#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Na kama kweli wewe sio mhusika katika swala hili mbona maswali yanapoulizwa moja kwa moja unakataa kujibu maswali na badala yake unajifanya unashauri tukamalizie kufanya kazi zetu za shule badala ya kumpelekea huyo mhusika ajibu??? Unajuaje kama yeye ataona maswali hayo kuwa ni ya kitoto?? Kwanini umjibie??
Na ukijibu maswali yale uliyoulizwa leo, kuna uwezekano ukajibiwa maswali yako yote yatakayofuata. Ukijibu maswali aliyokuuliza atajua kuwa umesoma toka mwanzo na unaelewa unachokiuliza. Muhimu zadi ya maswali yote likiwa ni "kwa nini thread hii ilianzishwa?"
 
UPDATE:MONDAY 8th JANUARY 2021

KUHUSIANA NA MICHANGO IILIYOKUWA IMECHANGWA KWA AJILI YA HARUSI ILIYOFUTWA


Michango hii yaweza kuwa:

  • Ilikuwa ni sadaka iliyohitajika na KM kwa ajili ya kushambulia madhabahu
  • Ilikusanywa kwa ajili ya kufidia Sadaka za waumini ambazo pengine zimepungua kiasi na hivyo kupelekea kubuniwa utaratibu mwingine mpya wa kuongeza kipato cha hawa watumishi wa Mungu
  • Ilikuwa inahitajika kwa ajili ya mambo yote haya mawili, kwamba kilihitajika kipato cha ziada na pia sadaka kwa ajili ya madhabahu za kuzimu; sadaka ambyo ilibidi itokane na fedha za waumini ambazo hazijatokea madhabahuni, na hivyo hazijaombewa
Kama hali ndiyo hiyo, mhusika alitoa mchango wa TZS 51,000/= ambazo atajuta sana kuwa amezitoa, assuming nadharia ya matukio haya kutokuwa coincidences iko sahihi

Ikumbukwe pia kuwa J2 ya tarehe 18/10/2020 kuna dalili zinazoonyesha kuwa walifanya pia kitu kinachofanana na hiki. Waliitsha mchango wa ujenzi ghafla, tukio ambalo mhusika aliahidi kuliongelea baada ya Desemba 2020, muda ambao michango hiyo ilikuwa inaishia. Hakutaka kuliongelea ndani ya muda wa michango hiyo ili kukwepa lawama kuwa anahamasisha watu kutokutoa michango kanisani. Hili nalo ataliongelea panapo nafasi



KUHUSIANA NA “MHUBIRI WA UZINZI”

Assuming matukio haya siyo coincidences tu bali yalipangwa, huyu mtu anaelekea kubaya

  • Anawatoa kafara ya kuwadhalilisha watoto wake kanisani
  • Anakoelekea anaweza akaja akawatoa kafara ya damu, uhai, huko mbele ya safari
Hivyo mhubiri huyu wa uzinzi inabidi adhibitiwe ipasavyo ili asije akafikia kwenye level ya hatari zaidi ya hii

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Na ukijibu maswali yale uliyoulizwa leo, kuna uwezekano ukajibiwa maswali yako yote yatakayofuata. Ukijibu maswali aliyokuuliza atajua kuwa umesoma toka mwanzo na unaelewa unachokiuliza. Muhimu zadi ya maswali yote likiwa ni "kwa nini thread hii ilianzishwa?"
Mimi sitajibu swali lolote lile eti kwasababu tu mhusika anataka nifanye hivyo,

Ikiwa wewe umeshindwa kujibu maswali yangu ambayo yametoka kwenye maelezo hayo hayo uliyoandika unadhani kwanini mimi nikujibu??

Kama alivyoamua yeye kutojibu bali kuuliza zaidi nami nimeamua kutojibu maswali yake pia.

Kitu kingine nilichokiona ni kuwa huyu mhusika mbali na tabia yake ya ukorofi inayopelekea yeye kushindwa kuelewana na wenzie kwenye jamii yake, wala kusali kwake hakumsaidii kitu,
Yani mtu anaenda kanisani karibia kwenye kila ibada ila maisha yake yanazidi kuwa magumu tu, hili linathibitisha kuwa mhusika anapoteza tu muda kwenda kanisani, maana ni kama vile badala ya kwenda kusali ye anaenda kuchunguza tu
 
Mimi sitajibu swali lolote lile eti kwasababu tu mhusika anataka nifanye hivyo,

Ikiwa wewe umeshindwa kujibu maswali yangu ambayo yametoka kwenye maelezo hayo hayo uliyoandika unadhani kwanini mimi nikujibu??

Kama alivyoamua yeye kutojibu bali kuuliza zaidi nami nimeamua kutojibu maswali yake pia.

Kitu kingine nilichokiona ni kuwa huyu mhusika mbali na tabia yake ya ukorofi inayopelekea yeye kushindwa kuelewana na wenzie kwenye jamii yake, wala kusali kwake hakumsaidii kitu,
Yani mtu anaenda kanisani karibia kwenye kila ibada ila maisha yake yanazidi kuwa magumu tu, hili linathibitisha kuwa mhusika anapoteza tu muda kwenda kanisani, maana ni kama vile badala ya kwenda kusali ye anaenda kuchunguza tu
Watu wanaokesha makanisani hasa hawa walokole wanaongoza kwa matatizo kwenye maisha yao

Sijui wanaomba Mungu yupi
 
Unafikiri kwanini jamii nzima imfiche?
Ndiyo maana ninakaa ninakuuliza swali kwamba, unaelewa kwa nini thread hii ilianzishwa?. Kuna vitu muhimu bado unamiss. Ni kwa sababu bado hujajua sababu ya kwa nini haya yanatokea kwake. Ukishajua sababu hiyo, hutauliza tena swali la namna hii. Kuna vitu possbibly umeruka, jaribu kusoma pages kati ya 4-8
 
UPDATE:MONDAY 8th JANUARY 2021

KUHUSIANA NA MICHANGO IILIYOKUWA IMECHANGWA KWA AJILI YA HARUSI ILIYOFUTWA


Michango hii yaweza kuwa:

  • Ilikuwa ni sadaka iliyohitajika na KM kwa ajili ya kushambulia madhabahu
  • Ilikusanywa kwa ajili ya kufidia Sadaka za waumini ambazo pengine zimepungua kiasi na hivyo kupelekea kubuniwa utaratibu mwingine mpya wa kuongeza kipato cha hawa watumishi wa Mungu
  • Ilikuwa inahitajika kwa ajili ya mambo yote haya mawili, kwamba kilihitajika kipato cha ziada na pia sadaka kwa ajili ya madhabahu za kuzimu; sadaka ambyo ilibidi itokane na fedha za waumini ambazo hazijatokea madhabahuni, na hivyo hazijaombewa
Kama hali ndiyo hiyo, mhusika alitoa mchango wa TZS 51,000/= ambazo atajuta sana kuwa amezitoa, assuming nadharia ya matukio haya kutokuwa coincidences iko sahihi

Ikumbukwe pia kuwa J2 ya tarehe 18/10/2020 kuna dalili zinazoonyesha kuwa walifanya pia kitu kinachofanana na hiki. Waliitsha mchango wa ujenzi ghafla, tukio ambalo mhusika aliahidi kuliongelea baada ya Desemba 2020, muda ambao michango hiyo ilikuwa inaishia. Hakutaka kuliongelea ndani ya muda wa michango hiyo ili kukwepa lawama kuwa anahamasisha watu kutokutoa michango kanisani. Hili nalo ataliongelea panapo nafasi



KUHUSIANA NA “MHUBIRI WA UZINZI”

Assuming matukio haya siyo coincidences tu bali yalipangwa, huyu mtu anaelekea kubaya

  • Anawatoa kafara ya kuwadhalilisha watoto wake kanisani
  • Anakoelekea anaweza akaja akawatoa kafara ya damu, uhai, huko mbele ya safari
Hivyo mhubiri huyu wa uzinzi inabidi adhibitiwe ipasavyo ili asije akafikia kwenye level ya hatari zaidi ya hii

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Ndiyo maana ninakaa ninakuuliza swali kwamba, unaelewa kwa nini thread hii ilianzishwa?. Kuna vitu muhimu bado unamiss. Ni kwa sababu bado hujajua sababu ya kwa nini haya yanatokea kwake. Ukishajua sababu hiyo, hutauliza tena swali la namna hii. Kuna vitu possbibly umeruka, jaribu kusoma pages kati ya 4-8
Binafsi nimesoma huu uzi mwanzo hadi mwisho

Habari ya kunirudisha mwanzo hicho ni kisingizio
 
Binafsi nimesoma huu uzi mwanzo hadi mwisho

Habari ya kunirudisha mwanzo hicho ni kisingizio
Anatafuta excuses za kutojibu maswali,

Hivi kuna ugumu gani wa yeye kujibu maswali yaliyotokana na maelezo yake??

Hana tofauti na viongozi wa kanisa A ambao wameamua kuita lile kanisa jipya Jengo jipya
 
Anatafuta excuses za kutojibu maswali,

Hivi kuna ugumu gani wa yeye kujibu maswali yaliyotokana na maelezo yake??

Hana tofauti na viongozi wa kanisa A ambao wameamua kuita lile kanisa jipya Jengo jipya
Anafikiri hatujaelewa chanzo cha yote

Binafsi nimeelewa basi tubadili aina ya uulizaji na swali liwe hivi "Anafikiri hao wabaya wake wana haja kutumia njia ndefu hivyo"

Hapa atasema anaokolewa na roho mtakatifu na najua ndio anachoamini
 
Haelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
Dishi lake limeyumba 😊😊
 
Unafikiri kwanini jamii nzima imfiche?
Labda inaweza kuwa ni kutokana na msemo wa wenzetu unaosema kuwa "common sense is uncommon among common people", unauelewa maana yake?
 
Haelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
Mmevamia uzi ambo sio! Nawashauri muachane nao
 
UPDATE:TUESDAY 9th JANUARY 2021

KUHUSIANA NA MICHANGO IILIYOKUWA IMECHANGWA KWA AJILI YA HARUSI ILIYOFUTWA


Michango hii yaweza kuwa:

  • Ilikuwa ni sadaka iliyohitajika na KM kwa ajili ya kushambulia madhabahu
  • Ilikusanywa kwa ajili ya kufidia Sadaka za waumini ambazo pengine zimepungua kiasi na hivyo kupelekea kubuniwa utaratibu mwingine mpya wa kuongeza kipato cha hawa watumishi wa Mungu
  • Ilikuwa inahitajika kwa ajili ya mambo yote haya mawili, kwamba kilihitajika kipato cha ziada na pia sadaka kwa ajili ya madhabahu za kuzimu; sadaka ambyo ilibidi itokane na fedha za waumini ambazo hazijatokea madhabahuni, na hivyo hazijaombewa
Kama hali ndiyo hiyo, mhusika alitoa mchango wa TZS 51,000/= ambazo atajuta sana kuwa amezitoa, assuming nadharia ya matukio haya kutokuwa coincidences iko sahihi

Ikumbukwe pia kuwa J2 ya tarehe 18/10/2020 kuna dalili zinazoonyesha kuwa walifanya pia kitu kinachofanana na hiki. Waliitsha mchango wa ujenzi ghafla, tukio ambalo mhusika aliahidi kuliongelea baada ya Desemba 2020, muda ambao michango hiyo ilikuwa inaishia. Hakutaka kuliongelea ndani ya muda wa michango hiyo ili kukwepa lawama kuwa anahamasisha watu kutokutoa michango kanisani. Hili nalo ataliongelea panapo nafasi



KUHUSIANA NA “MHUBIRI WA UZINZI”

Assuming matukio haya siyo coincidences tu bali yalipangwa, huyu mtu anaelekea kubaya

  • Anawatoa kafara ya kuwadhalilisha watoto wake kanisani
  • Anakoelekea anaweza akaja akawatoa kafara ya damu, uhai, huko mbele ya safari
Hivyo mhubiri huyu wa uzinzi inabidi adhibitiwe ipasavyo ili asije akafikia kwenye level ya hatari zaidi ya hii

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Jiandae kuishi maisha kama ya hao wanaolalamikiwa unaosema kuwa ni wengi, utaishi maisha mazuri sana. You stand a beter chance ya kuishi maisha hayo kwa sababu inaelekea training yako iko oriented huko. All the best!
 
Jiandae kuishi maisha kama ya hao wanaolalamikiwa unaosema kuwa ni wengi, utaishi maisha mazuri sana. You stand a beter chance ya kuishi maisha hayo kwa sababu inaelekea training yako iko oriented huko. All the best!
Samahani bosi ule ushauri wa ofisi kumuona daktari uliufanyia kazi?

Hili swali unalikwepa kabisa
 
Back
Top Bottom