Na ukijibu maswali yale uliyoulizwa leo, kuna uwezekano ukajibiwa maswali yako yote yatakayofuata. Ukijibu maswali aliyokuuliza atajua kuwa umesoma toka mwanzo na unaelewa unachokiuliza. Muhimu zadi ya maswali yote likiwa ni "kwa nini thread hii ilianzishwa?"Na kama kweli wewe sio mhusika katika swala hili mbona maswali yanapoulizwa moja kwa moja unakataa kujibu maswali na badala yake unajifanya unashauri tukamalizie kufanya kazi zetu za shule badala ya kumpelekea huyo mhusika ajibu??? Unajuaje kama yeye ataona maswali hayo kuwa ni ya kitoto?? Kwanini umjibie??
Mimi sitajibu swali lolote lile eti kwasababu tu mhusika anataka nifanye hivyo,Na ukijibu maswali yale uliyoulizwa leo, kuna uwezekano ukajibiwa maswali yako yote yatakayofuata. Ukijibu maswali aliyokuuliza atajua kuwa umesoma toka mwanzo na unaelewa unachokiuliza. Muhimu zadi ya maswali yote likiwa ni "kwa nini thread hii ilianzishwa?"
Unafikiri kwanini jamii nzima imfiche?Uko sahihi kabisa! Na kama hakosei, basi atakuwa anafichwa mawasiliano kwa makusudi
Watu wanaokesha makanisani hasa hawa walokole wanaongoza kwa matatizo kwenye maisha yaoMimi sitajibu swali lolote lile eti kwasababu tu mhusika anataka nifanye hivyo,
Ikiwa wewe umeshindwa kujibu maswali yangu ambayo yametoka kwenye maelezo hayo hayo uliyoandika unadhani kwanini mimi nikujibu??
Kama alivyoamua yeye kutojibu bali kuuliza zaidi nami nimeamua kutojibu maswali yake pia.
Kitu kingine nilichokiona ni kuwa huyu mhusika mbali na tabia yake ya ukorofi inayopelekea yeye kushindwa kuelewana na wenzie kwenye jamii yake, wala kusali kwake hakumsaidii kitu,
Yani mtu anaenda kanisani karibia kwenye kila ibada ila maisha yake yanazidi kuwa magumu tu, hili linathibitisha kuwa mhusika anapoteza tu muda kwenda kanisani, maana ni kama vile badala ya kwenda kusali ye anaenda kuchunguza tu
Ndiyo maana ninakaa ninakuuliza swali kwamba, unaelewa kwa nini thread hii ilianzishwa?. Kuna vitu muhimu bado unamiss. Ni kwa sababu bado hujajua sababu ya kwa nini haya yanatokea kwake. Ukishajua sababu hiyo, hutauliza tena swali la namna hii. Kuna vitu possbibly umeruka, jaribu kusoma pages kati ya 4-8Unafikiri kwanini jamii nzima imfiche?
Binafsi nimesoma huu uzi mwanzo hadi mwishoNdiyo maana ninakaa ninakuuliza swali kwamba, unaelewa kwa nini thread hii ilianzishwa?. Kuna vitu muhimu bado unamiss. Ni kwa sababu bado hujajua sababu ya kwa nini haya yanatokea kwake. Ukishajua sababu hiyo, hutauliza tena swali la namna hii. Kuna vitu possbibly umeruka, jaribu kusoma pages kati ya 4-8
Anatafuta excuses za kutojibu maswali,Binafsi nimesoma huu uzi mwanzo hadi mwisho
Habari ya kunirudisha mwanzo hicho ni kisingizio
Ni kadi ya gari nilichanganyaHajawahi kupoteza kadi ya Benki
Anafikiri hatujaelewa chanzo cha yoteAnatafuta excuses za kutojibu maswali,
Hivi kuna ugumu gani wa yeye kujibu maswali yaliyotokana na maelezo yake??
Hana tofauti na viongozi wa kanisa A ambao wameamua kuita lile kanisa jipya Jengo jipya
Dishi lake limeyumba 😊😊Haelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
Ndio[emoji28][emoji28]Dishi lake limeyumba [emoji4][emoji4]
Mmevamia uzi ambo sio! Nawashauri muachane naoHaelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
SielewiLabda inaweza kuwa ni kutokana na msemo wa wenzetu unaosema kuwa "common sense is uncommon among common people", unauelewa maana yake?
Samahani bosi ule ushauri wa ofisi kumuona daktari uliufanyia kazi?Jiandae kuishi maisha kama ya hao wanaolalamikiwa unaosema kuwa ni wengi, utaishi maisha mazuri sana. You stand a beter chance ya kuishi maisha hayo kwa sababu inaelekea training yako iko oriented huko. All the best!