#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: 21 JULY 2020

NYONGEZA YA MUHIMU KUHUSIANA NA MAHUBIRI YA UZINZI YALIYOWAHI KUFANYIKA WAKATI WA IBADA KIPINDI KILICHOPITA (NA AMBACHO TAYARI MHUSIKA AMESHAKIONGELEA)

Kipindi Ibada za uzinzi zilipokuwa zinaendelea, ilitokea J2 moja KANISA ZIMA likatangaziwa kuwa J2 inayofuata watu wote wanaombwa wapite mbele ya madhabahu ili kuwekewa mikono kwa ajili ya Baraka

  • Mhusika alifarijika sana na tangazo hilo na aliisubiri J2 hiyo kwa hamu sana, ukizingatia kuwa kwenye kipindi hicho ndiyo muda ambao madhabahu ilikuwa imeshakuwa adimu sana kwa mtu mwingine yeyote yule, unless mtu uwe ni yule uliye kwenye kundi la wazinzi, au kundi jingine linalofanana na hilo
  • J2 husika ilipofika, kuna kitu kisichokuwa cha kawaida kikafanywa kwenye madhababu


MADHABAHU (MIMBARI) YAONDOLEWA KWENYE STAGE WAKATI WA ZOEZI LA WAUMINI KUWEKEWA MIKONO J2 HUSIKA

  • Kwa uelewa wa mhusika, madhabahu siyo ile stage wanaposimama wachungaji wakati wanahubiri
  • Kinachofanya Madhabahu iitwe madhabahu ni ile MIMBARI au mnara ambao mara nyingi una umbo la msalaba au alama ya msalaba; umetengenezwa kwa aidha ubao au glass; unaokaa juu ya stage mbele ya Kanisa, na siyo stage yenyewe
  • MIMBARI inaweza kukaa peke yake kwenye sakafu ya kawaida tu isiyokuwa na stage, na mahali pale pakabadilika na kuwa MADHABABHU, lakini stage peke yake bila MIMBARI haiwezi kuitwa madhabahu
  • Tofauti na MIMBARI zinazokuwepo sehemu zingine zisizokuwa nyumba za Ibada, kama vile kumbi za mikutano au za sherehe, MIMBARI ya Kanisani yenyewe huwa pia imewekwa wakfu, na hicho ndiyo kitu kinachosababisha ifanyike madhabahu popote pale itakapokuwa imewekwa, hata kama siyo kwenye stage
  • Pia ni mahali ambapo wachungaji huwa wanaweka Biblia na silaha zao zingine za kiroho ambazo huwa wanazitumia wakati wanapokuwa wanaendesha Ibada
  • J2 husika ya waumini wote kuwekewa mikono ilipofika, MIMBARI ILIBEBWA NA BAADHI YA WAHUDUMU WA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU, NA KUWEKWA PEMBENI KABISA MBALI NA STAGE AMBAPO HUWA SIKU ZOTE INAKUWEPO
  • Waumini walianza kupita wakipandisha juu ya stage ambayo haikuwa na mimbari, na hivyo mahali pale hapakuwa madhabahuni tena kwa sababu madhabahu ilikuwa imehamishwa na kuwepelekwa mahali kwingine
  • Kwa hiyo waliwekewa mikono, huku MADHABAHU IKIWA HAIPO , na hii wala siyo kwamba ilikuwa ni oversight, hapana ilikuwa ni makusudi
  • Kwa hiyo waumini walipita mbele wakawekewa mikono kwenye stage na si kwenye madhabahu kama walivyokuwa wametangaziwa hapo awali
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kuona zoezi la waumini kuwekewa mikono linafanyika kwa namna hiyo
  • Mhusika aliamua kutoshiriki zoezi hilo
  • Hata hivyo ilitokea Mr X wakati akielekea kwenye zoezi hilo, alipita karibu na mhusika na kuanza kumsihi kwa sana kwamba aende mbele na kuwekewa mikono, lakini aligoma kata kata
  • Sababu kubwa iliyomfanya asishiriki ni kuwa madhabahu haikuwepo pale kwenye stage, ilikuwa imeondolewa
  • Mojawapo wa waumini walioshiriki kuibeba na kuiweka pembeni madhabahu hiyo ni mdogo wake na mhubiri wa mahubiri ya uzinzi; yaani mdogo wake na kiongozi yule mhusika wa manunuzi ya sanitizer
Mpaka muda huu, ukweli ni kuwa mahubiri ya uzinzi hayapo kabisa kanisani hapo ila keyword au secret code ya neno UZINZI bado inaendelea kutumika tena kwa sana tu, ila kwa usiri wa hali ya juu sana, na kwa version nyingine tofauti kabisa na ile ya mwanzo. Ni SEQUENCE tu pamoja na technique za namna ya kui-invoke zilizobadilika.

Hata hivyo swala hili mhusika ameshaliongelea vya kutosha, na asingependa tena kuliongelea huko mbele ya safari kwa sababu linaweza mwishowe likageuka na kuwa-favour tena kwa wale wanaoendelea kufanya kile ambacho yeye anakiona hakiendi sawa. Hii ni kutokana na ukweli kwamba mpaka muda huu ameshatoa details za kutosha kuweza kuwasaidia wale wote ambao wanaona kuwa mhusika ana hoja, kama wapo. Anajaribu kufanya hivi ili isije mwishowe ikaonekana kuwa pengine ni yeye mwenyewe tu ameshakuwa obsessed na neno UZINZI, au neno jingine linalofanna na hilo. Hata hivyo mhusika anakiri kabisa kuwa kwa mtu amabye yuko makini na amekuwa akihudhuria Ibada zote za J2 ndani ya wiki kama 6 hivi mfululizo hadi kufikia J2 iliyopita, bila kukosekana, hawezi kuwa na shida ya kukuballiana na mhusika kwenye hili! Liko wazi sana.

HITIMISHO

Mhusika anaomba kuwashirikisha wasomaji maana ya neno ALTAR au MADHABAHU kutoka kwenye Google Dictinary iliyopo kwenye link hii



define: altar - بحث Google



ALTAR: 1. the table in a Christian church at which the bread and wine are consecrated in communion services.

2: a table or flat-topped block used as the focus for a religious ritual, especially for making sacrifices or offerings to a deity
.

Mhusika anazidi pia kusisitiza kuwa hawa watu ni wasomi wazuri, and if in need, one can easily convert (most of) them to (use them as) university lecturers

MwiH
elly obedy
 
UPDATE-2: 21 JULY 2020



NYONGEZA YA MUHIMU KUHUSIANA NA SWALA LA KIONGOZI MKUU KUPOTEA MADHABAHUNI KWA KIPINDI FULANI HALAFU KABLA HAJARUDI, INABIDI SECRET CODE ZITUMIKE KUMRUDISHA MADHABAHUNI



Hali ya Kiongozi Mkuu kupotea madhabahuni huwa inajitokeza PALE ANAKUWA YUPO KANISANI LAKINI ANAKUWA HAPANDI MADHABAHUNI KWA AJILI YA KUHUBIRI. Anaweza akawa kila J2 anapanda madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo tu, ila si kuhubiri.

Kwa wiki au miezi kadhaa sasa, amekuwa hakosekani madhabahuini kwa ajli ya kutoa matangazo tu na ambayo BAADHI YAKE si lazima sana kwamba ayatoe yeye. Issue hapa inayoendelea kwa sasa ni kuwa anataka kufunika ile hali ya yeye kupotea madhabahuni, kwa hiyo anajaribu kutengeneza atmosphere ya kutokupotea madhabahuni kwa kuhakikisha kuwa kila J2 anapanda madhabahuni angalau kutoa matangazo ili waumini wamuone kuwa amepanda madhabahuni.

Kwa hiyo kulingana na definition ya mhusika, Kiongozi Mkuu hayuko madhabahuni sasa hivi ila yupo Kanisani na anatoa matangazo kila J2.

Hii hali ndiyo inayomsaidia kwa sasa kuweza ku-invoke secret code yake bila walio wengi kujua, kwa kutumia sequence na technique mpya ambazo walio wengi hawawezi kuziona

Pamoja na kwamba si lazima sana pia kwamba kila mara lazima awe ni yeye anayesimama kwa ajili ya kuhubiri, lakini ukiangalia rekodi ya huko nyuma, kuna vipindi zaidi ya viwili ambavyo ameshawawahi kusimama yeye kila Jumapili mfululizo na kuhubiri kwa miezi angalau mitatu, (alichukua J2 zote pamoja na Ibada za J5 zote, yaani Ibada zote za katikati ya wiki alizichukua pia),na mojawapo ya masomo aliyowahi kufundisha kwenye muda tajwa wa miezi kadhaa, lilikuwa ni somo llenye kichwa SISI NI WATU WA NENO. Mhusika anaahidi kuwa itakapofikia kwenye hatua ya kumuongelea mtumishi David Kuselya, atatoa details za somo hili lililowahi kufundishwa kwa kipindi kirefu sana na Kiongozi Mkuu huyu, “SISI NI WATU WA NENO”

Still, ukweli ni kuwa, kwa sasa amepotea tena madhabahuni, kwa maana kuwa hapandi tena madhabahuni kuhubiri isipokuwa kwa ajili ya kutoa matangazo tu!

MwiH
elly obedy
 
UPDATE: WEDNESDAY 22 JULY 2020

NYONGEZA YA MUHIMU KUHUSIANA NA SECRET CODE INAYOTUMIA NENO UZINZI

  • Wakati mwingine huwa linatumika neno uasherati badala yake, japo kwa mara chache sana
  • Kwa mara zilizo nyingi, imedhihirika kabisa kuwa secret code lazima itamkwe na mtu akiwa amesimama madhabahuni, au mbele ya madhabahu
  • Ni mara moja tu ilipowahi kutamkwa na mtu (mnunuzi wa sanitizer) akiwa ameketi upande wa waumini, siku ya Ibada ya J3 ambayio kwa mara ya kwanza, mafundisho ya Neno la Mungu yaliendeshwa kwa njia ya majadiliano siku hiyo
  • Siku secret code ikitamtakwa, ilikuwa lazima iambatane na watu wanaohusika na code hiyo kukaribishwa wapite mbele ya madhabahu kwa ajili ya kuombewa
  • Hii ilimaanisha pia kuwa nyuma yake kuna siku ambayo pepo mhusika alirushwa Kanisani hapo, na tayari kiongozi wa Ibada anayesimama madhabahuni anakuwa na uhakika kabisa kuwa kuna waathirika wanaotokana na code hiyo, siku hiyo.
Pepo akisharushwa, mlengwa lazima a-expereince madhara yake usiku kwa kushambuliwa au kukoswa koswa kushambuliwa akiwa usingizini na kwenye ndoto

Kwa hiyo mtu anaposimama madhabahuni kuita watu wa aina anayoitaka, anakuwa na uhakika kabisa kuwa wapo, na kweli huwa angalau yupo mtu mmoja.

Still, siku hiyo kunakuwa pia na utitiri wa teenagers wamealikwa kutoka kusikojulikana, kuja ku-“join the move” na kufanya kitu kingine cha kiroho kwenye sakafu iliyoko mbele ya madhabahu, (mahali pale ambapo watu ambao hukaribishwa kupita mbele madhabahuni huwa wanakanyaga kwa miguu yao wakiwa wamesimama wakati wa maombezi) na kwenye madhabahu pia

Yakishafanyika haya yote, J2 inayofuata ndiyo sasa Kiongozi Mkuu anapanda madhabahuni kuhubiri, baada ya kuwa hajafanya hivyo kwa wiki kadhaa

UTHIBITISHO KUWA VIONGOZI HAWA HUWA WANA UHAKIKA WA UWEPO WA VICTIMS WANAOSHAMBULIWA NDOTONI USIKU

Wanakuwa na roho hiyo ya utambuzi kwa sababu wanaohusika na kurusha pepo wa aina hiyo ni wao, ila inakuwa ni roho ya utambuzi isiyotokana na mamlaka za Mungu bali za kuzimu.

Roho hiyo ya utambuzi inajidhihirisha katika mambo makuu mawili haya hapa chini

MOJA: Kuna siku mhubiri wa uzinzi aliwahi kutamka “wakati mwingine jitu linashambuliwa linafanya mapenzi usingizini hadi linafikia hatua ya kupiga kelele, Mungu atusaidie sana wapendwa”. Hapa huyu mtu alikuwa na uhakika kabisa na alichokuwa akikitamka

MBILI: Kuna siku Kiongozi Mkuu aliwahi kulalalmika kuwa watu walengwa wa mashambulio hayo hawakupita mbele. Hii inaonyesha kuwa huyu mtu alikuwa na uhakika kabisa wa uwepo wa angalau mtu mmoja wa aina hiyo.

Hiyo sasa Ilikuwa ni wakati wa Ibada ya jioni J2, ambapo kiongozi huyo alichagua age group fulani ya watu ambayo hata mhusika naye alijikuta yu miongoni mwa sifa za waliotakiwa kuwepo. Alikawakaribisha halafu walipofika Kanisani akawakabidhi kwa nabii. Wakati anawakaribisha hakuwajulisha theme ya ujumbe, walipofika Kanisani ndiyo wakakumbana na nabii na mojawapo ya theme ikawa ni UZINZI.

Siku hiyo pia ilikuwa ni siku pekee ambayo mhusika alibahatika kuona sura nyingi ngeni Kanisani hapo ambazo anakiri kabisa kuwa hapo kabla, hakuwa amewahi kuziona kabisa kanisani hapo na hajawahi kuziona tena mpaka leo. Zaidi ni kuwa, age-group aliyoihitaji Kiongozi Mkuu, haina watu wengi kihivyo Kanisani hapo lakini cha kushangaza zaidi ni kuwa Kanisa lilifurika jioni hiyo siyo kawaida!



HITIMISHO

Kwa namna ilivyokuwa huko nyuma kuhusiana na swala hili la secret code ya UZINZI, wakishakamilisha sequence yao ya ku-invoke secret code hiyo, lazima angalau muumini mmoja apate mashambulio ya aina hiyo. Pepo anarushwa kutokea Kanisani halafu mtu anamchukua anenda naye hadi nyumbani kwake

This how it used to work in the former days, na kwa mfumo huu mpya ulioanza kutumika sasa, mhusika bado anaendelea kuusoma, maana technique imebadilika ikiwa ni pamoja na sequence, na inaonekana kama kuna ingizo jipya kwenye timu iliyokuwa inahusika, na kama si ingizo jipya, basi inaonyesha pengine huko nyuma mhusika alikuwa amepigwa chenga kidogo, hakuwa ameifahamu timu kamili kama alivyopaswa kuifahamu

MwiH
elly obedy
 
Mhusika anazidi kukumbushia kuwa anakaribisha maswali pia, kama yapo
 
UPDATE: TUESDAY 29 JULY 2020



NYONGEZA YA MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA MR Y ALILOWAHI KUILIELEZEA HUKO NYUMA

TUKIO JINGINE JIPYA NA LA KUSIKITISHA SANA LINALOFANANA NA LILE LA MR Y

  • Tukio la mwanzo ni lile ambalo mhusika alitakiwa asafiri kwenda kufanya kazi mkoani, pasipo kuwa amepata ruhusa ya mwajiri wake
  • Kazi hiyo alitafutiwa na Mr Y
Kwa taarifa za sasa hivi ni kuwa, siku ya leo Jumanne, tarehe 28/07/2020, mhusika amepatwa na tukio jingine kubwa, ambalo nalo linaelekea kufafana sana na lile la Mr Y

MAELEZO YA TUKIO HILI NI KAMA IFUATAVYO HAPA CHINI


MHUSIKA APATA TAARIFA ZA MSIBA WA GHAFLA WA MDOGO WAKE

Mdogo wake huyu ndiyo yule aliyewahi kuja nyumbani kwa mhusika August 2008 akiwa anahitaji matibabu, halafu ndiyo kipindi hicho Mr Y akamletea mhusika ofa ya kwenda kufanya kazi mkoani, kazi ambayo baadaye iliyeyuka ghafla



Hata hivyo si nia ya mhusika kuwa anaweka public kila tukio analokumbana nalo, lakini kwa hili inabidi aliweke hadharani kutokana na mfanano uliojitokeza

MHUSIKA APATA TAARIFA ZA MSIBA WA GHAFLA WA MDOGO WAKE

  • Hakuugua, amefariki ghafla tu usiku wa kuamkia leo
  • Inasemekana amefariki saa saba za usiku wa kuamkia Jumanne ya tarehe 28/072020
  • Mhusika alipata taarifa za msiba leo saa 2 asubuhi, baada ya kupigiwa simu na shemeji yake anayeishi Mwanza
  • Chanzo cha kifo chake hakijajulikana vizuri ila kwa upande mwingine inaonyesha kama kuna uwezekano wa kuwekewa sumu kwenye kinywaji aina ya pombe
SHERIA YA UTUMISHI WA UMMA KUHUSIANA NA MASWALA YA MFANYAKAZI KUPEWA RUHUSA KWA AJILI YA KWENDA KUHANI MSIBA WA NDUGU ZAKE

  • Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha utumishi wake, mhusika alipata tatizo la msiba wa Baba mlezi mwaka 2006
  • Wakati huo sheria ya kwenda kuhani msiba ilikuwa inawatambua warihti tu walioko kwenye file ambao ni Baba/ Mlezi na Mama/ Mlezi
  • Wengine wote hawakuwa wanahusika na kama mtumishi ataamua kwenda, basi si kwa ruhusa ya mwajiri na kwa hali hiyo atahesabiwa kuwa maetorka kazini
  • UNLESS kama sheria hiyo imebadilika kwa sasa, ila kama siyo, basi itakuwa bado iko hivyo; inaendelea kutambua wazazi/ walezi tu
  • Kwa hiyo, kwa namna ambavyo sheria ilivyo kwa sasa, tuseme kama mhuiska angeamua kuondoka leo Jumanne ili kuwahi mazishi kesho Jumatano, ilibidi atoroke kwa sababu aliyefariki ni mdogo wake wa tumbo moja na si mzazi au mlezi
  • Zaidi ni kuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa Julai 2020, mhusika alipata waraka kutoka mamlaka za juu ofisini kwake, uliomhitaji ku-update taarifa zake kwenye file lake, mojawapo ikiwa ni hiyo taarifa ya mrithi (Next of Kin), ambaye kawaida anakuwa ni mzazi/ mlezi
  • Mhusika alijaza taarifa hizo kiwa usahihi na kuziwasilisha yeye mwenyewe kwa Katibu Muhtasi wa Idara Julai 2020, mrithi akiwa ameonyesha kuwa ni mama yake mzazi
  • Msiba umetokea muda mfupi tu baada ya mhusika kuwasilisha taarifa hizi
TUKIO JINGINE LA MSIBA LILILOWAHI KUMTOKEA MHUSIKA MWAKA 2006, NA LINALOSHAHIBIANA KIDOGO NA HILI HAPA JUU

  • Mara ya kwanza na ya mwisho mhusika alijaza taarifa za warihti wake ilikuwa ni mwezi August/ Septemba 2006
  • Alifanya hivyo pia baada ya kuwa kuwa ameombwa kufanya hivyo na mamlaka husika kupitia idarani kwake
  • Baada ya kujaza taarifa hizo mwaka huo, Baba yake Mlezi alifariki dunia Septemba 2006, ikiwa ni siku chache tu baada ya kuwa amewasilisha taarifa hizi
  • Baada ya msiba kutokea, alipigiwa simu ghafla na na pia kujulishwa kuwa inabidi awahi mazishi kwa sababu marehemu alikuwa ameusia kuwa asizikwe bila yeye mhusika kuwepo msibani
  • Mhusika aliondoka ghafla kwa usafiri wa ndege na akafanikiwa kuwahi mazishi
  • Hata hivyo baada ya siku nyingi kupita, ikabanika kuwa marehemu hakuwa ameusia hivyo bali mhusika alidanganywa
  • Hatimaye kadri siku zilivyopita, alikuja kubaini kuwa BAADHI ya waliokuwepo huko msibani walikuwa wanamhitaji mhusika kwa sababu walizozijua wao, na hivyo njia pekee iliyokuwa bora ya wao kuhakikisha kuwa wanampata kama wanavyomhitaji, ilikuwa ni kumdanganya kuwa marehemu alisema asizikwe bila yeye (mhusika) kuwepo
HITIMISHO

Kwa kifupi tu ni kwamba, mara ya mwisho mhusika aliwahi kuwa huko ni mwaka 2009, na baada ya hapo hajawahi tena kurudi huko kutokana na matukio yaliyowahi kujitokeza pindi alipokuwa huko.

Zaidi ni kwamba tangu May 2012 hajawahi kufanya safari yoyote ile (ya kikazi au binafsi), nje ya mkoa wa Dar es salaam kutokana na sababu za kiusalama



Mbali na hayo yote ni kwamba kama mhusika angeamua kuchomoka na kuelekea uwanja wa ndege kuwahi mazishi Mwanza, wale ambao wangebahatika kumuona wangedhani anakwenda Airport kwa ajili ya msiba wetu huu mkubwa wa Kitaifa wa kuondokewa na Rais wetu mpendwa, BWM.

MwiH
elly obedy
 
Mhusika anashuku mambo mengi sana, inaelekea hana familia ya angalau kuiteka akili yake iachane na ya kudhani kila watu, mazingira na matukio, yakatokea kumuwinda yeye.
 
UPDATE: WEDNEDAY 29 JULY 2020

MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA MSIBA WA BABA MLEZI ULIOWAHI KUMFIKA MHUSIKA MWAKA 2006

  • Alikuwa ni baba yake mkubwa, kaka ya marehemu baba yake mzazi na mhusika
  • Huyu ndiye alimlea na kumkuza mhusika, ikiwa ni pamoja na kumsomesha kuanzia Shule ya Sekondari
  • Kipindi anapatwa na tatizo la kuugua ghafla na kufariki, alikuwa yuko njiani kuja Dar es salaam kumtembelea mhusika ikiwa ni pamoja na kuja kumsikiliza mhusika kuna jambo ambalo alitaka kumweleza lilikuwa limemtatiza sana katika maisha yake, na katika mazingira yake yote
  • Kwa hiyo alitoka mzee huyu Mwanza akapitia Ushirombo kwanza kwa mtoto wake wa kwanza wa kiume, halafu akiwa huko ndiyo akaanza kujisikaia vibaya, ikabidi arudi ghafla nyumbani, halafu akaenda akafariki baada ya siku chache sana.
  • Wakati huo simu ya mhusika ilikuwa imepoteza netwok kwa karibia wiki nzima, ikiwa na tatizo la hardware, na alikuwa ameipeleka kwa fundi pale Uhuru roundabout
  • Siku inapoteza network, ilikuwa ni jioni ambayo mhusika alikuwa amepanga appointment ya kuongea na mzee huyo
  • Walipoanza mazungumzo tu, netwok ikakatika ghafla na kuanzia hapo simu ya mhusika ikawa ikawa haina mawasilano tena
  • Mzee alipofariki ndiyo mhusika akapigiwa simu ghafla akielezwa kuwa inabidi awahi mazishi kwa sababu marehemu alisema asizikwe bila ya yeye (mhusika) kuwepo
  • Zaidi ni kuwa wakati mhusika akiwa huko msibani, watoto wawili wa kiume wa marehemu na ambao walikumuuguza mzee, walimwita pembeni mhusika na kumkabidhi HATI YA KIFO cha Baba huyo mlezi, kilichoonyessha kuwa kimetolewa na mamlaka ya Hospitali ya Sumve ambako ndiko mzee huyo alipoteza maisha akiwa anapata matibabu
  • Mhusika hakuwa amehitaji kupewa cheti hicho, na wala alikuwa hajui kama walikuwa nacho hao wenzake
  • Vilevile hakuwa na hata chembe ya mashaka juu ya kifo cha Baba yake mlezi, aliamini kabisa kuwa ilikuwa ni kazi ya Mungu kama ilivyo kawaida siku zote
  • Hata hivyo, baada ya siku kadhaa kupita, mhusika alikuja kubaini kuwa cheti hicho kilikuwa ni cha FORGERY, na hakikuwa kimetolewa na Daktari yeyote wa kutoka kwenye mamlaka ya Hospitali hiyo ya Sumve
  • Kwa hiyo cheti hicho feki kilikuwa pia kinaonyesha ugonjwa ambao si ule uliokuwa umepelekea mzee huyo kuitwa mbele ya haki
  • Bahati mbaya mwaka 2007 mwishoni, mhusika akapoteza wallet yake ya pesa akiwa ndani ya gari, pale geti la Serengeti, uelekeo wa Mwanza
  • Alikuwa na watu wengine ndani ya gari wakiwa wanatokea Arusha kuelekea Geita na Kagera kwenda kuweka vituo vya kupima Matetemeko ya Ardhi
  • Cheti hicho alikuwa anatembea nacho akiwa amekikunja kwenye wallet yake, kwa hiyo nacho kikapotea
  • Bahati mbaya nyingine ni kwamba alikuwa hajakipiga photocopy, kwa hiyo ushahidi wa cheti hicho ukawa umepotea tangu siku hiyo
Baada ya coincidences hizi kujitokeza, zilianza kuonyesha dalili KAMA huyu mzee hakutakiwa kuja Dar es salaam. Ilionyesha KAMA kulikuwa na kitu cha msaada kwa mhusika alichokuwa anakijua mzee huyu, ambacho mhusika mwenyewe alikuwa hajakijua bado mpaka wakati huo.

MWISHO WA MAELEZO YA NYONGEZA YA TUKIO HILI​
 
Mhusika anashuku mambo mengi sana, inaelekea hana familia ya angalau kuiteka akili yake iachane na ya kudhani kila watu, mazingira na matukio, yakatokea kumuwinda yeye.
Kama ana matatizo ya Kisaikolojia, atapata msaada unaohitajika
 
By the way: kwa wale wote ambao ni church goers! Kuna kitu mimi mwenyewe kimenitatiza sana siku nyingi.Inawezekana ni kutokana na uchanga wangu wa kiroho.

Mpaka muda huu nimeshaainisha wahubiri wa aina mbili wanaosimama madhababhuni, na ninadhani kuwa aina mojawapo tu ndiyo ni sahihi na si zote

AINA YA KWANZA: Mchungaji anasimama madhabahuni na kusoma kwa sauti kubwa, fungu kutoka kwenye Maandiko Matakatifu, halafu analiombea neno hilo, au anamshirikisha mchungaji mwingine kuomba badala yake, halafu ndiyo anananza kufundisha maneno ya Mungu

AINA YA PILI:
MOJA: Mhubiri anasimama madhabahuni na kuanza kuhubiri kutoka mdomoni tu bila kusoma andiko lolote kutoka kwenye Maandiko Matakatifu na bila hata ya kuomba kwa ajili ya neno hilo, achilia mbali kumkaribisha mchungaji mwingine kuombea neno hilo badala yake yeye

MBILI: Anakuwa hana muda wa kusoma mafungu kutoka kwenye maandiko matakatifu akisisitiza kuwa muda hautoshi, mengi anakuwa anayataja tu na machache sana anakuwa anasoma

Yaani amepanda madhabahuni kuhubiri bila hata ya kuomba au kusoma fungu lolote lile wakati ana muda wa zaidi ya saa nzima kwa ajili ya kuhubiri. Je muda huwa haitoshi kusoma mafungu kutoka kwenye Maandiko Natakatifu?


Kati ya hawa wahubiri wawili, yupi yuko sahihi? Naamini kuwa mmojwapo tu ndiyo yuko sahihi ila siyo wote.
MUBARIKIWE NA BWANA
 
UPDATE-2: WEDNESDAY 29 JULY 2020

TAARIFA ZA NYONGEZA KUHUSIANA NA MAREHEMU MDOGO WAKE NA MHUSIKA:



Ameacha mke na watoto wanne, mkubwa wao ndiyo yuko kidato cha kwanza sasa hivi

Mwaka 2008 pia aliwahi alinusurika kupoteza maisha, kama asingewahi matibabu huku Da es salaam, wiki isingepita angepoteza maisha. Hata hivyo Mungu ahimidiwe tena kwa kipindi hicho alimnusuru.



Madaktari wa Kituo cha Afya cha taasisi anayofanyia kazi mhusika walimhudumia vizuri muno wakanusuru maisha yake na pasipo gharama yoyote kwa sababu alikuja akagundulika kuwa alikuwa na TB. Wakati mwingine madaktari hawa walikuwa wanam-refer kwenda Muhimbili au Hubert Kairuki kwa ajili ya vipimo tu. Washukuriwe sana madaktari hawa kwani ndiyo hawa hawa. Juzi wametupitisha tena kwenye janga la Corona, Mungu atawalipa
 
UPDATE: TUESDAY 29 JULY 2020



NYONGEZA YA MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA MR Y ALILOWAHI KUILIELEZEA HUKO NYUMA

TUKIO JINGINE JIPYA NA LA KUSIKITISHA SANA LINALOFANANA NA LILE LA MR Y

  • Tukio la mwanzo ni lile ambalo mhusika alitakiwa asafiri kwenda kufanya kazi mkoani, pasipo kuwa amepata ruhusa ya mwajiri wake
  • Kazi hiyo alitafutiwa na Mr Y
Kwa taarifa za sasa hivi ni kuwa, siku ya leo Jumanne, tarehe 28/07/2020, mhusika amepatwa na tukio jingine kubwa, ambalo nalo linaelekea kufafana sana na lile la Mr Y

MAELEZO YA TUKIO HILI NI KAMA IFUATAVYO HAPA CHINI


MHUSIKA APATA TAARIFA ZA MSIBA WA GHAFLA WA MDOGO WAKE

Mdogo wake huyu ndiyo yule aliyewahi kuja nyumbani kwa mhusika August 2008 akiwa anahitaji matibabu, halafu ndiyo kipindi hicho Mr Y akamletea mhusika ofa ya kwenda kufanya kazi mkoani, kazi ambayo baadaye iliyeyuka ghafla



Hata hivyo si nia ya mhusika kuwa anaweka public kila tukio analokumbana nalo, lakini kwa hili inabidi aliweke hadharani kutokana na mfanano uliojitokeza

MHUSIKA APATA TAARIFA ZA MSIBA WA GHAFLA WA MDOGO WAKE

  • Hakuugua, amefariki ghafla tu usiku wa kuamkia leo
  • Inasemekana amefariki saa saba za usiku wa kuamkia Jumanne ya tarehe 28/072020
  • Mhusika alipata taarifa za msiba leo saa 2 asubuhi, baada ya kupigiwa simu na shemeji yake anayeishi Mwanza
  • Chanzo cha kifo chake hakijajulikana vizuri ila kwa upande mwingine inaonyesha kama kuna uwezekano wa kuwekewa sumu kwenye kinywaji aina ya pombe
SHERIA YA UTUMISHI WA UMMA KUHUSIANA NA MASWALA YA MFANYAKAZI KUPEWA RUHUSA KWA AJILI YA KWENDA KUHANI MSIBA WA NDUGU ZAKE

  • Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha utumishi wake, mhusika alipata tatizo la msiba wa Baba mlezi mwaka 2006
  • Wakati huo sheria ya kwenda kuhani msiba ilikuwa inawatambua warihti tu walioko kwenye file ambao ni Baba/ Mlezi na Mama/ Mlezi
  • Wengine wote hawakuwa wanahusika na kama mtumishi ataamua kwenda, basi si kwa ruhusa ya mwajiri na kwa hali hiyo atahesabiwa kuwa maetorka kazini
  • UNLESS kama sheria hiyo imebadilika kwa sasa, ila kama siyo, basi itakuwa bado iko hivyo; inaendelea kutambua wazazi/ walezi tu
  • Kwa hiyo, kwa namna ambavyo sheria ilivyo kwa sasa, tuseme kama mhuiska angeamua kuondoka leo Jumanne ili kuwahi mazishi kesho Jumatano, ilibidi atoroke kwa sababu aliyefariki ni mdogo wake wa tumbo moja na si mzazi au mlezi
  • Zaidi ni kuwa mwanzoni mwa mwezi huu wa Julai 2020, mhusika alipata waraka kutoka mamlaka za juu ofisini kwake, uliomhitaji ku-update taarifa zake kwenye file lake, mojawapo ikiwa ni hiyo taarifa ya mrithi (Next of Kin), ambaye kawaida anakuwa ni mzazi/ mlezi
  • Mhusika alijaza taarifa hizo kiwa usahihi na kuziwasilisha yeye mwenyewe kwa Katibu Muhtasi wa Idara Julai 2020, mrithi akiwa ameonyesha kuwa ni mama yake mzazi
  • Msiba umetokea muda mfupi tu baada ya mhusika kuwasilisha taarifa hizi
TUKIO JINGINE LA MSIBA LILILOWAHI KUMTOKEA MHUSIKA MWAKA 2006, NA LINALOSHAHIBIANA KIDOGO NA HILI HAPA JUU

  • Mara ya kwanza na ya mwisho mhusika alijaza taarifa za warihti wake ilikuwa ni mwezi August/ Septemba 2006
  • Alifanya hivyo pia baada ya kuwa kuwa ameombwa kufanya hivyo na mamlaka husika kupitia idarani kwake
  • Baada ya kujaza taarifa hizo mwaka huo, Baba yake Mlezi alifariki dunia Septemba 2006, ikiwa ni siku chache tu baada ya kuwa amewasilisha taarifa hizi
  • Baada ya msiba kutokea, alipigiwa simu ghafla na na pia kujulishwa kuwa inabidi awahi mazishi kwa sababu marehemu alikuwa ameusia kuwa asizikwe bila yeye mhusika kuwepo msibani
  • Mhusika aliondoka ghafla kwa usafiri wa ndege na akafanikiwa kuwahi mazishi
  • Hata hivyo baada ya siku nyingi kupita, ikabanika kuwa marehemu hakuwa ameusia hivyo bali mhusika alidanganywa
  • Hatimaye kadri siku zilivyopita, alikuja kubaini kuwa BAADHI ya waliokuwepo huko msibani walikuwa wanamhitaji mhusika kwa sababu walizozijua wao, na hivyo njia pekee iliyokuwa bora ya wao kuhakikisha kuwa wanampata kama wanavyomhitaji, ilikuwa ni kumdanganya kuwa marehemu alisema asizikwe bila yeye (mhusika) kuwepo
HITIMISHO

Kwa kifupi tu ni kwamba, mara ya mwisho mhusika aliwahi kuwa huko ni mwaka 2009, na baada ya hapo hajawahi tena kurudi huko kutokana na matukio yaliyowahi kujitokeza pindi alipokuwa huko.

Zaidi ni kwamba tangu May 2012 hajawahi kufanya safari yoyote ile (ya kikazi au binafsi), nje ya mkoa wa Dar es salaam kutokana na sababu za kiusalama



Mbali na hayo yote ni kwamba kama mhusika angeamua kuchomoka na kuelekea uwanja wa ndege kuwahi mazishi Mwanza, wale ambao wangebahatika kumuona wangedhani anakwenda Airport kwa ajili ya msiba wetu huu mkubwa wa Kitaifa wa kuondokewa na Rais wetu mpendwa, BWM.

MwiH
elly obedy
R.i.p kwa mdogo wake na mhusika.
 
UPDATE: THURSDAY 30 JULY 2020

MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA TUKIO LA MSIBA WA MDOGO WA MHUSIKA


  • Limetokea katika kipindi cha takriban mwezi mmoja tangu mfanyakazi mwingine ofisini hapo, apate tatizo kama hilo
  • Ni mkuu wa Idara hiyo, ambaye alipoteza baba yake mzazi, Mungu azidi kuiweka roho yake mahali pema peponi
  • Huyu mfiwa wa mwanzo, yeye alisafiri na aliondoka kabla ya ruhusa yake ya kwenda kuhani msiba, kuwa imetoka
  • Ni kawaida kabisa kuondoka kabla ruhusa kutoka, mtu anapokuwa amepatwa na tatizo hilo, ukizingatia kuwa alipoteza baba yake mzazi na ambaye ndiye anatambulika kisheria na mwajiri wake
NAMNA MHUSIKA ALIVYOPATA KUJUA KUWA MWENYE TATIZO ALIONDOKA KABLA YA RUHUSA YAKE KUWA IMETOKA

  • Si kawaida na wala siyo rahisi mtu ukajua hadi details za ruhusa ya safari ya mtu aliyepata msiba, hilo huwa siyo muhimu sana wakati wa majonzi
  • Hata hivyo, mhusika alikuja kubaini hilo baada ya kuwa mfiwa amerudi kutoka msibani na kumweleza mhusika kuwa hakujua kuwa ruhusa hiyo huwa ni siku ngapi
  • Hii ilitokea wakati mhusika akiwa anaongea na mfiwa ofisini kwake (mfiwa), (siyo ofisini kwa mkuu wa Idara) akimpa pole za mdomo, kwani ofisi zao ziko jirani sana
  • Mfiwa alirudi baada ya wiki moja ilhali mhusika anajua kuwa ruhusa huwa ni wiki mbili, kwa sababu yeye alishawahi kupata tatizo kama hilo mwaka 2006 na alipewa ruhusa ya wiki mbili
  • Baada ya maongezi yao hapo ofisini, mhusika alipandisha juu kuelekea ofisini kwa Mkuu wa Idara kwa sababu alikuwa tayari amebeba vifaa ambavyo alikuwa anahitajika kuvipeleka huko
  • Hivyo basi wakati mhusika akiwa anaongea na huyu mtu aliyekuwa amesafiri hapo ofisini kwake, mhusika tayari alikuwa na vifaa hivyo akiwa amevibeba
  • Ilibidi tu mhusika apitie ofisini hapo kwanza kwa sababu ni njiani na alipaona pako wazi kwa mara ya kwanza baada ya siku kadhaa kuwa zimepita, kwa sababu hapo kabla, mwenye ofisi alikuwa ameisafiri
  • Siku hiyo ilikuwa ni Ijumaa ya tarehe 3 Julai 2020 na yeye mhusika alipata taarifa na kwenda kuhani msiba huo nyumbani kwa mfiwa, Ijumaa ya wiki kabla yake, yaani tarehe 26 Juni 2020
  • Alipofika juu ofisi ya Mkuu wa Idara, alimkuta Katibu Muhtasi akiwa peke yake
  • Mhusika akiwa anakabidhi vifaa hivyo, huyu aliyekuwa ameenda kuhani msiba (msiba ulitokea hapa Dar es saalm, wakasafirisha kwenda Moshi) naye akawa amefika ofisini hapo (ambapo napo pia ni ofisini kwake kwa sababu yeye ndiyo Mkuu wa Idara)
  • Mfiwa akiwa anaongea na Katibu Muhtasi kwa sababu ndiyo walikuwa wanaonana kwa mara ya kwanza tangu huyu mwingine atoke safari, Katibu Muhtasi alimjulisha kuwa ruhusa ya safari yake tayari ilikuwa imeshatoka
  • Maongezi haya nayo ndiyo yakawa yamesababisha mhusika kujua kuwa mtu huyu aliondoka kabla ya ruhusa yake kuwa imetoka, tofauti na hivyo mhusika asingeweza kujua na wala hakuwa na haja ya kujua hilo
MAMBO MENGINE KADHAA AMBAYO MHUSIKA ALIYAONA KUWA HAYAKWENDA KAWAIDA KAMA ULIVYO UTARATIBU SIKU ZOTE

  • Hapakuwa na waraka wowote wa taarifa rasmi za kiofisi kuwajulisha watu kuwa Mkuu wa Idara amepata msiba na amesafiri wala zilizoonyesha kuwa ni nani atakuwa anakaimu nafasi yake katika kipindi chote ambacho atakuwa hayupo
  • Ilisemekana pia kuwa taarifa za msiba zilitolewa kwa njia ya whatsup tu siku ya Alhamis tarehe 25 Juni 2020
  • Mhusika yeye hakubahatika kupata taarifa hizo siku hiyo kwa sababu yeye alishasitisha matumizi ya whatsup baada ya kuwa anakuwa HACKED mara kwa mara kupitia BAADHI ya meseji zilizokuwa zkiingia kwenye simu yake
  • Kwa hiyo hadi kesho yake Ijumaa, ndiyo alipata taarifa hizo kupitia kwa mtu ambaye alijitambulisha kuwa yeye ndiyo alikuwa ni Kaimu Mkuu wa Idara
  • Mhusika naye akachukua nafasi ya kumjulisha Kaimu kuwa jana yake yaani Alhamis jioni, wakati anatoka ofisini kurudi nyumbani, pembeni barabarani nje ya nyumbani kwa mfiwa (wakati huo mhusika alikuwa bado hajajua kuwa kuna msiba pale), aliona gari ya Mama (Mama yake na Kaimiu, ambaye ni Senior mstaafu idarani hapo) aina ya Vitara ikiwa imepaki nje pembezoni mwa barabara
  • Mhusika akamweleza Kaimu kuwa yeye alidhani kuwa pengine mama alikuwa amepita kwa salaam za kawida tu, nyumbani kwa Mkuu wa Idara
  • Hiyo sasa ilikuwa ni Ijumaa tarehe 26 Juni 2020 na wawili hawa walikuwa wanaongea wakiwa kenye chumba cha chai, walikutana kwa ghafla mahali hapo


Mhusika na Kaimu hawakuongea sana na waliachana baada ya saa 6 za mchana. Hatimaye mhusika alirudi tena ofisini kwake, lakini akawa amehisi kama kila mtu hayupo ofisini kwake. Na kweli alipojaribu kila kitasa cha mlango kwenye ghorofa ya kwanza, kila ofisi haikuwa na mtu. Akajaribu kupandisha juu ofisini kwa Mkuu wa Idara, nako pia mlango ulikuwa imefungwa pamoja na grill

Mhusika akajua kuwa watu wengi wameshaenda kwenye msiba, na akaanza sasa kujisuta yeye mweyewe kwa kutokuwa kwenye group la whatsup kiasi kwamba anaanza kugeuka kuwa chanzo cha kuchelewa kupata baadhi ya taarifa za muhimu mno na zinazomhusu moja kwa moja.

Baada ya mhusika kuona hivyo:

  • Alifungasha kila kitu na kuondoka ofisini na kuanza kurudi nyumbani
  • Nyumbani kwa mhusika na pale ulipokuwa msiba ni 5 minutes walking distance, ni jirani sana
  • Akiwa bado yuko kwenye parking pale idarani, akabahatika kumuona Senior mwingine mstaafu, (wa kiume) ambaye naye kumbe alikuwa bado yupo ndani ya jengo hilo
  • Huyu Senior naye alionekana akiwa katika pilika pilika za kutaka kuwasha gari na kuondoka, na hisia za mhusika kwa mtu huyu zilimtuma kuwa atakuwa anaelekea kule kule kwenye msiba akiwa ni mmojawapo tu wa wale wachelewaji kama mhusika mwenyewe alivyokuwa
  • Senior huyu ni ndugu yake wa karibu sana na Mr Y, na possibly wanaweza kuwa ndugu wa damu kwa sababu wanatoka sehemu moja pia
  • Mhusika alipofika nyumbani kwake, aliweka vifaa vyake vya ofisi na kuwasha gari kuelekea msibani
  • Angeweza pia hata kutembea, lakini alikuwa amepanga kufanya safari nyingine pindi atakapotoka hapo kwa sababu ilikuwa ni Ijumaa na hapakuwa na uwezekano wa yeye kurudi tena ofisini
  • Alipofika msibani, alikuta watu wachache, na baadhi ya aliowafahamu ni jirani yake mwingine pamoja na mke wa jrani huyo, pamoja na mama mwenye nyumba
  • Jumla ya watu aliowafahamu ni watatu tu
  • Watu wote wa Idarani kwake ambao hapo awali alidhani kuwa walikuwa wamefunga ofisi zao na kuelekea msibani, wote hawakuwepo pale msibani, isipokuwa mfiwa mwenyewe tu, ambaye naye ilisemekana kuwa kwa wakati huo alikuwa ameingia ndani kwa udhuru wa muda mfupi akiongea na baadhi ya waombolezaji
  • Hata hivyo hadi mhusika anaondoka hapo baada ya kukaa kwa takribani dakika 35-40, mfiwa bado alikuwa bado yuko ndani kwa hiyo siku hiyo wawili hawa hawakufanikiwa kuonana
  • Kilichomshangaza kidogo mhusika siku hiyo ni kitendo cha watu wote wa Idarani kutokuwepo mahali pale na wakati hata ofisini napo hawakuwepo
  • Kutoka ofisini kwenda pale ulipokuwa msiba ni walking distance pia.
  • Hivyo basi, siku hiyo mhusika akiwa bado hajaondoka ofisini kuriudi nyumbani na hatimaye kwenda msibani, pamoja na kuona baadhi ya magari yakiwa kwenye parking wakatii wenye nayo hawakuwepo ofisini, mhusika alijua kuwa watu hao wameamua kutembea kuelekea msibani kwa sababu mahali ulipokuwa msiba, siyo mbali hata kwa kutokea ofisini
  • Mhusika aliondoka msibani hapo baada ya takribani dakika 35-40 na hapakuwa na mtu mwingine yeyote kutoka Idarani ambaye alikuwa amejitokeza mahali pale
Jambo hili nalo mhusika alliona ni kuwa ni coincidence ya kipekee sana



MAMBO MENGINE YA NYONGEZA KATIKA TUKIO HILI LA MSIBA WA MWEZI JANA

  • Maelezo ya awali ya Kaimu kwa mhusika yalionyesha kuwa mwili wa marehemu utasafirishwa
  • Wiki iliyofuata mhusika alikutana na Kaimu na kumuuliza akina nani walitoka Idarani kuiwakilisha kwenye msiba huo mkubwa
  • Kaimu alijibu kuwa kuna watu ambao wakati msiba unatokea huku Dar es salaam, wao tayari walikuwa wameshasafiri na mpaka muda huo walikuwa bado wako huko Moshi kikazi
  • Hawa ndiyo Kaimu aliwataja kuwa wataiwakilisha idara
  • Watu hawa ni wale walioenda kutoa utaalamu kwenye jengo jipya linalojengwa huko ambalo limepata tatizo la kujaa maji kwenye sakafu yaliyokuwa yakivuja kutokea chini ya Ardhi
  • Vyombo vingi vya habari vilirusha tukio hili na kuna uwezekano watu walo wengi watakuwa waliiliona tukio hili la maji kuvuja kutokea ardhini kuja kwenye sakafu ya jengo hilo jipya
Hao ndiyo Kaimu aliwataja kama wawakilishi kwenye msiba huo mkubwa



HITIMISHO

Maswali kadhaa yakawa yamebaki kichwani kwa mhusika, amabyo hakutaka kuyauliza kwa bosi wake; mojawapo likiwa ni je, ina maana Mkuu wa Idara amepata msiba mkubwa namna hiyo halafu ameondoka huku akiwa na ndugu zake tu wala hakuamhatana na mtu hata mmoja kutokea Dar es Salaam kisa tu kuna watu ambao wataiwakilisha idara, ambao wako kule tayari, japo walienda huko kwa ajili ya majukumu yao engine ya kikazi?

Yaani hao tu ndiyo wanakuwa wawakilishi pekee kwenye msiba mkubwa kiasi hiki, utadhani idara haina watu?

Kulingana na alivyolipima mhusika jambo hili, japo si tatizo, lakini halikuwa limekaa vizuri sana



MUBARKIWE TENA NA BWANA​
 
Back
Top Bottom