#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KILICHOTOKEA IJUMAA YA TAREHE 20/01/2023 MAENEO YA OFISINI KWAKE MHUSIKA

Kwenye majira ya kama baada ya saa nane, mhusika akiwa yupo ofisini kwake akiendelea na kazi zake, alipokea ujio wa mgeni, mmojawapo wa hawa watoto wanaofnaya kazi kwenye makampuni ya usafi

  • Mtoto huyu hakuingia ndani ofisini, alisimama mlangoni na alikuwa amepewa ujumbe kumletea mhusika
  • Ujumbe huo ulikuwa ni ukaribisho wa chakula kilichokuwa kinaseviwa ground floor
Pamoja na kuwa mhusika huwa hali chakula cha mchana, bado alikuwa tempted kwenda kuangalia kilikuwa ni chakula gani; kuhofia kuwa angeweza kukataa halafu kumbe kukawa kulikuwa na samaki

Baada ya mtoto kuondoka, mhusika alishuka chini, akafika kwenye sehemu ya kunawia iliyokuwa nje akanawa mikono

  • Alipoingia ndani samaki hakuwakuta, ila chakula kilikuwepo
  • Hata hivyo, sahani za kusevia chakula zilikuwa zimeisha, na karibia wenyeji wote hawakuwepo; possibly walikuwa wameshachukua chakula na kuondoka kwenda kulia sehemu nyingine
  • Muda huo huo wakati wa ukosefu wa sahani ya kusevia chakula, aliwasili tena mtoto mwingine wa kampuni ya usafi huku akiwa amebeba sahani moja
  • Mtoto huyu alitaka ampe ofa ya sahani hiyo mhusika; ila mhusika hakuwa tayari kuitumia sahani hiyo ukizingatia kuwa hata mtoto mwenyewe naye alikuwa bado hajala
  • Mtu mkubwa huwezi kuchukua sahani ya mtoto ule chakula huku mtoto naye akiwa hajala chakula
Baada ya hapo mhusika alifanya self service ya maandazi mawili; akachukua mkononi na kuanza kula akiwa anatembea akirudi ofisini kwake

  • Wakati huo kwenye chumba jirani na ofisi ya mhusika, kulikuwa na darasa lilikuwa linaendelea na hivyo kulikuwa na wanafunzi
  • Hata jana yake wakati bibi anafika ofisini kwa mhusika, kulikuwa na wanafunzi pia chumba hicho na hivyo binti aliyekuwa ameongozana na bibi akiwa nyuma ya bibi, alikuwa ni mwanafunzi wa darasa hilo
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 02ND FEBRUARY 2023

POST HII INAWEZA KUWA NI COMPLEMENT YA POST NYINGINE YA AWALI HII HAPA #1,318, ILA SI LAZIMA IWE HIVYO

Mtoto aliyechapwa na mwalimu na anayeongelewa kwenye tukio hili hapa #1, sura yake haikuonyeshwa kwenye taarifa ya habari ya jana saa 2.00 usiku; kwa kituo kile ambacho mhusika alibahatika kusikiliza taarifa ya habari; unless labda kama kuna kituo kingine kilichoonyesha sura ya mtoto huyo; ambacho mhusika hakusikiliza taarifa yake
  • Kilichoonyeshwa pekee kuhusiana na mtoto huyo, ni mkono wake tu uliokuwa umefungwa PoP, NA KWA JERAHA AMBALO ILISEMEKANA ALIKUWA NALO TAYARI WAKATI ANACHAPWA VIBOKO, na hivyo jeraha hilo si lile lililotokana na kuchapwa viboko mtoto
  • Jeraha hilo lilionekana kuwa lilikuwa ni kubwa kiasi kutokana na ukubwa wa PoP iliyokuwa imelifunga, kiasi kwamba inaanza kutia mashaka kidogo kwa mwalimu au mtu mwingine mwenye akili timamu, kumpiga na kumjetruhi tena mtoto ambaye tayari ana jeraha jingine kubwa kiasi hicho
  • JERAHA JINGINE LILE AMBALO MTOTO AMELIPATA KUTOKANA NA KUCHAPWA VIBOKO, HALIKUONYESHWA
Kwa hiyo mkono wenye jeraha na ambalo halikutokana na kuchapwa na mwalimu, ulionyeshwa ISIPOKUWA SURA YAKE MWENYE KUJERUHIWA, HAIKUONYESHWA
  • Wengine walioonekana na pia kutoa neno, ni watu walliosemekeana kuwa ni wazazi wa mtoto anayesemekana kujeruhiwa na mwalimu
  • Aidha, mwalimu mhusika wa tukio anayesemekana kumchapa viboko mwanafunzi, naye pia hakuonekana kwenye taarifa hiyo
Si rahisi sana kwa mtu aliyekuwa anasikiliza taarifa ya habari tu, kuthibitisha kuwa kweli wale ndiyo wazazi wa mtoto aliyejeruhiwa kwa sababu sura ya mtoto ilifichwa

Kwa hiyo mpaka muda huu; walioonekana KWA SURA na wanaoweza kujulikana na umma kuhusiana na tukio la mtoto huyo, ni wazazi wa mtoto tu

Haya matukio yanaanza sasa kuleta pattern fulani kwa sababu ndani ya kipindi kifupi sana na cha hivi karibuni tu, yamekuwa yakitokea na ku-draw attentinon ya nchi nzima, huku yakiwa yame-concentrate kwenye sehemu moja tu.

Angalieni hapa:
  • Tukio la kipekee kabisa la watu watatu kwa mkupuo kutoka sehemu moja, wanaosemekena kugomea uteuzi wa Macho ya Nchi, linatoka sehemu hiyo
  • Tukio lililopita na la kipekee kabisa la watoto kuchapwa viboko kwenye nyayo za miguu, linatoka sehemu hiyo
  • Tukio jingine la kipekee kabisa lililosemekana la watoto kufundishwa ulawiti shuleni, linatoka sehemu hiyo
  • Tukio la kipekee kabisa la mabadiliko ya ghafula la kuzuia ranking ya matokeo ya shule za sekondari, ambao ndiyo umekuwa utaratibu wa miaka nenda rudi, nalo pia linatoka sehmu hiyo
Lastly, tukio hili la kipekee kabisa la mtoto kuchapwa viboko na kujeruhiwa na ndani ya siku chache tu baada ya watoto wengine kuchapwa viboko kinyume kabisa na maadili ya nchi; huku mtoto wa sasa akiwa tayari ana jeraha jingine kubwa na ambaye SURA YAKE HAIKUONYESHWA, isipokuwa zile za wazazi wake tu, nalo tena linatoka sehemu hiyo hiyo

HITIMISHO
Kwa walio wengi walioliona jeraha la mtoto huyo, akili yao itakuwa imewatuma kuwa ndiyo jeraha lile alilojeruhiwa na mwalimu wakati anachapwa viboko, kumbe hapana. Taarifa ilisema kiunaugaubaga kabisa kuwa jeraha hilo lilionoyeshwa, mtoto alikuwa nalo tayari wakati anachapwa viboko na hivyo siyo lile ambalo lilitokana na kuchapwa viboko

Matukio haya yanaweza kuwa ni coincidence tu ya kawaida au kunaweza kukawa na shida kubwa mahali fulani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA SWALA LA WATOTO WALIOKUWA WAKICHAPWA VIBOKO KWENYE NYAYO ZA MIGUU

NYAYO ZA MIGUU HUWA ZINAKANYAGA KWENYE ARDHI, NDIYO NAANA MWALIMU ALIKUWA ANAWCHAPA WATOTO KWENYE NYAYO ZA MIGUU: POSSIBLY ALIKUWA ANASHUGHULIKA NA ARDHI.

HUYU MTOTO MWINGINE WA PILI AMBAYE ALIFICHWA SURA, ALIKUWA NA JERAHA KWENYE KIGANJA CHA MKONO AMBALO SIYO LILE LILILOTOKANA NA KUCHAPWA NA MWALIMU.

HAWA WATU WALIKUWA WANASHUGHULIKA NA SENSORY ORGANS PAMOJA NA ARDHI, SAWIA KABISA NA SOMO LILILOWAHI KUFUNDISHWA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A, KWA WAUMINI WA KANISA A, MIAKA KADHAA ILIYOPITA
 
NA KWA SABABU MATUKIO HAYA YOTE MATANO YALIYOTAJWA KWENYE POST HIYO HAPO JUU #1322 YOTE YANAHUSISHA KADA MOJA TU YA UALIMU, MATUKIO HAYA YANAWEZA KUWA YALIKUWA YANASHUGHULIKA PIA NA KADA ZA WATUMISHI WALIOAJIRIWA SERIKALINI
 
UPDATE: FRIDAY 03RD FEBRUARY 2023

Assuming matukio yaliyotajwa hapo juu yana kitu cha ziada ndani yake tofauti na yanavyoonekana kwa nje; tukio hili hapa #1 nalo pia lina uwezekano mkubwa wa kuungana na matukio hayo kwa sababu

  • Tukio hilo nalo pia ni la kipekee sana; kiongozi wa ngazi kubwa kama ya wilaya kumpiga hadi kufikia hatua ya kumjeruhi mtoto, mwanafunzi. Ni tukio linaloweza kushika rekodi kwa taifa la Tanzania kwa miaka yote ya nyuma
  • Linahusisha sekta sawa na ile ya matukio mengine yaliyotajwa hapo juu; aliyejeruhiwa ni mwanafunzi
  • Aliyesemekana kujeruhiwa naye pia aliwahi kuonekana kwenye mahojianao akiwa amefungwa bandage
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUCHUKULIE KWA MFANO MTU AKIAMUA KURUSHA PEPO KWA WATOTO WANAOCHAPWA VIBOKO: BAADHI YA MILANGO AMBAYO ANAWEZA AKAITUMIA KURUSHA PEPO

Tendo la mtoto kuchapwa viboko mbele ya watu wengine, linahusisha makundi matatu ya watu ambao ni

  • Mchapaji (tuseme mwalimu)
  • Mchapwaji (mwanafunzi)
  • Mashuhuda
Tuseme mchapaji anatumia fimbo na siyo mikono mitupu

Kwa kuanzia, mpaka hapa pepo linaweza kurushwa kwenye mojawapo ya possibilities zifuatazo, au zote

  • Kwa mchapaji
  • Kwa mchapwaji
  • Kwa mashuhuda
  • Kwenye fimbo inayotumia kuchapa mtoto
  • Kati ya mchapaji na mchapwaji (mwalimu A na mwanafunzi A)
  • Kati ya mchapaji na mashuhuda
  • Kati ya mchapaji na fimbo inayotumika kuchapia mtoto
  • Kati ya mchapwaji na mashuhuda
  • Kati ya mchapwaji na fimbo inayotumika kumchapa
  • Kati ya mashuhuda na fimbo inayotumika kuchapa mtoto
Kwa hiyo mpaka hapa, possibilities zinakuwa ni 10 na hizi ni baadhi tu

MAELEZO KAMILI

Ukiliangalia kwa undani zaidi, tukio la mtoto kuchapwa fimbo lazima huwa linahusisha milango yake (mtoto) angalau mitatu ambayo ni

  • Kuona (macho)
  • Kusikia maumivu (ngozi),
  • Kusikia sauti ya kishindo cha fimbo inayomchapa (masikio)
Vile vile kwa mchapaji na mashuhuda pia, ambao wao mlango ule unaohusika na maumivu unakuwa haupo

Katika hali ya kawaida, kitendo cha kuchapwa mtoto lazima huwa kinampelekea pia kuwa katika hali ya kuonyesha response fulani au emotions, kiasi kwamba anaweza hata akalia

  • Mtoto anaweza akalia huku akiwa anaruka ruka
  • Kwa hiyo mpaka hapa, vinaongezeka tena vitu viwili ambayo ni emotions na actions na bado kuna vingine vingi tu kutoka kwenye upande ule mwingine wa mashuhuda na mchapaji
Sasa mpaka hapa orodha hiyo hapo juu, inaongezeka mahusiano mengine kadhaa yafuatayo ambayo ni

  • Kati ya mchapaji na kuona kwa mtoto (hapa ikumbukwe kuwa uhusiano huu siyo ule wa kati ya mchapaji na mtoto, hapama. Hapa ni kwamba, mtoto anaona nini wakati akiwa anachapwa na tuseme, mwalimu A ukilinganisha na kama angekuwa anachapwa na mwalimu B, kiasi kwamba pengine angetamani achapwe na mwalimu mwingine B, na si huyu A wa sasa
  • Kati ya mchapaji na maumivu kwa mtoto (walimu tofauti wana maumivu tofauti ya viboko)
  • Kati ya mchapaji na kusikia kwa mtoto; sauti ya kishindo cha fimbo ile inayoanguka mwilini kwake ikiwa inamchapa (nguvu inayotumika, inahusiana na kishindo cha fimbo na hivyo sauti ya fimbo)
  • Kati ya fimbo na maumivu ya mchapwaji (fimbo yenyewe kama fimbo inapelekea mtoto kupata maumivu gani bila kujali uwezo wa mtumiaji wa fimbo)
  • Kati ya fimbo na kuona kwa mchapwaji (umbo la fimbo kama anavyoiona mtoto anayechapwa)
  • Kati ya fimbo na kusikia kwa mtoto (fimbo ndogo; kishindo cha sauti ndogo, fimbo kubwa; kishndo cha sauti kubwa)
  • Kati ya mtoto na emotions (mtoto anaitikiaje wakati akiwa nachapwa? Mtoto anaweza hata kulia wakati anachapwa)
  • Kati ya mtoto na actions (mtoto anaweza kuwa anaruka ruka au kupikicha pikicha mikono au viungo vya mwili wake). Mtoto anaweza hata akaamua kukimbia baada ya kuwa amechapwa fimbo moja na kutoroka kabisa shule kwa sababu ya kuogopa unene wa fimbo
  • Kati ya fimbo na emotions za mtoto (aina ya fimbo inayotumika, inapelekea mtoto awe na response gani?) mtoto anaitikiaje wakati akiwa nachapwa? Mtoto anaweza hata kulia wakati anachapwa
  • ………………………..n.k.; possibilities ni nyingi mno!
Mpaka hapa, mashuhuda (pamoja na mchapaji pia) bado hawajaingia, response zao, emotions zao kwenye tukio zima la mtoto anayechapwa mbele yao

HITIMISHO

Ikitokea mtu mmoja mahali fulani akiamua kulitumia vibaya tendo la mtu mmoja kumchapa fimbo mtu mwingine; tendo hilo lina uwezo wa kufungua milango mingi sana ambayo kila mmojawapo wa mlango hiyo una uwezo wa kuchukua pepo

Kwa mfano huu, hii iliyoorodheshwa hapa ni baadhi tu ya milango inayoambatana na tendo la mtu mmoja kumchapa viboko mtu mwingine na inayoweza kutumika kubeba mapepo. Milango hii haifiki hata nusu ya idadi ya milango yote ya inayoweza kupatikana kwenye tukio hilo

Ikumbukwe kuwa hiki kitu kinawezekana iwapo tu mtu mmoja mahali fulani hana nia njema, na kuna mlango ambao ameushaupata anaonaweza akautumia kufungua milango hii mingine iliyoorodheshwa hapa


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Chanzo cha haya yote, (yawe ni sahihi au si sahihi) ni akili ya mtu mmoja tu na ambaye amejibanza Kaiisani akiwa anadai kwa nguvu zote kuwa yeye naye ni mtumishi wa Mungu na hivyo anamtumikia Mungu; Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)
 
UPDATE: MONDAY 6TH FEBRUARY 2023

TAARIFA ZA NYONGEZA KUHUSIANA NA WATOTO WAWILI WALIOJERUHIWA HIVI KARIBUNI KWA KUPIGWA


Yule wa mwanzo ambaye taarifa zake ziko hapa #1, naye pia ni kama sura yake ilikuwa imejificha, kutokana na kujeruhiwa usawa wa jicho, na hivyo kulazimika afunge bandage nusu ya uso wake

Huyu wa pili ambaye taarifa zake ziko kwenye post hii hapa #1, yeye sura yake ilikuwa mefichwa yote kabisa kwa kufungwa kitambaa cheusi usoni

Vile vile, wakati anachapwa viboko, tayari alikuwa na JERAHA JINGINE KUBWA KWENYE MKONO lililokuwa limetokana na kuungua pasi.

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 9TH FEBRUARY 2023

KUTOKANA NA COINCIDENDES ZINAZOENDELEA KUJITOKEZA KWAMBA KILA YANAPOTANGAZWA MAOMBI KANISA A, AJALI MBAYA SANA ZINAANZA KUTOKEA ZINGINE ZIKIWA NI COMPOUND ACCIDENTS; YAANI AJALI ZAIDI YA MOJA KWENYE ENEO MOJA


Kuanzia sasa, mhusika atakuwa analeta humu jukwaani Ratiba za MAOMBI MAALUMU za Kanisa A.

MAOMBI MAALUMU ni maombi ya dharula ambayo huwa hayafuati utaratibu uliowekwa tayari kwenye RATIBA KUU YA KANISA LOTE TANZANIA NZIMA, INAYOTUMIKA KWENYE NYUMBA ZOTE ZA IBADA ZA KANISA HUSIKA, na ambayo huwa inatakiwa kufuatwa siku zote kwa muda wa mwaka mzima

Kwa kusema hivi, mhusika anamaanisha kuwa taarifa hizi basi hazitahusisha MAOMBI YA KAWAIDA YA WAUMINI WOTE ambayo huwa yanafanyika siku za Ijumaa kuanzia saa 10 jioni hadi saa 1:00 usiku KWA SABABU MAOMBI HAYO NDIYO YANAYOTAMBULIKA NA RATIBA KUU YA KANISA ZIMA NCHI NZIMA

Kwa kuanzia; tangu mwaka huu wa 2023 uanze, ratiba za MAOMBI MAALUMU au tuseme ya dharura kwa kanisa A zimekuwa kama ifuatavyo
  • Wiki ya kuanzia Tarehe 2-8 JANURAY; MAOMBI MAALUMU ya shukrani wiki nzima
  • Wiki ya kuanzia Tarehe 9-15 JANURAY; MAOMBI YA KAWAIDA ya siku moja ya Ijumaa tu. Maombi ya aina hii ndiyo yale ambayo mhusika atakuwa haleti taarifa zake humu jukwaani kwa sababu yapo kulingana na ratiba iliyopom siku zote na inayojulikana na waumini wote
  • Kwa wiki tatu mfululizo kuanzia tarehe 16 JANUARY hadi tarehe 05 FEBRUARY 2023 (wiki iliyoishia J2 iliyopita), kulikuwa na maombi maalumu ya Kitaifa zima. Hapo kabla, maombi haya hayakuwahi kuwepo isipokuwa kwa mara ya kwanza yalifanyika mwaka 2018 na yamekuwa yakiendelea tangu kipindi hicho
Kwa hiyo kwa wiki tatu mfululizo zilizopita kabla ya wiki hii tuliyonayo sasa, Kanisa A limekkuwa kwenye maombi maalumu ya wiki tatu

Kwa wiki hii tuliyonayo sasa, kuna MAOMBI MALUMU tena Kanisa A
na ratiba yake iko kama ifautavyo
  • J3 hadi J5; MAOMBI MAALUM ya Kanisa zima
  • Ijumaa: MAOMBI MAALUMU ya mkesha wa akina mama peke yao,. Maombi ya Kanisa zima ya kuanzia saa 10 mpaka saa moja jioni na ambayo ndiyo yako kwenye ratiba kuu, hayapo siku hiyo
Ikumbukwe kuwa maombi ya mkesha wa akina mama, hayazuii ratiba kuu kufuatwa siku hiyo ya Ijumaa kwa sababu yanafanyika wakati wa usiku ilhali maombi ya kanisa zima huwa yanafanyika kuanzia saa 10 jioni

Kwa hiyo hadi kufikia leo hii, Kanisa A limekuwa kwenye maombi kwa muda wa wiki nne mfululizo,.

Mhusika atakuwa analeta humu taarifa za ratiba ya MAOMBI MAALUM kama zitakapokuwa zinatangazwa kwenye siku za J2. Kawaida maombi yenye kufuata ratiba huwa yapo kila wiki kwa siku za Ijumaa kuanzia saa 10 hadi saa 1:00 jioni

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 15TH FEBRUARY 2023

BAADHI YA COINCIDENCES ZILIZOJIRI KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA NDANI YA SIKU MBILI ZA WIKI HII AMBAZO NI J3 NA J4; HUKU SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMK) AKIWA NI MMOJAWAPO WA WAHUSIKA WA COINCIDENCES HIZO

MAELEZO YA UTANGULIZI


Mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka jana (2022), mhusika aliwahi kuleta humu jukwaani, taarifa za mgeni wa SMK aliyewasili mazingira ya ofisini J3 asubuhi, na kwenye muda ambao mhusika naye ndiyo alikuwa anaingia ofisini.

Taarifa za mgeni huyu na ambaye alikuwa amebeba begi la ukubwa wastani, mhusika aliwahi kuzileta humu kupitia post hii hapa #1,247

Hata hivyo, kwa mara nyingine tena, J3 asubuhi wiki hii, tukio la aina hii limejirudia tena.

Mgeni mwingine wa SMK aliyekuwa amebeba kibegi kidogo huku akiwa amekipakata kifuani kwa mbele; alifika ofisini kwa mhusika akiwa anaulizia mahali ilipo ofisi ya SMK.
  • Na kwa sababu mgeni huyu alikuwa amekibeba kibegi hicho kifuani kwa mbele, kibegi hicho hakikuweza kuonekana na Kamera inayomulika kwenye korido, pindi alipokuwa anatembea kwenye korido akiwa anaelekea mahali ilipo ofisi ya husika
  • Mbali na hilo, mikanda ya kibegi hicho nayo pia haikuweza kuonekana na Kamera kwa sababu baada ya kuwa amekivaa, juu yake alivaa tena koti la suti.
Kwa hiyo kwa kumwangalia kutokea nyuma, mgeni huyu alikuwa hawezi kuonekana kuwa alikuwa amebeba kitu chochote; unless tu kwa kumwangalia face-to-face; kwa mbele

Maelezo kamili ya mtu huyu yatafuata baadaye, hasa yale yanayohusiana na safari yake wakati anaondoka sasa ofisini kwa SMK

WAKATI MGENI HUYU ANAFIKA OFISNI KWA MHUSIKA………..

Baada ya kuwa ameingia ndani ya jengo, mgeni huyu alinyoosha na kuelekea moja kwa moja hadi mlangoni mwa ofisi ya mhusika; na hatimaye kuulizia mahali ilipo ofisi ya SMK, baada ya kuwa wamesalimiana. Mhusika alimwelekeza mtu huyu, na baada ya hapo aliondoka na kuelekea ilipo na hatimaye kwenda kuiingia humo, huku nyuma akiahdi kuwa angerudi tena ofisini kwa mhusika baada ya kuwa amemaliza shughuli zake na SMK
  • Mgeni huyu alibahatika kumkuta SMK ofisini kwake na alikaa humo kwa angalau lisaa limoja au mawili
  • Mhusika na mgeni huyu wanafahamiana tangu kipindi kirefu nyuma; ni jamaa yake wa karibu sana na pia wanaongea lugha moja kuzaliwa
  • Mbali na hilo, mgeni huyu pia ni staff-mate wa mhusika ila kwenye IDARA tofauti, na pia MAJOR UNIT tofauti
Hapo kabla ya mabadiliko kufanyika, mhusika na mgeni huyu walikuwa kwenye IDARA tofauti, ila kwenye MAJOR UNITmoja. Kwa hiyo MAJOR UNIT zao zilikuja kutofautiana tu baada ya mabadiliko kutokea
  • Ni jamaa yake wa karibu na walifahamiana kipindi kirefu nyuma tangu yeye (mgeni) alipokuwa bado ni mwanafunzi kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika; huku mhusika yeye akiwa tayari ni mwajiriwa.
  • Zaidi ni kuwa kule kijijini walikozaliwa wanatoka wilaya zilizo jirani ndani ya mkoa mmoja; na hivyo wanaongea lugha moja ya kuzaliwa
  • Tatizo dogo tu lililokuwepo ni kwamba walikuwa hawajaonana kwa muda mrefu sana, huku kila mmoja akiwa amepoteza mawasiliano ya simu ya mwenzake; na mara ya mwisho kuonana ilikuwa ni mwaka 2019
Maelezo zaidi kuhusiana na mtu huyu yatafuata baada ya mhusika kuwa ametoa maelezo kwa ufasaha kuhusiana na coincidences alizoziona kunzia J3 hadi J4 ya wiki hii; ukiondoa siku ya J5 ambayo ni leo

……………………inaendelea
 
TUKIO LA KWANZA KABISA LILILOPELEKEA UWEPO WA COINCIDENCES HIZI

Tukio hili lilitokea baada ya mgeni wa SMK kuwa ameondoka masaa machache yaliyopita. Hata hivyo tukio hili ndiyo lile lililokuja baadaye, kupelekea mhusika kuanza kuona pattern fulani kwenye matukio yaliyokuwa yakiendelea ofisini kuanzia siku hiyo.

Hii inamaanisha kuwa hadi kufikia muda mgeni wa SMK anaondoka maeneo ya ofisini, mhusika alikuwa bado hajaonana kitu chochote ambacho kilionekana kama si cha kawaida

MHUSIKA AKIWA ANAPUMZIKA KIDOGO KWENYE VERANDA; MNUNUZI WA GARI LA ZAMANI LA MHUSIKA ALIFIKA MAENEO YALE


Huyu mnunuzi wa gari la mhusika (tumwite MWG), naye pia ni staffmate wa mhusika kwenye idara moja.

  • Vile vile MWG ndiye yule ambaye mhusika aliwahi kuleta taarifa zake humu jukwaani kuwa miaka kadhaa iliyopita (MWG) alikuwa akimvizia mhusika kwa ajili ya maongezi pindi tu mhusika alipokuwa anakuwa yupo WASHROOMS
  • Kwenye maongezi hayo MWG alikuwa anajaribu kumshawishi mhusika (mara kwa mara) amuuzie gari lile ambalo mhusika aliwahi kulikataa na kuliacha moja kwa moja garage hadi leo
Mhusika alilitelekeza garage gari hilo baada ya kuwa amelipeleka kwa ajili ya matengenezo na hatimaye gari hilo kuibiwa inijini yake mpya likiwa hapo garage, na kuwekewa injini nyingine kuukuu ambayo haikuwa yake

Baada ya incidence ya gari hili kutokea kipindi hicho, ndiyo sasa MWG akaanza kufanya kazi ya kumshawishi mhusika amuuzie gari hilo, na mhusika naye hakuweza kukubaliana na ombi hilo la MWG hadi leo

Mbali na hayo, MWG ndiye yule ambaye kwa kipindi cha hivi karibuni, amekuwa akihusika sana na matukio ya BIBI MUUZA VITABU

  • BIBI MUUZA VITABU amekuwa mara kwa mara, akifika mazingira ya ofisini akiwa ana appointment na MWG pamoja na mwenzake (aliwahi kuwa Mkuu wa Idara kipindi cha miaka ya 2006-2012) na kuwakuta wote wawili hawapo ofisini kwao
  • Baada ya hapo, BIBI MUUZA VITABU hunyoosha moja kwa moja hadi ofisini kwa mhusika, na kwa kipindi cha hivi karibuni sana, BIBI MUUZA VITABU ameweza kufika tena ofisini kwa mhusika ndani ya siku chache tu zilizopita
  • Siku hiyo, BIBI MUUZA VITABU alifika ofisni kwa mhusika katika namna ambayo ilionyesha kuwa alikuwa amejificha na Kamera inayomulika kwenye korido, na pia aliondoka katika namna iliyoonesha hivyo
Tukio hili la hivi karibuni la BIBI MUUZA VITABU kuwasili mazingira ya ofisini na kuwakuta wenyeji wake hawapo; na hatimaye kuelekea tena ofisini kwa mhusika huku akiwa amefichwa asionekana na Kamera, mhusika ameshatoa maelezo kupitia kwenye post zake za hivi karibuni zilizopo hapo juu

Kwa hiyo, haya ni maelezo kwa kifupi sana kuhusiana na MWG na ambaye kwa sasa. anashikilia nafasi muhimu sana kwenye taasisi (administrative position) ambayo hapo kabla, ilikuwa inashikiliwa na MR X, na ambayo inao pia uwezo wa ku-foresee na hivyo kushughulikia madai ya siku nyingi ya mhusika ambayo bado hayajalipwa hadi muda huu

NB: Mgeni wa SMK wa J3 hii naye pia aliondoka ofisini kwa SMK katika namna ambayo alikuwa amejificha na Kamera, na aliyetumika kumficha na Kamera hiyo ni mhusika mwenyewe. Maelezo zaidi yanafuata

………………………inaendelea
 
ITAENDELEA BAADAYE KIDOGO KWA SABABU UMEME UMEKATIKA NAJENERATA HALIJA SWITCH ON AUTOMATICALLY. KAWAIDA JENERATA HUWA LINAJIWASHA LENYEWE UMEME UKIKATIKA. POSSIBLY LINA TECHNICAL FAULT
 
MWG NA MHUSIKA WAKIWA KWENYE VERANDA GHOROFA YA KWANZA

Chini ya ghorofa umbali wa takribani mita 20 pembezoni mwa barabara, ilipaki gari ya MKUU WA MAJOR UNIT (tumwite MMU), na dereva wake alikuwa yupo pembezoni nje ya gari hilo

Awali, gari hili lilikuwa na vioo TRANSPARENT lakini kwa kipindi cha hivi karibuni, vioo hivyo vimefanyiwa marekebisho na kuwa TINTED

MWG akiwa yupo juu alikuwa pia anaongea kwa simu na mtu mwingine akimweleza kuwa FULANI (akimaanisha dereva wa gari la MMU, ambaye alikuwa chini pembezoni mwa bararbara akiwa pamoja na gari) amekubali kumpelekea yeye (MWG) Mwenge
  • Baada ya kuwa ametamka maneno hayo, MWG alishuka chini na kwenda kupanda ndani ya gari la MMU lililokuwa limepaki kwenye NO PARKING AREA, pembezoni mwa barabara likiwa pamoja na dereva wake
  • Baada ya MWG kuingia kwenye gari na kufunga mlango wa gari, haikupita hata dakika moja, ilikuwa ni baada ya sekunde kadhaa tu, MWG alishuka kwenye gari hilo na kupandisha tena juu hadi mahali pale mhusika alipokuwa amesimama kwenye veranda
Baada ya kufika juu, MWG alisikika akisema kuwa ameahirisha kwenda Mwenge kwa sababu amepewa taarifa mpya kuwa tayari kuna mtu mwingine ameshaenda kuchukua kitu kile ambacho MWG alitakiwa aende akakichukue Mwenge pamoja na dereva wa MMU

Hili tukio likaishia pale na baada ya hapo mhusika alirudi ofisini kwake na kuendelea na kazi zake kama kawaida. Hili sasa tuliite tukio la pili la J3

TUKIO LA TATU: BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEACHANA NA MWG NA KURUDI OFISINI KWAKE


Baada ya kuwa imepita takribani saa moja; mhusika alipandisha juu washrooms, na baada ya kutoka huko, alipitia tena hapo kwenye veranda na kupumzika kidogo.
  • Akiwa yupo pale peke yake, hakuweza kukaa sana na hatimaye aliamua kuondoka pale akarudi ofisini kwake
  • Wakati alipokuwa anaondoka ofisini kwake kuelekea washroom, chumba jirani na ofisi yake ambacho mara kwa mara huwa kinatumiwa na MR X, hakikuwa na mtu na hivyo kilikuwa kimefungwa
  • Hata hivyo wakati anarudi, mhusika alikuta mtu kwenye chumba hicho, na alikuwa ameacha mlango wazi
  • Mtu huyu hakuwa mwingine bali yule swahiba wake wa karibu ambaye huwa wanashirikiana kufundisha kozi moja, na ambaye pia wanakaa ofisi jirani
  • Mhusika kuona hivyo aliamua kuingia humo ndani ili aone mtu huyu alikuwa anafanya kitu gani kwa sababu si kawaida sana kwa yeye kufanyia kazi zake humo, kiasi kwamba mhusika hakumbuki mara ya mwisho ni lini aliwahi kumuona mtu huyu akiwa yupo anafanya kazi kwenye chumba hicho
  • Mbali na hilo, mhusika alitamani pia upepo kidogo wa AC nzuri iliyopo kwenye chumba hicho, ukizingatia kuwa ile ya kwake haifanyi kazi kwa muda wa takribani mwaka mzima sasa
Mhusika aliamua kutoingia ofisini kwake na ku-divert njia na hatimaye kuingia kwenye chumba hicho ambacho alikuwepo swahiba wake huyo
  • Swahiba alikuwa na sample kadhaa za utafiti za mawe ambazo ndiyo alikuwa anaziandaa sasa ili aanze kuzifanyia kazi kwa kutumia darubini (microscope)
  • Hata hivyo, swahiba alikuwa bado hajawasha AC kwa sababu ndiyo alikuwa ameingia kwenye chumba hicho
Mhusika alimuuliza swahiba kwa nini alikuwa hajawasha AC; kwa sababu hicho nacho ndiyo kilikuwa kimojawapo ya vitu vilivyopelekea aingie humo
  • Swahiba alijibu kuwa atawasha tu kwa sababu ndiyo alikuwa ameingia na alikuwa bado hajaanza kufanya kazi
  • Baada ya jibu hilo, mhusika aliendelea mbele akitembea na kwenda kuiwasha AC hiyo.
  • Baada ya kuwasha AC, pembezoni kwenye ukuta macho yake yaligongana tena na ubao mzuri ambao ulikuwa umefutwa vizuri, na kulikuwa na chaki ndefu pia pembeni yake
Tatizo la mhusika huwa hatulii, pilika pillika ni huwa ni nyingi mno utafikiri ni mtoto mdogo. Mara hapa mara pale

Mhusika alitamani kuandika kitu kwenye ubao huo na alichukua chaki na kuanza kuandika. Kuna mathematical statement moja huwa anaipenda ku-imemorize ili isije ikatoka kichwani kwa sababu anaipenda sana.

Statement hiyo inasema hivi

Limit of a function f of x is equal to L as x tends to a MEANS for all episilon greater than zero, there exists delta greater than zero such that absolute “x minus a” is less than delta, implying that f of x minus L is less tnan episilon

Hii statement anaipenda sana na aliisoma term ya kwanza alipokuwa mwaka wa kwaza wakati alipokuwa anafanya degree ya kwanza mwaka 1995

Akiwa anahangaika kuandika statement kwa kutumia symbols huku akiwa anafutafuta kwa kukosea na kuanza kuirudia rudia; all of sudden alistukia mwenzake hayupo chumbani; mhusika akiwa amebaki peke yake. Aliondoka muda gani, mhusika hakuwa na taarifa

Baada ya kuona hivyo, mhusika aliondoka taratibu kwenye chumba hicho, akarudisha mlango na kuingia ofisini kwake mlango jirani

Baada ya dakika kadhaa kupita, swahiba alirudi na kukuta mhusika tayari ameshaingia ofisini kwake. Hili sasa tuliite tukio la tatu la siku ya J3

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEMALIZA KAZI ZAKE SIKU HIYO


J3 hiyo, mhusika aliondoka ofisini akimwacha swahiba akiwa bado yupo chumba jirani anaendelea na kazi zake

Huku nyuma, baada ya swahiba kumaliza kazi zake, alifunga geti kuu la ofisi hizo

Hata hivyo, ilipofika kesho yake J4 (jana) asubuhi, mhusika alishindwa kufungua geti hilo; alipokuwa anataka aingine ndani ofisini kwake; na hivyo kupelekea ashindwe kuingia ofisini
  • Baada ya hapo, mhusika alilazimika kwenda ofisini kwa swahiba ili kumuuliza ni nini kilitokea jana yake wakati alipokuwa anafunga mlango huo kiasi kwamba ulikuwa haufunguki tena
  • Baada ya kuingia ofisi ya swahiba, swahiba alimwashiria kuwa asiingie muda huo kwa sababau alikuwa kwenye ONLINE MEETING na kulikuwa na sauti za watu zilizokuwa zikisikika akiongea nao
  • Aidha, MMU naye pia alikuwa na ONLINE meeting nyingine na alikuwa ameweka kabisa in advance, note mlangoni kuwajulisha watu ili wasije wakamu-interrpt
Wakati huo ofisi ya mhusika ikiwa imeshindikana kufunguliwa huku aliyesababisha tatizo akiwa hana uwezekano wa kupatikana muda huo, na mhusika naye akiwa ana hitaji la kuingia ofisini kwake muda huo; ndiyo pale sasa fikra za mhusika zilipoanza kurudi nyuma hadi kwenye tukio la J3 la mgeni wa SMK aliyekuwa amebeba kibegi kifuani

Details zaidi za tukio la mgeni wa SMK zitawajieni mwisho baada ya maelezo ya tukio la hili la nne au la J4, kuwa yamekamilika
………………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 17TH DECEMBER 2023

BY THE WAY
: : DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA KILICHOKUWA KIKIENDELEA KANISA A J2 YA TAREHE 12/20/2023:

TANGAZO LA DHARURA LA BARAKA LILILOTOLEWA BAADA YA IBADA KUU KUMALIZIKA; BARAKA AMBAYO WAUMINI WA KANISA A WAMEKUWA WAKISHRIKI KARIBIA KILA MWAKA


Vitu muhimu kwenye tangazo hilo la BARAKA ambavyo mhusika aliviona ni vitatu; na mhusika hana tatizo kabisa na MAUDHUI ya tangazo hilo kwa sababu ni la BARAKA

Vitu vitatu muhimu sana alivyoviona mhusika na ambavyo atakuja kuviongelea baada ya kukamilisha maelezo ya kile ambacho bado anaendelea nacho sasa ni kama ifuatavyo

MOSI: Udharura wa kutolewa kwa tangazo hilo ambalo halikuwa limetangazwa J2 ya wiki iliyokuwa imepita nyuma.
  • Kawaida kwenye ushiriki wa mbaraka wa aina hii, waumini huwa wanaandaliwa kwa angalau wiki moja kabla, na hivyo tangazo la namna ya kushiriki mbaraka huo huwa linatolewa angalau wiki moja kabla
  • Kama ambavyo imekuwa kawaida kwa miaka yote, ushiriki wa waumini kwenye mbaraka huo umekuwa ukitanguliwa na semina pamoja na maombi kwenye siku za wiki kabla ya J2 ya ushiriki wa mbaraka wenyewe
  • Ukizingatia umuhimu wake, kushtukizwa kwa tangazo hilo kunaonyesha dalili za kuwa lilitakiwa liendane na kitu kingine baada ya dalili/ matukio kadhaa kuonekana pindi tangazo hilo lilipokuwa linatolewa na wahusika waliokuwa wamesimama juu madhabahuni
PILI: Kukatika umeme mara mbili wakati tangazo hilo lilipokuwa linatolewa; mara moja kwa kila mtumishi wa Mungu aliyekuwa anahusika na kutoa tangazo hilo, na hivyo kupelekea GENERATOR LA UMEME KUWAKA MARA MBILI NA PIA KUZIMA MARA MBILI

Maelezo fasaha kuhusiana na kukatika kwa umeme huo J2 iliyopita, yatafuata baadaye. Hata hivyo kwa dokezo tu kwa sasa ni kwamba; kawaida umeme ukikatika, STAND BY GENERATOR HUWA INAWAKA, na ukirudi STAND BY GENERATOR HUWA INAZIMA

Hapa zilikuwa zinatumika mbinu za staff-mate wa mhusika ambaye amemwita humuj jukwaani kama Mnunuzi Wa Gari (MWG) ambaye taarifa zake zimeelezwa kwenye post hapo juu.

Kilichotokea Kanisani J2 hiyo, ni mbinu ambazo zimekuwa zikitumika ofisin kwa mhusika na anayehusika katika hili ni MWG. Ikumbukwe kuwa
  • Generator la umeme likiwaka, huwa linatikisa ardhi
  • Watu wanapokuwa wanatembea, huwa wanatikisa ardhi
  • Magari yanapokuwa yanatembea, huwa yanatikisa ardhi
MWG anayo NYUDO KUBWA ambayo huwa inatumika ku-simulate vitetemeko vidogo vya ardhi (mitikisiko ya ardhi) kwa ajili ya utafiti, ambayo aliiazima ofisni kwa mhusika siku nyingi zilizopita na hajairudisha hadi leo.
  • Hadi muda huu, dalili zimekuwa zikiendelea kuonyesha kuwa MWG anadhani kuwa mhusika alishasahau kama aliwahi kumwazima nyundo hiyo MWG
  • Mbali na hilo, mita kadhaa kutoka usawa lilipo ofisi ya mhusika, kuna GENERATOR LA UMEME pia. Maelezo kamili yatafuata baadaye
TATU: Jedwali la ushauri (schedule) iliyotolewa kwa waumini wa Kanisa A, ya namna ambavyo waumini hao wanaweza kushiriki vizuri zaidi kwenye zoezi la utekelezaji wa mbaraka huo

Jedwali hilo lilikuwa ni SUPERB, na anampongeza sana mtumishi wa Mungu aliyeandaa jedwali hilo isipokuwa kwa upande mwingine, liliambatana na COINCODENCE nyingine ya pekee sana kwa mhusika, hasa kwenye maswala yake PERSONAL ofisini kwake, ukizingatia pia kuwa aliyekuwa ameliandaa, ni staff-mate wa mhusika

Hata hivyo, kama Generator la umeme lisingewaka katika kila kipindi cha kila mtumishi wa Mungu aliyekuwa anahusika na tangazo la Baraka, mhusika asingeweza ku-notice COINCIDENCE yoyote kati ya jedwali hilo na maswala yake personal ya ofisini

Mambo haya matatu, yalipelekea mhusika kukamilisha utafiti wake siku hiyo mara tu baada ya umeme kukatika na kupelekea generator kuwaka, ukizingatia kuwa TANGAZO LILILOTOLEWA LILIKUWA NI LA DHARURA KWA MAANA KWAMBA PAMOJA NA UZITO MKUBWA MNO WA TUKIO LENYE KUAMBATABA NA TANGAZO HILO, HALIKUWA LIMETOLEWA MAELEZO YA AWALI J2 ILIYOKUWA IMEPITA NYUMA

  • Karibia mara zote tangazo la aina hii limekuwa likitolewa kwa kutanguliwa na tangazo jingine la utangulizi kwenye J2 za nyuma yake; yaani tangazo lake la utangulizi huwa linatolewa angalau wiki moja kabla ya J2 ile ya utekelezaji wa mbaraka wenyewe
  • Tofauti na ilivyo kawaida, tangazo hilo lilishtukizwa J2 hiyo hiyo na hatimaye kufanyiwa utekelezaji wa papo kwa papo na hivyo kuepelekea kuwa la DHARURA kwa sababu maelezo yake ya utangulizi ikiwa ni pamoja na maandalizi ya semina, hayakuwa yamefanyika
Hata hivyo mhusika anakiri kwa kumbukumbu zake kuwa ilikuwa ni mara ya pili sasa kwa tangazo hilo kutolewa kwa udharura wa namna hiyo J2, lakini hiyo hailiondolei tangazo hilo sifa ya kuwa la dharura kwa sababu utaratibu ambao umekuwa ukitumika miaka yote haukufuatwa

Maelezo ya kina kuhusiana na taarifa hizi yatafuata baadaye

UPNEXT: Tukio la nne lililotokea J4 ya tarehe 14/02/2023 kufuatia J3 ya ujio wa mgeni wa SENIOR MSTAAFU WA KIKE
 
BAADA YA OFISI YA MHUSIKA KUSHINDIKANA KUFUNGULIWA J4 ASUBUHI

Mhusika aliamua kwenda kutoa taarifa mafundi kwenye Karakana ya Sayansi ili mafundi waje wamsaidie kuufungua

Kule alimkuta fundi mmoja anaitwa Ayubu, ambaye alimwelekeza mhusika aende Idara ya Mechanical Engineering kitengo cha Carpentry, kwa sababu wao Karakana ya Sayansi siku hizi hawana mafundi wa vitasa vya milango ya mbao

Mhusika alitoka huko akielekea Engineering, huku njiani akipitia tena ofisini kwake

Alipofika ofisni, alimuona kijana wa usafi na kumwita ili wakajaribu tena kufungua
  • Mhusika alimpa funguo kijana huyo na kumuomba ajaribu kuufungua lakini naye pia hakuweza kufanikiwa
  • Baada ya hapo mhusika aliamua kuelekea Carpentry huku funguo hizo akiziachia na kijana huyo wa usafi
Kule Carpentry, alikuta Karakana haina mtu, milango yote ilikuwa imefungwa huku ndani kukionekana kupitia madirisha makubwa ya vioo. Hapakuwa na mtu yoyote ndani

Mhusika alirudi ofisini na hatimaye mtu mmoja alikuja na kuufungua mlango huo.
  • Aliyefanikiwa kuufungua mlango hakubahatisha, bali anajua siku zote kuwa mlango huo huwa unafunguliwaje, isipokuwa tu alikuwa hayuko willing kusaidia kabla mhusika hajaenda kupita pita kule kwenye Karakana akitafuta mafundi
  • Hii ilikuwa ni baada ya yeye kukiri kuwa anajua kuwa huwa unafunguliwaje, baada ya kuwa ameufungua
Kilichosababisha mhusika asiweze kuufungua mlango huo ni kwamba kitasa chake kilshaharibika siku nyingi na hivyo, kwa miaka yote mlango huo umekuwa ukifungwa pasipo lock kwa sababu baada yake kuna grill pia ambayo yenyewe ndiyo ina lock

Hata hivyo, mhusika alikuja kubaini baadaye kwamba kulikuwa na maswala mengine kwenye mlango huo, mithili tu na ya lile swala la kuzima na kuwaka kwa Generator mara mbili Kanisani J2 iliyopita

Unapolazimisha mlango kufunguka na ukawa haufunguki, kuna mambo kadhaa huwa yanatokea, ambayo mojawapo ni kwamba ni lazima tu utatumia nguvu (mechanical force) na kuanza kuitikisa tikisa, nguvu ambayo hatimaye itasababisha mitikisiko pamoja na kelele pia. Kwa hiyo kwenye swala la mlango kama huu, kunakuwa pia na maswala ya CONVERSION OF ENERGY

  • Conversion of mechanical energy to sound energy (kelele za mlango)
  • Conversion of mechanical force to frictional force ambayo hii ndiyo itasababisha uwepo wa sound energy (kelele za mlango)
Kwa kiasi kikubwa hints alizonazo mhusika mpaka muda huu zinamwelekeza kwenye ufahamu wa kuwa mlango huu ulikuwa umefungwa kwa makusudi; na anashangaa uliwezaje kufunga kwa lock kwa sababu katika hali ya kawaida mlango huo huwa huwa haufungi kwa lock miaka yote

Hili sasa tuliiite tukio la nne na hivyo tunarudi tena kwenye tukio letu la kwanza la mgeni wa SMK wa siku ya J3

………………………inaendelea
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MATUKIO YA OFISINI J2 HII

Matukio haya yote manne yaliyotokea ofisini kwa siku mbili za J3 na J4; maandalizi yake yalifanyika kutokea Kanisani siku ya J2. Ufafanuzi zaidi katika hili utafuata baadaye

Zaidi ni kuwa ukiona KM-A amesimama madhabahuni halafu anaanza kuwaomba waumini waliokaa wasimame kwa ajili ya kupiga makofi baada ya sala na baada ya kuwa neno AMINA limeshatamkwa, au makofi yanaanza kupigwa kabla ya neno AMINA, ujue siku hiyo hakuna Ibada.

Huu ni utafiti ambao mhusika ameshauthibitisha pasipo shaka na kwa muda mrefu mno

Katika hali ya kawaida, KM-A huwa hawezi kusimama madhabahuni bila ya kuwa na hidden support gears za kwake mweyewe; haiwezekani; hicho kitu huwa hakipo milele
 
…………..inaendelea

MGENI WA SMK J3 SIKU YA J3


Wakati anaingia, alianzia ofisini kwa mhusika. Hakuingia ndani ila alisimama kwenye ukingo wa mlango tu kwa sababu mlango wa ofisi ulikuwa wazi. Kukosekana kwa AC ofisini kwa mhusika kunamlazimisha muda wote kuacha mlango wazi
  • Baada ya kupata maelekezo ya mahali ilipo ofisi ya SMK, mgeni huyu alimuaga mhusika na kuingia humo ofisini
  • Mgeni alikaa ofisini kwa SMK muda wa takriban masaa mawili
Huku nyuma ofisini kwa mhusika, J3 hiyo ilikuwa vile vile ni siku nyingine ya usafi, na mhusika alikuwa anashangaa kidogo kwa nini watoto wa usafi walikuwa wamechelewa kidogo hadi alianza kudhani kuwa pengine walikuwa wametingwa kidogo, na hivyo labda walipanga kuja kesho yake
  • Hata hivyo, baada ya muda, majira kama ya baada ya saa 5:00 asubuhi, mtoto mmoja wa usafi aliripoti ofisini kwa mhusika na kuomba aanze kufanya usafi
  • Mhusika alimpisha mtoto na kama ilivyo kawaida yake, alianza kuelekea kwenye kijiwe chake cha siku zote; kwenye veranda ya ghorofa ya kwanza
MHUSIKA AKIWA ANATEMBEA KUELEKEA KWENYE VERANDA, BAADA YA KUWA AMEFIKA USAWA WA MLANGO WA OFISI YA SMK, HUKU AKIWA KAMA ANATAKA KUUPITA KIDOGO

Mhusika alisikia sauti ikimwita, ilikuwa ni ya mgeni wa SMK
  • Mgeni alitoka ofisini huku akiwa yuko nyuma ya mhusika, mhusika akiwa mbele
  • Mgeni alimweleza mhusika kuwa kilichokuwa kimemleta tayari ameshakikamilisha na hivyo muda huo alikuwa yuko njia moja kuondoka
Ikumbukwe kuwa wakati huo mhusika alikuwa yuko mbele, mgeni akiwa nyuma, na hivyo si rahisi sana watu wawili wakatembea kwenye korido za jengo hilo wakiwa wako sambamba na wakawa comfortable. The best option ni mmoja kutangulia kidogo mbele na mwingine kufuata nyuma

Kwa hiyo mhusika aliongoza njia, mgeni akiwa anafuata kwa nyuma, huku mhusika akiwa amemziba mgeni na Kamera ilnayomulika kwenye korido
  • Walipofika kwenye veranda, waliongea mawili matatu pale halafu mgeni akasema anataka kuondoka
  • Mhusika alimkaribisha ofisini ili wakaongee kama alivyokuwa ameahidi lakini mgeni alikataa kwa kutoa udhuru kuwa alikuwa tayari ana kazi aliyotakiwa kwenda kuianza muda huo ili iweze kukamilika haraka, na ambayo ilitokana na maongezi kati yake na SMK
  • Mhusika naye hakuona shida katika hilo, alimruhusu mgeni huyo aondoke, ila hakumsindikiza, aliendelea kubaki pale pale kwenye veranda
  • Mgeni alianza kuondoka na baada ya kufika usawa wa ngazi kabla hajaanza kushuka, alimgeukia mhusika na kumweleza kuwa kwenye thermos iliyokuwa kwenye kibegi alichokuwa amebeba, kulikuwa na uji na hivyo angeweza kumpatia mhusika uji huo kama angeleta kikombe
  • Mhusika alishukuru kwa ukarimu huo ila alitoa udhuru kuwa ana matatizo ya kuongezeka uzito na hivyo anakwepa kutekeleza baadhi ya milo ya siku
Baada ya hapo, mgeni huyu aliondoka; na mara ya mwisho walionana na mhusika kabla ya siku hiyo, ilikuwa ni mwaka 2019

EXPERIENCE ZINGINE MBILI ZA MIAKA YA NYUMA KATI YA MHUSIKA NA MGENI HUYU: MGENI HUYU ALIWAHI KUABUDU KANISA A MARA MBILI

Mwaka 2011 na 2012 mhusika akiwa tayari ni muumini wa Kanisa A, mgeni huyu aliwahi kuonekana Kanisani hapo mara mbili ila katika mazingira ambayo yaliwahi kumtatiza kidogo mhusika

Kawaida wakati wa matangazo, Kanisa A huwa lina utaratibu wa kuwaomba wageni wote waliofika kwenye Ibada ya J2 husika, wasimame ili viongozi waweze kujua kana kuna wageni siku hiyo ili waweze kukaribishwa rasmi, na ninadhani ndiyo uataribu wa kawaida kwenye nyumba nyingi za Ibada hapa nchini
  • Kwa mara ya kwanza, mwaka 2011 mgeni huyu aliwahi kuja kuabudu Kanisa A, na ulipofika wakati wa kukaribishwa wageni kwa kuombwa wasimama kwanza, mgeni hakuweza kusimama ilhali ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuja kuabudu kwenye nyumba hiyo ya Ibada
  • J2 hiyo kulikuwa pia na tangazo Kanisani la safari ya mhusika, ya kwenda kukagua na kuchukua data za matetemeko ya ardhi kwenye mikoa ya Arusha, Singida na Manyara.
  • Baada ya hapo, mgeni huyu hakuwahi kuonekana tena Kanisani hapo, hadi ilipofika May 2012 ndiyo alionekana tena kwenye J2 moja
  • Kwenye J2 hiyo, mtu huyu hakuwa mgeni tena Kanisani hapo kwa sababu ilikuwa ni mara yake ya pili kuabudu pale na kwa hali hiyo, hakuwa anatakiwa tena kukaribishwa kama mgeni na hivyo J2 hiyo hakuwa anastahili kusimama
  • Ilikuwa ni kawaida kwa mgeni huyo kutosimama kama mgeni wakati wa ukaribisho, ila si katika ile J2 ya mwanzo, mwaka 2011
Still, J2 hiyo kulikuwa vile vile na tangazo jingine Kanisani la safari ya mhusika, ya kwenda kukagua na kuchukua data za matetemeko ya ardhi kwenye mikoa ya Arusha, Singida na Manyara

Kwa hiyo mgeni huyu alikuwa ana-COINCIDE na J2 zile tu ambazo wiki inayofuata, mhusika alikuwa anafanya safari

Mhusika alifanya safari hiyo na ndiyo ilikuwa safari yake ya mwisho hadi leo hajawahi kusafiri tena

Zaidi ni kwamba mgeni huyu wako Idara moja na Afisa Tawala Mstaafu wa Taasisi anayofanyia kazi mhusika, ambaye aliwahi kustaaafu kipindi kile cha jana, yaani aliyefuatiwa na huyu aliyestaafu mwezi Desemba 2022

Afisa Tawala mstaafu huyu ndiye yule aliyewahi kumshusha cheo mhusika na hatimaye kumkata mshahara wake mwaka 2014, ikiwa ni pamoja na kumwandikia barua ya kumtishia kumfukza kazi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 18TH FEBRUARY 2023

MASANDUKU YA KUHIFADHIA VIFAA VYA MATETEMEKO


Ofisini kwa mhusika kulikuwepo masanduku mawili makubwa ya mbao yaliyokuwa yamehifadhi baadhi ya vifaa vipya vya kufanyia utafiti wa matetemeko ya ardhi. Kwa miaka yote, masanduku hayo yamekuwa yakikaa humo tangu vifaa hivyo vinunuliwe mwaka 2013/2014 Masanduku hayo yalichukuliwa aidha J3 jioni baada ya mhusika kuwa ametoka ofisini, au usiku wa J3 kuamkia J4 ya wiki hii na hadi muda huu, haijajulikana ni nani aliyeyachukua

Chances ni kwamba masanduku hayo yamechukuliwa na wahusika, ila hadi muda huu, mhusika bado hajapata taarifa za nani aliyeyachukua

Masanduku hayo ni muhimu kwa sababu hapo baadaye, mhusika atakuja kuyaongelea kwa kina kidogo

Kwa ujumla wake, masanduku hayo yako manne, ila mawili mengine yalikuwa yamehifadhiwa kwa kipindi kirefu kwenye ofisi ya fundi ambaye huwa anahusika na kufanya service ya vifaa vya matetemeko; ambaye yeye yuko idara nyingine; na hiki ndiyo kile kinachopelekea mhusika baadaye aje ayaongelee masanduku haya

Mbali na masanduku haya, nyundo kubwa ya kufanyia simulation ya matetemeko iliwahi kuazwimwa siku nyingi nyuma na Mnunuzi wa Gari (MWG) na ambaye bado hajairudisha

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 19TH FEBRUARY 2023

BREAKING NEWS!!!!!!

“CODE” NYINGINE MBILI ZAIDI ZAFUNGUKA TENA J2 YA LEO: CODE YA VIOO/ VIOO VYA GARI (SIDE MIRRORS AND DRIVING MIRRORS) NA CODE YA MAKOFI YA AMBAYO YAMEKUWA YAKIPIGWA KANISANI, MAARUFU KAMA “MAKOFI YA WALIOKAA TUSIMAME”


Ikumbukwe kuwa J2 iliyopita, iliweza kufunguka code moja ya siku nyingi inayohusiana na mitikisiko, code ambayo mhusika bado hajaleta humu jukwaani maelezo yake ya kina

Kwa kifupi tu ni kwamba, MADHABAHU ya code hii ilikuwa ndani ya ofisi ya mhusika, na ilikuwa imewekwa kwenye vifaa vya kupimia matetemeko ya ardhi, ambavyo baadhi ya vifaa vimeweza kuchukuliwa na kutoka ofisini humo J3 jioni au usiku wiki hii, na mtu ambaye bado hajajulikana, na vilichukuliwa baada ya mhusika kuwa ameondoka ofisini kurudi nyumbani

Code hii ilianza kufanya kazi tangu Jumatatu Julai 11, 2015, siku ya J3 kufuatia J2 ile ambayo chama tawala walitangaza mgombea wao wa Urais huko Dodoma, kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Vifaa hivyo ni vipya na vilikuwa havijawahi kufanya kazi hata mara moja na ndiyo J3 hiyo vilifanya kazi ya majaribio kwa mara ya kwanza na baada ya hapo, vilikwenda Dodoma na kukaa huko kwa miezi kadhaa vikiwa vinafanya kazi, za kawaida kwa maana kwamba hapakuwa na dharura yoyote kwa huko kwa sababu hapakuwa na tetetemeko lilikuwa limetokea muda huo wakati vinachukuliwa na kuhamia huko

Baada ya hapo, mwaka uliofuata ilipofika tarehe 12/09/2016, vifaa hivyo vilihamia tena Kagera na kukaa huko kwa miezi kadhaa, baada ya kutokea tetemeko la Kagera

Baadhi tu ya wahusika wakuu ambao wamekuwa wakihusika na ufanyaji kazi wa code hii hadi sasa ni wafuatao

  • Mkuu wa Major Unit (MMU)
  • Mkuu wa Idara wa sasa
  • Senior Mstaafu wa Kike (SMK), jirani yake na mhusika
  • BOSS X, ambaye ni mtaalamu wa matetemeko na ambaye ndiye Mkuu wa Kitengo cha matetemekon
  • Boss XX, mtaalamu mwingine wa matetemeko,na ambaye ni msaidizi wa Boss X
  • Boss XXX, mtaalamu mwingine tena wa matetemeko, na ambaye ni pia msaidizi wa Boss X.
  • Huyu yeye tangu miaka kadhaa iliiyopita, muda wake mwingi sana amekuwa akiutumia kwenye idara ile nyingine iliyowahi kuungana na idara ya mhusika na kuunda MAJOR UNIT; yaani kwenye idara ile inayoongozwa na binti yule ambaye mhusika aliwahi kumuita “mrembo”
  • Fundi wa vifaa vya electronics vikiwemo vya matetemeko, ambaye yeye huwa yuko idara nyingine na ambayo sasa hivi iko kwenye MAJOR UNIT nyingine baada ya mabadiliko ya ki-muundo (Organisation Structure) kutokea
  • Mnunuzi wa Gari (MWG) ambaye aliwahi kuazima nyundo ya matetemeko na ambayo hajairudisha hadi leo
  • Mkuu wa Idara mstaafu aliyewahi kuhudumu kwenye miaka ya 2006-2012
  • Junior staff, kijana mdogo aliyeajiriwa miaka michache iliyopita, na ambaye aliwahi ku-train kwenye kitengo cha matetemeko Oktoba 2019
  • Staff aliyekuwa akisimamia ukarabati wa jengo, na ambaye alihamia kwenye Taasisi akitokea Dodoma
  • Mtu aliyekuwa amepewa tenda ya ukarabati jengo la Idara ambaye alianza kazi hiyo Januari 2021
Zaidi ni kuwa kwa sasa imeshabainika dhahiri kuwa, mstaafu ambaye amekuwa akipita mara kwa mara ofisini kwa mhusika na kumwambia kuwa “nimepita tu kukusalimia”, huyu yeye amekuwa akifika ofisini kwa ajili ya kuja kufanya renewal ya code hii kwa kutumia sauti na apperance

Hata hao wengine walioorodheshwa hapo juu, wamekuwa wakitumia minu hiyo hiuo ya sauti na appearanca

Vile vile watu wote waliokuwa wanafika ofisini kwa mhusika na kumweleza kuwa wanataka kupita kwenye maabara, nao pia walikuwa wanahusika na renewal ya code hii

Hata hivyo, the main character kwenye RENEWAL YA CODE HII, AMEKUWA NI JIRANI WA MHUSIKA; SMK, ambaye upon failure, ndiyo ilikuwa inabdi sasa referral ipelekwe kwa watu wengine

Wengine wanaoangukia kwenye kundi hili ni

  • Mgeni wa SMK wa J3 ya wiki hii ambaye taarifa zake tayari ziko kwenye posts zilizopo hapo juu. Huyu ndiye aliyepelekaea vifaa hivyo vikachukuliwa kwa muda kutoka ofisini kwa mhusika, baada ya jaribio lake la kufeli J3
  • BIBI MUUZA VITABU
  • Mkuu wa Taasisi mstaafu aliyekuwa akihusika na mambo ya utafiti (Research)
  • Mkuu wa Taasisi mstaafu aliyekuwa akihusika na mambo ya utawala (Administation), na ambaye wako idara moja na mgeni wa J3 wa SMK
Orodha ni ndefu ila maelezo ya kina yatafuata baadaye ikiwa ni pamoja na uthibitisho wa ushahidi

KILICHOFANYIKA ILI KUHAKIKISHA KUWA CODE HII INAKUWA RENEWED KWA URAHISI


Mnamo April 2022 (mwaka jana), aliletwa fundi mgeni wa AC kwa ajili ya kuhakikisha AC ya mhusika haifanyi kazi tena( hadi leo hii haifanyi kazi) ili mlango wa ofisi yake uwe unakaa wazi muda wote.

  • Fundi huyu aliikuta AC hiyo ikiwa inafanya kazi na akajidai kuifanyia service na hatimaye kuiharibu kabisa
  • Kawaida AC za idara huwa zinafanyiwa service na mafundi ambao wamepewa tenda hiyo na taasisi na si mafundi binafsi kutoka mitaani
  • Kwa ofisi ya mhusika kuendelea kukaa wazi, ilikuwa ni rahisi sasa kwa SMK kuweza kuongea na mhusika mara kwa mara ikiwa ni pamoja na watu wengine waliokuwa wanapata nafasi ya kuwa karibu na mahali pale ilipo ofisi hiyo
Maelezo zaidi yatafuata

CODE ZINGINE MBILI ZILIZOFUNGUKA J2 YA LEO

Baada ya code hiyo ya mitikisiko kuwa imefunguka J2 iliyopita, Mungu bariki code zingine mbili zimefunguka tena J2 ya leo. Code hizi ni zile ambazo zimekuwa zikifanya kazi kwa kipindi kirefu hata kabla ya mwaka 2015

CODE YA MAKOFI YA “WALIOKAA TUSIMAME”

Code ya “Makofi ya Waliokaa Tusimame”, tuiite (MWT)
mhusika aliikuta ikiwa tayari inafanya kazi hapo Kanisa A kipindi kirefu nyuma, tangu alipoanza kuabudu hapo mnamo Mei 2011

  • Code hii MADHABAHU yake iko “juu ya madhabahu halisi (physical)” ya Kanisa A, mahali ambapo watumishi wa Mungu huwa wanasimama kwa ajili ya huduma wakati wa Ibada Kuu
  • Ikumbukwe kuwa code hii ina mbadala wake pia ambao ni makofi ambayo huwa yanapigwa wakati wa sala ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu, kabla kutamkwa neno AMINA
Ukimwondoa KM-A mwenyewe, karibia mara zote watumishi wengine wote huwa wanatumia hii code mbadala huku KM-A akiendelea kutumia code ya MWT

  • Kwa hiyo karibia mara zote code ya MWT huwa inatumiwa na KM-A tu huku watumishi wengine wakiendelea kutumia ile ya mbadala wake
  • Kwenye code hiyo, uwepo wa neno “waliokaa tusimame” huwa ni sub-code nyingine tu ya kujaribu kuwaficha wajanja kilichomo kwenye main code MWT, ila ukweli ni kwamba makofi hayo yanatakiwa yapigwe kwa njia ya pekee ya waumini kuombwa kuyapiga huku mtumishi wa Mungu akiwa bado yupo amesimama juu madhabahuni
Ilionekana kuwa, isingeleta mantiki yoyote kama waumini watahitimisha sala kwa neno AMINA, na hatimaye neno hili kufuatiwa na makofi yale ya kawaida halafu tena hapo hapo mtumishi wa Mungu awaombe waumini wapige tena makofi mengine in the same style, wakiwa katika hali hiyo hiyo waliyokuwepo awali. Hii ingeweza kupelekea code hii kuweza kugundulika kirahisi mno na waumini possibly kipindi cha miaka mingi huko nyuma. Ili kuleta angalau mantiki na pia kuipamba kidogo code na ikapambika ikiwa ni pamoja na kufichika, ilibidi angalau waliokaa waombwe kusimama kwanza halafu ndiyo makofi hayo yaweze kupigwa

Maelezo ya kina zaidi kuhusiana na code hii nayo yatafuata baadaye

CODE YA “IMAGES “ ZA VIOO NA VIFAA VINGINE VYENYE UWEZO WA KUTENGENEZA “IMAGES” AMBAYO MADHABAHU YAKE IKO KWENYE MAABARA YA VIFAA VYA MICROSCOPE (DARUBINI) YA MR X, NA JIRANI KABISA NA OFISI YA MHUSIKA

Code hii tuiite CYIV yenyewe inafanya kazi kwa kupitia images za vioo vyenye lens na visivyokuwa na lens (plane mirrors) na hivyo imekuwa ikifanya kazi kupitia SIDE MIRRORS pamoja na DRIVING MIRRORS ZA MAGARI; 9la hasa hasa mtu anapokuwa anendesha gari kwa kutumia REVERSE GEAR, na hivyo inafanya kazi kwenye vioo vyote

Mbali na hilo, code hii inafanya kazi pia kwenye imaging devices zote kama vile Cameras, Digital Projectors, Office Scanners, Office Printers etc, ikiwa ni pamoja na zile ambazo ni medical kama vile:

X-rays.

  • CT (computed tomography) scan.
  • MRI (magnetic resonance imaging)
  • Ultrasound.
  • Nuclear medicine imaging, including positron-emission-tomography (PET)
Radiography

Magnetic resonance imaging

Nuclear medicine

Ultrasound

Elastography

Photoacoustic imaging

Tomography

Echocardiography

Functional near-infrared spectroscopy

Magnetic particle imaging

Njia zingine za kisasa zaidi zinazofanana na hizi ni kama vile

  • Diffuse optical tomography
  • Elastography
  • Electrical impedance tomography
  • Optoacoustic imaging
  • Ophthalmology
  • A-scan
  • B-scan
  • Corneal topography
  • Optical coherence tomography
  • Scanning laser ophthalmoscopy
WAHUSIKA

Wahusika wakuu kwenye code hii ni wafuatao

  • MR X mwenyewe
  • Wahusika wengine wote kwenye maabara hiyo ya Microscope ofisini
  • Profesa (tumwite PRF) aliyefanya tukio kwa mhusika J2 moja mnamo Desemba 2022 (mwaka jana).
  • Siku hiyo, PRF alikuwa pia anai-scan gari ya mhusika kupitia kwenye side mirrors za gari lake na tangu siku hiyo, ameendelea kufanya hivyo kila J2 na kwa ujanja sana hadi J2 ya leo hii amefanya pia
  • J2 ya leo, mhusika alipokuwa bado amepaki kwenye parking zilizoko nje ya uzio wa Kanisa PRF alifanya hivyo
  • J2 iliyopita pia alifanya
  • J2 ile nyingine alifanya pia
  • J2 zote ambazo mhusika amekuwa yupo kanisani na PRF naye kuwepo, mara nyingi PRF amekuwa akipaki hata ndani ya uzio wa kanisa, kwa namna ya ambayo side mirrors za gari lake (PRF) huzielekeza kwa lile la mhusika
  • Shemasi wa Kike kanisani mwenye gari aina ya Harrier, waliyepaki pamoja siku ya Krismas na ambaye mara nyingi mhusika amekuwa akileta taarifa zake humu jukwaani
  • Shemasi wa kiume Kanisani ambaye J2 ya leo walipishana ndani ya uzio wa Kanisa karibu na gate, mhusika akiwa anaingia na yeye ndiyo alikuwa ndiyo anatoka nje na katika muda ambao magari mengine yote yaliyokuwa yanatakiwa kutoka, yalikuwa tayari yameshatoka isipokuwa la kwake
  • Mke wa kiongozi aliyewahi kusababisha mhusika akatoboa taa za gari lake.
  • Huyu mama amekuwa mara kwa mara akili-scan gari la mhusika kwa kutumia side mirrors za gari lake, na kwa kipindi cha hivi karibuni kabisa, mama huyu alili-scan gari la mhusika J2 ya tarehe 05/02/2023 wakati mhusika alipokuwa anajiandaa kuondoka Kanisani baada ya Ibada, na walikuwa wawili ndani ya gari; alikuwa pamoja na mke wa shemasi mwingine
Maelezo ya kina zaidi yatafuata baadaye

……………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA UJIO WA MGENI WA SMK J3 ILIYOPITA

Wakati mtoto wa usafi anafika ofisini kwa mhusika kwa ajili ya kufanya usafi, ulikuwa umeshapita muda mrefu sana tangu mhusika alipokuwa ametoka kwenda washroom kwa mara ya mwisho.

Kwa hali hiyo lingeweza kuwa ni kosa kubwa sana na la karne, kama mhusika angeamua kumsindikiza mgeni wa SMK halafu baadaye, akaja akapitia kwenye washrooms zilizoko ground floor wakati wa kurudi. Lingekuwa ni kosa la karne, kama siyo la millennia.

Mbali na hilo, hivi karibuni tu takribani wiki tatu zilizopita, msimamizi wa ukarabati wa jengo aliamua kuhama ofisi kutoka First Floor kwenda Ground Floor na kwa sababu ambazo bado hazijawa wazi sana kwa sababu tangu awasili kutoka Dodoma takribani miaka mitatu iliyopita, alikuwa anatumia ofisi hiyo hiyo ya awali, hakuwahi kubadilisha

Maelezo ya mada zingine zilizopo hewani muda huu yatafuata muda mfupi ujao

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…