#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE-2: TUESDAY 14TH DECEMBER 2021 KWA WAUMINI WA KANISA A NA WENGINEO WALIO WAKRISTO:

KUHUSINA NA SEHEMU YA MAFUNDISHO YALIYOTOLEWA MADHABAHUNI J2 YA TAREHE 12/12/2021 WAKATI WA IBADA YA KWANZA KWA KUTAJWA MAFUNGU YALIYOSEMEKANA KUWA NI YA KISHETANI


Mafungu hayo hayajawahi kuwepo na wala hayapo kwenye Biblia. Angalieni hapa

Luka 4: 1-9

Yesu Ajaribiwa Na Shetani


4 Kisha Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akarudi kutoka Yordani akaongozwa hadi jangwani. Alikaa huko jangwani siku arobaini 2 akijaribiwa na shetani. Siku zote hizo hakula cho chote , kwa hiyo baada ya muda huo aliona njaa.

3 Shetani akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.”

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa katika maandiko, ‘mtu haishi kwa chakula tu.’ ”

5 Kisha shetani akamchukua hadi juu ya mlima mrefu akamwo nyesha kwa mara moja milki zote za dunia. 6-7 Akamwambia, “Uki piga magoti na kuniabudu, nitakupa uwezo juu ya milki zote hizi na fahari yake; maana ni zangu na ninaweza kumpa ye yote nita kaye.”

8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.’ ”

9-11 Ndipo shetani akamfikisha Yerusalemu, akampandisha juu ya mnara wa Hekalu, akamwambia: “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini kwani imeandikwa, ‘Mungu ataamrisha malaika wake wakulinde

12 Yesu akamwambia, “Pia imeandikwa, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”

Mungu wako.’ ”


13 Basi Shetani alipomaliza majaribu yote, akamwacha Yesu kwa muda.

Yesu Ahubiri Galilaya

14 Kisha Yesu akarudi Galilaya, akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu. Habari zake zikaenea katika sehemu zote za wilaya ile. 15 Alifundisha katika masinagogi yao na wote wakamsifu.

HOJA ZA MHUSIKA KUHUSIANA NA HOJA ZILIZOTOLEWA NA MTUMISHI J2 ILIYOPITA

MOJA:
Je kwenye majibu ya Yesu aliyomjibu shetani, hakuna mafundisho? MBILI: Na kama kuna mafundisho, je “hatuwezi kusema kuwa kuna pumzi ya Mungu kwenye maandiko hayo kwamba kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa mafundisho”?

Hii ni kwa sababu majibu haya ya Yesu yasingepatikana bila ya shetani kuwa amesema kile alichokisema na hatimaye kupelekea kiandikwe ndani ya Maandiko Matakatifu; kwa maana kuwa kama alichoomba shetani kifanywe na Yesu, kisingekuwa kimeandikwa, basi mafundisho yayotokana na majibu ya Yesu yasingekuwepo kwetu sisi waumini leo

TATU:
Je, tunaweza kusema kuwa mafungu haya yenye maneno ambayo shetani alimwambia Yesu ni ya kishetani kama ilivyopadaiwa J2 Kanisani na mtumishi aliyesimama madhabahuni wakati wa Ibada ya kwanza?

Ukweli ni kuwa kwa uelewa wake yeye mhusika, kwenye Biblia HAYAPO MAFUNGU YA KISHETANI, ISIPOKUWA YAPO MAFUNGU YANAYOMHUSU SHETANI, baadhi ya mafungu hayo yakiwa ni haya yaliyotajwa hapa

Wenye uelewa zaidi wa Maandiko Matakatifu wanaweza kumsahihisaha mhusika katika hili. Possibkly mtumishi huyu naye amepotoshwa akiwa huko huko kwenye masomo yake

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 15TH DECEMBER 2021 KWA WAUMINI WA KANISA A:

KUHUSIANA NA MAFUNGU YALIYOTAJWA KUWA NI YA KISHETANI YALIYOTAMKWA MADHABAHUNI J2 YA TAREHE 12/12/2021 WAKATI WA IBADA YA KWANZA

Hii hali sasa kwa KANISA A inaelekea kwenye extremes
, mwanzoni mambo kama haya yalikuwa yanafanyika kwa kificho kidogo, ila kwa muda huu yameanza sasa kuwekwa hadharani kabisa bila kificho

Aliyetamka maneno hayo madhabahuni mhusika anamfahamu kwa kina, sawa tu pengine kama anavyomfahamu MR X na kama kuna tofauti kati ya watu hawa wawili basi itakuwa ni ndogo muno. Ni mmojawapo kati ya watu walioko kwenye timu ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A), na alianza kumfahamu kwa kina kipindi kile cha fungu la Zaburi 119:130 (interruption of holly scriptures using a certain chosen verse). Kipindi hicho mhusika alikuwa akifanya zile Ibada za peke yake jioni, wakati huyu mtumishi naye kwa muda huo huo alikuwa anafundisha mafundisho kwenye mojawapo ya darasa lile liliopo kwenye jengo zilimo ofisi za viongozi wetu

Kwa kadri mhusika anavyomfahamumtumishi huyu ni kwamba hakutamka maneno hayo kwa bahati mbaya; ilikuwa planned kama ilivyokuwa planned kipindi kile cha nabii uchwara aliyewahi kupanda madhabahuni na kutamka matusi mazito mbele ya umati wa waumini wote kanisani hapo

Kwa wasioelewa vizuri, kutamka maneno yasiyostahili mtu akiwa madhabahuni, ni njia mojawapo wanayotumia kurusha mapepo Kanisani, wakianzia madhabahuni kwenyewe

Kwa waliokuwepo J2 ya tarehe 05/12/2021 ambayo ndiyo mtumishi huyu alisimama madhabahuni kwa mara ya kwanza, wakati anaanza kufundisha somo lake, wala hakuliombea na wala hakukaribisha mtu au mtumishi mwingine wa kuomba kwa ajili ya neo hilo. Ni kwa bahati nzuri tu kwamba J2 iliyopita mtumishi huyu aliposimama madhabahuni tena kwa mara ya pili, mtumishi mwingine wa Mungu alijitoa kuliombea neno alilokuwa anakwenda kufundisha na ambalo kwa kiasi kikubwa, lilijikita zaidi katika kumsifu mtu. Mtumishi aliyeombea neno, hakuombwa na mwalimu wa somo la J2 hiyo kuombea neo hilo bali alijiongeza mwenyewe na kuamua kuliombea neno hilo

Aina ya mtumishi kama huyu aliyetamka maneno haya maziti akiwa madhabahuni, ndiyo hasa wale ambao KM-A huwa anapenda sana wasimame madhabahuni

Hekima ya kiwango cha chini kabisa cha mwanadamu kwenye swala hili inashauri kuwa LAZIMA VIONGOZI WA KANISA A WATASIMAMA MADHABAHUNI KUTOA UFAFANUZI WA MANENO YALIYOTAMKWA J2 ILIYOPITA, NA HASA ITAPENDEZA ZAIDI KAMA KM-A ATASIMAMA MWENYEWE BILA KUJALI HALI ALIYONAYO KWA SASA

Hivi ile misingi 12 ya Kanisa, kwenye ule msingi unaosema kuwa KANISA LINAAMINI KATIKA MAANDIKO YALIYOVUVIWA, kumbe imani hii huwa iko kwenye baadhi tu mistari ya Maandiko Matakatifu ya Biblia na SIYO BIBLIA NZIMA?


Mhusika atarudi kwenu kwa nyongeza zaidi kuhusiana na huyu mtu. Watu walioyasikiliza mafundisho yake kwa wiki zote mbili mfululizo, wanaweza kukubaliana na mhusika kuwa mtu huyu alisimama madhabahuni kwa nia moja tu ya kumsifu mtu na kuyaponda Maandiko Matakatifu, kitu ambacho siyo kigeni kuwahi kutokea Kanisa A, kwa sababu hata huko nyuma kilishawahi kutokea mara kadhaa, KM-A mwenyewe ni shahidi katika hili

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Hii ni diary ya mleta uzi nini? Mtu gani atakuwa anamueleza mambo yasiyo na mwisho?
 
UPDATE: FRIDAY 17TH DECEMBER 2021 KWA WAUMINI WA KANISA A:

KINACHOENDELEA KANISANI KWA MUDA HUU INABIDI MUWE WAANGALIFU SANA, HASA KWA WALE AMBAO NI WAZAZI

KWA MAADILI YA KITANZANIA UKIUNGANISHA NA HALI YA UCHUMI WAO ULIVYO, HAYUPO MZAZI AMBAYE ANAWEZA KUMPATIA MWANAE “IPAD” AU “TABLET”, RIKA LA “TEENAGER” KWENDA NAYO KWENYE KAMBI YA KUSANYIKO LA WATOTO LA SIKU KADHAA


Kuna mitu kilifanyika kwenye madhabahu J2 ya tarehe 12/12/2021 na kilifanywa na mtumishi aliyesiama madhabahuni, halafu baadaye ndiyo yakafuata sasa hayo matangazo yaliyotolewa

Imekuwa kawaida siku zote kwamba ili kitu awkward kitamkwe kutokea madhabahuni, inabdi kwanza madhabahu yeyenyewe iwe imeshasahmabuliwa
Mojawapo ya matangazo yaliyotolewa J2 iliyopita ni kwamba watoto wasiende na IPAD kwenye kusanyiko hilo. Uzi huu utaongelea tangazo hilo na vyote vilivyotangazwa kwenye tangazo hilo

Ushahidi wa kutosha wa kile kilichofanyika J2 iliyopita unakuja muda siyo mrefu
 
KINACHOENDELEA KANISANI KWA MUDA HUU INABIDI MUWE WAANGALIFU SANA, HASA KWA WALE AMBAO NI WAZAZI

KWA MAADILI YA KITANZANIA UKIUNGANISHA NA HALI YA UCHUMI WAO ULIVYO, HAYUPO MZAZI AMBAYE ANAWEZA KUMPATIA MWANAE “IPAD” AU “TABLET”, RIKA LA “TEENAGER” KWENDA NAYO KWENYE KAMBI YA KUSANYIKO LA WATOTO LA SIKU KADHAA

………………………..inaendelea

NAMNA AMBAVYO WATUMISHI HAWA HUWA WANASHAMBULIA MADHABAHU KWANZA, HALAFU NDIYO WANASHAMBULIA WAUMINI IKIWA NI PAMOJA NA VYOTE VINAVYOTAMKWA KUTOKEA MADHABAHUNI


Kabla ya kwenda mbele zaidi, mhusika anapenda kuwakumbusha waumini wa KANISA A kwamba ili madhabahu ya Kanisani hapo iweze kushambuliwa na hatimaye waumini tena na mambo yao yote, huwa ni lazima kwanza:
  • Mtumishi asimame madhabahuni na kutamka maneno machafu mbele ya waumini, hapo mtu anakuwa katika hatua ya kwanza anashambulia madhabahu kwanza
  • Baada ya madahabahu kuwa imeshashambuliwa, ndiyo sasa kila kitu ambacho wanahitaji kukishambulia, wanaanza kukishamublia.
Aina ya mashambulizi ambayo mara kadhaa yakumekuwa yakifanyika baada ya madhabahu kuwa imeshashambuliwa kwanza, ni yale ya mtindo wa mtu kusimama madhabahuni na kutamka maneno yaliyobeba mashambulizi lengwa kwa njia ya kutoa tangazo au matangazo

MASHAMBULIZI YA AINA HII AMBAYO YAMESHAWAHI KUFANYIKA HUKO NYUMA

Mashambulizi haya yameshawahi kufanyika:
  • Mara mbili kwenye kipindi kile cha mhubiri wa uzinzi ambapo yalianza kurushwa mapepo ya majini mahaba. Mhubiri wa uzinzi alianza kushambulia madhabahu kwanza, halafu KM-A akafuatia kwa kutamka maneno yanayohusiana na uzinzi kuanzia pale
  • Kipindi ambapo Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) alisimama na kuwatangaza wanandoa waliohamia dhehebu jingine kuwa ni wazinzi. Kabla ya hapo alikuwa wameshashambulia madhabahu kwanza, na kabla ya hapo, alikuwa amepotea madhabahuni kwa wiki kadhaa, yaani alikuwa hapandi JUU madhabahuni
  • Kipindi ambapo (KM-A) aliruhusu NABII kusimama mbele madhabahuni na kuwatamkia matusi ya nguoni waumini wote. Kabla ya J2 hiyo, J5 ya wiki hiyo hiyo madhabahu ilikuwa imeshhambuliwa kwanza baada ya mafundisho kugeuka maombi kupelekeaUNABII WA UZINZI uliotolewa siku hiyona naNABII, na kupelekea mafundisho ya siku hiyo kugeuka kuwa maombi. Ikumbukwe kuwa kuwa kwenye tukio hili, ilikuwa imeshindikana kwa KM-A kupanda JUU madhabahuni. Hapa ilibidi madhabahu ishambuliwe kwanza kutokea sehemu ile wanayokaa waumini (NABII), halafu baada ya hapo ndiyo ukapatikana sasa ule uwezekano wa NABII kupanda JUU madhabahuni na kuanza kushambulia waumini
kwenye siku ya J2 ile ambayo NABII alipewa nafasi ya kusimama juu madhabahuni, mwenyewe alitaka ahubiri akiwa amesimama chini mbele ya madhabahu, lakini baadhi ya waumini walilalamika na hivyo akalazimika kupanda JUU madhabahuni. Baada ya siku hiyo, KM-A naye sasa ndiyo alianza tena kupanda JUU madhabahuni, kabla ya hapo alikuwa hawezi

Ikumbukwe pia kuwa wakati ule wa mhubiri wa uzinzi kwa matukiomyote mawili mfululizo
  • KM-A alikuwa ameshindwa kupanda JUU madhabahuni na kushambulia madhabahu
  • Badala yake akawa anamtumia mhubiri wa uzinzi, ambaye yeye alikuwa anasafiri kwenda kwenye mikutao ya injili na akirudi kutoka huko, anakuwa yeye yuko safi na ana uwezo wa kupanda madhabahuni
  • Kwa hiyo ilikuwa mhubiri wa uzinzi akirudi, KM-A naye anapanda JUU madhabahuni, anashambulia madhabahu
Kwa hiyo ilikuwa kila baada ya mhubiri wa uzinzi kupanda JUU madhabahuni, KM-A naye ndiyo alikuwa anapata tena nguvu ya kupanda JUU madhabuni na kuanza kufanya mambo yake anayoyaona yanafaa

Mashambilizi ambayo yameshawahi kufanyika huko nyuma…….,

………………………..inaendelea
 
………………………..inaendelea

USHAHIDI WA MASHAMBULIZI YA MADHABAHU YA KANISA A AMBAYO YAMESHAWAHI KUFANYIKA HUKO NYUMA…….,


Ushahidi wa mashabubulizi ya aina hii upo mwingi na ni pamoja pia na kwenye Ibada za katikati ya wiki. Angalau mara moja au mara mbili, kuna baadhi ya mafundisho ya J5 ambayo yaliwahi kuonyesha dhahiri kabisa kuwa KM-A alisimama kufundisha masomo hayo ya katikati ya wiki, akiwa anamponda YESU na kumsifu shetani

Katika hili la mafundisho ya ajabu, kuna siku mhusika hadi ilipelekea akaondoka kwenye kipindi cha Ibada ya jioni ya J5, kilichokuwa kinaendeshwa na KM-A, baada ya kuona fundisho alilokuwa anafundsha kwa wiki pili mfululizo, lillikuwa linamsifu shetani na kumponda Yesu. Nadhani ilikuwa mwanzoni mwa mwaka 2018, ilikuwa ni muda mfupi tu baada ya mhusika kuwa amerudi kutoka uhamishoni KANISA B

TUKIO LA HIVI KARIBUNI KABISA LENYE USHAHIDI WA MASHAMBULIZI YA AINA HII KWENYE MADHABAHU

Hili ni lile lililotokea mwaka jana mwishoni au mwanzoni mwa mwaka huu. Wakati tukio hili lianatokea, taarifa za kwamba KM-A huwa ana kawaida ya kupotea madhabahuni halafu anakuja kupanda tena baada ya mtu mwingine kuwa amesimama madhabahuni na kutamka maneno machafu, zilikuwa zimeshajulikana. Kwa hiyo baada ya kuwa amekwama, safari hii aliamua kushambulia madhabahu yeye mwenyewe peke yake kwa kutumia njia kama ilivyoelezwa hapa chini

Ikumbukwe pia kuwa hili ni mojawapo ya matukio yale ambayo ilikuwa imeshindikana kwa mtu yeyote yule kupanda JUU madhabahuni na kushambulia madhabahu akiwa akali JUU. Ili mtu ashambulie madhabahu, ilibidi aanze kwa kusimama CHINI kwanza, mbele ya madhabahu

KM-A AANZA KUFUNDSHA SOMO LA SIKU ZA KATIKATI YA WIKI (J5) LILILOHUSU MWILI NAFSI NA ROHO

Kawaida, mtu anapokuwa anafundisha somo la katikati ya wiki, huwa hafundishi akiwa amepanda juu madhabahuni, huwa anafundisha akiwa amesimama CHINI, MBELE YA MADHABAHU
  • Kwa hiyo KM-a alianza kufundisha somo hili akiwa anasimama chini ya madhabahu, lengo ikiwa ni baadaye kupandisha juu madhabahuni
  • Mhusika hana kumbukumbu ilichukua muda gani somo hili la J5 kugeuka na kuwa la siku zote mbili za J5 na J2 tena, lakini ukweli ni kuwa somo hili baadaye lilikuja kubadilika na kuwa la siku zote za J5 na J2
  • Hii huwa siyo kawaida sana kwa somo linalofundishwa J5 kuhamia na J2 tena kwa sababu mahudhurio ya waumini katikati ya wiki huwa siyo mazuri kama ya yale ya J2 kwa sababu wengi wao huwa hawana nafasi ya kuhudhuria Ibada za katikati ya wiki
  • KM-A alifanya ili apate uhalali wa kuendelea kulirudia rudia somo hilo; kwamba ilipokuwa inatekea kuwa amelifundisha J5; alikuwa anapata uhalali wa kulirudia tena J2 kwa sababu wengi wa waumini si wahudhuriaji wazuri wa Ibada za katikati ya wiki
Hapa KM-A aliamua kufanya hivi kwa sababu
  • Somo hili alianza kulifundisha katika kipindi ambacho alikuwa hana uwezo wa kupandiisha JUU madhabahuni, ila alilihitaji ili baadaye limuwezeshe kupandisha JUU madhabahuni.
  • Kipindi anaanza kufundisha somo hili, mbinu zake za awali ambazo alikuwa anazitumia, zile za kutumia watu wengine kwanza halafu yeye anafuata baadaye, zilikuwa zimeshajulikana na alikuwa hawezi tena kuzi-apply
  • Ilimbidi abuni mbinu mpya kama hii, ya kuanzia chini ya madhabahu kwanza kwa sababu kawaida somo la J5, watumishi huwa wanalifundisha wakiwa wamesimama CHINI MBELE YA MADHABAHU
Kwa hiyo:
  • Alianza kufundisha somo kwa siku zile za J5 tu kwanza ambazo kawaida halazimiki kusimama juu madhabahuni (na alikuwa anajua moyoni mwake kwa wakati huo kuwa alikuwa hawezi kusimama JUU madhabahuni), na baada ya hapo sasa alipoona upepo unakwenda vizuri, somo hilo hilo likaongezea tena za siku za J2, likawa linafundishwa J5 na J2.
  • Baada ya somo hilo kuwa limehamia na siku za J2 pia, KM-A akawa sasa anatumia sehemu zote mbili, JUU YA MADHABAHU NA CHINI YA MADHABAHU, kutokana na sababu ya msingi ambayo alikuwa ameiambatanisha na somo hilo; vijana watatu ambao walikuwa ni vielelzo kwnye somo hilo na ambao wao muda wote walikuwa wanasimama CHINI MBELE YA MADHABAHU AU MBELE YA WAUMINI wakiwakilisha NAFSI, MWILI NA ROHO,
  • KM-A alipokuwa akifundisha somo hilo, kwa sababu mifano ya kufundishia ilikuwa iko CHINI mbele ya madhabahu, alikuwa analazimika sasa kushuka na kupanda JUU ya madhabahu muda wote wa somo hilo
  • Muda wote alipokuwa anafundisha somo hilo, alikuwa sasa anafanya zoezi la kupandisha JUU ya madhabahu
  • Baada ya kuwa amelifundisha somo hilo kwa muda, hatimaye sasa akawa amefanikiwa kushambulia madhababu
  • Baada ya kuwa amefanikiwa kushambulia madhabahu, akawa sasa ana uwezo wa KUPANDISIHA JUU MADAHABAHUNI
Ikumbukwe kuwa wakati anafundisha somo hili, kwa wakati huo huo alikuwa anaShambulia MWILI, NAFSI NA ROHO za waumini waliokuwa wakimsikiliza kwenye somo hilo, na baada ya kuwa amesha-TEST POTENCY YA WEAPON aliyokuwa ame-devise, waumini hawa wakakribishwa sasa kwenye sherehe ambayo ilibidi waumini waje waalalamike Kanisani

Na kwa sababu alijua kuwa waumini hao lazima wangelalamika, AKAPANDISHA JUU MADHABAHUNI SASA KUANZIA PALE, waumini waliolalamika wakiwa wamempandisha wenyewe JUU pasipo wao wenyewe kujua, na huku wakiwa wameshambuliwa pia

Ni kweli waumini hawa walikuwa wameshambuliwa, lakini kilichompandisha juu KM-A siyo malalmiko yao bali kile alichokuwa amekkihangaikia siku nyingi tangu siku alipoanza kufundsha SOMO LA NAFSI, MWILI NA ROHO

BAADA YA KUWA AMEFANIKIWA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI KWA JITHADA ZAKE YEYE MWENYEWE PASIPO KUHUSISHA MTU MWINGINE

………………..inaendelea
 
Huu uzi watu walisema hawauelewi kutokana na code zake ngumu ngumu naweza kusema na mimi ni mmoja wapo.
Kwa kweli natamani sana niuelewe huu uzi sababu nahisi kuna vitu zaidi ya mambo ya covid 19 na kanisa lakini kila kinipitia natoka kapa, uzi toka umeanzishwa mwaka jana bado unaendela kuwa updated mpaka leo hii. Licha ya kuwa uzi umeshapoteza wachangiaji kabisa lakini bwana Makanyaga yeye hajali bado anaendelea kushusha updates ngumu ngumu katika uzi wake.
Kwa kweli natamani sana kuuelewa huu uzi lakini ndo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanajamvi, kuna member wa JF aitwae Makanyaga aliamzisha uzi ilikuwa 20 April mwaka jana, kwa nilivyo usoma ule uzi ulihusu mambo ya kanisa na Covid 19
Huu uzi watu walisema hawauelewi kutokana na code zake ngumu ngumu naweza kusema na mimi ni mmoja wapo.
Kwa kweli natamani sana niuelewe huu uzi sababu nahisi kuna vitu zaidi ya mambo ya covid 19 na kanisa lakini kila kinipitia natoka kapa, uzi toka umeanzishwa mwaka jana bado unaendela kuwa updated mpaka leo hii. Licha ya kuwa uzi umeshapoteza wachangiaji kabisa lakini bwana Makanyaga yeye hajali bado anaendelea kushusha updates ngumu ngumu katika uzi wake.
Kwa kweli natamani sana kuuelewa huu uzi lakini ndo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ili umuelewe lazima uwe na roho mtakatifu alaf uwe unamiliki mali
 
………………..inaendelea

BAADA YA KUWA AMEFANIKIWA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI KWA JITHADA ZAKE YEYE MWENYEWE PASIPO KUHUSISHA MTUMISHI MWINGINE………….


Baada ya kuwa amefanikiwa kupandisha JUU madhabahuni, ndiyo yakaja yakatoke sasa yale amabyo ni makubwa zaidi kuzidi hata yale yaliyotokea kwenye sherehe. Kwa kifupi tu ni kwamba KM-A alipandisha juu madhabahuni kutangaza uzinzi kwa mmojawapo wa wanandoa na kupelekea ndoa hiyo kufutwa kabisa, kitu ambacho kilikuwa ni maigizo. Tangazo hilo la uzinzi, lilikuwa ni la kuigiza, hata kama kweli uzinzi ulikuwa umefanyika. Nia ya KM-A hapa ilikuwa ni kupanda JUU madhabahuni na kufanya kile alichotamani kufanya mwenyewe, lengo likiwa ni kutimiza plan yake ile aliyoaianza siku ile alipoanza kufundisha somo la NAFSI, MWILI NA ROHO

HUU NI USHAHIDI MCHACHE TU WA NAMNA MADHABAHU YA KANISA A HUWA INASHAMBULIWA NA VIONGOZI WENYEWE…………………

TUKIRUDI SASA KWENYE MADA YETU YA LEO, KUHUSIANA NA MATANGAZO YALIYOTOLEWA J2 KANISANI KUHUSIANA NA VIFAA WANAVYOTAKIWA KUWA NAVYO NA WASIVYOTAKIWA KUWA NAVYO WATOTO KWENYE KAMBI YAO YA TENNAGERS:

Kabla ya matangazo hayo kutolewa, madhabahu ilikuwa tayari imeshashambuliwa na mtu aliyepanda juu ya madhabahu kufundisha somo J2 hiyo


Mashambulizi hayo tayari mhusika ameshayaongelea hapo juu, ambapo ilidaiwa kuwa kwenye Biblia kuna baadhi ya mafungu ambayo ni ya KISHETANI

BAADA YA HAPO, WAKATI WA MATANGAZO ULIPOWADIA:


Baadhi ya vifaa (au possibly vyote) vilivyotangazwa na kuagizwa watoto waende navyo au wasiende navyo, ndiyo vilivyoshambuliwa. Hivi ni kama IPAD, simu (smartphone, vitochi), vijiko, sahani, vikombe, nguo za kuogelea, n.k.

KWA NINI?:
Siyo mara ya kwanza teenagers wanafanya kusanyiko la namna hii. Miaka yote iliyopita huko nyuma haijawahi kutokea hata kwenye mojawapo ya makusanyiko ya aina hii, wakaagizwa waende na baadhi ya vifaa hivyo, ukiondoa mafuta ya kupaka, dawa ya meno na mswaki, ambavyo ni basic. Hivi vingine haijawahi kutokea wakaagizwa waende navyo

Sababu za msingi zilizotajwa kwa watoto hawa kuagizwa waende na vijiko na sahani, ilikuwa ni kupunguza gharama; sababu ambazo zinafikirisha kidogo ukizingatia mambo kadhaa kama yalivyoainishwa hapa chini.
  • Je, ni gharama gani kubwa inayoweza kuchangiwa na vifaa hivi, wakati labda tuseme watoto hawa wamelipiwa chakula au wana chakula chao kitakachokuwa kinapikwa kwenye kambi?. Kama tuseme sahani pamoja na vijiko vipo tayari mahali pale watakapokuwa wameweka kambi, kuna gharama gani kubwa ya kushindwa kumudu kutumia vifaa hivi mahali ilipo kambi hadi walazimike kutoka navyo nyumbani?. UNLESS kama vifaa hivi havipo kwenye kambi, ila kama vipo, havina gharama ya kusababisha watoto watoke na vifaa hivyo majumbani kwao
  • Je, waumini wa KANISA-A wanashindwa kumudu gharama ya sahani na vijiko, au kama wanaweza kumudu, waumini hao wanaweza kujiona wana-save kitu gani kikubwa kwa watoto wao kwenda kwenye kambi wakiwa wamebeba sahani na vijiko kutokea majumbani kwao?
  • Tukirudi kwenye baadhi ya vifaa walivytangaziwa kukatazwa wasiende navyo kwenye Kambi, je, mtu akiamua kupitisha sensa ya wazazi walio na IPAD au TABLET waliopo kanisani hapo, ni wangapi wanahitaji matumizi ya kuwa na vifaa hivi ambavyo ukiachilia mbali gharama zake, ni DUBLICATES za smartphones ambazo watu walio wengi hawazihitaj na hivyo wanaona hakuna ulazima wa kuwa navyo, achilia mbali gharama?
  • OK, tuondoe hili hapa juu tuseme sasa kwamba kila mzazi anayo IPAD, wangapi wanaweza kuwapa watoto wao IPAD waende nayo kwenye KAMBI YA KUSANYIKO LA WATOTO, kisa tu zipo majumbani mwao, assuming tangazo la katazo la watoto kupewa IPAD lisingetolewa? Tuseme kama tangazo hilo lisingetollewa na halafu tuseme wazazi wote kabisa wa KANISA-A wanazo IPAD, wangapi wangeweza kuwapa watoto wao waende nazo kwenye kusanyiko hilo?
  • Kuhusiana na gharama za kusanyiko hili, KM-A ameanzisha utaratibu mpya kwa muda wa miaka miwili mfululizo sasa,wa kukusanya sadaka kwa ajili ya kusanyiko hilo. Amekuwa akianza kugawa bahasha mapema sana miezi miwili au mitatu nyuma, tofauti na ilivyokuwa hapo kabla ambapo bahasha hizo alikuwa anazigawa ndani ya mwezi husika tu. Je hizi hela zinazopatikana, zinakuwa bado hazitoshi tu kuweza kugharimia vitu vidogo vidogo kama sahani na vijiko?
  • Je, waumini walishirikishwa kabla juu ya uwepo wa deficit hiyo? Kama hawakushirikishwa, kwa nini?
HITIMISHO:
Kwa waumini walio na kumbukumbu nzuri, watakumbuka kuwa huyu kiongozi aliyetoa tangazo la vifaa hivi na ambaye amerudi siku za hivi karibuni kutoka masomoni, kuna siku aliwahi kuongea kitu kijinga sana akiwa amesimama madhabahuni na possibly walio wengi hawakuweza kujua ni nini alifanya siku hiyo

Siku hiyo alipokuwa amesimama JUU madhabahuni akihubiri
  • Akiwa anaendelea na mahubiri yake, akiwa JUU ya madhabahu, ilifika sehemu akasema aliwahi kuwa na mwanafunzi mtoto ambaye alikuwa na JOKA KUBWA SANA LENYE NYOTA SABA
  • Aliendelea mbele akasema kuwa kwa kadri anavyojua yeyen JOKA KUBWA LENYE NYOTA SABA, LINA NGUVU KUBWA YA AJABU MUNO
  • Zaidi alisema kuwa mtoto huyu alikuwa ni mwanafunzi wake na mtoto ndiye aliyekuwa anampa simulizi hizi yeye
Kwa siku hiyo aliishia hapo
Mhusika akiwa amekaa anamsikiliza siku hiyo, alimwambia muumini walyekuwa wamekaa jirani nayeakasema “hawa watumishi wetu hapa wanaosimama madhabahuni wana matatizo, kwa sababu haileti logic kwamba mtoto kila wiki au kila siku anakuja Kanisani, anafundishwa na mwalimu mwenye upako, mtoto ana joka kubwa halafu joka hilo halitoki? Yaani anapita kote kuanzia getini ana joka, anakuja mpaka kwenye anafanya Ibada mwanzo mwisho ana joka anamaliza Ibada Ibada ana joka, anarudi kutoka nyumbani ana joka, halafu siku nyingine tena anatoka nyumbani kuja kanisani ana joka………”

Baada ya hapo, inaonyesha kumbe taarifa hizi zilimfikia. Baada ya wiki kadhaa kupita, akapanda tena JUU madhabahuni ili kurekebisha juu ya JOKA HILO KUBWA, lakini safari hii ndiyo akaharibu zaidi. Ilikuwa bora zaidi kama asingerekebisha, angekaa kimya

………………………..inaendelea

HITIMISHO
 
………………….inaendelea

HITIMISHO

Baada ya kupita wiki kadhaa, mtumishi huyu alipanda tena madhabahuni kwenye J2 nyingine. Mtumishi huyu akaamua sasa kurekebisha alichowahi kuongea kuhusiana na JOKA KUU LENYE NYOTA SABA, alilokuwa nalo mtoto aliyekuwa akimfundisha, Mtumishi akasema kuwa mtoto huyo alikuwa haji nalo joka hilo Kanisani bali alikuwa analiacha nyumbani.

Mpaka hapa mtumishi huyu akawa bado anathibitisha matatizo yaliyokuwepo kati yake na mtoto. Kwenye ulimwengu wa roho, hakuna umbali, joka awe ameliacha nyumbani au ulaya ni sawa tu hata akiwa nalo mahali pale alipokuwa anakuwa na mwalimu wake

“hawa watumishi wetu hapa wanaosimama madhabahuni wana matatizo, kwa sababu haileti logic kwamba mtoto kila wiki au kila siku anakuja Kanisani, anafundishwa na mwalimu mwenye upako, mtoto ana joka kubwa halafu joka hilo halitoki? Yaani anapita kote kuanzia getini ana joka, anakuja mpaka kwenye anafanya Ibada mwanzo mwisho ana joka anamaliza Ibada Ibada ana joka, anarudi kutoka nyumbani ana joka, halafu siku nyingine tena anatoka nyumbani kuja kanisani ana joka………”

Swala hapa ni kwamba, kama mtoto alifika Kanisani siku ya kwanza na kukutana na mtumishi wa Mungu, joka hilo lilitakiwa liwe limeshateketea kabla hata hajagusa geti la kuu la kuingilia Kanisani hapo; na kama kwa bahati mbaya kabisa angefanikiwa kuingia nalo ndani ya uzio wa Kanisa, basi lilitakiwa liteketee immediately baada ya mtoto huyo kugongna na uso wa mtumishi wa Mungu

J2 hiyo ambayo JOKA KUU LENYE NYOTA SABA lilisifiwa na mtumishi akiwa amesimama JUU ya madhabahu, ndiyo J2 kati ya J2 chache sana ambazo madhabahu ya KANISA-A, ILIWAHI KUPATA DEADLY ATTACK

Shambulio la kwenye madhabahu J2 hiyo bado lipo na ndiyo linaloendeleza mashambulizi mengine ni pamoja na yote yaliyotokea siku ya J2 iliyopita, Biblia kwa na baadhi ya mafungu ya kishetani

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU: KWA MAONI YAKE YEYE MHUSIKA
Kasi aliyorudi nayo mtumishi aliyekuwa masomoni, kuna uwezekano mkubwa huyu ndiye atakayekuja kuwapiku wote muda siyo mrefu; atampiku hadi Kiongozi Mkuu (KM-A)
 
KWA WAUMINI WA KANISA A:

KITU KINGINE CHA NYONGEZA ALIHOKIPATA MHUSIKA JUMAPILI YA TAREHE 12/12/2021 ALIPOKUWA KANISANI


Kumbe salaam ambayo kwa sasa imeanza kupotea “mgeukie mwenzio mpe tano za juu” huwa ina mbadala wake, na mbadala wake ni Bahasha kugawiwa “NYOSHA MKONO hapo ulipo upate bahasha”.
  • Ndiyo mana J2 iliyopita ziligawiwa pia. Hapakuwa na haja hiyo kwa sababu watu walitoa ahadi na wakaandika namba zao za simu; na hayupo mtu anayeweza kusahau kukamilisha ahadi ya muhimu namna hiyo, unless ni chizi
  • Mara zote bahasha hizo huwa zinagawiwa chini ya mamlaka ya mtu mmoja tu na haijulikana kwa nini ni mtu mmoja tu huwa anahusika na mamlaka ya kugawa bahasha hizo
  • Bahasha za kusanyiko la Desemba la teenager zimeongezewa muda wa kugawiwa, zinaanza mapema zaidi kuliko ilivyo hapo kabla. Ukiunganisha dots kwamba watoto hao hao tena safari hii wametakiwa wabebe sahani na vijiko kutokea majumbani mwao, picha inayokuja hapa ni kwamba swala la bahasha hizoza teenagers, halina uhusiano wowote na mkakati wa kuhakikiksha kuwa inapatikana pesa ya kutosha kwa ajili ya kusanyiko hilo. Swala la bahasha kugawiwa kwa muda mrefu sana sana linahusiana na kuongeza muda wa kugawa bahasha ili uwe mrefu zaidi na si kuhakikisha tu kwamba hela yao hiyo inakuwa ya kutosha
Na ndiyo maana mara zote bahasha hizo huwa zinagawiwa zikiwa chini ya mamlka ya mtu yule yule mmoja!

Ukinyoosha mkono kwa ajili ya kupokea bahasha Kanisani huku ukiwa umekunja ngumi, wagawa bahasha hawawezi kushindwa kuuona mkono wako!
 
Unamjua dj bora wakati wote
Ni @djdonnalimison ukimuelewa huyo bc huko mwingine utapaelewa
 
Back
Top Bottom