#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Yaani mpaka sabuni zimetumiliziwa kwako?

MMM umemwita mwenyewe ametumwa kivipi?
Nashangaa unamtuhumu MR. X lakini bado ni marafiki.
Unawatuhumu viongozi lakini unawaheshimu na kuwanyenyekea

Hii ni homa hii bosi[emoji1][emoji1]naendelea kusoma
 
Nimefanikiwa kuisoma nusu, labda kesho ntaendelea, inanishughulisha sana sababu nikizembea sielewi inabidi nirudie[emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mpaka sabuni zimetumiliziwa kwako?

MMM umemwita mwenyewe ametumwa kivipi?
Nashangaa unamtuhumu MR. X lakini bado ni marafiki.
Unawatuhumu viongozi lakini unawaheshimu na kuwanyenyekea

Hii ni homa hii bosi[emoji1][emoji1]naendelea kusoma
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
UPDATE: WEDNESDAY 03 FEBRUARY 2021

KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:


KAMA MATUKIO HAYA YALIYOTOKEA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI YATAKUWA SIYO CINCIDENCES, BASI LAZIMA YATAKUWA NI MAIGIZO YALIYOKUWA YAMEPANGILIWA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU SANA

Kama matukio hayo yatakuwa siyo coincidences bali yalipangwa, basi wahusika wakuu watakuwa ni wafuatao

NAMBA MOJA: Kiongozi Mkuu

  • Huyu ndiye alianza kwa kufungua milango wakati anafundisha somo la hivi karibuni lililokuwa linahusu nafsi, roho na mwili pamoja na milango mitano ya fahamu (macho, pua, masikio, ngozi, ulimi)
  • Alikuwa anafundisha kwa kutumia watu aliokuwa anawasimamisha mbele ya madhabahu muda wote akiwa anafundisha somo hilo
Baada ya kufundisha somo hilo, alipotea madhabahuni, kwa maana ya kuwa hakuwahi kusimama tena madhabahuni kwenye siku za Jumapili kwa ajili ya kufundisha maandiko matakatifu.
Hapo sasa akawa tayari ameshamliza kazi moja ya kufungua mashambulizi ya kiroho kwa baadhi ya waumini kupitia viungo hivyo vya waumini (milango mitano ya fahamu), ikiwa ni pamoja na mashambulizi kwa kupitia nafsi (akili, fikra mawazo)

Baada ya hapo tena, ndiyo sasa baadhi ya waumini wakatokea kulalamikia kuona visivyostahili kuonekana.

Kama kweli vitu hivi walivyovilalamikia vilikuwa ni halisi na si malalamiko ya hewani tu, basi inaonekana kama vilikuwa vimepangwa. Vilianza kufanyiwa kazi siku Kiongozi Mkuu alipoanza kufundisha somo tajwa hapo juu. Somo hilio lilikuwa limekusudiwa kufungua milango ya kuwashambulia watu kwa njia ya milango hiyo mitano ya fahamu, yaani

  • Macho-kuona
  • Pua-kunusa
  • Masikio-Kusikia
  • Ngozi-uzinzi (feeling) ikiwa ni pamoja na joto (ubaridi, umoto) unashambulia kupitia ngozi ya mwanadamu
  • Ulimi-ladha, kuonja kupitia ulimi ikiwa ni ni pamoja na kula chakula
Kwa hiyo mapando yote yalifanyikia kule kweye picha za ajabu, kama kweli zilikuwepo. Na ndiyo sababu Kiongozi Mkuu hakuwa amehudhuria

NAMBA MBILI: Mhubiri wa uzinzi


Inaonekana kama kilichokuwa kinaendelea yalikuwa ni maigizo yaliyokuwa yamelenga kuja kuruhusu baadaye Kiongozi Mkuu kutoa tangazo la uzinzi akiwa amesimama madhabahuni

Inaonyesha kama ni maigizo kama ya wale waliowahi kubadilisha imani halafu KM akaja akawatangaza kama wazinzi, kama na hayo nayo yalikuwa ni maigizo pia

Maelezo ya kina kuhusu huyu mtu Mhubiri wa Uzinzi yatafuata baadaye. Anaonekana kama anawatoa kafara watoto wake kwa kuwa anawadhalilisha Kanisani

Maigizo hayo yamehitimishwa na Kiongozi Mkuu kwa kusimama madhabahuni na kutoa tangazo la uzinzi



NAMBA TATU: “MR X”


Huyu ndiye aliyemhamasisha mhusika kwa ajili ya mchango wa harusi, na alitoa

  • Mr X alikuwa mmojawapo wa wanakamati wa kamati ya harusi hiyo ambayo mshiriki mmojawapo amefukuzwa ushiriki na harusi hiyo kufutwa kabisa kuwa haitakuwepo tena kwa sababu ya uzinzi
  • Inaonyesha kama ili kutekeleza mkakati huu wa kutoa tangazo hilo la uzinzi madhabahuni, sadaka pia ilikuwa inahitajika pia
  • Na kama ni hivyo basi michango iliyotolewa na waumini kwa ajili ya harusi hiyo ndiyo imefanya kazi ya sadaka iliyohitajika kwa KM kusimama madhabahuni na kutoa tangazo hilo la uzinzi

HITIMISHO

Kama matukio haya siyo coincidences za kawaida tu, basi watu hawa wanaelekea kubaya, yaani Kiongozi Mkuu na watu wake

Mwandishi wenu atarudi kwa ajili ya maelezo ya kina zaidi, ila inaonyesha kama ambacho kimekuwa kikiendelea kanisani, ni maigizo matupu

Maelezo ya kina zaidi na yenye ufafanuzi murua yatafuata baadaye, possibly siku nyingine




EBR. 6:4-6 SUV


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
Yaani mpaka sabuni zimetumiliziwa kwako?

MMM umemwita mwenyewe ametumwa kivipi?
Nashangaa unamtuhumu MR. X lakini bado ni marafiki.
Unawatuhumu viongozi lakini unawaheshimu na kuwanyenyekea

Hii ni homa hii bosi[emoji1][emoji1]naendelea kusoma
A very biased and negative inclination with a very wrong timing. Maana sasa utakujja kutetea hata yale ambayo wao walishakiri. Wewe ukimuona mtu chizi anaokota makopo barabarani unamchukia? Je vipi tuseme mtoto wako siku moja anatoka shule huku akiwa anaokota makopo barababani, akiwa ana akili timamu?
 
Wacha nimalize ukute nacomment kwa haraka
 
Nimefanikiwa kuisoma nusu, labda kesho ntaendelea, inanishughulisha sana sababu nikizembea sielewi inabidi nirudie[emoji1787][emoji1787]
Huyu kuna watu anaongea nao
Yeye na watu wake wanaelewana vizuri tu
 
Mleta mada ni yeye halafu anasingizia mtu mwingine, au kusema uongo siku hizi sio dhambi?

Anyway mimi nataka kujua kama mleta uzi ameoa? Ana watoto? Anaishi nao?
Makanyaga
 
Humu kila mtu adui[emoji23][emoji23][emoji23]na binti nae amegeuka adui ghafla

Mbona wengi unawaanza wewe baadae wanageuka wanatumiwa? Nilifikiri anayekuwinda ndio anakuanza mwenyewe sasa binti umemtongoza wewe angekuwa katumwa si angejirahisisha? Yeye alikusubirisha

Au unataka kusema kuna watu wanadeal na watu wote wanapogundua uko jirani nao?
 
Kwa jinsi uzi unavyoenda hilo jambo la tatu la kumtaka aende kuonana na daktari inaonyesha jamaa wanamuona anarukwa na akili. Kuna details ndogo ndogo sana anazikuza.

Halafu huyu si wewe kweli?
Nilishajua namna jamii inavyomuona, ndio maana siku amefika kwa katibu muhtasi tu binti kainua simu
 
Hii thread siyo ya kurukia katikati. Kule page ya kwanza kabisa kuna disclaimer
 
UPDATE: WEDNESDAY 03 FEBRUARY 2021

KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:


KAMA MATUKIO HAYA YALIYOTOKEA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI YATAKUWA SIYO CINCIDENCES, BASI LAZIMA YATAKUWA NI MAIGIZO YALIYOKUWA YAMEPANGILIWA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU SANA

Kama matukio hayo yatakuwa siyo coincidences bali yalipangwa, basi wahusika wakuu watakuwa ni wafuatao

NAMBA MOJA: Kiongozi Mkuu

  • Huyu ndiye alianza kwa kufungua milango wakati anafundisha somo la hivi karibuni lililokuwa linahusu nafsi, roho na mwili pamoja na milango mitano ya fahamu (macho, pua, masikio, ngozi, ulimi)
  • Alikuwa anafundisha kwa kutumia watu aliokuwa anawasimamisha mbele ya madhabahu muda wote akiwa anafundisha somo hilo
Baada ya kufundisha somo hilo, alipotea madhabahuni, kwa maana ya kuwa hakuwahi kusimama tena madhabahuni kwenye siku za Jumapili kwa ajili ya kufundisha maandiko matakatifu.
Hapo sasa akawa tayari ameshamliza kazi moja ya kufungua mashambulizi ya kiroho kwa baadhi ya waumini kupitia viungo hivyo vya waumini (milango mitano ya fahamu), ikiwa ni pamoja na mashambulizi kwa kupitia nafsi (akili, fikra mawazo)

Baada ya hapo tena, ndiyo sasa baadhi ya waumini wakatokea kulalamikia kuona visivyostahili kuonekana.

Kama kweli vitu hivi walivyovilalamikia vilikuwa ni halisi na si malalamiko ya hewani tu, basi inaonekana kama vilikuwa vimepangwa. Vilianza kufanyiwa kazi siku Kiongozi Mkuu alipoanza kufundisha somo tajwa hapo juu. Somo hilio lilikuwa limekusudiwa kufungua milango ya kuwashambulia watu kwa njia ya milango hiyo mitano ya fahamu, yaani

  • Macho-kuona
  • Pua-kunusa
  • Masikio-Kusikia
  • Ngozi-uzinzi (feeling) ikiwa ni pamoja na joto (ubaridi, umoto) unashambulia kupitia ngozi ya mwanadamu
  • Ulimi-ladha, kuonja kupitia ulimi ikiwa ni ni pamoja na kula chakula
Kwa hiyo mapando yote yalifanyikia kule kweye picha za ajabu, kama kweli zilikuwepo. Na ndiyo sababu Kiongozi Mkuu hakuwa amehudhuria

NAMBA MBILI: Mhubiri wa uzinzi


Inaonekana kama kilichokuwa kinaendelea yalikuwa ni maigizo yaliyokuwa yamelenga kuja kuruhusu baadaye Kiongozi Mkuu kutoa tangazo la uzinzi akiwa amesimama madhabahuni

Inaonyesha kama ni maigizo kama ya wale waliowahi kubadilisha imani halafu KM akaja akawatangaza kama wazinzi, kama na hayo nayo yalikuwa ni maigizo pia

Maelezo ya kina kuhusu huyu mtu Mhubiri wa Uzinzi yatafuata baadaye. Anaonekana kama anawatoa kafara watoto wake kwa kuwa anawadhalilisha Kanisani

Maigizo hayo yamehitimishwa na Kiongozi Mkuu kwa kusimama madhabahuni na kutoa tangazo la uzinzi



NAMBA TATU: “MR X”


Huyu ndiye aliyemhamasisha mhusika kwa ajili ya mchango wa harusi, na alitoa

  • Mr X alikuwa mmojawapo wa wanakamati wa kamati ya harusi hiyo ambayo mshiriki mmojawapo amefukuzwa ushiriki na harusi hiyo kufutwa kabisa kuwa haitakuwepo tena kwa sababu ya uzinzi
  • Inaonyesha kama ili kutekeleza mkakati huu wa kutoa tangazo hilo la uzinzi madhabahuni, sadaka pia ilikuwa inahitajika pia
  • Na kama ni hivyo basi michango iliyotolewa na waumini kwa ajili ya harusi hiyo ndiyo imefanya kazi ya sadaka iliyohitajika kwa KM kusimama madhabahuni na kutoa tangazo hilo la uzinzi
HITIMISHO

Kama matukio haya siyo coincidences za kawaida tu, basi watu hawa wanaelekea kubaya, yaani Kiongozi Mkuu na watu wake

Mwandishi wenu atarudi kwa ajili ya maelezo ya kina zaidi, ila inaonyesha kama ambacho kimekuwa kikiendelea kanisani, ni maigizo matupu

Maelezo ya kina zaidi na yenye ufafanuzi murua yatafuata baadaye, possibly siku nyingine




EBR. 6:4-6 SUV


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
Hao walioacha feni ikitembea walijua utakuwa wa kwanza kuingia ili uizime?
 
Hao walioacha feni ikitembea walijua utakuwa wa kwanza kuingia ili uizime?
Nenda kule jukwaa la entertainment kuna thread zinazokufaa huko, hii haikufai itakupotezea muda wako wa kufanya assignment ulizopewa shuleni na walimu wako. Ukifeli masomo usije ukalaumu mtu humu jukwaani tafadhali
 
UPDATE: THURSDAY 04 FEBRUARY 2021

KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:


KAMA MATUKIO HAYA YALIYOTOKEA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI YATAKUWA SIYO CINCIDENCES, BASI LAZIMA YATAKUWA NI MAIGIZO YALIYOKUWA YAMEPANGILIWA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU SANA

Kama matukio hayo yatakuwa siyo coincidences bali yalipangwa, basi wahusika wakuu watakuwa ni wafuatao

NAMBA MOJA: Kiongozi Mkuu

  • Huyu ndiye alianza kwa kufungua milango wakati anafundisha somo la hivi karibuni lililokuwa linahusu nafsi, roho na mwili pamoja na milango mitano ya fahamu (macho, pua, masikio, ngozi, ulimi)
  • Alikuwa anafundisha kwa kutumia watu aliokuwa anawasimamisha mbele ya madhabahu muda wote akiwa anafundisha somo hilo
Baada ya kufundisha somo hilo, alipotea madhabahuni, kwa maana ya kuwa hakuwahi kusimama tena madhabahuni kwenye siku za Jumapili kwa ajili ya kufundisha maandiko matakatifu.
Hapo sasa akawa tayari ameshamliza kazi moja ya kufungua mashambulizi ya kiroho kwa baadhi ya waumini kupitia viungo hivyo vya waumini (milango mitano ya fahamu), ikiwa ni pamoja na mashambulizi kwa kupitia nafsi (akili, fikra mawazo)

Baada ya hapo tena, ndiyo sasa baadhi ya waumini wakatokea kulalamikia kuona visivyostahili kuonekana.

Kama kweli vitu hivi walivyovilalamikia vilikuwa ni halisi na si malalamiko ya hewani tu, basi inaonekana kama vilikuwa vimepangwa. Vilianza kufanyiwa kazi siku Kiongozi Mkuu alipoanza kufundisha somo tajwa hapo juu. Somo hilio lilikuwa limekusudiwa kufungua milango ya kuwashambulia watu kwa njia ya milango hiyo mitano ya fahamu, yaani

  • Macho-kuona
  • Pua-kunusa
  • Masikio-Kusikia
  • Ngozi-uzinzi (feeling) ikiwa ni pamoja na joto (ubaridi, umoto) unashambulia kupitia ngozi ya mwanadamu
  • Ulimi-ladha, kuonja kupitia ulimi ikiwa ni ni pamoja na kula chakula
Kwa hiyo mapando yote yalifanyikia kule kweye picha za ajabu, kama kweli zilikuwepo. Na ndiyo sababu Kiongozi Mkuu hakuwa amehudhuria

NAMBA MBILI: Mhubiri wa uzinzi


Inaonekana kama kilichokuwa kinaendelea yalikuwa ni maigizo yaliyokuwa yamelenga kuja kuruhusu baadaye Kiongozi Mkuu kutoa tangazo la uzinzi akiwa amesimama madhabahuni

Inaonyesha kama ni maigizo kama ya wale waliowahi kubadilisha imani halafu KM akaja akawatangaza kama wazinzi, kama na hayo nayo yalikuwa ni maigizo pia

Maelezo ya kina kuhusu huyu mtu Mhubiri wa Uzinzi yatafuata baadaye. Anaonekana kama anawatoa kafara watoto wake kwa kuwa anawadhalilisha Kanisani

Maigizo hayo yamehitimishwa na Kiongozi Mkuu kwa kusimama madhabahuni na kutoa tangazo la uzinzi



NAMBA TATU: “MR X”


Huyu ndiye aliyemhamasisha mhusika kwa ajili ya mchango wa harusi, na alitoa

  • Mr X alikuwa mmojawapo wa wanakamati wa kamati ya harusi hiyo ambayo mshiriki mmojawapo amefukuzwa ushiriki na harusi hiyo kufutwa kabisa kuwa haitakuwepo tena kwa sababu ya uzinzi
  • Inaonyesha kama ili kutekeleza mkakati huu wa kutoa tangazo hilo la uzinzi madhabahuni, sadaka pia ilikuwa inahitajika pia
  • Na kama ni hivyo basi michango iliyotolewa na waumini kwa ajili ya harusi hiyo ndiyo imefanya kazi ya sadaka iliyohitajika kwa KM kusimama madhabahuni na kutoa tangazo hilo la uzinzi
HITIMISHO

Kama matukio haya siyo coincidences za kawaida tu, basi watu hawa wanaelekea kubaya, yaani Kiongozi Mkuu na watu wake

Mwandishi wenu atarudi kwa ajili ya maelezo ya kina zaidi, ila inaonyesha kama ambacho kimekuwa kikiendelea kanisani, ni maigizo matupu

Maelezo ya kina zaidi na yenye ufafanuzi murua yatafuata baadaye, possibly siku nyingine




EBR. 6:4-6 SUV


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
UPDATE-2: THURSDAY 04 FEBRUARY 2021


KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:

……………………..Inaendelea

KIONGOZI MKUU (KM)


Kwa hiyo kilichotokea ni kwamba (assuming matukio haya siyo coincidences), baada ya KM kuwa amefundisha somo linalohusu Nafsi, Mwili na Roho ikiwa ni pamoja na milango mitano ya fahamu:

  • Akawa amepata sasa opportunity ya kufanyia majaribio silaha yake hiyo kuona POTENCY yake namna ilivyo
  • Ni baada ya kuwa amefungua milango ya mashambulizi kupitia maeneo hayo ya mwandamu
  • Sehemu hiyo ya kufanyia jaribio la silaha ya nyuklia, aliyoiunda ikawa sasa ndiyo kule ambako waumini walikaribishwa halafu wakaenda kukumbana na mambo ya ajabu ajabu
  • Baada ya hapo, KM akawa amepta taarifa hizo kwa hiyo akamua kuja kujikosha mbele ya waumini kwa kukemea kilichokuwa kimetokea, rohoni akiwa anachekelea huku akiwasanifu
Mpaka hapa akawa sasa amekamilisha kwa upande wa washiriki, akiwa na uhakika kabisa kwa upande huo kuwa tatizo halipo tena. Hata hivyo bado alikuwa hajakamilisha kazi yake kisawasawa, alikuwa bado amebakiza MADHABAHUNI

Baada ya silaha upande wa washiriki kuwa imefanikiwa, akageukia sasa madhabahuni na kufanya kile alichofanya Jumapili iliyopita

  • Akafukuza mushiriki ambaye alikuwa ni mharusi, na tarehe ya harusi yake akapangiwa mtu mwingine ambaye yeye harusi yake ilitakiwa ifanyike nyuma ya wiki ya yule aliyefukuzwa ushiriki
  • Possbily hii ilikuwa ni katika kujaribu kupunguza maswali kwa watu ambao walijua kuwa tarehe hiyo kuna harusi, lakini cha kushangaza wangefika Kanisani na kukuta hamna harusi. Watu wa aina hii wangeweza kuhoji maswali mengi sana kutaka kujua kuna nini kilitokea kiasi cha kusababisha harusi iliyokuwai imetangazwa kutokuwepo
  • Kupunguza maswali na mashaka hayo, swapping ikawa imefanyika
  • Kwa hiyo watu wa aina hiyo watakuta kuna harusi, na wakishaona ni ya mtu mwingine tofauti na yule aliyekuwa ametangzwa awali, saikolojia yao itawatuma tu kuwa walichanganya hawakusikia matangazo vizuri
Mabadiliko haya ya ratiba ya harusi iliyobaki KM wala hakuweza kuyatangaza kwenye Ibada ya pili, nadhani alikuwa ameshtuka mahlai. Wakati wa Ibada ya pili alitangaza kama ifuatvyo

  • Mwenye hariusi amefukuzwa ushiriki sababu ya uzinzi na harusi yake haitakuwepo
  • Kwamba tarehe 14/02/2021 kutakuwa na kuweka wakfu watoto na hivyo wanatakiwa waletwe Ibada ya kwanza tu kwa sababu Ibada ya pili kutakuea na harusi
Huu ndiyo mtindo alioutumia kutangaza kuwa kutakuwa na harusi tarehe tajwa na kwamba mojawapo ya harusi imefutwa. Mwanzoni kabla ya mabadiliko haya utaraibu ulikuwa kama ifuatavyo:

  • Harusi iliyofutwa ilikuwa ifanyike tarehe 14
  • Harusi ile ambyao haijafutwa ilitakiwa ifanyike tarehe 7
  • Harusi ambyao haijafutwa sasa itafanyika tarehe 14
Kwa hiyo baada ya mtu kufukuzwa ushiriki kwa sababu ya uzinzi, kukafanyika tena swapping ya harusi hizi, iliyokuwa nyuma ikapelekwa kwenye tarehe ya ile iliyofutwa

Kwa hiyo Jumapili ya tarehe 31/01/2021 KM alifunga mwezi mpya kabisa wa mwaka mpya kwa kushambulia madhabahu, assuming kwamba matukio haya siyo coincidences tu! Hapa sasa tayari akawa ameshakamilisha kila kitu. Kwenye washiriki akawa amemaliza, na kwenye madhabahu pia.

J2 iliyopita yalipigwa makofi ya“NAOMBA WALIOKAA TUSIMAMAE” kwa mfululizo kwa muda usopungua dakika tano.

Pia inaonyesha kama kundi lake kubwa linaloshirikiana naye katika mambo haya kwa sasa limehamia Ibada ya pili



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…