#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE THURSDAY 04/06/2020

RARE COINCIDENCE ILIYOTOKEA KATI YA SIKU ZA JUMAPILI YA TAREHE 24/05/2020 NA JUMATANO YA TAREHE 27/05/2020; NA AMBAYO INAMHUSISHA MR X TENA


Inaendelea………………..

MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO YANAYOUNDA COINCIDENCE YENYEWE

Mhusika wakati anarudi kutoka duka kubwa pale Savei, alikuta watu wawili kwenye kituo cha daladala, karibu kabisa na pale alipokuwa amepaki gari lake

  • Walikuwa mama na mwana, na ambao anafahamiana nao wote kama alivyoeleza hapo juu
  • Mara ya mwisho kumuona mwana ilikuwa mwaka 2004, na alikuwa mtoto mdogo asiyezidi miaka takriban mitano (5)
  • Mhusika alikuwa pia rafiki wa binti huyu katika kipindi cha utoto wake
  • Mknononi mwake, mhusika alikuwa amebeba mfuko ambao ndani yake kulikuwa na Soda pamoja na Biscuits, bidhaa ambazo alinunua kutoka duka kubwa siku hiyo ya J2
  • Baada ya mhusika kuwauliza wanaelekea wapi, mama mtu alieleza kuwa wanaelekea Changanyikeni kupitia Utawala, UDSM
  • Yaani wakifika utawala wanashuka, halafu wanapanda daladala nyingine tena kutokea pale kuelekea Changanyikeni
  • Uelekeo wao ulikuwa ni sawa na ule wa mhusika, japo mhusika alikuwa karibu zaidi na nyumbani kwake
  • Mhusika hakuona mantiki ya kuwachukua kwenye gari lake kwa sababu kwa ratiba aliyokuwa nayo siku hiyo, asingeweza kuwapeleka mpaka Changanyikeni
  • Vilevile haikuwa na mantiki sana kuwachukua hadi Utawala halafu akawaacha pale ili wapande tena daladala za kwenda changanyikeni
  • Kwa hiyo mhusika aliamua kuwaaga, akawaacha pale wakiwa wanasubiri daladala ambayo ilitarajiwa kwenda kuwaacha Utawala UDSM.
Hiyo siku ikapita, ambayo ilikuwa ni J2 ya tarehe 24/05/2020

J3 kesho yake muda wa asubuhi, mhusika alibahatika kupishana kwenye korido na Mr X, ambaye alishukuru kwa zawadi.

Siku hiyo hiyo tena kwenye muda wa baada ya saa 10 jioni, mhusika akabahatika kumuona kwa mbali mke wa Mr X, yaani Mrs X akiwa anaingia ofisini kwa Mr X

  • Huwa ni mara chache sana kwa Mrs X kuonekana ofisini kwa mumewe, na mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho alimuona ndani ya jengo hilo
  • Baada ya muda, mhusika aliwaona tena wawili hao wakitoka ofisini tayari kwa kuondoka, kuashiria kuwa siku ya kazi ilikuwa imeisha
  • Mhusika naye pia alikuwa katika harakati hizo hizo za kuondoka, lakini yeye ilimchukua takribani dakika 15 mbele ya wawili hao, ndiyo akawa amekamilisha kila kitu na hatimaye kufunga ofisi na kuondoka
Wakati anatoka ofisini, akawakuta wawili hao bado hawajaondoka, walikuwa wamepaki gari yao pembeni mwa gari la mhusika, upande wa dereva wa gari la mhusika, na Mrs X alikuwa amekaa mbele upande wa passenger seat ya gari lao. Alipofika aliwasalimia na hatimaye Mrs X naye alimshukura kwa zawadi za watoto. Baada ya hapo mhusika aliamua kumsimulia Mrs X kwa kifupi sana kilichopelekea anunue zawadi hizo.

J3 hiyo (ambayo sasa ni wiki jana), mhusika alikuwa amepanga kuhudhuria Ibada ya maombi Kanisani, yaliyokuwa yanaanza saa 11:00 kamili na kuisha saa 1:00 kamili usiku. Hata hivyo, mhusika, alikuwa amepanga kuwa angeondoka Kanisani hapo saa 12:30 siku hiyo, yaani kabla ya Ibada kuisha. Hii ni kutokana na matatizo ya ki-usalama ambayo alishawahi kukumbana nayo Kanisani hapo kipindi cha nyuma, na ambayo yalimlazimu awe na ratiba ya kutokuendelea kukaa Kanisani hapo baada ya saa 12:30 kuanzia kipindi hali hiyo ilivyojitokeza, hadi leo (hili nalo ni swala jingine ambalo linahitaji maelezo ya kipekee, ila Kiongozi Mkuu analijua kwa kina kwa sababu waliwahi kuliongelea siku walipofanya mkutano wao ofisini kwa kiongozi huyo)

Kwa hali hiyo, kitendo cha wawili hao kuwakuta bado hawajaondoka kwenye parking, kilimsababisha mhusika aanze kurudi nyuma kuona kama kunaanza kujitokeza pattern yoyote ya matukio, na mambo kadhaa aliyoanza kuyajadili kwa haraka haraka kichwani ni kama yafuatayo

  • Ni mara chache mno kuwakuta Mr X na mhusika wamepaki gari zao ubavu ubavu, na inapotokea Mr X mwenyewe ameamua kufanya hivyo, basi MARA ZOTE lazima kuwe na jambo la kipekee. Hii inamanisha pia kuwa MARA ZOTE mhusika huwa anakwepa sana kupaki gari lake ubavuni mwa gari la Mr. X
  • Mhusika alishamsoma vizuri sana Mr X. Kwa mfano ukiona umefanya kitu positive kwa Mr X ( au kwa Kiongozi Mkuu) na akawa ame-respond positively, na hatimaye kuanza kuonyesha dalili za kama anataka kuionyesha AUDIENCE kuwa ana ukaribu fulani wa kipekee na wewe, hapo sasa ndiyo unatakiwa uwe alert beyond 100%, kwa sababu ndiyo kipindi ambacho huwa anakitumia kwa ajli ya kupanga na kupata THE BEST STRIKE kwako. Sema tu WEAKNESS MOJA KUBWA SANA ya mhusika inayopelekea haya yote yatokee ni kwamba, ikitokea tuseme, hata umemtendea kitu cha ajabu sana muda huu ambacho walio wengi huwa hawawezi kukivumilia, tuseme baada ya dakika 5 akakuona uko na mtoto wako mdogo, na ukawa huna mpango wa kum-restrict namna ya kumu-access mtoto huyo; yeye kuanzia pale huwa hana tena kumbukumbu ya kilichotokea huko nyuma, anapenda watoto ni in-born. Na kwa hali hiyo basi, mtu yeyote akiwakuta mtu huyo na mhusika katika mazingira hayo, hawezi kujua kabisa kuwa dakika 5 zilizopita watu wale walikuwa wamefanyiana unyama.
  • Kitu kingine pia ni kuwa muda waliopishana mhusika na wawili hao wakati wa kutoka ofisini, ulikuwa unatosha kabisa kuwafanya wasikutane kwenye parking. Muda huo ulikuwa unatosha kabisa kuwafanya Mr & Mrs X wawe wameondoka kiasi kwamba mhusika asingefanikiwa kuwakuta wakiwa bado wako kwenye pale
Kwa hiyo, kwa upande mwingine tena, ilionyesha pia kama wawili hao

  • Walikaa kwa makusudi na kwa muda wa kutosha wakiwa kwenye parking wakimsubiri mhusika
  • Walikuwa wamepanga kwa makusudi kwamba, Mrs X afike kwa ajli ya kumshukuru mhusika katika mazingira ya ofisini ila si ofisini kwake. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Mrs X angeweza kumshukuru mhusika kwa kutumia simu ya mumewe wakati wowote pindi wawili hao walipokuwa wapo nyumbani
  • Walikuwa wamepanga kuja kumshukuru kenye mazingira ya ofisini kwake ILA NJE YA OFISI YAKE. Hii ni kwa sababu Mrs X alikuwa ofisini kwa mumewe, lakini mumewe hakuweza kumpeleka kwa mhusika kwenda kutoa shukrani hizo
  • Hawakutaka kumpigia mhusika kumjulisha kuwa walifanikiwa kuchukua zawadi za watoto, kwa sababu kitendo hicho kingeondoa mantiki ya Mrs X kufika mazingira ya ofisini kwa mhusika na hatimaye naye kutoa shukrani zake kama alivyofanya
  • Walikuwa wanakwepa kuonekana na mawasilano mengine ya simu na mhusika, isipokuwa yale tu ambayo mhusika aliyafanya kwa kumpigia Mr X siku ya Ijumaa, akimtaarifu juu ya uwepo wa zawadi za watoto rafiki zake
  • Walitamani J2 apite dukani aliponunulia zawadi,kutaka kujua kama Mr X alichukua zawadi hizo
  • Na kama walitaka apite Savei, je, vipi kuhusu wale watu wawili aliowakuta kwenye kituo cha daladala pale Savei wakati anataka kuondoka? Je ilikuwa coincidence?
Baada ya mhusika kuwa ameyachuja haya yote, alibadilisha uamuzi na kuamua kutohudhuria Ibada siku hiyo. Mambo kadhaa yaliyopelekea uamuzi wake huo ni kama yafuatayo:

  • Wakiwa bado wako pale kwenye parking, mhusika hakuweza kujua Mr & Mrs X walikuwa wanaelekea wapi, lakini most likely ilikuwa ni Kanisani
  • Wakati mhusika anatoka ofisini, kitendo cha wawili hao kuwakuta bado wapo nje kwenye parking, kwa mtu aliyewaona kwa haraka haraka wakiwa hapo nje, angeweza kudhani kuwa walikaa hapo wakiwa wanamsubiri mhusika ili waelekee wote Kanisani, possibly baada ya kuwa wamepanga hivyo pindi walipokuwa wapo ndani ya jengo, ndani ya ofisi zao. Zaidi ni kuwa mhusika alionekana akiongea nao kwa muda kidogo kwenye eneo hilo la parking, maongezi ambayo hayakuwa na uwezekano wa kusikika na mtu yeyote aliyekuwa pembezoni kwa sababu ya interference ya muungurumo wa gari la Mr X ambalo tayari lilikuwa linaunguruma
  • Na kama wawili hao walikuwa wanaelekea Kanisani, basi mhusika angeweza kuambatana nao hadi Kanisani, na wangefika kanisani wakiwa wote watatu, hali ambayo ingeonyesha ukaribu wa namna ya kipekee
Mambo haya machache ukiunganisha na fact kwamba siku chache sana nyuma mhusika alinunua zawadi kwa watoto,.yangeonyesha ukaribu wa pekee ambao ndiyo mara nyingi sana Mr X huwa anatumia kwa ajili ya kutafuta nafasi ya k u-STRIKE

Mbali na hayo yanayowahusu wawili hawa, huko Kanisani nako kulikuwa na mambo kadhaa yaliyomlazimu aanze kuyachuja, nayo ni kama yafuatayo:

  • Kabla ya ugonjwa wa Corona, maombi kawaida yalikuwa yanafanyika kwa Ibada moja tu ya kuanzia saa 12:00 jioni mpaka saa 2:00 usiku
  • Kwa hali hiyo, kutokana na sababu alizozigusia hapo juu, kawaida mhusika alikuwa ameshaacha tangu siku nyingi nyuma, kushiriki Ibada zozote zenye kuangukia katika muda huo
  • Baada ya Corona, ratiba ya maombi ilibadilika na kuwa Ibada mbili, moja kuanzia saa 10:30 jioni mpaka saa 12:00 jioni na nyingine kuanzia 12:30 jioni mpaka saa 2:00 usiku
  • Mhusika hapa alikuwa amechagua kuwa atakuwa anahudhuria ile ya kuanzia saa 10:30 jioni mpaka saa 12:00 jioni
  • Lakin ghafla tena hivi majuzi, Ibada ya maombi ikabadilika na kuwa ni kuanzia saa 11:00 jioni mpaka saa 1:00 usiku
Mabadiliko haya aliyoyataja kwenye kipengele hiki cha mwisho, yakawa pia yamamkumbusha kwa mbali, mabadiliko ya ratiba ya Ibada ya harusi yaliyowahi kutangazwa na Kiongozi X.

Kwa kifupi, maelezo haya aliyoyatoa hapa mhusika ndiyo yaliyopelekea sasa akaamua kuwa atakuwa anahudhuria Ibada kuanzia saa 11:00 jioni; na kuondoka Kanisani saa 12:30 kabla ya Ibada kuisha. Strategy aliyokuwa nayo ni kwamba atakuwa anahakikisha amepaki gari lake kwenye sehemu ambayo halitaweza kuzibwa na magari mengine pindi anapohitaji kutoka

Kwa hiyo vipengele tajwa hapo juu vikapelekea mhusika akiwa bado yupo pale kwenye parking, kulazimika kuahirisha kuhudhuria Ibada ya maombi siku hiyo, lakini akiwa pia na PLAN aliyohitaji aifanyie kazi, kichwani kwake

Baada ya kuachana na Mr & Mrs X, alirudi nyumbani na kwenda kutengeneza hiyo PLAN, akiwa sasa ana hamu ya kutaka kujua kama wale watu wawili aliowakuta kituo cha daladala pale Savei ilikuwa ni coincidence ama la

  • Aliamua kutohudhuria kabisa maombi hayo kwa wiki yote nzima
  • Aliamua kuwa ndani ya wiki hiyo, atajifanya kutoka halafu atarudi na kuja kupark tena gari Savei, sehemu ile ile aliyopark J2, halafu aone kama anaweza kuonana na mtu yote pale, na pia nini atasema mtu huyo
Kweli J5 alipotoka ofisini, alipitiliza mpaka Mawasiliano na wakati anarudi, aliamua kupaki tena Savei. Siku hiyo tena, alikutana na mtu ambaye kumbukumbu zake mhusika zinaonyesha kuwa walipotezana tangu mwaka 2004, na alikuwa mtu wa karibu sana naye. Mtu huyu naye pia alikuwa katika pilika pilika za kuelekea uelekeo ule ule ambao alikuwa anelekea mhusika, na katika mfanano kabisa sawa na wale watu wawili aliowakuta kwenye kituo cha daladala J2 pale Savei!



ITAENDELEA NA KUMALIZIKA KESHO!
 
UPDATE THURSDAY 04/06/2020

RARE COINCIDENCE ILIYOTOKEA KATI YA SIKU ZA JUMAPILI YA TAREHE 24/05/2020 NA JUMATANO YA TAREHE 27/05/2020; NA AMBAYO INAMHUSISHA MR X TENA


Inaendelea………………..

MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO YANAYOUNDA COINCIDENCE YENYEWE

Mhusika wakati anarudi kutoka duka kubwa pale Savei, alikuta watu wawili kwenye kituo cha daladala, karibu kabisa na pale alipokuwa amepaki gari lake

  • Walikuwa mama na mwana, na ambao anafahamiana nao wote kama alivyoeleza hapo juu
  • Mara ya mwisho kumuona mwana ilikuwa mwaka 2004, na alikuwa mtoto mdogo asiyezidi miaka takriban mitano (5)
  • Mhusika alikuwa pia rafiki wa binti huyu katika kipindi cha utoto wake
  • Mknononi mwake, mhusika alikuwa amebeba mfuko ambao ndani yake kulikuwa na Soda pamoja na Biscuits, bidhaa ambazo alinunua kutoka duka kubwa siku hiyo ya J2
  • Baada ya mhusika kuwauliza wanaelekea wapi, mama mtu alieleza kuwa wanaelekea Changanyikeni kupitia Utawala, UDSM
  • Yaani wakifika utawala wanashuka, halafu wanapanda daladala nyingine tena kutokea pale kuelekea Changanyikeni
  • Uelekeo wao ulikuwa ni sawa na ule wa mhusika, japo mhusika alikuwa karibu zaidi na nyumbani kwake
  • Mhusika hakuona mantiki ya kuwachukua kwenye gari lake kwa sababu kwa ratiba aliyokuwa nayo siku hiyo, asingeweza kuwapeleka mpaka Changanyikeni
  • Vilevile haikuwa na mantiki sana kuwachukua hadi Utawala halafu akawaacha pale ili wapande tena daladala za kwenda changanyikeni
  • Kwa hiyo mhusika aliamua kuwaaga, akawaacha pale wakiwa wanasubiri daladala ambayo ilitarajiwa kwenda kuwaacha Utawala UDSM.
Hiyo siku ikapita, ambayo ilikuwa ni J2 ya tarehe 24/05/2020

J3 kesho yake muda wa asubuhi, mhusika alibahatika kupishana kwenye korido na Mr X, ambaye alishukuru kwa zawadi.

Siku hiyo hiyo tena kwenye muda wa baada ya saa 10 jioni, mhusika akabahatika kumuona kwa mbali mke wa Mr X, yaani Mrs X akiwa anaingia ofisini kwa Mr X

  • Huwa ni mara chache sana kwa Mrs X kuonekana ofisini kwa mumewe, na mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho alimuona ndani ya jengo hilo
  • Baada ya muda, mhusika aliwaona tena wawili hao wakitoka ofisini tayari kwa kuondoka, kuashiria kuwa siku ya kazi ilikuwa imeisha
  • Mhusika naye pia alikuwa katika harakati hizo hizo za kuondoka, lakini yeye ilimchukua takribani dakika 15 mbele ya wawili hao, ndiyo akawa amekamilisha kila kitu na hatimaye kufunga ofisi na kuondoka
Wakati anatoka ofisini, akawakuta wawili hao bado hawajaondoka, walikuwa wamepaki gari yao pembeni mwa gari la mhusika, upande wa dereva wa gari la mhusika, na Mrs X alikuwa amekaa mbele upande wa passenger seat ya gari lao. Alipofika aliwasalimia na hatimaye Mrs X naye alimshukura kwa zawadi za watoto. Baada ya hapo mhusika aliamua kumsimulia Mrs X kwa kifupi sana kilichopelekea anunue zawadi hizo.

J3 hiyo (ambayo sasa ni wiki jana), mhusika alikuwa amepanga kuhudhuria Ibada ya maombi Kanisani, yaliyokuwa yanaanza saa 11:00 kamili na kuisha saa 1:00 kamili usiku. Hata hivyo, mhusika, alikuwa amepanga kuwa angeondoka Kanisani hapo saa 12:30 siku hiyo, yaani kabla ya Ibada kuisha. Hii ni kutokana na matatizo ya ki-usalama ambayo alishawahi kukumbana nayo Kanisani hapo kipindi cha nyuma, na ambayo yalimlazimu awe na ratiba ya kutokuendelea kukaa Kanisani hapo baada ya saa 12:30 kuanzia kipindi hali hiyo ilivyojitokeza, hadi leo (hili nalo ni swala jingine ambalo linahitaji maelezo ya kipekee, ila Kiongozi Mkuu analijua kwa kina kwa sababu waliwahi kuliongelea siku walipofanya mkutano wao ofisini kwa kiongozi huyo)

Kwa hali hiyo, kitendo cha wawili hao kuwakuta bado hawajaondoka kwenye parking, kilimsababisha mhusika aanze kurudi nyuma kuona kama kunaanza kujitokeza pattern yoyote ya matukio, na mambo kadhaa aliyoanza kuyajadili kwa haraka haraka kichwani ni kama yafuatayo

  • Ni mara chache mno kuwakuta Mr X na mhusika wamepaki gari zao ubavu ubavu, na inapotokea Mr X mwenyewe ameamua kufanya hivyo, basi MARA ZOTE lazima kuwe na jambo la kipekee. Hii inamanisha pia kuwa MARA ZOTE mhusika huwa anakwepa sana kupaki gari lake ubavuni mwa gari la Mr. X
  • Mhusika alishamsoma vizuri sana Mr X. Kwa mfano ukiona umefanya kitu positive kwa Mr X ( au kwa Kiongozi Mkuu) na akawa ame-respond positively, na hatimaye kuanza kuonyesha dalili za kama anataka kuionyesha AUDIENCE kuwa ana ukaribu fulani wa kipekee na wewe, hapo sasa ndiyo unatakiwa uwe alert beyond 100%, kwa sababu ndiyo kipindi ambacho huwa anakitumia kwa ajli ya kupanga na kupata THE BEST STRIKE kwako. Sema tu WEAKNESS MOJA KUBWA SANA ya mhusika inayopelekea haya yote yatokee ni kwamba, ikitokea tuseme, hata umemtendea kitu cha ajabu sana muda huu ambacho walio wengi huwa hawawezi kukivumilia, tuseme baada ya dakika 5 akakuona uko na mtoto wako mdogo, na ukawa huna mpango wa kum-restrict namna ya kumu-access mtoto huyo; yeye kuanzia pale huwa hana tena kumbukumbu ya kilichotokea huko nyuma, anapenda watoto ni in-born. Na kwa hali hiyo basi, mtu yeyote akiwakuta mtu huyo na mhusika katika mazingira hayo, hawezi kujua kabisa kuwa dakika 5 zilizopita watu wale walikuwa wamefanyiana unyama.
  • Kitu kingine pia ni kuwa muda waliopishana mhusika na wawili hao wakati wa kutoka ofisini, ulikuwa unatosha kabisa kuwafanya wasikutane kwenye parking. Muda huo ulikuwa unatosha kabisa kuwafanya Mr & Mrs X wawe wameondoka kiasi kwamba mhusika asingefanikiwa kuwakuta wakiwa bado wako kwenye pale
Kwa hiyo, kwa upande mwingine tena, ilionyesha pia kama wawili hao

  • Walikaa kwa makusudi na kwa muda wa kutosha wakiwa kwenye parking wakimsubiri mhusika
  • Walikuwa wamepanga kwa makusudi kwamba, Mrs X afike kwa ajli ya kumshukuru mhusika katika mazingira ya ofisini ila si ofisini kwake. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Mrs X angeweza kumshukuru mhusika kwa kutumia simu ya mumewe wakati wowote pindi wawili hao walipokuwa wapo nyumbani
  • Walikuwa wamepanga kuja kumshukuru kenye mazingira ya ofisini kwake ILA NJE YA OFISI YAKE. Hii ni kwa sababu Mrs X alikuwa ofisini kwa mumewe, lakini mumewe hakuweza kumpeleka kwa mhusika kwenda kutoa shukrani hizo
  • Hawakutaka kumpigia mhusika kumjulisha kuwa walifanikiwa kuchukua zawadi za watoto, kwa sababu kitendo hicho kingeondoa mantiki ya Mrs X kufika mazingira ya ofisini kwa mhusika na hatimaye naye kutoa shukrani zake kama alivyofanya
  • Walikuwa wanakwepa kuonekana na mawasilano mengine ya simu na mhusika, isipokuwa yale tu ambayo mhusika aliyafanya kwa kumpigia Mr X siku ya Ijumaa, akimtaarifu juu ya uwepo wa zawadi za watoto rafiki zake
  • Walitamani J2 apite dukani aliponunulia zawadi,kutaka kujua kama Mr X alichukua zawadi hizo
  • Na kama walitaka apite Savei, je, vipi kuhusu wale watu wawili aliowakuta kwenye kituo cha daladala pale Savei wakati anataka kuondoka? Je ilikuwa coincidence?
Baada ya mhusika kuwa ameyachuja haya yote, alibadilisha uamuzi na kuamua kutohudhuria Ibada siku hiyo. Mambo kadhaa yaliyopelekea uamuzi wake huo ni kama yafuatayo:

  • Wakiwa bado wako pale kwenye parking, mhusika hakuweza kujua Mr & Mrs X walikuwa wanaelekea wapi, lakini most likely ilikuwa ni Kanisani
  • Wakati mhusika anatoka ofisini, kitendo cha wawili hao kuwakuta bado wapo nje kwenye parking, kwa mtu aliyewaona kwa haraka haraka wakiwa hapo nje, angeweza kudhani kuwa walikaa hapo wakiwa wanamsubiri mhusika ili waelekee wote Kanisani, possibly baada ya kuwa wamepanga hivyo pindi walipokuwa wapo ndani ya jengo, ndani ya ofisi zao. Zaidi ni kuwa mhusika alionekana akiongea nao kwa muda kidogo kwenye eneo hilo la parking, maongezi ambayo hayakuwa na uwezekano wa kusikika na mtu yeyote aliyekuwa pembezoni kwa sababu ya interference ya muungurumo wa gari la Mr X ambalo tayari lilikuwa linaunguruma
  • Na kama wawili hao walikuwa wanaelekea Kanisani, basi mhusika angeweza kuambatana nao hadi Kanisani, na wangefika kanisani wakiwa wote watatu, hali ambayo ingeonyesha ukaribu wa namna ya kipekee
Mambo haya machache ukiunganisha na fact kwamba siku chache sana nyuma mhusika alinunua zawadi kwa watoto,.yangeonyesha ukaribu wa pekee ambao ndiyo mara nyingi sana Mr X huwa anatumia kwa ajili ya kutafuta nafasi ya k u-STRIKE

Mbali na hayo yanayowahusu wawili hawa, huko Kanisani nako kulikuwa na mambo kadhaa yaliyomlazimu aanze kuyachuja, nayo ni kama yafuatayo:

  • Kabla ya ugonjwa wa Corona, maombi kawaida yalikuwa yanafanyika kwa Ibada moja tu ya kuanzia saa 12:00 jioni mpaka saa 2:00 usiku
  • Kwa hali hiyo, kutokana na sababu alizozigusia hapo juu, kawaida mhusika alikuwa ameshaacha tangu siku nyingi nyuma, kushiriki Ibada zozote zenye kuangukia katika muda huo
  • Baada ya Corona, ratiba ya maombi ilibadilika na kuwa Ibada mbili, moja kuanzia saa 10:30 jioni mpaka saa 12:00 jioni na nyingine kuanzia 12:30 jioni mpaka saa 2:00 usiku
  • Mhusika hapa alikuwa amechagua kuwa atakuwa anahudhuria ile ya kuanzia saa 10:30 jioni mpaka saa 12:00 jioni
  • Lakin ghafla tena hivi majuzi, Ibada ya maombi ikabadilika na kuwa ni kuanzia saa 11:00 jioni mpaka saa 1:00 usiku
Mabadiliko haya aliyoyataja kwenye kipengele hiki cha mwisho, yakawa pia yamamkumbusha kwa mbali, mabadiliko ya ratiba ya Ibada ya harusi yaliyowahi kutangazwa na Kiongozi X.

Kwa kifupi, maelezo haya aliyoyatoa hapa mhusika ndiyo yaliyopelekea sasa akaamua kuwa atakuwa anahudhuria Ibada kuanzia saa 11:00 jioni; na kuondoka Kanisani saa 12:30 kabla ya Ibada kuisha. Strategy aliyokuwa nayo ni kwamba atakuwa anahakikisha amepaki gari lake kwenye sehemu ambayo halitaweza kuzibwa na magari mengine pindi anapohitaji kutoka

Kwa hiyo vipengele tajwa hapo juu vikapelekea mhusika akiwa bado yupo pale kwenye parking, kulazimika kuahirisha kuhudhuria Ibada ya maombi siku hiyo, lakini akiwa pia na PLAN aliyohitaji aifanyie kazi, kichwani kwake

Baada ya kuachana na Mr & Mrs X, alirudi nyumbani na kwenda kutengeneza hiyo PLAN, akiwa sasa ana hamu ya kutaka kujua kama wale watu wawili aliowakuta kituo cha daladala pale Savei ilikuwa ni coincidence ama la

  • Aliamua kutohudhuria kabisa maombi hayo kwa wiki yote nzima
  • Aliamua kuwa ndani ya wiki hiyo, atajifanya kutoka halafu atarudi na kuja kupark tena gari Savei, sehemu ile ile aliyopark J2, halafu aone kama anaweza kuonana na mtu yote pale, na pia nini atasema mtu huyo
Kweli J5 alipotoka ofisini, alipitiliza mpaka Mawasiliano na wakati anarudi, aliamua kupaki tena Savei. Siku hiyo tena, alikutana na mtu ambaye kumbukumbu zake mhusika zinaonyesha kuwa walipotezana tangu mwaka 2004, na alikuwa mtu wa karibu sana naye. Mtu huyu naye pia alikuwa katika pilika pilika za kuelekea uelekeo ule ule ambao alikuwa anelekea mhusika, na katika mfanano kabisa sawa na wale watu wawili aliowakuta kwenye kituo cha daladala J2 pale Savei!



ITAENDELEA NA KUMALIZIKA KESHO!
kiongoz naanza hivyo kuisoma
 
Kwa aliyefanikiwa kufuatilia uzi huu kwa makini, mpaka muda atagundua kuwa mtu mmoja maarufu (RIP) hapa nchini ambaye alikuwa anapenda sana kuwekeza kwenye Oil na Gas lakini akawa anakumbana na vigingi, alikumbana na vigingi hivyo kwa sababu hakutakiwa kujua nini kilichokuwa nyuma yake. Kwa sababu kama angeruhusiwa, ingebidi apewe data kwa ajili ya utafiti huo, na kwa hali hiyo angelazimika kujua namna data hizo zinavyopatikana, kitu ambacho ndiyo alitakiwa asikijue. Kwa hiyo kilichotokea baada ya hapo ni dhihaka ya kuambiwa akawekeze kwenye juice na matunda na kwamba data hizo ni expensive muno hana uwezo wa kumudu kuzinunua, wakati data hizo ni za bure kwa wawekezaji wazawa, tunazo na mtu akizihitaji kwa kufuata utaratibu unaokubalika na kwa ridhaa ya Serikali, hata leo anazipata

Zaidi ni kuwa Wana Siasa wote waliokuwa wakipinga na wanaoendelea kupinga mradi wa umeme wa maji, walikuwa kwenye kundi hili la Oil and Gas ambalo limekuwa liki-simulate matetemeko. Wanachofanya ni ku-simulate matetemeko ili waweze kupata data za kuwa-convince wenye pesa kwamba data za Oil na Gas zipo, lakini pia kui-convince Serikali kwamba tuko kwenye ukanda wa matetemeko ili iweze kutoa back-up katika jitihada za utafiti wa matetemeko.

Halafu eti kuna watu kila siku humu wanawalalamikia TISS hawafanyi kazi; sijui wanataka wawe wanatoa press release ndiyo waridhike kuwa wanafanya kazi? Nahisi siku wakikosea wakafanya hivyo, kuna watu wanaweza wakatamani kuhamia Sayari ya Mars!



 
UPDATE FRIDAY 05/06/2020

RARE COINCIDENCE ILIYOTOKEA KATI YA SIKU ZA JUMAPILI YA TAREHE 24/05/2020 NA JUMATANO YA TAREHE 27/05/2020; NA AMBAYO INAMHUSISHA MR X TENA


Inaendelea………………..

MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO YANAYOUNDA COINCIDENCE YENYEWE

Kwenye maelezo yaliyopita, tuliishia pale ambapo mhusika aliamua kutokwenda Kanisani baada ya kuwa ameachana na Mr & Mrs X , baada ya kuwa wamekutana kwenye parking za kwenye ofisi ya muhsika na Mr X

Baada ya kurudi nyumbani siku hiyo. alirudi akiwa ame-devise PLAN ambayo alitamani aifanyie kazi, kwamba:

  • Wiki yote hiyo hatahudhuria tena Ibada ya maombi Kanisani kwa sababu ratiba nayo pia ilikuwa imebadilika na kujumuisha muda ambao yeye huwa si salama kwake kuwepo Kanisani pale, japo katika hali ya kawaida, alikuwa ametamani kushriki Ibada hizo, akiwa amepanga kuwa atakuwa anaondoka Kanisani hapo saa 12:30; yaani nusu saa kabla ya Ibada husika kuisha
  • Akishaacha kuhudhuria Ibada, siku moja ndani ya wiki hiyo, atajaribu kwenda mbali kidogo na wakati anarudi, atapita na kupaki tena gari lake maeneo ya Savei, ili aone kutatokea nini.
  • Aliamua kufanya hivi baada ya Mr & Mrs X kumfanya aanze kuona KAMA walitamani apitie maeneo ya Savei J2 ya tarehe 24/05/2020
  • Na kama walitamani mhusika apite maeneo hayo, basi kulikuwa pia na chances kwamba wale watu wawili aliowakuta wamekaa kwenye kituo cha daladala wakati anataka kuondoka, pengine hawakuwa pale kwa bahati mbaya
  • Na kama kweli watu hao hawakuwa pale kwa bahati mbaya, kwa hiyo ni vizuri kujaribu kupita tena maeneo yale muda wa jioni na kurudia kupaki gari pale alipopaki J2, kujaribu kuona kama kuna chochote kinaweza kutokea tena.
Hii ilitokana na ukweli kwamba kwa wiki hiyo, kama mhusika angeamua kushiriki Ibada za maombi ya jioni, na ambayo yalikuwa ni ya wiki nzima, asingekosa angalau siku moja ya kupita na kupaki maeneo ya Savei kwa sababu ni kawaida yake kufanya hivyo. Zaidi ni kuwa ni sehemu iliyo njiani ambayo lazima apite kila anapokuwa anatoka Kanisani akielekea nyumbani kwake.

MHSUKA AANZA KUTEKELEZA PLAN ALIYOJIWEKEA

J5 jioni ya tarehe 27/05/2020 mhusika alipotoka ofisini, hakuishia nyumbani kwake bali alipitiliza moja kwa moja kama anaelekea Savei-Mwenge, na alipofika round about akakunja kama anaelekea Ubungo. Pale mbele karibu na Mawasiliano Towers aligeuza tena na kuchukua uelekeo wa Mwenge, halafu akaenda akapaki mbele ya kituo cha daladala cha Mlimani City, kilicho upande huo huo wa Mlimani City. Baada ya kupaki gari, akatembea kwa mguu kukatiza barabara na kurudi upande wa pili wa barabara, yaani upande wa Mawasiliano Towers. Baada ya kupata huduma ya bidhaa aliyoihitaji kutoka upande huo, alirudi mpaka pale alipokuwa amepaki gari lake na kuanza kuondoka kuelekea Savei.

Mizunguko yote hii mhusika aliamua kuifanya akiwa na maana yake kubwa na aliifanya kwa makusudi. Ni kwamba kwa uzoefu wake wa miaka kadhaa sasa, alishabaini pasipo shaka kabisa kuwa mara nyingi mahasimu wake huwa wanajiweka tayari kwa kumshambulia katika siku ambazo ameonekana akiwa na pilika pilika nyingi za mizunguko, na especially pale ambapo anakuwa emeonekana sehemu tofauti tofauti, ambazo katika haliya kawaida, huwa haonekani mara kwa mara, na kwa mizunguko ambayo si wazi sana kwamba alikuwa anazunguka kwa ajili ya kutafuta kitu gani.

Hapa mhusika anamaanisha kuwa kuna mizunguko mingine ambayo huwa anaifanya katika sehemu ambazo hazijazoeleka sana kwa yeye kuonekana sehemu hizo, lakini madhumuni ya safari hizo huwa yanajulikana na watu wanaomuona akifanya mizunguko sehemu hizo. Kwa mfano, ni nadra sana kumuona yuko maeneo ya Makumbusho, lakini pengine akienda Makumbusho huwa anaonekana annunua suruali za mitumba. Kwa hiyo kwenye mizunguko ya aina hii, mahasimu wake huwa hawajitayarishi kwa ajili ya mashambulizi. Huwa wanajitayarisha tuseme, pale ambapo tu wanaweza kumuona ameenda Makumbusho halafu akaonekana anaongea labda na watu fulani fulani , na baada ya pale tena akarudi na kuwasha gari lake na kuondoka.

Kwa hiyo safari ambazo huwa mahasimu wake wanazitegea, ni zile ambazo huwa zinaonekana kama mhusika alienda mahali fulani, akiwa na aidha, appointment ya maongezi maalumu na mtu, au ya kupokea kitu fulani kutoka kwa mtu. MBINU YA AINA HII INATUMIWA SANA NA WATU WA OFISINI KWAKE, NA HAELEWI MTANDAO WAO UKOJE KWA SABABU UNAONYESHA KUWA KILA ANAPOBAHATIKA KUWEPO, MAWAKALA WA MTANDAO WAO HUO HUWA LAZIMA WAPO, NA WANA-OPERATE IN A VERY SMART WAY WAKIIGIZA KAMA VILE AMBAVYO DOLA HUWA INAVYOFANYA KAZI

Hivyo basi, mhusika baada ya kufanya mizunguko hiyo kwa makusudi kujiridhisha kuwa inaweza ikawa-prompt mahasimu wake kuaandaa chochote kwa ajili yake, ndiyo akaanza kurudi Savei, akiwa na lengo la kwenda kupaki gari sehemu ile ile aliyopkai siku ya J2

Alipofika Savei, wakati anajiandaa kutaka kwenda kupaki mahali alipopatarajia, kwa bahati mbaya gari nyingine ndogo iliyokuwa karibu naye mbele yake, ikawa imewahi mahali pale, hivyo ikabidi aendelee mbele kidogo, na hatimaye kukatiza upande wa plii kulia mwa barabara, akaenda akapaki pembezoni wa barabara, karibu kabisa na kibanda cha chips. Sehemu hii aliyopaki, mara zote huwa ndiyo alternative parking yake ambayo huwa anapenda kuitumia, pindi inapotokea ile ya kwenye kituo cha dladala haina nafasi

BAADA YA KUFIKA SAVEI:: MHUISKA AKUTANA NA RAFIKI YAKE WA SIKU NYINGI SANA, KWA KUMBUKUMBU ZAKE MARA YA MWISHO WALIKUWA WOTE MWAKA 2004

Akiwa bado hajapaki gari ila akiwa tayari ameshakatiza kulia mwa barabara, mbele yake alimuona mtu akitembea pembezoni mwa NCHA YA BARABARA, alikuwa anaelekea mbele, na mhusika aliweza kumtambua mtu huyo kwa kumwangalia kupitia kisogoni.

Baada ya kumtambua mtu huyo, mhusika:

  • Alimpigia honi ya kawaida, lakini hakuweza kugeuka, aliendelea kutembea akiwa anaelekea mbele.
  • Aliongeza tena honi lakini bado hakuweza kutambua kuwa honi hiyo ilimhusu yeye
  • Alizidisha zaidi mlio wa honi hadi ikapelekea watu waliokuwa maeneo hayo na wauzaji wa chips, kuwa attention na mpiga honi pamoja na mpigiwa honi
Baada ya honi hiyo nzito sana, mtu huyo sasa aligeuka na kutambua kuwa ni yeye aliyekuwa anapigiwa honi. Alirudi kwenye gari, wakasalimiana na mhusika na kubadilishana mawili matatu.

Kwa kifupi tu ni kwamba hawa watu wanafanhamiana tangu mwaka 1995, na taarifa za mwisho alizokuwa nazo mhusika kuhusiana na jamaa yake huyu ni kwamba alihama kutoka Chuo Cha Utumishi wa Umma Magogoni na kwenda Tabora kwenye chuo kama hicho chicho, kazi yake akiwa ni Mwalimu. Alihama lini hicho ndiyo kitu ambacho mhusika hakumbuki ila anachokumbuka ni kwamba mara ya mwisho walionana Magogoni ofisini kwa mtu huyo mwaka 2004. Zaidi ni kuwa mhusika na huyu mtu wanatoka mikoa jirani, na inayoongea lugha moja

Mpaka hapa sasa mhusika anaomba awakumbushe tena mambo kadhaa yafuatayo, na kulingana na uchambuzi wake

  • Mhusika alitaka kuona kama anaweza akakutana na mtu mwingine tena unique, kama atapita tena na kpaki maeneo ya Savei, na hilo lilitimia
  • Vile vile ilionyesha kama, gari iliyomuwahi mhusika kwenye parking karibu na kituo cha daladala, ilifanya hivyo makusudi kumlazimisha mhusika aingie upande wa pili na kwenda kupaki karibu na kibanda cha chips, ambapo pasipo mhusika kupaki huko isingekuwa rahisi kwa yeye kuonana na mtu huyo (tumwite RAFIKI X)
  • Ilionyesha pia kama Rafik X alikuwa anatokea kwenye kibanda hicho cha chips, na kama siyo basi alikuwepo maeneo karibu na pale, possibly akimsubiria mhusika kwa sababu pengine alikuwa ana taarifa kuwa hiyo ndiyo the most probale spot ya kuweza kumpata
KUHUSIANA NA HONI ALIZOPIGA MHUSIKA KWA RAFIKI X

Ikumbukwe kuwa wakati mhuska anamuona na kuanza kumpigia honi, Rafiki X alikuwa anatembea pembezoni mwa ukingo wa barabara.

Kwa hiyo hapa mhusika hapa anaona kuwa

  • Hapakuwa na haja ya Rafiki X kutembea ukingoni mwa barabara kwa sababu upande ule aliokuwa ndiyo una sehemu nzuri kabisa ya watembea kwa miguu ambayo ipo pembezoni mwa maduka ya biashara
  • Sehemu aliyokuwa anatembelea Rafiki X, ni sehemu ambayo mtu yeyote akiamua kutembelea humo, huwa inambidi awe na HIGH SECURITY ALERT kiasi kwamba kitendo cha kusikia honi tu lazima ageuke na kuangaza huku na huku, katika ile namna ya kuhakikisha kuwa yuko salama. Mtu hawezi kuwa anatembea kwenye ukingo wa namna hiyo halafu akasikia sauti ya honi ya gari nyuma yake na asigeuke, hata kama honi hiyo itakuwa haimhusu!Ni lazaima tu mtu atageuka
  • Kutokana na hali hiyo, haileti mantiki kwamba mhusika angepiga honi ile ya kwanza (na nyingine iliyofuata baada ya hiyo) pasipo Rafiki X kugeuka nyuma wakati alikuwa anajua kabisa kuwa anatembea akiwa uiongoni mwa Barabara, na honi iliyokuwa inasikika ikipiga makelele ilikuwa nyuma yake
  • Kitendo cha Rafiki X kugeuka mara tu baada ya kuwa honi imekuwa nzito sana na isiyo ya kawaida, kulilenga ku-draw attention ya watu wengi waliokuwa maeneo yale, na possibly kuonyesha kama mhusika alikuwa na appointment na mtu huyo siku hiyo. Kwa hiyo kulilenga kuhalalisha kampani ya wawili hao mbele ya umati wa watu waliokuwepo maeneo yale, ikiwa ni pamoja na kudhihirsha kuwa mhusika ndiyo alianzisha kampani hiyo siku hiyo; na si Rafiki X
  • Mtindo huu wa kumu-engage mtu kwa namna hii, unafanana kabisa na ule uliotumiwa na viongozi wa Kanisani ( Kiongozi X na Kiongozi Mkuu)


KUHUSIANA NA WALICHOONGEANA MHUSIKA NA RAFIKI X

Rafiki X alimweleza mhusika kuwa:

  • Alikuwa njiani kutokea kazini kuelekea nyumbani, Chuo Kikuu cha Ardhi (CKA)
  • Amehamia hapo CKA hivi karibuni baada ya kutokea mabadiliko kidogo kwenye ajira yake ya utumishi wa umma
  • Amepewa chumba kidogo pale CKA na hivyo hawezi kuwa pale yeye na familia yake
  • Familia yake ameiacha Pugu Kajiungeni, itaendelea kuwa kule na yeye ataendelea kuishi kwenye hicho chumba kidogo kilichopo CKA
Kutokana na maelezo haya, ni dhahiri kuwa umbali kutoka sehemu anapoishi mhusika kwenda makazi mapya ya Rafiki X, ni mwendo usiozidi dakika 5 kwa kutembea kwa miguu. Hata hivyo Rafiki X alikuwa bado yuko Savei, na siku hiyo hakuwa na gari. Umbali kutoka pale alipokuwa hadi kufika kwenye chumba chake kidogo pale CKA, ilikuwa inahitaji kutembea kwa takribani dakika 15

Vilevile, kutokea pale Savei walipokuwa wawili hawa, uelekeo wao kwenda majumbani mwao ulikuwa ni mmoja. Hata hivyo mhusika hakuweza kumpa lift Rafik X kwa sababu alikuwa bado anahitajika kupita pita kwenye baadhi ya maduka pale Savei. Waliishia kubadilishana namba za simu tu na hatimaye kuachana, japo mpaka muda huu, hawajaweza kuwasiliana.

Mhusika aliamua kwa makusudi kutegea kumpigia simu Rafiki X ili kuona kama labda yeye angeweza kupiga lakini naye pia hajaweza kupiga

Kumbuka kuwa coincidence hii ilikuwa trigerred na zawadi zilizonunuliwa na mhusika pale Savei, kIjumaa ya tarehe 22/05/2020 wa ajili ya watoto wa Mr X

MWISHO WA MAELEZO KUHUSIANA NA COINCDENCE HII
 
" Hii nchi hatari sana....." Hiyo quote siyo yangu, did you manage to edit my post, anyway?
 
Mhusika anafaa kufanya kazi na cia
Hamna kitu hana chochote, hafai TISS wala CIA. Bora kidogo hata mimi mwandishi wa stori ungeweza kunifagilia kidogo. Hamna kitu, mimi si namfahanu, wala siyo kwamba namuonea wivu! Isipokuwa......!
 
Hamna kitu hana chochote, hafai TISS wala CIA. Bora kidogo hata mimi mwandishi wa stori ungeweza kunifagilia kidogo. Hamna kitu, mimi si namfahanu, wala siyo kwamba namuonea wivu! Isipokuwa......!
Sawa, uko unamwandiko mzuri sana mkuu. Malizia hapo isipokuwa nini tena. Kwanza mhusika jana alienda church kukutana na mr x?
 
Sawa, uko unamwandiko mzuri sana mkuu. Malizia hapo isipokuwa nini tena. Kwanza mhusika jana alienda church kukutana na mr x?
Nashukuru kwa compliments, sema tu sasa zinatakiwa zisinijaze kichwa! Mhusika anadai kuwa alienda ila hawakuonana na Mr X. Possibly walipishana
 
Sawa, uko unamwandiko mzuri sana mkuu. Malizia hapo isipokuwa nini tena. Kwanza mhusika jana alienda church kukutana na mr x?

UPDATE MONDAY 08/06/2020

MAELEZO MAFUPI YA MWISHO KUHUSIANA NA MR X

A: MAHUSIANO YA MR X NA MHUSIKA KAMA WATU WANAOFANYA KAZI MAHALI PAMOJA


  • Aliajiriwa takriban mwaka mmoja na nusu mbele ya mhusika, kwa hiyo mhusika aliajiriwa kwanza halafu yeye naye akafuata baadaye
  • Wakiwa bado wanachuo mahali pamoja, waliwahi kukutana kwenye kozi moja, ila wakiwa katika miaka tofauti tofauti ya program za masomo yao. Ki-program, Mr X alikuwa nyuma ya mhusika kwa miaka miwili
  • Walikuwa hawafahamiani isipokuwa Mr X alikuwa anamfahamu mhusika, ila yeye hakuwa anamfahamu mwenzake. Ni yeye Mr X alikuja kuliweka wazi hili baada ya kuwa wamejikuta kwenye sehemu moja kiajira
  • Zaidi ni kuwa, kipindi hawajafahamiana na walipokuwa wana-share kozi kama wanafunzi, Mr X alikuja kuweka wazi baadaye kuwa kipindi hicho alikuwa anamchukia sana mhusika
  • Hii alikuja kuiweka wazi baada ya kuwa wamebahatika kuwa mahali pamoja, na pengine kama confession yake Mr X kwa mhusika kuonyesha kuwa alichowahi kufanya kwa mhusika kabla hawajaweza kufahamiana vizuri, hakikuwa sahihi
  • Mhusika kusikia hivyo, wala hakuhitaji kujua sababu za chuki za Mr X kwake kwa sababu yeye alikuwa hata hamjui, na hivyo alipata uhakika kabisa kuwa kama kweli Mr X alikuwa anamchukia, basi chuki hiyo haikuwa imetokana na sababu za msingi isipokuwa za kijinga
Hata hivyo, kwa sasa mhusika ameshapata kitu fulani kichwani kwamba pengine sababu za chuki hizo kwake, zilitokana na Mr X kuwa anajua mambo mengi zaidi yaliyokuwa mbele ya maisha ya mhusika, pasipo mhusika mweyewe kuwa anayajua

Kwa maoni yake, mhusika anaona kama Mr X haitendei haki ajira yake kwa sababu waliomuajiri walimpa majukumu ambayo hayaendani na kile anachoendelea kuhangaika nacho ofisini, kuendelea kuhangaika na pilika pilika zingine tofauti kabisa na ajira yake



B: PILIKA PILIKA ZA MR X KUHUSIANA NA MASLAHI YA MHUSIKA AMBAYO YAMEKUWA YASHIKILIWA KIPINDI KIREFU SASA

Kama itakuja kuonekana baadaye kuwa pengine Mr X ana mkono wake kwa namna yoyote ile katika kuendelea kushikiliwa kwa maslahi ya mhusika, ni dhahiri kuwa Mr X:

  • Anaweza kuwa ana uhusiano na mtu mwenye mamlaka yanayohusiana kwa namna moja ama nyingine, na maslahi hayo ya mhusika
  • Mtu huyo anaweza kuwa yuko aidha Kanisani wanakoabudu wawili hawa au Ofisini wanapofanyia kazi, au nje ya mazingira haya yote mawili, au ana watu wake kwenye sehemu zote hizi tatu
  • Kuna ujira ameahidiwa kwa kazi anayofanya, assuming kila kitu kinaangukia kwenye upande wake kama ambavyo huwa anatamani iwe siku zote
  • Yuko kwenye biasahara zaidi, biashara ya kusaka pesa
Hii ni kwa sababu Mr X amekuwa akipanga matukio mengi ya ajabu, na ambayo yanaonyesha uhusiano wa karibu sana na maslahi hayo ya mhusika

Mbali na haya yote, kikubwa sana alichojifunza mhusika kutokana na matendo ya Mr X ni kuwa, ikitokea mtu ukajikuta uko sehemu ofisini peke yako halafu ukaja ukagundua kuwa kuna mtu ambaye haridhiki sana na uwepo wako pale, the chances ni kwamba:

  • Huyo mtu lazima anakuwa hayuko peke yake, wanakuwepo na wengine wengi pia
  • Pale wanapokuwa wapo wengi, wakati mwingine baadhi yao, kama si wote, huwa ni watu ambao waliwahi kupata training ya kukuchukia wewe, bila wewe mwenyewe kuwa unafahamu hilo
  • Wengine wanaweza kuwa walikuchukia hata kabla hawajawahi kukufahamu hata kwa sura.
  • Hawa wa aina hii ya pili huwa pia wana uwezekano mkubwa sana wa kumchukia mlengwa katika kiwango ambacho ni cha juu zaidi kuzidi hata cha wale waliwafundisha kufanya hivyo; ni kwa sababu wanakuwa wamekuwa trained kwa kulishwa sababu ambazo siyo za msingi
Zaidi ni kuwa mhusika alishawahi kukaa na Mr X na kujaribu kumshauri juu ya tabia yake hiyo ya kukaa anafanya mambo yasiyo sawa. Hata hivyo mhusika alikuja kugundua kuwa

  • Tabia ya Mr X kushambulia wengine ni in-bron, na kadri unavyozidi kumkanya aiache, ndivyo unavyozidi kumchochea, na huwa ana msimamo sana katika jambo analolifanya, ili mradi tu awe na uhakika kuwa hakuna mtu mwingine anayelijua
  • Hana tatizo na mshambuliwa kujua kuwa anashambuliwa na Mr X, hilo huwa hajali na huwa halimzuii kabisa kuendelea na kazi zake
  • Huwa anajirudi pale tu akiona kuna watu wengine wanaelekea kujua kile anachofanya, na ambao hawahusiki, au si watu wali pamoja naye kwenye mtandao wa kazi zake
C: KUSHAMIRI KWA TABIA HIZI ZA MR X NA KUNAVYOHUSIANA NA VIONGOZI KANISANI

Kuna kipindi mhusika aliwahi kutuma ujumbe wa simu kwa shemasi akilalamika kuhusiana na matendo na tabia za Mr X, akimweleza shemasi huyo kuwa angeshauri Viongozi Kanisani akiwemo Kiongozi Mkuu, wamshauri Mr X aache kufanya mambo ambayo hayaendani na mtu wa Ibada Kanisani, yaani aache kufanya mambo ambayo hayaendani na hadhi ya mtu ambaye huwa anahudhuria Ibada Kanisani. Zaidi ni kuwa mhusika alishauri kuwa kama viongozi hao wataona shaka juu ya ujumbe wake huo au watashindwa kuuelewa, basi waridhie mhusika aje atoe ufafanuzi wa ujumbe wake huo, na mtuhumiwa mwenyewe akiwepo.

Hakuna viongozi ambao wanakwepa kusikiliza hoja za waumini wao, kama viongozi wa Kanisa A

Hivyo basi, kwa kifupi tu ni kwamba ukikuta sehemu kuna mtu wa aina hii ya Mr X, jua kuwa wapo na wengine pia, hawezi kuwa peke yake.

Kwa hiyo Mr X hayuko peke yake ofisini, yupo na wengine pia
 
UPDATE 08 JULY 2020

MOJA:
Kwa waumini wanaoabudu kwenye nyumba hiyo ya Ibada, na walio na shauku sana ya kufuatilia na kutaka kujua ni nini kinaendelea kwenye Kanisa hilo, kuna kitu watakuwa wamegundua kinaendelea kwenye ile sehemu ambayo ilikuwa inatapakaa kinyesi baada ya chamber ya maji taka kuwa inafurika wakati mvua zilipokuwa zinaendelea kunyesha. Kama kitu hicho hakitaendelea tena kuanzia sasa, basi ndiyo itakuwa rahisi zaidi hata kwa wale ambao walikuwa hawajagundua, kuweza kugundua ni nini kilikuwa kinaendelea. Mhusika amehaidi atakitaja ndani ya wiki inayokuja, na kuna story kubwa inayohusiana na sehemu hiyo liyokuwa ikitapakaa kinyesi, ya tangu kipindi kirefu nyuma, mhusika ataileta kwenu kwa marefu zaidi

MBILI:
Saikolojia iliyotawala kwa kipindi hiki kwenye nyumba hiyo ya Ibada, ni ile ya kujaribu kurudia matukio ambayo mhusika ameyalalamikia, lengo ikiwa ni kuwafanya watu waamini kuwa yanayorudiwa hayana uhusiano na kile ambacho tayari kimeshalalamikiwa; kwamba watu watajua kuwa yaliyolalamikiwa hayawezi kurudiwa rudiwa tena ndani ya muda mfupi. Kwa hiyo ni mwanya wa Saikolojia hiyo unaotumika sasa hivi kuweza kusukuma gurudmu mbele. Yaani saikolojia inayotumika kwa sasa ni kama kwa mfano, mwizi anakuja nyumbani kwako leo akaiba na kuondoka akiwa na lengo la kurudi tena usiku unaofuata, akiwa anatumia saikolojia ya kwamba uliyeibiwa hautajipanga kwa jajili kujilinda kikamilifu na mwizi tena usiku unaofuata kwa sababu si kawaida sana mwizi kuiba siku mbili mfululizo mahali pale pale/ mahali pamoja.

TATU: Ni rahisi sana na ni kitu cha kugusa tu kwa nyumba hiyo ya Ibada, kwa Ibada ya mafundisho ya neno la Mungu kubadilika gharfla na kuwa maombi, lakini haijawahi kutokea hata siku moja, maombi yakabadilika na kuwa mafundisho ya neno la Mungu

NNE:
Inakubalika kabisa kiroho kuwa ni kweli Mafundisho wakati mwingine yanaweza kubadilika ghafla na kuwa maombi, au kinyume chake pia kinawezekana. Hata hivyo kama kweli mabadiliko hayo ni ya kiroho, basi LAZIMA yaambatane na neno kutoka kwenye maandiko matakatifu. Yaani ikitokea kwa mfano tuseme Ibada kwa ajili ya mafundisho ya neno la Mungu imebadilika na kuwa maombi, maombi hayo lazima yaanze kwa kusimama na fungu fulani ndani ya maandiko matakatifu, kwamba kutokana na Ibada hii kubadilika na kuwa ya maombi, basi maombi yetu tutasimama na tuseme fungu la Mathayo 19:14 linalosema:

" Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao. "

Si sahihi hata kidogo kiongozi akabadilisha aina ya Ibada akiwa madhabahuni halafu Ibada ikaendeshwa pasipo kusomwa hata kipande cha fungu angalau fupi tu kutoka kwenye maandiko matakatifu
After all, kiongozi ndiyo anatakiwa awe na uchu wa kutumia maandiko matakatifu kila anaposimama madhabahuni. Haileti mantiki akasimama madhababhuni mwanzo mpaka mwisho wa Ibada, halafu hakuna fungu hata moja likawa limesomwa kutoka kwenye maandiko matakatifu.
Hii nyumba ya Ibada mhusika anatamani Mungu mwenyewe ashuke aje afanye marekebisho mwenyewe!
 
UPDATE: 16 JULY 2020



MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA CHEMBA AMBAYO IMEKUWA IKITOA MAJI MACHAFU YALIYOCHANGANYIKANA NA KINYESI KANISANI

Ni mtizamo wa mhusika kwamba hii chamber imekuwa ikitunzwa ikae katika hali ya kuvuja, tangu kipindi kirefu nyuma, kwa makusudi ya kuwa inavujisha kinyesi hicho pindi mvua zinappkuwa zimeanza

Fuatana na maelezo ya mhusika katika tukio hlil hapa chini ili uweze kuthibitisha maneno yake

Takribani mwaka mmoja na nusu au miwili hivi imeshapita, ilitokea siku moja mhusika akadhani kuwa pengine labda viongozi wa Kanisani wamepitiwa tu kutokana na shughuli nyingi na hivyo wameshindwa kuiangalia kwa jicho la umakini chamber inayovuja kinyesi Kanisani hapo. Kutokana na dhana hiyo, mhusika siku moja akiwa Kanisani, aliamua kumshirikisha mmojawapo wa mashemasi Kanisani hapo, na ambaye ni mwalimu wake (yaani Shemasi ambaye aliwahi kuwa mwalimu wa kiroho wa mhusika, kipindi mhusika akiwa bado ni mshirika kwa kupitia dararsa la waongofu wapya). Mhusika alliamua kumshirikisha mwalimu wake mambo makubwa mawili

  • MOJA: Kuhusiana na kinyesi kilichokuwa kinavuja kutoka kwenye chemba
  • PILI: Kuhusiana na wito zinazotolewa na viongozi wa watu kupita mbele ya madhabahu, wakati wa Ibada kuu siku za J2
Mhusika alimshirikisha mwalimu wake mambo haya mawili na kumuomba kiongozi huyo kama anaweza kuyafikisha kwenye ngazi za juu Kanisani hapo.

Kuhusiana na swal la chemba iliyokuwa inavuja kinyesi, mhusika hakuongea mengi isipokuwa alimwonyesha tu mwalimu wake sehemu hiyo na kuiona (japo sehemu imekaa mahali ambapo mtu yeyote hahitaji kuonyeshwa ili aweze kuiona) na baada ya kuwa naye amehakikisha kuwa kweli ilikuwa inavuja, alikiri kuwa hali hiyo haikuwa nzuri na aliahidi kulifikisha swala la mhusika kunakostahili.

Kwenye mada hii, mwandishi anaomba ajikite zaidi kwenye swala la pili, kulingana na msisitizo wa mtoa maelezo mwenyewe, ambaye ni mhusika



WITO ZILIZOKUWA NA AMBAZO ZIMEKUWA ZIKITOLEWA NA WAHUBIRI KWA WAUMINI KUPITA MBELE YA MADHABAHU SIKU ZA IBADA ZA J2

Kwenye kipengele hiki, mwandishi anapenda ajikite zaidi katika kutoa maelezo ya kina kuhusiana na wito mbalimbali ambazo zimekuwa zikitolewa wakati wa mahubiri, zikiita watu wapite mbele ya madhabahu kwa ajili ya msaada wa kufanyiwa maombi zaidi. Wito hizi zina uhusiano na swala linaloongelewa hapa kwa mantiki mhusika alilitoa maobi mawili kwa wakati mmoja likiwemo lile la chemba ya maji machafu

Tangu mhusika arudi kutoka uhamishoni Kanisa B, mwezi April 2017, rekodi ya kumbukumbu zake mpaka wakati huo (yaani hadi kipindi anafanya maongezi na shemasi mwalimu) ilikuwa inamuonyesha kuwa:

  • Kuna wito mmoja tu POSITIVE ambao ulikuwa umewahi kutolewa na Kiongozi Mkuu ukiita watu wapite mbele madhabahuni kwa ajili ya kuombewa ili waweze kufanya vizuri zaidi
  • Wito POSTIVE hapa mhusika anamaanisha wito ule ambao SI LAZIMA kila anayekaribishwa kupita mbele madhabahuni, awe ni yule ambaye ANA MATATIZO SANA KIROHO, japo pia hata walio na matatizo pia wito wa aina hii huwa hauwawekei mipaka na huwa wako huru kupita mbele pale wanapokuwa wanajisikia kufanya hivyo
  • Kwa hiyo hapa Kiongozi Mkuu siku hito alinamaanisha watu ambao wapo Kanisani na ambao wanaona wanaishi sawa sawa na mapenzi ya Mungu, na wanapenda kuendelea kuishi sawasawa na mapenzi ya Mungu, na hivyo wangependa waombewe ili waendelee kufanya vizuri zaidi
  • Watu wa aina hii huwa wapo Kanisani, na wanaweza kuwa ni wengi tu
Baada ya wito huo, muda mfupi mbele na baada ya maongezi ya mhusika na Shemasi mwalimu, J2 nyingine alisimama tena mwingine, yaani Kiongozi X na kuita watu ambao wao wanapenda KUONGEZEWA ujazo wa Roho Mtakatifu, YAANI WAJAZWE ZAIDI NA ZAIDI. Wito huu nao kwa upande mwingine, ulikuwa POSTIVE, japo pia ulikuwa unagusa pande zote mbili. Huyu alisimama kutoa wito huo muda mfupi BAADA ya mhusika na shemasi mwalimu kuwa wameshafanya maongezi yao

Kwa kumbukumbu za mhusika mpaka leo hii, ukiondoa wito hizi mbili zilizoainishwa hapa juu:

  • Hapajawahi tena kutokea wito wa madhabahuni ambao ni PISITIVE, hadi leo hii July 2020
  • Wito zote zingine zimekuwa ni zile ambazo ni NEGATIVE kama vile kwa ajli ya wazinzi, wanaofanya mapenzi ndotoni, wagonjwa, walio na matatizo ya kiroho, wasiokuwa na Roho Mtakatifu, wanaosumbuliwa na nguvu za giza, n.k.
  • Ni sahihi kabisa kwa wito za aina hii kuwa dorminant kwenye nyumba yoyote ile ya Ibada, lakini hii haimaanishi kuwa wito ambazo ni POSITIVE zisiwepo kabisa kwa sababu bado wapo watu wanaofanya vizuri, na ambao nao wanahitaji kupita madhabahuni na kuongezewa nguvu
  • Tatizo liliopo ni kwamba Kiongozi Mkuu huwa anafarijika zaidi pindi inapotokea umetolewa wito ambao ni NEGATIVE halafu akaona kundi la watu wengi wamepita madhabahuni, kitu ambacho siyo sahihi. Hali hii huwa inaonekana kumpa faraja sana badala ya kumsikitisha
  • Hii ni kutokana na ukweli kwamba kuna siku hadi aliwahi kulalamika kuwa kuna watu hawakupita mbele ya madhabahu, waliamua kujificha wakati wanajua wako kwenye kundi la uhalifu uliokuwa ukihitaji maombezi ya wito uliokuwa umetolewa siku hiyo
  • Nadhani alisema haya akiwa ana uhakika wa watu angalau kadhaa, ambao hawakupita madhabahuni wakati alikuwa anajua kuwa maisha yao hayako sawia kiroho
Tukirudi sasa kwenye mada yetu, kipindi mhusika anamshirikisha mawazo yake haya mwalimu Shemasi, ndiyo kipindi ambacho sasa mahubiri ya uzinzi yalikuwa yako kwenye schedule yamepamba moto, na katika kipindi hicho chote, wito nyingi zilizokuwa zikitolewa za watu kupita madhabahuni zilikuwa zimetawaliwa na wale ambao ni wazinzi na wanaofanya mapenzi usingizini. Kwa hiyo ni katika kipindi hicho hicho ambapo mhusika ilibidi amshirikishe mwalimu wake mambo makubwa mawili ambayo ni

  • Kinyesi kilichokuwa kinavuja kutoka kwenye chemba
  • Wito nyingi zaidi za kupita madhabahuni ambazo zilikuwa zimetawaliwa na washiriki ambao walikuwa wanaangukia kwenye kundi la wazinzi zaidi, na kuwashau kabisa wale wengine wasiohusika na makando kando hayo
Ukiachilia mbali hoja ya kwanza (chemba ya maji machafu) ambayo inajieleza yenyewe, kwenye hoja hii ya pili, mhusika alijaribu kutoa utetezi wake kwa mwalimu wake kama ifuatavyo, kuwa:

  • Kwa zaidi ya mwaka mzima, Madhabahu imekuwa ikitawaliwa na wito za kundi la wazinzi, na wito zingine kusahaulika kabisa ambazo zinawahusu waumini wengine ambao hawaangukii katika kundi hilo
  • Ni kweli kundi la wazinzi ni muhimu zaidi kwa sababu maandiko matakatifu yanathibitisha umuhimu wa kondoo mmoja aliyepotea, ukilinganisha na 99 waliomo zizini
  • Bado kundi la wasio wazinzi nalo lilikuwa linahitaji some sort of push mechanisms ya kulisukuma ili liende mbele na liweze kuendelea kufanya vizuri zaidi
  • Ilikuwa ni muhimu kufanya hivyo kwa kundi lisilokuwa la wazinzi, kama tahadhari ya umakini wa kuhakiksha kuwa kundi linalofanya vizuri, linaendelea kufanya vizuri na pengine, pasipo kumegeka na hatimaye kujikuta nalo linaanguka na kujiunga na lile la wazinzi
Kwa hiyo mhusika alishauri kuwe na balance ili angalau wale wasiokuwa wazinzi, wasio wagonjwa, na wengineo wasioangukia kwenye makundi yanayofanana na hayo, nao wawe wanapata nafasi ya kuitwa mbele ya madhabahu. Still hata kama pengine wenye ubora huo hawapo Kanisani, basi wito ziwe zinachanganywa, kwamba kwa mfano wazinzi tuseme mara wakiitwa 10, mfululizo, basi angalau mara moja waitwe nao hao wengine ambao hawaangukii kwenye makundi hayo na kwa wito tuseme, unaofanana kama ule aliowahi kuutumia Kiongozi Mkuu mwaka 2017

Kwa hiyo hoja ya mhusika hapa ilikuwa ni kwamba wito zisiwe ambazo ni NEGATIVE TU, ziwe zinachanganywa, japo katika uhalisia ni kweli wito ambazo ni NEGATIVE inabidi ziwe ni nyingi kuliko zile ambazo ni POSITIVE, lakini isiwe kwamba wito ambazo ni POSITIVE zinakuwa hamna kabisa

Mhusika baada ya kuwa ametoa hoja hizo, mwalimu wake alikubali kuyafikisha mambo haya mawili kwenye meza inayohusika na maongezi yao yaliishia hapo



KILICHOFUATA BAADA YA MAONGEZI YA MHUSIKA NA MWALIMU WAKE:

MHUBIRI ASIMAMA MADHABAHUNI KUKEMEA TABIA YA WATU KULALAMIKA LALAMIKA KANISANI AKIDAI KUWA WAMEKOSA KAZI


  • Siku ya maongezi yao, mhusika na mwalimu wake hawakuwekeana makubaliano ya kurudishiana feedback.
  • Hata hivyo, J2 iliyofuata, alisimama madhabahuni mhubiri na ambaye pia ni Kiongozi Kanisani hapo (tumwite Kiongozi W) akiwa amefura, japo haimaanishi kuwa alikuwa na hasira sana
  • Mahubiri yake yalijikita zaidi katika kulalamika kuwa UKIONA WATU WANAANZA KULALAMIKA LALAMIKA KANISANI, UJUE WAMEKOSA KAZI ZA KUFANYA
Mhusika aliuchukua ujumbe huu kama majibu kwake kwa sababu haikuwa mara yake ya kwanza kujibiwa kwa njia ya mtu kusimama madhabahuni

Mara ya kwanza alijibiwa kwa njia hiyo baada ya kuwa AMETUMA HELA NYUMBANI kwa ajili ya kujenga makaburi ya wazazi. J2 iliyofuata alisimama Kiongozi madhabahuni (si mmojawapo wa wale wote ambao tayari wameshatajwa humu kwenye taarifa hii) , akiwa na ujumbe uliokuwa unasema kuwa Mungu siyo Mungu wa wafu. Kwa bahati mbaya mhubiri huyu aliharibu katika namna ambayo, wiki iliyofuata, ilibidi asimame tena mhubiri mwingine ambaye ni Kiongozi W, kurekebisha hali hiyo. Kiongozi huyu wa pili alisisitiza kuwa kujenga makaburi siyo tatizo, isipokuwa tatizo labda linaweza kutokea tu pale ambapo ujenzi huo unaweza ukaambatana na mambo ya kimila.



Mara ya pili pia alijibiwa kwa njia hiyo baada ya kuwa amefanyiwa kitu ambacho hakikumfurahisha. Kitu hiki kilifanywa na mama ambaye huko nyuma alikuwa amejipambanua kama mtu wa karibu naye, na kama mama yake wa kiroho (hata hivyo, mama huyu yeye naye ana mkanda wake unaojitegemea, mambo yake yanahitaji ufafanuzi wa kipekee, peke yake, isipokuwa)

Kwa kifupi tu ni kwamba mama huyu

  • Naye ni staff mate wa mhusika, Idara tofauti
  • Ndiye alimkaribisha mhusika Kanisani hapo
Kwenye interactions zao huko nyuma baada ya mhusika kuwa ameanza kuabudu Kanisani hapo, ILITOKEA TENA huyu mama akafanya kitu ambacho mhusika HAKIKUMFURAHISHA kwa mara nyingine tena, kwa maana kuwa hakikuwa kizuri kwake na hivyo kupelekea kuandaa mpango wa kumwita mama huyu mbele ya mashemasi, baada ya kuwa mashemasi hao amewapa taarifa kuwa atahitaji kuonana na huyo mama mbele yao

Hata hivyo kabla ya siku ya kuonana kufika, mhusika aliamua kubadilisha mawazo na kusamehe, isipokuwa akaamua kuonana na shemasi mmoja tu kati ya wawili wale aliokuwa amepnaga wawepo kwenye kikao. Shemasi huyo alipokuja alimweleza maneno mafupi tu akamwambia kuwa KAMWAMBIE MAMA KITENDO ALICHOKIFANYA ANAKIJUA, NIMEMSAMEHE ILA NINAOMBA AACHE ASIRUDIE TENA. Hata hivyo mhusika alimpa maelezo ya ziada Shemasi huyo kwa kumwambia kuwa KAMA MAMA ATAONA KUWA SIKO SAHIHI NAMSINGIZIA, BASI NAOMBA UNIJULISHE HALAFU KIKAO KITAKUWEPO BAADAYE KAMA KAWAIDA ILI ALICHOKIFANYA KWANGU NIJE NIKIESEME MBELE YA KIKAO

Baada ya kikao cha mhusika na Shemasi kuisha, mhusika hakupata jibu lolote kutoka kwa shemasi, isipokuwa J2 iliyofuata, Kiongozi Mkuu alisimama madhabahuni na ujumbe uliokuwa unasema UMEHESJHIMIWA, JIHESHIMU, ujumbe ambao aliusimamia kwa wiki mbili ama tatu hivi mfululizo.

Mhusika hapo awali hakujua lakini kumbe ujumbe huu ulitokana na roho ya msamaha mhusika aliiyotoa kwa huyu mama. Analo faili la kutosha tu kuweza kulileta kwenu panapo nafasi, ila kwa sasa acha ashughulike na hili ambalo ndiyo lina kichwa cha habri hii.

Kwa hiyo kipindi Kiongzi Mkuu anatoa ujumbe huo uliosema UMEHESHIMIWA JIHESHIMU, mhusika hakuweza kugundua papo kwa papo kuwa ulimhusu yeye, isipokuwa alikuja kugundua baadaye kadri matukio yalivyokuwa yakijitokeza. Tofauti na ule wa mwanzo uliohusu Mungu siyo Mungu wa wafu, wenyewe ulikuwa direct sana na hivyo huo aliunasa papo kwa papo

Maelezo haya anayaleta kwenu yakiwa ni ya ziada, na kama namna tu ya kuwathibitishia kuwa wakati ujumbe wa watu kulalamika Kanisani kwa sababu hawana kazi ya kufanya unatolewa na Kiongozi W, tayari kule nyuma zilishatolewa jumbe zingine mbili kwa mtindo huo huo wa madhabahuni, na mojwapo ya jumbe hizo ukiwa ni ule uliotolewa na Kiongozi Mkuu.

Kwa hiyo safari hii alichaguliwa tena Kiongozi W ili aulete ujumbe huu kupitia madhabahuni, possibly kwa kuizingatia kuwa yeye ndiye the most learned katika viongozi wote.

Hata hivyo kitu cha kupendeza sana kwa viongozi hawa ni kwamba wanaonekana ni wasomi wazuri na ambao you can even, easily convert them to university dons. Mhusika hana details za elimu zao hao wengine ukiondoa Kiongozi W, (ambaye naye pia ni ex-staff mate wake) lakini wanaonekana hivyo mtu akiwajaribu kuwa-assess kwa jicho la ndani

Baada ya Kiongozi W kuwa ametoa ujumbe wake madhababuni, safari hii mhusika aliamua kuchuka hatua zifuatazo

  • Alimjulisha shemasi mwalimu juu ya kutoridhiswhwa kwake na ujumbe huo uliotolewa na Kionngozi W
  • Zaidi alimusihi shemasi mwalimu ajaribu kuangalia uwezekano wa kuwaomba viongozi wote au baadhi yao, kama wanaweza kupata nafasi ya kukutana kwa ajili ya kikao na mhusika, na alikubali kuwajulisha viongozi hao
Zaidi ya hayo, mhusika aliweka wazi maswala kadhaa kwa mwalimu shemasi, na kumuomba kuyafikisha kwa uongozi wote ikiwa ni pamoja na mhubiri Kiongozi W, kwamba:

  • Mhusika haoni mantiki ya uwepo wa uzinzi Kanisani ambao suluhisho lake ni watu kuitwa mbele ya madhabahu tu kwa siku za J2 tu badala ya kuwepo mkakati kama wa Semina maalum kwa jili ya kushgughulikia tatizo
  • Uongozi wote wa ngazi za juu wa kitaifa unalijua na huwa unalisifu sana sana Kanisa hilo kwa sifa ya utoaji sadaka, na possibly ndiyo linaloongoza kwa utoaji Tanzania nzima
  • Mhusika anaona ni PARADOX kwa Kanisa ambalo uongoiz wa Kanisa ngazi za juu kitaifa, unalijua kama Kanisa la watoaji linaongoza Tanzania nzima, na ndiyo maana linajenga Kanisa zuri na kubwa mno.
  • Kanisa ambalo uzinzi ni dorminant na waumini wake hawana Roho Mtakatifu kiasi kwamba kila J2 ni watu wenye matatizo tu ambao huwa wanaalikwa kupita madhabahuni, lina dalili zote zinazoonyesha kuwa walio wazuri hawapo Kanisani hapo, na hivyo haliwezi kuwa ni zuri kwa utoaji ama kuongoza katika uwanja huowa utoaji kitaifa
  • Hii tayari ni pardox ya ajabu sana kwamba waumini ambao hawana Roho Mtakatifu, ni wazinzi, lakini bado tena waumini hao hao wanaongoza Tanzania nzima kwa utoaji wa sadaka. Ni paradox ya ajabu sana
  • Mhusika aliongea na mwalimu wake mengi, ila kwa humu jukwaani haya yanatosha.


LABDA NYONGEZA NYINGINE NDOGO TU KATIKA HAYA NI KAMA IFUATAVYO:

  • Ni kawaida kabisa kwa nyumba hiyo ya Ibada, kuwa na wiki nzima ya maombi yanayoambatana pamoja na Semina, kwa sababu J2 inayofuata kuna utoaji wa ahadi za ujenzi wa Kanisa au Sadaka kwa ajili ya mikutano ya Injili, na si Semina kwa ajili ya kukomesha uzinzi. Hii moja kwa moja inaonyesha kuwa tatizo la uzinzi halipewi uzito wowote wa kulishughulika ukilinganisha na vitu kama Sadaka za ujenzi au Injili
  • Ni rahisi zaidi kuombewa Bahasha iliyotolewa kwa ajili ya Sadaka fulani, kuliko kuombewa Sadaka yenyewe. Unaweza ukapewa bahasha kwa ajili ya Sadaka fulani, halafu bahasha hiyo inaweza ikaombewa, lakini ikitokea ukatoa Sadaka hiyo pale pale na kuirudisha ikiwa kwenye bahasha, Sadaka hiyo uliyotoa papo kwa papo haitaombewa. Wanaombea Bahasha zaidi kuliko sadaka yenyewe
  • Sadaka zinazotolewa kwenye darasa la Uanafunzi na maandiko SIKU ZOTE huwa haziombewi, na kuna makusudi yake ya kufanya hivyo
  • Sadaka zinazotolewa kwenye Ibada za shukurani zinazofanyika kila J2 ya mwisho wa mwezi, nazo pia SIKU ZOTE huwa haziombewi na hii pia nayo inna makusudi yake ykufanyika hivyo
Haya mambo ya kutoa sadaka isiyoombew yameshamghariimusana mhusika na anapolalamikia haya, analalamika akiwa na CONCRETE EVIDENCE, vyote kimwili na kiroho



HITIMISHO

Baada ya Kiongozi W kusimama na kutoa ujumbe wa mahubiri yake madhabahuni

  • Chemba ya kinyesi iliendelea kutoa kinyesi pamoja na kwamba mwalimu shemasi alipeleka taarifa za chemba hiyo. Kiongozi W kusimama madhabahuni na kutoa ujumbe wake kulionyesha kuwa mwalimu Shemasi alifikisha ujumbe
  • Ilionyesha KAMA Kiongozi W alisimama madhabahuni akiwa amefura kwa sababu alihofia kuwa asipofanya hivyo, mhuisika ataendelea kulalalamika kuhusiana na chemba ya maji machafu, kiasi kwamba itabidi yashughulikiwe ili yaache kuendelea kutiririka
  • Ilionyesha KAMA ilikuwa ni plan ya uongozi kuhakikisha kuwa maji hayo hayashughulikiwii ili yaendelee kutiririka
  • Ilionyesha KAMA ilikuwa ni plan ya uongozi kuhakikisha kuwa wanaoendelea kuitwa kupita mbele ya madhabahu ni wazinzi na wale wengine ambao wanafanana na hao, na si wale ambao wamekuwa wakifanya vizuri katika mahusiaano yao ya kiroho na Mungu wao
Zaidi ni kuwa Mwalimu Shemasi aliwahi kumjulisha mhusika siku nyingi zimepita kwamba kuna baadhi ya viongozi walikuwa wameridhia kufanya kikao na mhusika, lakini kikao ahicho hakijaweza kufanyika hadi leo
 
Back
Top Bottom