UPDATE: SUNDAY 19TH FEBRUARY 2023
BREAKING NEWS!!!!!!
“CODE” NYINGINE MBILI ZAIDI ZAFUNGUKA TENA J2 YA LEO: CODE YA VIOO/ VIOO VYA GARI (SIDE MIRRORS AND DRIVING MIRRORS) NA CODE YA MAKOFI YA AMBAYO YAMEKUWA YAKIPIGWA KANISANI, MAARUFU KAMA “MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME”
Ikumbukwe kuwa J2 iliyopita, iliweza kufunguka code moja ya siku nyingi inayohusiana na mitikisiko, code ambayo mhusika bado hajaleta humu jukwaani maelezo yake ya kina
Kwa kifupi tu ni kwamba,
MADHABAHU ya code hii ilikuwa ndani ya ofisi ya mhusika, na ilikuwa imewekwa kwenye vifaa vya kupimia matetemeko ya ardhi, ambavyo baadhi ya vifaa vimeweza kuchukuliwa na kutoka ofisini humo J3 jioni au usiku wiki hii, na mtu ambaye bado hajajulikana, na vilichukuliwa baada ya mhusika kuwa ameondoka ofisini kurudi nyumbani
Code hii ilianza kufanya kazi tangu
Jumatatu Julai 11, 2015, siku ya J3 kufuatia J2 ile ambayo chama tawala walitangaza mgombea wao wa Urais huko Dodoma, kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Vifaa hivyo ni vipya na vilikuwa havijawahi kufanya kazi hata mara moja na ndiyo J3 hiyo vilifanya kazi ya majaribio kwa mara ya kwanza na baada ya hapo, vilikwenda Dodoma na kukaa huko kwa miezi kadhaa vikiwa vinafanya kazi, za kawaida kwa maana kwamba hapakuwa na dharura yoyote kwa huko kwa sababu hapakuwa na tetetemeko lilikuwa limetokea muda huo wakati vinachukuliwa na kuhamia huko
Baada ya hapo, mwaka uliofuata ilipofika tarehe 12/09/2016, vifaa hivyo vilihamia tena Kagera na kukaa huko kwa miezi kadhaa, baada ya kutokea tetemeko la Kagera
Baadhi tu ya wahusika wakuu ambao wamekuwa wakihusika na ufanyaji kazi wa
code hii hadi sasa ni wafuatao
- Mkuu wa Major Unit (MMU)
- Mkuu wa Idara wa sasa
- Senior Mstaafu wa Kike (SMK), jirani yake na mhusika
- BOSS X, ambaye ni mtaalamu wa matetemeko na ambaye ndiye Mkuu wa Kitengo cha matetemekon
- Boss XX, mtaalamu mwingine wa matetemeko,na ambaye ni msaidizi wa Boss X
- Boss XXX, mtaalamu mwingine tena wa matetemeko, na ambaye ni pia msaidizi wa Boss X.
- Huyu yeye tangu miaka kadhaa iliiyopita, muda wake mwingi sana amekuwa akiutumia kwenye idara ile nyingine iliyowahi kuungana na idara ya mhusika na kuunda MAJOR UNIT; yaani kwenye idara ile inayoongozwa na binti yule ambaye mhusika aliwahi kumuita “mrembo”
- Fundi wa vifaa vya electronics vikiwemo vya matetemeko, ambaye yeye huwa yuko idara nyingine na ambayo sasa hivi iko kwenye MAJOR UNIT nyingine baada ya mabadiliko ya ki-muundo (Organisation Structure) kutokea
- Mnunuzi wa Gari (MWG) ambaye aliwahi kuazima nyundo ya matetemeko na ambayo hajairudisha hadi leo
- Mkuu wa Idara mstaafu aliyewahi kuhudumu kwenye miaka ya 2006-2012
- Junior staff, kijana mdogo aliyeajiriwa miaka michache iliyopita, na ambaye aliwahi ku-train kwenye kitengo cha matetemeko Oktoba 2019
- Staff aliyekuwa akisimamia ukarabati wa jengo, na ambaye alihamia kwenye Taasisi akitokea Dodoma
- Mtu aliyekuwa amepewa tenda ya ukarabati jengo la Idara ambaye alianza kazi hiyo Januari 2021
Zaidi ni kuwa kwa sasa imeshabainika dhahiri kuwa,
mstaafu ambaye amekuwa akipita mara kwa mara ofisini kwa mhusika na kumwambia kuwa “nimepita tu kukusalimia”, huyu yeye amekuwa akifika ofisini kwa ajili ya kuja kufanya
renewal ya
code hii kwa kutumia
sauti na
apperance
Hata hao wengine walioorodheshwa hapo juu, wamekuwa wakitumia minu hiyo hiuo ya
sauti na
appearanca
Vile vile watu wote waliokuwa wanafika ofisini kwa mhusika na kumweleza kuwa
wanataka kupita kwenye maabara, nao pia walikuwa wanahusika na renewal ya code hii
Hata hivyo
, the main character kwenye
RENEWAL YA CODE HII, AMEKUWA NI JIRANI WA MHUSIKA; SMK, ambaye upon failure, ndiyo ilikuwa inabdi sasa referral ipelekwe kwa watu wengine
Wengine wanaoangukia kwenye kundi hili ni
- Mgeni wa SMK wa J3 ya wiki hii ambaye taarifa zake tayari ziko kwenye posts zilizopo hapo juu. Huyu ndiye aliyepelekaea vifaa hivyo vikachukuliwa kwa muda kutoka ofisini kwa mhusika, baada ya jaribio lake la kufeli J3
- BIBI MUUZA VITABU
- Mkuu wa Taasisi mstaafu aliyekuwa akihusika na mambo ya utafiti (Research)
- Mkuu wa Taasisi mstaafu aliyekuwa akihusika na mambo ya utawala (Administation), na ambaye wako idara moja na mgeni wa J3 wa SMK
Orodha ni ndefu ila maelezo ya kina yatafuata baadaye
ikiwa ni pamoja na uthibitisho wa ushahidi
KILICHOFANYIKA ILI KUHAKIKISHA KUWA CODE HII INAKUWA RENEWED KWA URAHISI
Mnamo April 2022 (mwaka jana), aliletwa fundi mgeni wa AC kwa ajili ya kuhakikisha AC ya mhusika haifanyi kazi tena( hadi leo hii haifanyi kazi) ili mlango wa ofisi yake uwe unakaa wazi muda wote.
- Fundi huyu aliikuta AC hiyo ikiwa inafanya kazi na akajidai kuifanyia service na hatimaye kuiharibu kabisa
- Kawaida AC za idara huwa zinafanyiwa service na mafundi ambao wamepewa tenda hiyo na taasisi na si mafundi binafsi kutoka mitaani
- Kwa ofisi ya mhusika kuendelea kukaa wazi, ilikuwa ni rahisi sasa kwa SMK kuweza kuongea na mhusika mara kwa mara ikiwa ni pamoja na watu wengine waliokuwa wanapata nafasi ya kuwa karibu na mahali pale ilipo ofisi hiyo
Maelezo zaidi yatafuata
CODE ZINGINE MBILI ZILIZOFUNGUKA J2 YA LEO
Baada ya code hiyo ya mitikisiko kuwa imefunguka J2 iliyopita,
Mungu bariki code zingine mbili zimefunguka tena J2 ya leo. Code hizi ni zile ambazo zimekuwa zikifanya kazi kwa kipindi kirefu hata kabla ya mwaka 2015
CODE YA MAKOFI YA “WALIOKAA TUSIMAME”
Code ya “Makofi ya Waliokaa Tusimame”, tuiite (MWT) mhusika aliikuta ikiwa tayari inafanya kazi hapo Kanisa A kipindi kirefu nyuma, tangu alipoanza kuabudu hapo mnamo Mei 2011
- Code hii MADHABAHU yake iko “juu ya madhabahu halisi (physical)” ya Kanisa A, mahali ambapo watumishi wa Mungu huwa wanasimama kwa ajili ya huduma wakati wa Ibada Kuu
- Ikumbukwe kuwa code hii ina mbadala wake pia ambao ni makofi ambayo huwa yanapigwa wakati wa sala ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu, kabla kutamkwa neno AMINA
Ukimwondoa KM-A mwenyewe, karibia mara zote watumishi wengine wote huwa wanatumia hii code mbadala huku KM-A akiendelea kutumia code ya MWT
- Kwa hiyo karibia mara zote code ya MWT huwa inatumiwa na KM-A tu huku watumishi wengine wakiendelea kutumia ile ya mbadala wake
- Kwenye code hiyo, uwepo wa neno “waliokaa tusimame” huwa ni sub-code nyingine tu ya kujaribu kuwaficha wajanja kilichomo kwenye main code MWT, ila ukweli ni kwamba makofi hayo yanatakiwa yapigwe kwa njia ya pekee ya waumini kuombwa kuyapiga huku mtumishi wa Mungu akiwa bado yupo amesimama juu madhabahuni
Ilionekana kuwa, isingeleta mantiki yoyote kama waumini watahitimisha sala kwa neno AMINA, na hatimaye neno hili kufuatiwa na makofi yale ya kawaida halafu tena hapo hapo mtumishi wa Mungu awaombe waumini wapige tena makofi mengine in the
same style, wakiwa katika hali hiyo hiyo waliyokuwepo awali. Hii ingeweza kupelekea
code hii kuweza kugundulika kirahisi mno na waumini possibly kipindi cha miaka mingi huko nyuma. Ili kuleta angalau mantiki na pia kuipamba kidogo code na ikapambika ikiwa ni pamoja na kufichika, ilibidi angalau
waliokaa waombwe kusimama kwanza halafu ndiyo makofi hayo yaweze kupigwa
Maelezo ya kina zaidi kuhusiana na code hii nayo yatafuata baadaye
CODE YA “IMAGES “ ZA VIOO NA VIFAA VINGINE VYENYE UWEZO WA KUTENGENEZA “IMAGES” AMBAYO MADHABAHU YAKE IKO KWENYE MAABARA YA VIFAA VYA MICROSCOPE (DARUBINI) YA MR X, NA JIRANI KABISA NA OFISI YA MHUSIKA
Code hii tuiite CYIV yenyewe inafanya kazi kwa kupitia
images za vioo vyenye lens na visivyokuwa na lens (plane mirrors) na hivyo imekuwa ikifanya kazi kupitia SIDE MIRRORS pamoja na DRIVING MIRRORS ZA MAGARI; 9la hasa hasa mtu anapokuwa anendesha gari kwa kutumia REVERSE GEAR, na hivyo inafanya kazi kwenye vioo vyote
Mbali na hilo, code hii inafanya kazi pia kwenye
imaging devices zote kama vile Cameras, Digital Projectors, Office Scanners, Office Printers etc, ikiwa ni pamoja na zile ambazo ni medical kama vile:
X-rays.
- CT (computed tomography) scan.
- MRI (magnetic resonance imaging)
- Ultrasound.
- Nuclear medicine imaging, including positron-emission-tomography (PET)
Radiography
Magnetic resonance imaging
Nuclear medicine
Ultrasound
Elastography
Photoacoustic imaging
Tomography
Echocardiography
Functional near-infrared spectroscopy
Magnetic particle imaging
Njia zingine za kisasa zaidi zinazofanana na hizi ni kama vile
- Diffuse optical tomography
- Elastography
- Electrical impedance tomography
- Optoacoustic imaging
- Ophthalmology
- A-scan
- B-scan
- Corneal topography
- Optical coherence tomography
- Scanning laser ophthalmoscopy
WAHUSIKA
Wahusika wakuu kwenye code hii ni wafuatao
- MR X mwenyewe
- Wahusika wengine wote kwenye maabara hiyo ya Microscope ofisini
- Profesa (tumwite PRF) aliyefanya tukio kwa mhusika J2 moja mnamo Desemba 2022 (mwaka jana).
- Siku hiyo, PRF alikuwa pia anai-scan gari ya mhusika kupitia kwenye side mirrors za gari lake na tangu siku hiyo, ameendelea kufanya hivyo kila J2 na kwa ujanja sana hadi J2 ya leo hii amefanya pia
- J2 ya leo, mhusika alipokuwa bado amepaki kwenye parking zilizoko nje ya uzio wa Kanisa PRF alifanya hivyo
- J2 iliyopita pia alifanya
- J2 ile nyingine alifanya pia
- J2 zote ambazo mhusika amekuwa yupo kanisani na PRF naye kuwepo, mara nyingi PRF amekuwa akipaki hata ndani ya uzio wa kanisa, kwa namna ya ambayo side mirrors za gari lake (PRF) huzielekeza kwa lile la mhusika
- Shemasi wa Kike kanisani mwenye gari aina ya Harrier, waliyepaki pamoja siku ya Krismas na ambaye mara nyingi mhusika amekuwa akileta taarifa zake humu jukwaani
- Shemasi wa kiume Kanisani ambaye J2 ya leo walipishana ndani ya uzio wa Kanisa karibu na gate, mhusika akiwa anaingia na yeye ndiyo alikuwa ndiyo anatoka nje na katika muda ambao magari mengine yote yaliyokuwa yanatakiwa kutoka, yalikuwa tayari yameshatoka isipokuwa la kwake
- Mke wa kiongozi aliyewahi kusababisha mhusika akatoboa taa za gari lake.
- Huyu mama amekuwa mara kwa mara akili-scan gari la mhusika kwa kutumia side mirrors za gari lake, na kwa kipindi cha hivi karibuni kabisa, mama huyu alili-scan gari la mhusika J2 ya tarehe 05/02/2023 wakati mhusika alipokuwa anajiandaa kuondoka Kanisani baada ya Ibada, na walikuwa wawili ndani ya gari; alikuwa pamoja na mke wa shemasi mwingine
Maelezo ya kina zaidi yatafuata baadaye
……………….itaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA