda take-away (hakuchagua brand) pamoja na vi-bites kidogo, kwa ajili ya watoto hao. Baada ya kufanya hivyo:

  • Alikabidhi risiti ya manunuzi hayo kwa mhusika mmoja ndani ya duka hilo, na kumpa maaelekezo akimwambia kuwa kuna mtu mwingine atakuja baadaye kuzichukua bidhaa hizo
  • Mhusika aliziacha bidhaa hizo na kuelekea nyumbani kwake
  • Alipofika nyumbani, alimpigia Mr X na kumweleza kuwa kuna zawadi kwa ajli ya rafiki zake, inabidi azipitie duka kubwa pale Savei halafu awapelekee
  • Zaidi mhusika alimweleza kuwa, kwa sababu siku hiyo ilikuwa ni kwa ajili ya maombi ya shukrani, na ujumbe alioletewa kuhusiana na kuisha kwa CORONA uikuwa umeambatana na pilika pilika za marafiki watatu waliokuwa wanatafuta maji ya kunywa mtaani, basi hayo ndiyo maji kwa ajili ya rafiki zake, na ambayo yanawafaa kwenye siku kana hiyo ya shukrani kwa ajili ya kuelekea kuisha kwa CORONA
  • Mr X alishukuru sana na kuahidi kuwa atafika dukani na kuwapelekea zawadi yao watoto.
Siku hiyo ikapita na mhusika hakuwahi kuwasiliana tena na Mr X hadi walipoonana ofisini J3 ya tarehe 26/05/2020.

Tukirudi nyuma kidogo, Jumapili ya tarehe 24/05/2020 ilikuwa J2 ya tatu mfululizo, tangu mhusika abadilishe utaratinbu wake wa siku nyingi wa kuhudhuria Ibada ya kwanza na kuanza kuhudhuria Ibada ya pili. Kwa hiyo kuna J2 zingine mbili nyuma zilikuwa zimepita, tangu aanze kuhudhuria Ibada ya pili

  • J2 mbili za mwanzo alikuwa kila akifika Kanisani anakuta Ibada ya pili bado haijaanza, na hivyo ilikuwa inaanza akiwa yupo ameshafika
  • J2 hiyo tajwa, alikuta Ibada ya pili imeshaanza, japo muda wa kuwasili Kanisani hapo haukutofautiana sana na ule wa J2 mbil zile za mwanzo
  • Zaidi ni kuwa mhuiska na Mr X hawakuonana kanisani J2 hiyo
Baada ya Ibada kuisha, akiwa anatokea kanisani, mhusika aliamua kupita dukani Savei kuhakikisha kama Mr X alichukua zawadi hizo na kuwapelekea watoto

  • Alifanya hivi kwa sababu mhusika aliona isingekuwa busara sana kumpigia simu mtu J2 hiyo kumuuliza kama alifanikiwa kuchukua zawadi wakati tayari aliahidi angezichukua Ijumaa
  • Alipofika dukani alihakikishiwa kuwa Mr X alifika dukani na kuchukua zawadi za watoto
Kabla mhusika hajafika dukani savei J2 hiyo:

  • Akiwa anatokea Kanisani, alifika Savei na kwenda kupark gari mbele ya kituo cha daladala kilichoko kushoto mwa barabara kama unaelekea Chuo Kikuu cha Ardhi (CKA)
  • Mara nyingi huwa anapendelea sana kupaki sehemu hiyo, kwa hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kufanya hivyo
  • Wakati anapaki gari kwenye kituo hicho cha daladala, kumbukumbu zake zinamwambia kuwa aidha hapakuwa na mtu au kama walikuwepo, basi watakuwa ni watu ambao hakuwa anafahamiana nao
Hat hivyo, wakati sasa anarudi kutoka dukani kuelekea pale alipokuwa amepaki gari

  • Kituoni kulikuwa na watu wawili wa kike wamekaa na walioonekana dhahiri kabisa kuwa walikuwa wanasubiria daladala
  • Mmoja alimfahamu kwa sura na kumpungia pasipo salamu ya sauti, na mwingine msichana mdogo rika la chuo, hakuweza kumtambua
  • Baada ya kuwa amekaribia kwenye gari, picha ya yule wa pili nayo pia ilikuja
  • Alikuwa ni motto wa huyo mwanamke mwingine aliyempungia, yaani walikuwa mama na mwana
  • Kwa kumbukumbu zake mhusika, mtoto huyu mara ya mwisho alimuona mwaka 2004, walikuwa majirani zake mahali ambapo mhusika aliwahi kuishi kipindi cha nyuma kabla hajahamia sehemu nyingine
  • Kipindi binti huyu na mhusika wanatengana , binti huyu wa sasa alikuwa ni mtoto mdogo mwenye umri usiozidi takribani miaka mitano (5)


  • ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom