#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: MONDAY 20TH FEBRUARY 2023

UCHAMBUZI MFUPI KUHUSU KITU KINACHOITWA “TUKIO” AU “EVENT”: BAADI TU YA VITU AMBAVYO HUWA VINAPELEKEA JAMBO KUITWA TUKIO AU EVENT


Mhusika anapenda kutoa maelezo mafupi tu kuhusiana na vitu ambavyo huwa vinapelekea jambo kuitwa tukio kwa maana kuwa ni vitu gani muhimu ambavyo huwa vinahusika na tukio. Kwa kufanya hivi, maelezo haya yatakuja kutoa mwanga zaidi especially kwenye matukio ya hivi karibuni ambayo yamekuwa yakijitokeza na kupelekea watu washindwe kuyang’amua kama yalikuwa ni matukio halisi, au yalikuwa ni ya kutengeneza, especially yale aliyowahi kuyaongelea kwenye post hii hapa #1,322

BAADHI TU YA VITU MUHIMU VINAVYOUNDA TUKIO

Tukio lolote lile liwe ni halisi au la kutengeneza, huwa linahusisha baadhi ya mambo kadhaa kama ifuatavyo
  • Chanzo cha tukio
  • Mahali lilipotokea
  • Muda wakati linatokea
  • Washiriki wa tukio. Hawa wanaweza kuwa watu au watu na vitu
  • Matokeo ya tukio (mfano watu kufa kama ni ajali)
  • Washuhudiaji wa tukio. Hawa si wa lazima sana wawepo kwa sababu si lazima kila tukio liwe na washuhudiaji isipokuwa pale wanapokuwepo, huwa wanachukua nafasi mhumu sana kwenye tukio.
Tuchukulie kwa mfano tukio la takataka zilizokuwa zimehifadhiwa nyumbani kwa mtu kule maeneo ya Buguruni, na ambalo lilipata kuwa na washuhudiaji kadhaa, au lile la mtoto aliyekuwa akichapwa viboko miguuni huku walimu wawili wakiwa pembeni wanacheka

TUCHUKULIE KWA MFANO TUKIO LA HIVI KARIBUNI LA MTOTO ALIYESEMEKANA KUCHAPWA VIBOKO HADI KUJERUHIWA, HUKU AKIWA NA JERAHA JINGINE PIA ALILOKUWA AMELIPATA KUTOKANA NA KUUNGUA NA PASI

Kwenye tukio hili, kulikuwa na mambo kadhaa ya msingi yafuatayo

JINA LA TUKIO (Name of event):

Mtoto kuchapwa viboko hadi kujeruhiwa” (Name of event)

Chanzo cha “chanzo cha tukio” (Trigger of event):

Mikono ya mwalimu pamoja na fimbo iliyokuwa ikitumika kumchapa mtoto

Chanzo cha tukio (Source of event):

Fimbo iliyokuwa ikimchapa mtoto

Vingine ni kama
  • Nguvu ya fimbo (Energy) inayotokana na muscles za mchapaji
  • Maumivu ya fimbo (Body Stimulus)
  • Viungo vya fahamu vilivyokuwa vikipokea maumivu (Sensory organs), n.k. na orodha ni ndefu kiasi.
Kitaalamu, kwa kifupi tu tunaweza kuorodhesha mambo ya tukio hili kwa kutumia mafungu kadhaa yafuatavyo; kwamba kwenye tukio hilo kulikuwa na
  • TRIGGERS OF STIMULI
  • SOURCES OF STIMULI
  • STIMULI
  • ENERGY PRODUCED BY STIMULI
  • ENERGY TRANSFERRED
  • MEDIA OF ENERGY TRANSFER
  • RECEIVERS OF ENERGY /STIMULI (non sensory organs for living things and sensory organs for living things)
  • Milango ya fahamu husika na tukio/ SENSORY ORGANS
  • Sehemu tukio lilipotokea/ LOCATION
  • Matokeo ya tukio (EVENT’’S OUTCOMES: Kwa mfano, mtoto kujeruhiwa na hatimaye kufungwa bandage mkononi baada ya kuwa amechapwa viboko au ardhi kupasuka na nyumba kupata nyufa baada ya tetemeko la ardhi ni mojawapo ya mifano ya matokeo ya matukio
BAADHI TU YA MAMBO MUHIMU AMBAYO HUWA YANAUNDA TUKIO LA AINA YOYOTE BILA KUJALI JINA LA TUKIO LENYEWE

Orodha ifUatayo, ndiyo ile inayohusika na mambo ya kwenye tukio lolote lile, bila kujali jina tukio

Muhimu ni kwamba hapa duniani, Mungu aliumba miili ya aina mbili tu (There are only two natural bodies) ambayo ni miili ya viumbe hai pamoja na ule wa ardhi, ukiondoa maji

MFANO WA MATUKIO YENYE KUHUSISHA MIILI YA VIUMBE NA HAI


Tukio lolote linalohusisha miili ya viumbe hai, lazima liwe na components hizi zilizoorodheshwa hapa chini bila kujali kuwa tukio hilo lilikuwa na washuhudiaji au halikuwa na washuhudiaji

Baadhi tu
ya components hizi ni
  • TRIGGERS OF STIMULI
  • SOURCES OF STIMULI
  • STIMULI
  • ENERGY PRODUCED BY STIMULI
  • MEDIA OF PROPAGATION OF ENERGY/ STIMULI
  • RECEIVERS OF STIMULI
  • SENSORY ORGANS
  • LOCATION
  • TIME OF EVENT
  • NAME OF EVENT
  • EVENT’S OUTCOME (mfano mtoto kujeruhiwa na hatimaye kufugwa bandage usoni)
Kwa hiyo whether tukio ni la watu waliokuwa wakipiga makofi Kanisani au kuimba, au la mtu aliyekuwa akijaribu kulazimisha kufungua mlango wa ofisi uliokuwa umegoma kufunguka, au mtu aliyekuwa anafanya mazoezi ya kukimbia barabani huku watu wengine wakiwa wanamtazama, components hizi lazima ziwepo kwenye tukio; aidha zote, au baadhi au hata zaidi ya hizi zilizoorodheswha hapo juu

MFANO WA MATUKIO YAYOHUSISHA MWILI WA ARDHI


Kwa matukio yanayohusisha tuseme mitikisiko ya kwenye ardhi, components zote hizi zinakuwepo isipokuwa moja; SENSORY ORGANS

Kwa hiyo linapokuja swala la ARDHI, tunatumia “tailor made” command moja ya computer kwa kui-apply kwenye orodha hiyo hapo kwa tukieesms
  • FIND WORD “SENSORY ORGANS”
  • REPLACE WORD “SENSORY ORGANS” WITH WORD “ARHDI”
Kwa hiyo baada ya command hiyo, orodha yetu inakuwa imebadilika kitu kimoja tu na kuwa kama hivi
  • TRIGGERS OF STIMULI
  • SOURCES OF STIMULI
  • STIMULI
  • ENERGY PRODUCED BY STIMULI
  • MEDIA OF PROPAGATION OF ENERGY/ STIMULI
  • RECEIVERS OF STIMULI
  • ARDHI
  • LOCATION
  • TIME OF EVENT
  • NAME OF EVENT
  • EVENT’S OUTCOME (mfano mipsuko kwenye ardhi)
Kwa hiyo utofauti uliopo kati ya orodha ile inayohusisha viumbe hai ukilinganisha na ile inayohusisha ardhi, ni uwepo wa component “SENSORY ORGANS” kwenye orodha ya viumbe hai na kutokuwepo kwa neno ‘ARDHI” kwenye orodha hiyo na pia kinyume chake kwa orodha ile inayohusika na ardhi

Kwa hiyo kwa kifupi, tukio lolote lile bila kujali watu waliohusika au vitu vilivyohusika na tukio, lazima components hizi ziwepo

Components hizi zilizoorodheshwa hapo juu, zimekwepo kwenye matukkio yote ya zamani na pia ya hivi karibuni kama vile
  • Tukio la mtoto kupigwa hadi kujeruhiwa na Mkuu wa Wilaya
  • Tukio la mtoto kupigwa hadi kujeruhiwa na mwalimu wake
  • Tukio la watoto kupigwa kwenye nyayo za miguu huku baadhi ya walimu wakiwa wanashuhudia
  • Tukio la hivi karibununi la tetemeko la ardhi lililotokea baada ya mtoto kupigwa na kujeruhiwa na mwalimu.
Ikumbukwe kuwa baada ya taaifa za yule wa mtoto wa Shule ya Msingi Kinondoni kupigwa na mwalimu wake hadi kujeruhiwa, kuna tetemeko la ardhi lilitangazwa kuwa limetokea na ambalo kitovu chake kilisemekena kuwa ni aidha ufukweni mwa bahari ya Tanga au ndani ya bahari hiyo

Baada ya tetemeko hilo, kuna matetemeko mengine matatu ya ardhi yalikea tena wiki jana, kitovu chake kikiwa ni Kisumu, Kenya,

UMUHIMU WA ORODHA YA COMPONENTS ZILZOORODHESWHA HAPO JUU; KWENYE MAELEZO YANAYOFUATA NA YANAYOHUSIANA NA CODE TATU AMBAZO HIVI KARIBUNI MHUSIKA AMEFANIKIWA KUZIFUNGU

Tukishaelewana kuhusiana na components hizi za matukio kama zilivyoorodheshwa hapo juu, ndiyo sasa tunaweza kuanza kutembea pamoja na mhusika ataweza sasa kutoa maelezo yanahusiana na code zile ambazo amefanikiwa kuzi-decode hivi karibuni kwa urahisi zaidi

Kwa kifupi tu ni kwamba, kutokana na components hizi zinaonyesha kuwa, mtu akiamua KURUSHA PEPO KWA KUTUMIA TUKIO bila kujali ni tukio gani, anaweza akarusha pepo kwa njia mbali mabli kadhaa kama zilizoorodheshwa hapa chini

Anaweza akarusha pepo kwa kutumia/ au kwenye
  • TRIGGERS OF STIMULI (1)
  • SOURCES OF STIMULI (2)
  • STIMULI (3)
  • ENERGY PRODUCED BY STIMULI (4)
  • MEDIA OF PROPAGATION OF ENERGY/ STIMULI (5)
  • RECEIVERS OF STIMULI (6)
  • Sensory Organs (viumbe hai)/ ARDHI (7)
  • LOCATION (8)
  • TIME OF EVENT (9)
  • NAME OF EVENT (10)
  • EVENT’S OUTCOME (mfano mipsuko kwenye ardhi) (11)
Mbali na possibilities hizi 11, assuming hivyo vyote hapo juu vina milango iliyo wazi kwenye ulimwengu wa roho na kwamba vinaweza kuwa accessed kwa kuweza kurushiwa pepo; mwenye nia hiyo anaweza pia akarusha pepo kwenye muunganiko wa vitu viwil viwili kati ya components hizo kwa namna mbalimabi kama ifuatavyo (tutatumia namba zilizo mbele kwenye mabano kwa urahisi na si maneno)

Kwa kutumia NAMBA 1 peke yake, mtu huyu anaweza akarusha pepo kati ya
  • 1 NA 2
  • 1 NA 3
  • 1 NA 4
  • 1 NA 5
  • 1 NA 6
  • 1 NA 7
  • 1 NA 8
  • 1 NA 9
  • 1 NA 10
  • 1 NA 11
Haya ni mafungu 10 ya components mbili mbili, yenye uwezekaono ambao pepo anaweza akarusha

Ikukumbukwe kuwa ordha hii ina vitu 11 tu na kwa hiyo namba 12 haipo. Hata hivyo orodha hii si kamili, ila ni orodha wakilishi kwa ajili ya mfano tu

Mbali na hizo possibilities zinazotokana na namba moja, kwenye tukio hilo hilo, pepo anaweza akarushwa pia kwenye muunganiko wa components zifuatazo
  • 2 NA 3
  • 2 NA 4
  • 2 NA 5
  • 2 NA 6
  • 2 NA 7
  • 2 NA 8
  • 2 NA 9
  • 2 NA 10
  • 2 NA 11
xxxxxxxxxxxx
  • 3 NA 4
  • 3 NA 5
  • 3 NA 6
  • 3 NA 7
  • 3 NA 8
  • 3 NA 9
  • 3 NA 10
  • 3 NA 11
  • 4 NA 5
  • 4 NA 6
  • 4 NA 7
  • 4 NA 8
  • 4 NA 9
  • 4 NA 10
  • 4 NA 11
  • 5 NA 6
  • 5 NA 7
  • 5 NA 8
  • 5 NA 9
  • 5 NA 10
  • 5 NA 11
  • 6 NA 7
  • 6 NA 8
  • 6 NA 9
  • 6 NA 10
  • 6 NA 11
  • 7 NA 8
  • 7 NA 9
  • 7 NA 10
  • 7 NA 11
  • 8 NA 9
  • 8 NA 10
  • 8 NA 11
  • 9 NA 10
  • 9 NA 11
  • 10 NA 11
Kwa hiyo hadi hapa; kwa kutumia mfano huu wenye components chache tu (si zote) kuna uwezekano wa kurusha pepo katika namna 66 (11 za components moja moja na 55 za components mbili mbili) kwa kutumia mfano wa tukio hili bila kujali kuwa tukio nilo ni la kuimba, kulia, kucheka, kupiga makofi ya WALIOKAA TUSIMAME
HUKO NYUMA KM-A ALIWAHI KURUISHA PEPO KWENYE MILANGO YA FAHAMU (SENSORY ORGANS) YA WAUMINI KWA KUTUMIA MAFUNDISHO YA KATIKATI YA WAIKI NA YA J2 PIA


Ikumbukwe kuwa miaka michache iliyopita, Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) aliwahi kurusha pepo kwenye milango ya fahamu ya waumini, pepo ambalo lilikwenda kuhakikiwa utendaji kazi wake, kwenye hafla moja iliyowahi kufanyika Desemba 2020.

  • Baada ya waumini kutoka kwenye hafla hiyo, walileta mrejesho Kanisani kwa KM-A, madhara waliyoyapata kutokana na kurushwa pepo huyo
  • Pamoja na kuwa pepo huyo alirushwa kwenye milango ya fahamu ya waumini, pepo huyo alirushwa kwenye ardhi pia
  • Mbali na hilo, orodha ya possibilities zilizoko hapo juu, ndiyo baadhi tu ya milango (si yote) ya kuweza kurusha pepo ambayo KM-A huwa anaifungua pindi anapokuwa amewaomba waumini kupiga makofi ya WALIOKAA TUSIMAME
…………………………inaendelea
 
TUKIRUDI SASA KWENYE TUKIO LA KANISANI J2 YA TAREHE 12/02/2023: TANGAZO LA GHAFLA KWA WAUMINI KWA AJILI YA KUSHIRIKI MBARAKA

Ndani ya kipindi kifupi mno, umeme ulikatika mara mbili na kupelekea jenereta la umeme kuwaka na kuzima mara mbili. Mhusika hakumbuki mara ya mwisho umeme ulikatika lini waumini wakiwa bado wapo kwenye Ibada

Tukio pekee analolikumbuka, ni wanakwaya kupandisha juu madhabahuni J2 moja na hatimaye kushuka tena bila kuimba kutokana na hitilafu ya vyombo vya muziki, ila kwa hili la umeme kukatika mhusika hakumbuki mara ya mwiho lilitokea ni lini

Zaidi ni kwamba umeme huu ulikatika mara mbili na ndani kipindi kifupi mno, huku ukiwa unawachagua watumishi wawili kwa kumkatikia kila mmoja wakati wa tangazo hilo pindi alipokuwa amepandisha juu madhabahuni

Ni milango mingi tu ilifunguka kwa kuzima na kuwaka kwa umeme, ukizingatia kuwa kila safari umeme ulipokuwa unakatika, kulikuwa na mtu tofauti aliyekuwa anaongea madhabahuni

Utafiti wa milango kufunguliwa kwa kuzima na kuwaka kwa generator la umeme, mhusika ameshaufanya kwa kina kupitia ofisi kwake. Nyuma jirani na ofisi yake mhusika, kuna generator la umeme ambalo limekuwa likitumika kama trigger ya mitikisiko umeme unapokuwa umekatika, na kulikuwa na madhabahu iliyokuwa imewekwa kwenye vifaa vya kupimia matetemeko ya ardhi vilivyokuwa viko ofisini kwa mhusika. Ni kwa bahati mbaya sana (siyo bahati nzuri kwake) kwamba vifaa hivyo kwa sasa vimeshachukuliwa na havipo tena ofisini kwake muda huu

Kukatika kwa umeme kulifungua mashambulizi kupitia milango ya fahamu mitatu ambayo ni macho, masikio na ngozi.

Wengine wanaweza kuuliza ngozi kwa vipi? Kipindi umeme ulipokuwa upo, feni zilikuwa zinazunguka na hivyo ngozi za watu zilikuwa zinapulizwa na upepo. Baada ya umeme kukatika, upepo uliokuwa unapuliza ngozi nao ulikoma pia. Viungo pekee vilivyosalimika kwenye tukio hilo vilikuwa ni ulimi na pua

Mbali na hilo, kuwaka kwa generator baada ya umeme kukatika, kulitengeneza milango kwenye ardhi kupitia mitikisiko ya generator hilo; kwa hiyo kukatika huko kwa umeme kulitengeneza mlango wa pepo kurushwa kwenye ardhi kiasi kwamba baada ya hapo, kila mahalli waumini walipokuwa wakikanyaga kulikuwa na pepo

Hata hivyo kwa wale waliokuwa karibu na generator hilo, chances ni kwamba walipata mashambulizi kupitia mlango wa “kunusa” kutokana na moshi uliokuwa unatoka kwenye generator hilo

Maelezo zaidi yatafuata mhusika atakapokuwa amejikita kwenye code inayohusiana na mitikisiko ya ardhi, ikiwa ni pamoja na ushahid wa namna ambavyo mitikisiko hiyo imekuwa ikitumika kama milango ya kurusha mapepo kupitia ardhi kwa mazingira ya ofisini na Kanisani pia

KUHUSIANA NA SCHEDULE YA USHAURI WA NAMNA WAUMINI WA KANISA A WATAKAVYOWEZA KUSHIRIKI MBARAKA ULIOTANGAZWA J2 HIYO

Shedule hiyo ilikuwa ni SUPERB, na possibly muandaaji alikuwa amechelewa kidogo kuanza kuitumia, kwa sababu ilikuwa ni mara ya kwanza kwa schedule ya aina hiyo kuweza kutumika kutoa maelekezo ya ushauri kwa waumini.

Kwa waliosomea manbo ya Finace, watakuwa waligundua kuwa schedule hiyo ilikuwa na parameters muhimu zifuatazo

TIME INREVAL
Duration of time (within the repayment period ) between first and last deposits

INSTALLMENTS
Equal amount of each deposit made within the time interval

SUM OF INSTALLMENTS
The total amount of all equal deposits made within the interval

REPAYMENT PERIODS
The tally between installments and time, falling within the time interval

NUMBER OF REPAYMENTS
The number installments paid within the repayment period, etc

Details hizi kama zilivyoonekana Kanisani J2 hiyo, kwa kiasi kikubwa sana, zilishahibiana mno na detail nyingine za mhusika za maswala yake ya ofisini

HITIMISHO
Ukizingatia kuwa
  • Tangazo la ushiriki wa mbaraka lilikuwa ni la dharura na kwamba wakati wa tangazo hilo ulifanyika utaratibu wa kurusha mapepo Kanisani kwa njia ya kukata umeme na kuwasha generator;
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa waumini wa Kanisa A, kuwekea schedule ya aina hiyo kama njia ya kuwahamasisha kushrirki mbaraka kwa sababu huko nyuma walikuwa wanashauriwa kwa kutumia utaratibu wa estimated minimum figure amount tu;
  • Kulikuwa na mlandano wa kipekee mno kati ya schedule hiyo na document ya ofisini ya mhusika ambayo bado haijafanyiwa kazi hadi muda huu;
  • Aliyekuwa amehusika na kuandaa na hatimaye kukaribishwa na kuanza kutoa tangazo hilo ni staff-mate wa mhusika;
  • Mara zote mapepo ya Kanisa A yamekuwa yakirushwa kwenye kitu husika kwa njia ya kitu hicho kutamkwa kutokea madhabahuni;
Kutokana na mambo haya yote, mhusika aliona kuwa kwa upande mwingine, tangazo la mbaraka huo lilitumika kuelekeza mashambulizi kwenye document yake ofisini ili isiendelee kufanyiwa kazi; mithili ya namna mbaraka uliowahi kutangazwa miezi kadhaa iliyopita, wa uponyaji wa usikivu wa kijana, ulivyowahi kutumika kuwashambulia tena waumini wa kanisa A J2 moja mwaka jana

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UPNEXT: CODE ZILIZOFUNGUKA HIVI KARIBUNI
 
MALEEZO MENGINE MUHIMU KUHUSIANA NA CODE YA “MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME” (MWT)

Kwenye Ibada ya J2 ya tarehe 12/02/2023 makofi haya yalipigwa mara moja tu na ndivyo ilivyo kawaida siku zote kwa sababu mara zote huwa yanapigwa baada ya sala ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu; yakiwa kama makofi ya awamu ya pili, iwapo tu mtoa sala na pia mhubiri wa neno la Mungu J2 hiyo ni KM-A

Kama mtoa sala ni mtumishi wa Mungu mwingine tofauti na KM-A, makofi hayo huwa yanapigwa kabla ya mtumishi husika kutamka neno AMINA, ambayo mara zote huwa yanafuata mara tu baada ya sala ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu

Hata hivyo tofauti kidogo na J2 zingine zote za nyuma, kwa J2 iliyopita ya tarehe 19/02/2023, kwa mara ya kwanza makofi hayo yalipigwa mara mbili na katika awamu mbili tofauti
  • Mara ya kwanza yalipigwa wakati wa kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu, na kwa mara nyingine tena karibia na mwisho wa Ibada
  • KM-A alitengeneza mazingira ya makofi hayo kupigwa mara mbili J2 iliyopita
TUKIRUDI NYUMA KIDOGO HUKU TUKIIANGALIA RATIBA YA VIPINDI VYA IBADA ZA KANISA A KWA TAKRIBANI WIKI TANO ZILIZOPITA

Ndani ya kipindi cha takribani wiki tano zilizopita, ratiba ya vipindi vya Ibada Kanisa A ilikuwa hivi
  • Kwa wiki 3 zile za mwanzo kulikuwa na maombi
  • Kwenye wiki nyingine ya nne iliyofuatia wiki hizo tatu, kulikuwa na maombi pia
  • Mbali na hayo, kwenye J2 ya wiki nne, kulitangazwa pia “Meza ya Bwana” kwa J2 iliyokuwa inafuatia wiki hiyo.
  • Hili swala “Meza ya Bwana” mhusika alishawahi kuliongelea humu jukwaani kwa kina na asingependa tena isipokuwa kwa kifupi tu ni kwamba karibia mara zote tukio la aina hii huwa linaambatana na mpango wa ajabu kwa mhusika, kwa wiki inayofuata
BAADA YA WIKI YA NNE YA MAOMBI KUWA IMEPITA

Baada ya wiki nne ya maombi kuwa imepita
, J3 ya wiki iliyopita ndiyo sasa kukawa na tukio ofisini kwa mhusika; yule mgeni wa SMK aliyefika ofisini kwa mhusika siku hiyo

Kesho yake J4, kukawa na tukio jingine tena lililohusisha geti la mlango wa ofisi ya mhusika kufungwa katika namna ambayo alishindwa kabisa kufunguua

TAFSRI YA MATUKIO HAYA MANNE AMBAYO NI:
  • Tukio la makofi ya waliokaa tusimame la J2 ya tarehe 12/02/2023
  • Tangazo la Meza ya Bwana kwenye J2 hiyo; kwa ajili ya j2 iliyokuwa inafuata;
  • Tukio la J3 ofisini la ujio wa mgeni wa SMK
  • Tukio la geti la mlango wa ofisi ya mhusika kugoma kufunguka
Ili kuweza kwenda vizuri na kuelewana kwenye tafsiri za matukio haya, msomajia anaombwa arejee kwenye ule uchambuzi wa mfano wa “components” ambazo tulizijadili jana, ambazo idadi yake ilifikia components 66

UHUSIANO ULIOKUWEPO KATI YA MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME YALIYOPIGWA J2 YA TAREHE 12/02/2023 NA MATUKIO MENGINE YALYOTAJWA HAPO JUU

Ni kwamba tukio la code ya MWT kanisani kwenye J2 hiyo tajwa, (ikiwa ni pamoja na kuzima na kuwaka kwa Jenereta la umeme), lilikuwa na uhusiano wa moja kwa na:
  • Ujio wa mgeni wa SMK kesho yake J3; kwa maana kuwa makofi hayo yalikuwa ni maandalizi ya ujio wa mgeni huyo
  • Tukio la mlango wa geti la ofisi ya mhusika kufungwa na kupelekea mhusika kushindwa kuufungua
  • Tangazo la Meza ya Bwana
Ikumbukwe pia kuwa sub-code ‘WALIOKAA TUSIMAME’, haina kitu cha maana chochote kwenye main code ya MWT zaidi ya kuwa ni pambo tu la kuwachanganya walio wajanja wasiweze kung’amua ni nini hasa cha ziada ambacho huwa kimemebebwa na makofi hayo ya ‘WALIOKAA TUSIMAME’

Kawaida, makofi ya ‘WALIOKAA TUSIMAME’ huwa ni set ya pili ya makofi ambayo huwa yanapigwa baada ya KM-A kuwaomba waumini wapige makofi hayo huku akiwa amesimama madhabahuni, muda mfupi kabla hajaanza kuhubiri

Set ya kwanza ya makofi hayo huwa yanapigwa na waumini wenyewe kwa kiari yao kama ishara ya kuhitimisha sala yoyote, baada ya kuwa wametamka neno AMINA.

Baada ya hapo, set ya makofi ya pili ndiyo sasa hufuatia, ambayo yenyewe huwa inatokana na OMBI MAALUMU la makofi hayo ya nyongeza kupigwa, kutoka kwa KM-A
  • Kwa hiyo neno WALIOKAA TUSIMAME’ halina maana yoyote nyingine zaidi ya kuficha kilichowekwa kwenye code ya MWT ili kisiweze kugundulika kirahisi
  • Kwa hali hiyo J2 hiyo, code ya MWT ilitumika kurusha pepo ambaye alikusudiwa kuanza kufanya kazi kuanzia pale na kuendelea
  • Maandalizi ya pepo mwenyewe yalikuwa yamefanyika kwenye maombi ya wiki ya ile nne, wiki ambayo ilizifuatia wiki zingine tatu za maombi zilizokuwa zimepita nyuma
ILIPOFIKA J3, UTENDAJI KAZI WA PEPO HUYO HAUKUMRDDHISHA KM-A

Ilipofika J3 ya wiki jana, pepo aliyekuwa amerushwa hakuweza kutoa matokeo yaliyokuwa yametarajiwa

Baada ya pepo huyo kushindwa kufanya kazi kama alivyotarajiwa, alipelekea kuwepo ulazima wa maandalizi mengine mapya, kwa kutangaza maombi mengine kutokea Kanisani ambayo sasa yangeweza kuja kurekebisha failure hiyo hapo baadaye
  • Na kwa sababu ratiba ya maombi ilikuwa imefululiza kwa wiki nne mfululizo, haikuwa rahisi tena kwa KM-A kutangaza maombi mengine kwa immediate wiki ile iliyokuwa inafuata kwa sababu waumini wengi sasa wangeweza kustukia dili
  • Ukizingatia kuwa alichokuwa anafanya KM-A kilikuwa ni crush program iliyopelekea hadi tangazo la dharura la mbaraka likashtukizwa J2 ya hiyo huku nalo likiwa limeambatana na maswali mengi kuliko majibu; failure ya plan ya KM-A J3 ilipelekea kupangwa kwa crush program nyingine ili iweze kufanya kazi haraka haraka ndani ya wiki hiyo na si kwa kusubiri tena hadi kwenye wiki nyingine ya maombi kutangazwa kwenye ratiba ya Kanisani.
Kwa hali hiyo, PLAN B ikawa sasa ni kufunga mlango wa ofisi ya mhusika katika namna ambayo yoyote ile ambayo hataweza kuufungua, huku watu wengine ofisini wakiwa wame-desert kwa kutokuwepo kabisa eneo ilipo ofisi yake; na wengine watakaokuwepo, kupanga udhuru wenye kuleta mantiki ambao hautaweza kumruhusu mhusika kufanya nao mawasiliano yoyote, hadi mhusika atakapokuwa amefanya jitihada za kucheza na mlangio huo kwanza
  • Kwa hali hiyo, swahiba wa mhusika pamoja na MKUU WA MAJOR UNIT (MMU), wakawa na wako kwenye online meeting
  • SMK yeye alikuwa amechelewa kufika
  • Vile vie, yule aliyekuwa amepangwa kuwa baadaye ndiye atakuja aufungue mlango baada ya mhusika kuwa ameujaribu na kumshinda, na ambaye baadaye kweli ndiye aliyekuja kuufungua, naye alikuwa kwenye chobisi, possibly akiwa amejificha kabisa
UCHAMBUZI WA “COMPONETS” ZA MATUKIO MAWILI KWA ULINGANIFU:

TUKIO LA MAKOFI YA “WALIOKAA TUSIMAMAME” NA TUKIO LA MHUSIKA “KUNG’ANG’ANIZA KUFUNGUA MLANGO ULIOKUWA UMEGOMA KUFUNGUKA”


Tukio la MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME lililofanyika J2 ya tarehe 12/02/2023 lina “components” chache zaidi ukilinganisha na tukio la “kung’ang’aniza kufungua mlango ambao ni mgumu kufunguka”

Hii ni kutokana na ukweli kuwa kuwa tukio la makofi linahusisha kitu kimoja tu ambacho ni mwili wa binadamu au viganja viwili vya mikono ya mwanadamu, wakati lile la kung’anganiza kufungua mlango uliogoma kufunguka, mbali na viganya kuhusika, lilihusisha nyongeza nyingine ambayo ni material ya mlango.
Material hayo nii
  • Chuma---vitasa vya mlango
  • Mbao na vioo—frame ya mlango ni ya mchanganyiko wa mbao na vioo
HITIMISHO
Hadi hapa tunaona wazi kabisa kuwa tukio la kupiga makofi lina components chache zaidi ukilinganisha na lile la kung’ang’aniza kufungua mlango; isipokuwa components zote zilizo kwenye tukio la kupiga makofi, zipo pia kwenye tukio la kung’ang’aniza kufungua mlango kwa sababu mlango unaong’ang’anizwa kufunguliwa nao pia huwa unatoa sauti au kupiga kele

Kwa hiyo, J4 iliyopita, mlango wa ofisi ya mhusika ulifungwa makusudi ili components zile ambazo hazipo kwenye tukio la makofi, ziweze kuwa activated kwa kurushiwa mapepo kama milango ya ziada ya mapepo
  • Ni baada ya components zilizo kwenye makofi kushindwa kutoa matokeo yanayotarajiwa siku ya J3 na hivyo kutoa dalili kuwa zote zilikuwa zimefungwa
  • Vile vile, kuwaka na kuzima kwa generators la umeme, kulikuwa na uhusiano na mitikisiko iliyosababishwa na generator hilo. Mitikisiko hiyo ilikuwa na uhusiao mwingine pia na mitikisikio ya nyao za mhusika kwenye sakafu wakati wanatembea kwa pamoja na kwa karibu na mgeni wa SMK; mhusika alipokuwa anaelekea kwenye vderanda baada ya kumpisha mtoto wa usafi ofisini kwake.
  • Hii ilitokea pale mMhusika na mgeni wa SMK, walipoongozana kuelekea kwenye veranda, mgeni wa SMK akiwa anamfuata mhusika kwa nyuma
  • Mbali na hayo, Meza ya Bwana, lilikusudiwa kuficha haya yote yaliyoandikwa humu; wakati na baada ya meza hiyo, bila kujali kuwa jaribio limefaulu au limefeli
Kushindwa kufanya kazi kwa code ya MWT, ndiyo huko kulikosababisha KM-A kui-retest code hiyo mara mbili J2 iliyopita. Kama mhusika alivyosema hapo awali, kawaida MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME huwa yanapigwa mara moja tu katika kila Ibada, na si mara mbili.
Hata hivyo, mlolongo wa matukio yote haya yanadhihirhirsha pasipo shaka kabisabkuwa KM-A alikuwa anafanya kazi kwa SCHEDULED CRUSH PROGRAM; na hivyo ilionyesha dhahiri kabisa kuwa kulikuwa na schedule muhimu sana ambayo alikuwa amekusudia kui-meet

……………….inaendelea
 
CODE YA IMAGES ZA VIOO VYENYE LENS NA VISIVYOKUWA NA LENS: MAELEZO MAFUPI YA UTANGULIZI

Mhusika mkuu wa code hii ni MR X

Code hii inafanya kazi kwa kurusha mapepo kwa kutumia macho kwenye vitu vifauatavyo

All visible objects observed using naked eyes, yaani vitu vyote vinavyoonekana kwa kutumia macho ya nyama ambavyo baadhi yake ni kama

  • Macho yenyewe ikiwa ni pamoja na miwani ya macho
  • Vioo vyote hasa vioo vya magari ambavyo masaa 24 viko kazini kila siku
  • Lens za vioo na vyomba vingine vinavyotumia lens kama vile darubini
  • Microscopic objects ambazo huwa haziwezi kuonekana kwa macho ya nyama isipokuwa kwa kutumia darubini, n.k.
  • Macroscopic objects zote
  • Images za objects zote, macroscopic na microscopic, n.k.
Ikumbukwe kuwa kila kinachoonekana na macho ya mwanadamu, maana yake ni kwamba kuna “image” ya kitu hicho ipo kwenye jicho la yule anayekiona.

  • Kutokuwepo kwa image kwenye jicho la mtu husika maana yake ni kwamba mtu huyo hawezi kukiona kitu hicho.
  • Kwa hiyo tuseme kwa mfano ukitokea muujiza mahali fulani kati ya watu wawili A na B walio mahali pamoja kiasi kwamba A anadai kuona kitu ambacho B anadai hakioni, maana yake ni kwamba kuna “image” ya kitu hicho kwenye jicho la A ilhali image hiyo haipo kwenye jicho la B
MATUKIO MAWILI YA NYUMA YANAYOFANANA NA AMBAYO YANAYOMHUSISHA MR X

Kabla ya kuendelea zaidi, mhusika anaomba awarudishe wasomaji kwenye matukio mawili ya nyuma na ambayo MR X anahusika

Kwenye post hii hapa #951 kuna tukio la limepewa jina tukio la nne; na ambalo mhusika alilazimika kupeleka gari gereji, baada ya kioo cha dirisha la gari kushuka ghafla na kushindwa kupanda tena

  • Huko gereji alienda akakutana pia na staff-mate wake mmoja na ambaye alimhamasisha mhusika kuanza kuvaa barakoa, kama maelezo marefu yaliyo kwenye post hiyo yanavyoeleza
  • Baada ya mhusika kuwa amenunua barakoa siku hiyo na hatimaye kuivaa siku nyingine; mhusika alipata shambulio la koo
Baadaye katika kufanya uchunguzi wake, mhusika aligundua kuwa kilichosababisha kupata shambulio la koo haikuwa barakoa aliyovaa bali ni kitu kingine; na kwamba MR X alihusika katika kupanga shambulio hilo la koo huku MR X akiwa anajua kuwa mhusika angedhani kuwa chenye kusababisha shambulio hilo ni barakoa

  • Ikumbukwe kuwa mhusika alihamasishwa kununua barakoa hiyo na staff-mate wake huyo, baada ya kuwa amepeleka gari gereji na kwa sababu ambayo ilionekana kuwa ilikuwa ni hujuma kwenye gari la mhsika
  • Siku mhusika anapeleka gari hilo garage, MR X alikuwa yupo chumba jirani chenye microscopes akiwa anafanya kazi
Hili ni tukio la zamani la mwaka 2020. Mhusika alipeleka gari garage kwa tatizo ambalo lilikuwa ni hujuma na hatimaye tena huko kwenda kukutana na staff-mate

TUKIO JINGINE LA HIVI KARIBUNI LINALOFANANA NA HILI: HUJUMA NYINGINE TENA ZENYE USHAHIDI ULIOMWELEMEA MR X ZILIFANYIKA KWENYE GARI LA MHUSIKA NA HIVYO MHUSIKA KULAZIMIKA TENA KUPELEKA GARI GEREJI

Hivi karibuni tena mwanzoni mwa mwezi Desemba 2022, mhusika alipeleka tena gari gereji kama maelezo yanavyobainisha kulinagana na taarifa alizowahi kuzitoa kwenye post hii hapa #1,293.

  • Kuna tatizo lilitokea kwenye gari la mhusika baada ya MR X kupaki gari lake kubwa jirani na lile la mhusika, siku moja ya Ijumaa
  • Baada ya hapo, mhusika alilazimika tena kupeleka gari gereji
  • Siku mhusika anapeleka gari gereji, MR X alikuwepo tena chumba jirani akiwa anafanya kazi
  • Baada ya kufika gereji, huko alikutana tena na staff-mate yule aliyewahi kumhamasiha mhusika kununua barakoa mwaka 2020
Tangu wakutane hapo gereji mwaka 2020, mhusika na staff-mate huyu hawakuwa wamewahi kuonana wala kukutana hadi siku hiyo walipokutana tena garage kwa mara nyingine

Siku hiyo, baada ya mhusika kuwa amewasili maeneo ya garage, muda mfupi tu baada ya kuwa ameingiza gari lake ndani ya uzio wa garage, staff-mate huyu ambaye naye pia gari lake ilikuwa ndani ya uzio mbele ya lile ya mhusika, alisema kuwa anataka kutoka

  • Kutokana na hali hiyo mhusika alilazimika kuingia tena kwenye gari na kutembea kwa REVERSE GEAR hadi nje, akimpisha staff-mate
  • Kwenye mchakato huu wa kumpisha staff-mate, pale nje ya uzio barabarani ndiyo kuna kitu kilitokea na hatimaye ku-trigger utafiti unaohusiana na code hii ambayo imekuwa ikimsumbua mhusika kwa zaidi ya muongo mmoja sasa tangu mwaka 2012.
Code hii ambayo imekuwa ikitumiwa na MR X ndiyo code pekee ambayo imemsumbua mhusika kwa kipindi kirefu sana, miaka 11 sasa.

MODE OF OPERATION

MR X huwa anarusha mapepo kwenye vioo vya microscopes za mabara iliyopo ofisini, na baada ya hapo analeta wanafunzi humo wanaanza kuzitumia

Baada ya wanafunzi kuzitumia hatimaye huwa wanaondoka humo wakiwa wamebeba mapepo kwenye macho na kuanza kuyasambaza pasipo wao kujua

Microscopes ni aina mojawapo tu ya imaging devices na hivyo MR X anapokuwa amerusha pepo kwenye microscope moja, automativcally anakuwa amerusha kwenye imaging devices zote

Kwa upande wa namna MR X alikuwa akimrushia mapepo hayo mhusika; ilikuwa kwa mfano mhusika akinunua bidhaa fulani dukani, kesho yake MR X anaingia kwenye maabara, baada ya mhusika kuwa amenunua bidhaa

Ikitokea hivyo, baada ya mhusika kurudi nyumban siku hiyo, ilikuwa ni lazima tu usiku mhusika azichukue bidhaa hizo alizonunua na kuzitupa, la sivyo hawezi kulala

Pale ilipokuwa inatokea mhusika amenunua bidhaa halafu MR X akawa hajaingia kwenye maabara, bidhaa hizo zilikuwa zinaendelea kubaki salama

Kwa kushidwa kujua ni nini kilikuwa kinaendelea, mhusika alikuwa wakati mwingine anadhani kuwa pengine matatizo yalikuwa kwenye maduka ambayo alikuwa akinunua bidhaa hizo, hali iliyopelekea wakati fulani akawa ananunua bidhaa kwa kubadilisha badilisha maduka; kumbe hapana haikuwa hivyo

Matatizo yalikuwa yapo kwenye macho yake mhusika mwenyewe, na macho yake yalikuwa yanawekewa matatizo na MR X baada ya kuwa ametumia darubini zilizo chumba jirani na ofisi ya mhusika

Maelezo zaidi yanafuata baadaye
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 22ND FEBRUARY 2023

Baada ya mhusika kufika garage na kumkuta staff-mate wake (tumwite SM) naye pia akiwa yupo pale garage:
  • Muda si mrefu SM aliomba kupishwa ili atoke nje ya uzio wa garage
  • Na kwa sababu gari yake SM ilikuwa mbele; na ikiwa imeangalia mbele vile vile, mhusika alianza kumpisha SM kwa kurudi REVERSE huku SM naye akiwa anamfuata mhusika kwa mbele, naye pia akiwa anatumia REVERSE gear
  • Kutokana na hali hiyo, SIDE MIRRORS pamoja na DRIVING MIRROR za gari la SM zilikuwa zikili-scan gari la mhusika, kwa wakati wote pindi wawili hao walipokuwa wanarudi kinyumenyume
Baada ya hapo, gari la mhusika lilitangulia kutoka nje ya uzio, huku la SM likiwa bado limo ndani

Huko nje, mhusika alistukia ghafla gari lake linapigwapigwa na watu kwa nguvu kama tahadhari kwake kwamba kulikuwa na kitu angeweza kukigonga, jambo lililopelekea aangalie nkweye SIDE MIRROR za gari lake kuona kilikuwa ni nini
  • Baada ya kuangalia, mhusika aliona pikipiki ikiwa imewekwa pembezoni upande wake wa kulia
  • Baada ya kuiona, mhusika aliwaomba wamiliki waisogeze pembeni ili aweze kupita kwa urahisi, lakini wao walidai kuwa ajitahidi tu kupita nafasi iliyokuwepo ilikuwa inatosha
Kuanzia pale, pikipiki hiyo ikawa ni ya msaada sana kwake, na imeongea mengi mno kuanzia siku hiyo hadi leo.

Kwa kifupi tu ni kwamba pikipki hiyo ilikuwa imetegeshwa pale kwa makusudi

Kwa bahati nzuri sana, pikipiki imeendelea kuongea mengi sana na kwenye vipindi vingi tofauti kama vile pindi mhusika anapokuwa yupo barabarani anaendesha gari, hadi anapokuwa yupo kwenye parking anapaki gari au anataka kuwasha gari aondoke kwenye parking

Baada ya tukio la garage, Ilipofika J2 ya Krismas tarehe 25/12/2023, ndiyo sasa MR X naye aka-replicate tukio la piki piki ndani ya uzio wa Kanisa ila yeye kwa akiwa anatumia gari lake dogo.

Kuhusiana na swala la MR X, maelezo ya nyongeza yanafuata hapa chini

BAADA YA TUKIO LA GARAGE KATI YA MHUSIKA NA SM MWANZONI MWA MWEZI WA 12: NDANI YA MWEZI HUO HUO TUKIO JINGINE TENA LINALOFANANA NA LILE LA GARAGE, LAJIRUDIA WAKIWA MAZINGIRA YA KANISANI KATI YA GARI LA MHUSIKA NA LA SHEMASI WA KIKE, NA LA MR X PIA, , SIKU YA J2 YA KRISMAS:

Kitendo hiki kilichotokea garage kati ya gari la mhusika na lile la SM mwanzoni mwa mwezi Desemba 2022, kilikuja kujirudia tena siku chache mbele; safari hii ikiwa ni ndani ya uzio wa Kanisani, kwenye J2 ya Ibada ya Krismas
  • J2 hiyo wakati mhusika anaingia ndani ya uzio wa Kanisa, kitendo hiki kilijirudia kati ya gari lake na lile la shemasi wa kike, walipokuwa wapo kwenye parking zilizo ndani ya uzio wa Kanisa
  • Vile vile, iIlikuwa ni mara ya pili kwa mhusika kumbaini shemasi huyu akiwa anafanya pilika pilika za namna hiyo.
  • Mara ya kwanza ilikuwa ni siku ile ambayo shemasi wa kike alikuwa anaendesha gari kwa kusimamasimama wakati wa kuingia huku mhusika akiwa anamfuata kwa nyuma
Note: Kile ambacho mhusika amekuwa akikiona kwenye matukio yote yaliyokuwa yakiambatana na upumbavu wa aina hii, Ilikuwa kila inapotokea mambo haya yanafanywa na wapumbavu hawa, ajali nyingi sasa za barabani zilikuwa zinatokea

Vile vile baada ya Ibada ya J2 ya Krismas kumalizika siku hiyo, kitendo hicho kilikuja kujirudia tena kati ya gari la mhusika na la MR X wakati wa kutoka, tukio ambalo mhusika aliwahi kuleta taarifa zake kupitia post hii hapa #1,316

Vile vile kwenye J2 ambayo PRF alisababisha tukio kwa mhusika Kanisani; PRF alikuwa pia anali-scan gari la mhusika siku hiyo; na kuanzia pale hadi J2 ya wiki iliyopita, angalau kila J2 gari la PRF limekuwa liki-scan gari la mhusika; wawili hawa wanapokuwa wote wamehudhuria Ibada Kanisani
  • Kilichomsadia mhusika kuweza kupata data za uhakika zaidi kuhusiana na hawa scanners ni baada ya mhusika kuwa ameonyesha dalili za kutokujua chochote kabisa kuhusiana na mambo haya yaliyokuwa yanaendelea ya ku-scan gari lake
  • Kitendo hiki kilimsaidia kuhakiki utafiti wake pia kwa mke wa Kiongozi ambaye aliwahi kusababisha mhusika akatoboa taa za nyuma za gari lake
Mama huyu naye amekuwa akiifanya kazi hii kwa ufasaha, tangu kipindi kirefu nyuma; assuming lingekuwa ni swala linalohusiana na mambo ya lugha

Kwenye post hii hapa #1,313 ambayo mhusika aliwahi kuongelea mambo ya DOPPLER EFFECT, J2 hiyo gari la PRF lilikuwa mbele ya lile la mhusika na hviyo PRF alikuwa akili-scan pia gari la mhusika siku hiyo
  • Tangia pale hadi leo imekuwa kawaida sana kwa siku hiz kwamba muda wa kuingia kanisani kati ya PRF na mhusika umekuwa ukigongana; na hivyo kupelekea aidha magari yao kupishana nje ya uzio wa Kanisa kabla ya Ibada ya pili kuanza, au wawili hawa kufanikiwa kuingiza gari zao ndani ya uzio wa Kanisa kwa wakati mmoja; muda mfupi kabla ya Ibada ya pili kuanza
  • Aidha, PRF amekuwa pia na utaratibu wa kupaki gari lake katika namna ambayo litatengeneneza umbo la “T” kati yake na lile la mhusika; (mkia wa T (yaani I) ukiwa ndiyo gari la PRF; huku chini ya T ikiwa ndiyo mbele ya gari hilo na kichwa cha T (yaani --) likiwa ndiyo gari la mhusika)
  • Hivyo basi, PRF amekuwa angalau kila J2 akifanikiwa kuliscan gari la mhusika kwa kutumia SIDE MIRRORS na pia DRIVING mirror; za gari lake
  • Ikumbukwe kuwa vioo vyote hivi ni vioo vyenye lens; kama vilivyo vioo vya kwenye darubini au microscopes, pamoja na imaging devices zingine
  • Mbali na hilo, driving mirror ya gari la mhusika iliwahi kubadilishwa kwa hujuma (pamoja na handles za milango na usukani)
………………….inaendelea
 
ALICHOKUJA HATIMAYE KUKIBAINI MHUSIKA KUHUSIANA NA MASWALA HAYA YA MAPEPO YA KWENYE VIOO BAADA YA UTAFITI WA KUTOSHA

Madhabahu ya vioo hivyo iko kwenye vioo vya darubini zilizo kwenye maabara ya MR X, jirani kabisa na ofisi ya mhusika

  • Mbali na vioo vya microscopes, vioo vingine vikubwa mithili ya vile ya kwenye dressing table za nyumbani, viliwahi kuongezwa kwenye washrooms za wanaume wakati wa ukarabati wa jengo
  • Vioo hivi navyo pia vimekuwa vikitumika kama carriers wa mapepo hayo
Hata hivyo kuna wakati fulani mapepo huwa yanakimbia kutoka kwenye vioo hivyo na ili kuyarudisha inabidi utaratibu ufanyike wa kwenda kuyachukua kutoka sehemu nyingine

  • Mapepo hayo huwa yanakimbia kwa sababu ya mazuio ambayo huwa anayaweka mhusika na ili kuyarudisha, utaratibu lazima ufanyike wa kumhusisha yeye kwenda kuyachukua na kuyaleta
  • Pasipo kumhusisha mhusika, mapepo hayo hayawezi tena kurudi kwa sababu ni yeye ambaye huwa anakuwa ameyafukuza
  • Vile vile, mapepo hayo huwa yanasambazwa kwa njia ya macho ya mwanadamu na miwani ya macho pia, na kwa kutumia watu ambao huwa wanapata nafasi ya kutumia darubini zilizo kwenye maabara ya MR X ambao walio wengi wao ni wanafunzi
  • Wanafunzi huwa wanabebeshwa mapepo hayo na hatimaye kuanza kuyasambaza kila mahali kwa watu wengine pasipo wao kuwa na ufahamu huo
  • Mapepo hayo hanapokuwa yapo yamekaa sawa kwenye darubini za maabara ya MR X, MR Xuwa huwa anayatumia kumshambulia nayo mhusika pia
Kwa msomaji wa siku zote wa uzi huu, watagundua kuwa matukio mengi sana ambayo huwa yanamsibu mhusika pindi anapokuwa yupo ofisini, karibia mara zote yamekuwa yakiwa engineered kutokea kwenye chumba hicho cha darubuni kilicho jirani kabisa na ofisi ya mhusika.

Machache sana ya matukio hayo ni kama haya yaliyotajwa kwenye posts hizi:#1,333 #1,321 #1,218 #1,221 #1,011 #950 #809

SCOPE YA UTENDAJI WA MAPEPO HAYO

AMapepo hayo huwa yanafanya kazi kwenye vioo vyote bila kujali kioo kiko wapi na ni cha aina gani

Aidha, mapepo hayo yanafanya kazi pia kwenye vifaa vyote ambavyo huwa vinatunmia vioo, hadi kwenye vile ambavyo ni medical kama vile darunnbini za kwenye maabara za hospitalini kwa ajili ya wagonjwa

“Kuna tetesi kuwa mgonjwa akienda Hospitali fulani harudi……….”

……….atarudije salama wakati vifaa vya wataalamu viko infected kiasi kwamba badala ya wataalamu kuona kitu sahihi kwenye darubini wanaona madudu?

Pepo huyu anaweza kuwa alifanya kazi pia kwenye kioo cha ndege ambayo shujaa Majaliwa alizuiwa asikivunje na hivyo kupelekea marubani hao kupoteza maisha. Marubani hao walishindwa kuiona RUNWAY, na hiyo maana yake ni kwamba vioo kilihusika

Kwa kifupi tu ni kwamba katika mazingira haya, kwa vyombo vya moto ambavyo huwa vinatembea ardhini, vyombo hivi huwa vinakuwa na mashambulizi kuanzia kwenye

  • Mitikisiko yake barabarani
  • Vioo vyake
  • Speed zake
  • Relative speed kati yake vyombo vya usafiri vyenyewe; na pia kati yake na vitu vingine visivyokuwa vyombo vya usafiri
  • Miungurumo yake
  • Doppler effect ya miungurumo yake
  • Macho ya madereva wanavyoendesha vyombo hivyo
  • n.k.; orodha ni ndefu mno
Mbali na hayo vyombo hivi vinakuwa pia na uwezo wa kurusha mapepo kwa mtu yeyote anayeviona vikiwa vinapita vikikimbia barabarani

…………………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 23RD FEBRUARY 2023

MFANANO KATI YA TUKIO LA KUFUNGWA KWA GETI LA MLANGO WA OFISI YA MHUSIKA WIKI JANA NA TUKIO JINGINE AMBALO LILIWAHI KUTOKEA MWAKA JANA MWEZI NOVENBER 2022 (MWAKA JANA)


Tukio la mwanzoni mwa mwezi Novemba mwaka jana, na amballo lilimuhusisha pia BINTI MKUU WA IDARA nyingine (tumwite BMW), maelezo yake kwenye posts hizi hapa: #1,217 #1,218 #1,220 #1,221

Tukio hili lilikuwa triggered na SENIOR MSTAAFU WA KIUME namba mbili (SMK-2) ambaye alikuwa na darasa kwenye chumba kilicho jirani na ofisi ya mhusika, huku likiwa ndiyo darasa lake la kwanza kabisa tangu mhula wa wanafunzi ulipoanza kwa mwaka wa masomo wa 2022/2023

MFANANO WA KIPEKEE ULIOPO KATI YA TUKIO HILO LA ZAMANI NA LILE LA J3 WIKI JANA

Kwa namna yalivyoratibiwa, matukio haya mawili yanaonekana kufanana sana kwa namna mbalimbali kama ifuatavyo

Tukio la wiki jana ambalo lilikuwa limeratibiwa kutokea Kanisani, huku likitumia code mbili za “MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME” pamoja na “MITIKISIKO YA KWENYE ARDHI” (generator la umeme lililowaka mara mbili kanisani baada ya umeme kukatika), halikuweza kufanikiwa J3 ya wiki jana

  • Baada ya tukio hilo kufeli, papo kwa papo kukawa na utekelezaji wa PLAN B kesho yake J4
  • Kama PLAN A ingefanikiwa, basi PLAN B isingekuwepo J4
  • Vivyo hivyo kwa tukio la zamani ambalo lina maelezo yake kwenye posts zilizotajwa hapo juu
Tukio la zamani nalo pia lilikuwa na immediate PLAN B na ambayo ilitekelezwa siku hiyo hiyo na mtekelezaji wa plan hiyo alikuwa ni yule binti BMW; ambaye mhusika alimkuta akiwa amesimama njiani kwenye veranda wakiwa pamoja na bwana mwingine ambaye alionekana kuwa hakuwa mwanafunzi wala mfanyakazi wa taasisi

NAMNA PLAN A NA B ZA TUKIO HILO LA NOVEMBA 2022 ZILIVYOKUWA ZIMEPANGWA KUTEKELEZWA

Baada ya SKM-2 kumaliza darasa lake pale chumba jirani jioni hiyo, wakati anatoka SKM-2 alimsemesha mhusika akiwa na nia ya kum-trigger ili ikiwezekana, baadaye mhusika aingie kwenye chumba hicho akiwa peke yake; ukizingatia kuwa SKM-2 alicaha mlango ukiwa wazi

Vile vile kwenye tukio la wiki jana, yupo pia mtu mwingine ambaye alifanya kazi ya kum-trigger mhusika na kupelekea aingie kwenye chumba hicho jirani kwa hiari yake mwenyewe

Baada ya mhusika kuwa ameingia humo, mwenyeji alichukua jukumu la kutoka nje huku akimwacha mhusika akiwa peke yake kwenye chumba hicho

Tukirudi tena kwenye tukio la Novemba 2022, baada ya mhusika kutokuingia kwenye chumba jirani, baada ya kutoka nje ya jengo, pale nje alienda akakutana na BMW wakiwa pamoja na mtu mwingine na walikuwa wamesimama njiani kwenye veranda/ sidewalk

lIlijulikana kabla kuwa lazima mhusika angepita hapo kutokana na uelekea wa eneo ambalo alikuwa amepaki gari lake siku hiyo

KILICHOTOKEA SIKU HIYO BAADA YA MHUSIKA KUWAKUTA BMW NA JAMAA YAKE WAKIWA WAMESIMAMA NJIANI

Baada ya mhusika kuwakuta mahali pale watu hao, yaani BMW na jamaa yake kwanza aliwasalimia.

  • Mbali na kuwasalimia, mhusika ali-share nao pia mitikisiko ya kwenye ardhi iliyokuwa inatokana na nyayo za miguu yake alipokuwa akiwapita anatembea
  • Zaidi mhusika aliwaona kwa kwa kutumia macho yake ambayo yalikuwa tayarai yameshachungulia kwenye kile chumba cha Darubini za MR X
Ikumbukwe kuwa alternative RENEWAL ya chumba hicho, kama mapepo wapo around na hawajakimbia moja kwa moja, ni kwa mtu kuangalia tu kwenye chumba hicho kupitia vioo vya madirisha au mlango. Hata watu wale wa mwanzo waliokuwa wanafanya ziara za kupita kwenye maabara, walikuwa wanachungulia tu, hawakuwa wanahitaji KUFANYA RENEWAL kwa kuingia humo

Kwa hiyo PLAN B ya siku hiyo ilikuwa ni kwamba kama mhusika hataingia kwenye chumba hicho, basi angalau atachungulia na hicho ndicho kilichotokea

Baada ya kutokea hivyo, basi kule nje BMW akawa yuko standby pale njiani akimsubiri sasa kwa ajili ya utekelezaji wa PLAN B, na hicho nacho kilitokea

Ili BMW aweze kuweza kutekeleza plan hiyo pasipo kutiliwa mashaka, alihitaji angalau kampani ya mtu mwingine wa pili wa kumfanya aendelee kusimama pale kwenye veranda akiwa anamsubiria mhusika, vinginevyo angeweza kuonekana kama chizi, iwapo angesimama pale kwa muda wote huo akiwa peke yake na nageweza kutiliwa mashaka

Kwa hiyo RENEWAL ilikuwa inahitajika immediately siku hiyo kwa sababu ilijulikana kabla kuwa kama PLAN A isingeweza kutekelezeka, maana yake ni kwamba maandalizi mengine mapya yalikuwa yanahitajika kuanzia muda huo na kuendelea

Vile kwenye tukio la J3 wiki jana, baada ya PLAN A kushindwa kutekelezeka, PLAN B ilifuata immediately J4, ambayo ilikuwa ni kufunga geti la mlango na katika namna ambayo mhusika angeweza kupambana nao na asiweze kuufungua

HITIMISHO

Kwa matukio yote haya mawili; PLAN B ya kila tukio ilihitajika kwa ajili ya kurekebisha failure iliyokuwa imetokana na PLAN A ya kila tukio, ikiwa ni pamoja na kufanya diagnosis ya mahali gani kwenye kila PLAN A ya tukio kulikuwa na mianya iliyosababisha failure hizo

Kwa hiyo mfanano huu ndiyo uliodhihirika kati ya tukio la zamani na la wiki jana.

Kwenye tukio lile la Novemba 2022, siku hiyo, BMW alikuwa amekuja makusudi kwa ajili ya kukaa pale njiani akisubiria PLAN A iweze ku-excute na kama sivyo, basi mhusika na BMW wakutane pale njiani kwenye sidewalk, ili BMW aweze kufanya RENEWAL ya kile alichokuwa anakihitaji

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU

KUHUSIANA NA BINTI MKUU WA IDARA (BMW)


Kwenye tukio la mwezi Novemba 2022, ilikuwa ni mara ya pili sasa kwa BMW kuonekana kwenye eneo ta tukio idarani kwa mhusika, huku akiwa katika harakati za kutekeleza PLAN B, mara tu baada ya PLAN A kufeli

Mara ya kwanza ilikuwa ni kwenye siku aliyowahi kupigiwa simu na MKUU WA MAJOR UNIT, kuja kusimamia uchaguzi wa awali wa Mkuu wa Taasisi zilizoko Nzega na Dodoma

KUHUSIANA NA MSTAAFU MWENYE MAMLAKA YA KUSHUGHULIKIA MASLAHI YA WALE AMBAO BADO HAWAJASTAAFU (…“nimepita tu kukusalimia”)

Mbali na hilo, mstaafu ambaye amekuwa akipita ofisini kwa mhusika na kumwambia kuwa “MIMEPITA TU KUKUSALIMIA”, aliwahi siku moja kugongana na ujumbe muhimu sana ndani ya jengo uliokuwa unaongozwa na Afisa Tawala wa Taasisi ambaye kwa sasa ni mstaafu; amestaafu mwezi Desemba mwaka jana

  • Siku hiyo, ujumbe huu nao pia ulikuwa unapita kwenye maabara na ulifika na kuchungulia tu kwenye maabara ya MR X
  • Baada ya ujumbe huu kuondoka, mhusika aliamua kwenda kupumzika kwenye kijiwe chake cha siku zote
  • Muda si mrefu mstaafu ambaye huwa anafika kumsalimia mhusika ofisini, aliingia na kwenda kusimama pembeni alipokuwa amesimama mhusika; huku ujumbe uliokuwa unapita kwenye maabara ukiwa ndiyo umetoka tu nje ya gate
Baada ya mhusika kumuona mstaafu huyu siku hiyo, alimsalimia tu na kuondoka pale akarudi ofisini kwake, japo muda wake wa kupumzika pale ulikuwa haujatimia kwa sababu zilikuwa ni dakika chache tu tangu altoke ofisini kwake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 24TH FEBRUARY 2023

NYONGEZA MUHIMU:

KUHUSIANA NA CODE YA MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME (codenamed MWT)


Kwenye code hii ambayo mara nyingi waumini wamekuwa wakiombwa wasimame kwanza halafu ndiyo wapige makofi; tendo la waumini kusimama wakati wa kupiga makofi halina maana nyingine yoyote zaidi ya kujaribu ku-foolproof code hiyo ili ufanyaji kazi wake usije ukajulikana kirahisi na waumini walio wajanja

USHAHIDI: NAMNA AMBAVYO MARA ZOTE KM-A HUWA ANAWAKARIBISHA WATUMISHI WOTE WA MUNGU WAGENI AMBAO HUWA WANAFIKA HAPO KANISA A KWA AJILI YA KUTOA HUDUMA KWENYE IBADA KUU ZA SIKU ZA J2

Imekuwa kawaida kwamba pale imapotokea kuna mtumishi wa Mungu mgeni amebahatika kufika hapo Kanisa A kwa ajili ya kuhudumu kwenye Ibada kuu ya J2; mara zote KM-A huwa anapanda juu madhabahuni kwa ajili ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na kuabudu; kabla ya kuanza kwa huduma kuu ya neno la Mungu

  • Baada ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu, KM-A huchukua nafasi ya kumtambulisha mtumishi mgeni kwa waumini ikiwa ni pamoja na kumkaribisha rasmi madhabahuni tayari kwa mtumishi huyo kuanza huduma
  • KM-A akishamkaribisha mgeni, automatically waumini huwa wanapiga makofi ya kumshangilia mgeni, huku wakati huo, mgeni huyu akiwa anapandisha madhabahuni
  • Mgeni akishafika juu madhabahuni; KM-A huwa anatoa udhuru kwamba makofi ya waumini kwa mgeni huyo yalikuwa hayatoshi kwa sababu wakati yanapigwa wengine walikuwa wanaandaa note book zao au walikuwa wanachukua kalamu kwenye handbag zao
Baada ya kusema hayo, KM-A huwa anwaomba waumini wapige makofi mengine tena, kitu ambacho waumini huwa wanaitikia

Waumini huwa wanapiga makofi hayo ya awamu ya pili wakiwa wamekaa, na KM-A huwa wala hawahitaji wapige makofi hayo wakiwa wamesimama

Incidence hii inatoa proof kuwa makofi hayo si lazima yapigwe huku waumini wakiwa wamesimama, isipokuwa condition muhimu ni kwamba yanatakiwa yapigwe na majority ya waumini huku KM-A akiwa amesimama juu madhabahuni

KM-A huwa anawaomba waumini waliokaa wasimame kwa ajili tu ya kuongeza idadi ya wapiga makofi.

Kwa upnade wake mhusika, yeye hakumbuki ni lini mara mwisho aliwahi kupiga makofi hayo, isipokuwa kitu pekee anachokumbuka ni kwamba aliacha kupiga makofi hayo tangu siku alipong’amua kuwa yalikuwa na kitu kingine cha ziada ndani yake; tangia hapo hakuwahi kuyapiga tena hadi leo

KUHUSIANA NA BINTI MKUU WA IDARA (BMW)

……………………inaendelea
 
KUHUSIANA NA BINTI MKUU WA IDARA (BMW)

……………………inaendelea


Kuna huyu staff anaitwa BOSS XXX; huyu ndiye mtaalamu mwingine wa matetemeko ya ardhi, aliyewahi kuhamia kwenye IDARA ile nyingine inayoongozwa na BMW

MAELEZO YA UTANGULIZI

Katikati ya mwezi August 2022, muda mfupi kuelekea kwenye tarehe ya mwanzo wa likizo ya mwaka ya mhusika, BOSS XXX alifika ofisini kwa mhusika na kumuomba mhusika aweze kumsaidia kazi fulani aliyokuwa nayo, na mhusika alikubali

  • Kazi hiyo ilikuwa inahusiana na uchakataji wa data za matetemeko ya ardhi
  • Baada ya maongezi yao, BOSS XXX aliahidi kumletea mhusika kazi hiyo ndani ya siku chache zijazo kabla ya kuanza kwa likizo yake
Hata hivyo baada ya siku hiyo, BOSS XXX hakuonekana tena ofisini kwa mhusika hadi ilipofika tarehe ya mhusika kuanza likizo; na hatimaye mhusika aliondoka kwenda likizo bila kuwa ameiona kazi aliyokuwa ameahidiwa kuletewa na BOSS XXX

HADI KUFIKIA MUDA HUU, UTAFITI WA MHUSIKA UNAMWONYESHA KUWA SIKU HIYO, BOSS XXX HAKUWA AMEKUJA KIOFISI OFISINI KWA MHUSIKA BALI ALIKUWA NA SHUGHULI ZAKE ZINGINE TU

Baada ya BOSS XXX kwenda kimoja hatimaye mhusika alikuja kugundua kwa kutumia utafiti wake kuwa kilichowahi kumleta BOSS XXX ofisini haikuwa kazi aliyodai kuwa anataka kupata msaada kutoka kwake (mhusika) bali ilikuwa ni kwa ajili ya kufanya ACTIVATION YA WEAPON nyingine mpya ilichokuwa imehifadhiwa kwenye yale masanduku ya vifaa vya matetemeko, ili ianze kufanya kazi rasmi kuanzia siku hiyo na kuendelea; ikiwa ni pamoja na katika kipindi chote ambacho mhusika atakuwa yupo likizo, na pia hata atakapokuwa amerudi kutoka likizo.

Kwa lugha ya siku zote ambayo mhusika amekuwa akiitumia, siku BOSS XXX alipofika ofisini kwa mhusika, alikuja kwa ajili ya ku-launch weapon nyingine mpya iliyokuwa imehifadhiwa kwenye masanduku ya vifaa vya matetemeko

BAADHI YA MATUKIO MUHIMU YALIYOTOKEA BAADA YA BOSS XXX KUFIKA OFISINI KWA MHUSIKA NA HATIMAYE KUONDOKA KIMOJA BILA KUMLETEA KAZI ALIYOKUWA AMEAHIDI KUWA ANGEMLETEA

Ikumbukuwe kipindi mhusika alipokuwa anakaribia kuanza likizo yake ya mwaka 2022;

  • Akiwa bado anasubiria barua ya ruhusa ya likizo hiyo, kwenye ile wiki ya mwisho kabla ya likizo yake kuanza, mhusika alilazimika siku moja kupitia ofisi za Central Administartion (CA) kuhakiki kama kweli maombi ya likizo yake yalikuwa kwenye mchakato ama la
  • Huko CA alihakikishiwa kuwa maombi hayo yalikuwa yanafanyiwa kazi na kwamba barua ya ruhusa ingetoka ndani ya wiki hiyo hiyo kabla ya Ijumaa; huku siku hiyo ikiwa ni J4
Vile vile, akiwa yupo maeneo ya CA siku hiyo, mhusika alimuona BMW akiwa anatoka ndani ya mojawapo ya ofisi iliyo jirani na ofisi zile ambazo mhusika alikuwa ameenda kufuatilia majibu ya likizo yake

  • Baadaye ilikuja kuonekana kuwa, ilitarajiwa vile vile kuwa siku hiyo, mhusika naye angeweza kuingia ndani ya ofisi hiyo hiyo ambayo alimuona BMW akiwa anatoka humo
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa ofisi hiyo ndiyo ile ambayo hapo baadaye, ilikuja kujulikana kuwa mmojawapo wa wahusika ambao wamekuwa wakishughulikia madai yake (mhusika) ya miaka mingi, anakaa humo
Ilikuwa ni kwa bahati nzuri tu kwamba siku hiyo mhusika hakuwa na ratiba ya kufuatilia kitu kingine tofauti na likizo yake na hivyo hakuweza kuingia kwenye ofisi hiyo ambayo muda mfupi uliokuwa umepita, aliwahi kumuona BMW akitoka humo

WAKATI HUO HUO; HUKO KANISANI KWA KM-A

Huko KANISANI nako, KM-A naye kwa mara ya kwanza aliamua kuanza rasmi likizo ya wiki kadhaa kuanzia tarehe 29/08/2022; wiki moja kabla ya tarehe ya kuanza kwa likizo ya mhusika

Chances ni kwanza haya yote yalikuwa ni maandalizi ya KM-A kwa mhusika, kwa sababu KM-A alikuwa na uhakika kuwa mhusika alikuwa anaondoka ofisini kwenda likizo, huku akipaacha pakiwa safi; kwa kazi iliyokuwa imefanywa na BOSS XXX siku kadhaa nyuma alipofika ofisini humo

Maelezo zaidi kuhusiana na BOSS XXX yatafuata baadaye wakati mhusika atakapokuwa ameanza kuongelea code ya MITIKISIKO YA ARDHINI

BAADA YA MHUSIKA KUONDOKA KWENDA LIKIZO NA HATIMAYE KURUDI TENA OFISINI; BAADA YA KLIKIZO KUMALIZIKA


Baada ya kutoka likizo, siku mhusika anakwenda kuripoti jengo la CA, alielekezwa kwenda ofisi ile ambayo aliwahi kumuona BMW akitoka, kabla ya kwenda likizo; yaani kwenye siku ile ambayo alikuwa anafuatilia ruhusa ya likizo ambayo ilikuwa inaonekana ingeweza kuchelewa

  • Hata hivyo, mhusika hakufanikiwa kumkuta mtu aliyeelekezwa kwake, isipokuwa office mate wake tu.
  • Office mate huyu ndiye yule aliyetaka kutoka ofisini na kumuacha mhusika peke yake, kwa udhuru kuwa alikuwa anatoka nje kidogo kwa ajili ya kuongea na simu, kitu kilichopelekea mhusika naye kutoka nje ghafla muda huo huo ambao mwenyeji wa ofisi hiyo aliamua kutoka nje
KILICHOKUWA KIMEPELEKEA MHUSIKA AINGIE NDANI YA OFISI HIYO AMBAYO HAPO KABLA ALIWAHI KUMUONA BMW AKITOKA HUMO

Ni kwamba kabla mhusika hajaingia kwenye ofisi hiyo siku hiyo, awali mhusika alikuwa amelazimika kufika pia ofisini kwa msarifu kutokana na sababu kuu mbili:

  • Kwanza; malipo ya likizo hiyo iliyokuwa tayari imemalizika yalikuwa bado hayajalipwa hadi muda huo anarudi; na actually hayajalipwa hadi leo
  • Pili; kabla hajaenda likizo, barua ya likizo yake ilichelewa kwa siku kadhaa; na maelezo ya kuchelewa huko yalikuwa yametolewa kuwa file lake lilikuwa linahitajika pia kwenye ofisi nyingine iliyokuwa inashughulikia yale madai yake mengine ya miaka mingi
Kwa hiyo kwa sababu mhusika aliacha pia mchakato wa madai yake ya siku nyingi ukiwa unaendelea, baada ya kurudi, alitamani pia kujua status ya mchakato huo, na hapo ndipo alipopewa maelekezo ya kwenda kuingia kwenye ofisi hiyo ambayo wiki kadhaa nyuma aliwahi kumuona BMW akitokea humo

Mengi ya aliyoandika hapa mhusika ukiondoa ile coincidence kati ya likizo yake na ile KM-A ikiwa ni pamoja na swala la BOSS XXX; si taarifa ngeni sana kwa sababu tayari alishawahi kuzileta humu jukwani siku za nyuma baada ya kuwa amerudi kutoka likizo

KILE AMBACHO HASA KIMEPELEKEA MHUSIKA KULETA TAARIFA HIZI MUDA HUU

Ni kwamba mhusika ameona kuwa kuna taarifa moja ambayo inaweza ikawa ni coincidence inayoangukia kwenye taarifa za zamani ambazo tayari zipo humu jukwaani, huku taarifa hiyo akiwa hajawahi kuiongellea hata mara moja. Taarifa hii nayo inamhusu pia BMW

BAADA YA KURUDI KUTOKA LIKIZO, MHUSIKA ALIWAHI KUMUONA BINTI MWENYE GARI AINA YA VANGUARD NYEUSI (AU RAV 4 NYEUSI; ILE INAYOFANANA NA VANGUARD) AKIWA YUKO CALCULATED KUMFUATA KWA NYUMA

Mhusika aliwahi kumuona binti kwenye parking akiwa anajiandaa kuondoka na gari lake lakini kwa bahati mbaya hakuwahi kumfahamu binti huyo alikuwa nani kwa sababu sura yake ilikuwa ni ngeni.

Hata hivyo kwa dokezo muhimu tu hapa ni kwamba kama BMW anayo gari yenye sifa zilizotajwa hapa, basi atakuwa alikuwa ni yeye

NAMNA TUKIO LILIVYOTOKEA

Siku hiyo mhusika alikuwa amepaki kwenye parking ambazo ziko opposite na jengo lile zilimo ofisi za vyama vya wafanyakazi, huku gari yenye sifa zilizotajwa hapo juu, yenyewe ikiwa imepaki kwenye parking za jengo hilo, yaani upande ule wa pili wa barabara

  • Baada ya muda wa kazi kumalizika, mhusika aliondoka ofisini na kiuelekea kwenye parking
  • Baada ya mhusika kufika kwenye parking, upande wa pili alimuona binti akiwa anajiandaa kuingia kwenye gari ili aondoke, ila katika namna ambayo alikuwa anategea tegea kidogo kiasi cha kuonekana kama kuna mtu ambaye alikuwa anamsubiri
Akiwa maeneo hayo, mhusika aliingia kwenye gari lake na immediately aliwasha gari na kuanza kuondoka; na kwa kasi kiasi

  • Muda huo huo, binti huyu naye aliingia kwenye gari na hatimaye naye kuanza kuondoka kwa kasi kidogo, akimfuata mhusika kwa nyuma
  • Baada ya mhusika kufika njia panda na kukata kushoto, hakuweza kumuona tena binti huyu, ila waliongozana kwa umbali wa takribani mita 300
HITIMISHO

Kama BMW anayo gari yenye sifa zilizotajwa hapo juu, basi atakuwa alikuwa ni mweyewe.

Kwa siku hiyo, atakuwa alikuwa anafanyia kazi vioo (side mirrors and driving mirror) ikiwa ni pamoja na mitikisiko ya vitu vitembeavyo chini ardhini

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BY THE WAY: INCIDENCE MOJA AMBAYO HUWA KILA AKIIKUMBUKA INAMCHEKESHA MHUSIKA HADI LEO
Siku moja alienda Super Market kununua bidhaa. Wakati anatafuta bidhaa kwenye zile bins za bidhaa; akamuona mama mmoja wa makamo naye akiwa maeneo yale
  • Baada ya mhusika kuwa amechagua bidhaa zake na hatimaye kutoka huko na kuelekea kwenye que ya kulipia bidhaa; nyuma yake kwenye mstari aliokuwa akamuona tena mama waliyekuwa naye kwenye bins
  • Baada ya kumuona mama, mhusika akataka afanye test ili ajue kama mama yule alikuwepo pale kwa coincidence tu au ilikuwa ni kwa calculations
Mhusika akaamua kutoka kwenye que hiyo na kuhamia kwenye que nyingine iliyokuwa jirani
  • Mama naye akahama tena akimfuata mhusika
  • Baada ya mama kuhamia kule alikohamia mhusika; mhusika akaamua kuhama tena huko na kurudi tena kwenye que ile ya awali
Mama hakuweza tena kumfuata mhusika kwa sababu aliona aibu. Mhusika akawa amefanikiwa kumhamisha mama huyu kwenye foleni yake aliyokuwa amejipanga tangu awali
Vile vile kwenye taarifa hiyo hapo juu, baada ya mhusika kumuona binti kwenye parking akiwa anasitasita kama vile alikuwa akimsubiri mtu, mhusika aliamua kuondoka pale kwa kasi kidogo akijua kuwa kama binti alikuwa anasitasita pale akiwa anamsubiria yeye, basi kulikuwa na uwezekano wa yeye naye pia kuondoka kwa kasi inayofanana na aliyoondoka nayo mhusika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 27TH FEBRUARY 2023

CODE YA MITIKISIKO YA KWENYE ARDHI (tuiite MYKA) NA BOSS XXX NA AMBYO IMEKUWA IKIFANYA KAZI HASA KWA KUTUMIA LOCATIONS

KILE AMBACHO HASA BOSS XXX ALIFANYWA BAADA YA KUWA AMEFIKA OFISINI KWA MHUSIKA NA KUMWAHIDI KUMLETEA KAZI; UKIKIHUSIANISHA PIA NA MATUKIO YALIYOFUATA BAADA YA AHADI YA KAZI HIYO KWA MHUSIKA


Kwenye maelezo yaliyopo hapo juu kuhusiana na BOSS XXX, mhusika alikuwa bado hajaeleza ni kazi gani hasa ambayo mtu huyu alitaka apate msaada kutoka kwa mhusika

Kazi hiyo ilikuwa ni ya ku-LOCATE matetemeko ya ardhi, kutoka kwenye data ambazo BOSS XXX alidai kuwa alikuwa nazo

Kwa utafiti wa kina wa mhusika hadi kufikia muda huu, ni kwamba baada ya BOSS XXX kuwa ameongea maneno hayo akiwa yupo ofisini kwa mhusika, kuanzia pale alirusha pepo kwenye parameters zote za mitikisikio ya kwenye ardhi, KUPITIA VIFAA VYA MATETEMEKO VILIVYOKUWA VIMEHAFIDHIWA KWENYE MASANDUKU YALYOKUWA OFISINI HUMO; huku priority ya ufanyaji kazi wa pepo huyo ikiwa hasa ni kwenye LOCATIONS za ardhi au ARDHI; na hivyo LOCATIONS za vitu vyote vilivyo juu ya ARDHI, (au hata chini ya ardhi) kunzia watu, vitu na viumbe wengine wasiokuwa binadamu ikiwa ni pamoja wanyama na mimea

MWAMBA WA ARDHI WA DUNIA NZIMA NI MMOJA TU NA HIVYO BOSS XXX ALIRUSHA PEPO DUNIA NZIMA SIKU HIYO

Ikumbukwe kuwa mwamba wa ardhi unaoibeba dunia nzima ni mmoja tu, na hivyo dunia nzima imebebwa na mwamba mmoja.

Tuseme kwa mfano matetemeko yaliyotokea hivi karibuni kule Ulaya, vifaa vyote vya kupima matetemeko ya ardhi popote pale vilipo duniani vikiwemo vilivyopo hapa nchini kwetu, vyote kwa ujumla wake viliweza kuyarekodi matetemeko hayo. Tofauti pekee kati ya kule matetemeko yalikotokea na huku kwetu (na sehemu zingine) ni kwamba huku kwetu hayakuwa na madhara kwa sababu ya umbali, ila mwamba ambao tuko juu yake ulitikiswa pia kwa sababu mwamba ni mmoja tu dunia nzima

BAADHI TU YA YALE YALIYOJIRI BAADA YA BOSS XXX KUWA AMERUSHA PEPO KWENYE “LOCATIONS”

Kwa kuanzia, kule kanisani kwake na mhusika, KM-A wa KANISA A aliamua kuchukua likizo kwa mara ya kwanza. Nia hasa ya likizo hiyo ilikuwa ni kubadilisha LOCATION

Hii inamaanisha kuwa ANY CHANGE OF LOCATION, ilikuwa inarusha pepo kwenye LOCATION ZOTE MBILI za mtu/ kitu husika, yaani ile ya awali (source location) na pia ya sasa (destination/ current location)

  • Kwa hiyo, baada ya KM-A kuchukua likizo, aliacha pepo kwenye sehemu aliyotoka (KANISA A) ikiwa ni pamoja na kwenye nafasi yake ya kimamlaka (kwa mtu aliyekuwa ameikaimu nafasi yake baada ya yeye kuondoka)
  • Vile vile baada ya kurudi kutoka likizo, Kaimu wa KM-A naye pia alibadilisha LOCATION kwa kuchukua likizo kwa mara ya kwanza
Mbali na hayo tuseme kwa mfano pale Kanisa A kujapotokea dharula tuseme ya:

  • Kuhamishwa viti kutoka kwenye KANISA JIPYA na kupelekwa kwenye UKUMBI WA SULEMAIN, kitendo hicho kilikuwa kinarusha pepo kwenye LOCATIONS zote
  • Ibada kuhama kutoka kwenye KANISA JIPYA na kufanyikia kwenye UKUMBI WA SULEMAIN, kitendo hichio kilikuwa kinarusha pepo kwenye LOCATIONS zote; na mifano ni mingi mno!
KUHUSIANA NA VITOTO RAFIKI YAKE NA MHUSIKA VILIVYOWAHI KUMTEMBELEA OFISINI KWA SIKU MBILI MFULULIZO ZILIZOFUATANA

Kwa wasomaji wa siku zote wa uzi huu, watakumbuka pia kuwa kwenye siku ile ya pili ya ugeni wa vitoto rafiki yake na mhusika vilipofika kwa siku ya pili ofisini kwa mhusika, na hatimaye mhusika kuamua kupandisha navyo juu kwenda kuvinunulia karanga zilizokuwa zikiuzwa na Katibu Mhutasi wa Mkuu wa Idara (KMWI); tofauti na ilivyokuwa kwenye siku ile ya ujio wa kwanza, KMWI naye pia hakuwepo ofisini siku hiyo ya pili

  • Kwa hali hiyo, KMWI alikuwa amekaimisha nafasi yake kwa mtu mwingine na hivyo KMWI alikuwa amebadilisha LOCATION
  • Ikumbukwe kuwa wakati vitoto hivyo vinakuja jana yake (kwenye siku ile ya kwanza) KMWI alikuwepo ofisini
  • Mbali na vitoto hivyo, mhusika alianza likizo akiacha MWI na MMU wakiwa wamesafiri na kukaimisha nafasi zao, na alirudi akakuta MWI akiwa bado hajarudi huku kukiwa na CHAIN ya makaimu waliokuwa wakikaimishana Ukuu wa Idara katika namna ambayo ilifikia hatua ikawa si rahisi kujua ni nani alikuwa Kaimu MWI kwa sababu ilifikia kipindi watu wakawa wanakaimishana hata kwa mdomo tu
The worst case scenario ya ukaimishanaji huu ilikuja kutokea pale BOSS XX (siyo BOSS XXX) alipokaimishwa na Kaimu mwenzake huku BOSS XX akiwa hajaonekana idarani kwa kipindi kirefu sana na mara ya mwisho ikiwa ni Julai 2022; na kipidi hicho ilikuwa ni Oktoba 2022. Kwa hiyo kilichokuwa kinatokea hapa ni kwamba watu walikuwa wanabadili LOCATIONS kama njia ya kurusha mapepo; MWI mwenyewe akiwa ndiyo kiongozi wa zoezi hili

KUHUSIANA NA BINTI MKUU WA IDARA (BMW)

WAKATI MHUSIKA ANACHUKUA LIKIZO, BMW ALIKUWA PIA NDIYO KAIMU MKUU WA IDARA YA MHUSIKA


Kipindi hicho, mhusika alichukua likizo huku BMW akiwa anakaimu Ukuu wa Idara ya mhusika.

Hata hivyo, kabla ya mhusika kwenda likizo na pia baada kuwa amerudi kutoka likizo, ndiyo kwa mara ya kwanza BMW alianza kuonekana kwenye LOCATIONS tofauti tofauti zikiwemo

  • Kwenye jengo la Central Administation (CA)
  • Pale nje kwenye veranda za jengo la idara ya mhusika
  • Possibly, kwenye parking zilizo jirani na jengo zilimo ofisi za vyama vya wafanyakazi
KUHUSIANA NA SENIOR MSTAAFU WA KIUME NAMBA MBILI (SMK-2) AMBAYE ALIWAHI KUHUSIKA NA TUKIO KWENYE SIKU MOJA IJUMAA JIONI

Mbali na hayo, SMK-2 ambaye siku moja Ijumaa jioni, aliwahi kuwa na darasa chumba jirani na mahali ilipo ofisi ya mhusika, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa SMK-2 kuonekana akiwa anafundisha darasani tangu mwaka wa 2022 uanze

Tangu Januari 2022 hadi siku hiyo, SMK-2 hakuwa ameonekana idarani hapo akiwa na wanafunzi darasni.

Hata hivyo, kabla ya siku hiyo, ni kwa mara chache tu SMK-2 alikuwa akionekana idarani akiwa anapita tu kwenye korido, ila si kuwa na kipindi na wanafunzi darasani

………………………..inaendelea
 
NAMNA AMBAVYO PEPO HUYU AMEKUWA AKIWA RENEWED

Pepo huyu amekuwa akiwa renewed kwa njia ya sauti; especially sauti zile ambazo ni ngeni kabisa kwenye mazingira ya jengo; kiasi kwamba sauti ya mtu yeyote ambaye sku zote huwa mara kwa mara haisikiki ikiwa inaongea ndani ya mazingira ya jengo, ndiyo sauti ile ambayo inakuwa inafaa zaidi kwa renewal

  • Still, katika hali ya kawaida, pepo huyu amekuwa akiwa renewed kwa kutumia sauti za kawaida tu za watu waliopo kwenye mazingira ya ofisini ya mhusika; SMK akiwa anawaongoza kwa sababu yeye ndiye yuko jirani kabisa na ofisi ya mhusika, na ukizingatia kuwa ofisi ya mhusika inakuwa iko wazi muda wote kutokana na kukosa AC
  • Mbali na sauti za majirani wa ofisi ya mhusika, sauti za watu kutoka umbali kidogo na wanaoongea kwa sauti za juu kidogo zimekuwa zikitumika pia
KUHUSIANA NA SAUTI YA MKUU WA IDARA ALIYEWAHI KUTAWALA 2015-2016 NA AMBAYE ALIWAHI KURUKA KUTOKA JUU GHOROFA YA KWANZA BAADA YA KUKUMBANA NA MTU WA AJABU J2 MOJA NDANI YA JENGO LA IDARA HUKU AKIWA YUKO PEKE YAKE

Baada ya mhusika kurudi kutoka likizo yake ya mwaka 2022, mhusika amekuwa mara kwa mara akiisikia sauti ya MWI huyu wa zamani, umbali kidogo kutokea kwenye ngazi za kwenye korido

  • Pamoja na kuwa ofisi ya mhusika imekuwa ikikaa wazi kwa takribani mwaka mmoja sasa, hapo kabla, mhusika hakuwa amewahi kushuhudia kitu cha namna; yaani kuisikia sauti ya MWI mstaafu kutokea kwenye korido usawa wa ngazi, pasipo yeye kumuona, tangu ofisi ya mhusika ianze kukaa wazi
  • Japo si kwa mara nyingi sana, mhusika amekuwa akiisikia suti hii katika namna ambayo wakati mwingine amekuwa akilazimika kutoka ofisini kwake na kwenda kuangalia kama sauti aliyokuwa anaisikia ilikuwa ni yake yeye MWI mstaafu kwa sababu ni kipindi kirefu sana kilikuwa kimepita bila mhusika kuwa amemuona mazingira ya idarani mtu huyu, ikizingatiwa kuwa huwa majukumu mengine pia kwenye ofisi zingine zilizo nje ya jengo la idara
  • Mbali na hilo, kwa siku za awali, ilikuwa kila inapotokea MWI huyu mstaafu amefika idarani, alikuwa anafika pia ofisini kwa mhusika kumsalimia; na ilikuwa karibia mara zote
Kutokana na hali hiyo mhusika alidhani kuwa pengine labda huwa anasikia sauti ya mtu mwingine na kudhani kuwa ni yake yeye MWI msataafu

Hata hivyo, ilipofika katikati ya mwezi Desemba 2022, baada ya kipindi kirefu sana kuwa kimepita mhusika na MWI walibahatika kuonana na MWI mstaafu alikiri kuwa sauti ambayo mhusika amekuwa akiisikia usawa wa ngazi za kwenye korido ilikuwa ni yake yeye

MBALI NA SAUTI; MBINU ZINGINE ZA RENEWAL AMBAZO ZIMEKUWA ZIKITUMIKA NI PHYSICAL APPEARANCE PAMOJA NA MAONGEZI

Mbinu zingine ambazo zimekuwa zikitumika ni ile ya ya kuhakiksha tu kuwa mtu anayehitaji renewal ameonana na mhusika au kuongea naye au vyote viwili

  • Mbinu hii ndiyo ile ambayo mara nyingi wamekuwa wakiitumia BOSS XXX pamoja na Mnunuzi wa Gari (MWG)
  • Kwa kiasi kikubwa, mbinu hii ndiyo ile iliyomsaidia sana mhusika kuweza kuwa-identify wahusika wote kwenye code hii ya MYKA, vinara wao wakiwa ni BOSS XXX na MWG
…………………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BY THE WAY;

TATIZO ALILOWAHI KULIONGELEA KWENYE POST HII #931, LIMEJIRUDIA TENA NA PENGINE SAFARI HII ITABIDI AENDE AKAMUONE DAKTARI


Chanzo ni J3 iliyopita alikunywa maji ofisini kwa kutumia chombo ambacho alikikuta kina kitu kama mchirizi wa maji ya soda ya cocacola iliyoonekana kama ilibaki kwa bahati mbaya ndani ya chombo hicho, baada ya soda kuwa imemwaga

Chombo hicho alikisafisha kwa sabuni na hatimaye kunywa maji yaliyokuwa kwenye dispenser machine

Hapakuwa na mtu mwingine ndani ya chumba cha chai wakati anaingia, na hadi anaondoka hapakuwa na mtu vile vile

Kuanzia pale hadi leo, ana safari nne za haja kubwa ambazo tayari ameshafanya, huku kila safari ikiambatana na haja kubwa ngumu sana, huku ya kwanza ikiwa ni ngumu zaidi kuzizidi zote zilizofuata



UPNEXT: MGENI MWINGINE ALIYEFIKA OFISINI KWA MHUSIKA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI KABISA NA KWA KUSUDI LILE LILE KAMA LA BOSS XXX

Huyu ni yule fundi wa vifaa vya electronics, (tumwite FVE) vikiwemo vile vya matetemeko ya ardhi

  • Tofauti na BOSS XXX, FVE yeye alifikka ofisini kwa mhusika akiwa na shida, alikuwa anahitaji kitu kutoka ofisini humo; na ambacho hakuchukua kwa sababu hakikuwemo
  • Mbali na hilo, FVE alikuwa na takribani miaka mitatu tangu mara ya mwisho afike ofisini humo
FVE alifika ofisini kwa mhusika siku hiyo na kuondoka huku akiwa amefanya kitu………..

Maelezo zaidi yatawajieni kuanzia kesho na kuendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 28TH FEBRUARY 2023

KABLA HAJAENDELEA NA HABARI ZA FUNDI WA VIFAA VYA ELECTRONICS (FVE);

MAMBO MUHIMU AMBAYO ALIKUWA BADO HAJAYAONGELEA KWENYE CODE YA MITIKISKO YA KWENYE ARDHI (MYKA), CODE AMBAYO IMEKUWA IKIFANYA KAZI KWA KUTUMIA ZAIDI LOCATION

UFAFANUZI ZAIDI KUHUSIANA NA KILE KILICHOWAHI KUPELEKEA MHUSIKA AKASEMA KUWA MR X KWA KUSHIRIKIANA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) WALIKUWA WANAFANYA KAZI KWA KUTUMIA DATABASE YA WATU NA MAKAZI


Kama ambavyo imeelezwa hapo juu, code ya MYKA imekuwa ikifanya kazi hasa kwa kutumia location; na ili mtumiaji wa code hii aweze kui-activate, anachohitaji ni kubadilisha location tu halafu pepo huyo anaanza kufanya kazi zake

Pepo huyu atafanya kazi pia kwa warithi wa locations au nafasi ya kazi iliyoachwa wazi na ofisa aliyesafiri kwa muda, na hatimaye nafasi hiyo kukaimishwa kwa ofisa mwingine

KM-A alipokuwa amesafiri wakati wa likizo yake; kiongozi pekee aliyekuwa yuko active sana kanisani kwa kipindi chote ambacho KM-A hakuwepo kanisani, ni yule aliyewahi kusababisha mhusika akatoboa taa za nyuma za gari lake; japo mhusika hana uhakika kama kiongozi huyo ndiyo alikuwa ameachiwa nafasi ya kukaimu

Kwa hali hiyo, tuseme kama ofisa akitoka ofisini na kumwachia nafasi yake mtu mwingine ili aikaimu; yule anayekaimu vile vile, kwa kujua au kutokujua, atakuwa anafanya kazi under influence ya pepo huyo na hivyo, maofisa wengine wote kwenye taasisi zingine zote popote pale zilipo; nje ya taasisi hiyo, watakaokuwa wanashikilia nafasi za ukaimu. Katika hali hii; makaimu wote popote pale walipo, wanakuwa chini ya influence ya pepo huyu bila kujali wako wapi

Vile vile, tuchukulie mfano mwingine kwamba tuseme mtu akitoka nyumbani kwake huku akiwa ameambatana na sehemu ya familia yake na kwenda mahali pengine kama vile ofisini; mithili ya alivyowahi kufanya MR X miezi michache iliyopita; katika hali hiyo, familia zingine zote popote pale zilipo nazo zinakuwa vile vile under influence ya pepo huyo; huku madhabahu ya halisi ya pepo huyo ikiwa ipo kwenye locations

Zinapotokea scenario za aina hii kama zilizotajwa hapo juu, pepo huyu anaaanza kusambazwa kwa njia ambayo inahusiana na DATABASE na ili uweze angalau kumzuia uwepo wake kwenye familia za watu au kwenye maofisa wanaokaimu nafasi maofisini; INABIDI UWE UNAJUA DATABSAE, na kwa ufasaha kama unavyoijua lugha yako ya kuzaliwa

Hii ni kutokana na ukweli kuwa tuchukulie kwa mfano kuwa MR X ana familia na kwamba;

  • Mmoja wa wanafamila wa MR X anafanya kazi kwenye Taasisi HH na huko ofisini anao ma-office mates K and Q
  • MR X naye pia ana ma-office mates W na Z
  • Vile vile ofisi ya MR X iko jirani na office zingine X na Y, n.k.
Kuweza ku-resolve puzzle/ chain ya mahusiano ya aina hii, inabidi utumie DATABASE; na hapo utakuwa unampunga tu pepo kwa sababu makazi yake halisi yanakuwa hayako kwenye database bali kwenye LOCATION; isipokuwa anakuwa ameazimwa tu na hatimaye kusambazwa kwenye DATABASE YA WATU NA MAKAZI kwa makusudi makuu yafuatayo

  • Kumchanganya anayetoa pepo adhani kuwa madhabahu ya pepo iko kwenye DATABASE YA WATU NA MAKAZI ILIHALI IKO KWENYE LOCATION
  • Warusha mapepo kutengeneza a very complicated chain ya mahusiano ambayo mtoa pepo atalazimika kuyajua na hatimaye kuanza kushughulika nayo ili aweze kumtoa pepo huyo, huku makazi halisi ya pepo mwenyewe yakiwa yamefichwa na warusha mapepo wenyewe; yanakuwa hayapo kwenye mahusiano hayo ambayo mtoa pepo atakuwa anajaribu kushughulika nayo
  • Kumpumbaza anayetoa pepo ili adhani kuwa baada ya kuwa amefanikiwa kumtoa pepo kwenye DATABASE YA WATU NA MAKAZI, pepo huyo hayupo tena; huku pepo akiwa bado yupo anafanya kazi zake vizuri kabisa akiwa anatumia mbinu nyingine mpya kwa sababu makazi yake halisi si kwenye database bali kwenye location
  • Baada ya mtoa pepo kuwa amejiridhisha kuwa ameshamtoa pepo kwenye database na kudhani kuwa pepo huyo hayupo tena; warusha mapepo kutumia mwanya huo na hivyo kutengeneza kanuni nyingine tena ya kumuazima pepo huyo kutoka kwenye makao yake halisi ambayo ni LOCATION na kumhamishia kwenye attributes zingine kama vile za wazinzi na walawiti, vilema n.k. huku mtoa pepo akiwa hana taarifa hizo mpya, n.k.
Hizi ni baadhi tu ya mbinu chache sana ambazo zimekuwa zikitumiwa na wanaorusha mapepo kwa nia ya kumchanganya anayetoa pepo, ili pepo huyo aendelee kuwepo huku akiwa anasambazwa kwa kutumia kanuni na mbinu watakazoendelea kuzibuni warushaji wenyewe. Katika hali hii mtoa pepo yeyote asiyekuwa na ufahamu sahihi wa wapi pepo alipo, huwa analazimika kufanya kazi kwa kutegemea kanuni zinazobuniwa na warusha mapepo wenyewe.

  • Kwa hiyo inapokuwa imetokea hivyo, kadri kanuni za warusha mapepo zinavyozidi kuwa ngumu; ndivyo kadri kazi ya anayetoa pepo inavyozidi kuwa ngumu
  • Howevere, the most warusha mapepo can do katika kujaribu ku-complicate zaidi namna ya pepo anavyoweza kutolewa, ni kwa pepo huyo kuazimwa kutoka mahali halafu anarushwa kwenye database; DATABASE NDIYO KIBOKO YAO
  • Pasipo mtoa pepo kujua kuwa pepo huyo ameazimwa sehemu na kurushwa kwenye databadse, mtoa pepo ataendelea kuhangaika na database na ikitokea kwa bahati nzuri akawa amemtoa kwenye databsae, warusha mapepo nao pia watajua hivyo na hivyo wakati huo huo, wataamua kubadilisha mbinu na kuanza kutumia mbinu nyingine kama vile kumwelekeza kwenye sehemu nyingine tena kwa sababu kiuhalisia pepo huyo atakuwa bado yupo hajatoka kwa sababu madhahabu yake inakuwa haiko kwenye database, bali kwenye location
MUHIMU: ili mtu aweze kumtoa pepo kwenye database; inabdi awe anaijua database; vinginevyo hawezi

KUHUSIANA NA BIDHAA AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KUITUMIA KWA SIKU KADHAA IKIWA SAWA LAKINI BAADAYE IKAJA KUMLETEA MATATIZO; BAADA YA WATU KADHAA KUONEKANA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI AMBAO HAPO AWALI WALIKUWA WAMESAFIRI KWA MUDA


Mbali na haya, kwenye post ya nyuma ambayo mhusika aliwahi kuongelea bidhaa ambayo ilianza kumletea matatIzo baada ya kuonekana watu ambao hawakuwepo wakati wa Sensa ya watu na makazi; watu hao walisababisha matatizo kwenye bidhaa hiyo kwa sababu walikuwa wamebadilisha location; na walibadilisha baada ya Sensa ya watu na makazi kuwa imepita.

Kwa hiyo Sensa ya watu na makazi ilikuwa inatumiwa tu kama kivuli ili isiwe rahisi kumtoa pepo, lakini madhabahu ya pepo mwenyewe hasa ilikuwa kwenye location

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UPNEXT: MGENI MWINGINE ALIYEFIKA OFISINI KWA MHUSIKA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI KABISA NA KWA KUSUDI LILE LILE KAMA LA BOSS XXX
 
MGENI FUNDI WA VIFAA VYA ELECTRONICS (FVE) OFISINI KWA MHUSIKA

Siku hiyo, FVE alifika ofisini kwa mhusika akiwa anahitaji kitu ambacho alidhani kuwa aliwahi kukiacha humo na walipojaribu kukitafuta kwenye droo za makabati, kitu hicho hakikupatikana

Ilikuwa imepita takribani miaka mitatu tangu mara ya mwisho mtu huyu alipofika ofisini kwa mhusika

NAMNA AMBAVYO MHUSIKA AMEKUWA AKIMFAHAMU MTU HUYU HADI SASA

Ni mpole na mara zote huwa anaongea akiwa ana tabasamu usoni

  • Ni mtu ambaye karibia mara zote amekuwa akifika ofisini kwa mhusika na kuongea A na akishaondoka, mhusika hupata mrejeho wa kitu kingine B na si A kama FVE anavyokuwa ameonge awali
  • Kwa hiyo, kila inapotokea mhusika kutembelewa na FVE ofisini, mhusika huwa anamsikiliza yote anayoongea, halafu baada ya hapo wakishaachana mhusika huwa anayafuta yote aliyoyasikia kutoka kwake, huku akiwa tayari anafanya utafiti wa kwa nini FVE alifika ofisini kwake.
BAADA YA FVE KUKIKOSA ALICHOKUWA ANAKITAFUTA KWENYE KABATI SIKU HIYO; DROO LA MWISHO KABISA LA CHINI YA KABATI LILIGOMA KUFUNGA

Walipokuwa wanajaribu kukitafuta kile ambacho FVE alidai kuwa amekuja kuchukua, walikuwa wanafunguafungua madroo ya moajwapo ya makabati ya chuma yaliyomo ofisini kwa mhusika

  • Mojawapo ya madroo hayo lilikuwa ni droo la mwisho kabisa la chini ya kabati
  • Baada ya kuwa wamelifungua droo hilo, kutokana na mechanism ya namna lilivyotengenezwa, liliweza kuruhusu kwa bahati mbaya mojawapo ya vitu lilivyokuwa limevibeba, kudondoka chini ya sakafu na hivyo kitu hicho kupelekea droo hilo lisiweze kufunga tena
Baada ya kutokea hivyo, FVE alijitolea na kulala chini ya sakafu huku akipitisha mkono chini ya droo hilo na kukichukua kitu kilichokuwa kimedondoka chini na kusababisha droo lisiweze kufunga tena

Baada ya hapo; mhusika na FVE walihitimisha maongezi yao na FVE aliaga na kuondoka

  • Baada ya wiki hiyo ya ugeni wa FVVE ofisin kwa mhusika kuwa imepita; kwenye wiki ile iliyofuata, mhusika alibahatika kumuona tena FVE siku moja. Siku hiyo FVE alikuwa anapita barabarani akiwa peke yake kwenye gari, kwenye barabara iliyo jirani na jengo la ofisi ya mhusika
  • Baadaye tena siku hiyo hiyo, mhusika alimuona FVE akiwa anarudi huku akiwa amebeba watoto wadogo angalau wawili kwenye gari lake
Pilika pilika hizi zilijitokeza siku chache mbele baada tu ya FVE kuwa ametoka ofisini kwa mhusika

Mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho aliwahi kumuona FVE akiwa anapita kwenye barabara hiyo; kwa sababu inavyoonekana barabara hiyo si njia yake na karibia mara zote huwa haitumii

Mbali na hilo, tangia siku hiyo hadi leo, mhusika hajawahi kubahatika kumuona tena FVE akiwa anapita barabani

TUKIO LA MGENI WA SMK LILITOKEA BAADA YA UJIO WA FVE OFISNI KWA MHUSIKA

Siku chache mbele baada ya ujio wa FVE kuwa amefika ofisini kwa mhusika, ndiyo likatokea sasa tukio la J3 ya tarehe 13/02/2023 na ilipofika usiku wa siku hiyo watu wakaingia ofisini kwa mhusika na kuchukua vifaa vya matetemeko vilivyokuwa vimehifadhiwa humo

  • Vifaa hivyo vilikuwa vinakaa kwenye masanduku mawili ya mbao na jumla yake huwa ni masaduku manne
  • Masanduku mengine mawili yalikuwa yameshachukuliwa na kwenda kuhifadhiwa ofisini kwa FVE
  • Kuna nyundo vile vile ambayo huwa inaambatana na vifaa hivi ambayo yenyewe iliwahi kuazimwa na Mnunuzi wa Gari (MWG) na ambaye hajawahi kuirududisha hadi leo
KILE AMBACHO MHUSIKA ALIONA KUWA KILIKUWA KIMEAMBATANA NA MCHAKATO HUU

Kwa jicho jingine mhusika anaona kuwa watu hao walioingia ofisini usiku, walifanya hima hima J3 hiyo kabla ya J4, kwa ajili kuchukua kitu ambacho FVE alikitega chini ya droo kwa sababu walijua kuwa kama wangesubiri hadi kesho yake J4, wangeweza kuchelewa. Ni kwa sababu chances zilikuwepo pia kwamba mhusika angeweza kutoa taarifa za tukio la J3 hiyo usiku wa J3 hiyo hiyo

Kwa hiyo watu hao waliamua kuingia ofisini usiku na kujidai kama wanachukua vifaa vya matetemeko; possibly huku wakiwa wanategua kitu kilichokuwa kimetegwa

Kama mhusika atakuwa yuko sahihi kwenye hypothesis hiyo hapo juu; ni kwamba kitu hicho kitakuwa kilikuwa ni REMOTE CONTROLLED na kilitakiwa kuwa SWITCHED ON, J3 ile ambayo mhusika aliingia chumba jirani alimokuwa swahiba wake na hatimaye swahiba huyo kumwacha mhusika chumbani humo peke yake

Ingetokea hivyo, possibly maelezo yaliyokuwa yameandaliwa ni kwamba J3 hiyo:

  • Mhusika alionekana akiwa anatoka ofisini kwake akiwa anatembea kwenye korido huku nyuma yake akiwa anafuatwa na mtu asiyejulikana ambaye sura yake haikuweza kuonekana na camera; waliongozana naye mhusika akiwa amemficha mtu huyo nyuma mgongoni kwake
  • Mtu huyu asiyejulikana ambaye angeweza kutolewa maelezo ya namna alivyokuwa ameongozana na mhusika kwenye korido, J3 hiyo, angekuwa ni yule mgeni wa J3 wa SMK
  • Sura ya mgeni huyu wa SMK haikuwahi kunaswa na Camera J3 hiyo wakati wa kuingia wala ule wa kutoka kwa sababu wakati anaingia, mgeni huyo aliielekezea mgongo camera na wakati anatoka, alikuwa amejificha nyuma ya mgongo wa mhusika
Ikumbukwe kuwa, kwa timing iliyofanyika siku hiyo, SURA ya mgeni wa SMK haikuwa amenaswa na Camera wakati alipokuwa anatoka ofisini kwa SMK kwa sababu mgeni huyo alimuwahi mhusika na kumuongelesha pindi mhusika alipokuwa usawa wa mlango; huku yeye akiwa bado yupo ndani ofisini mwa SMK

Baada ya maongezi mafupi hapo mlangoni mwa ofisi ya SMK kati ya mgeni huyu na mhusika, mhusika alianza kutembea na wakati huo mgeni naye alitoka nje ya ofisi ya SMK akawa yupo anamfuata mhusika kwa nyuma

Zaidi ni kuwa FVE na swahiba wa mhusika, ni mtu na mjomba wake wa damu; kwa hiyo si ndugu bali mtu na mzazi wake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP-NEXT:
HISTORIA YA VIFAA VYA MATETEMEKO VILIVYOKUWA VIMEHIFADIWA OFISINI KWA MHUSIKA: BAADHI TU YA WATU WALIOKUWA WANAHUSIKA NA RENEWAL
 
KUHUSIANA NA SMK-2 ALIYEWAHI KUHUSIKA NA TUKIO LA IJUMAA YA TAREHE 09/11/2022 MWAKA JANA; NI MMOJAWAPO WA WANAKAMATI WALIOKUWA KWENYE KAMATI YA KWANZA YA MAKINIKIA

Huyu alikuwa ni mmojawapo wa wanakamati waliowahi kuwepo kwenye kamati ya kwanza kabisa ya Makinikia na hivyo kuwahi kufanya kazi iliyotukuka sana iliyopelekea Hayati JPM (RIP) kumtunuku cheti maalumu kwa ajili ya kazi hiyo
, ikiwa ni pamoja na wanakamati wenzake

Huyu ndiye hivi karibuni, alihusika na tukio ambalo taarifa zake mhusika alizileta kupitia kwenye post hii hapa #1,218

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 03RD MARCH 2023

SWALI KWA WASOMAJI WA SIKU ZOTE WA UZI HUU; KIBUYU KIDOGO CHENYE UMBO LA NANE KILICHOPAMBWA KWA SHANGA, MAZINGIRA YA OFISINI


Hivi kile kibuyu kidogo chenye umbo la nane kinachofanana na vile ambavyo huwa vinatumiwa na waganga wa kienyeji; kikiwa kimepambwa kwa shanga zile ndogo ndogo, kikiwa kimefungwa kamba shingoni na kuning’ininizwa nyuma ya flat screen ya Computer, kibuyu cha aina hiyo kinaweza kuwa ni urembo ambao mtu anaruhusiwa kuwa nao ofisini?
Kibuyu cha aina hiyo kiko ofisini kwa Mkuu wa Major Unit (MMU) zaidi ya miaka miwili sasa, kikiwa kimefungwa kwenye flat screen ya Kompyuta yake. Kuna siku mhusika atakuja kukiongelea kibuyu hiki; muda wake bado kidogo tu!
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA YA AWALI KUHUSIANA NA PEPO AMBAYE AMEKUWA AKIRUSHWA KWENYE LOCATION KWA KUTUMIA MITIKISKO INAYOHUSIANA NA VIFAA VYA MATETEMEKO VILIVYOKUWA OFISINI KWA MHUSIKA

Ili kuweza kumtoa straight pepo huyu, inabidi mtu ajue kwanza kuwa pepo huyo yuko kwenye location; hapo anatoka kirahisi tu.

Vinginevyo kama mtu hatajua kwamba pepo huyo yuko kwenye location isipokuwa atakuwa anaona tu manifestations zake kwenye ulimwengu wa roho na pasipo kujua kuwa yuko wapi; itakuwa ni vigumu sana kuweza kumtoa

Pasipo kujua ecactly madhabahu ya pepo huyo iko wapi, warusha pepo watakuwa wana take advantage za kutumia mbinu mbali mbali kuendelea kumficha mahali alipo na hivyo kupelekea kazi ya kumtoa kuwa ni ngumu mno kwa sababu:

  • Anaweza akafichwa kwenye database, kitu ambacho kitahitaji mtu anayejua vizuri database kuweza kumtoa huko
  • Still, hata ikitokea kuwa ametolewa kwenye database baada ya kugundulika kuwa alikuwa huko; warusha mapepo wanaweza kumuelekeza na kwenda kumficha tena kwenye sehemu nyingine kulingana na matakwa yao na hivyo mtoaji atalazamika kuwa anacheza ngoma kulingana na midundo kama itakavyokuwa inavyopigwa na warusha mapepo
Ikumbukwe kuwa kila wanapokuwa wanamhamisha kutoka sehemu moja aliyogundulika kuwa alikuwepo na kumpeleka sehemu nyingine; sehemu ile wanakomhamisha nayo pia inakuwa imefichwa vile vile na hivyo mtoaji inabidi afanye kazi ya kuweza kujua anafanya kazi kutokea wapi

Katika hali ya kawaida, pepo aliyehamishwa kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine na ambaye madhabahu yake inakuwa bado imefichika, kwa yule anayetoa atajua tu kuwa yule ni pepo mwingine; wakati kumbe ni yule yule ambaye amekuwepo mwanzoni kule kwenye database na sasa amehamishiwa tena kwenye sehemu nyingine. Hili mtoaji huwa hawezi kulijua papo kwa papo, isipokuwa kwa baadate sana

Kwa mfano, pepo huyo anaweza hata akwekwa kwenye jasho la watu; kwamba mtu akitembea tu halafu akatoa jashi, pepo huyo anakuwa yuko active

Ukifanikiwa kufahamu kuwa yuko kwenye jasho na hivyo, kumtoa huko; anahamishiwa tena kwenye sehemu nyingine kwa sababu in reality, unakuwa hujamtoa kutokana na ukweli kuwa madhabahu yake haiku kwenye jasho bali kwenye location

Mbali na hayo pepo huyo anaweza akawekwa kwa wakati mmoja kwenye vitu ambavyo ni multiples kiasi kwamba ukimtoa katika hiki, anaendelea kubaki kwenye vingine na kuendelea kufanya kazi zake kama kawaida

Ni mpaka pale mtu atakapogundua kuwa pepo huyo yuko kwenye location na hivyo kumtoa kwenye location; na hatua hiyo ndiyo itakuwa permenant solution; vinginevyo ataendelea kubadilisha makazi huku akiwa anakula raha zake; huku ajali nyingi sana za bararabani zikitokea na pia matukio mengi sana ya ulawiti na ubakaji au watu kujeruhiwa, yakiwa yanatengenezwa kama back-up ya kumfanya pepo huyo aweze kuenea na kufanya kazi zake vizuri zadi. Kwa wale ambao huwa wanapita pita kwenye mitandao ya jamii; nadhani wanaweza kuelewa

Pepo huyu anayehusika na location, ni pepo mbaya zaidi kwa sababu anafanya kazi kirahisi sana. Hata mtu akipiga hatua moja ofisni iinaypolekea mguu mmoja tu kubadilisha position huku mguu mwingine ukiwa upo pale pale; pepo huyu anakuwa active

Utafiti huu ni wa muda mrefu kiasi, zaidi ya miaka miwli iliyopita isipokuwa code yake ndiyo ilikuwa imejificha kwa muda wote huo

Maelezo mengi zaidi yatafuata kuhusiana na code hii

CODE HII YA “MITIKISIKO YA KWENYE ARDHI (MYKA)” KWA MARA YA KWANZA ILIANZA KUFANYA KAZI J3 YA TAREHE 13/07/2015; KUFUATIA J2 ILE AMBAYO MGOMBEA URAIS WA CHAMA KILICHOPO MADARAKANAI ALITANGAZWA

Kwa mara ya kwanza, code ya MYKA ilianza kufanya kazi J3 ya tarehe 13 Julai 2015 baada ya mgombea Urais wa chama kilichopo madarakani muda huu kuwa ametangazwa

Kabla ya hapo, vifaa vinavyohusika na code hii vilikuwa ni Brand New huku vikiwa vimehifadhiwa kwenye masanduku, na havikuwa vimewahi kufanya kazi hata mara moja

Vifaa hivi vilinunulliwa mwaka 2011, na vilinunuliwa kabla ya mhusika kununua gari yake ya pili; baada ya kuwa amepoteza ile ya kwanza. Mhusika alinunua gari ya pili mwezi May 2013, huku vifaa hivyo vikiwa na angalau mwaka mmoja au miwili tangu vinunuliwe

Taarifa zadii zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 05TH MARCH 2023

YALE AMBAYO MHUSIKA ALIYAONA HAYAKUWA YA LAZIMA KUWEPO KWENYE IBADA YA SIKUKUU YA WANAWAKE KANISA A; J2 YA LEO TAREHE 05 MARCH 2023, PENGINE LABDA KUTOKANA NA UCHANGA WAKE WA KIROHO


Wale waliokomaa zaidi kiroho hasa wale ambao ni viongozi, wanaweza kumsadia musika katika hili huko mbele ya safari; kama atakuwa hayuko kwenye mstari

Baadhi tu ya yale ambayo mhusika aliyaona kuwa hayakuwa ya lazima kuwepo kwenye Ibada hiyo

MOJA: WAKATI WA MATANGAZO KUTOKA KWA KIONGOZI WA ZAMU; NA AMBAYE HAKUWA YULE ALIYETANGAZWA J2 ILIYOPITA KUWA YEYE NDIYE ANGEKUWA ZAMU

Hapakuwa na haja ya kubadilisha Kiongozi wa Zamu kwa sababu Kiongozi aliyetangazwa J2 kuwa angekuwa zamu, alikuwepo lakini badala yake zamu yake ilikuwa imechukuliwa na mwingine ambaye hakutangazwa J2 iliyopita.

  • Kulingana na matangazo ya J2 iliyopita, kiongozi wa zamu aliyetangazwa ni yule ambaye jina lake linaanza na herufi za “TA”, wakati aliyepanda madhabahuni kutoa matangazo, ni yule kiongozi kinara wa matangazo ya ulawiti na uzinzi.
  • Baada ya kiongozi huyu kupanda juu madhabahuni, aliongea tena kuhusiana na ulawiti aliodai kuwa unaendelea kufanyika huko mikoani kwa kiwango cha juu sana, pamoja na kuwa ulawiti haukuwepo kwenye mojawapo ya matangazo yake aliyokuwa nayo
  • Mbali na hayo, hapakuwa na haja ya pia ya kiongozi huyu kuongelea tena ulawiti kwa sababu ilionekana kama alipanda madhabahuni kwa ajili hiyo, ukizingatia kuwa si yeye alliyetakiwa kutoa matangazo hayo kwa sababu hakuwa kiongozi yule aliyetangzwa J2 iliyopita kuwa angekuwa zamu
Zaidi ni kuwa siyo mara ya kwanza kwa kiongozi huyu kuonekana yuko zamu kwenye zamu za viongozi wengine. Wiki chache tu zilizopita aliwahi tena kufanya hivyo na kila inapotokea amechukua zamu za wengine, ndiyo pale ambapo huwa anatumia mwanya huo kupenyeza mambo yake yasiyofaa kwa usiri na ambayo mhusika amekuwa akiyalalamikia kwa siku nyingi sasa

WAKATI WA MAFUNDISHO YA IBADA KUU

Hapakuwa na haja vile vile ya mafundisho ya Ibada kuu kufundishwa kwa kutolewa wa mifano ya mikali mno na ambayo mifano hiyo nayo pia ilihusiana na UZINZI

  • MWANZONI mwa mafundsiho hayo, ulitolewa na mfano wa wanandoa na ambao ulihusiana na uzinzi na hatimaye tena MWISHONI mwa mafundisho hayo mfano wa UZINZI uliohusisha watoto
  • Mfano mmoja tu na ambao ulikuwa ni mzuri zaidi na uliofanana zaidi na kichwa cha somo, huo uliwekwa KATIKATI ya mafundisho hayo
  • Mfano huu uliotolewa katikati ya mafundisho, ulikuwa ni mzuri na wa maana sana; kiasi kwamba hata KM-A alipopanda juu madhabahuni wakati alipokuwa akihitimisha Ibada, aliweza kuurejea tena mfano huo kwa waumini
Maelezo zaidi kuhusiana na mifano ya uzinzi iliyotolewa wakati wa mafundisho ya Ibada kuu, yanafuata

KUHUSIANA NA MZEE WA MAKAMO ASKARI KANISANI HAPO

Baada ya hadithi za uzinzi ku-dominate Ibada, mhusika alitamani aondoke kwenye Ibada arudi nyumbani kwake na baada ya kuwa ametoka nje ya Kanisa aligundua kuwaa asingewea kutoka kutokana na eneo alilokuwa amepaki gari. Hata hivyo akiwa ameneo yale, alisogea hadi Getini na pale alienda akaona dalili za wazi kuwa angalau kulikuwa na mtu ambaye alikuwa maeneo yale akisubirria mhusika atoke kwenye Ibada. Mtu huyu ni yule mzee wa makamo, askari ambaye anafanya kazi hapo Kanisani

Mzee huyu alikuwa ana muda mrefu sana hajaonekana Kanisani hapo lakini J2 ya leo alikuwepo. Mara ya mwisho mhusika kumuona mzee huyu Kanisani hapo ilikuwa mwezi wa 12 mwishoni

……………………………..inaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom